Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Uongozi wa jiji la Mwanza wachukua maamuzi magumu ya kuifunga shule ya msingi ambayo wanafunzi hujisaidia vichakani

0
0
Uongozi  wa  Jiji  la  Mwanza  jana  ulilazimika  kuchukua  maamuzi  magumu  ya  kuifunga  Shule  ya  msingi  Kiseke   iliyoko  jijini  humo  kwa  muda  usiojulikana  baada  kubainika  kuwa  shule  hiyo  haikuwa  na  choo, hali  iliyokuwa  ikihatarisha  afya  za  wanafunzi  wa  shule  hiyo.... Habari  kamili  itawekwa  hivi  punde....! Vyoo  vya  zamani  ambavyo  ni  vibomu  na 

Rais Kikwete alipowatembelea na kuwafariji wagonjwa Muhimbili

0
0
Huu  ni  moyo  wa  kipekee  wenye  kila  aina  ya  huruma  aliojaliwa  Rais  Wetu  Mtukufu, Dr. Jakaya  Kikwete.. Ilikuwa  ni  tarehe  28  mwezi   uliopita ( Takribani  siku 20 zilizopita )  ambapo  Rais  wetu pamoja  na  majukumu  mengi  aliyonayo  alifunga  safari  na  kuelekea  Muhimbili  kuwajulia  hali  na  kuwafariji  wagonjwa  mbalimbali.....  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete

Rais Kikwete amuozesha mwanaye, Miraji Kikwete

0
0
Shamra shamra na nderemo zilitawala jana kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City wakati Miraji Kikwete, mtoto wa Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete alipofunga ndoa na Alma Mahmoud.   Sherehe hizo zilianza saa 7:00 mchana baada ya ndoa kufungwa na maharusi hao kuingia ukumbini hapo wakiongozana na Rais Kikwete.   Hali nje

Mume amkata mkono mkewe....Kisa cha unyama huo ni mwanamke kukataa kwenda kuchukua chakula kwa mama yake mzazi

0
0
  Ni mkasa wa kusikitisha kama siyo kutisha, unaowafanya wanaume  wengi wa siku hizi  waonekane ni makatili na majanga matupu mbele ya jamii.    Kitendo hicho cha kinyama, kimemkuta mwanamke Leah  Benard mkazi wa Kijiji cha Kifufu, mkoani wa Geita baada ya kukatwa kiganja chake cha mkono kwa panga na mumewe (jina kapuni). Kisa cha kufanyiwa unyama huo kinadaiwa kuwa ni

Nasumbuliwa na tatizo la kujichua....Kwa siku napiga mara 3 mpaka 4 kiasi kwamba hata viungo vyangu vimechubuka...Naombeni msaada

0
0
Rafiki yangu alinifundisha kujichua ( kupiga pul) , sasa nimeathirika na tatizo hilo nikiwa na umri wa miaka 20 tu.  Nimeshafanya tendo hilo kwa muda mrefu.Kwa siku huwa napiga tatu mpaka 4  kiasi  kwamba  haata  viungo  vyangu  vimechubuka.  Nataka kuachana  na tatizo hili. Naomba mnisaidie ikiwa kuna dawa ya kupambana na tatizo hilo maana nimechoka na

Rais Kikwete afanya uteuzi wa wa makatibu tawala wapya mikoa mitano na kuhamisha wengine wakiwemo wakurugenzi wa majiji

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumamosi, Januari 18, 2014,  amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wapya wa mikoa mitano na kuhamisha makatibu tawala wengine na Wakurugenzi wa Majiji nchini.   Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue iliyotolewa jioni ya leo, Ikulu, Dar Es Salaam inasema kuwa uteuzi na uhamisho huo unaanza leo

Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri .....Hawa ndo mawaziri wapya pamoja na manaibu wao

