Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Walimu Watiwa mbaroni kwa kufanya mapenzi na wanafunzi

$
0
0
Walimu wawili waliokuwa wakifanya mazoezi kwa vitendo katika shule ya sekondari ya Kikala wilayani Lushoto mkoani Tanga wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kufanya mapenzi na wanafunzi wawili wa kidato cha tatu shuleni hapo.

Akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Lushoto ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, January Lugangika amesema waalimu wa wanafunzi hao wamekikuka maadili ya ualimu na kwamba watachukuliwa hatua zaidi huku akiongeza kuwa tabia hizo zinaleta kichefu chefu kwa jamii.

Aidha mwenyekiti huyo amedai kuwa ushahidi wa tukio hilo umethibitishwa na Daktari ambaye aliwafanyia vipimo na kuthibitisha ni kweli kitendo hicho kilifanyika

Kwa upande wa Afisa elimu wa sekondari Wilaya ya Lushoto Kassim Singato amesema endapo kutakuwa na masomo ya ziada ni lazima yafahamike muda yanapoisha ili wazazi waweze kufuatilia mwenendo wa watoto wao.

"Inabidi wazazi muwafatilie watoto wenu kwa kila hatua, mjue wanafanya nini shuleni na kama mzazi humfatilii anaweza kufanya mambo usiyoyajua na badala yake ukashtukia ana mimba ya miezi hata sita," alisema Singato.

Watuhumiwa wa tukio hilo ni mwalimu Fredriki Shebila na Saddat Mohamed.

LHRC Waungana na TLS Kupinga Ofisi za Mawakili Kupigwa Bomu

$
0
0
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika ‘TLS’, ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ameendelea kulaani tukio la kuvamiwa ofisi za Wanasheria IMMMA Advocates na kusema ni muhimu jambo hilo likapigiwa kelele kwa kuwa siyo la kisiasa.

Lisu amesema hayo baada ya kualikwa katika mkutano wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)na kusema kuna mashirika mengi yasiyokuwa ya kiserikali ndani ya Tanzania ambayo yanafanya kazi za kutetea haki za binadamu lakini wengi wao katika tukio hili wamekuwa wapo kimya.

"Ni muhimu sana hili jambo likapigiwa kelele maana siyo la kisiasa kama ambavyo wanayozungumza. Usalama wa Mawakili na utawala wa sheria na ulinzi wa haki za binadamu ndicho ambacho tunakisema hapa", alisema Lissu.

Pamoja na hayo, Lissu alikipongeza kituo cha LHRC kwa ujasiri waliyoweza kuonyesha kwa kujitokeza mbele hadharani na kupaza sauti yao juu ya manyanyaso wanayoyapata mawakili huku akiwashangaa baadhi ya taasisi nyingine zinazoshughulikia kutetea haki za binadamu kuogopa kuongelea hilo.

"Wengi katika tukio hili wamenyamaza na kuogopa, kituo cha Sheria na Haki za Binadamu wamesimama hadharani na kupaza sauti zao kwa hichi kilichotokea cha kuvamiwa Mawakili. Sasa naomba nitoe pongezi za dhati kabisa kwa kituo cha haki na binadamu kwa kuwa mtetezi wa kweli kwa Mawakili wanaoshambuliwa pamoja na kuwaunga mkono Mawakili wetu katika kipindi hiki kigumu. Maana mtetezi wa kweli utamjua wakati umeshambuliwa", alisisiza Lissu.

Kwa upande mwingine, Lissu amesema mwaka huu 2017 wametunga sheria inayosema kila mtu mwenye kesi Mahakamani anastahili kupata msaada wa kisheria wa Mawakili ila anashangaa wanapowashambulia Mawakili hao.

Mbunge Mwingine wa CHADEMA Atiwa Mbaroni

$
0
0
Mbunge Frank Mwakajoka amekamatwa akifuatilia kesi inayomkabili mbunge mwenzake wa Mbozi, Pascal Haonga.

Mbozi. Mbunge wa Tunduma, Frank Mwakajoka amekamatwa na polisi akiwa katika viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Mbozi mjini Vwawa.

Mwakajoka amekamatwa leo Agosti 29 baada ya kufika mahakamani hapo kufuatilia kesi inayomkabili mbunge mwenzake wa Mbozi, Pascal Haonga.

Katibu wa Chadema Wilaya ya Mbozi, James Mbasha amesema mbunge huyo amekamatwa lakini hajui kosa linalomkabili.

Mbasha amesema alipata taarifa leo asubuhi kwamba mbunge huyo anatafutwa na polisi.

Katika kesi mahakamani hapo, Haonga na wenzake wawili Wilfred Mwalusanya na Mashaka Mwampashi wanakabiliwa na mashtaka mawili, kufanya vurugu na kuwazuia askari kufanya kazi yao kinyume cha sheria.

Mwendesha mashitaka wa polisi, Samwel Saro anadai jana Agosti 28 saa saba mchana, washtakiwa walimzuia askari kutimiza majukumu yake ya kumkamata Mwampashi aliyedaiwa kwamba si mjumbe halali katika uchaguzi wa mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mlowo.

Washtakiwa pia wanadaiwa kumfanyia vurugu msimamizi wa uchaguzi huo ambaye ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mbozi,  Lauteri Kanoni.

Washitakiwa walikana mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo,  Asha Waziri ambaye alisema dhamana iko wazi kwa kila mshtakiwa kuwa na wadhamini wawili wenye barua za utambulisho kutoka kwa watendaji wa maeneo yao watakaoweka bondi ya Sh2 milioni kila mmoja.

Washtakiwa walitimiza masharti na kuachiwa huru kwa dhamana. Kesi itatajwa Septemba 25 na washtakiwa watasomewa maelezo ya awali.

Rais Magufuli Kuwa Mgeni Rasmi Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa

$
0
0
Rais John Magufuli atakuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa 33 wa kawaida wa Jumuia ya Tawala za Mitaa (Alat).

Mwenyekiti wa Alat, Gulamhafeez Mukadam amesema, awali mkutano huo ulipangwa kufanyika Septemba 19 hadi 22 lakini kutokana na baadhi ya wanachama kutokusanya fedha kwa wakati, umesogezwa na sasa utafanyika Oktoba 2 hadi 5 mkoani Mbeya.

Amesema kutokana na mamlaka za Serikali za mitaa kuwa wanachama wa Alat na Rais ndiye mwenye dhamana na Serikali za Mitaa, hivyo atakuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

Amesema pamoja na mambo mengine, mkutano huo ni fursa ya kuwakutanisha viongozi wakuu wa Serikali Kuu na za mitaa kwa ajili ya kutoa maelekezo na miongozo ya kisera kwa watekelezaji ambao ni mamlaka ya serikali za mitaa nchini.

Mukadam amesema kuwa kauli mbiu ya mkutano huo ni “Ardhi kwenye mamlaka ya Serikali za Mitaa ni chachu ya maendeleo, halmashauri zitenge ardhi kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda vidogovidogo na vikubwa".

Amsema," Tutatumia mkutano huu kujikita zaidi katika suala zima la uwekezaji katika viwanda kwa kuhakikisha halmashauri zinakuwa mstari wa mbele kuunga mkono juhudi za kuwa na Tanzania ya viwanda."

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumstano ya August 30

Unasumbuliwa na Kiharusi,Ngiri au Kifafa?......Unatatizo la Nguvu za Kiume, Kuachika au Tatizo la Uzazi? . Kutana na Mtalaamu Huyu Akusaidie

$
0
0
SASA YUPO DAR;Anadawa ya kumvuta mpenzi wako popote alipo kwa masaa 6 tu na kumtuliza asitoke kwako

Je, unaugomvi usioisha na mpenzi wako na unaachwa mara kwa mara? Njoo upate dawa ufurahie penzi tulivu la umpendae.

