Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Alichosema Mbunge Peter Msigwa wa CHADEMA baada ya serikali kusema ipo tayari kumlipia Tundu Lissu gharama za matibabu

$
0
0
Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya (CHADEMA) Peter Msigwa amefunguka na kutoa kauli yake baada ya serikali kusema ipo tayari kulipia gharama za matibabu ya Tundu Lissu popote duniani na kusema huo ni utani wa serikali ya awamu ya tano.

Mbunge Msigwa alitoa kauli hiyo muda mfupi baada  ya  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kusema kuwa serikali ipo tayari kulipia gharama za matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu popote duniani baada ya kupata maombi kutoka kwa familia ya Tundu Lissu na kama ripoti ya madaktari itaonyesha kuna ulazima kiongozi huyo kupatiwa matibabu zaidi basi serikali itasimamia jambo hilo.

Kutokana na kauli hiyo Msigwa amedai huo ni utani wa serikali "Huu ni utani wa serikali ya awamu ya tano" alisema Peter Msigwa

Mbali na hilo Mbunge Peter Msigwa  alisema kuwa wao wanatambua thamani na umuhimu wa Tundu Lissu na kusema kuwa wapo tayari kuuza vitu vyao mbalimbali ili kuhakikisha kuwa kiongozi huyo anapata matibabu na kurejea nchini akiwa salama.

Wanasheria Uingereza Wamwandikia Barua Rais Magufuli Sakata la Tundu Lissu

$
0
0
Taasisi tatu za juu za wanasheria za Uingereza zimeungana na kumwandikia barua ya wazi Rais John Magufuli zikiomba mamlaka kufanya uchunguzi wa kina juu ya tukio la kupigwa risasi kwa Lissu na kumfutia kesi zote zinazomkabili ambazo zimekosa ushahidi wa kutosha.

Barua hiyo imeandikwa juzi na kusainiwa na vigogo wa Chama cha Mawakili Uingereza (LS), Kamati ya Haki za Binadamu ya Wanasheria Uingereza (BHRC) na Baraza la Wanasheria (BC).

Vigogo hao, Rais wa LS, Joe Egan; Mwenyekiti wa BHRC Andrew Langdon na Mwenyekiti wa BC, Kirsty Brimelow wamesema wanaguswa na matukio yanayoendelea dhidi ya Lissu ikiwamo ya matukio ya kukamatwa na polisi na kufunguliwa mashtaka mara kwa mara huku pia ikiorodhesha matukio mengine ya kihalifu yaliyowakumba wanasheria wengine likiwamo la kulipuliwa ofisi ya kampuni ya uwakili ya Immma ya jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Pia, wamesema wameguswa na vitisho dhidi ya TLS kikiwemo cha kukifuta chama hicho kilichotolewa na Dk Harisson Mwakyembe mapema Februari wakati akiwa Waziri wa Katiba na Sheria iwapo ingeendelea kujihusisha na “uanaharakati wa kisiasa.”

Kutokana na mwenendo wa matukio hayo, barua hiyo inaomba ufanyike uchunguzi wa kina na huru utakaoibua ukweli juu ya kupigwa risasi kwa Lissu na matukio mengine ya uhalifu yaliyowakumba wanataaluma wengine wa sheria na kuwachukulia hatua wote wanaohusika kwa mujibu wa sheria na taratibu za kimataifa.

“Tunazisihi mamlaka kumfutia mashtaka yote yanayomkabili Lissu vinginevyo kuwe na ushahidi wa kutosha na uwe wa wazi na kuwe na fursa ya kukata rufaa,” inasomeka sehemu ya barua hiyo na kuongeza;

“Tunaisihi Tanzania kuheshimu matakwa ya kimataifa, iwalinde wanasheria ili kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao vyema bila vitisho, vikwazo, unyanyasaji wala kuingiliwa majukumu yao.”

