Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Unasumbuliwa na Kiharusi,Ngiri au Kifafa?......Unatatizo la Nguvu za Kiume, Kuachika au Tatizo la Uzazi? . Kutana na Mtalaamu Huyu Akusaidie

0
0
SASA YUPO DAR; Anauwezo wa kutabiri nyota yako na kukuletea mafanikio makubwa katia biashara yako, kazini na malengo yako ya maisha.Pia anatoa pete ya bahati yenye uwezo wa kukuletea mafanikio makubwa na kutimiza ndoto zako.

Je, Umedhurumiwa? unamdai na hakulipi?...Njoo upatiwe dawa ulipwe haraka. Anadawa ya kumvuta mpenzi wako popote alipo kwa masaa 6 tu na kumtuliza asitoke kwako

Je, unaugomvi usioisha na mpenzi wako na unaachwa mara kwa mara? Njoo upate dawa ufurahie penzi tulivu la umpendae.

Anadawa za nguvu za kiume, kuimarisha mishipa iliyolegea, kuongeza homoni na kukufanya udumu katika tendo hadi dakika 45 na unaweza kurudia tendo hata mara 4 bila kuchoka.

Anatibu Busha bila kupasua,uzazi, mshipa wa ngiri,kiharusi,kifafa,kuondoa majini machafu nakadhalika.

Mpigie kwa simu: 0755505099

Mahakama Kuu Yatupilia Mbali Tena Ombi la wale Wabunge 8 wa CUF aliotimulia na Lipumba

0
0
Wabunge wanane waliofukuzwa uanachama na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, anayetambuliwa na Msajili wa vyama vya Siasa nchini, Prof Ibrahim Lipumba, jana waliondoka vichwa chini baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam kutupilia mbali ombi lao la zuio la kupinga kuapishwa kwa wabunge wapya.

Uamuzi huo umetolewa na Jaji wa mahakama hiyo, Lugano Mwandambo baada ya kusikiliza hoja zote za pande mbili, ambapo amesema kuwa mahakama imetupilia mbali hoja za walalamikaji za kuweka pingamizi kutaka wabunge wapya wasiapishwe mpaka kesi ya msingi isikilizwe.

Aidha, Mwandambo amesema kuwa mahakama itasikiliza pingamizi la walalamikaji walilofungua kupinga kufukuzwa uanachama wa chama cha wananchi CUF na mwenykiti wao Prof. Ibrahim Lipumba.

Katika maombi yao walalamikaji wanaomba kutoapishwa kwa wabunge wanane walioteuliwa na kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuziba nafasi zilizoachwa wazi na wabunge hao kwa mujibu wa katiba.

Chid Benz awekwa chini ya uangalizi wa Polisi na Mahakama

0
0
Msanii Chid Benz na wenzake watano wamewekwa chini ya uangalizi maalum wa mahakama na jeshi la polisi kutokana na matumizi ya dawa za kulevya.

Chid na wenzake jana walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala baada ya upande wa Jamhuri kuiomba mahakama kuwaweka chini ya usimamizi maalum kwa kipindi cha miaka mitatu.

Polisi wa kituo cha Msimbazi waliwasilisha kiapo na kuiomba mahakama kuamuru wawekwe chini ya uangalizi maalum ikiwa ni pamoja na kusaini bondi na kuwa na wadhamini, ili kuhakikisha hawajihusishi tena na matumizi ya dawa za kulevya.

Chid na wenzake hawakuwa na pingamizi lolote kuhusu maombi hayo ya upande wa Jamhuri. Mahakama iliridhia maombi hayo na kuamuru msanii huyo na wenzake kuhakikisha wanaripoti katika kituo cha polisi cha Msimbazi mara moja kila mwezi kwa kipindi cha miaka miwili.

Aidha, kila mmoja alitakiwa kuwa na wadhamini wawili ambao walitakiwa kusaini bondi ya shilingi milioni mbili kila mmoja.

Chid Benzi aliwahi kupandishwa kizimbani baada ya kukamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) miaka miwili mitatu iliyopita akiwa na kiasi kidogo cha dawa za kulevya kwenye mfuko wa shati.