Anadawa za nguvu za kiume, kuimarisha mishipa iliyolegea, kuongeza homoni na kukufanya udumu katika tendo hadi dakika 45 na unaweza kurudia tendo hata mara 4 bila kuchoka.

Anatibu Busha bila kupasua,uzazi, mshipa wa ngiri,kiharusi,kifafa,kuondoa majini machafu nakadhalika.

Mpigie kwa simu: 0755505099

Ufafanuzi wa Taarifa za Kufukuliwa Fuvu za Mtu Katika Uwanja wa Taifa

$
0
0
Baada ya taarifa kusambaa katika mitandao ya kijamii na picha zikisambaa kutoka uwanja wa Taifa kwa madai kuwa, kipindi hiki ukarabati wa uwanja huo sehemu ya pitch imeonekana fuvu la kichwa cha mtu, mkurugenzi msaidizi wa idara ya michezo Alex Nkenyenge  amevunja ukimya na kufunguka yafuatayo;

“Kwanza hiyo ni taarifa ya uongo na hakuna fuvu isipokuwa ni madude ambayo yamepatikana kwenye mchanga baada ya kuwa tumefukua sehemu ya uwanja, kwa hiyo hakuna kitu kinachoitwa fuvu la mtu wala nini ni madude tu yaani mamimea yale yaliyooza basi yanafanana kama magimbi ambapo ndani lilikuwa limeshaliwa

“Sasa kwa sababu mtu analiona kwa mbali anasema fuvu sasa sijui fuvu litakujaje hapa, kwanza kilichotokea hilo dude limekuja na mchanga wala halikuwa ndani ya uwanja, yaani kwenye mchanga uliyoletwa ambao tulikuwa tunajaza kwenye pitch baada ya kuwa tumeondoa lea ya juu

“Kwa hiyo hakuna kitu kama hicho bahati mbaya kwa watanzania wanapenda kuzungumza vitu vibaya kuliko vizuri, maana mtu haulizi wala kushangaa ile inayosafisha uwanja, sasa kama ni fuvu unataka kusema uwanja wa Taifa kulikuwa na makaburi?”

Waziri Mkuu Awataka Wawekezaji Kufuata Sheria

$
0
0
Waziri Mkuu  Kassim Majaliwa amewataka watu wote wenye nia ya kutaka kuwekeza katika miradi mbalimbali nchini Tanzania kuhakikisha wanafuata sheria, kanuni na taratibu. 

Ametoa kauli hiyo jana Jumanne, Agosti 29, 2017 wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais (Uendelezaji Bishara) wa kampuni ya PIRIOU, Bw. Michel Perrin.

 Waziri Mkuu alikutana na Bw. Perrin jijini Paris nchini Ufaransa kupitia ofisi ya ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa. 

Kampuni ya PIRIOU inataka kuja nchini kuwekeza katika utengenezaji na ukarabati wa meli. 

Akizungumza na muwekezaji huyo Waziri Mkuu alimshukuru kwa nia yake ya kutaka kuwekeza nchini, ambapo alimtaka afuate sheria, kanuni na taratibu za uwekezaji nchini. 

“Tanzania ni sehemu nzuri ya uwekezaji kwa sababu kuna fursa nyingi.Pia ni nchi yenye amani na utulivu wa kisiasa pamoja na mazingira mazuri ya uwekezaji hivyo nakukaribisha sana.”

 Kwa upande wake Bw. Perrin alisema ameamua kuja kuwekeza nchini kwa kuwa Tanzania ni nchi salama na kwamba anauhakika wa kupata soko ndani ya nchi pamoja na mataifa jiraji. 

Alisema anaamini uwekezaji wake nchini Tanzania utakuwa na tija, hivyo ameahidi kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na Serikali na pia atahakikisha anafuata sheria zote za nchi.

 Pia Bw. Perrin alitumia fursa hiyo kumshukuru Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Balozi Samwel Shelukindo kutokana na ushirikiano anaompa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini. 

Naye Balozi Shelukindo alisema atahakikisha anaendelea kutafuta wafanyabiashara mbalimbali na kuwashawishi waje kuwekeza katika sekta mbalimbali nchini.

Kutana Na Mwanamke Aliye Jitolea Kumtibu Mume Wake Tatizo La Nguvu Za Kiume.

$
0
0
Tina  anasema  aligundua  tofauti  kwa  mumewe  mara  baada  ya  mumewe  kurejea  nchini  akitokea  masomoni  nchini  Malaysia  ambako  alikaa  kwa  muda  wa  mwaka  mmoja  na  miezi  minane.

“ Kila  nilipo  kuwa  nikikutana  faragha  na  mume  wangu, niligundua  tofauti  kubwa  sana, kwani  uwezo  wa  mume  wangu  katika  tendo  la  ndoa  ulikuwa  umepungua  kwa  kiasi  kikubwa  sana  na  wakati  mwingine  hakuwa  kabisa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa

"Baada  ya  kugundua  tofauti  hii,  niliamua  kumueleza   mume  wangu  wazi  wazi  na  kumtaka  tutafute  tiba  kwa  ajili  ya  tatizo  lake .

"Niliamua  kufanya  hivi  kwa  sababu  ninampenda  sana  mume  wangu  na  sikutaka  kutoka  nje  ya  ndoa  yangu  kwa  sababu  eti  mume  wangu  ana  udhaifu  katika  tendo  la  ndoa.

Akielezea  kuhusu  chanzo  cha  yeye  kuwa  na  udhaifu  mkubwa  katika  tendo  la  ndoa , mume  wa  Tina  alisema :

“   Kwa  muda  wote   wa  mwaka  mmoja  na  nusu  nilio kuwa  nasoma  nje ya  nchi  nilikuwa  nafanya  masturbation  ili  kukudhi  haja  zangu."  Alisema .

Mume  wa  Tina  aliongeza   kuwa   “  Niliporudi  nyumbani  Tanzania, mchezo  huu  ulikuwa  tayari  umeniathiri  kisaikolojia na  kimaumbile  pia."

Mume  wa  Tina  anasema  , mchezo  wa  kujichua  ulimuathiri  kwa  kiwango  kikubwa  sana.  Akielezea  baadhi  ya  madhara  ambayo  ameyapata  kutokana  na  kujichua, mume  wa  Tina  anasema :

1.    Kwanza  maumbile  yangu  ya  kiume  yamelegea  na  kusinyaa  sana.

2.    Ngozi ya  kwenye  uume  wangu  imekufa  ganzi. Huwa  sihisi  chochote  kabisa. Hata  ninapomuingilia  mke  wangu  huwa   nakuwa  kama  sijamuingilia. Yani  sihisi  chochote  kabisa.

3.    Kama  hiyo  haitoshi, hata ninapokuwa  nafanya  masturbation, nikifika  kileleni  huwa  nakuwa  sisikii  chochote  yani  nakuwa  kama  nimekojoa  tu mkojo  wa  kawaida… Ili  kusikia  hali ya  kawaida, inanibidi  nikae  labda kwa  siku  tatu au  nne halafu nifanye  tena  masturbation, hapo ndio ninaweza  kusikia  kawaida.

4.    Ikitokea  nimefanikiwa  kufanya  tendo  la  ndoa, hufanya  katika  hali  ya  ulegelege  na  huwa  ninamaliza  ndani  ya  sekunde  chache  sana, nikijitaidi  sana   naweza  chukua  dakika  moja  tu.

5.    Ninapo  maliza  kufanya  tendo  la  ndoa, misuli  ya  uume  huwa  inauma  sana  na  huwa  sina  uwezo  wa  kurudia  tena  tendo  mpaka  kesho  au  baada  ya  siku mbili.

