Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mwenyekiti Awapongeza Wananchi Kwa Kuwachoma Moto Wezi wa Pikipiki

$
0
0

Vijana wawili wanaosadikiwa kuwa wanajihususha na kuwateka waendesha bodaboda Mkoani Tabora wameuawa na wananchi wenye hasira baada ya mwendesha pikipiki kupiga kelele akiomba msaada alipokuwa amekabwa na wezi hao kwa lengo la kumpora pikipiki yake.

Kamanda wa Polisi Mkoani Tabora, Kamishina Msaidizi Mwandamizi Willibrod Mtafungwa amemtaja kijana aliyekuwa amekodiwa na vijana hao na kuwabeba kwa mtindo wa mshikaki, kwa jina la Haruna Bungala ambaye alikodiwa majira ya saa nne eneo la shule ya msingi Kitete ambapo walimpeleka kata ya Malolo na kuanza kumkaba.

Aidha kijana huyo Bungara ambaye  alijeruhiwa kwa kitu chenye ncha kali kwenye shavu la kushoto amesema kuwa kama si kupiga kelele alikuwa anauawa na waporaji hao lakini wananchi walijitokeza na kuanza kutoa adhabu hadi kifo na kuchomwa moto,

Kwa upande wa  Mwenyekiti wa waendesha bodaboda amewapongeza wanachi kwa kutekeleza adhabu hiyo dhidi ya waporaji hao.

Kingwangala Aiagiza TAKUKURU Kuwakamata Waliotafuna Fedha za Ujenzi

$
0
0
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwakamata watu wote waliohusika kuchakachua fedha za ujenzi wa jengo la Zahanati ya Neruma.

Dk. Kigwangalla ametoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara yake ya kuimalisha sekta ya afya wilayani Bunda Mkoani Mara ambapo aliweza kukagua jengo  jengo la Zahanati ya Neruma,iliyopo Kata ya Neruma Wilayani Bunda, Mkoani Mara na kubaini milioni 29 fedha za ujenzi zikiwa zimechakachuliwa.

Akizungumza Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Isaack Mahela alimweleza Naibu Waziri kuwa, ujenzi wa jengo hilo umegharimu jumla ya milioni 29 kwa ajili ya kupanua na kuweka fremu za milango pamoja na madirisha, kitu ambacho kimeonekana hakiendani na uhalisia wa fedha hizo.

"Nakuagiza Mkurugenzi, uhakikishe unawasilisha nyaraka zote za fedha za jengo hili kwa TAKUKURU na wale wote waliohusika kupitisha fedha hizo na uwakabidhi TAKUKURU ili wafanye uchunguzi na kuchukua hatua zichukuliwe", amesema Dkt. Kigwangalla.

Dk. Kigwangalla amesema kuwa taifa linataka kusonga mbele hivyo watu wanaokwamisha mchakato wa Rais wa kuwaletea maendeleo wananchi wake lazima wachukuliwe hatua ili watu wengine waogope kutafuna fedha za umma.

Jengo hilo ambalo pia limeonekana kuwa chini ya kiwango katika maeneo kuta zake, mchakato wa ujenzi wa jengo ulianza tokea  mwaka 2015 kwa nguvu za wananchi na baadae Halmashauri ilitenga fedha za kumalizia mchakato kiasi cha milioni 29, ambazo zimebainika kutafunwa na watendaji waliokuwa wanashughulikia zoezi hilo.

Takukuru yawafungulia mlango Lema, Nassari

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewakaribisha wabunge wa Chadema, Godbless Lema (Arusha Mjini) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) kuwasilisha ushahidi wao kuhusu tuhuma za rushwa kwa madiwani waliokihama chama hicho hivi karibuni.

Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Valentino Mlowola amesema kuwa ofisi hiyo inawasubiri wabunge hao kuwasilisha ushahidi wao ili waufanyie kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu.

“Bado hawajatuletea ushahidi wowote lakini tunasubiri watuletee. Hakuna shida, maadam wamesema hivyo, tunawakaribisha,” Mlowola anakaririwa na Mwananchi.