Msanii huyo alikiri kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya na amewahi kuhudhuria matibabu katika jumba maalum Bagamoyo (rehab). Hivi sasa amesema ameachana na matumizi ya dawa hizo zilizomuathiri kwa kiasi kikubwa

Zitto Kabwe Ahoji Ndege Mpya Zilizoahidiwa na Serikali Kwamba Zingekuja Mwez wa 7 Ziko Wapi?

0
0
Ahadi ya Serikali ya kununua ndege ya tatu ambayo ilitakiwa kufika nchini Julai, imeshindwa kutekelezwa hadi sasa na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amehoji kulikoni.

Mwaka jana, Serikali ilinunua ndege mbili aina ya bombadier na kuzikabidhi kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwa ajili ya uendeshaji.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa na Naibu wake, Mhandisi Edwin Ngonyani kwa nyakati tofauti walikaririwa wakisema ndege hiyo itawasili Julai na kufanya idadi ya ndege za ATCL kuwa nne.

Hata hivyo, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe katika ukurasa wake wa Twitter jana alimuliza Profesa Mbarawa kuhusu ndege hiyo.

“Serikali iliahidi bungeni kuwa Julai 2017 mtapokea ndege nyingine ya Bombadier, leo ni Agosti iko wapi, lini itafika, nini kimetokea,” aliuliza Zitto

Profesa Mbarawa alimjibu kuwa “ni kweli kabisa ahadi ilikuwa Julai kuna taratibu za mwisho zinafanywa kabla ya kuwasili hivyo itawasili tu.”

Baada ya majibu hayo, Zitto alitaka kufahamu kutoka kwa Profesa Mbarawa ni lini ndege hiyo itawasili.

“Sababu za kuchelewa ni nini, delay (kuchelewa) ya mwezi mzima siyo dalili nzuri ndugu waziri, ni kwa sababu hamjalipa au zimezuiwa na wanaotudai,” aliuliza Zitto.

==>Angalia tweet zao hapo chini


Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Jengo la Klabu ya Yanga Kupigwa Mnada Jumamosi Hii

0
0
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Klabu ya Simba SC, Haji Manara amefunguka na kuwapa pole watani wake wa jadi klabu ya Yanga kufuatia taarifa iliyotoka katika moja ya gazeti kuonyesha jengo lao litapigwa mnada Jumamosi ya wiki hii. 
 
Haji Manara ametoa pole hiyo kupitia ukurasa wake wa Instgram na kuwaombea watani wao wajadi kwa kusema hivi sasa hali yao si nzuri hivyo kama jengo hilo litauzwa watakwenda kukaa wapi.

"Mungu wangu,Jumamosi hii jengo la Yanga linapigwa mnada, Wizara ya Ardhi waoneeni huruma kidogo wenzetu wana Swaumu kali, Daah!!sasa watahamia wapi? Shubamit" alimalizia Haji Manara


Mbali na hilo klabu ya Simba na Yanga zote zipo visiwani Zanzibar zikijipanga kwa ajili ya mchezo wa ngao ya jamii unaowakutanisha watani hao katika uwanja wa Taifa siku ya Jumatano ya tarehe 23 Agosti 2017. 

Serikali ya Zimbabwe Kumsaidia mke wa Mugabe

0
0
Serikali ya Zimbabwe imemuombea Mke wa Rais Mugabe, Grace Mugabe  kinga ya kidplomasia dhidi ya kesi ya ushambuliaji inayomkabili nchini Afrika kusini.

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na maofisa wa polisi wa taifa hilo leo asubuhi zimedai kuwa hayo yamefanyika kwa mujibu wa sheria, huku wakisisitiza kwamba mwana mama huyo bado yupo Afrika ya Kusini huku wakipinga ripoti za awali zilizosambaa kwamba Grace Mugabe alikuwa amerudi nchini Zimbabwe.

Akizungumza mbele ya kamati ya bunge mapema, Kaimu Mkuu wa Polisi Lesetja Mothiba (Afrika Kusini) alisema kuwa Grace Mugabe anatakiwa aende mahakamani kulingana na sheria.