6.    Uume  wangu  hauwezi  kusimama  wenyewe  mpaka  niupapase  mimi  mwenyewe  tena  kwa  muda  mrefu  sana.

7.    Na  mara  nyingi  huwa  ninakosa  kabisa  hamu  ya  tendo  la  ndoa  hata  ninapokuwa  na  mke  wangu kitandani.

Mwanaume  huyu  anaeleza  kuwa   suala  la  kujichua  kwa  muda  mrefu limemuathiri  kisaikokojia  kiasi  kwamba, wakati mwingine  inambidi  kutumia  dawa  kali  za  kizungu  za  kuongeza  nguvu  ili  aweze  kufanya  masturbation.

“ Wakati  mwingine, nakuwa   nahitaji  kufanya  masturbation, lakini  nakuwa  sina  nguvu  ya  kufanya  hivyo, hivyo  inanibidi  niende  kununua  na  kutumia  madawa  makali  ya  kizungu  kwa  ajili  ya  kupata  uwezo  wa  kufanya  masturbation. “  Anasema .

Tina anasema  mara  baada  ya  kugundua  hali  hii, alimshawishi mume  wake  waanze  kutafuta  suluhisho  sahihi  la  tatizo  linalo  mkabili, na  mwisho  wa  siku  wakafanikiwa  kupata  taarifa  kuhusu  tiba  asilia  iitwayo  Jiko , na  kufanikiwa  kupata  tiba  hiyo  pamoja  na  maelekezo  yake  ya  namna  ya  kuitumia  pamoja  na  lishe  yake.

Jumapili ya    tarehe  13  AGOSTI  2013 , Neema Herbalist , ilienda  kuitembelea  familia  ya  Tina  ili  kuwajulia  maendeleo  yao  na  kuona   jinsi  wanavyo  endelea na  tiba  na  maendeleo  ya  tiba  yapo  vipi.

Tulifurahi  kuona  kuwa, mwanadada  Tina  amesimamia  zoezi  zima  ka  kuhakikisha  mume  wake  anatumia  tiba  ya  Jiko  kwa  usahihi  kabisa   na  hatimaye  tatizo  lake liweze  kupona  kabisa .

Tina  anasimamia  zoezi  hili  kwa  kumuandalia  na  kumtayarishia  mumewe  dawa  ya  Jiko pamoja  na  kumuandalia  na  kumtayarishia  lishe  na  vyakula  mbalimbali  ambavyo  ni  muhimu kwa  mwanaume  anae  tumia  tiba  ya  kumaliza  tatizo  la  ukosefu na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Kuhusu  maendeleo ya  mumewe, Tina  anasema  anashukuru  Mungu  sasa  hivi  mumewe  ameonyesha  maendeleo  makubwa sana  na  ana  amini  baada  ya  mwezi  mmoja  wa  kutumia  tiba  hii, mume  wake  atakuwa  amepona  kabisa  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Kuhusu  suala  la  mumewe  kuwa  addicted  na  tabia  ya  kujichua  Tina  anasema,  anatumia  dawa  maalumu   aliyo  ipata  katika  duka  la  NEEMA  HERBALIST .

Dawa  hii  ya  asili  ( KAMA  INAVYO  ONEKA  HAPO  CHINI, YENYE RANGI  YA  BLUE ), haimfanyi  mtu  kuacha  kujichua  moja  kwa  moja, ila  inasaidia   kumuondolea  mtu  uwezo wa  kufanya  kujichua.

Dawa  hii  huchanganywa  na  mafuta  maalumu  ya  asili  halafu  mhusika, anajipaka  kwenye  mikono, akijipaka  kwenye  mikono… Akijipaka  kwenye  mikono  hawezi  kujishika  kwenye  sehemu  yoyote  ile  laini  ikiwemo sehemu  za  kiume, kwani  akifanya  hivyo, itamuwasha  na  kuchoma sana  sehemu laini  ya  mwili aliyo  igusa. Hivyo automatically  mhusika  hawezi  kabisa  kujaribu  kufanya  masturbation, kwani  akijaribu  kufanya  hiovyo  itamuwasha  sana.

DAWA  HII  PIA, NI  KIBOKO  YA  KUTIBU  NA  KUPONYESHA  KABISA  MAJERAHA   YASIYO PONA  ( VIDONDA  NDUGU )

Tina anasema; kila  inapo fika  asubuhi  huwa  nahakikisha  mume  wangu  anajipaka  dawa  hii  kwenye mikono  yake, ili niwe  na  uhakika  kwamba  hatoweza  kufanya  masturbation  nitakapo  kuwa  mbali  nae.

Tunatoa  pongezi  kubwa  sana  kwa  mwanadada  Tina,  kwani  ni  wanawake  wachache  sana  wanao  weza  kuwa  na  moyo  kama  wa  Tina.   

Kama  wanawake  wote walio  katika  ndoa, wangekuwa  na  moyo  kama  wa   Tina, basi  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, lingeweza  kudhibitiwa  na  hatimaye  kutokomezwa  kabisa, kwa  sababu  uzoefu  wetu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  walio  katika  ndoa , huwa  hawataki  kuwashirikisha  wake  zao, pindi  wanapo  jigundua  kuwa  wana  tatizo  la  ukosefu  na  ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume na  hivyo  kuendelea kulifanya  tatizo  kuwa  kubwa  zaidi, kwani wanaume  hawa  huwa  wanashindwa  kutumia  kwa uwazi  tiba  ya  kutibu  tatizo  lao kwa  kuhofia  wake  zao  kujua.

KUHUSU  NAMNA  TABIA  YA  KUJICHUA  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME PAMOJA  NA  JINSI  UNAVYO  WEZA  KUTIBIWA  NA  KUPONA  KABISA  TATIZO  LA UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME,  SOMA  MAKALA  HII  HAPA  CHINI  :

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani.

Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?

Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu

HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME

Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo :

Hatua  ya  kwanza, ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Na  hatua  ya  pili  ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION

JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA.

1. HATUA   YA  KWANZA:

DAMU  KUTIRIRIKA  KWA  KASI KUINGIA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME  NA  KUUFANYA  UUME  KUSIMAMA  NA  KUWA  MGUMU.

Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu iliyopo  kwenye  ubongo,  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo, ambayo  nayo  hupeleka  taarifa  hadi  kwenye  mishipa  ya  uume. Taarifa  inapofika  kwenye  mishipa  ya  uume  huifanya  mishipa hiyo  ku-relax  na  hatimaye   kufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka  na  kutanuka. Mishipa  ya  ateri  inapo  tanuka  na  kufunguka, huruhusu  damu  kuingia  kwa  kasi  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  huume  kusimama.

Ni  muhimu  kujua  kuwa, mishipa  ya  uume  inapo relax  hupelekea  kuisukuma na  hatimaye  kuiziba  mishipa  ya  vena  iliyo  karibu  na  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuiondolea  uwezo  wa  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.

N.B: Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili.  Au  kwa  lugha  nyingine  unaweza  kusema, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

2. HATUA  YA  PILI  :

DAMU  KUENDELEA  KUHIFADHIWA  KATIKA  UUME  WAKATI  UUME  UKIWA  UMESIMAMA  NA  HIVYO  KUUFANYA  UUME  UENDELEE  KUDUMU  KATIKA  TENDO LA NDOA   KWA  MUDA  MREFU.

Uume  ulio  simama, ili  uendelee  kusimama, ni  lazima  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo   wa  kunyonya  damu  kutoka  katika  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyinginezo  za  mwili. .

Mishipa  ya  Vena  ndio  inayo  husika  na  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume na  kupeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.  Ili  uume  uendelee  kusimama  lazima  mishipa  hii  ya  vena  iwe imezibwa. Ili  iweze  kuzibwa   ni  lazima  misuli  laini  ya  kwenye  uume  iwe - ime  relax na  hivyo  kuifanya  mishipa  ya  vena  kushindwa  ku  nyonya  damu  kutoka  kwenye  uume.

