Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne y a Octobre 3


Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH....Anatoa Pete za Bahati, Anasafisha Nyota, Anazuia Chuma Ulete na Mengine

0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika
Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote
 
..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
 
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Chief Sultan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
 
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. 

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14. na mengi zaidi

Whatsapp/Calls 0658316976
0755911233
 
Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

Lowassa, ndesamburo Wawaponza Makada wa CCM

0
0
Kivuli cha aliyekuwa mgombea urais wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa na mbunge wa zamani wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (marehemu) vinadaiwa kuitesa CCM.

Habari kutoka ndani ya chama hicho katika wilaya za Moshi, Siha na Hai zinadai kuwa vivuli vya wanasiasa hao ndiyo kiini cha kufutwa kwa uchaguzi wa mwenyekiti katika wilaya hizo.

Wiki iliyopita, chama hicho kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole alisema mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM (Nec), umefuta uchaguzi katika wilaya nne. Mbali ya wilaya hizo tatu za Mkoa wa Kilimanjaro, nyingine ni Makete ya Iringa.

Alisema sababu ya kufuta matokeo hayo ni kubainika kwamba wagombea waliojitokeza hawakuwa na sifa pamoja na kubainika kuwepo na viashiria hatarishi kwa chama hicho kikongwe nchini.

Kutokana na uamuzi huo, Polepole alisema wilaya hizo zitaanza upya mchakato wa uchaguzi katika ngazi hiyo. Taarifa zilizopatikana jana kutoka Moshi Mjini zimeeleza kuwa tayari makada kumi na moja walikuwa wameshachukua fomu.

Taarifa zilizovuja kutoka ndani ya chama hicho katika wilaya za Hai, Moshi na Siha, zinadai kuwa mojawapo ya ‘viashiria hatari’ ni uwepo wafuasi wa Lowassa na Ndesamburo waliojitokeza kuwania nafasi hizo.

Wagombea katika wilaya ya Moshi ni Christopher Lyimo, Alhaji Omar Shamba, Consolata Lyimo na Elizabeth Minde ambaye ni mwenyekiti aliyemaliza muda wake na anayetetea nafasi hiyo.

Habari hizo zimedai kuwa kikundi kimoja cha makada wa CCM, kilichotwaa majukumu ya maofisa usalama wa chama, kinadaiwa kumwaga sumu kuwa mmoja wa wagombea alikuwa kwenye payroll ya Ndesamburo.

Hayati Ndesamburo alikuwa Mbunge wa Moshi Mjini kwa vipindi vitatu (2000-2015) alipoamua kustaafu mwenyewe. Alifariki dunia ghafla mapema mwaka huu.

“Hicho kikundi kinaoongozwa na kada mmoja (jina linahifadhiwa) kinajifanya usalama na kusema, (anamtaja mgombea) alikuwa kwenye payroll ya Ndesamburo ambaye ni marehemu,”

“Hivi wewe unavyoona ana shida gani mpaka awe analipwa na Ndesamburo wakati akiwa hai? Ni siasa za kuchafuana na hicho kimetengenezwa na huyo kada na kundi lake,” alidai kada mwingine wa CCM.

Mbali na mgombea huyo, lakini mgombea mwingine kati ya hao wanne anatajwa kuwa “haaminiki”, lakini haikuelezwa sababu za kuwajumuisha wagombea wote hadi uchaguzi wao kufutwa.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Moshi Mjini, Priscus Tarimo alipoulizwa kuhusu uamuzi huo wa Nec alisema umekuwa ni changamoto kwao kwa sababu walishajiandaa kwa uchaguzi.

“Ni uamuzi wa vikao vya juu kutokana ni taarifa za kiusalama kwa hiyo sisi hatuna budi kuupokea na leo (jana) wanachama wetu wameanza kuchukua fomu upya. Tunaenda vizuri,” alisema Tarimo.

Tarimo alipoulizwa iwapo waliogombea awali na kuonekana baadhi yao hawana sifa na wana viashiria hatarishi wataruhusiwa kugombea tena, alisema wanaruhusiwa kwa sababu hawakuzuiwa.

Minde aliyemaliza muda wake, ambaye ni wakili kwa taaluma alipoulizwa jana kuhusu hatima yake alisema yuko nje ya Moshi lakini atarejea leo na atachukua tena fomu kuwania nafasi hiyo.

