Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

WIvu wa Mapenzi Wasababisha Mauaji ya Kinyama ya Watu wawili

0
0
Watu wawili wamefariki dunia na mwingine mmoja kujijeruhi baada ya kutokea ugomvi unaohusishwa na wivu wa mapenzi mjni Bunda.

Tukio hilo lilitokea jana saa tano asubuhi katika Mtaa wa Bunda Stoo baada ya mtu mmoja kuwavamia watu wawili kisha kuwachoma visu kabla ya kujichoma mwenyewe.

Akizungumza mjini hapa, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mara, Jaffari Mohamed alisema jana kuwa waliouawa ni Daudi Phares (29) mkazi wa Bunda na msichana aliyetambulika kwa jina moja la Monica (22) mkazi wa Magu mkoani Mwanza.

Kamanda huyo alimtaja aliyejijeruhi baada ya kujichoma kisu maeneo mbalimbali mwilini mwake kuwa ni Selemani Jeremia (33) ambaye ni mkazi wa Magu.

Alisema kuwa siku ya tukio Selemani alisafiri kutoka Magu mkoani Mwanza hadi Bunda ambapo alifika nyumbani kwa Daudi na kumkuta akiwa na Monica.

Baada ya kufika nyumbani hapo Selemani alianza kumchoma visu Dauidi katika sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwamo kifuani upande wa kushoto na kusababisha kifo chake papo hapo.

Alisema kuwa baadaye Selemani alianza kumshambulia Monica ambapo alimkata kwa kisu shingo hadi ikaning’inia na baadaye kumchoma sehemu mbalimbali hali iliyomsababishia mauti palepale.

Kwa mujibu wa Kamanda Mohamed mtuhumiwa alitaka naye kujiua kabla ya kuokolewa na polisi na wananchi waliofika eneo la tukio waliomkuta amejikata na kisu shingoni na kujichoma tumboni hali iliyosababisha utumbo wake kutoka nje.

“Selemani pamoja na kujichoma huko alikutwa akiwa bado anapumua na kukimbizwa katika Hospitali Teule ya Bunda ambapo alipatiwa matibabu na sasa hivi bado yuko hospitalini ingawa hali yake si nzuri,” alifafanua.

Kamanda huyo alisema kuwa uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa tukio hilo linahusishwa na wivu wa mapenzi kwa maelezo kwanza miezi michache iliyopita Monica na Selemani walikuwa wachumba ambapo Selemani alitoa kishika uchumba nyumbani kwao Monica na kwamba walikuwa na mpango wa kuoana punde.

Lakini kabla hawajafikia malengo yao, Monica alibadili uamuzi na akaenda Bunda ambapo alianza kuishi pamoja na Daudi hali iliyosababisha ndugu wa Monica na Selemani kuingilia kati na hatimaye Monica kurudishwa wilayani Magu.

Hata hivyo, licha ya kurudishwa Magu lakini uchumba wao ulivunjika rasmi na familia yake kurudisha kishika uchumba kwa Selemani.

Taarifa zaidi zilisema baada ya uchumba huo kuvunjika, Monica aliamua kurudi tena wilayani Bunda na kuendelea kuishi na Daudi na ndipo Selemani aliamua kumfuata na kutekeleza tukio hilo lililowaondolea uhai wapenzi hao.

Serikali yazidi kubana matumizi

0
0
Ili kupunguza gharama za uendeshaji, Serikali imetangaza kuachana na matumizi ya karatasi kutoa nakala za malipo ya mshahara (salary slip) kwa watumishi wa umma.

Badala yake, Serikali sasa itaanza kutumia mfumo wa kielektroniki.

Taarifa iliyotolewa leo Jumapili na Wizara ya Fedha na Mipango, imesema watumishi wa umma wataanza kutumia mfumo huo kwenye masuala yao yote ya kiutendaji ikiwemo kukamilisha mahitaji ya taasisi za fedha watakapokuwa wakihitaji mkopo au wanaposhughulikia mafao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.

Taarifa hiyo imesema hata wastaafu watapaswa kufuata utaratibu huo mpya pamoja na wadau wengine wanaoshirikiana na wafanyakazi wa umma yakiwemo mashirika ya bima.

Ili kupata nakala hiyo, maelekezo yanasema kila mtumishi au mstaafu serikalini atahitaji kujisajili.

Taarifa imesema kutokana na gharama kubwa za uchapishaji, usambazaji na usumbufu wa kuzitafuta nakala hizo, wizara imeandaa mfumo wa kielektroniki wa utoaji wa hati za malipo ya mshahara ujulikanao government salary slip self service.

Imeelezwa utaratibu wa kujisajili na kuutumia mfumo huo unatolewa na waajiri.

