Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mwanamke wa kitanzania anaswa na Madawa ya Kulevya Uwanja wa Ndege Dar akiyapeleka Macau nchini China

$
0
0
KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na dawa za kulevya nchini, kimemkamata mwanamke mmoja Mtanzania akiwa amebeba kete 63 za dawa za kulevya aina ya heroine.  Mwanamke huyo, Salama Mzara mkazi wa Mbagala, jijini Dar es Salaam, alikamatwa juzi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akiwa njiani kuelekea Macau nchini China. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana,

MASOGANGE,,,, NAOGOPA MUME WA MTU SUMU

$
0
0
  VIDEO Queen mwenye figa matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amesema anaogopa kama ukoma kutembea na mume wa mtu kama wafanyavyo baadhi ya watu.                 Agnes Jerald ‘Masogange’.  Akizungumza na paparazi wetu, Agnes ambaye hivi sasa amejiingiza kwenye soko la filamu, alisema anaogopa sana kuingia kwenye uhusiano na mume wa mtu ndiyo maana anaona bora aendelee na

Rais Kikwete atangaza jumatatu januari 13 2014 ni siku ya mapumziko...

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza kuwa kesho, Jumatatu, Januari 13, 2014, itakuwa ni Siku ya Mapumziko (Public Holiday) kwa Watanzania wote kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.   Rais Kikwete ameutangaza uamuzi huo mjini Zanzibar ambako leo ameungana na Watanzania na Wazanzibari

Picha: Sherehe za miaka 50 ya mapinduzi ya Zanzibar...

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la heshima wakati wa kilele cha sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Uwanja wa Amani Abeid Karume leo Januari 12, 2014.Vijana wakiachia njiwa kama alama ya amani wakati wa kilele cha sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Uwanja wa Amani Abeid Karume leo

CHADEMA yatoa ufafanuzi kuhusu tuhuma za ufisadi zilizoelekezwa kwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe

$
0
0
Kama mojawapo ya mikakati ya baadhi ya watu wanaotaka kuhamisha mjadala wa makosa yanayowaandama ya utovu wa maadili na usaliti dhidi ya chama, hivi karibuni, Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe amezushiwa tuhuma zisizokuwa na ukweli wowote zikilenga kumchafua kwa nafasi yake ya uongozi na kuipaka matope taasisi anayoiongoza.   Tuhuma hizo ni pamoja na; 1. Kwamba Mwenyekiti wa CHADEMA

Taarifa muhimu kuhusu kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kujitolea- 2014

$
0
0
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) litaandiksiha vijana wa kujiunga na JKT kwa kujitolea kuanzia Januari 2014. Nafasi hizo zimetolewa kwa Tanzania Bara na Visiwani. Usaili utaanzia ngazi za Wialaya hadi Mkoa. Vijana wanaopenda kujiunga na JKT kwa kujitolea kwa kipindi cha miaka miwili wapelekea maombi yao kwenye Wilaya waliko. Mafunzo yataanza mwezi Machi kwa watakaochaguliwa. Sifa na

Kauli ya UVCCM kuhusu baadhi ya wana CCM wanaojinadi kugombea nafasi za uongozi

$
0
0
Kwa kipindi kirefu sasa vijana ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tumeshuhudia na kusikia kauli na vitendo vya baadhi ya wanachama wa CCM vinavyoashilia ukiukwaji wa makusudi wa maadili, miiko na kanuni za Chama. CCM katika uhai wake wa miaka 37 baada ya kuunganisha TANU na ASP, imeendelea kukua na kushamiri kutokana na misingi imara ya kikatiba tuliyojiwekea tangu mwaka 1977, ambayo wana

Wema Sepetu na Diamond wajirekodi wakifanya yao kitandani

$
0
0
Penzi lenye historia ya kushamiri, kumwagana na kurudiana limezidi kuchukua sura mpya, safari hii, Wema Sepetu  amenaswa akimrekodi video baby wake Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Chanzo cha  kuvuja kwa scene hiyo mpya ilitokea Ijumaa iliyopita ambapo bila hiyana, bibie Wema aliamua kuitupia video katika Mtandao wa Instagram ambayo alimrekodi Diamond aliyekuwa akiandika mashairi

Mbunge Ndesamburo ajitosa kumtetea Lowassa.. Aitaka CCM imwache aendeleze ndoto zake.

$
0
0
Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kiache kumsakama Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa kwa sababu tu ya kutaka kutimiza ndoto yake.    <!--Ads and Related Buttons--><!-- Ads minus related Buttons --> Ndesamburo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Mkoa Kilimanjaro, alisema kama ni kuonyesha nia wapo wanachama wengine wa CCM

Mgogoro wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto wasababisha mauaji ya watu 13 na majeruhi zaidi ya 50

$
0
0
MZAHA  unaodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wilayani Kiteto na mkoani Manyara katika kusuluhisha mgogoro wa wafugaji na wakulima, umesababisha mauaji ya watu zaidi ya 13 usiku wa kuamkia jana. Mbali ya vifo hivyo, vita hiyo iliyaonza majira ya saa 11 alfajiri kwa kutumia silaha za moto na jadi, imesababisha majeruhi zaidi ya 50 huku wengine wakiachwa na ulemavu wa kudumu.