Mbali na wilaya ya Moshi, taarifa kutoka wilaya za Hai na Siha zinadai kiini cha kufutwa kwa uchaguzi wao, ni baadhi ya wanaowania kutajwa kumuunga mkono Lowassa 2015.

Habari hizo zimedai kuwa baadhi ya wagombea ambao ndiyo wenye nguvu na wanaoonekana watashinda uchaguzi huo, wanatajwa kuwa katika mtandao wa Lowassa wakati akiwania urais ndani ya CCM.

Mara baada tu ya Rais John Magufuli kuingia madarakani, alifanya mkutano wake wa kwanza ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam na kulalamikia uwepo wa makada wasaliti.

Aidha, tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa 2015, chama hicho kimekuwa kikitekeleza mkakati wake wa kujiimarisha na kuwaondoa makada waliokisaliti katika kinyang’anyiro hicho kilichokuwa na ushindani mkali.

Ushindani huo ulikuwa baina ya Dk Magufuli na Lowassa ambaye licha ya kuondoka CCM na kugombea kwa tiketi ya Ukawa, bado alikuwa na kundi kubwa linalomuunga mkono ndani ya CCM.

Aliyemuita Rais Magufuli ‘kilaza’ Jela Mwaka Mmoja

0
0
Mhasibu wa Shule ya Sekondari St Joseph, Elizabeth Asenga ametiwa hatiani kwa kosa la kumuita Rais John Magufuli kilaza.

Elizabeth ametiwa hatiani leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi baada ya upande wa jamhuri kuthibitisha kosa.

Mhasibu huyi anadaiwa kuandika “hakuna rais kilaza kama yeye duaniani” katika mtandao wa kijamii wa Whatsapp.

Hakimu Shaidi akitoa uamuzi wa mahakama, alimtaka mshtakiwa huyo kulipa faini ya Sh milioni tano au jela mwaka mmoja ambapo amelipa faini hiyo na kuachiwa huru.

Tatizo la Nguvu za Kiume na Chanzo cha Kuwa na Maumbile Madogo

0
0
Wataalam katika chuo kikuu cha tiba johns hopkins wanakili kuwa asilimia 75% ya wanaume duniani wamepatwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Tatizo hili linasababishwa na kushuka kwa TESTOSTERON kwenye damu ,kawaida testosteron kwenye damu inatakiwa iwe 400ng/d/hadi 900ng/d/.....chini ya 400ng/d/ mwanaume anapatwa na upungufu wa nguvu za kiume (erectile disfunctioning) kupungua maumbile ya kiume kwa kawaida anatakiwa kutumia dk 20_30 ndipo amalize na umbile lake liwe si chini ya nchi 7.5 .

Sababu zinazoweza kushusha testosterone homoni ya nguvu za kiume ni PUNYETO,SUKARI,BP,MAGONJWA YA FIGO,TUMBO LA CHANGO,ULEVI KUPITA KIASI,MAGONJWA YA ZINAA,U.T.I,KUTOKWA NYAMA SEHEMU ZA HAJA KUBWA,(BAWASIRI).

Wanawake pia wamekumbwa na upungufu wa hamu ya tendo la ndoa kutokana na kushuka kwa homoni estrogen, ambapo mwanamke hupatwa na kuumwa tumbo la chini ya kitovu ,maumivu anapoingiliwa,ukavu mwingi,hata kama ameandaliwa,kuyumba kwa hedhi.

Mtaalam mwingine ambaye ni mkurugenzi wa mradi wa EEP PROF RICHARD SHARP,Anabainisha vyanzo vingine vinavyoondoa mvuto wa mapenzi kuwa aina ya pepo INCUBUS wa kiume hummiliki mwanamke hadi kushindwa kutamani mapenzi na binadamu wa kawaida,mwanamke huota ndoto akifanya mapenzi na watu au wanyama,na mwanaume pia kukosa kuwatamani wanawake naye hujiwa na ndoto akifanya mapenzi nahuamka amelowa.

DR JIDONGEJA  MTAALAM WA TIBA ASILI ANAKUBALIANA NA TAFITI HIZI NA ANAKIRI KUWA WATU WENGI WENYE MATTIZO HAYA ANAWATIBU.

 PIA HUTOA TIBA ZA KISAIKOLOJIA ZA KUKUZA MVUTO KWA MTU KUPENDWA.ANAPATIKANA DAR ES SALAAM NA HUDUMA UNALETEWA POPOTE. SIMU NO 0758078280.