Kauli ya Dr Kashililah baada ya Rais Kutengua uteuzi wake

0
0
Katibu wa Bunge wa zamani, Dk Thomas Kashililah amesema, Rais John Magufuli hakufanya kosa katika uteuzi wa Katibu wa Bunge.

Rais Magufuli jana Jumamosi alimteua Steven Kagaigai kuwa Katibu wa Bunge, uteuzi ambao umeibua hoja kwamba sheria haikufuatwa.

Dk Kashililah akizungumza na mwananchi leo Jumapili, amesema kwa mujibu wa ibara ya 87(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano  mamlaka ya uteuzi haikufanya kosa licha ya sheria ya Bunge kuelekeza utaratibu.

Amesema, “Mamlaka ya uteuzi iko sahihi… unajua sheria haiko juu ya Katiba na Katiba iko juu ya sheria, hivyo Rais akiamua anaweza kufanya hilo, sheria haiwezi kumzuia,” amesema Dk Kashililah akisisitiza ibara ya 87 iko wazi.

Ibara hiyo inasomeka: “Kutakuwa na Katibu wa Bunge ambaye atateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa watu wenye madaraka ya juu katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.”

Dk Kashililah amesema: “Kama aliyeteuliwa angekuwa hayuko kwenye madaraka ya juu hapo sawa, lakini huyu aliyeteuliwa (Kagaigai) ni mtu senior kabisa serikalini na ana vigezo hivyo… kuna watu wanapotosha ukweli.”

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Tatizo La Kudumaa, Kusinyaa, Kunywea Na Kurudi Ndani Kwa Maumbile Ya Kiume Pamoja Na Tiba Yake

0
0
Kudumaa , kusinyaa  na  kunywea  au kurudi ndani  kwa  uume  ni tatizo  linalo  wakabili wanaume  wengi  duniani.
Dalili  za  tatizo  hili  ni  pamoja  na  kuwa na  maumbile madogo sana yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuyafanya  yaonekane  kama  ya  mtoto  mdogo.

VYANZO  VYA  TATIZO  LA  KUDUMAA  NA  KUSINYAA  KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kwa  mujibu wa  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi, tatizo la  kudumaa  na  kusinyaa  kwa  maumbile  ya kiume  huchangiwa na  mambo mengi. 
 
Baadhi  ya  mambo  hayo  ni  pamoja na  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu,  kuugua  chango  la  kiume,  kuugua  ngiri,  kuwa  na  uzito & unene  ulio pitiliza, kufanyiwa  upasuaji  wa  tezi  dume , uzee  na  kuugua  maradhi  yasababishayo  kupinda  kwa  uume.
Katika  makala  haya , tutaangazia  namna  suala  la  upigaji  punyeto  linavyo  sababisha  kudumaa  na  kusinyaa  kwa  maumbile  ya  kiume.



NINI  HUSABABISHA  UUME  KUSINYAA,KUDUMAA, KUNYWEA  NA  KURUDI  NDANI KIASI CHA  KUUFANYA  UONEKANE  KAMA  WA  MTOTO ?

Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali za kisayansi, Sababu  kubwa   inayo  sababisha  kudumaa, kusinyaa  na  kurudi  ndani    kwa  uume  ni kupungua  ama  kukosekana kabisa   kwa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu  kama  HGH  ambazo  pamoja  na  mambo mengine , zina  husika  na  kuchochea  ukuaji  wa  seli zinazo  husika na  ukuaji  wa  misuli ya  uume na  uume  kwa ujumla.

MAMBO  YANAYO  SABABISHA  KUPUNGUA  AMA  KUKOSEKANA  KWA  HOMONI  ZINAZO  SAIDIA  KUCHOCHEA  UKUAJI  WA  MISULI  YA  UUME.

Kwa  mujibu  wa  tafiti za  kitaalamu, mambo  yanayo  sababisha  kupungua  na/ ama  kukosekana  kwa  homoni zinazo  saidia kuchochea  ukuaji  wa  misuli ya  uume ni  pamoja  na :
1.   Kujengeka kwa  mafuta kwenye  mishipa  ya ateri ipitishayo  damu kwenda  kwenye  misuli ya  uume  na  hivyo  kuzuia kutiririka  kwa  damu kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.
2.    Kujengeka  kwa  tishu zisizo  vutika ndani ya  mishipa  ya  ateri. Tishu  hizi  huzuia  mishipa ya  ateri kupanuka  na hivyo  kushindwa kuongezeka ukubwa.

KWANINI  PUNYETO HUSABABISHA  UUME KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI  NDANI KIASI CHA  KUONEKANA  KAMA  UUME  WA  MTOTO  MDOGO ?

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.
 Homoni  hizo hujulikana  kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.

Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.
 
Ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.
 
Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.
 
Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.
Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.
Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.
 
Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika   ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.
Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.
 
Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushinda  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.
Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  wakati wa  kubalehe.

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.

Kama uume wako  umedumaa, umesinyaa, umelegea, umenywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo.
HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 

Yapo  MAFUTA  YA  ASILI  ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME.
Ni  mafuta  ya  asili  kabisa  yasiyo  na  kemikali  yoyote ya  kiwandani  ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI   YANAVYO   TUMIKA
Mafuta  haya  hutumika  kwa  kuchua  uume. Na hutumika  mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni kwa  muda  wa  siku  thelathini.
MAMBO   YANAYO FANYWA  NA  MAFUTA  HAYA
Mafuta  haya  husaidia  katika  mambo  yafuatayo :
1.    Kuimarisha  na  kuipa  nguvu mishipa  iliyo legea kwa  sababu  ya  punyeto
2.   Hunenepesha  uume  ulio sinyaa  kwa  sababu  ya  punyeto
3.   Hurefusha  uume  ulio dumaa  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ya  punyeto.
4.   Huimarisha  na  kuongeza  nguvu  za  kiume
5.   Hukupa  uwezo wa  kurudia tendo  bila  kuchoka
6.   Hukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu.
7.   Husaidia  kuongeza  na  kuimarisha  nguvu  na  nishati ya  misuli ya  uume.

JINSI YA  KUYAP ATA
Kuyapata  mafuta  haya, fika  katika  duka  la  kuuza  dawa  za  asili  la  NEEMA  HERBALIST  lililopo  UBUNGO  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  PLAZA  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.
 
Kwa  wateja  wetu  waliopo  jijini Dar  Es  Salaam, ambao  hawana  muda  wa  kufika  ofisini kwetu, tunayo huduma  ya  kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ndani ya  jiji la  Dar  Es Salaam  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )
Kwa wateja  wetu waliopo  nje  ya mkoa  wa Dar  Es  Salaam na  Zanzibar, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  na boti.
 
WASILIANA NASI  KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84
Na kufahamu  kuhusu  tiba  asilia ya  magonjwa  na  matatizo mbalimbali  ya  kiafya, tutembelee  kila  siku :
 

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Octoba 9

Dr. Kigwangallah Asimulia Alivyopokea Uteuzi wa Rais Magufuli

0
0
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk Hamisi Kigwangalla ameeleza namna alivyopata taarifa za uteuzi wa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii.

Dk Kigwangalla kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram amesema  Jumamosi alikuwa ziarani Kituo cha Afya cha Kilimarondo wilayani Nachingwea mkoani Lindi.

Amesema siku hiyo saa nane mchana ndipo alipopata ujumbe wa kuteuliwa kushika wadhifa huo mpya.

Rais John Magufuli Jumamosi  alitangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri.

Dk Kigwangalla amesema, “Baada ya kumaliza kazi kituoni hapo na kuanza ku-rake njia ya kuelekea Liwale, Kituo cha Afya Kibutuka, ndipo mwenyeji wetu anaarifiwa na watu wa Liwale kuwa itakuwaje? Mheshimiwa ataendelea na ziara huku amebadilishiwa majukumu?”

Katika ujumbe huo, Dk Kigwangalla amesema, “Kilimarondo hakuna mtandao zaidi ya TTCL. Ni kilomita takriban 100 za vumbi kuelekea ndani huko. Ni tarafa ya pembezoni kweli kweli. Ni mahala ambapo Nachingwea inapakana na Tunduru.”

Amesema baada ya kupata taarifa hiyo kila kitu ilibidi kisimame papo hapo.

“Namba za NWAMJW (Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto) ilibidi ziondolewe na safari ya kutoka huko ianze! Nimepokea salamu nyingi za pongezi na shukrani kwa Mungu aliye juu. Sitoweza kumjibu kila mtu, uungwana ni kutambua pongezi zenu na dua tele mlizotuombea, nawashukuru sana ndugu zangu. Tuzidi kuombeana dua tu,” amesema.

Dk Kigwangalla amesema wana kazi ngumu ya kukimbia kukidhi matarajio ya kiongozi mkuu aliyewaamini na matarajio ya wananchi.

“Binafsi nawaahidi nyote kuwa sitowaangusha! Ahsanteni sana ndugu zangu, natarajia ushirikiano wenu wa kila hali,” amesema.

Uteuzi wa Rais Magufuli kupingwa mahakamani

0
0
Chama cha ACT Wazalendo kimeeleza kusikitishwa na uteuzi wa Rais John Magufuli wa Katibu wa Bunge.

ACT katika taarifa yake jana Jumapili, imesema Rais ameamua kuyaweka pembeni matakwa ya sheria yanayoongoza mchakato wa uteuzi wa Katibu wa Bunge na kuamua kujichagulia apendavyo.

