Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Tabora Wapewa Maisha Mapya.......Rais Magufuli Azindua Miradi Mbalimbali ya Maendeleo

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli jana tarehe 24 Julai, 2017 ameweka jiwe la msingi katika miradi mikubwa miwili ambayo ni mradi wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda miji ya Tabora, Igunga na Nzega na mradi wa ukarabati na upanuzi wa uwanja wa ndege wa Tabora, na amefungua barabara mbili za Tabora – Nyahua na Tabora – Puge – Nzega.

Mradi wa maji kutoka ziwa Victoria utatekelezwa kwa muda wa miezi 30 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 600 ikiwa ni Mkopo kutoka Serikali ya India na utazalisha takribani lita Milioni 80 za maji kwa siku kwa ajili ya wakazi wa Tabora ambao kwa sasa wanahitaji lita Milioni 36 na pia utamaliza tatizo la maji katika miji ya Igunga, Nzega, Tinde, sehemu ya Wilaya ya Uyui, Shinyanga Vijijini na Vijiji 89 vilivyo kando ya mabomba ya mradi huo.

Mradi wa ukarabati na upanuzi wa uwanja wa ndege wa Tabora unatarajiwa kukamilika katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu kuanzia sasa na ni miongoni mwa miradi inayotekelezwa kwa awamu tatu katika Mikoa ya Bukoba, Kigoma, Tabora na usanifu wa viwanja vingine 11 katika Mikoa mbalimbali nchini kwa gharama ya Shilingi Bilioni 69.7.

Barabara ya lami ya Tabora – Nyahua yenye urefu wa kilometa 85 imejengwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 123.773 na barabara ya Tabora – Puge – Nzega yenye urefu wa kilometa 114.9 imejengwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 160.515, fedha zote zikiwa zimetolewa na Serikali ya Tanzania.

Baada ya kuweka mawe ya msingi na kufungua miradi hiyo, Mhe. Rais Magufuli aliyeongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli alifanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Mjini Tabora ambapo aliipongeza Wizara ya Maji na Umwagiliaji na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kwa kutekeleza miradi hiyo, na pia alimuomba Balozi wa India hapa nchini Mhe. Sandeep Arya kumfikishia shukrani zake na za Watanzania kwa Waziri Mkuu wa India Mhe. Narendra Modi kwa kutoa mkopo wa Shilingi Bilioni 600 kwa ajili ya kufanikisha mradi huo wa maji na pia kutoa fedha nyingine Shilingi Trilioni 1.2 kwa ajili ya kutekeleza miradi mingine 17 hapa nchini.

Mhe. Rais Magufuli alimtaka Mkandarasi anayejenga mradi wa maji kutoka ziwa Victoria kuharakisha kazi hiyo na kuikamilisha kabla ya miezi 30 ili wananchi wa Tabora na maeneo yanayosubiri maji ya mradi huo waanze kunufaika mapema na pia ameiagiza Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuongeza urefu wa njia ya kurukia ndege ya uwanja wa Tabora kutoka kilometa 1.9 waliyopanga hadi kufikia kilometa 2.5 na kujenga jengo kubwa zaidi la abiria litakaloweza kuchukua abiria laki 5 kwa mwaka badala ya abiria 50,000 kama ilivyopangwa hali itakayouwezesha uwanja huo kupokea ndege kubwa na ndogo.

Mhe. Rais Magufuli amewahakikishia wananchi wa Tabora kuwa Serikali yake imejipanga kutekeleza ahadi alizotoa ikiwemo kujenga reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (Standard Gauge) itakayoanzia Dar es Salaam – Morogoro – Dodoma – Tabora hadi Kigoma ili kurahisisha usafiri na kukuza biashara ya ndani na nje ya nchi na amewataka wote waliojenga majengo katika hifadhi ya reli kujipanga kuondoa majengo yao kwa hiari kwa kuwa Serikali haitawalipa fidia yoyote.

Kuhusu kero mbalimbali ambazo wananchi wengi wamekuwa wakitaka kumweleza Rais katika mikutano na kwa kutumia mabango Mhe. Dkt. Magufuli aliwaagiza viongozi wa Mikoa na Wilaya kutenga muda kila wiki kwa ajili ya kusikiliza kero hizo na ameonya kuwa kuendelea kwa vitendo hivyo kunaashiria kuwa viongozi wa maeneo husika hawatekelezi wajibu wao ipasavyo.

Pamoja na Mawaziri Prof. Makame Mbarawa Mnyaa na Mhandisi Gerson Lwenge mkutano huo umehudhuriwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Prof. Norman Sigalla King na Wabunge wa Mkoa wa Tabora ambao walimtaka Mhe. Rais Magufuli kutokatishwa tamaa na watu wanaobeza juhudi kubwa anazozifanya kuwapigania Watanzania, na wamemhakikishia kuwa Wabunge wote wenye nia njema na Tanzania wataendelea kumuunga mkono katika dhamira yake ya kuijenga Tanzania Mpya.