Benki ya Dunia yaikopesha Tanzania Bilioni 336

0
0
Benki ya Dunia (WB) imeipatia Tanzania mkopo wa Dola za Marekani 150 milioni sawa na Sh336 bilioni kwa ajili ya kusaidia uhifadhi wa mazingira na kukuza utalii wa asili katika maeneo ya mikoa ya kusini mwa nchi.

Fedha hiyo ilitolewa na Shirika la maendeleo la kimataifa la benki hiyo (IDA) kupitia mradi wa uhifadhi wa mazingira kwa ajili ya utalii (REGROW) baada ya kuidhinishwa wiki iliyopita.

Fungu hilo litakalotumika kwa miaka sita, kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana, litazinufaisha kiuchumi kaya takriban 40,000 zilizopo katika hifadhi kwa kuwa kutajengwa miundombinu na fursa mpya za kiuchumi kwa lengo la kuongeza usimamizi wa hifadhi za asili.

Mpango huo una lenga kukuza uhifadhi wa mapori ya Taifa, mbuga, maporomoko ya mto Ruaha na kupunguza mwingiliano wa kimakazi kati ya binadamu na wanyama pori.

Maeneo yatakayohusika na mpango huo ni Mbuga za Katavi, Kitulo, Mahale, milima ya Udzungwa, Mikumi na Ruaha, Pori la Selous, Mito inayopitiwa na bonde la ufa (Nyansa na Tanganyika) .

Kuhusu Mpango huo, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia wa nchi za Tanzania, Malawi, Somalia na Burundi, Bella Bird alisema utalii ni eneo muhimu kwa maendeleo ambalo linaweza kuongeza ukuaji wa uchumi wa Tanzania kwa asilimia 10 ya pato la Taifa (GDP) kwa hesabu za mwaka 2015.

“Nchi hii imejaliwa wanyama wengi na vivutio vya asili lakini vinavyotambuliwa na kujulikana zaidi ni vile vya maeneo ya Kaskazini mwa nchi. Kuanza kuyajali maeneo haya ya kusini kutaongeza idadi ya watalii, hivyo kuongeza faida za kiuchumi,” alisema Bird.

Alisema Tanzania imefanikiwa kuongeza idadi kubwa ya watalii ndani ya muda mfupi kutoka watalii 500,000 kwa mwaka 2000 hadi watalii zaidi ya milioni moja kutokana na kuvitangaza vivutio vyake.

“Ukaichilia mbali sifa ya kutunza vivutio, Serikali inapata mapato na sekta hii hutoa ajira nyingi, mpaka sasa Tanzania ni zaidi ya watu 400,000 walioajiriwa katika sekta hiyo,” alisema Bird.

Kwa upande wake mtaalamu wa mazingira wa Regrow, Daniel Mira alisema endapo eneo hilo la kusini litafanywa kuwa maalumu kwa vivutio Tanzania itakuwa imejiimarisha katika utalii.

“Hata mapato yatakayokuwa yakipatikana yatakuwa na uwezo wa kuendeleza vivutio vya kipekee jambo ambalo litalifanya eneo hilo kuwa kitovu cha ukuaji wa kikanda na la mfano,” alisema Mira.

Rais Magufuli azungumzia Ndege za Bombardier Ikiwemo Iliyoshikiliwa Canada

0
0
Rais John Pombe Magufuli amefunguka na kuzungumzia juu ya ndege za Tanzania sita zilizonunuliwa na serikali ikiwepo Bombardier Q 400-Dash ambayo inashikiliwa nchini Canada na kusema ndege hizo zitawasili nchini mwakani 2018.

Rais Magufuli amesema hayo alipokuwa kwenye Mkutano wa 33 wa Jumuiya Ya Tawala za Mitaa (ALAT) ambao uliofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam, Rais Magufuli amesisitiza kuwa Tanzania inakosa watalii wengi kutokana na kukosa ndege.