Nassari na Lema walieleza kuwa wanao ushahidi wa picha na video kuwa madiwani wa Arusha ambao walihama chama hicho hivi karibuni na kujiunga na CCM, waliotangazwa wakati wa tukio la Rais John Magufuli kutunuku kamisheni kwa maafisa wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) mkoani humo walipewa rushwa.

Hata hivyo, Madiwani hao walikana tuhuma za Nassari na Lema na kusisitiza kuwa walikihama chama hicho kutokana na kuvutiwa na utendaji wa Rais Magufuli. Waliwataka wabunge hao kuweka hadharani ushahidi walionao.

Tatizo La Kutokwa Na Ukurutu Kati Kati Ya Mapaja Na Harufu Mbaya Sehemu Za Siri

$
0
0
Una  tatizo  la  kutokwa  na  ukurutu   kati kati  ya  mapaja ?  Una tatizo  la  kutokwa  na  harufu  mbaya  sehemu  za  siri ? Kama  jibu lako  ni NDIO  basi  hii  ni  HABARI NJEMA  SANA  KWAKO.
 
Tunayo  dawa  ya  asili  kabisa  ambayo  inatibu  na  kumaliza  kabisa tatizo  la  kutokwa  na  ukurutu  kati  kati  ya  mapaja  pamoja  na harufu  mbaya  sehemu  za  siri.

Kupata  tiba  hii, fika  katika  duka  la  kuuza  dawa  za  asili  la NEEMA  HERBALIST. Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM, jirani  na  SHULE  YA MSINGI   UBUNGO  NATIONAL  HOUSING nyuma ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.
 
Kwa  wateja  wetu  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam, ambao  hawana nafasi  ya  kufika  dukani  kwetu  Ubungo, tunayo  huduma  ya kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )
 
Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa wa  Dar  Es  Salaam,
tunawasafirishia  dawa  kwa  usafiri  wa  ma bus  na  boti  kwa wateja  waliopo  Zanzibar.
 
Wasiliana  nasi kwa simu namba 0766 53 83 84.
Na  kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee  kila  siku kupitia  blogu  yetu.

Whatsapp Yafutwa China

$
0
0

Baada ya malalamiko ya muda mrefu ya serikali ya China juu ya mtandao wa ujumbe mfupi wenye kubeba mafaili ya Sauti, Picha na Video “WhatsApp” hatimaye imeuondoa rasmi nchini humo.

Imeripotiwa kuwa mtandao wa WhatsApp haupatikani nchini China kwa siku ya tatu sasa ambapo inadaiwa kuwa Mamlaka ya Mawasiliano nchini humo 'Observatory of Network Interference' (OONI) imefuta matumizi ya mtandao huo.

WhatsApp ambayo inamilikiwa na kampuni ya Facebook yenye makao yake makuu nchini Marekani imekuwa kwenye mgogoro na China ikilalamikia Serikali na mamlaka za usalama nchini humo kuingilia mawasiliano ya wateja wao kwa madai ya kufanya uchunguzi wa usalama wa taifa.

Hata hivyo kwa wageni wanaoingia nchini China huduma hiyo bado inapatikana kupitia SIM Card za mataifa yao hivyo inaonekana huduma hiyo imesitishwa kwa raia wa China pekee.

Mkurugenzi mtendaji wa Facebook Mark Zuckerberg bado hajatoa taarifa yoyote kuhusiana na hatua hiyo ambayo imechukuliwa na serikali ya China ambayo awali ilipinga matumizi ya mtandao wa Facebook nchini humo.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga apiga marufuku vigodoro

$
0
0
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga R.P.C Benedict Michael Wakulyamba, amepiga marufuku Vigodoro ndani ya jiji hilo kutokana na vitendo hivyo kuhamasisha uhalifu.

Akiongea ofisini kwake R.P.C Benedict amesema miongoni mwa viashiria vya uvunjivu wa amani ni Vigodoro, ambavyo vinatumika kukusanya vijana wenye umri mdogo wakijiandaa kufanya uhalifu.

“Miziki ya kigodoro ni miziki ambayo ukiangalia namna inavyochezwa na hata washiriki wake ni vijana ambao wanatumia kama sehemu ya maficho kwaajili ya kufanya uhalifu”, amesema R.P.C Benedict.