 Leo tarehe 25 Julai, 2017 Mhe. Rais Magufuli ataendelea na ziara yake Mkoani Singida ambako atafungua mradi wa barabara ya Manyoni – Itigi yenye urefu wa kilometa 89.3

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Tabora

Tanzania na Kenya zamaliza tofauti zao za kibiashara

$
0
0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Kenya zimefanya mazungumzo ya pamoja na kutatua  vikwazo vilivyokuwa vikiikabili  sekta ya biashara baina ya nchi hizo.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Jijini Dar es Salaam Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Augustine Mahiga alitoa taarifa juu ya kumalizika kwa tofauti za kibiashara baina ya nchi hizo.

 “Bidhaa za Tanzania zilizowekewa vikwazo na nchi ya Kenya ni unga wa ngano pamoja na  gesi ya kupikia (LPG). Aidha juhudi, za Serikali ya Tanzania kuona vikwazo hivyo vinaondolewa na Serikali ya Kenya kwa wakati hazikuzaa matunda, hivyo Serikali ya Tanzania nayo iliweka vikwazo kwa bidhaa za maziwa na sigara kutoka Kenya kuingia katika soko la Tanzania,” alifafanua Dkt. Mahiga.

Alisema kuwa kutokana na mahusiano mazuri ya udugu yaliyopo kati ya Tanzania na Kenya na  kwa kujali manufaa mapana ya Jumuiya ya Afrika Mashariki viongozi wakuu wa nchi hizo mbili, Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli walikubaliana kuzungumza na kutoa vikwazo vya biashara hizo.

Aidha, Dkt. Mahiga amesema, nchi hizo zimekubaliana kuunda Tume ya pamoja ambayo itakuwa na jukumu la kuepusha tofauti za kibiashara kati ya Tanzania na Kenya pamoja na kutolea ufumbuzi changamoto za kibiashara kati ya nchi hizo mbili pindi zinapojitokeza.

Tume hiyo itaongozwa na Mawaziri wa mambo ya Nje wa Tanzania na Kenya na kujumuisha mawaziri wanaohusika na masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Biashara, Fedha, Mambo ya Ndani ya Nchi, Kilimo, Uchukuzi na Utalii wa nchi hizo.

Isome hapa hati ya shtaka alilosomewa Tundu Lissu mahakamani na Kiha Kunyimwa Dhamana

$
0
0
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu jana alisomewa mashtaka ya uchochezi na kurudishwa rumande akisubiri hatma ya dhamana yake.

Lissu alisomewa mashtaka ya kutoa lugha ya uchochezi dhidi ya Serikali, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbert Mashauri.

Mawakili watano wa upande wa Jamhuri waloshiriki katika kesi hiyo, waliiambia Mahakama kuwa Lissu alitenda kosa hilo la jinai Julai 17 mwaka huu katika eneo la Ufipa, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Lissu ambaye alikuwa akitetewa na jopo la mawakili 20 wakiongozwa na Fatma Karume, alikana mashtaka dhidi yake. Mbunge huyo pia alisikika akisema, “kwakweli halijawahi kuwa kosa la jinai.”

Baada ya kusikiliza pande zote mbili Mahakama imeahirisha kesi hiyo hadi Julai 27 ambapo hatma ya dhamana ya mwanasiasa huyo ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) itakapojulikana.

==>Hii ndpo hati ya shitaka lake

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alia na uchache wa wataalamu wa afya nchini

$
0
0
Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema kuwa ipo haja ya kuzalisha wataalamu zaidi ili kukwepa kupeleka wagonjwa nje ya nchi.

Amesema hayo jana Jumatatu, Julai 24, alipokuwa akizindua mkutano wa siku mbili uliozikutanisha nchi 12 zikiwamo za Afrika ili kujadili utoaji wa huduma za afya hususani katika sekta binafsi.

Alisema katika majukwaa ni rahisi kusema hakuna haja ya kupeleka wagonjwa nje ya nchi kwa ajili ya kupata matibabu, lakini kiuhalisia jambo hilo haliwezekani kwa sababu wataalamu waliopo ni wachache.

Alitolea mfano nchi nzima kuna wataalamu watatu wa upasuaji wenye utaalamu wa mishipa ya fahamu ambao hawatoshi ukilinganisha na idadi ya Watanzania wanaofikia 50 milioni.

Rais Kikwete pia alitumia mkutano huo kuwaasa wahudumu wa  afya wa sekta binafsi kusisistiza matumizi ya bima ya afya kwa wananchi badala ya kung'ang'ania kudhaminiwa na Serikali kupata mikopo.