0
0
   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewahamisha na kuwateua baadhi ya Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:- 1.0 OFISI YA RAIS Hakuna mabadiliko. 2.0 OFISI YA MAKAMU WA RAIS 2.1   Waziri wa Nchi (Muungano) - Hakuna mabadiliko 2.2    Mhe. Eng. Dr. Binilith Satano MAHENGE (Mb) Waziri wa Nchi (Mazingira). 2.3   Mhe. Ummy Ali MWALIMU (Mb)

Loveness Diva, B12 na Adam Mchomvu warudishwa kazini Clouds Fm baada ya kuomba msamaha

0
0
WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha. Hamis Mandi ‘B 12’. Watangazaji hao walisimamishwa na uongozi wa Clouds baada ya kuchoshwa na tabia yao ya utovu wa nidhamu hivi karibuni. Adam Mchomvu. >>GPL <!-- adsense -->

Sad News: Ajali yaua watu 13 eneo la Isuna mkoani Singida

0
0
Watu 13 wamefariki dunia baada ya magari mawili kugongana uso kwa uso eneo la Isuna mkoani Singida...    Habari  zaidi  zinaarifu  kuwa,  ajali hiyo imehusisha gari aina ya Toyota Noah na lori ambayo namba zake za usajili hazikupatikana mara moja.  Watu 13 waliofariki walikuwa katika Noah iliyokuwa ikitokea Itigi na maiti zao zimehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida. 

Mwanajeshi FEKI atiwa mbaroni Tanga akitaka kumtapeli mkuu wa wilaya

0
0
  'Koplo feki' akihojiwa wa Luteni Yahya Wangwe na Mteule daraja la pili Albano Semfuko. 'Koplo feki' wa JWTZ akiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya. 'Koplo feki' akijiandaa kupanda kwenye gari kupelekwa kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi.   ** Na Mashaka Mhando, Tanga VIKOSI vya Ulinzi na Usalama Wilayani hapa, vinamshikilia Edwin John Mponji (31) kufuatia kwenda ofisi ya Mkuu wa Wilaya

Wadau wapinga Dk Shukuru Kawambwa kubakizwa Wizara ya Elimu...Wadai kufanya hivyo hakuwezi kuleta mabadiliko yoyote kwani Waziri ndiye msimamizi mkuu wa sera

0
0
Baadhi ya wadau wa elimu wamesema kubakizwa kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa na kumwondoa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo hakuwezi kuleta mabadiliko yoyote kwani Waziri ndiye msimamizi mkuu wa sera.    Wakitoa maoni yao jana kuhusu mabadiliko kwenye wizara hiyo, baadhi yao walisema hakutakuwa na miujiza kutoka kwa Jenista Mhagama

Watu 12 wa jamii ya Kimasai wafikishwa kizimbani kwa tuhuma za mauaji Wilayani Kiteto wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji

0
0
   Wafugaji 12 wa jamii ya Kimasai wilayani Kiteto, katika Mkoa wa Manyara, wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya wakulima tisa.   Mwendesha Mashtaka Sajenti wa Polisi, Oscar Munisi, alidai kuwa watuhumiwa walitenda makosa hayo Januari 12 mwaka huu, katika Vitongoji cha Laitime na Mtanzania wilayani Kiteto.  

Lettie Matabane ambaye ni Muigizaji maarufu wa Tamthilia ya Isidingo afariki dunia.....Alikuwa akiishi na Virusi Vya Ukimwi kwa zaidi ya miaka 15

0
0
Aliyekuwa muigizaji maarufu katika Tamthilia ya Isidingo The Need ya Afrika Kusini, Lesego Motsepe maarufu zaidi kwa jina la Lettie Matabane, amefariki dunia nchini mwake jana.    Lettie, ambaye alijipatia umaarufu mkubwa katika tamthilia hiyo kuanzia mwaka 1998 hadi 2008 alipoamua kuondoka, alikuwa akiishi na virusi vya Ulimwi kwa zaidi ya miaka 15. Mwaka 2011, aliwashitua

Nimetokea kumpenda baba mwenye nyumba nilipopanga, Ni mume wa mtu na ana watoto lakini nimeshindwa kabisa kuficha hisia zangu....Naombeni msaada

