Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..

CHIEF SULTAN ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na CHIEF SULTAN Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
 
Wasiliana na CHIEF SULTAN Kwa Majibu ya Maswali yako..
Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA..
Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
 
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.)Humaliza Kesi za Muda mrefu ndani ya siku 14 tu.
Anatoa NDAGU Zisizokuwa na Masharti.. Kwa maelezo Zaidi wasilina nae kwa

whatsapp +255 0658 316 976
Call +255 755 911 233

Waziri Mkuu Atembelea Mradi Wa Kusafirisha Umeme Lindi.......Asema changamoto ya kukatika umeme Mkoa wa Lindi kuwa historia

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema changamoto ya kukatika umeme katika mkoa wa Lindi kuwa historia baada ya kukamilika kwa mradi wa kusafirisha umeme wa kilovolti 132 Mtwara-Lindi.

Amesema hayo  jana (Alhamisi, Julai 13, 2017) alipotembelea mradi huo wa kuzalisha umeme unaojengwa katika kijiji cha Mahumbika wilayani Lindi.

Waziri Mkuu alisema kukamilika kwa mradi huo uliogharimu sh. bilioni 16 kutamaliza changamoto ya upatikanaji wa umeme katika mkoa wa Lindi.

Alisema mkakati wa Serikali ni kuongeza kiwango cha uzalishaji wa umeme ili Watanzania wapate umeme mwingi utakaosambazwa hadi vijijini kwa gharama nafuu.

“Mikoa wa Lindi ulikuwa na shida kubwa ya kukatika kwa umeme, kukamilika kwa mradi huu ni mkombozi kwetu, tunawakaribisha wawekezaji waje kuwekeza kwa sababu sasa tunanishati ya uhakika.”

Kwa upande wake Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa James Mdoe alisema kuimarika kwa upatikanaji wa umeme kutawezesha safari ya kuelekea kwenye uchumi wa viwanda.

 Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amesema atahakikisha anapambana na watu wote watakaokwamisha jitihada za Rais Dkt. John Magufuli za kuwahudumia wananchi.

 Pia ameahidi kusimamia shughuli za maendeleo ya wananchi wote Tanzania bila ya kujali maeneo wanakotoka wala itikadi zao za kisiasa na kidini.

 Ameyasema hayo wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za Nanganga, Nyangao, Mtama na Nyengedi alipowasilisi wilayani Lindi, akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Lindi.

  “Tunataka fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya kuwahudumia wananchi zitumike ipasavyo na hatutakubali kuona mtu napewa fedha na kuzitumia atakavyo.”

 Pia Waziri Mkuu amewataka wananchi hao kuweka pembeni  itikadi zao za kisiasa na badala yake washirikiane kwa pamoja katika kufanya shughuli za maendeleo kwenye maeneo yao.

 “Rais Dkt. Magufuli amesema Watanzania kwa sasa hatuhitaji kufanya siasa, sasa ni kazi tu, hivyo tutumie muda wetu mwingi kwa kufanya kazi za maendeleo. Tupunguze muda wa kubishana hakuna tija watu wanataka maji, afya.”

 Awali Mbunge wa jimbo la Mtama Mheshimiwa Nape Nnauye kwa niaba ya wananchi wa jimbo hilo aliishukuru Serikali kwa kuboresha huduma mbalimbali kwenye jimbo hilo.

Rais Magufuli Awamteua Mary Gasper Makondo kuwa Kamishna wa Ardhi na Evelyne Mugasha kuwa Mthamini Mkuu wa Serikal

Sumaye: Hatuko Tayari Kuzibwa Midomo na Serikali

$
0
0
Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Halmashauri  Kuu Chadema, Frederick Sumaye amesema kuwa licha ya kukatazwa wasizungumze masuala ya kisiasa, lakini hawatanyamaza.

Akizungumza na vyombo vya habari leo, Sumaye amesema kuwa wataendelea kufanya kazi kwa niaba ya wananchi ambao wana imani nao.

Amesema nchi  kwa sasa inakazana kujenga mfumo wa demokrasia kandamizi ambayo kwa kiasi kikubwa inarudisha nyuma maendeleo.

"Viongozi wa upinzani wamekuwa wakikamatwa, wanawekwa rumande, wanatishwa lengo ni kudhoofisha upinzani," amesema Sumaye.