Alisema rais huyo mstaafu: "Msijisumbue kwa hili Serikali haiwezi kuwadhamini wala msijidanganye, haiwezi kufanya hivyo kwa sababu italazimika kutumia kodi za wananchi kulipa mikopo iliyowashinda kulipa.

“Wananchi wakiwa na bima ya afya mnaweza kujipanua hadi mikoani na mkafanya kazi na kuacha kufanya mijini pekee ambako wananchi angalau wanaweza kumudu gharama za matibabu," alisema.

Naye Mkurugenzi wa Mfuko wa Mikopo-Afrika Mashariki Evelyne Gitonga alisema asilimia 84 ya vituo vya afya binafsi nchini Tanzania havifanyi vizuri kutokana na kukosa ruzuku kutoka serikalini na kutofikiwa na mikopo.

Alisema kukosekana mikopo na fedha za kujiendesha husababisha kutoa huduma chini ya kiwango hali inayosababisha wanaovitegemea kuendelea kuteseka.

Akizungumza katika mkutano huo, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu alisema kuwa wataalamu wanazalishwa kwa wingi changamoto iliyopo ni ajira.

Alisema wanalifanyia kazi suala hilo ili kuhakikisha wanakuwa na rasilimali watu ya kutosha ili kufanikisha azma ya utoaji huduma bora ya afya.

Waziri wa Afya ataka waganga wa tiba asilia wasiwekewe vikwazo

$
0
0
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka waganga wakuu wa mikoa na wilaya kutowawekea vikwazo wataalamu wa tiba asili na mbadala ili waweze kujisajili na kutambulika kisheria.

Mwalimu ameyasama hayo jana  Jumatatu Julai 24 wakati akizindua Mpango Mkakati wa Tiba Asilia na Tiba Mbadala utakaoanza kutumika mwaka 2017 hadi mwaka 2022.

Alisema si lengo la Serikali kukandamiza au kuzuia tiba asilia bali inataka kuhakikisha dawa zinazotumika ni salama kwa afya za watumiaji.

“Ili kujua kama dawa ni salama lazima wajisajili, dawa zao ziangaliwe na inapothibitika kuwa ni salama basi zitumike, tusiwawakee vikwazo, ni wajibu wetu kuwawekea mazingira wezeshi kufikia hatua hiyo,” alisema.

Alisema zaidi ya asilimia 60 ya Watanzania wanatumia tiba mbadala na asilia hivyo ni muhimu kuwepo uangalizi wa kutosha kuhakikisha dawa hizo hazileti madhara kwenye jamii.

Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Dk Edmund Kayombo alisema watalaamu 16,200 pekee ndio wamesajiliwa kisheria kutoa tiba hizo.

“Tunawahamasisha waje kujisajili, wapo wanaojitokeza ila wengi wao wanakwepa kwasababu hawataki kuonyesha miti wanayotumia,”alisema.

TRA Yaidia ACACIA Trilioni 425 kwa Kukwepa Kodi Tangu Mwaka 2000

$
0
0
Kampuni ya Acacia imeeleza kuwa imepokea taarifa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inayoonyesha kuwa migodi yake ya Bulyanhulu inadaiwa kodi ya kati ya mwaka 2000 hadi 2017 na Pangea inadaiwa kodi ya kati ya 2007-2017.

Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa katika tovuti ya Acacia jana Julai 24, imeeleza kuwa taarifa hiyo imetokana na ripoti za kamati mbili za Rais zilizoonyesha kuwa wamekuwa hawatangazi kiasi halisi cha mapato yao wakisafirisha mchanga kwenda nje ya nchi.

Acacia wamesema kuwa, bado wanaendelea na msimamo wao wa kupinga matokeo ya kamati hizo na kusema kuwa wamekuwa wakitangaza mapato yao. 

Aidha, wameeleza kwamba bado hawajapata nakala za ripoti za kamati ya kwanza na ya pili zilizowasilishwa kwa Rais Magufuli Mei 24 na Juni 12 mwaka huu.

Uchambuzi uliofanywa na TRA umeonyesha kuwa Mgodi wa Bulyanhulu unadaiwa na serikali takribani Tsh 344.8 trilioni (USD 154bn) na Mgodi wa Pangea takribani Tsh 76.1 trilioni (USD 36bn).

Uchambuzi huo unaonyesha kuwa Acacia wanadaiwa takribani Tsh 89.5 trilioni (USD 40bn), ikiwa ni malimbikizo ya kodi na Tsh 335.9 trilioni (USD 150bn) ikiwa ni adhabu na riba.