"Tumenunua ndege sita ndege mbili zimeshawasili Tanzania, lakini ndege zingine ikiwepo Bombardier zitawasilia mwakani 2018 mwanzoni. Tunafanya haya kwa ajili ya kutengeneza Tanzania mpya, nchi ambazo zina ndege zake idadi ya watalii wanaoingia kwenye nchi hiyo ni kubwa zaidi, nchi yetu ni ya pili kwa kuwa na vivutio vingi duniani lakini idadi ya watalii wanaoingia ni ndogo kutokana na kukosa ndege zetu" alisema Rais Magufuli

Serikali ilikiri ndege mpya aina ya Bombardier Q-400 Dash 8 iliyonunuliwa na serikali ambayo ilipaswa kuingia nchini toka mwezi Julai lakini ikashindikana kufika kutokana na kudaiwa na kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd iliyozuia ndege aina ya bombardier Q400-Dash 8 iliyonunuliwa na Tanzania nchini Canada.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Rais Magufuli Kuwafukuza Kazi Wakurugenzi Walevi

0
0
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameahidi kuwafukuza kazi Wakurugenzi wa halmashauri wanne kwa ulevi wa pombe pindi wawapo makazini.

Rais Magufuli amesema hayo alipokuwa kwenye Mkutano wa 33 wa Jumuiya Ya Tawala za Mitaa (ALAT) ambao uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam na kusema amepata taarifa kuwa wapo Wakurugenzi kadhaa ambaio ni walevi na kudai wasipobadilika ndani ya muda mfupi atawafukuza kazi.

"Nimepata taarifa ya Wakurugenzi kama wawili watatu hivi ni walevi sana, nawaambia hao wataondoka kama upo hapa Mkurugenzi halafu ni mlevi ukajirekebishe haraka sana, kabla sijaja huko ili angalau uonekane umebadilika" alisema Rais Magufuli.

Mbali na hilo Rais Magufuli aliwataka viongozi hao kwenda kumaliza migogoro mbalimbali ndani ya halmashauri zao na mivutano isiyokuwa na msingi na kusema kuwa vyama vya siasa si adui bali adui wa kwanza wa serikali yake ni watu wanaokuja kuiba maliasili za Tanzania.

"Haipendezi kuwa na makundi, muyamalize makundu hayo kwenye manispaa, tunajenga nyumba moja adui yetu siyo vyama tunachelewa sana, adui yetu ni wale wanaotuibia nasema mkamalize hayo makundi huko, najua tofauti lazima zitakuwepo lakini kwenye masuala ya kazi lazima tushikamane kwa maslahi ya Watanzania, mkawaimize Watanzania kufanya mambo ya maendeleo" alisisitiza Rais Magufuli

Makamu wa Rais Azindua makumbusho ya Olduvai Gorge

0
0
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amezindua makumbusho ya Olduvai Gorge, ambako ni chimbuko la historia ya binadamu.

Amesema makumbusho hayo ni kielelezo cha maisha na ustaarabu wa binadamu ambao unaelezea maisha ya vizazi vilivyopita.

“Makumbusho haya pia yatasaidia kujua sisi ni nani na tumetoka wapi,” amesema.

Amesema ujenzi wa makumbusho hayo utasaidia kuvutia watalii na wanasayansi wa masuala ya mambo kale duniani.

Samia amesema eneo la Ngorongoro lina historia kubwa ya maisha ya zamadamu ikibainika miaka 3 milioni iliyopita walikuwepo walioishi kwa kutembelea miguu miwili.

Amesema eneo la Ngorongoro kumebainika miaka 2.7 milioni iliyopita binadamu walianza kutumia zana za mawe katika kula nyama na kuwinda.

“Hapa ni chimbuko la historia ya zamadamu, Serikali itaendelea kulihifadhi na kulitunza eneo hili,” amesema.

Makamu wa Rais ameishukuru Jumuiya ya Ulaya kwa kutoa fedha kugharimia ujenzi wa makumbusho hayo na miundombinu yake.

Makamu wa Rais ameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuwa na mkakati wa kutangaza makumbusho hayo ndani na nje ya nchi ili kuvutia zaidi watalii.

Pia, amewaomba wananchi wa Ngorongoro kuendelea kuhifadhi eneo hilo ikiwemo kutopeleka mifugo eneo la Creta. Amesema Serikali inajitahidi kuwaondolea kero zao likiwemo tatizo la maji.

Awali, Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe alisema eneo la Ngorongoro ni la urithi wa dunia, hivyo wizara kwa kushirikiana na mamlaka wataendelea kulihifadhi na kulitunza.

Naibu Mhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, anayeshughulikia huduma za jamii, Asangye Bangu amesema ujenzi wa makumbusho hayo utasaidia kuongeza watalii.