Amesema licha ya juhudi hizo za kuwarubuni baadhi ya viongozi wakiwamo madiwani wachache, hawatadhoofika na wataendelea kufanya Kazi.

Sumaye amesema kwamba  wanataka kujenga upinzani  wa kweli wenye lengo la kusaidia wananchi.

Amesema katika kulihakikisha hilo hadi kufikia mwaka 2018 hakutakuwa na kijiji, mtaa utakaokuwa hauna tawi la Chadema.

TCRA yazipiga faini kampuni za simu kwa kutofuata taratibu za usajili wa laini

$
0
0
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imezitoza faini kampuni zote za simu kwa kusajili laini bila vitambulisho na kutofuata utaratibu.

Kampuni zilizotozwa faini hiyo na kiwango kikiwa kwenye mabano ni Airtel (Sh1.08 bilioni), Smart (Sh1.3 bilioni), Vodacom (Sh945 milioni), Zantel (Sh105 milioni) na Halotel (Sh1.6 bilioni).

Mkurugenzi wa TCRA, Mhandisi James Kilaba amesema leo (Julai 14) kuwa hii si mara ya kwanza kwa watoa huduma hao kukiuka sheria.

Kiliba amesema kutokana na kurudia kosa hilo, TCRA imeamua kuzitoza kampuni hizo faini hiyo.

Pia, kampuni hizo zimetozwa Sh500 milioni kila moja kwa kosa la kuathiri na kuhatarisha usalama wa umma na jamii ya Watanzania kwa kusajili laini bila kufuata utaratibu.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 15

Mahakama Yakataa Ombi la Kigogo wa Escrow Harbinder Singh Seth Kutibiwa Nje ya Nchi

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imekataa ombi la Mawakili wanaomtetea mfanyabiashara Harbinder Singh Seth la kumruhusu mteja wao kwenda nje ya nchi kutibiwa uvimbe uliopo tumboni na badala yake apatiwe tiba kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili. 

Wakili wa kujitegemea, Alex Balomi aliifahamisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana kuwa Harbinder Singh Sethi anaumwa, hali yake imeendelea kubadilika na hii  ni wiki ya nne sasa  hawezi kupata usingizi.

Wakili Balomi aliiambia mahakama hiyo kuwa Sethi anasumbuliwa na uvimbe tumboni ambao unahitaji uangalizi wa karibu wa madaktari.

“Kutokana na hali yake kuwa mbaya hii ni wiki ya nne sasa hawezi kupata usingizi hivyo anahitaji  ungalizi wa karibu wa madaktari  na kwamba wamebahatika kupata nyaraka kadhaa kutoka kwa daktari,” Balomi  aliifahamisha mahakama. 

Balomi aliongeza kuwa hata siku aliyokamatwa alikuwa akienda kwenye matibabu Afrika Kusini.

Mwendesha Mashtaka Mwandamizi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Leonard Swai  alisema  nyaraka ambazo Wakili Balomi anataka kuziwasilisha mahakamani hapo kuhusiana na Sethi hazijakidhi vigezo vya kisheria  na kwamba alitegemea daktari ambaye anamtibu angefika mahakamani kueleza hali  halisi ya ugonjwa husika.

Kutokana na hoja hizo,  Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi alisema suala la ugonjwa si la kufumbiwa macho, linapaswa kuchukuliwa kwa uzito na kuelekeza magereza kufanya kila linalowezekana kuhakikisha hali ya mshtakiwa huyo inabaki katika hali nzuri na inapobidi wawasiliane na wataalam wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Kesi imeahirishwa hadi Julai 28, 2017 kwa ajili ya kutajwa ili kuangalia kama upelelezi utakuwa umekamilika ama la.

Katika kesi hiyo, Sethi na James Rugemalira wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi kwa kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu, kutakatisha fedha na kusababisha hasara ya Dola 22, 198,544.60 sawa na Sh 309,461,300,158.27.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..

CHIEF SULTAN ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na CHIEF SULTAN Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
 
Wasiliana na CHIEF SULTAN Kwa Majibu ya Maswali yako..
Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA..
Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
 
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.)Humaliza Kesi za Muda mrefu ndani ya siku 14 tu.
Anatoa NDAGU Zisizokuwa na Masharti.. Kwa maelezo Zaidi wasilina nae kwa

whatsapp +255 0658 316 976
Call +255 755 911 233

Shule 10 za Mwisho matokeo ya kidato cha sita

$
0
0
Ni kilio na kicheko. Hivyo ndivyo tutakavyoweza kusema, kwani matokeo ya kidato cha sita, yaliyotangazwa leo Jumamosi, Julai 15 yamezitaja shule kumi zilizofanya vibaya na kushika mkia kitaifa.