Aidha, Acacia wamepinga uchambuzi huo, na kusema kuwa wanaufanyia kazi ili waweze kutoa maamuzi sahihi.

==>Hapo chini ni taarifa ya Acacia 
 

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Majina ya vyuo 19 vilivyozuiwa na TCU kuandikisha wanafunzi mwaka 2017/18

$
0
0
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesema kuwa imefanya uhakiki wa vyuo vyote vya elimu ya juu nchini ili kuhakiki ubora wa elimu inayotolewa vyuoni hapo, ripoti ya uhakiki huo ilionyesha mapungufu kadhaa katika baadhi vyuo. 

Hivyo tume imeamua kuchukua uamuzi wa kusitisha udahili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2017/18 kwa vyuo hivyo.

Aidha, Tume hiyo imevitaja vyuo hivyo kuwa ni pamoja na:
  1.     Eckenforde Tanga University
  2.     Jomo Kenyatta University, Arusha
  3.     Kenyatta University, Arusha
  4.     United African University of Tanzania
  5.     International Medical and Technological University (IMTU)
  6.     University of Bagamoyo
  7.     Francis University College of Health and Allied Sciences
  8.     Archibishop James University College
  9.     Archibishop Mihayo University College
  10.     Cardinal Rugambwa Memorial University College
  11.     Kampala International University Dsm College
  12.     Marian University College
  13.     Johns University of Tanzania Msalato Centre
  14.     Johns University of Tanzania, Marks Centre
  15.     Joseph University College of Engineering and Technology
  16.     Teofilo Kisanji University
  17.     Teofilo Kisanji University Tabora Centre
  18.     Tumaini University, Mbeya Centre
  19.     Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMCo)
Aidha, kutokana na mapungufu hayo katika vyuo mbalimbali imeamriwa kuwa jumla ya programu 75 kutoka vyuo 22 nchini zimesitishwa kudahili wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2017/18. 

Programu ambazo zimesitishwa kudahili wanafunzi kwa mwaka wa masomo 2017/18 ni pamoja na

Taarifa ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kuhusu Wabunge wa CUF waliofukuzwa uanachama.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..

CHIEF SULTAN ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na CHIEF SULTAN Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
 
Wasiliana na CHIEF SULTAN Kwa Majibu ya Maswali yako..
Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA..
Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
 
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.)Humaliza Kesi za Muda mrefu ndani ya siku 14 tu.
Anatoa NDAGU Zisizokuwa na Masharti.. Kwa maelezo Zaidi wasilina nae kwa

whatsapp +255 0658 316 976
Call +255 755 911 233

Rais Magufuli kuwatimua viongozi wa mikoa na wilaya zitakazokumbwa na njaa

$
0
0
Rais John Magufuli amesema Serikali haitatoa chakula kwa mkoa utakaokumbwa na baa la njaa na badala yake viongozi wa mkoa huo watawajibishwa.

Ameyasema hayo leo Jumanne, Julai 25 wakati wa ziara yake ya uzinduzi wa barabara na kuongeza kuwa kiongozi ambaye hatahamasisha watu wake kulima hafai kuwa kiongozi.

“Wilaya ikiwa na njaa nitajua wewe mkuu wa mkoa hufai, mkuu wa wilaya hufai. Mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya atakayeshindwa kuwahamasisha watu wake wafanye kazi, hafai kuwa kiongozi,” amesema.

Amewataka wakuu wa mikoa kuwaondoa katika nafasi zao makatibu tarafa ambao hawahamasishi kilimo.

“Ikiwezekana na wewe mkuu wa wilaya au mkoa, kama unakaa kijijini au ni katibu kata onyesha mfano wako wa kazi. Ukiwa diwani, hivyo hivyo, ukiwa mbunge hivyo hivyo.  Ndiyo maana ninatimiza wajibu wangu wa kuhamasisha watu, chapa kazi, hapa kazi tu.” Amesema.

Werema afunguka kwanini alimuita Kafulila ‘Tumbili’

$
0
0
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema amezungumzia kauli yake ya mwaka 2014 ya kumuita ‘tumbili’ aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila wakati wa mjadala wa Escrow bungeni, ambapo amesema ulikuwa msemo tu.

Jaji Werema ametoa ufafanuzi wa kauli yake ikiwa ni siku moja baada ya Rais John Magufuli kumsifu Kafulila kwa kuibua sakata la akaunti ya Tegeta Escrow na kumueleza kuwa yeye ni mtu safi na kwamba waliomuita tumbili ndio watakaokuwa tumbili.

“Unajua wengi walishindwa kuelewa nilisema nini, mimi nilichokizungumza ni kwamba tumbili haamui mambo ya msituni. Na huo ni msemo wa kawaida tu,” Jaji Werema anakaririwa na Mwananchi.