0
0
  Ndugu  zangu, naombeni  nisieleke  vibaya.. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Nina mwaka wa kwanza tangu nianze kujitegemea mara baada ya kumaliza shule. Nimepanga kwenye nyumba moja iliyoko  maeneo ya  Mbezi. Tatizo langu ni kwamba nimetokea kumpenda  sana  baba mwenye nyumba wangu ambaye ana watoto na familia. Kila nikijibaraguza siwezi.  Nimefanya  kila  mbinu  kuzificha 

"Baba yangu aliuawa nikiona kwa macho yangu....Nilipotaka kumsaidia, walinikata panga kichwani" ...Mtoto

0
0
MTOTO mmoja aliyetambulishwa kwa jina la Joyce Jeremia, 11,(pichani)  amejeruhiwa vibaya katika mapigano ya wa kulima na Wamasai ambao ni wafugaji katika Kijini cha Laitini, Kiteto mkoani Manyara.    Baba mdogo wa mtoto huyo Amos Njelu aliwasimulia waandishi wetu akiwa katika Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (Moi) amesema kuwa mtoto huyo alijeruhiwa Jumamosi ya Januari 12, 2014

Mwigulu Nchemba awajibu watanzania wanaomponda baada ya kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha

0
0
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mwigulu Nchemba, ambaye juzi alikuwa miongozi mwa manaibu waziri walioapishwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nyadhifa zao amewaambia watu wanaoponda uteuzi wake kuwa hana haja ya kubishana nao kwani hawamjui.  Katika maelezo yake, Mwigulu alisema anamshukuru Mheshimiwa Rais kwa kumwamini kuwa anaweza kumsaidia katika kusimamaia sera na mipango ya

Sad News: Ajali yaua wanafunzi wanne na kujeruhi wengine 20 asubuhi hii mkoani Mtwara....

0
0
Taarifa tuliyoipata   hivi  punde  ni kuhusu ajali ambayo imetokea asubuhi majira ya sa 12 huko Mtwara ambayo imehusisha wanafunzi wa Shule ya Secondary ya Mustapha Sabodo ambao walikua wanakimbia mchaka mchaka.    Chanzo cha ajali hiyo kinasema kuwa kuna Gari ndogo aina ya Benzi ilimgonga mwanafunzi mmoja aliyekuepo kwenye mchamchaka huo .Baada ya wanafunzi kuona hali hiyo katika

Rais Kagame anusurika kufa....Atangaza kuacha Urais, Uingereza yatakiwa kukata misaada

0
0
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amenusurika kifo baada ya msafara wake nchini Kenya kupata ajali na kusababisha watu wawili kujeruhiwa vibaya.  Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Shirika la Habari la Uingereza (BBC), imeelezwa kuwa ajali hiyo ilihusisha mojawapo ya magari ya msafara wake nchini Kenya, alipokuwa kwenye ziara za kikazi. Hata hivyo, Rais Kagame hakujeruhiwa katika ajali

"Mbwa Mwitu" sita wafikishwa mahakamani jijini Dar

0
0
Wakazi sita wa Dar es Salaam maarufu Mbwa Mwitu au waanzilishi wa kundi la Watoto wa Mbwa, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha.    Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Sijali Abdallah (19), Sadick Mpambe (25) maarufu Chitemo na Balozi Inasio (19) wote wakazi wa Kiwalani.  

Sad News: Mbunge wa Chalinze, Said Ramadhani Bwanamdogo ( CCM ) afariki dunia

0
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne S. Makinda (Mb), anasikitika kutoa taarifa ya kifo cha Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mhe. Saidi Ramadhani Bwanamdogo Kilichotokea leo Jumatano asubuhi tarehe 22.1.2014 Katika hospitali ya MOI DSM alipokuwa amelazwa kwa Matibabu.    Ofisi inaendelea na taratibu za mazishi  kwa kushirikiana na familia ya Marehemu. Inna
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images