Hata hivyo Kamanda Benedict ameongeza kuwa hakutakuwa na ruhusa yoyote ya kufanya Vigodoro katika eneo lolote na wananchi wanatakiwa kulinda utamaduni kwa njia nzuri na sio miziki inayovunja maadili.

Tanzania Yajizolea Sifa katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa


Waziri Mkuu atoa maagizo kwa Wakuu wa Mikoa 11

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa mikoa 11 inayolima pamba nchini wahakikishe wanasimamia vizuri wakulima wa zao hilo ili kuongeza uzalishaji na kuwaletea tija wananchi.

Agizo hilo limetolewa Jumanne, Septemba 26, 2017 na Waziri Mkuu wakati akizungumza na wakuu hao wa mikoa kwenye kikao alichokitiisha mjini Dar es Salaam kujadili maendeleo ya zao hilo.

Kikao hicho ni muendelezo wa kikao alichokitiisha mjini Dodoma (Ijumaa, Septemba 8, 2017) kujadili mbinu za kufufua zao hilo.

Wakuu wa mikoa walioitwa kwenye kikao hicho ni kutoka mikoa ya Shinyanga, Singida, Kagera, Tabora, Morogoro, Mara, Mwanza, Simiyu, Katavi, Kigoma na Geita.

Waziri Mkuu amesema katika kipindi hiki ambacho msimu wa maandalizi ya kilimo cha pamba umeanza ni vema kwa Maofisa Kilimo na Wagani wakawasimamia wakulima kwa ukaribu ili wahakikishe wanafuata mbinu bora za kilimo.

Amesema iwapo wakulima watapata usimamizi mzuri kutoka kwa Maofisa Ugani waliopo kwenye maeneo yao kuanzia hatua za awali za utayarishaji wa mashamba yao itawasaidia katika kuongeza tija, kwenye uzalishaji wao.

“Serikali inawataka Maofisa Kilimo na Wagani wawasimamie wakulima kuanzia maandalizi ya shamba, kupanda, matumizi ya pembejeo na dawa, kuvuna na kutafuta masoko ili kilimo cha zao hilo kiweze kuwaongezea tija.”

Amesema Maafisa Kilimo wote walioko kwenye kila Halmashauri ni lazima wahusike kikamilifu katika kuwaelekeza wakulima namna ya kutumia mbinu bora za kilimo ili waweze kupata mazao mengi , hivyo kujikwamua kiuchumi.

Pia Waziri Mkuu amewaagiza Wakuu wa Vyuo vya Kilimo nchini wahakikisha wanakuwa na mashamba darasa yatakayotumika na wakulima na wanafunzi wao kujifunza mbinu bora za kilimo kwa vitendo.

Kikao hicho kilihudhuriwa na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dkt. Charles Tizeba; Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI; Bw. Suleiman Jafo, Makatibu Wakuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Kilimo, Mrajis wa Vyama vya Ushirika nchini, Dkt. Tito Haule na Mkurugenzi Uhamasishaji Mazao, Bw. Twahir Nzallawahe.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU.

Askofu Niwemugizi asema yuko tayari kuitwa mchochezi .......Atoa Ushauri Mzito kwa Rais Magufuli

$
0
0
Askofu wa Kanisa Katoliki Ngara, Severin Niwemugizi amesema yuko tayari kuitwa mchochezi endapo kundi la watetezi wa haki za binadamu watachukuliwa kama wachochezi.

Askofu Niwemugiza amesema yeye kama kiongozi wa dini anaongozwa na maadili, haki na ukweli hivyo hajali namna wengine watakavyomchukulia.

Akifungua mkutano wa asasi za kiraia uliolenga kujadili kuhusu Katiba Mpya leo Jumatano, Askofu Niwemugizi amesema imefika wakati nchi inahitaji kuwa na dira nzuri.

Amesema hakuna mtetezi wa haki za binadamu anayetaka nchi iingie kwenye machafuko kwani wote lengo lao ni kuchochea maendeleo, amani na utulivu.

Askofu Niwemugizi amesema kuanza kutokea kwa matukio ya kuteka watoto, vifo katika mazingira ya kutatanisha na ongezeko la watu wasiojulikana ni ishara mbaya.

"Hizi sio dalili nzuri kwa Taifa lenye afya njema. Ni vielelezo vyenye dira mbaya. Imefika wakati tukae kama Taifa tukubaliane kuwa tunataka dira njema ambayo ni Katiba."