Endapo  mishipa  ya  vena  itazibuka , basi  itanyonya  na  kutoa  damu yote  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume uliosimama  na  kuipeleka  sehemu  nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  huo ulio simama  na  utasinyaa  mara  moja.

JINSI  UUME  UNAVYO  SIMAMA  NA  KUSISIMKA.

Tumeisha  zifahamu  hatua  mbili  muhimu  katika  kusimama  kwa  uume

Jinsi  Uume  unavyo  simama: Katika  uume  kuna chemba  yenye  mishipa  laini  sana, ambayo  ndio  huufanya  uume  kusimama.

Mishipa  hii  ipo kama  sponji  hivyo  huweza  kunyauka  na  kutanuka.

Damu  inapoingia  ndani  ya  mishipa  hii  huufanya  uume  kusimama  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Damu  inapoendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  mishipa  hii  wakati  wa  tendo  la  ndoa, huufanya  uume  uendelee  kusimama.

Mwanaume  unapo  patwa  na  wazo la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu  iliyo  kwenye  ubongo  hupeleka  ishara  kwenye  uti  wa mgongo, ambao  nao  hufikisha   taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume.

Taarifa  ikisha  fika  kwenye  mishipa  ya  uume, huifanya  mishipa  ya  uume  ku-relax  na  mishipa  ya  uume  inapo  relax, hufanya  mambo  makuu  mawili;

i.                   Kwanza  hufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka na  hivyo  damu  kutiririka  kwa  kasi  sana  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume

( Mishipa  ya  ateri  ndio  inayo  tumika  kama  njia  ya  kuingiza  damu  kwenye  uume. Bila  mishipa  ya  ateri  imara  na  yenye  afya, damu  haiwezi kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  damu  isipoweza kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, basi  uume  hauwezi  kusimama )

ii.                 Pili huibana  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuizuia    kunyonya  damu  kutoka  kwenye  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu nyingine  za  mwili. Matokeo  yake  kuufanya  uume  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Kumbuka ,kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  neva  iliyo  karibu  na  mishipa ya  uume, ni kunyonya  damu kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili. Kwa  lugha  nyingine, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume ulio simama.

Kadri  damu  inavyo  zidi  kuingia  ndani  ya mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo  zidi  kuwa  mgumu  na  kukakamaa.

Na  kadri  damu  inavyo  hifadhiwa  ndani  ya  mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo endelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa kwa  muda  mrefu.

Baada  ya  kumaliza  kufanya  tendo  la  ndoa,mishipa  ya  uume inarudi  katika  hali  yake  ya  kawaida (inanyauka ), ikisha  nyauka, mishipa  ya  ateri  inanyauka  pia, vena  zinafunguka  na  kunyonya  damu  katika  mishipa  ya  uume  na  kuirejesha  katika  sehemu nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  kurudi  katika  hali  ya  kawaida  ( Flaccid ).

Hali  hii  itaendelea  kujirudia  kwa  kadri  utakavyo  kuwa  ukiendelea  kufanya  tendo  la  ndoa.

Mambo  Muhimu  Katika  Kuufanya Uume  Usimame na  Kuendelea  kudumu  katika  kusimama  kwa  muda  mrefu wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ili  uume  uweze  kusimama  imara  kama  msumari na  uendelee  kusimama  imara  na  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo la  ndoa, ni  lazima  mambo  yafuatayo yawepo.

1.          Mishipa ya   uume iliyo  imara  na  yenye  afya  njema.

2.          Mfumo   mzuri  wa damu  katika   mwili  mzima.

3.          Mtiririko  imara  wa  damu kuingia  na  kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume.

4.          Ushirikiano  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume.

Ili  mwanaume  aweze  kuwa  imara  katika  tendo  la  ndoa, ni  lazima  mambo  manne  niliyo yataja  hapo  juu  yawe  sawa  sawa  bila  hitilafu  yoyote. Kinyume  chake, mwanaume  hawezi  kuwa  na  nguvu  za  kiume.

MOYO

MAMBO   YANAYO SABABISHA   UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Tumeshajua   nguvu za  kiume  ni  nini, jinsi  uume  unavyo  simama, hatua  za  kusimama  kwa  uume, pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  uume  uweze  kusimama  na  kuwa  na  uwezo  wa  kuendelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ni  vyema  tukajua  mambo  yanayo  sababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume, mambo  yanayo  sababisha  uume  ushindwe kuendelea  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa   pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  mtu  ashindwe  kurudia  tendo  la  ndoa.

Yafuatayo  ni  mambo  yanayo  sababisha  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.

MISHIPA  YA  FAHAMU  NA  UTI  WA  MGONGO

1.    MAGONJWA  YANAYO  SHAMBULIA  MFUMO  WA  DAMU  PAMOJA  NA  MISHIPA  YA  DAMU.

Damu  ndio  nishati  inayo wezesha  kusimama  kwa  uume  na kuufanya  kuwa  mgumu na  imara  kama  msumari.

Damu  ndio  nishati  inayo weza   kuufanya  uume uendelee kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Damu  ndio  nishati  inayo  upa  uume  uimara  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  moja.

Hivyo  basi  ili  uume  uweze  kuwa  imara na  wenye  nguvu, pamoja  na  kuwa  na  uwezo  wa  kumudu  na  kustahimili   tendo  la  ndoa  wakati  wowote , basi  ni  lazima   mwanaume  awe  na mfumo  imara  wa  damu  utakao  ruhusu  kutiririka  kwa  damu  kwenda  katika  sehemu mbalimbali  za  mwili  ikiwamo  uume.

Ili  mfumo  uweze  kuwa  imara  ni  lazima  mhusika  awe  na  damu  ya  kutosha, na  pili  awe  na  mishipa  ya  damu  yenye  afya.

Katika  mwili  wa  mwanadamu,kuna  mishipa  inayo  tumika  kusafirisha  damu  kutoka  katika  sehemu moja  ya  mwili kwenda  katika  sehemu  nyingine  ya  mwili  ikiwemo  uume. Mishipa  hiyo  ni  kama  vile  vena (veins), atery ( ateri) na  capillary  ( kapilari )

Mishipa  hii  ya  damu  inapaswa  kuwa  imara  na  yenye  afya  njema  wakati  wote.   Mishipa  hii  ikipatwa  na  hitilifu, basi  itazuia  kusafirishwa  kwa  damu  katika  sehemu  mbalimbali za  mwili  wa  mwanadamu  na  hatimaye  kufanya  suala  la  kuwa  na  nguvu  za  kiume  kwa  mhusika  kuwa  ugumu  kwa  sababu   ya  kushindwa  kupeleka  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

Magonjwa  kwenye  mishipa  ya  damu  huzuia   kutirika  kwa  damu kwenye  ogani  muhimu   kama  vile  moyo, ubongo na  figo.

VIASHIRIA  VYA  MAGONJWA  KWENYE  MISHIPA  YA  DAMU.

Utajuaje  kwamba  una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu ?