Ametoa wito kwa mawakala wa utalii kuwapeleka watalii eneo la Olduvai Gorge  ili kuongeza mapato kwa manufaa ya Taifa.

Meneja wa idara ya urithi wa tamaduni katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Mhandisi Joseph Mwankunda amesema ujenzi wa eneo hilo umegharimu Sh1.7 bilioni.

Amesema makumbusho hayo ni ya kisasa zaidi duniani na wanatarajia yatadumu kwa zaidi ya miaka 50.

Meneja miradi katika Jumuiya ya Ulaya, Alexa Haden amesema jumuiya ya Ulaya imetoa fedha katika mradi huo kutokana na kuthamini mchango wa mambo ya kale.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mbunge wa Ngorongoro, William ole Nasha ameomba mafanikio ya mradi huo kugusa maisha ya wananchi wanaoishi ndani ya mamlaka hiyo wanaokabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo upungufu wa maji.

Katibu mkuu Wizara ya viwanda na biashara astaafu

0
0
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji anayeshughulikia maendeleo ya viwanda, Dk Adelhelm Meru amestaafu utumishi wa umma huku akiwataka watumishi wa wizara hiyo wasameheane.

“Kwa kipindi tulichokuwa pamoja kuna mengi tuliyakamilisha. Naomba tusameheane tulipokosana kwa sababu hakuna mkamilifu,” alisema Dk Meru ambaye anatarajia kujielekeza kwenye ujasiriamali muda mfupi ujao.

Dk Meru aliteuliwa na Rais John Magufuli kushika nafasi hiyo Desemba 2015 kabla hajastaafu wiki iliyopita kuhitimisha miaka 37 ya utumishi wake.

Licha ya wizara hiyo yenye makatibu wakuu wawili ambayo sasa itabakiwa na mmoja, Wizara ya Nishati na Madini imebakiwa na naibu baada ya aliyekuwa katibu mkuu wake, Profesa Justin Ntalikwa kutumbuliwa mwishoni mwa Machi na nafasi yake kubaki wazi mpaka sasa.

Akizungumza kwenye hafla ya kumuaga, Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage alimpongeza kwa kumaliza salama utumishi wa umma na kumsifu kwa umahiri wake katika kutekeleza sera ya maendeleo ya viwanda. “Ulikuwa mstari wa mbele kubuni mbinu na mikakati ya kuharakisha ujenzi wa viwanda nchini,” alisema Mwijage.

Dk Meru aliwashukuru wafanyakazi wa wizara hiyo kwa ushirikiano waliompa na kuwaomba waendelee nao kwa watendaji wengine katika kuijenga Tanzania ya viwanda.

Kustaafu kwa Dk Meru ambaye alikuwa mkurugenzi mkuu wa kwanza Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji (EPZA) kunaongeza nafasi za watendaji ambao Rais Magufuli anapaswa kuzijaza. Nafasi nyingine zilizo wazi kwa sasa ni ile ya waziri na katibu mkuu wa nishati na madini.

Je,una Upungufu Wa Nguvu Zakiume,kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa,kufika Kileleni Mapema Na Kushindwa Kurudia ????

0
0
Tatizo la kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya kiume husababishwa na mambo mengi kama,KISUKARI,NGIRI,CHANGO,TUMBO KUUNGURUMA,MAUMIVU YA KIUNO,UNENE KUPITA KIASI,KUJICHUA nk.

Upungufu wa nguvu za kiume husababisha tendo la ndoa kutofanyika kwa kujiami nakwa usahihi nahivyo husababisha ndoa, mahusiano mengi kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI,
1 KUKOSA HAMU YA TENDOL LA NDOA 
2 UUME KISIMAMA KWA KULEGEA 
3 KUWAHI KUFIKA KILELENI 
4 KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA WAKATI 
5 KUCHOKA SANA BAADA YA ROUND YAKWANZA NAKUKINAI TENDO LA NDOA KABISA.

TUMIA 3 POWER KWA TATIZO LA UKOSEFU(UPUNGUFU)WA NGUVU ZA KIUME NAHAMU YA TENDO LA NDOA.FINA HUBORESHA MAUMBILE YA KIUME KWA KUNENEPESHA KWA SAIZI UIPENDAYO HAIJARISHI UMRI.