==>Isome barua hiyo hapo chini

Trump aongeza vikwazo Korea Kaskazini, Kim Jong-un ajibu

$
0
0
Rais wa Marekani Donald Trump amesaini sheria mpya ya kuongeza vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini kutokana na mpango wake wa nyuklia, Trump pia amesema kuwa benki kuu nchini China imeagiza benki nyingine za China kuacha kufanya biashara na Korea Kaskazini.

Tayari waziri wa fedha wa Marekani ameidhinisha vikwazo hivyo dhidi ya makampuni ya fedha yanayofanya biashara zake ndani ya Korea Kaskazini.

Hatua hii inakuja katika kipindi cha chini ya wiki mbili baada ya umoja wa mataifa kuidhinisha vikwazo vipya dhidi ya taifa hilo kwasababu ya jaribilo lake la hivi karibuni la nyuklia.

Wakati hayo yakiendelea rais wa Korea Kaskazini Kim Jong-un amemuita Tramp mropokaji asiyefikiria na kwamba kauli anazotoa Trump zinamfanya ajione yuko sahihi kuendelea na mipango yake ya nyuklia.

Katika taarifa isiyo ya kawaida kupitia vyombo vya habari vya serikali kiongozi wa Korea Kaskazini alisema Trump atajutia hotuba yake ya hivi karibuni aliyoiotoa kwa Umoja wa Mataifa.

Hali ya wasi wasi imetanda katika kipindi cha wiki za hivi karibuni kutokana na hatua ya Korea Kaskazini kufanya majaribio ya makombora ya masafa marefu, licha ya shinikizo kutoka kwa mataifa tajiri zaidi duniani kuitaka iachane na majaribio hayo.

LIVE: Mwenyekiti Wa Chadema, Freeman Mbowe Akizungumzia Hali Ya Tundu Lissu

$
0
0
Mwenyekiti Wa Chadema, Freeman Mbowe Akizungumzia Hali Ya Tundu Lissu

Mbowe Aipinga Serikali Sakata la Kumsafirisha Tundu Lissu

$
0
0
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe, amesema Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu hatosafirishwa kwenda popote mpaka pale madaktari watakaporuhusu.

Mhe. Mbowe ameeleza hayo katika mkutano wake na waandishi wa habari ikiwa imepita siku moja tokea serikali ya Tanzania itoe kauli yake kuwa ipo tayari kumtibia Lissu popote pale duniani kupitia Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Ally Mwalimu.

"Tundu Lissu bado ni mgonjwa sana, hawezi kusafirishwa nje ama kutikiswa kwa njia yeyote katika kipindi hiki kwa hiyo mpango wowote wa kumuondoa hospitalini Nairobi kumpeleka nchi yeyote hautokuwepo kwa sasa mpaka hapo madaktari watakaporuhusu kulingana na hali yake", amesema Mbowe.

Pamoja na hayo, Mbowe ameendelea kwa kusema "Madaktari wametuhakikishia wana vifaa, dawa, utaalamu wa kukamilisha awamu ya pili ya matibabu ya Mhe. Lissu na yatafanyika hapo hapo katika hospitali ya Nairobi, Kama kutakuwa na ulazima katika hatua za baadae basi hizo zitafanyika kulingana na ushauri wa madaktari".

Aidha, Mbowe amesema wamelazimika kumuwekea ulinzi mkubwa Lissu katika hospitali aliyolazwa kutokana na kuhofia hali ya usalama iliyokuwa imetanda juu ya Mbunge huyo kutokana na shambulio alilofanyiwa na watu waliokosa utu.

"Nipende kusema tunawashukuru sana uongozi wa hospitali ya Nairobi, wenzetu walielewa hofu yetu na wametoa ulinzi wa ziada kwa ajili ya Mhe. Lissu masaa 24 ndani na nje. Kwa hiyo Lissu yupo chini ya uangalizi mkali sana na hili lilifanyika kutokana hofu iliyotanda na inayotanda kwa halali kabisa kwa sababu kuna watu walitaka kuondoa maisha ya Lissu lakini hawakuweza kufanikisha kazi yao, na hao watu hawana utu kabisa kwani tukiwapa nafasi hawatasita kukamilisha kazi yao", amesisitiza Mbowe.