Hata hivyo, alikataa kuzungumzia kwa undani kuhusu kauli hiyo na sakata la Escrow akieleza kuwa watuhumiwa wa sakata hilo tayari wameshafikishwa mahakamani hivyo sio jambo jema kujadili suala hilo.

Mwaka 2014, kulitokea mvutano bungeni baada ya kafulila kuibua sakaka la Escrow ambapo Jaji Werema akiwa mwanasheria mkuu wa serikali alipinga vikali maelezo ya Kafulila akidai kuwa hajui anachokisema. Werema alimuita Kafulila ‘tumbili’, lakini mbunge huyo wa Kigoma Kusini alijibu kwa kumuita ‘mwizi’ huku akitaka uchunguzi ufanyike ili ifahamike ‘nani ni tumbili na nani ni mwizi’.

Kwa mujibu wa ripoti ya kamati maalum ya bunge, jumla ya shilingi bilioni 306 zilitolewa kinyamela katika akaunti maalum ya ‘Tegeta Escrow’ iliyokuwa imefunguliwa kwa pamoja na Tanesco na kampuni ya kufua umeme ya IPTL, ikisubiri usuluhishi wa Mahakama na ukokotoaji.

Hivi karibuni mmiliki wa kampuni ya VIP Engineering, James Rugemarila ambaye pia ni mmiliki mwenza wa kampuni ya IPTL pamoja na Mwenyekiti wa PAP, Habinder Seth Sigh wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi. Wawili hao wako rumande kutokana na mashtaka yao kutokuwa na dhamana.

Tangazo la nafasi za kazi 3,152 kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.

Rais Magufuli Akamilisha ziara yake ya siku 7 katika Mikoa ya Kagera, Kigoma,Tabora na Singida.

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Julai, 2017 amekamilisha ziara yake ya kikazi ya siku 7 katika Mikoa ya Kagera, Kigoma, Tabora na Singida kwa kufungua barabara ya Itigi – Manyoni Mkoani Singida.

Barabara hiyo inayounganisha Mikoa ya Singida, Tabora na Kigoma ina urefu wa kilometa 89.3 na imejengwa gharama ya Shilingi Bilioni 114.692, fedha ambazo zimetolewa na Serikali ya Tanzania.

Akizungumza na wananchi wa Itigi katika sherehe za ufunguzi wa barabara hiyo Mhe. Rais Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli, amesema Watanzania wana kila sababu ya kutembea kifua mbele kwa kuwa barabara hiyo pamoja na nyingine saba alizozifungua katika ziara hii zenye urefu wa jumla ya kilometa 707 zimejengwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 806, fedha zote zikiwa zimetolewa na Serikali ya Tanzania.

Mhe. Rais Magufuli amebainisha kuwa miradi mikubwa ya ujenzi wa barabara imetekelezwa na inaendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini na kwamba Serikali imeamua kuanzisha Wakala wa Barabara Vijijini kwa lengo la kuhakikisha barabara za vijijini zinajengwa kwa kiwango cha lami.

Kwa barabara ya Mkiwa – Itigi yenye urefu wa kilometa 57 na ambayo tayari zabuni ya ujenzi ilishatolewa kwa mkandarasi ili aijenge kwa kiwango cha lami kwa gharama ya Shilingi Bilioni 104, Mhe. Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuupitia upya mkataba wa ujenzi wa barabara hiyo kwa kuwa kiwango cha fedha kilichopangwa ni kikubwa ikilinganishwa na gharama halisi.

Pia amemuagiza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa Mnyaa kujadiliana na Mkandarasi anayejenga barabara hiyo ili aweze kuendelea kujenga barabara kutoka Itigi kuelekea Chunya hadi Makongorosi Mkoani Mbeya.

Pamoja na wananchi wa Itigi Mkoani Singida, Mhe. Dkt. Magufuli aliyetokea Tabora amezungumza na wananchi waliosimamisha msafara wake katika vijiji vya Kigwa, Kizengi na Tura Wilayani Uyui na amewataka kuendelea kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa pamoja na kuzingatia uzalishaji mazao yanayostahimili ukame kama vile uwele, mtama, viazi na muhogo ili kuepuka tatizo la upungufu wa chakula.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli amewataka viongozi wote nchini kuhamasisha wananchi kufanya kazi hususani shughuli za kilimo ambacho ni uti wa mgongo wa Taifa, na ameonya kuwa kiongozi ambaye hatatekelezi agizo hilo atakuwa hafai na ataondolewa.

“Nawaagiza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya hamasisheni watu kufanya kazi na kama kuna viongozi na watendaji wasiotekeleza wajibu huo katika maeneo yenu waondoeni mara moja” ameagiza Mhe. Rais Magufuli.