PIA KUNA DAWA ZA KURUDISHA MPENZI KWA MUDA MFUPI SANA NAZAKUPATA KAZI,KESI,KUDHULUMIWA,NK 

WASILIANA NA SHEIKH OMARY AKUTATULIE MATATIZO YAKO HATA KAMA UMEHANGAIKA SANA PASIPO MAFANIKIO 

Pia sheikh omary anatibu busha bila opresheni,kisukari,ngiri,presha vidonda vya tumbo,korodani kuvimba,na anatoa dagu za utajiri kwa wanaohitaji bila masharti yoyote magumu.ANAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM,NAUTALETEWA POPOTE ULIPO.

 SIMU; NO 0767145357/0629034550.

Pata Tiba ya Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Mwenge wamtia matatani mkurugenzi wa halmashauri Tanga

0
0
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigella amempa siku mbili Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, Kazimbaya Makwega kuhakikisha anawasilisha taarifa ya ujenzi wa darasa la Shule ya Msingi Mkundiambaru.

Hatua hiyo inatokana na kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kukataa kulizindua baada ya kubainika limejengwa chini ya kiwango.
 
Agizo hilo amelitoa leo Jumanne katika Uwanja wa Ndege wa Tanga baada ya kiongozi huyo wa mbio za Mwenge, Amour Hamad Amour kueleza akiwa wilayani Lushoto Septemba 22 aligoma kuzindua darasa hilo kutokana na kuwepo dosari kuu tatu.
 
Akizungumza wakati akiwaaga viongozi wa Mkoa wa Tanga kuelekea Kusini Pemba leo, Amour amezitaja dosari hizo kuwa ni darasa dogo lisilokidhi vigezo, lina nyufa na limeezekwa kwa mabati ya geji 32 badala ya 28 zinazotakiwa kwenye majengo ya Serikali.
 
“Tukiwa Lushoto nilimwagiza kabla ya kuondoka Tanga leo awe ameniletea Bill of Quantities –BOQ (mchanganuo wa makadirio ya kazi) na hati ya ununuzi wa vifaa vya mradi lakini nasikitika kuwa hajaleta. Kwa hiyo, nampa siku nne awe ametuletea Pemba ili tuweze kupeleka taarifa kwa viongozi wetu,” amesema Amour.
 
Darasa hilo lilipangwa kuzinduliwa wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru wilayani Lushoto.
 
Makwega katika taarifa baada ya Amour kugoma kulizidua jengo hilo alieleza  lilijengwa kwa nguvu za wananchi waliotumia Sh7 milioni badala ya Sh11 milioni zilizohitajika.
 
Kuhusu mabati alisema yameezekwa ya muda na kwamba, uongozi wa halmashauri umepanga kuyaondoa na kuezeka mengine.

Majibu hayo hayakumridhisha Amour aliyemuagiza kuwasilisha BOQ na hati ya ununuzi wa vifaa vya mradi huo kabla Mwenge haujakabidhiwa Kisiwani Pemba.
 
“Hadi leo tumepita mikoa 26, mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto ndiye aliyetukwaza, tulimwagiza kabla hatujatoka Tanga awe ameleta taarifa ya darasa hilo lakini hadi sasa Oktoba 3 hatujamuona. Tunakuomba RC mweleze kuwa awe ameleta ndani ya siku nne tutakazokuwa Pemba,” amesema Amour.
 
Mkuu wa mkoa, Shigella amesema atahakikisha taarifa hiyo inawasilishwa kwa kiongozi huyo kesho Jumatano.
 
“Wewe umetoa siku nne, mimi namwagiza kesho awe ameshawasilisha taarifa hiyo,” amesema Shigella.

Afikishwa Mahakamani Kwa Kuandika Uongo Kuhusu Mazungumzo kati ya Tanzania na Kampuni ya Acacia

0
0
Mkazi wa Chato mkoani Geita, Obadia Kiko (41), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kusambaza taarifa za uongo kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook kuhusu mazungumzo kati ya Serikali na wawakilishi wa kampuni ya Acacia.

Wakili wa Serikali, Leonard Challo amedai mahakamani kuwa Agosti 3, 2017 huko Chato Geita mshtakiwa huyo alifanya kosa hilo kupitia mtandao huo wa kijamii wa Facebook.

Challo ametoa madai hayo leo Jumanne mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri. Mshtakiwa huyo anadaiwa kusambaza maneno kuwa "Taarifa kutoka  kikao cha mazungumzo kati ya Serikali na wawakilishi wa kampuni ya Acacia kuwa wanasheria wa upande wetu wanashindwa kutafsiri baadhi ya vifungu vya sheria hadi kufikia kuomba msaada kwa wanasheria wa Acacia sasa huoni hivi ni vituko mwizi anakusaidia sheria haahaa haha."