Shule hizo ni Kiembesamaki Unguja, Hagafilo (Njombe), Chasasa (Pemba), Mwenyeheri Anuarite (Dar es Salaam) na Ben Bella (Unguja).

Nyingine zilizotajwa kushika mkia ni Meta (Mbeya), Mlima Mbeya(Mbeya)

 Nyingine ni Shule ya Sekondari ya Al-Ihsan Girls (Unguja na St Vicent(Tabora).

Matokeo Kidato cha Sita : Wasichana Waongoza kwa Kufaulu

$
0
0
Matokeo ya kidato cha sita nchini  yalitolewa leo Jumamosi, Julai 15, yameonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu ambapo  kati ya wasichana 28,731 (38 asilimia) waliofanya mtihani, waliofaulu ni ni 27,577 (sawa na asilimia 97.21).

Jumla ya watahiniwa 75, 116, walifanya mtihani huo Mei mwaka huu.

Kwa upande wa watahiniwa wavulana,  waliofaulu walikuwa ni 42,975 (sawa na asilimia 95.34) kati ya  46,385.

 Taarifa iliyotolea inaonyesha kuwa watahiniwa 58,556 (asilimia 93.72) walipata daraja la kwanza hadi la tatu. Kati ya hao, wasichana ni 22, 909 na wavulana ni 35,647.

 “Mchanganuo wa ufaulu katika madaraja unaonyesha kuwa watahiniwa walipata daraja la 1-11  umepanda  kwa asilimia 0.59 kutoka asilimia 93.13 mwaka 2016 hadi 93.72 mwaka huu,” imesema taarifa hiyo na kuongeza;

 “Pia, ufaulu katika madaraja kwa upande wa wasichana umepanda ikilinganishwa na wavulana. Ubora wa ufaulu kwa wasichana ni asilimia 94.07 ikilinganishwa na asilimia 93.49 ya wavulana.”

 Ufaulu wa masomo
Kadhalika taarifa hiyo imeonyesha kuwa ufaulu kwa watanikiwa wa shule kwa upande wa masomo, ya Sayansi, Biashara, Lugha na Sanaa, haukuonyesha tofauti kubwa ukilinganisha na mwaka jana.

Hata hivyo, ufaulu katika somo la General Studies umeshuka kwa asilimia 7.54 kutoka asilimia 71. 24 hadi 63.70.

Wanafunzi 10 Wafutiwa Matokeo Kidato cha Sita

$
0
0
Wakati matokeo ya mitihani ya kidato cha sita yakitolewa leo, Jumamosi Julai 15, imebainika kuwa watahiniwa 10 walifutiwa matokeo kwa makosa ya kufanya udanganyifu.

 Taarifa iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta),  Dk Charles Msonde imeeleza kuwa kati ya watahiniwa hao kumi, saba ni wa shule na watatu ni wa kujitegemea.

 Pamoja na hao kumi, matokeo ya watahiniwa wengine 15 yalizuiliwa kwa kuwa hawakufanya mitihani ya baadhi ya masomo.

 Watahiniwa hao walishindwa kufanya mitihani kutokana na matatizo mbalimbali ikiwamo ya kiafya na hivyo kushindwa kufanya baadhi ya mitihani hiyo.

‘Watahiniwa hao wamepewa fursa ya kufanya mitihani ya kidato cha sita, Mei 2018 kama wa watahiniwa wa shule,” imesema taarifa ya Dk Msonde.

Pia, wapo watahiniwa 69 wa shule ambao walipata matatizo ya kiafya na kushindwa kufanya mitihani yote, wamepewa fursa ya kufanya mitihani hiyo, Mei 2018.

Shule 10 Bora Matokeo Kidato cha 6

$
0
0
Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2017 yametoka leo Jumamosi, Julai 15 huku shule ya Wasichana ya Feza Girls ikiibuka kinara kwa watahiniwa wake 67 kufaulu kwa kupata daraja la kwanza na la pili.