Kwa upande mwingine, Mbowe amewataka wanachama wa chama hicho pamoja na watanzania kwa ujumla kutokuwa na hofu kuhusu Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu kwani madaktari wameshawahakikishia kuwa Lissu atapona na kurudi kuendelea katika harakati zake alizokuwa anazifanya kama awali.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Polisi Waendelea na Doria Mitandaoni

$
0
0
Licha ya kuwepo kwa sheria ya makosa ya mtandao, usambazaji wa taarifa za uongo mitandaoni umeendelea kuwa changamoto sugu.

Kutokana na hali hiyo, kitengo cha polisi cha makosa ya mtandao kinaendelea kufanya doria mitandaoni ili kuwabaini wahusika hao na wengine wa makosa ya mtandao.

Joshua Mwangasa, naibu mkuu wa kitengo hicho amesema hayo leo Ijumaa wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii.

Amesema kuna kesi nyingi za watu kusambaza taarifa za uongo kwa makusudi na wengine bila kufahamu kuwa ni kosa kisheria.

"Hatuingilii mawasiliano binafsi, sisi tunachunguza yale ambayo yanawafikia wanajamii, huko tunagundua wapo wanaofanya kwa makusudi na wengine hawafahamu kama ni kosa kisheria, lakini kutojua sheria si utetezi," amesema Mwangasa.

Mmiliki wa Blogu ya Fikra Pevu, Maxence Melo amesema waendeshaji wa blogu wanakabiliwa na changamoto ya watumiaji kutojua sheria.

"Wengi hawajui hizo sheria zilizopo, utakuta mtu anaandika maoni hadi unajiuliza alifikiria nini kuandika hiki, hii inatupa wakati mgumu kuanza kupitia maoni ya kila mmoja. Kama huna muda ndiyo unakuta vitu visivyofaa vinasomeka," amesema Melo.

Mbowe Amshukuru Mange Kimambi na Wema Sepetu Kwa Kuhamasisha Michango ya Tundu Lissu

$
0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amewashukuru Watanzania wanaoendelea kumchangia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akiwataja wanaoongoza katika kuhamasisha uchangiaji mitandaoni akiwamo Mange Kimambi na Wema Sepetu.

Mbowe amesema mpaka leo Ijumaa jumla ya Sh204 milioni zimepatikana katika michango hiyo pamoja na msaada wa hali ambao wamekuwa wakipewa na Watanzania.

“Tunawashukuru wanaoendelea kuchangisha, tunamshukuru Mange Kimambi kwa kuwahamasisha diaspora kuchangia na katika mitandao akishirikiana na Wema Sepetu na wengine,” alisema Mbowe.

Mange alianzisha kampeni ya kumchangia Lissu katika mtandao wa Gofundme akilenga kupata dola za Marekani  50,000 na mpaka kufikia leo saa 10.41 katika mtandao huo kiasi cha dola za Marekani 23,380 ilikuwa imepatikana ambayo ni wastani wa Sh51.3 milioni.

Mbowe Aishangaa Serikali kwa Kutaka Kumtibu Tundu Lissu

$
0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemshangaa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kusema kuwa Serikali iko tayari kumtibu Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu popote duniani.

Mbowe ametoa mshangao huo leo Ijumaa alipokuwa akitoa taarifa kuhusu matibabu ya Lissu yanayoendelea jijini Nairobi.

Amesema wakati walipoamua kumpeleka Lissu jijini Nairobi, Waziri Ummy alikuwepo lakini walitaka Lissu apelekwe Muhimbili.

Mbowe amesema wanachama, watu mbalimbali wamechangia matibabu ya Lissu ikiwa ni hata wanachama wa vyama vingine walioguswa na tukio hilo.