Taarifa za awali zinasema kuwa Bi Mugabe anadaiwa kutenda kosa la kumshambulia mwanamitindo mwenye umri wa miaka 20 katika hoteli jijini Johannesburg Afrika ya Kusini baada ya kumkuta na wanae alioko masomoni Afrika Kusini.

Raia wa Afrika Kusini aliyetishia kwa mtandao Afikishwa Mahakamani Tena Leo......Dhamana Yake Kujulikana Kesho

0
0
Kamishna wa Uhamiaji amesema kuwa raia wa Afrika Kusini Menelaos Tsampos anayekabiliwa na kesi ya kutishia kwa njia ya mtandao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hana uhalali wa kuishi nchini.

Hayo yameelezwa na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha wakati kesi hiyo ilipoitishwa kwa ajili ya kutajwa.

Wakili Katuga alidai licha ya kesi hiyo kutajwa, lakini wamefika na taarifa kuhusu makazi ya mshtakiwa ambapo ni kweli anaishi Dar es Salaam na ndugu zake, nyumba namba 25, Block J, ambapo wamethibitisha hilo kupitia Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa.

Alidai kuwa baada ya kuthibitisha hilo kama walivyoamriwa na Mahakama, pia walimwandikia barua Kamishna Mkuu wa Uhamiaji August 15, 2017 ili kujua uhalali wa mshtakiwa kuishi nchini.

Katuga amedai Kamishna aliwajibu kupitia barua kwamba mshtakiwa huyo hatakiwi kuwepo nchini kwa kuwa hana uhalali kisheria.

Hata hivyo, Wakili wa utetezi, Jebrah Kambole amedai kuwa barua ya Kamishna haielezi sababu za kisheria zinazomfanya mshtakiwa huyo akose uhalali wa kuishi nchini huku akisema suala la dhamana ya mshtakiwa hailingiliani na uhalali wa kuishi kwake nchini.

Kutokana na hatua hiyo, Hakimu Mkeha ameahirisha kesi hiyo hadi August 18, 2017 kwa ajili ya kutoa uamuzi.

Mshtakiwa huyo anakabiliwa na makosa manne ikiwemo June 22/2017 maeneo ya DSM kupitia mfumo wa Kompyuta alituma ujumbe wa E-mail uliokuwa na maneno ya vitisho kwa mtu anayeitwa Costa Gianna, ikiwa ni kinyume na sheria ya mtandao kifungu cha 23(1) na (2) namba 14 ya mwaka 2014.

Makamu wa Rais kumuwakilisha Rais mkutano wa 37 wa Wakuu wa Nchi SADC

0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kwenda Pretoria Africa ya Kusini ambako atamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli katika Mkutano wa 37 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika utakaofanyika Pretoria, Afrika Kusini tarehe 19 na 20 Agosti, 2017.

Mkutano huo utapokea na kujadili ajenda mbalimbali ikiwemo uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa SADC na Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama; Hali ya Michango mbalimbali ya Nchi Wanachama na Kupokea taarifa ya Mwenyekiti anayeondoka wa SADC Organ. 

Pia Mkutano utapokea taarifa ya Katibu Mtendaji wa SADC; Kupitia hali ya kiuchumi katika Kanda ya SADC; Kuwasilisha Kaulimbiu ya Mkutano wa SADC; Taarifa kuhusu Mfuko wa Maendeleo wa SADC; Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Viwanda; Kuwezesha Chuo cha Elimu ya Sayansi na Teknolojia; Maombi ya Serikali ya Comoro na Serikali ya Burundi kujiunga na SADC; Utekelezaji wa Mabadiliko ya Kitaasisi ya Umoja wa Afrika na Mkutano wa Mshikamano kati ya SADC na Saharawi ya Magharibi.