Ukiwa  una  matatizo  yafuatayo ya  kiafya, ni  ishara  kwamba, una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu:

1.  Kolestrol ( Ama  lehemu  kwenye  damu )

Kolestrol  nyingi  kwenye  damu, huzuia  kutiririka  kwa  damu. Kolestrol  ikizidi  kwenye  damu,  hupelekea  kuziba   mishipa  ya  ateri  ambayo  kazi  yake  ni  kupeleka  damu  kwenye  uume. Matokeo  yake  ni  mhusika  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake barabara  kwa  sababu uume  hauwezi  kusimama  bila  damu  kuingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume.  Hivyo  basi pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, yakupasa  kutibu  kolestrol. Unaweza  kuondoa  kolestrol  kwenye  damu  kwa  kutumia  dawa  mbali  za  asili  kama  vile mdalasini,uwatu, habbat sodah  etc.  Jinsi  ya  kujitibu  kolestrol  kwa  kutumia dawa asilia  tafadhali  tembelea

2.      Shinikizo  Kubwa  la  Damu

Shinikizo  Kuu la  Damu husababisha  mishipa  ya  ateri  ambayo  hutiririsha  damu  iingiayo  kwenye  uume  kuziba  na  kushindwa kutanuka  kwa  kiwango  inachotakiwa  kutanuka.

Pia  huifanya  mishipa  laini  katika  uume   kushindwa  ku-relax  na  hivyo  kushindwa  kuizuia  mishipa  ya  vena  ya  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  maeneo  mengineyo  ya  mwilini.

Matokeo  yake  kunakuwa hakuna  kiasi  cha  kutosha  cha  damu  iingiayo  kwenye  uume  na  hivyo  kufanya  uume  ushindwe  kusimama.

Vile  vile  hata  kiasi  kidogo  cha  damu  kinacho  ingia  kwenye  uume, kinashindwa  kuendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  uume  wakati uume  ukiwa  umesimama, na  matokeo yake  ni  uume  kusinyaa  ndani  ya  kipindi kifupi  sana  tangu  usimame.

Pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa   pia  kutumia  dawa  asilia  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  kuu  la  damu.

Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  la  damu  kwa  njia  ya  asilia, tembelea :

3.  Ugonjwa  wa  kisukari :

 Ugonjwa  wa  kisukari  ni  miongoni  mwa  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.  Kusimama  kwa  uume  kunategemeana  na  kutiririka  kwa  damu  mwilini. Kisukari  huathiri  mishipa  ya  damu pamoja  na  usambazaji  wa  damu  kwenye  ogani  muhimu  mwilini  kama  vile  moyo, ubongo, figo  na  uume.

Kiukweli, mwanaume  mwenye  kisukari  yupo  katika  risk  kubwa  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume,m tena  katika  kiwango  kikubwa  sana.
Unashauriwa pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, tumia  pamoja  na  dawa  mbalimbali  za  asili  kwa  ajili  ya  kubalance  sukari  yako mwilini. Zipo  dawa  mbalimbali  za  asili  zinazo  saidia  kubalance  kiwango  cha  sukari  mwilini. Dwa  hizo  ni  pamoja na mdalasini, unga  wa  uwatu, mbegu  za  uwatu, manjano, majani  ya  manjano,mbegu  za  katani, nakadhalika. Namna  ya  kutumia  dawa  hizo  kujitibu  tatizo  la  sukari, tafadhali  tembelea : http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

4. Magonjwa  ya  figo

Tatizo  la  ugonjwa  wa  figo  huathiri  vitu vingi  ambavyo  ni  muhimu  sana  katika  kuufanya  uume  uweze  kusimama  na  kuendelea  kudumu  katika  kusimama.

Tatizo  la  figo, huathiri  homoni, huathiri kutiririka   kwa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume. Huathiri  mfumo  wa mishipa  ya  neva  pamoja  na  nishati  ya  mwili mzima.

5.        Ugonjwa  wa  moyo

Moyo  ndio  supplier  mkubwa  wa  damu  katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili.  Ugonjwa  wa  moyo  hupunguza  uwezo  wa  moyo  kusambaza  damu  kwenye  mishipa  mbalimbali  ya  damu  na  hivyo  kuathiri  utendaji  kazi  wa  mishipa ya  damu  kama  vile  ateri  na  vena. Matokeo  yake  ni  mishipa  hiyo  kushindwa  kupeleka  damu  ya  kutosha  katika  uume  pamoja  na  kushindwa  kuifanya  mishipa  ya  uume  kurelax na  matokeo  yake,. Ukosefu  wa nguvu  za  kiume. Hivyo  basi, pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia   kutibu  tatizo  la  moyo. Kufahamu  jinsi  unavyo  weza  kutibu  ugonjwa  wa  moyo  kwa  dawa  asilia, tembelea :

6.  Kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena.

Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  kwenye  uume   kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili.  Mishipa  ya  vena  iliyopo  karibu  na  uume  kazi  yake  kubwa  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  yoyote  kwenye  mishipa  ya  uume. ( KUMBUKA  KUWA  DAMU  NDIO  HUFANYA  UUMU  USIMAME, HIVYO  CHOCHOTE  KILE  KITAKACHO  FANYA  DAMU  ISIKAE  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME , KITAFANYA  UUME  USINYAE  )

Ili  uume  uendelee  kusimama  ni  lazima, mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  kupeleka  nje  ya  mishipa  ya  uume.

Na  ili  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa    kunyonya  damu  kutoka  kwenye   mishipa  ya  uume  ulio  simama  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili,  ni  lazima  mishipa  ya  uume  iwe  imara  na  thabiti  isiyo  na  hitilafu  yoyote  ile.

Mishipa  ya  vena  ikipwaya, mwanaume  hutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wako, na  ikitokea  umefanikiwa  kuusimamisha  basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana  na  utasinyaa  ndani  ya  muda  mfupi  sana, kwa  sababu  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  uume  wako  na  kuufanya  usimame, itanyonywa  ndani  ya  muda  mfupi  sana  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  wako  usimame.

 Tatizo  la  kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena  linasababishwa  na  kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  pamoja  na  ugonjwa  wa  kisukari.

KUPIGA  PUNYETO  KWA  MUDA  MREFU:  Kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  ni  moja  kati  ya  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Asilimia  kubwa  ya  vijana  wenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, linasababishwa  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Unapopiga  punyeto  unakuwa  unaiminya  mishipa  ya  uume   ambayo  ndio  inaufanya  uume  usimame.

Matokeo  yake  unaifanya  mishipa  hiyo  ilegee na  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  tena.

Mishipa  ya  uume  iliyo  legea  kutokana  na  upigaji  punyeto, huleta  madhara  yafuatayo  :

i.           Huondoa  uwezo  wa  mishipa  ya  uume  kurelax.

( Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  uume  ina relax  , mishipa  iki  relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  kuruhusu  damu  kingie  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hatimaye  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  mgumu)

ii.         Mishipa   ya  kiume  ikishindwa  ku relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kuziba

iii.       Mishipa  ya  ateri  ikiziba, damu  haiwezi  kutiririka  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  hata  ikitokea  damu  imeingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  basi  huingia  kiasi  kidogo sana   tena  kwa  presha  ndogo  sana  hivyo  basi  hata  kama  uume  utasimama   basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana

iv.       Mishipa  ya  uume  ikishindwa  kurelax  basi  haitakuwa  na  uwezo  wa  kuipush  na  kuiziba  mishipa  ya  vena  ambayo  ndio  hunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  ulio  simama. Matokeo  yake  basi, damu  kidogo  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuufanya  uume  kusimama, hunyonywa  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  ndani  ya  sekunde  chache  sana  na  hivyo  kuufanya  uume usinyae  ndani  ya  muda  mfupi  sana.

v.         Mishipa  ya  uume  kulegea

vi.       Uume  kurudi ndani  na  kusinyaa  na  kuwa  kama  uume  wa  mtoto

6.      Tatizo  la  unene  kupita  kiasi : Tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi  ni  miongoni  mwa  mambo  yanayo  sababisha  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. Unene  kupita  kiasi  humuweka  mtu  katika  hatari  ya  kupatwa  na  magonjwa  kama  vile  kisukari, presha, moyo  na  shinikizo  kuu  la  damu. Na  magonjwa  ya  kisukari, moyo,presha  na  shinikizo  la  damu  husababisha  upungufu na  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, na  hivyo  kumuweka  muhusika  katika  hatari  kuu  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Hivyo  basi  kwa  wewe  mwenye  tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi , pamoja  na  kutumia  tiba  ya  nguvu  za  kiume,  ni  vyema  ukafanya  na  mpango  wa  kupunguza  unene  na  uzito  wako.