Inadaiwa aliendelea kusambaza maneno kuwa, "mazungumzo bado yanaendelea lakini wanasheria wetu wamebanwa sana ukizingatia wale jamaa wana vielelezo vyote vya mikataba kiukweli tumuombe Mungu maana Serikali ikitaka kuvunja mkataba na Acacia gharama kubwa zitatuusu."

"Lakini pia kuendeleza uvyama utatugharimu saana, baada ya mh. Rais Magufuli angewashirikisha mawakili wasomi waliokwishaiva wakili Lissu, wakili Kibatara na Fatma Karume kwenye mambo ya umuhimu kama haya yeye kaleta uchama sasa itatugharimu .// Dicteta Magufuli mist go" . Maneno hayo yanadaiwa kusambazwa na mshtakiwa huyo kupitia mtandao huo wa kijamii wa Facebook.

Wakili Challo amedai kuwa maneno hayo yalikuwa na lengo la kupotosha umma.

Baada ya kusomewa shtaka hilo, mshtakiwa huyo alikana na upande wa mashtaka ukadai kuwa upelelezi bado haujakamilika.

Kwa upande wa Wakili Peter Kibatala anayemtetea mshtakiwa huyo aliomba mteja wake apatiwe dhamana na kwa masharti nafuu.

Wakili Challo alieleza kuwa hana pingamizi la dhamana.

Hakimu Mashauri alimtaka mshtakiwa huyo kuwa na wadhamini wawili wanaoamika ambao kila mmoja atasaini bondi ya Sh 5 milioni.

Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 16, 2017. Hata hivyo mshtakiwa huyo hakuwa na wadhamini.

Rais awataka madiwani Wanaotaka Kuongezewa Posho Wajiuzulu

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amewataka madiwani wasio na shughuli ya kuwaingizia pesa binafsi kujiuzulu, kwani serikali yake haiwezi kuwaongezea posho wanayohitaji.

Akizungumza kwenye uzinduzi wa mkutano wa 33 wa Jumuiya Ya Tawala za Mitaa (ALAT) uliofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar es salaam, amesema kwamba Madiwani hao walifahamu masharti ya kugombea nafasi hiyo, hivyo kama wameshindwa kuyatimiza ni vyema wakajiuzulu.

“Ndio maana diwani masharti tunapojaza fomu tunaambiwa lazima uwe na kazi maalum inayokupa kipato, sasa kama wapo madiwani waliojaza hiyo nafasi na hawana kazi ya kuwapa kipato, wajiuzulu udiwani”, amesema Rais Magufuli.

Leo katika hotuba iliyowasilishwa kwa Rais Magufuli ikisomwa na Mwenyekiti wa Jumuiya Ya Tawala za Mitaa (ALAT) Bwana Gulam Mkadam, waliomba kuongezewa posho za madiwani, kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 800,000 jambo ambalo Rais amelipinga.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Octoba 4

Nassari: Maisha Yangu Yapo Hatarini

0
0
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki (CHADEMA) Joshua Nassari amefunguka na kusema maisha yake yapo hatarini na kudai kuwa watu ambao amewaanika kwenye sakata la ununuzi wa madiwani wanamtafuta.

Nassari amesema hayo ikiwa imepita siku moja toka alipokwenda kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kupeleka ushahidi wake juu ya madiwani wa CHADEMA waliohama chama kwa kuhongwa rushwa na wateule wa Rais John Pombe Magufuli.

"Maisha yangu yapo kwenye bonde la uvuli wa mauti, Maisha yangu yapo hatarini kwani Watesi wetu wananitafuta" aliandika Nassari kupitia ukurasa wake wa facebook

Mbali na hilo wachangiaji mbalimbali kwenye ukurasa wa Mbunge huyo walimtaka azidi kumuomba Mungu huku wakimshauri kuongeza ulinzi zaidi katika maisha yake ya kila siku kutokana na jambo ambalo ameliibua na kumtaka aendelee kupambana, baadhi ya wachangiaji wengine wamedai kuwa anachofanya ni njia ya kujitafutia umaarufu kisiasa. 