“Sasa wiki mbili baadaye ndio anatoka Waziri wa Afya anasema Serikali iko tayari kumtibu popote duniani, eh kweli? Mama Ummy Mwalimu anasahau kauli yao wakinieleza mimi pale Dodoma, wamuogope Mungu, walikataa ‘categorically’  pengine walifikiri wao ni miujiza mheshimiwa Lissu kupona na sisi tulisema lazima tumpeleke Nairobi ndiyo mahali tunaona kweli kunawezekana kukaokoa yale maisha,”amesema Mbowe.

“Ilikuwa ni hatari na ni maamuzi yalikuwa magumu sana, watu ambao wana mamlaka, Waziri wa Afya yuko pale, Spika yuko pale nawaambia fanyeni maamuzi tumuokoe huyu mtu wanasema hatuwezi kumpeleka Nairobi, mimi nikasisitiza sisi tunampeleka Nairobi wakasema basi utalipa mwenyewe, nikasema sawa tutalipa wenyewe.”

Mbowe amesema hiyo ni hali halisi ambayo ameona awaambie Watanzania.

Bunge lamjibu Freeman Mbowe

$
0
0
Ofisi ya Bunge imesema fedha zilizochangwa na wabunge Sh.43 milioni kwa ajili ya kusaidia matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu zimetumwa katika akaunti ya Hospitali ya Nairobi anakopatiwa matibabu.

Bunge limetoa taarifa kwa umma leo Ijumaa saa chache baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kueleza fedha hizo hazijatumwa.

Katika taarifa hiyo, Bunge limesema fedha hizo zimetumwa Septemba 20 kupitia Benki ya Barclays, Tawi la Hurlringham katika akaunti namba 045 1155318 yenye jina Kenya Hospital Association.

“Fedha hizi zingeweza kutumwa mapema zaidi isipokuwa mawasiliano yalikuwa yanafanyika kupata namba ya akaunti ya kutuma fedha hizo na taratibu nyingine za malipo nje ya nchi,” imesema taarifa ya Bunge.

Ofisi ya Bunge imewaomba Watanzania kila mmoja na imani yake kuendelea kumuombea Lissu ili apone haraka na kurejea nchini kuendelea na majukumu yake.

Baada ya Lissu kushambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi Septemba 7 nyumbani kwake Area D mjini Dodoma akitokea bungeni, wabunge waliazimia kutoa nusu ya posho zao kugharimia matibabu.

==>Taarifa ya Bunge
 

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Septemba 23

Rais wa Zanzibar ateua viongozi wapya na kufanya mabadiliko ya baadhi ya viongozi.

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi wapya na kufanya mabadiliko katika baadhi ya taasisi mbalimbali za Serikali.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana  jioni na Katibu Mkuu Kiongozi, Zanzibar Dk Abdulhamid Yahya Mzee imesema Dk Idris Muslim Hija ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Joseph Abdalla Meza ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi.

Wengine walioteuliwa ni Juma Ali Juma amekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko, Bakari Haji Bakari amekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la  Biashara la Zanzibar na Ali Khamis Juma ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko.

Iddi Haji Makame ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Fedha na Mipango, Kapteni Khatib Khamisi Mwidini ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A, Unguja na Abeid Juma Ali ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Wete, Pemba.

Rashid Hadid Rashid ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake, Pemba na Salma Mbarouk Khatib ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Micheweni,Pemba.

Uteuzi huo umeanza  Septemba 22,  hivyo viongozi hao wanatakiwa kuripoti Ikulu Septemba 24 mwaka huu saa 2:30 asubuhi kwa ajili ya kuapishwa.

Dr Mpango Aagiza Watumishi Wa TRA Bandarini Dar Es Salaam Wafumuliwe

$
0
0
Benny Mwaipaja, WFM, Dar es Salaam
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, amefanya ziara ya kushitukiza katika Kituo cha Forodha Bandarini, kilichoko katika Bandari ya Dar es Salaam na kuiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, kufanya mabadiliko makubwa ya watumishi walioko katika idara ya upimaji na ukaguzi wa mizigo baada ya kubainika kuwa baadhi yao wanajihusisha kwa namna moja au nyingine na upotevu wa mapato ya Serikali.