Viongozi wengine waliongozana na Mhe. Rais Magufuli katika ziara ya leo ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Prof. Norman Sigalla King na Wabunge wa Mkoa wa Singida.

Mhe. Rais Magufuli amewasili katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dodoma

25 Julai, 2017

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..

CHIEF SULTAN ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na CHIEF SULTAN Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
 
Wasiliana na CHIEF SULTAN Kwa Majibu ya Maswali yako..
Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA..
Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
 
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.)Humaliza Kesi za Muda mrefu ndani ya siku 14 tu.
Anatoa NDAGU Zisizokuwa na Masharti.. Kwa maelezo Zaidi wasilina nae kwa

whatsapp +255 0658 316 976
Call +255 755 911 233

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya July 26

Rais Magufuli Amvaa Tundu Lissu.....Awataka Watu wa Singida Wasirudie Kosa 2020

$
0
0
Rais  Magufuli, amesema kuwa suala la maendeleo halina itikadi kwani yanayofanywa na Serikali yake hata mtoto wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) atanufaika nayo.

Kutokana hali hiyo alisema bado ataendelea kuwafanyia kazi Watanzania, huku akipambana na watu wanaohujumu rasilimali za Taifa.

Kauli hiyo aliitoa jana mjini Itigi Manyoni mkoani Singida, ambapo alisema hatobagua vyama ila kwa sasa Tanzania inahitaji maendeleo ya kweli na si maneno.

Kiongozi huyo wa nchi alisema anashangazwa na baadhi ya watu kupiga kelele wakiwa jijini Dar es Salaam wakati majimbo yao hayana watu wa kuwasemea kwa kukosa maji, umeme na huduma za afya.

“Ukiona makelele yanapigwa ujue ni rushwa waliyopewa na hao watu..kama ni mmoja, wawili watatu ninawaambia wawekeni kiporo ili muwamwage katika uchaguzi ujao.

“Maendeleo ni ya wote awe mtoto wa nani au mtoto wa nani hata mtoto wa Tundu Lissu. Mna matatizo mengi mahosipitali na mengine lakini hamna wa kuwasemea badala yake wanazungumzia ya Dar es Salaam. Acha mkome si mlichagua wenyewe!

“Kosea njia usikikosee kuoa mke, usije pia kukosea kuchagua na kukosea madhara yake ni makubwa. Mwaka 2020 ikifika msikosee tena,” alisema Rais Magufuli.

Pamoja na hali hiyo alisema kama kuna tochi inawaka basi ina betri“Ukiona mtu anapiga kelele ujue kuna kitu amemeza na sio kingine bali ni rushwa, ukiona tochi inawaka ujue kuna betri,” alisema.

Alisema kuhusu ujenzi wa barabara hiyo itatumia na watu wote wakiwemo wanachama wa Chadema, ACT-Wazalendo jambo ambalo siku zote husimamia dhana maendeleo hayana chama.

Alisema ndani ya Serikali kuliwa na watu watumbuaji kwa kuwa na safari kila kukicha ikiwemo kufanya semina kila mahali ikiwemo nchi za Ulaya huku Watanzania wakiendelea kuumia kwa kukosa maendeleo.

“Nimeamua kuanza na watu wa juu na ninawatumbua kweli kweli kazi ni ngumu unaweza kutumbua ukakutana na usaha ukakurukia kwenye macho.

“Niombeeni nitumbue salama nisije kutumbua watu ambao hawatakiwi kutumbuliwa,” alisema.

Serikali Yatoa Onyo kwa Wanaotumia Vibaya Mitandao ya Kijamii

$
0
0
Serikali imesema inajipanga kukabiliana na matumizi mabaya ya mtandao ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua za kisheria wanaotumia vibaya.

Akizungumza katika majadiliano ya usalama wa mitandao ya kijamii kati ya Tanzania na China, Naibu Waziri wa Wizara wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Injinia Edwin Ngonyani amesema serikali itawachukulia hatua kali wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii wakiwamo wanaotuma ujumbe wenye dhamira ya kuwachafua wengine. Kwani Tanzania bado inakabiliwa na changamoto ya udhibiti wa usalama wa matumizi ya mitandao ya kijamii.

“Tanzania bado iko nyuma katika masuala ya kudhibiti usalama wa matumizi ya mitandao kama vile Twitter, Facebook, Instagram na YouTube, wenzetu China wamefanikiwa kudhibiti suala hilo,” amesema Injinia Ngonyani.

Naibu Waziri wa Udhibiti wa mtandao wa China, Ren Xianliang alisema nchi yao imefanikiwa kwa kiwango kikubwa katika kudhibiti matumizi ya usalama wa mtandao kwa kuwa walianzisha mtandao wao ambao umekua anasaidia kufuatilia masuala ya nchi yao vikiwamo vivutio mbalimbali ambavyo huwashawishi na kutoa hamasa kwa wananchi wengi kuweza kutumia mtandao huo.