“Kutokana na unyeti wa nafasi ya Katibu wa Bunge, na kwa minajili ya kuweka 'check and balance' pamoja na kulinda uhuru wa Bunge, kwenye mchakato wa uteuzi wa nafasi husika, sheria imeweka utaratibu wa kufuatwa kwenye uteuzi wa Katibu wa Bunge,” imesema taarifa hiyo iliyosainiwa na Ado Shaibu ambaye ni katibu wa itikadi, mawasiliano na uenezi wa ACT Wazalendo.

Amesema mbali na Rais kuwa na mamlaka ya kumteua Katibu wa Bunge kwa mujibu wa Ibara ya 87 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano, anapaswa kuzingatia utaratibu uliowekwa na Sheria ya Utawala wa Bunge ya mwaka 2015.

Kwa mujibu wa kifungu cha 7(3) cha sheria hiyo, Rais atateua jina moja kutoka miongoni mwa majina matatu yaliyopendekezwa na Tume ya Huduma za Bunge.

Shaibu amesema jambo hilo si la hiari bali ni sharti la lazima la sheria ambalo Rais analazimika kulifuata.

Ndiyo maana kifungu husika kinasema, “The Commision shall recommend three names. (Tume ni lazima ipendekeze majina matatu)”.

ACT imesema wajumbe wa Tume ya Huduma za Bunge kwa taarifa ambazo chama hicho kinazo, hakuna kikao chochote kilichoketi na kupendekeza majina kwa Rais kwa ajili ya uteuzi wa Katibu wa Bunge.

Chama hicho kimesema uteuzi huo ni ushahidi wa wazi wa kudharauliwa mhimili wa Bunge.

“Ni matumaini yetu kuwa Bunge na watu wote wanaopenda uhuru na uimara wa Bunge watasimama imara kuupinga uteuzi huu ambao ni kinyume cha sheria,” amesema.

ACT imesema iwapo Rais hatatengua uteuzi huo na kufuata utaratibu uliowekwa na sheria za nchi, kitalifikisha suala hilo mahakamani ili kupata ufafanuzi wa Mahakama.

“Ni wakati muafaka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndiye mwenye dhamana ya kuishauri Serikali kwenye masuala ya kisheria kuwajibika,” imesema taarifa hiyo.

IGP Sirro: Sitaki Malumbano na Familia ya Tundu Lissu

0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro amesema hataki malumbano na hana majibu kuhusu shinikizo linalotolewa na Chadema na familia ya mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kuruhusu vyombo vya nje kufanya uchunguzi wa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi kwa mbunge huyo.

IGP Sirro amesema hayo jana Jumapili jijini hapa, akiwa katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alipojibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka kujua kauli yake baada ya familia ya Lissu na viongozi wa Chadema kutamka kuwa hawana imani na Jeshi la Polisi kuhusu uchunguzi huo.

Lissu ambaye pia ni mwanasheria wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) alijeruhiwa kwa risasi Septemba 7 mjini Dodoma na sasa anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya.

IGP Sirro alisema yeye na jeshi lake wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria kwa kuwatumikia Watanzania wote kuhakikisha wanakuwa salama pamoja na mali zao na si mtu mmoja.

Amewataka wanasiasa kuliacha jeshi hilo lifanye kazi yake.

"Ahsante kwa swali lakini kwa hili sina majibu kwa sababu sitaki malumbano. Sisi tupo kwa ajili ya Watanzania wote ndiyo maana nchi ipo shwari. Mimi ndiye mkuu wa Jeshi la Polisi nchini na ninawajibika kuhakikisha raia na mali zao zinakuwa salama na kwa kweli ni salama. Kwa hiyo swali lako sina jibu,” alisema IGP Sirro.

Alisema ni aibu kwa mwanasiasa kutaka kumfundisha kazi askari anayetambua wajibu wake au askari kwenda kumfundisha siasa mwanasiasa, hivyo ametaka kuwe na mipaka ya utendaji kazi kwa mujibu wa sheria za nchi na si vinginevyo.

Viongozi wa Chadema na familia ya Lissu imetoa msimamo ikitaka vyombo vya dola kuruhusu uchunguzi huru kwa kuhusisha vyombo kutoka nje ya nchi.

IGP Sirro yuko ziarani mkoani Mbeya  ambako amekutana na askari na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Mwigulu Nchemba Azivaa Taasisi Zinazotoa Ripoti ya Uongo kuhusu Wakimbizi wa Burundi

0
0
Sakata la wakimbizi kurudi nchini mwao ambalo limeendelea kubadilishwa badilishwa kimtazamo na baadhi ya mashirika ya kimataifa, limetua kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba aliyesisitiza kuwa halijasitishwa.