Amesema anatambua jitihada anazofanya Rais John Magufuli katika kupambana na ufisadi na kutaka rasilimali ziwanufaishe wanyonge lakini ni muhimu juhudi hizo zilindwe na Katiba nzuri.

"Rais anafanya mengi mazuri na alipoanza kila mmoja aliona dalili za matumaini lakini juhudi hizo zinaweza zisiwe endelevu kama hakuna ulinzi wa Katiba,”

"Tunahitaji Katiba tena Katiba nzuri ambayo haitaruhusu kuchezewa na yeyote kwa maslahi au matakwa yake binafsi."

Amesema, "Namshauri Rais achunguze kwa makini yatakayozungumzwa kwenye mkutano huu,  ayaone kuwa yana nia njema na ayafanyie kazi."

Je,una Upungufu Wa Nguvu Zakiume,kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa,kufika Kileleni Mapema Na Kushindwa Kurudia ????

$
0
0
Tatizo la kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya kiume husababishwa na mambo mengi kama,KISUKARI,NGIRI,CHANGO,TUMBO KUUNGURUMA,MAUMIVU YA KIUNO,UNENE KUPITA KIASI,KUJICHUA nk.

Upungufu wa nguvu za kiume husababisha tendo la ndoa kutofanyika kwa kujiami nakwa usahihi nahivyo husababisha ndoa, mahusiano mengi kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI,
1 KUKOSA HAMU YA TENDOL LA NDOA 
2 UUME KISIMAMA KWA KULEGEA 
3 KUWAHI KUFIKA KILELENI 
4 KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA WAKATI 
5 KUCHOKA SANA BAADA YA ROUND YAKWANZA NAKUKINAI TENDO LA NDOA KABISA.

TUMIA 3 POWER KWA TATIZO LA UKOSEFU(UPUNGUFU)WA NGUVU ZA KIUME NAHAMU YA TENDO LA NDOA.FINA HUBORESHA MAUMBILE YA KIUME KWA KUNENEPESHA KWA SAIZI UIPENDAYO HAIJARISHI UMRI.

PIA KUNA DAWA ZA KURUDISHA MPENZI KWA MUDA MFUPI SANA NAZAKUPATA KAZI,KESI,KUDHULUMIWA,NK 

WASILIANA NA SHEIKH OMARY AKUTATULIE MATATIZO YAKO HATA KAMA UMEHANGAIKA SANA PASIPO MAFANIKIO 

Pia sheikh omary anatibu busha bila opresheni,kisukari,ngiri,presha vidonda vya tumbo,korodani kuvimba,na anatoa dagu za utajiri kwa wanaohitaji bila masharti yoyote magumu.ANAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM,NAUTALETEWA POPOTE ULIPO.

 SIMU; NO 0767145357/0629034550.

Pata Tiba ya Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

CHADEMA Yamtimua Katibu wake Moshi

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, kimezifuta barua walizoandikiwa madiwani sita wa Halmashauri ya Moshi, wakitakiwa kujieleza kwa usaliti.
 
Mbali na kufuta barua hizo zilizokuwa zimeandikwa na Katibu wa Chadema Wilaya ya Moshi, Emmanuel Mlaki chama hicho kimemsimamisha uongozi katibu huyo.
 
Madiwani hao akiwamo Mwenyekiti wa Halmashauri, Michael Kilawila walitakiwa kujieleza kwa madai ya usaliti kwa kumchagua makamu mwenyekiti wa halmashauri kutoka NCCR-Mageuzi.
 
Chadema na NCCR-Mageuzi ni vyama washirika katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unajumuisha pia CUF na NLD.
 
Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Chadema Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema imesema barua zilizoandikwa na Mlaki ni batili na ameagiza ziondolewe katika rekodi za chama hicho.
 
“Tunautangazia pia umma kuwa Emmanuel Mlaki amesimamishwa uongozi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake na tunautaka umma kusitisha mawasiliano rasmi ya chama kupitia kwake.”