“Sisi katika kudhibiti matumizi ya usalama wa mitandao ya kijamii katika nchi yetu tumefanikiwa kwa kiwango kikubwa Kutokana kuanzisha mtandao maalumu ambapo tumekua tukifanya vipindi mbalimbali vya kuhamasisha na kuwashawishi wananchi kutumia mtandao huo,” alisema Xianliang.

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume

$
0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  

Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto  kwa  muda  mrefu.

Katika  makala  yetu  ya  leo, tutaangalia  namna   suala  la  upigaji  punyeto linavyo  athiri  nguvu  za  kiume.

Kabla  hatujaangalia  namna  suala la upigaji  punyeto linavyo  maliza  nguvu  za  kiume, ni  vyema  tukafahamu  kwanza  kuhusu  SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Kufahamu   kuhusu   SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME  tafadhali  tembelea :

Ukisoma  vizuri  kuhusu  mfumo  wa  nguvu  za  kiume, utagundua  kuwa   Suala  la  nguvu  za  kiume  ni  suala  la  kimfumo.  Ili  mwanaume  awe na nguvu  za  kiume, aendelee  kuwa  na  nguvu  za  kiume na  azilinde  nguvu  zake za  kiume, ni  lazima  ogani  zote zinazo  husika  na  mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ziwe  na  afya  njema  na  ziwe  na  ushirikiano   thabiti  na  wenye  afya.

Vile  vile , utagundua  kuwa , mambo  makuu  muhimu  katika   mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ni  kama  ifuatavyo:

i.Mishipa  imara  ya  ubongo  na  yenye  afya  njema

ii. Mishipa  imara  ya  uti  wa  mgongo  (  spinal  cords )

iii.Mishipa  imara  itumikayo  kusafirisha  damu  mwilini  (  Blood Vessels )

iv. Mfumo  imara  wa  usafirishaji  damu  mwilini

v. Mishipa  ya  uume  iliyo  imara  na  yenye  afya  njema

vi. Uhusiano  imara  na  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  ubongo, mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  misuli & mishipa  ya  kwenye  uume.

Hivyo  basi, ili  mwanaume  aweze  kuwa  na  nguvu  imara  za  kiume, na  aendelee  kuwa  na  nguvu  hizo ni  lazima  mambo  yote  muhimu  katika  mfumo  wa  nguvu za  kiume  yawe  imara  pasi na  hitilafu  yoyote.

Hitilafu  yoyote  katika  mambo  hayo, itasababisha  ukosefu na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume  kwa  mwanaume  huyo.  Pale inapotokea    hitilafu  ama  mapungufu  katika  ogani  zaidi  ya  moja  kati  ya  zilizo  tajwa hapo  juu, basi  tatizo  kwa  muhusika  huwa  kubwa  mara  dufu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU &  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume   anapopatwa na  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, ubongo  hutoa  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo  husafirisha  taarifa  hadi  kwenye  mishipa &  misuli  ya  uume.

Mishipa  ya  uume inapopokea  taarifa  hiyo, hutanuka. Na  mishipa  ya  uume  inapotanuka, hufanya  mambo  mawili  muhimu  sana :

i.Husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  hivyo  kuruhusu  damu  kuingia kwa  kasi  sana   ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  imara  bara bara.

ii. Huibinya na  kuiziba  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuzuia  kunyonya  ama  kufyonza  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa ya  uume.  (  KAZI  KUBWA  YA  MISHIPA  YA  VENA  ILIYO  KARIBU NA  MISHIPA  YA  UUME  NI KUHAKIKISHA  HAKUNA  DAMU NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME. HIVYO  BASI  DAMU  INAPOINGIA  NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME, MISHIPA  YA  VENA  HU “SENSE” JAMBO  HILO  KWA  HARAKA  NA HIVYO  KUIFYONZA  DAMU  HIYO  KUTOKA KWENYE MISHIPA  YA UUME  YA  KUITOA  NJE YA MISHIPA  YA  UUME.  NA  DAMU INAPOKOSEKANA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME, HUUFANYA  UUME  KUSINYAA  NA  KULEGEA )

Mtu  anayepiga  punyeto  husababisha  mambo  yafuatayo  katika  mwili  wake :

1. Huuwa  nguvu  ya  mishipa  & misuli ya  uume ambayo  ndio  inayo husika  na  kusimama  kwa  uume

2. Mishipa  ya   uume  inapo  sinyaa  na  kukosa  nguvu  yake  ya  asili, husababisha  mambo  yafuatayo :

i.Huondoa  uwezo  wa  mishipa  &  misuli  ya  uume  kutanuka, na  hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  waathirika  wa  punyeto  kutumia  nguvu  nyingi  sana  katika  kuufanya  uume  usimame.

ii.Huondoa  uwezo  wa  mishipa &  misuli  ya  uume  kuibana  na  kuiziba  mishipa  ya  vena, na  hii ndio  sababu  inayo  fanya  waathirika  wa  punyeto  kufika  kileleni  haraka  sana, kwani damu  inayo  ingia  kwenye misuli  ya  uume   hufyonzwa  ndani ya  muda  mfupi sana. 
 