JINSI  YA  KUPUNGUZA  UZITO  NA  UNENE  KWA  KUTUMIA  TIBA  ASILIA, TAFADHALI  TEMBELEA:

7.   Matatizo  Katika  mfumo  wa  Ubongo

Uume  hauwezi  kusimama   bila  ya  kuwa  na  ushirikiano  na  ubongo.  Ili mtu  uume  uweze  kusimama, mtu  lazima  apate  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa  (UBONGO  UNA HUSIKA  HAPO ), akishapata  wazo, ubungo  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo hupeleka  taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume  then  uume  usimama.   Hivyo  basi  ili  mtu  aweze  kuwa  na uwezo  wa kusimamisha  uume  wake  ni lazima  kuwa  na  mawasiliano  mazuri  na  imara  kati  ya mishipa  ya  fahamu ( ubongo ), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo   na  mishipa  ya  kwenye    uume.  Bila  ushirikiano  kati  ya  vitu  hivyo  vitatu, uume  hauwezi  kusimama.

   Magonjwa  yanayoweza  kuathiri  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  ubongo  na  mishipa  ya  uume, yanaweza  kusababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume.

Magonjwa  hayo  ni  pamoja  na  kiharusi,kupoteza  kumbukumbu  (  Alzheimer ), multiple  sclerosis pamoja  na  ugonjwa  wa  Parkinson.

Ni  vyema  mgonjwa  akatibiwa  kwanza  magonjwa  hayo  kabla  ya  kuanza  kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume.  Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  tajwa  hapo  juu  kwa  njia  asilia,tafadhali  tembelea

Mambo   mengine  yanayo  sababisha  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  pamoja  na  maumivu & majeraha  kwenye  uti  wa  mgongo,  chango  la  kiume , ngiri  na  matatizo  katika  homoni.

  VIASHRIA  VYA  MTU  MWENYE  TATIZO  LA  UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Mtu  mwenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  huwa  na  dalili  zifuatazo ;

1. Kushindwa  kabisa  kusimamisha  uume  wake

2. Uume  kusimama  ukiwa  legelege

3. Kuwahi  kumaliza  tendo  la  ndoa

4. Mwanaume  kutokuwa  na uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  katika  baadhi  ya  staili  ( Mara  nyingi   mwanaume  huyu huwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa    staili  moja  tu ).  Hapa  mwanaume  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  ya   “ missionary” pekee.  Ikibadilishwa   staili, mwanaume  anakuwa hana  tena  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake  japo  katika  hali  ya  u lege  lege

5. Uume  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  wenyewe   bila  kushikwashikwa  ama  kutomaswa kwa  muda  mrefu.

6. Uume  kusinyaa  ukiwa  ndani  ya  mwanamke.

7. Uume  kusinyaa, pindi  inapotokea  activity  yoyote  ya  kiungo  ama  ogani  nyingine  ya  mwanaume  wakati  wa  tendo  la  ndoa. Kwa  mfano, wakati  wa  tendo  la  ndoa, ikitokea  mwanaume  amekohoa  au  kupiga  chafya, uume  nao  unasinyaa.

8. Uume  kusinyaa  mara  tu  baada  ya kutolewa  ndani  ya  uke ( Kwa  mfano  kama  unafanya  tendo  la  ndoa, halafu  uume  ukatoka  nje, kitendo  cha  kuushika  kuurudisha ndani, tayari  una  sinyaa )

9. Kutokuwa  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa.

10.    Kupatwa  na  maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

VIASHIRIA  VYA  MWANAUME  ASIYE  NA  TATIZO  LA UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Mwanaume  asiye  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, huonyesha  ishara  zifuatazo ;

i.           Uume  husimama  ukiwa  imara  kama  msumari.

ii.         Hukaa  kifuani  kwa  muda  mrefu  ( Wastani  ni  kati  ya  dakika  20  hadi  45  )

iii.       Huweza  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  tatu  bila  misuli  ya  uume  kuchoka.

iv.       Huweza  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  yoyote  ile

v.         Uume  husimama  wenyewe  bila  kushikwa  shikwa  wala  kuwa  stimulated  kwa  namna  yoyote  ile

vi.       Kwa  ufupi  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya na  kukamilisha  tendo  la  ndoa  kwa  uukamilifu  mkubwa.

TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Dawa  asilia  ya  JIKO   ni  dawa  asilia  inayo  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.

                              MFUMO   WA  DAWA

Dozi  ya  dawa  ya  JIKO ni  mkusanyiko  wa  dawa  nne  asilia  zenye  uwezo  mkubwa  sana  katika kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Dawa  hizi  zipo  katika  mfumo  wa  MIZIZI  na  UNGA  UNGA.

JINSI   DOZI  YA  DAWA  YA  JIKO  INAVYO  FANYA  KAZI.

Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inafanya  kazi  zifuatazo  katika  mwili  wa  mwanadamu.

KAZI  INAYO  FANYWA  NA  DAWA  YA  JIKO .

Dawa  ya  JIKO  inasadia  katika  mambo  makuu yafuatayo:

1.  Inasaidia   kuimarisha  mishipa  ya  uume  ulio legea  na  hivyo  kuufanya  uume  uwe  na uwezo  wa  kusimama  barabara  kama  msumari  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

2. Inasaidia  kusafisha  mishipa  ya  kwenye  uume  na  hivyo  kusaidia  katika  kuongeza  kasi  ya  msukumo  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  kwenye  uume.

3. Huongeza  damu  mwilini

4. Husaidia  kuongeza  msukumo (pressure)  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  kuwa  na  nguvu  za  ajabu.

5. Huipa  misuli  ya  uume  uwezo  wa  kuziba  wa  kuizuia  mishipa  ya  vena   kunyonya  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  wakati  wa  tendo  la  ndoa  na  matokeo  yake  kukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu

               ( Kuzuia  hali  ya  kufika  kileleni  haraka  )

6. Husaidia  kurelax  mind  na  hivyo  kumfanya  mtu  awe  na  uwezo  wa  kuconcentrate  wakati  wa  tendo la  ndoa   bila  kuathiriwa  na  msongo  wa  mawazo

7.  Hurejesha, kuimarisha  na  kuboresha  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume

8. Humfanya  mwanaume  awe  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  nyingi  zaidi  bila  kuchoka.

9. Husaidia  kuongeza  hamu  ya  tendo  la  ndoa.

10.            Husaidia  kuurudisha  nje  uume  ulio ingia  ndani.

11.               Husaidia  kutibu  side effects  za  punyeto  na  matumizi  ya  muda  mrefu  ya dawa  kali  za  (za  kizungu ) za  kuongeza  nguvu  za  kiume.

12.                Husaidia  kutibu  chango  la  kiume.

13.            Dawa  hii  huwasaidia  hata  wanawake  wanao sumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  hamu ya  tendo  la  ndoa.

BEI  YA  DAWA:  Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU  (Tshs.80,000/=)

MAHALI  TUNAPOPATIKANA :

Dozi  ya  dawa  ya  JIKO, inatolewa  na  duka  la  dawa  asilia  la  NEEMA  HERBALIST    NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC. Tunapatikana  jijini  DAR ES  SALAAM, katika  eneo  la UBUNGO jirani na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.  

Kwa  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu, tunatoa  huduma  ya kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ( DELIVERY )

Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  DAR  ES  SALAAM, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  mabasi, wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa   njia  ya  boti  na  kwa  wateja  waliopo  Ulaya, America  na  Arabuni, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  DHL  au POSTA.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA

0766  53  83  84.