Nchemba amesema kazi ya kuwaandikisha wakimbizi wa Burundi wanaotaka kurejea kwao kwa hiari haijasitishwa licha ya baadhi ya mashirika ya kimataifa kudai usalama wa wale wanaorudishwa uko hatarini.

Hivi karibuni shirika la kimataifa linalotetea haki za binadamu la Amnesty International lilidai kwamba mpango wa kuwarejesha wakimbizi hao unahatarisha maisha yao na linaamini kuwa wengi wanarejeshwa kutokana na msukumo wa ushawishi kutoka Serikali za Tanzania na Burundi.

Shirika hilo lilidai kuwa hali ya usalama bado si shwari likieleza kuwapo kwa matukio ya utesaji, kufungwa bila makosa, kubakwa na hata kuuawa.

Hata hivyo, Mwigulu alionyesha kushangazwa na ripoti hizo akisema mawasiliano yake na waziri mwenzake wa Burundi yamethibitisha kutokuwapo kwa matukio ya aina hiyo.

“Sijui hizi ripoti wanazipata wapi, mimi nimezungumza na mwenzangu wa Burundi na amenithibitishia kuwa hali iko shwari na hakuna dhoruba zozote zinazowapata wakimbizi wanaorejea kwao.

"Wakimbizi wanaojiandikisha wameongezeka mara mbili kuanzia wale wa awali 12,000 na sasa wamefikia 24,000. Hawa wakimbizi wamethibitishiwa na ndugu zao kuwa hali nyumbani kwao ni shwari na ndiyo maana wanaendelea kujiandikisha,” alisema.

Mwezi uliopita, Tanzania, Burundi na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) walikubaliana kuwa ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wawe wamewarejesha wakimbizi 12,000 wanaoishi Tanzania ambao wanataka kurudi kwao Burundi kwa hiari.

Msukuma Adai Wanaweza Wasiombe Hela Kwa Rais Kwa Miaka 29

0
0
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Geita, Joseph Kasheku Msukuma amesema kuwa endapo watashinda kesi dhidi ya mgodi wa GGM ambayo wameifungua, watakuwa na uhakika wa kupata fedha ambazo zinaweza kuhudumu katika halmshauri kwa miaka 29, bila kuomba kwa Rais fedha yoyote.

Msukuma ambaye pia ni Mbunge wa Geita amesema hayo alipokuwa kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM katika Wilaya ya Geita ambapo alitumia nafasi hiyo kuwataka madiwani wa CCM wote ambao wanahitajika kituo cha polisi waende polisi wenyewe wakahojiwe na kuwaambia siku ya kwenda mahakamani wavae sare za Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“Nitumie fursa hii kuwaomba madiwani wote wa CCM wa Geita Mjini, Geita na wale wa Busanda ambao tulikuwa kwenye kikao kile jitokezeni, muende wenyewe polisi, msikimbie nendeni wote polisi na tarehe 9 na 10 tunaenda mahakamani na sare za CCM, na mimi kamanda wenu nawaambia kuwa tutashinda tumeweka mawakili tisa. Dola milioni 12 ni sawa na bilioni 29, halmashauri kama ya Geita peke yake huwa tunatumia bilioni 1.5 mpaka 1.8 maana yake wakitulipa hizo hela tunaweza kuwa na miaka 29 bila kumuomba Rais hela,”alisema Msukuma.

Mbunge Msukuma pamoja na madiwani kadhaa wa CCM waliingia katika misukosuko wiki kadhaa zilizopita baada ya kukamatwa na jeshi la polisi na kulazwa ndani kwa masaa 24 kwa kile kilichoeleza kuwa walihusika katika kufanya vurugu kwenye mgodi wa Geita Gold Mine na kufunga barabara inayoingia mgodini huko wakishinikiza malipo hayo ya Dola milioni 12.

Mtatiro apewa ujumbe huu mzito na Tundu Lissu aufikishe kwa Watanzania

0
0
Mwenyekiti Kamati ya Uongozi katika Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro, amesema kuwa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, atarejea kwa nguvu zote na kwa kishindo kizito.
 
Mtatiro amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook kwa kuandika machache baada ya kumtembelea Mhe. Lissu hospitali Jijini Nairobi anapoendelea na matibabu baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika Septemba 7, mwaka huu akiwa nyumbani kwake Area D, Mkoani Dodoma.
 
Mtatiro ameandika yafuatayo;
 
“SALAMU KUTOKA NAIROBI.
 
Mtatiro. J
Hapa jijini Nairobi leo nimepata fursa ya kumtembelea na kuzungumza kwa kirefu na ndugu yetu Tundulissu. Kama kuna mtanzania imara, asiyeogopa na mwenye maono makubwa ni Lissu. Lissu hana wasiwasi and he will strike hard very soon!
 