Shule nyingine zilizoibuka kidedea katika matokeo hayo ni Marian Boys, iliyoshika nafasi ya pili, Kisimiri (Arusha) imeshika nafasi ya tatu na Ahmes (Pwani) imeshika nafasi ya nne.

 Shule nyingine  ni  Marian  Girls (Pwani) iliyoshika nafasi ya tano, Mzumbe (Morogoro) nafasi ya sita, St Marry Mazinde Juu (Tanga) nafasi ya saba, Tabora Boys (Tabora) nafasi ya nane, Feza BOYS (Dar es Salaam) nafasi ya tisa na Kibaha ya Pwani iliyoshika namba kumi.

Breaking News: Matokea Kidato cha 6 Mwaka 2017 Yametoka.....Bofya hapa kuyatazama

Jipatie Dawa za Asili za Kuongeza Maumbile, Nguvu za Kiume......Kuondoa Mvi na Mkanda kwa Ajili ya Kupunguza Tumbo

$
0
0
OFFER Ya punguzo la %10 kwa kila product zetu. Kwa wanaume na wanawake.
 
(WANAUME)
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ni kwa watu wengi sana lakin NATURAL BEAUTY imepata uvumbuzi wa tatizo hilo na tiba zake zilizotengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote.
 
(WANAWAKE)
Lakini pia wanawake wengi kukosa (Hips,mapaja wala makalio)
Natural beauty Tumeshapata tiba hiyo na sasa ipo TZ pata bidhaa hizi uweze kupendeza kama wanawake wengine.
 
               Pia bidhaa zetu zote zina guarantee na risiti.
              Pata bidhaa hizi. Tunazo za÷
   🥝🥑🥒🧀🍉🍅🍓🍇
1.HANDSOME UP ni kifaa kinachoongeza maumbile ya kiume  kwa 99% kwa size uipendayo wewe na kuimarisha misuli ya uume kifaa hiki kinapatikana kwa @200,000/= tuu.
2.MEN GELY YA KUPAKA. Hii inaongeza kwa wastani wa inch 6.5 na inapatikana kwa @130,000/=. 
3. SHARK POWER. Hii pia ni kwa ajili ya kuongeza maumbile  wastani wa inch 7.5 kutoka size uliopo inapatikana kwa @140,000/=.
4.. MAX MAN 2. Ni vidonge kwa ajili ya nguvu ambavyo vinasaidia sana hata kwa watu wenye kisukari na waliokua wakifanya sana master blashion. Pia huongeza hamu ya tendo la ndoa inapatikana kwa @140,000/=
5.DISCREET. Hii ni ya kuondoa mvi na zisiludi tena milele inapatikana kwa @140,000/=
6.MICRO COMPUTER. Huu ni mkanda kwa ajili ya kupunguza tumbo pamoja na nyama za pembeni unapatikana kwa 180,000/=
7. YODI PILLS. Hii ni vidonge vya kuongeza (shepu hips na makakio) vinapatikana kwa 170,000/=
8.BODY BOOSTER. Ni dawa ya kuongeza mwili mzima pamoja na hamu ya kula vizuri 150,000/=
9.BOTCHO CREAM. Ni dawa ya kupaka ya kuongeza (makalio hips na mapaja) inapatikana kwa 150,000/=
10.BOTCHO MULTPLUS. Ni dawa ya kunywa ya kuongeza (shepu makalio mapaja na hips)  inapatikana kwa 190,000/=
🍅🍇🍉🍅🍍🍓🥒🥑🍒
 
Tupo DAR ES SALAAM  kariakoo na kinondoni kanisani.
Kwa mawasiliano zaidi piga  0759029968 au 0659618585. 
 
Popote ulipo utapata huduma zetu.
Pia bidhaa zetu zote ni guarantee na hakikisha ununuapo bidhaa kampuni hii unapewa risiti harisi ya natural beauty
 
 Follow us Instagram
@natural2162
@natural2162
@natural2162
@natural2162
                            Karibu

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya July 16


Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..