Na  kwa  maelezo  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, endelea  kutembelea: www.neemaherbalist.com

Halima Mdee alia na polisi, asema kuna matapeli wanamsumbua

$
0
0
Mbunge wa Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee amesema kuwa anasikitishwa na jeshi la polisi kushindwa kuwakamata matapeli ambao wamekuwa wakitapeli wananchi kwenye mitandao kupitia jina lake.

Amesema kuwa ni muda mrefu alishatoa taarifa  jeshi la polisi kuhusu watu hao wanaotumia jina lake kwenye mitandao ya kijamii na kujifanya kutoa mikopo yenye riba ndogo na kuwatapeli wananchi pesa zao.

“Wanaojitambulisha kutoa mkopo kwa jina langu ni matapeli, sihusiki na chochote na hao matapeli na nmeshatoa taarifa polisi inaonekana hawakamatiki” amesema Halima Mdee

Tume Yakupambana na Picha na Video za Ngono Yaundwa

$
0
0
Serikali ya Uganda imeunda tume maalum pamoja na kuitengea bajeti ya pesa itakayotoka kila mwaka kwa ajili ya kudhibiti usambazaji wa picha, video na vitu vingine vinavyochochea ngono.

Imeelezwa kuwa maamuzi hayo yamefikiwa ili kuokoa nguvu kazi ya taifa ambayo imeathiriwa kwa kiasi kikubwa kutokana na watu wengi nchini humo kuendekeza masuala ya ngono.

Kwa mujibu wa Waziri wa Maadili wa Uganda, Simon Lokodo, tume hiyo itakayokuwa na wajumbe tisa na watalaam wengine kati ya 30 hadi 40 itatengewa bajeti ya Shilingi Bilioni 2 kila mwaka.

Bw. Lokodo amefafanua kwamba, tume hiyo itakuwa na vifaa vya kisasa kuingilia watu wanaohusika na kusambaza, kupakua, na kuangalia picha na video za ngono kisha kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria.

Amedai kuwa vitendo hivyo vinaliangamiza taifa hilo kwa kuchochea ongezeko la mimba za utotoni, matumizi ya dawa za kulevya, ushoga na ubakaji.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Wabunge Wakerwa na Ubinafisishaji wa Kampuni ya Maendeleo ya Viwanja vya Ndege (KADCO)

$
0
0
Ubinafisishaji  wa Kampuni ya Maendeleo ya Viwanja vya Ndege (KADCO), umehojiwa kutokana na kile kilichoelezwa kuwa umegubikwa na utata, hali ambayo baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wametaka wapewe maelezo ya serikali, vinginevyo suala hilo litahamishiwa bungeni lijadiliwe.

Hayo yalibainika jana katika kikao kati ya wajumbe wa PAC na Mamlaka ya Usimamizi wa Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). 

Miongoni mwa mambo ambayo wajumbe walisema yana utata, ni pamoja na CAG kubaini kuwa licha ya serikali kuwa na hisa asilimia 100 katika Kadco, kampuni hiyo imeendelea kuachiwa kuendesha Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KIA).

Utata mwingine ni hatua ya KIA kuendeshwa tofauti na viwanja vingine, kwa maana ya kuwa chini ya kampuni hiyo wakati viwanja vya ndege vingine vyote viko chini ya TAA. 

"Kwa nini hiki kiendeshwe tofauti na viwanja vingine? Na TAA wanaendesha viwanja vingine na siyo KIA... Tutamuita waziri atueleze kuna nini," alisema mwenyekiti wa kamati, Naghenjwa Kaboyoka ambaye ni Mbunge wa Same Mashariki (Chadema).

Kwa upande wake, Mbunge wa Sikonge, Joseph Kakunda (CCM) alisema: "Tuwe wazi kuwa huko serikalini kuna watu wanaendesha Kadco wanamaintain status quo kwa sababu wanapata fedha.Kama Baraza la Mawaziri halitakuwa wazi katika hili, tutawasha moto bungeni.” 

 “Kwa nini hawa TAA wawe na share(hisa) na Kadco wakati hawana mamlaka?” alisema mbunge huyo akirejea maelezo ya Mkurugenzi wa TAA katika kikao hicho aliyesema kuwa suala la Kadco haliwahusu ingawa wana hisa.

Awali, Mwenyekitiwa Bodi ya TAA, Profesa Ninatubu Lema alipoulizwa na wajumbe wa kamati kuhusu masuala kadhaa ya Kadco, alisema kampuni hiyo iko nje ya mamlaka ya TAA kwa kuwa inaripoti moja kwa moja kwa serikali.

Miongoni mwa maswali kuhusu Kadco yaliyoulizwa na Kakunda na kufanya wajumbe wengi kuchangia, ni uhusiano wa TAA na kampuni hiyo kama  wana mkataba wowote. Pia alitaka kufahamu kama kampuni hiyo, imerithiwa na serikali au imeanzishwa upya.

Kamanda Mambosasa: Nataka Dar Es Salaam Mpya Isiyo na Wahalifu

$
0
0
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema atahakikisha anakataa Dar es Salaam kuwa maficho ya watu wanaofanya uhalifu maeneo ya pembezoni na kukimbilia jijini humo na kubaki salama, pamoja na kuhakikisha jiji hilo siyo sehemu ya kuzalisha uhalifu.

Aidha, amewaomba wananchi wote wa Mkoa wa Dar es Salaam pamoja na waandishi wa habari, kumpatia ushirikiano wa kutosha ili kukabiliana na uhalifu na kuifanya jamii kuishi katika hali ya amani na usalama.

Akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa kamanda wa kanda hiyo, Mambosasa alisema usalama wa jiji hilo unawezekana, endapo wananchi watatoa ushirikiano na kuacha kufumbia macho wahalifu, badala yake kuripoti matukio ya uhalifu kwa wakati.

Alisema hawezi kukubali Dar es Salaam ikawa ni sehemu ya watu kukimbilia baada ya kufanya uhalifu au kufanya uhalifu na kukimbilia maeneo ya pembezoni. 

“Ninataka Dar es Salaam iwe mahali salama pa kuishi na najua hayo hayawezi kufanyika bila ushirikiano wa wananchi ndo maana ninawaomba tupeane ushirikiano…taarifa za uhalifu kwangu ni mtaji wa kuzifanyia kazi,” alisema Kamanda Mambosasa ambaye wiki iliyopita aliteuliwa kushika wadhifa huo akitokea mkoani Dodoma kwa wadhifa huo.

Aliongeza,“Ninawaombeni ushirikiano na pote nilipopita nimekuwa na waandishi wa habari… Mimi nipo kwa ajili ya kupambana na uhalifu na naomba nisipimwe kwa vigezo vya ‘rank’ yangu kwamba nafasi niliyochukua ni ya watu wakubwa sana… hao ndiyo wamenipa hiyo kwa kuona ninatosha, nitatoa ushirikiano wa dhati na ninachoomba kwenu na kwa wananchi kwa ujumla ni suala la ushirikiano na kutoa taarifa za awali za uhalifu.”

Alisema atahakikisha anawatumia maofisa wanaofanya kazi na Jeshi la Polisi kwa kuweka mazingira rafiki na salama na wananchi ili kuondoa kero zinazowakabili na kuwafanya kushindwa kufanya shughuli za kuwaletea maendeleo.

“Nitafanya kazi kwa nguvu zangu zote ili kuhakikisha kero za wananchi zinamalizwa na hili siyo suala la miujiza, bali ni suala la ushirikishwaji wa umma,” alisema Mambosasa. 