Mkutano huo utatanguliwa na Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Troika Mbili ya SADC (SADC Double Troika Summit) tarehe 18 Agosti, 2017 ambao Tanzania itakabidhi nafasi ya  uenyekiti kwa mwenyekiti mpya. Double Troika inahusisha nchi wanachama sita ambao kwa sasa ni Swaziland, Tanzania, Afrika Kusini, Angola, Botswana na Msumbiji. Katika mkutano huo Mfalme Mswati III wa Swaziland atakuwa ndiye Mwenyekiti. Ajenda kuu katika Mkutano huu ni kupokea na kujadili taarifa kuhusu hali ya kisiasa, kiulinzi na kiusalama katika Kanda na hasa nchini DR Congo na Lesotho.

Makamu wa Rais amefuatana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt Augustine Mahiga, Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijange, Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Ashatu Kijaji na watendaji wengine waandamizi Serikalini

Makamu wa Rais na ujumbe wake anatarajia kurudi nchini Agosti 21, 2017.

Imetolewa na
Ofisi ya Makamu wa Rais
Dar es salaam
17/8/2017

Prof. Mkumbo Ammwagia Sifa Raila Odinga.....Adai ni baba wa Demokrasia Afrika

0
0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo amepongeza hatua zilizochukuliwa na kiongozi wa muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya (NASA), Raila Odinga za kwenda mahakamani kudai haki yake.

Amesema kuwa kipindi ambacho kina Odinga wanapambana kupigania mageuzi wakati wa muhula wa pili wa utawala wa Rais Daniel Arap Moi, Uhuru Kenyatta yeye alikuwa kivulini

Prof. Mkumba amesema kuwa Raila Odinga ni mwanasiasa aliyekomaa kidemokrasia hivyo anafaa kuitwa baba wa demokrasia barani Afrika huku akiwataka wanasiasa kuiga mfano huo.

“Ahsante sana Raila Odinga kwa hakika maamuzi uliyofanya kwenda mahakamani kutafuta haki ni maamuzi sahihi, wewe ni baba wa Demokrasia katika ukanda huu,”amesema Prof. Mkumba.

"Huyu Kenyatta ni beneficiary. Wakati akina RAO wakipambana na akina Moi yeye alikuwa kivulini. Tuwe wa kweli" amesisitiza Kitila Mkumbo 

Uchaguzi mkuu nchini Kenya umefanyika hivi karibuni ambapo mgombea kutoka chama tawala cha Jubilee, Uhuru Kenyatta aliibuka mshindi na kumbwaga Raila Odinga 

==>Chek apo chini
 

Mtatiro: Bora CCM kuliko kufanyakazi na Prof. Lipumba

0
0
Mwenyekiti Kamati ya muda ya uongozi wa CUF, Julius Mtatiro amejibu baadhi ya hoja za watu ambao wanataka CUF kukubaliana na Professa Lipumba kwa kuwa Mwenyekiti huyo ameshika makali kutokana na vyombo mbalimbali vya Serikali kumtambua.

Amesema kuwa hilo ni jambo ambalo halitawezekana tena kwao kukubali yaishe, hivyo hawawezi kukaa meza moja na Profesa Ibrahim Lipumba kwani alishaga jiuzuru katika harakati za Kampeni za uchaguzi.

"Nasoma maoni ya baadhi ya watanzania kuja kwetu, kwamba kwa sababu serikali, dola, CCM, polisi, bunge, NEC, RITA, na Msajili wa Vyama vya Siasa wameshikamana kumuunga mkono Lipumba, na kwa hiyo ati Lipumba ameshikilia mpini na chama kimeshikilia makali kwa nini tusikubali yaishe? Lipumba apewe kila kitu...hadi roho zetu, lakini misingi yetu, misimamo yetu, umoja wetu na mshikamano wetu, hawezi kupewa. Hizi ndizo silaha zetu na niwaambie kuwa zina faida ya muda mrefu kuliko zile anazozitizama msaliti" alisema Mtatiro   na kuongeza;

"Ni mara kumi kumsamehe jirani yako aliyembaka mwanao, kuliko kumsamehe baba yako mzazi aliyembaka mwanao. Adui wa ndani, ni hatari zaidi kuliko adui wa nje. CCM ni adui bora kuliko Lipumba na kwa hiyo ni rahisi sana kufanya kazi na CCM kuliko kufanya kazi na Lipumba"

Aidha Mtatiro amesema kuwa ni rahisi sana kufanyakazi na Chama cha Mapinduzi CCM kuliko kufanya kazi na Profesa Ibrahim Lipumba kwakuwa alichokifanya si kitendo cha kiungwana.
 