Risasi zote zilizopenya kwenye mwili wa Lissu zimemtengenezea uimara maradufu, mara sabini, mara mia moja. Waliodhani kuwa kumuua Lissu ndiyo kuua harakati za Watanzania kudai taifa la haki na linalofuata misingi ya sheria na katiba bora, wanajidanganya.
 
Lissu ameniambia “Mtatiro nenda kawaambie kuwa nitarudi nikiwa mzima na tutaendelea na mapambano maradufu zaidi, faraja muhimu nayohitaji kutoka kwa Watanzania hivi sasa ni kuendeleza mapambano ya kudai haki na kupambana na udikteta, tusikubali nchi yetu iharibiwe na kikundi cha watu wanaoogopa kukosolewa”
 
Nimemwambia Lissu fikra zangu, kuwa “..siku nilipotaarifiwa kuwa umepigwa risasi nyingi ikiwa ni njia ya kukuua, nilitabasamu, nilijua mapambano ya kudai haki yamekolea, nilijua umekuwa imara mno maishani mwako na kwamba mateso utakayopitia yatakujenga na yatatujenga sisi zaidi!”
 
Mimi binafsi kama Mtatiro, kumuona Lissu kumenijenga zaidi, kumenifundisha kuwa ukipigwa risasi hata 100 kwa sababu u mkosoaji wa watawala yapo mambo mawili yatatokea, aidha utapona kama Lissu au utakufa kama ilivyowatokea wapigania haki wengi.
 
Uki-survive kama Lissu jambo moja litatokea, utaungana na wananchi wote kupigania haki kwa nguvu kubwa zaidi. Ukiuawa kwa risasi kama wapigania haki wengi jambo moja kubwa litatokea, kifo chako kitapandikiza mbegu kubwa ya ukombozi, kifo chako kitaliamsha taifa kupigania haki na kupambana na madikteta wajinga.
 
Kama wapuuzi waliomshambulia Lissu walidhani kuwa wanatutisha, kutuogofya na kuturudisha nyuma, wanajidanganya. Wanatuandaa kimwili na kiroho kulipigania taifa na kupambana kudai utawala wa haki, utawala wa sheria na katiba bora. Wanatuandaa kujitolea maisha yetu kwa ajili ya Taifa.
 
Nataka kuwaambia watanzania kuwa nchi yetu siyo Rwanda, siyo Burundi, siyo Congo wala siyo Uganda. Zipo njia zilitumika kuwazoesha Wanyarwanda, Warundi, Waganda na Wakongo udikteta. Kama yupo mtu anadhani anaweza kuipeleka Tanzania udiktetani anajidanganya. Tutalipigania taifa letu, utu wetu na uhuru wetu wa kuzaliwa bila kuogopa mikanda ya risasi.
 
Salamu kutoka Nairobi, he is going to strike soon and we will strike with him, harder and harder!
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi,
The Civic United Front (CUF),
08 Oktoba 2017 – Nairobi, Kenya.”

LIVE TOKA IKULU: Kuapishwa Kwa Mawaziri, Naibu Mawaziri Na Katibu Wa Bunge.

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli anawaapisha Mawaziri na Manaibu Mawaziri wapya walioteuliwa kufuatia mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanyika Oktoba 7 mwaka huu.

Hafla hiyo ya uapishaji inafanyika katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam na imehudhuriwa na viongozi mbalimbali waandamizi wa Serikali, Bunge na Mahakama.

Fuatilia matangazo hayo  moja kwa moja hapa chini

Pata Tiba Asili ya Makovu, Chunusi, hips na Mvuto wa biashara

0
0
Kutana na mtaalam wa tiba aili. Anatibu tatizo la  nguvu za kiume, kurefusha na kunenepesha uume, tatizo la kuwahi kufika kileleni, kumvuta mpenzi, mke, mume ndani ya lisaa limoja.

Pia anadawa ya kutengeneza shape, hipsi, umbo namba nane..Anadawa ya asili ya makovu na chunusi, dawa za biashara, kuzuia chuma ulete

IGP Sirro Aagiza Wakwepa Kodi Wakamatwe

0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Siro ameagiza wafanyabiashara na watu wote ambao wanakwepa kulipa kodi nchini kuchukuliwa hatua kali kwani wanarudisha nyuma na kuchelewesha maendeleo ya nchi.

IGP Sirro amesema hayo jana alipofanya ziara mkoani Mbeya na kuwaagiza askari wa vikosi mbalimbali vya polisi kuhakikisha wanawakamata na kuwachukulia hatua za kisheria watu wote ambao wanakwepa kulipa kodi.