Alieleza, “mikakati yangu ni kwamba nina thamani ulinzi wa pamoja wa vyombo vya ulinzi na usalama, ninatambua kamati za ulinzi na usalama kuanzia kata hadi mikoa na viongozi wote wa vyama na serikali na viongozi wa makampuni binafsi ambao ni sehemu ya ulinzi na usalama… nitahakikisha nashirikisha watanzania wote kushiriki katika kuukataa uhalifu.”

Kamanda Mambosasa pia aliwaomba wananchi kutoa taarifa za uhalifu katika maeneo yao ili zifanyiwe kazi kwa wakati ili kutokomeza vitendo vya uhalifu, vinavyojitokeza kwa kutumia namba za simu 0756616777 na 0751009983.

Kamanda Mambosasa amewahi kufanya kazi Makao Makuu ya Polisi Kitengo cha Polisi Jamii, na katika mikoa ya Simiyu na Tarime/Rorya kwa nafasi ya Kamanda wa Polisi Mkoa na aliwahi kuwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi ya Kimara, Hanang na Mnadhimu wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Ilala.

Shahidi Asimulia Alivyomsikia Tundu Lissu Akiikashifu Serikali

$
0
0
Shahidi  wa tano wa Jamhuri katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), amedai mahakamani kwamba alipomsikia mtuhumiwa akitamka Rais Dk. John Magufuli ni rais uchwara na ni rais dikteta, alisogea pembeni, hakuendelea kusikiliza.

Shahidi huyo, Timos Emekea (44), alidai hayo jana wakati akiongozwa kutoa ushahidi wake na Wakili wa Serikali, Paul Kadushi mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mwambapa wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Alidai aliona baadhi ya askari wanasogea kutokana na maneno ya Lissu na akahisi kuna kitu kinaweza kutoka, hivyo akajiondokea na safari zake.

Emekea ambaye ni mkazi wa Goba, alidai siku  hiyo ya tukio ya Juni 28, 2016 alikuwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akimdhamini mfanyakazi wake saa tano asubuhi.

Alidai akiwa mahakamani hapo, aliona umati wa wananchi, waandishi wa habari na Lissu ambaye huwa anamuona kwenye TV alizungumza maneno ambayo hakupendezwa nayo.

Wakili Peter Kibatala alimuhoji shahidi huyo kwamba Lissu aliyatamka maneno yaliyoandikwa kwenye hati ya mashtaka ama aliyoyaeleza katika ushahidi wake.

Shahidi alidai ni maneno yaliyoandikwa katika hati ya mashtaka na kwamba Serikali iliyotajwa ya kidikteta ni Serikali hii ya Tanzania.

Kibatala alipohoji ni wapi Serikali ya Tanzania imeandikwa kwenye hati ya mashtaka, alijibu hakuna.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Septemba 4, 2017.

Lissu ambaye pia ni Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Rais wa TLS na Mwanasheria wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anadaiwa kutoa kauli za uchochezi dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

Anadaiwa katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, alitoa kauli za uchochezi kuwa: “Mamlaka ya Serikali mbovu ni ya kidikteta uchwara, inahitaji kupingwa na kila Mtanzania kwa nguvu zote, huyu diktekta uchwara lazima apingwe kila sehemu. Kama uongozi utafanywa na utawala wa kijinga, nchi inaingia ndani ya giza nene.’’

Katika kesi hiyo, tayari mashahidi wawili wa upande wa mashtaka, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) Kimweli na Staff Sajenti Ndege wamekwishatoa ushahidi wao.

Msafara wa Mkuu wa Wilaya Washambuliwa Kwa Mapanga Na Mishale

$
0
0
Msafara  wa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Godfrey Mheluka, umeshambuliwa na wananchi katika Kijiji cha Kashanda, Kata ya Nyakahanga alipokwenda kufuatilia mgogoro wa wafugaji na wakulima.

Katika mashambulizi hayo, Diwani wa Kata ya Nyakahanga, Charles Bechumila (CCM), amejeruhiwa vibaya kwa mishale na kukimbizwa katika Hospitali Teule ya Nyakahanga kutibiwa na alifanyiwa upasuaji huku hali yake ikielezwa kuwa ni mbaya.

Ilidaiwa kuwa mkuu huyo wa wilaya alikwenda kijijini hapo kutoa tamko kuhusu mgogoro wa wakulima na wafugaji akiwa na msafara wa magari mawili.

Katika gari lake alikuwa amepanda na Katibu Tawala wa Wilaya (DAS), Innocent Msena na Ofisa Uhamiaji mmoja na askari polisi wawili.

Gari la pili katika msafara huo lilikuwa na Diwani Bechumila, maofisa tarafa wawili na waandishi wa habari wawili wa Redio Karagwe.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustino Ulomi, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa askari waliokuwa wameambatana na mkuu wa wilaya walilazimika kufyatua risasi juu kutawanya washambuliaji, huku msafara huo ukikimbilia katika magari ambayo yalikuwa yameachwa umbali wa mita 600.

Ilielezwa kuwa Mkuu wa Wilaya alikwenda kuwaagiza wakulima kuhama eneo hilo kuwapisha wafugaji na tayari agizo kama hilo alikwishalitoa awali akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi, William Ole Nasha Juni 5, mwaka huu.

Tundu Lissu Amlima Barua Jaji Mkuu.....Adai Wanasheria Waliosusia Mgomo Alioutangaza Hawana Mshikamano

$
0
0
Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimemwandikia barua Kaimu Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma, kumwelezea sababu za mgomo wao na jinsi wanasheria wanavyonyanyaswa na kuuawa.

Mgomo huo wa siku mbili unatokana na shambulio la mabomu katika Ofisi ya Mawakili ya IMMMA.

Barua hiyo ya TLS iliyotiwa saini na Rais Tundu Lissu, imesema mgomo wao wa siku mbili haumaanishi kupingana na Serikali au kuwaadhibu wateja ila kuhamasisha umma kuhusu mazingira ya hatari waliyopo wanasheria nchini.

Lissu alisema tukio hilo halikufanyika kwa bahati mbaya na matukio kama hayo ya kuwasumbua wanasheria wasifanye kazi zao ipasavyo, imekuwa sehemu ya maisha yao.

“Kwa mfano, Aprili 7, mwaka jana ofisi za Mwanasheria Said Omar Shaaban ambaye kwa sasa ni Rais wa Chama Wanasheria wa Zanzibar (ZLS), zilipigwa bomu na kuharibiwa, lakini hadi leo hakuna ripoti ya uchunguzi wa polisi.

“Wanasheria pia wamefungwa  kizuizini na wengine kukamatwa wakiwa mahakamani wakitekeleza majukumu yao ya kitaaluma na wengine wameuawa kikatili.

“Kwa mfano miaka michache iliyopita, wanasheria Profesa Jwani Mwaikusa na Dk. Sengondo Mvungi, waliuawa baada ya kuvamiwa na kupigwa na watu wasiojulikana.

“Machi mwaka juzi Wakili Philbert Gwagilo, alipotea katika mazingira ya kutatanisha na hakuna taarifa yoyote iliyotolewa kuhusu kupotea kwake,” alisema Lissu katika barua hiyo.

Akizungumzia kuhusu wanasheria ambao hawatagoma, alisema wanaotaka kwenda mahakamani waende kama wanaona wenzao kulipuliwa kwa mabomu ni sawa, ila wakae wakijua hawako salama.

“Tunataka tuhakikishiwe usalama wetu, siku mbili hizi tunataka wananchi nao wapaze sauti kuomba usalama wa wanasheria, au wanataka tufe wangapi ili wajue tunahitaji ulinzi?” alihoji Lissu.

Hospitali ya Kairuki Yatoa Ufafanuzi Tuhuma za Mgonjwa Kuachwa na Vifaa vya Upasuaji Tumboni na Ukeni

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images