Dokta Mpango ametoa muda wa siku saba kwa TRA kumpa taarifa kamili ya utekelezaji wa maagizo hayo, ikiwemo kuwahamisha watumishi wote waliokaa muda mrefu kwenye eneo hilo la upimaji na ukaguzi wa mizigo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji mapato ya Serikali katika Bandari hiyo.

Ameshangazwa na kitendo cha Mapato katika Bandari ya Dar es Salaam kutoongezeka licha ya juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano, kuboresha Bandari hiyo kutokana na baadhi ya watumishi wasio waaminifu kushirikiana na wafanyabiashara wasio waaminifu kukwepa kodi ya serikali.

“Pamoja na kuwepo kwa mitambo ya kukagua mizigo (Scanners), baadhi ya bidhaa zinakadiriwa kodi ndogo ikilinganishwa na thamani ya mizigo huku mizigo mingine ikiwa si ile iliyotajwa kuwemo kwenye makontena na hupitishwa na watumishi wasio waaminifu” alisisitiza Dokta Mpango.

Aidha, Waziri huyo wa Fedha na Mipango ameuagiza ungozi wa TRA kuhakikisha kuwa wanaongeza mapato katika bandari ya majahazi kutoka wastani wa mapato ya shilingi bilioni 3.5 kwa mwezi hadi shilingi bilioni 5, kulingana na malengo yaliyowekwa baada ya kubainika kuwa kuna ukwepaji mkubwa wa mapato ya Serikali katika eneo hilo.

Dokta Mpango ameuambia uongozi huo wa Mamlaka ya Mapato nchini TRA kuhakikisha kuwa Bandari ya Majahazi ianze mara moja kutumia mfumo wa kukusanya mapato ujulikanao kama TANSIS ili kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi.

Aidha, ameviagiza vyombo vya dola kuwachunguza watumishi wote wakiwemo wa ngazi za juu katika idara ya forodha bandarini na kuwachukulia hatua kali wale wote watakao bainika kujihusisha na vitendo vyovyote vinavyoikosesha Serikali mapato yake.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Taarifa Kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)

$
0
0
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa kuwa mwili wa marehemu Praiveti Mussa Jumanne Muryery ambaye ameuawa nchini DRC akiwa katika jukumu la Ulinzi wa Amani, utaagwa kwa heshima tarehe 25 Septemba 2017 katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo kuanzia saa 2:00 asubuhi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa        Dkt.  Florens M. Turuka ataongoza katika kuuaga mwili wa Marehemu.

Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi Amin.

Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
22 Septemba, 2017.

Prof. Mbarawa Atoa Maagizo Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC)

$
0
0
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameliagiza Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) kuhakikisha lina ainisha gharama za Ujenzi wa miradi mbalimbali badala ya kutegemea makadilio ya Wakandarasi wanapotekeleza miradi.

Ameyasema hayo Jijini Dar es salaam wakati akifungua Semina ya Wadau wa Ujenzi iliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Ujenzi ambapo amesema kutokana na utaratibu mbovu uliopo hivi sasa Watanzania wanatumia hata vifaa visivyokuwa na ubora wowote.

“Sekta ya ujenzi ina mchango mkubwa katika kukuza pato la taifa na huwezesha utekelezaji wa miundombinu mbalimbali kuimarika na kuwa kichocheo kikubwa kwa sekta nyingine za kiuchumi ikiwe kilimo,utalii nishati na viwanda,” amesema Prof. Mbarawa.

Aidha, kwa upande wake Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Ujenzi, Mayunga Nkunya amemhakikishia Prof. Mbarawa kuwa changamoto zote zilizopo kwenye sekta hiyo zitajadiliwa katika Semina hiyo na kupatiwa ufumbuzi ili kuepusha hasara na athari ambazo zinaweza kulikumba Taifa endapo hatua hazitachukuliwa.