Mchungaji awaamuru waumini wake wale majani kama mbuzi ili waweze kuwa karibu na Mungu

$
0
0
Umaskini, magonjwa na matatizo mengine yanayowakabili binadamu, yamewafanya waamini kila kitu wanachoambiwa na viongozi wao wa dini kama njia ya kuyaondoa. Muumini akila majani ili kuwa karibu na Mungu Mchungaji wa nchini Afrika Kusini amewafanya waumini wake wale majani kama mbuzi  eti ili waweze kuwa karibu na Mungu. Mwanamke mmoja alidai kuwa kula majani kulimponya koo lake

Sad News: Jambazi laua watu watatu muda huu akiwemo Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Newala

$
0
0
Kamanda Zelothe Stephen ** Habari za hivi punde zinasema kuwa watu watatu akiwamo Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Newala wameuawa kwa kupigwa risasi na mtu anayesadikiwa kuwa ni jambazi muda mfupi uliopita. Kwa mujibu wa mashuhuda, jambazi huyo aliyekuwa na bunduki aina ya SMG iliyokatwa kitako, alifika kwenye kituo cha mafuta cha Camel Oil mjini humo akijifanya anataka kununua mafuta.

Mzee Mwinyi ndo mgeni Rasmi wa sherehe za Maulid katika mkoa wa Dar es Salaam....Kitaifa, sherehe hizo zinafanyika Kigoma ambapo mgeni rasmi ni Rais Kikwete

$
0
0
RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi leo atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za Maulidi Kimkoa, Dar es Salaam zinazofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.   Sikukuu ya Maulid inaadhimishwa na waumini wa dini ya Kiislamu duniani kote, ikiwa na maana ya kumbukumbu kuzaliwa kwa Mtume Muhamad(S.A.W).   Kitaifa, sherehe hizo zinafanyika Kigoma na mgeni rasmi ni Rais Jakaya

Rais Kikwete aomba msaada kwa serikali ya China kusaidia kupanga miji nchini

$
0
0
Rais Kikwete aomba msaada wa China kupanga miji nchini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameiomba Jamhuri ya Watu wa China kusaidia mipangomiji katika baadhi ya maeneo ya kimkakati ya Tanzania na China imekubali kuleta timu ya wataalam kufanya tathmini katika maeneo hayo yote ama baadhi ya maeneo hayo ili kujua mahitaji kamili ya mipangomiji ya

CCM wamteua Mahmoud Thabit Kombo kuwania uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki baada ya aliyekuwa mwakilishi wake, Mansoor Yussuf Himid, kufukuzwa uanachama

$
0
0
Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemteua Mahmoud Thabit Kombo, kuwa mgombea wa kiti cha uwakilishi katika Jimbo la Kiembesamaki.   Jimbo hilo limekuwa wazi baada ya aliyekuwa mwakilishi wake, Mansoor Yussuf Himid, kufukuzwa uanachama kwa madai ya kwenda kinyume na maadili na sera za CCM.   Akitangaza uamuzi huo jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye

Baada ya Mbowe kutishia kumshitaki Zitto Kabwe mahakamani, Zitto ajibu mapigo kwa kudai kuwa yupo tayari kupambana naye mahakamani

$
0
0
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema anamsubiri Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe mahakamani.  Zitto ametoa kauli hiyo siku moja baada ya Mbowe kutangaza kumburuza mahakamani, kutokana na kile kinachodaiwa kumzushia tuhuma za uongo. “Nasema sitaki malumbano na kiongozi yeyote, nachotambua masuala ya mahakamani yanajibiwa mahakamani na si vinginevyo,” alisema

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM ) wafunga barabara ya Mandela kwa mawe baada ya TANESCO kuwakatia umeme kwa siku tatu...Polisi yatoa onyo kali

$
0
0
Polisi mkoa wa Kinondoni imetoa  onyo  kali  kwa  wanafunzi  wa  chuo  kikuu  cha  Dar es Salaam  kutokana  na  kufunga  barabara  ya  Mandela  na  kurusha  mawe  wakidai  kukatiwa  umeme  kwa  takribani  siku  tatu.... Wanafunzi  hao  waliifunga  barabara  hiyo  kati  ya  saa tatu  na  saa  nne  usiku  katika  hosteli  za  Mabibo  huku  wakirusha  mawe  na  wengine  kulala 

Loveness Diva, B 12 na Adam Mchomvu wapigwa chini Clouds Fm

$
0
0
WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamepigwa chini na kituo hicho... Habari za chini kwa chini kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa uongozi wa Clouds umefikia hatua hiyo baada ya kuchoshwa na tabia ya utovu wa nidhamu wa watangazaji hao.   Hata hivyo, madai ya mitaani yanasema kwamba

Rais Kikwete aagana na Mwakilishi mkazi wa Umoja wa Mataifa Ikulu jijini Dar

$
0
0
Mwakilishi mkazi na Mratibu wa Shughuli za Umoja wa Mataifa nchini (Resident Coordinator of the UN System) Bwana Alberic Kacou akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete nakala ya Ripoti ya mwaka Utendaji ya (UNDP) 2012-2013 wakati mwakilishi huyo alipokwenda kumuaga Rais Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo. Bwana Kacou anaondoka baada ya muda wake wa utumishi kumalizika hapa nchini

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aelekea Wilaya ya Kiteto Arusha kutafuta suluhu ya mapigano baina ya wakulima na wafugaji yaliyoua watu 20 mpaka sasa

$
0
0
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anakwenda Wilaya ya Kiteto, Arusha kutafuta suluhu ya mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika Hifadhi ya Embroi Murtangosi yaliyosababisha vifo vya watu 10.    Mwandishi wa Habari wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Irene Bwire alisema jana: “Ni kweli Waziri Mkuu atakwenda kutembelea wilayani Kiteto ili kuongoza juhudi za kupata ufumbuzi wa tatizo hilo.”  
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images