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Kubenea afunguka, ni baada ya gazeti lake la Mwanahalisi kufungiwa

$
0
0
Kampuni ya Hali Halisi Publishers Limited (HHPL) inayomiliki magazeti ya Mwanahalisi, Mawio na Mseto imesema itafungua kesi mahakamani endapo Serikali haitaondoa zuio la kulifungia kwa miaka miwili Mwanahalisi.

Kampuni hiyo imesema endapo leo na kesho Serikali haitalifungulia gazeti hilo watafungua kesi na kuiomba Mahakama ifute zuio hilo na kudai fidia ya Sh41 milioni kwa kila chapisho tangu zuio lilipoanza kutekelezwa.

Septemba 19, Serikali ilitangaza kulifungia gazeti hilo ikisema hatua hiyo imefikiwa kutokana na mfululizo wa matukio ya ukiukwaji wa misingi na sheria za taaluma ya uandishi wa habari, kuandika habari za uchochezi na kuhatarisha usalama wa Taifa.

Mhariri Mtendaji wa Mwanahalisi, Saed Kubenea leo Jumatano katika mkutano na waandishi wa habari amesema gazeti hilo kwa miaka 12 tangu lianzishwe haliandiki upotoshaji bali ukweli.

Kubenea ambaye pia ni Mbunge wa Ubungo amesema kufungiwa kwa magazeti ya kampuni hiyo ni uonevu licha ya kukiri baadhi ya maonyo waliyopewa na Serikali.

Kubenea amesema habari zilizotumika kulifungia gazeti hilo ni za ukweli.

Nassari, Lema Wakubali Kupeleka Ushahidi wao TAKUKURU

$
0
0
Wabunge wa Chadema, Godbless Lema na Joshua Nassari wamesema watapeleka kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ushahidi kuhusu madiwani saba waliojiuzulu katika majimbo yao wanaowatuhumu kupokea rushwa ili kujiuzulu nafasi zao.

Lema ambaye ni mbunge wa Arusha Mjini, amesema leo Jumatano kuwa, wanashukuru Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Valentino Mlowola kuwakaribisha kupeleka ushahidi.

"Tunashukuru sana mkurugenzi mkuu wa Takukuru kutukaribisha, tutapeleka ushahidi wetu ofisini kwake na tunaamini atafanyia kazi tuhuma hizi," amesema.

Amesema mbunge mwenzake wa Arumeru Mashariki, Nassari ambaye madiwani watano katika jimbo lake wamejiuzulu amekwenda Nairobi nchini Kenya kuonana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ili kupata baraka zake kabla ya kwenda Takukuru.

"Nassari amekwenda Nairobi kuonana na Mwenyekiti Mbowe ili kumweleza tukio hili na akirudi tutakwenda naye moja kwa moja kwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Mlowola," amesema.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Septemba 28

Kigwangala Aiagiza TAKUKURU Kumkamata Tabibu kwa Kutafuna Milioni 2 za CHF

$
0
0

Naibu Waziri wa Afya, Dk Hamisi Kigwangalla ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kumkamata tabibu, Daniel Mtatiro wa kituo cha afya Kiagata anayetuhumiwa kula Sh2 milioni za Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).

Dk Kigwangalla aliye katika ziara mkoani Mara amekagua zahanati, vituo vya afya na hospitali ikiwa ni katika mpango wa kuboresha sekta ya afya.

Baada ya kufanya ziara katika kituo hicho cha afya, Dk Kigwangalla amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Butiama mkoani Mara, Simon Ngiliule kumsimamisha  kazi mara moja kutokana na tuhuma hizo.

Pia, ameiagiza Takukuru kumkamata tabibu huyo ili kuhojiwa na kuchukuliwa hatua. 

"Nakuagiza mkurugenzi msimamishe kazi Mtatiro na afikishwe Takukuru haraka sana. Huku ni kuhujumu mpango wa Serikali wa kuwaletea maendeleo kupitia afya matokeo yake mtu mmoja anachukua fedha za wananchi mwishowe wanakosa matibabu," alisema Dk Kigwangalla.          

Unasumbuliwa na Kiharusi,Ngiri au Kifafa?......Unatatizo la Nguvu za Kiume, Kuachika au Tatizo la Uzazi? . Kutana na Mtalaamu Huyu Akusaidie

$
0
0
SASA YUPO DAR;Anadawa ya kumvuta mpenzi wako popote alipo kwa masaa 6 tu na kumtuliza asitoke kwako

Je, unaugomvi usioisha na mpenzi wako na unaachwa mara kwa mara? Njoo upate dawa ufurahie penzi tulivu la umpendae.