"Kuna watu wanafikiri ni sifa kufanya magendo wote tunajua umuhimu wa kulipa kodi kwa hiyo tumepanga mpango mkakati wa kuwashughulikia vizuri sana wale ambao wanakwepa kulipa kodi, wananchi wetu wanapaswa kubadilisha mtazamo wao waone wanawajibika kwenye kulipa kodi sababu kodi ndiyo inafanya maendeleo ya nchi yetu, kodi ndiyo inaleta madawa, kodi inaleta barabara na kodi ndiyo kila kitu. Na wale ambao wanakwepa kulipa kodi nimetoa maelekezo kuwashughulikia kila mahali na kila siku wanasikia Amiri Jeshi Mkuu anazungumzia habari hii sasa wewe unayekwepa kulipa kodi ni nani" alisisitiza Sirro

Aisha IGP Sirro aliwataka wafanyabiashara pamoja na wananchi kulipa kodi ili nchi iweze kupata maendeleo na kusonga mbele zaidi.

Tatizo la Nguvu za Kiume na Chanzo cha Kuwa na Maumbile Madogo

0
0
Wataalam katika chuo kikuu cha tiba johns hopkins wanakili kuwa asilimia 75% ya wanaume duniani wamepatwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Tatizo hili linasababishwa na kushuka kwa TESTOSTERON kwenye damu ,kawaida testosteron kwenye damu inatakiwa iwe 400ng/d/hadi 900ng/d/.....chini ya 400ng/d/ mwanaume anapatwa na upungufu wa nguvu za kiume (erectile disfunctioning) kupungua maumbile ya kiume kwa kawaida anatakiwa kutumia dk 20_30 ndipo amalize na umbile lake liwe si chini ya nchi 7.5 .

Sababu zinazoweza kushusha testosterone homoni ya nguvu za kiume ni PUNYETO,SUKARI,BP,MAGONJWA YA FIGO,TUMBO LA CHANGO,ULEVI KUPITA KIASI,MAGONJWA YA ZINAA,U.T.I,KUTOKWA NYAMA SEHEMU ZA HAJA KUBWA,(BAWASIRI).

Wanawake pia wamekumbwa na upungufu wa hamu ya tendo la ndoa kutokana na kushuka kwa homoni estrogen, ambapo mwanamke hupatwa na kuumwa tumbo la chini ya kitovu ,maumivu anapoingiliwa,ukavu mwingi,hata kama ameandaliwa,kuyumba kwa hedhi.

Mtaalam mwingine ambaye ni mkurugenzi wa mradi wa EEP PROF RICHARD SHARP,Anabainisha vyanzo vingine vinavyoondoa mvuto wa mapenzi kuwa aina ya pepo INCUBUS wa kiume hummiliki mwanamke hadi kushindwa kutamani mapenzi na binadamu wa kawaida,mwanamke huota ndoto akifanya mapenzi na watu au wanyama,na mwanaume pia kukosa kuwatamani wanawake naye hujiwa na ndoto akifanya mapenzi nahuamka amelowa.

DR JIDONGEJA  MTAALAM WA TIBA ASILI ANAKUBALIANA NA TAFITI HIZI NA ANAKIRI KUWA WATU WENGI WENYE MATTIZO HAYA ANAWATIBU.

 PIA HUTOA TIBA ZA KISAIKOLOJIA ZA KUKUZA MVUTO KWA MTU KUPENDWA.ANAPATIKANA DAR ES SALAAM NA HUDUMA UNALETEWA POPOTE. SIMU NO 0758078280.

Pata Tiba ya Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Unasumbuliwa na Kiharusi,Ngiri au Kifafa?......Unatatizo la Nguvu za Kiume, Kuachika au Tatizo la Uzazi? . Kutana na Mtalaamu Huyu Akusaidie

0
0
SASA YUPO DAR;Anadawa ya kumvuta mpenzi wako popote alipo kwa masaa 6 tu na kumtuliza asitoke kwako

Je, unaugomvi usioisha na mpenzi wako na unaachwa mara kwa mara? Njoo upate dawa ufurahie penzi tulivu la umpendae.

Anadawa za nguvu za kiume, kuimarisha mishipa iliyolegea, kuongeza homoni na kukufanya udumu katika tendo hadi dakika 45 na unaweza kurudia tendo hata mara 4 bila kuchoka.

Anatibu Busha bila kupasua,uzazi, mshipa wa ngiri,kiharusi,kifafa,kuondoa majini machafu nakadhalika.

Mpigie kwa simu: 0755505099

Kibatala Aandika Waraka Mzito Kwa Tundu Lissu

0
0
Wakili wa kujitegemea, Peter Kibatala ameandika waraka kwa Rais wa chama cha Wanasheria wa Tanganyika  (TLS) ,Tundu Lissu kwamba atahakikisha anatumia ujuzi wake wote wa sheria kuhakikisha katazo la IGP Sirro kuhusu mjadala wa kiongozi huyo kupigwa risasi linatenguliwa.