CHIEF SULTAN ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na CHIEF SULTAN Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
 
Wasiliana na CHIEF SULTAN Kwa Majibu ya Maswali yako..
Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA..
Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
 
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.)Humaliza Kesi za Muda mrefu ndani ya siku 14 tu.
Anatoa NDAGU Zisizokuwa na Masharti.. Kwa maelezo Zaidi wasilina nae kwa

whatsapp +255 0658 316 976
Call +255 755 911 233

TRA Yaongeza Tena Muda wa Kulipa Kodi ya Majengo

$
0
0
Wakati jana ikiwa  ndiyo  tarehe  ya mwisho wa ulipaji wa kodi za majengo ya mwaka 2016/2017, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesogeza mbele zoezi hilo hadi Julai 31.

Akizungumza  jana Jumamosi, Julai 15, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Richard Kayombo alisema uamuzi huo umefikiwa baada ya kuona bado kuna watu wengi wanahitaji kulipia kodi hiyo.

Alisema kwaJiji la Dar es Salaam zimetengwa ofisi maalumu kwa ajili ya kazi hiyo hiyo ili kutoa fursa kwa ofisi nyingine kuendelea kukusanya kodi nyingine.

"Kwa muda mrefu kidogo wahudumu wa TRA wamejikita zaidi kwenye kodi ya majengo, sasa tumeona tutenge maeneo maalumu ili wanaolipa kodi nyingine nao waendelee kuhudumiwa kwa ufanisi," alisema.

Ofisi zitakazoendelea na zoezi hilo kwa Dar es Salaam ni TRA Mbagala, Temeke, Kigamboni, Kimara, Tegeta, Manzese, Ilala, Gerezani, Vingunguti, Samora, Kijitonyama na ofisi ya TRA ndani ya viwanja vya Sabasaba.

Kayombo amesema baada ya Julai 31 watakaolipa kodi hiyo wataambatanisha na faini.

Katibu Mkuu CHADEMA Akamatwa

$
0
0
Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, Mbunge wa Jimbo la Ndanda, Cecil Mwambe ambaye pia ni Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini pamoja na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Zubeda Sakuru wanashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani Mbamba Bay mkoani Ruvuma.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na chama hicho, viongozi hao walipelekwa jana kituoni kuhojiwa ambapo Katibu Mkuu Dkt. Mashinji alitakiwa kueleza kwanini yuko Mbamba Bay na aeleze amekwenda kufanya nini.

Polisi walimkamata Katibu Mkuu Dkt. Mashinji, Mbunge Mwambe na Mbunge Zubeda baada ya kuvamia kikao cha ndani kilichokuwa kikiendelea mjini hapo ikiwa ni sehemu ya ziara ya Katibu Mkuu Dkt. Mashinji kukagua shughuli za chama katika majimbo ya kanda hiyo iliyoanza jana, ilieleza taarifa hiyo.

Waziri Lukuvi abanwa, akesha ofisini kwake na wananchi

$
0
0
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi jana  amelazimika kukesha ofisini kwake akiwahudumia wakazi wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani waliowasilisha matatizo mbalimbali kuhusiana na ardhi.

Waziri Lukuvi aliingia ofisini majira ya saa mbili asubuhi siku ya Ijumaa lakini akajikuta akilazimika kufanya kazi hadi saa tisa usiku wa kuamkia  jana Jumamosi.

Wananchi 189 wenye matatizo na kero za ardhi aliitikia wito alioutoa waziri Lukuvi mwezi Juni, akiwataka watu wote katika mikoa ya Dar es salaam na Pwani, wenye matatizo ya ardhi, kujiorodhesha ofisini kwake pamoja na anwani zao na angepanga siku ya kushughulikia matatizo hayo yeye mwenyewe binafsi.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na wizara, sehemu kubwa ya wakazi hao walilala nje ya ofisi za wizara hiyo jijini Dar es Salaam wakisubiri kuonana na waziri Lukuvi.

Wananachi wengi wenye matatizo na kero za ardhi waliokesha na Lukuvi walitokea Bagamoyo, Kibaha, Mkuranga, Kibiti na Dar es salaam.

Wananchi hao wamesifu hatua hiyo ya Waziri Lukuvi kukutana nao ana kwa ana na kuzitatua kero zao za ardhi kwa kuwa haijawahi kutokea.

Francis Kamara, mkazi wa Ilala jijini Dar es salaam, amemuomba Waziri Lukuvi awawajibishe watumishi ambao wanakwamisha jitihada zake hadi kusababisha yeye kukutana na wananchi moja kwa moja.

TANZIA: Mke wa Waziri Mwakyembe Afariki Dunia

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images