Anadawa za nguvu za kiume, kuimarisha mishipa iliyolegea, kuongeza homoni na kukufanya udumu katika tendo hadi dakika 45 na unaweza kurudia tendo hata mara 4 bila kuchoka.

Anatibu Busha bila kupasua,uzazi, mshipa wa ngiri,kiharusi,kifafa,kuondoa majini machafu nakadhalika.

Mpigie kwa simu: 0755505099

Utetezi wa Serikali Kuhusu kesi ya mamlaka ya wakuu wa mikoa na wilaya Kuwaweka Watu Mahabusu kwa saa 48

$
0
0
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), amewasilisha utetezi dhidi ya kesi ya kupinga mamlaka ya wakuu wa mikoa na wa wilaya kuamuru watu kuwekwa ndani kwa saa 48, kama ilivyoagizwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

Pamoja na maelezo ya utetezi, Serikali pia imewasilisha pingamizi la awali dhidi ya kesi hiyo ikiiomba Mahakama  iitupilie mbali hata kabla ya kuisikiliza.

Kesi hiyo ya Kikatiba namba 16 ya mwaka 2017 imefunguliwa na mwanasheria wa kujitegemea, Jebra Kambole dhidi ya AG, akidai ni kutokana na kukithiri kwa matukio ya wakuu wa mikoa na wilaya kuamuru watu kuwekwa mahabusu kwa saa 48.

Mwanasheria huyo anahoji uhalali wa vifungu vya 7 na 15 vya Sheria ya Tawala za Mikoa Sura 97 ilivyorekebishwa mwaka 2002 vinavyowapa wakuu hao wa mikoa na wa wilaya mamlaka hayo, akidai vinatumiwa vibaya bila kujali mipaka, sababu, wala bila fursa ya kumsikiliza.

Kambole ambaye anawakilishwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), anaiomba Mahakama itamke kuwa vifungu hivyo vinakiuka haki za binadamu zinazotolewa na Katiba ya nchi.

Amezitaja haki zinazokiukwa kutokana na utekelezaji wa vifungu hivyo kuwa ni uhuru wa kujieleza, usawa mbele ya sheria, utu na haki ya mtu kuwe huru na kwenda mahali kokote atakako kinyume cha ibara za 12, 13(6)(a)(b)(e), 15 na  29 (1) za Katiba.

Hata hivyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika majibu yake amesema vifungu hivyo havikiuki haki hizo zinazotolewa na Katiba ya nchi bali vinaenda sambamba na Katiba.

Pia, ameweka pingamizi la awali akiiomba mahakama iitupilie mbali kesi hiyo.

Katika sababu zake za pingamizi la awali, anadai kesi hiyo haileweki na ni batili kisheria kwa kuwa inakiuka kifungu cha 4 na cha 8 cha Sheria ya Utekelezaji wa Wajibu na Haki za Msingi na kwamba haina maana na ni ya kuudhi.

Pia, anadai kiapo kinachounga mkono hati ya maombi ya faragha hakina mashiko kwa sababu  kinakiuka Amri XIX ya Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Madai.

Katika maelezo yake ya utetezi, pamoja na mambo mengine anadai vifungu hivyo vinatoa utaratibu mzuri kwa wakuu wa mikoa na wa wilaya wa kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria.

Anabainisha kuwa, vifungu hivyo vinawapa wakuu wa mikoa na wa wilaya mamlaka kwa mambo yanayohusu uvunjifu wa amani na utulivu kwa umma pale uvunjifu huo unapokuwa hauwezi kuzuiliwa kwa njia nyinginezo zaidi ya kumweka kizuizini mtu husika.

Anadai makosa yote yanachunguzwa, yanashtakiwa na kushughulikia kwa mujibu wa masharti ya Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Jinai, isipokuwa tu pale ambapo sheria inaelekeza vinginevyo.

AG anadai masuala yanayohusu dhamana chini ya Sheria ya Tawala za Mikoa yanaongozwa na Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Jinai.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images