Julius Mtatiro kwa sasa yupo nchini Marekani alipokwenda kimasomo na ayasema hayo kupitia mtandao wake wa Facebook na kusema ni jambo ambalo halitawezekana wao kukubali yaishe. 

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya August 18

Mwanamke Auawa Kikatili Ndani ya Pagala

0
0
Mwanamke mmoja amekutwa akiwa ameuawa na watu wasiyofahamika na mwili wake kutupwa kwenye nyumba ambayo haijamalizika kujengwa (Pagala) huku akiwa amefungwa kwenye mfuko wa sandarusi na kuzungushiwa nguo alizokuwa amevaa.

Hayo yamethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoani Mwanza, DCP Ahmed Msangi na kusema tukio hilo limetokea tarehe 16.08.2017 majira ya saa 11:30 jioni katika mtaa wa Kitangiri kata ya Kitangiri Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza.

DCP Msangi amesema mwili wa marehemu uliweza kuonekana mahali hapo baada ya watoto waliokuwa wakicheza eneo hilo kuona kifurushi kilichotupwa kwenye Pagala ndipo walipotoa taarifa kwa mama yao na baadaye kutoa taarifa kwa uongozi wa Mtaa pamoja na kituo cha Polisi.

Aidha, Kamanda Msangi amesema mwili wa marehemu haukuwa na jeraha lolote bali uchunguzi wa awali umeonyesha kuwa wauaji walimuua kwa kumziba pumzi kisha kwenda kumtupa kwenye Pagala eneo ambalo siyo rahisi mtu kupita.

Kwa upande mwingine, DCP Msangi amesema upelelezi unaendelea wa kuwatafuta watu waliyohusika na mauaji ya mwanamke huyo kwa namna moja ama nyingine. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya Rufaa ya Bugando kwa ajili ya uchunguzi na utambuzi.

Rais Magufuli Ateua Mwenyekiti wa Baraza la Ushindani

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 18 Agosti, 2017 amemteua Mhe. Jaji Barke Mbaraka Aboud Sehel kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Ushindani (Fair Competition Tribunal - FCT).

Mhe. Jaji Barke Mbaraka Aboud Sehel anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mhe. Jaji Zainab Goronya Muruke ambaye amemaliza muda wake.

Kabla ya uteuzi huu Mhe.  Jaji Barke Mbaraka Aboud Sehel alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara.

Wajumbe wa Baraza la Ushindani ni;
  1.     Mustafa Siyani
  2.     Donald L. Chidowu
  3.     Susana Mkapa
  4.     Bibi Bitamo Kasuku Phillip
  5.     Yose Joseph Mlyambina
  6.     Dkt. Theodora Mwenegoha
Uteuzi huu umeanza  tarehe 18 Agosti, 2017

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
18 Agosti, 2017

Magufuli ateua maprofesa watatu kuongoza taasisi

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 18 Agosti, 2017 amefanya uteuzi wa viongozi wafuatao;

Kwanza, Mhe. Rais Magufuli amemteua Prof. Abdulkarim Hamis Mruma kuwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Kuhifadhi Mafuta (TIPER).

Prof. Abdulkarim Hamis Mruma ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania.

Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Prof. Joseph Buchweshaija kuwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania Ltd.

Prof. Joseph Buchweshaija ni Naibu Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE).
 
Tatu, Mhe. Rais Magufuli amemteua Prof. Evaristo Joseph Liwa kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi (Ardhi University).
 
Prof. Evaristo Joseph Liwa amechukua nafasi ya Prof. Idrissa B. Mshoro ambaye amestaafu.
 