Juzi  Mbunge Joshua Nassari, Godbless Lema pamoja na Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa walikwenda kwenye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na kupeleka ushahidi wao juu ya sakata la kununuliwa kwa madiwani wa CHADEMA na kuhongwa fedha na ahadi mbalimbali kutoka kwa wateule wa Rais mkoani Arusha.

Rais Magufuli: Makonda Kwangu Ni Msomi Mzuri

0
0
Rais, Dkt. John Pombe Magufuli amesisitiza kuwa hakuja kuuza sura bali kufanya kazi na kwamba mke wake akimpenda inatosha kwake.

Rais Magufuli amesema hayo jana  alipokuwa akihutubia Mkutano Mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) na kudai kuwa mkutano huo ni muhimu sana kwake kwakuwa Serikali za Mitaa ziko karibu zaidi na wananchi.

Alisema watu wengi waliokuwa wananufaika na rasilimali za nchi hawawezi kumpenda hata kidogo kwa mambo anayoyafanya lakini mke wake anatosha kabisa kumpenda kwani hakuja kuuza sura.

Akitolea mfano wa rasilimali za nchi, Rais Magufuli alisema hakuna nchi ambayo mnaweza kuona rasilimali zenu zinachukuliwa halafu mnaacha na kushangilia.

Alisema ndio maana kwenye Tanzanite wameamua kujenga uzio utakaogharimu sio zaidi ya shilingi bilioni sita (6).

Ndani ya siku chache tu baada ya ujenzi wa ukuta kuanza, uzalishaji wa Tanzanite umeongezeka takriban mara 30 zaidi na kwamba kuna siku itapatikana zaidi ya kilo 18 za Tanzanite, kiwango ambacho hakijawahi kutokea hapo awali.

Alisema katika mikataba ya madini, unakuta kabisa imeandikwa ‘hawa watu wasilipe ushuru’ na ni Mtanzania ametia saini.

“Mimi ndiye Rais na ninajua siri zote za nchi hii, ni kuguswa tu na Roho Mtakatifu hadi kushindwa kuwataja, na nikizungumza hivi waliokuwa wananufaika hawawezi kunipenda,”  alisema.

Aidha, amemsifu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa mambo makubwa anayofanya ikiwemo vita dhidi ya madawa ya kulevya.

“RC Dar alipojaaribu kupambana na vita ya madawa ya kulevya ikawa kubwa kwake, na wanasema hajasoma, mimi hata kama hajui A lakini anakamata madawa ya kulevya, kwangu ni msomi mzuri,” amesema.

Rais Magufuli alimuagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuwaambia wakuu wengine wa mikoa kuiga mfano wa Makonda ambaye anasikia ameweza kukusanya Milioni 186.

“Nasikia Mhe. Makonda umekusanya Milioni 186 na ninamuona anavyohangaika, Waziri Mkuu kwanini viongozi wengine hawawezi kuiga kwa mwenzao?” amehoji Rais Magufuli.

Aliwapongeza ALAT kwa kuamua kuhamia Dodoma ambapo Waziri Mkuu ameshahamia na Makamu wa Rais amebakiza miezi 2 tu kuhamia, na yeye pia atahamia huko mwakani na kuonya kuwa sasa aje amuone mtu atakayebakia Dar es Salaam.

erikali Yatoa Onyo kwa Wafanyabiashara ya Mbolea

0
0
Wafanyabiashara wa mbolea nchini wametakiwa kuuza bidhaa hiyo kwa kufuata bei elekezi zilizotangazwa na Waziri wa Kilimo na Mifugo Dkt. Charles Tizeba , kwani lengo la serikali ni kuhakikisha wakulima wanapata mbolea ya uhakika na kwa be nafuu.

Agizo hilo limetolewa jana  Jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea TFRA Bw. Lazaro Kitandu, katika mahojiano aliyoyafanya na vyombo vya habari, kufuatia taarifa za kuwepo kwa wafanyabiashra wachache wanaotaka kuvuruga nia hiyo nzuri ya serikali kwa kuanza ulanguzi wa mbolea

Aidha, Bw. Kitandu alitaja sababu ya kuwa na bei elekezi ya mbolea kuwa ni kukuza kilimo na kuongeza mavuno ya mazao ambayo ndio malighafi kuu inayohitajika wakati huu ambapo serikali inatekeleza mipango ya ukuaji wa viwanda, kama msingi mkuu wa kufikia malengo ya kuwa taifa la uchumi wa kati ifikapo mwaka 2015.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images