 Hii  hutokea  kwa  sababu  mishipa na  misuli  ya  uume inakuwa  imelegea,na  mishipa  ya  vena inakuwa  imepwaya, hivyo  msuguano wowote ule  hufanya  mishipa  ya  vena  kufunguka  na  kufyonza  damu  kutoka  kwenye mishipa  ya  uume  na hivyo  kuufanya  uume  kusinyaa  ndani ya dakika ama sekunde  chache sana.

3. Vile  vile  punyeto  hufanya  uume  kusinyaa na  kurudi ndani  na  kuufanya  uonekane kama  uume  wa  motto mdogo.

Kwa  ufupi  punyeto  husababisha  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  kwa  sababu  kuu  zifuatazo :

i.Kwanza   hudhoofisha  na  kuharibu  mishipa  ya  uume,  ambayo  ndio  hufanya  uume kusimama.

ii.Pili  hudhoofisha  utendaji  kazi  wa  mishipa  ya  ateri, ambayo  ndio  hutumika  kama  njia  ya  kusafirisha  damu kupeleka kwenye  misuli  ya  uume  na  ivyo  kuufanya  uume  usimame

iii. Tatu, punyeto  hupelekea  kuvuja  kwa  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kusababisha  damu  kufyonzwa  kwa  haraka  sana  kila  iingiapo ndani  ya  misuli ya  uume  na  matokeo  yake  ni  uume   kusimama  kwa  muda  mfupi  sana  wakati wa  tendo  la  ndoa.

iv. Punyeto  huathiri  mtiririko  wa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume, kwa  sababu  hudhoofisha  misuli &  mishipa  ya  uume  pamoja  na mishipa ya  ateri  ambayo  ndio  hutumika  katika  kusafirisha  damu kwenda  kwenye  uume

DALILI  ZA  MTU  ALIYE  ATHIRIWA  NA  PUNYETO
Dalili  kuu  za  mtu  aliye athiriwa  na  punyeto  ni  kama  ifuatavyo:

i.           Uume  kusinyaa  na  kuwa  kama  wa  mtoto
ii.         Uume kurudi  ndani
iii.       Uume  kusimama  ukiwa  legelege
iv.       Kufika  kileleni  haraka  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

TIBA   YA   NGUVU  ZA  KIUME  KWA MTU  ALIYE  ATHIRIKA  NA  PUNYETO.
Dawa   asilia  ya  nguvu  za  kiume iitwayo JIKO  ni tiba  bora  na  ya  uhakika  kabisa  kwa  mtu  aliye  athiriwa   na  punyeto.  Dawa  hii, pamoja  na  mambo  mengine  mengi, husaidia  kufanya  mambio  yafuatayo  katika  mwili  wa  mwanaume  aliye  athiriwa  na  punyeto :

i.Kuimarisha  mishipa  & misuli  ya  uume  ulio  legea na  hivyo  kuurejeshea  uwezo wake wa  asili

ii. Hutibu   tatizo  la  uume  kurudi  ndani

iii.Humaliza  tatizo  la  kusimama  kwa  uume  ukiwa  legelege

iv.Hutibu  na  kuponya  kabisa  tatizo  la  kufika  kieleleni  haraka.

BEI  YA  DAWA  :  Dawa  hii  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tsh. 80,000/=)

MAHALI  INAPOPATIKANA :  Dawa  hii  inapatikana  katika  duka  la  dawa  asilia  liitwalo  NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC  lililopo  jijini  DAR  ES  SALAAM  katika  eneo  la  UBUNGO   nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA   karibu  na SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

Kwa  wateja  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu. Watafikishiwa  dawa  mahali  popote  walipo  jijini  DAR  ES  SALAAM.

Kwa   wateja  waliopo  mikoani  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  MABASI

Kwa  wateja  waliopo   Zanzibar  wata fikishiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa boti.

Na  kwa  wateja  waliopo  UGHAIBUNI  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  ama  DHL.

MAWASILIANO :  WASILIANA  NASI   KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84.

Kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee kila  siku  kwenye  blogu  yetu :

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images