Uteuzi wa viongozi hao umeanza tarehe 17 Agosti, 2017

Emmanuel Buhohela
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi
Dar es Salaam
18 Agosti, 2017

Majeruhi Watatu wa Lucky Vicent Wawasili Nchini....Vilio Vyatawala Uwanjani

0
0

Wazazi, watoto na watu mbali mbali wameshindwa kujizuia na kumwaga chozi walipokuwa wakiwapokea watoto Sadia Ismail, Doreen Eribariki na Wilson Tarimo, ambao wamerejea rasmi nchini wakitokea nchini Marekani walikokuwa wakipatiwa matibabu.

Watoto hao ambao ni manusura wa ajali iliyoua takriban wanafunzi 32 wa shule ya msingi Lucky Vicent, wamepokelewa na viongozi mbali mbali wa serikali wakiwemo Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Bi. Anna Mghwira, Mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu, wazazi na wanafunzi wa shule ya Lucky Vicent, waliwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

Watu mbali mbali walihudhuria uwanjani hapo wakiwa na mashada ya maua kuwalaki huku kukiwa na burudani mbali mbali kutoka kwa sanii Mercy Masika wa Kenya, Angel Bernad wa Tanzania na Kwaya ya Shangwe kutoka jijini Arusha.

Shirika la Samaritan Purse la Marekani lilijitolea kusaidia watoto hao kuanzia usafiri na gharama za matibabu kwa muda wote ambao walikuwa nchini humo wakitibiwa, katika Hospitali ya Sioux City tangu mwezi Mei 15, kufuatia majeraha makubwa kwenye ajali kubwa waliyoipata tarehe 6 Mei 2017, wakitokea hospitali ya Mt. Meru Arusha.

IGP Sirro: Kustaafu kazi sio mwisho wa kufanyakazi jeshini

0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Simon Sirro amewataka Makamishna wastaafu kuendeleza elimu ya polisi jamii pamoja na kutoa msaada wowote utakaohitajika kwa jeshi la hilo.

Ameyasema hayo mapema hii leo jijini Dar es salaam wakati wa sherehe za kuwaaga makamishna wastaafu zilizofanyika katika viwanja vya Chuo cha Maafisa wa Polisi kilichopo jijini humo.

Aidha, Makamishna walioagwa ni pamoja na Paul Chagonja, Hamdan Omar Makame na Kenneth Kaseke, ambapo amesema kuwa kazi waliyofanya wastaafu hao ni kubwa lakini kustaafu kwao sio mwisho wa kutumika katika jeshi la polisi.

“Upolisi ni taaluma kama zilivyo taaluma nyingine hivyo utaalamu hauzeeki na kwetu sisi tunaondelea kubaki Jeshini tutaendelea kufuata yale yote mazuri mliyofanya na nyie mnapokuwa nje ya utumishi endeleeni kutusaidia kwa mawazo na milango yetu ipo wazi ili kuhakikisha nchi inaendelea kuwa salama,” amesema IGP Sirro

Kwa upande wake, Paul Chagonja ambaye alikuwa Kamishna wa Oparesheni na mafunzo kwa muda mrefu amewaasa Maofisa na Askari kuendeleza tamaduni na maadili ya Polisi pamoja na kufanya kazi kwa weledi.

Sherehe hizo zimehudhuriwa na Viongozi mbalimbali kutoka vyombo vya ulinzi na usalama, Mkurugenzi wa Takukuru Kamishna, Valentino Mlowola, IGP Mstaafu Said Mwema, DCI Mstaafu, Robert Manumba na Kamishna Mstaafu wa Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam, Suleiman Kova pamoja na maofisa na Askari Polisi.

Pata Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa, Magonjwa Sugu na Mengne Mengi

0
0
Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..

CHIEF SULTAN ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na CHIEF SULTAN Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
 
Wasiliana na CHIEF SULTAN Kwa Majibu ya Maswali yako..
Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA..
Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
 
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.)Humaliza Kesi za Muda mrefu ndani ya siku 14 tu.
Anatoa NDAGU Zisizokuwa na Masharti.. Kwa maelezo Zaidi wasilina nae kwa

whatsapp +255 0658 316 976
Call +255 755 911 233

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya August 19

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images