Hata hivyo, ameongeza kuwa kutokana na kukosekana kwa Ushirikiano kutoka kwa wadau wa Ujenzi ndio sababu za changamoto hizo kujitokeza hivyo kupitia mkutano huo anaamini watafungua sura mpya ya maendeleo katika sekta hiyo na taifa kwa ujumla

Je,una Upungufu Wa Nguvu Zakiume,kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa,kufika Kileleni Mapema Na Kushindwa Kurudia ????

$
0
0
Tatizo la kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya kiume husababishwa na mambo mengi kama,KISUKARI,NGIRI,CHANGO,TUMBO KUUNGURUMA,MAUMIVU YA KIUNO,UNENE KUPITA KIASI,KUJICHUA nk.

Upungufu wa nguvu za kiume husababisha tendo la ndoa kutofanyika kwa kujiami nakwa usahihi nahivyo husababisha ndoa, mahusiano mengi kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI,
1 KUKOSA HAMU YA TENDOL LA NDOA 
2 UUME KISIMAMA KWA KULEGEA 
3 KUWAHI KUFIKA KILELENI 
4 KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA WAKATI 
5 KUCHOKA SANA BAADA YA ROUND YAKWANZA NAKUKINAI TENDO LA NDOA KABISA.

TUMIA 3 POWER KWA TATIZO LA UKOSEFU(UPUNGUFU)WA NGUVU ZA KIUME NAHAMU YA TENDO LA NDOA.FINA HUBORESHA MAUMBILE YA KIUME KWA KUNENEPESHA KWA SAIZI UIPENDAYO HAIJARISHI UMRI.

PIA KUNA DAWA ZA KURUDISHA MPENZI KWA MUDA MFUPI SANA NAZAKUPATA KAZI,KESI,KUDHULUMIWA,NK 

WASILIANA NA SHEIKH OMARY AKUTATULIE MATATIZO YAKO HATA KAMA UMEHANGAIKA SANA PASIPO MAFANIKIO 

Pia sheikh omary anatibu busha bila opresheni,kisukari,ngiri,presha vidonda vya tumbo,korodani kuvimba,na anatoa dagu za utajiri kwa wanaohitaji bila masharti yoyote magumu.ANAPATIKANA MBAGALA ZAKIEM,NAUTALETEWA POPOTE ULIPO.

 SIMU; NO 0767145357/0629034550.

Mpina atoa maagizo kiwanda cha Azania

$
0
0
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Luhaga Mpina ameliagiza Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira NEMC kwa kushirikiana na uongozi wa kiwanda cha Azania kinachozalisha unga wa ngano, kupima kiwango cha ubora wa hewa inayoambatana na vumbi la unga wa ngano linalotoka kiwandani hapo.

Ameyasema hayo  jana  mara baada ya kufanya ziara ya ukaguzi wa mazingira jijini Dar es salaam, ambapo alisema kuwa amekuwa akipata malalamiko mengi kutoka kwa wananchi.

Alisema kuwa baada ya kuchukuliwa kwa vipimo hivyo na kutoa matokeo, Serikali ndiyo itajua hatua za kuchukua ili kuweza kumaliza tatizo hilo ambalo limekuwa likilalamikiwa na wananchi.

“Baada ya matokea hayo sasa serikali inaweza kuwa na nafasi ya moja kwa moja kuchukua hatua kwa mwenye kiwanda ikiwa ni pamoja na kukitoza faini kwa mujibu wa sheria, na kama matokeo ya vumbi na kelele zitokazo kiwandani hapo yatakuwa ndani ya kiwango, sasa hatua itakayofuata ni yakuangalia mahusiano kati ya mwenye kiwanda na wakazi majirani wa eneo hilo." alisema Mpina

Katika muendelezo wa ziara yake ya ufuatiliaji na utekelezaji wa sheria ya mazingira jijini Dar es Salaam, Mpina alitembelea kiwanda cha Chemi cotex  kilichopo Mbezi Beach.

Pata Tiba ya Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

WCF imekanusha taarifa zinazosambazwa mitandaoni kuwa watafanya ukaguzi wa nyumba kwa nyumba

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images