Kibatala ameweka waraka wake kwenye ukurasa wake wa Instagram ikiwa yamepita masaa machache baada ya IGP Sirro kutoa kauli ya katazo kwa wanasiasa kuhusu kuuendeleza mjadala wa Lissu na kuwataka waliachie jeshi la polisi liendelee kufanya kazi yake.

Kibatala ameandika "Mpendwa Kaka Tundu Lissu wanasema eti wamekataza mjadala juu ya wewe kupigwa risasi 11 mwilini mwako, kati ya zile 38 zilizoelekezwa kwako.binafsi nitatumia ujuzi wangu wote wa kisheria kuhakikisha hilo katazo linatenguliwa. Ile tu kupambana kuhakikisha hicho kitu hakina mashiko kisheria ni sehemu ya kutimiza wajibu wangu kwako .

Waraka ukaelezea zaidi; "U are my President, now and forever, my whole some President na i will be very stupid to leave such legal issues un-attended". (Nitakuwa mpumbavu nikiiacha ishu hii ya kisheria bila kuishughulikia Rais wangu, Wewe ni rais wangu sana na hata milele".

Hata hivyo katika waraka wake huo Kibatala ameomba radhi kwa Rais wake huyo kwa kutowekeza nguvu zake kwenye sintofahamu za Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Ben Saanane aliyepotea kusikojulikana na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Alphonce Mawazo aliyeuawa na watu wasiojulikana, huku akimuahidi kuanza kutafuta ufumbuzi wa kisheria kwenye masuala hayo.

"Nisamehe sikuwekeza nguvu za kisheria za kutosha kwenye issues za Ben Saanane na Alphonce Mawazo. Mimi na wenzangu tutatumia kila mbinu ya kisheria kuhakikisha mambo haya yanapatiwa ufumbuzi wa umma kwa sababu upelelezi kisheria si mali binafsi ya jeshi lolote nchini" Kibatala ameongeza.

Kibatala ameongeza "Tundu Lissu ukirudi utanikuta nipo njiani na masuala haya na kwa vyovyote wewe  au mwingine 'who will be left standing or sitting, will carry through' .

Hata hivyo mwisho wa waraka huo Kibatala amesema  ajenda yake kuu wiki hii itakuwa pia ni kuuliza kisheria uhalali wa kuzuia maombi ya wazi kwako Tundu Lissu.

Maneno ya Mh. Jafo na Dkt Kigwangalla baada ya kuapishwa

0
0
Aliyekuwa Naibu Waziri wa TAMISEMI, Seleman Jafo baada ya kuteuliwa na kuapishwa kuwa Waziri wa wizara hiyo amewaahidi Watanzania kuwa wategemee utendaji mzuri wa kazi kutoka kwake huku akiwaomba watumishi wote umma kufanya kazi kwa spidi.

Wakizungumza Ikulu jijini Dar es salaam mara baada ya kuapishwa, Mhe Jafo amesema lengo lake ni kuisukuma nchi ifikie malengo yanayotarajiwa huku Dkt Kigwangalla akisema Mh. Rais ameonyesha imani kubwa sana na uwezo wake.

“Kikubwa zaidi niwaahidi Watanzani wategemee utendaji mzuri wa kazi, lakini niombe sana watumishi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lazima wajipange kufanya kazi kwa bidii , Wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, Wakurugenzi naomba waongeze spidi na Wakurugenzi waongeze spidi lakini watumishi wote waongeze spidi lengo ni tuisukume nchi yetu ifike katika malengo tunayoyatarijia

Hata hivyo Mhe. Jafo alipoulizwa kuwa ikiwa ni miongoni mwa Waziri walipandishwa yeye anafikiri ni kwanini kapandishwa na kuwa Waziri kamili? Akajibu “Ni mipango ya mwenyezi Mungu jambo la kwanza, la pili ni imani ya Mheshimiwa Rais kwangu, tatu ni utendaji wa kazi kwasababu ni lazima popote utakapo niweka ni lazima nifanye kazi kwasababu nina dhamana ya Watanzania naamini popote Mungu ananiona.”

Kwa upande wake aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya ambaye kwasasa ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla amesema kuwa “nimefarijika sana pia nimepewa imani kubwa na Mhe. Rais, nimepewa Wizara nyeti ni wizara ambayo inachangia asilimia 17.2 ya pato la taifa ni wizara nyeti sana, na mimi kupewa jukumu hili maana yake mhe. Rais ameonyesha imani kubwa sana na uwezo wangu lakini pia na uzalendo nilionao naomba niwaambie Watanzania na Mhe. Rais Kuwa sitawaangusha.”
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images