Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jipatie Dawa za Asili za Kuongeza Maumbile, Nguvu za Kiume......Kuondoa Mvi na Mkanda kwa Ajili ya Kupunguza Tumbo

$
0
0
OFFER OFFER OFFER
Natural beauty product inakupa OFFER ya EID kwa punguzo la %10 kwa kila product.  
 
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ni kwa watu wengi sana lakin NATURAL BEAUTY imepata uvumbuzi wa tatizo hilo na tiba zake zilizotengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote. 
 
Pata bidhaa hizi uweze kufurahia matokeo mazuri. Tunazo za÷
   🥝🥑🥒🧀🍉🍅🍓🍇
1.HANDSOME UP ni kifaa kinachoongeza maumbile ya kiume  kwa 99% kwa size uipendayo wewe na kuimarisha misuli ya uume kifaa hiki kinapatikana kwa @180,000/= tuu.
2.MEN GELY YA KUPAKA. Hii inaongeza kwa wastani wa inch 6.5 na inapatikana kwa @130,000/=. 
3. SHARK POWER. Hii pia ni kwa ajili ya kuongeza maumbile  wastani wa inch 7.5 kutoka size uliopo inapatikana kwa @140,000/=.
4.. MAX MAN 2. Ni vidonge kwa ajili ya nguvu ambavyo vinasaidia sana hata kwa watu wenye kisukari na waliokua wakifanya sana master blashion. Pia huongeza hamu ya tendo la ndoa inapatikana kwa @140,000/=
5.DISCREET. Hii ni ya kuondoa mvi na zisiludi tena milele inapatikana kwa @130,000/=
6.MICRO COMPUTER. Huu ni mkanda kwa ajili ya kupunguza tumbo pamoja na nyama za pembeni unapatikana kwa 180,000/=
7. YODI PILLS. Hii ni vidonge vya kuongeza (shepu hips na makakio) vinapatikana kwa 170,000/=
8.BODY BOOSTER. Ni dawa ya kuongeza mwili mzima pamoja na hamu ya kula vizuri 150,000/=
9.BOTCHO CREAM. Ni dawa ya kupaka ya kuongeza (makalio hips na mapaja) inapatikana kwa 150,000/=
10.BOTCHO MULTPLUS. Ni dawa ya kunywa ya kuongeza (shepu makalio mapaja na hips)  inapatikana kwa 200,000/=
🍅🍇🍉🍅🍍🍓🥒🥑🍒
 
      Tupo DAR ES SALAAM  kariakoo na kinondoni kanisani.
Kwa mawasiliano zaidi piga  0759029968 au 0659618585.
Popote ulipo utapata huduma zetu. 
 
Pia bidhaa zetu zote ni guarantee na hakikisha ununuapo bidhaa kampuni hii unapewa risiti harisi ya natural beauty
 
           Follow us Instagram
@natural2162
@natural2162
@natural2162
@natural2162
                            Karibu

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya July 9

Jeshi La Polisi Laua Watu 6 Jijijini Mwanza.......Ni Majambazi Hatari Yaliyokuwa Yametoroka Kibiti Na Kuingia Mwanza

$
0
0
Majambazi sita wameuawa kwa kupigwa risasi sehemu mbalimbali za miili yao na Jeshi la Polisi baada ya kutokea majibizano ya risasi kati ya polisi na majambazi hao na kupatikana silaha moja aina ya AK 47 na nyingine nne zilizotengenezwa kienyeji.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Ahmed Msangi amesema tukio hilo limetokea usiku wa Julai 8, 2017,  katika mtaa wa Fumagila mashariki kata ya Igoma wilaya ya Ngamagana mkoani Mwanza baada ya kupokea taarifa kwa kwamba baadhi ya watu wanaofanya uhalifu katika mkoa wa Pwani wilaya ya Kibiti na Rufiji wamekimbilia mkoani humo wakijipanga kutengeneza vikundi vya kufanya uhalifu.

Kamanda Msangi amesema katika ufuatiliaji walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja ambaye katika mahojiano alikiri kuhusika na tukio la unyang'anyi kwa kutumia silaha, kisha alitoa ushirikiano kwa askari ambapo aliwapeleka hadi eneo la Fumagila ambapo alidai wenzake wamejificha eneo hilo, ghafla majambazi hao walikurupuka na kuanza kuwarushia askari polisi risasi.

Aidha, kutokana na umahiri wa askari hao waliweza kujibu mashambulizi na kufanikiwa kuwauwa majambazi sita huku wengine wawili wakifanikiwa kutoroka eneo la tukio lakini polisi walifanikiwa kukamata silaha kadhaa na vitu vingine.

Pamoja na hayo, DCP Msangi amesema hakuna askari aliyejeruhiwa kwa risasi wala kupoteza maisha katika tukio hilo huku akisisitiza kuwa ufuatiliaji wa kusaka na kuwatia nguvuni waliotoroka bado unaendelea.

Shuhuda wa tukio hilo, ambaye ni diwani wa Kata ya Kishili iliyo jirani na kata hiyo, Sospeter Ndumi amesema kurushiana risasi baina ya watu hao na polisi kulianza usiku wa manane hadi majira ya jana asubuhi.

Amesema katika majibizano hayo polisi walifanikiwa kuwaua watu hao na kukamata silaha mbalimbali za kivita walizokuwa wanazitumia.

Katika mtaa huo huo ndipo lilipotokea tukio la Desemba 3 mwaka jana ambapo polisi waliwakamata watoto 11 wenye umri unaokadiriwa kuwa na miaka sita hadi 14 baada ya kuizingira nyumba moja kwa lengo la kuwakamata watu waliowahisi kuwa majambazi.

Mmoja kati ya watu watatu waliokutwa kwenye nyumba hiyo alikimbia baada ya kuwarushia polisi bumu la mkono, kabla ya polisi kuwadhibiti waliosalia kwa kushirikiana na wananchi wa mtaa huo.

Kadhalika katika tukio hilo, watu watatu waliosadikiwa kuwa ni majambazi waliuawa na bunduki mbili aina ya SMG na AK47, magazine saba, bastola moja na risasi 183 vilikamatwa na polisi.

Baada ya polisi kuondoka katika eneo hilo, wananchi waliiteketeza nyumba hiyo kwa moto.

Waziri Mkuu Atembelea Mradi Wa Kinyerezi II

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea mradi ya kuzalisha umeme wa Kinyerezi II na kusema kwamba ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wake.

Amesema hayo jana (Jumamosi, Julai 08, 2017) alipotembelea mradi huo wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia unaojengwa eneo la Kinyerezi jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu alisema kukamilika kwa mradi huo kutaliwezesha Taifa kuwa na umeme wa uhakika, utakaowezesha kuendesha viwanda.

Alisema mkakati wa Serikali ni kuongeza kiwango cha uzalishaji wa umeme ili Watanzania wapate umeme mwingi utakaosambazwa hadi vijijini kwa gharama nafuu.

“Tunataka tupate umeme wa kutosha ili viwanda vitakavyojengwa viwe na nishati ya uhakika na ya gharama nafuu. Ni wajibu wetu kuendelea kuimarisha utekelezaji wa miradi hii.” Alisema.

Naye, Meneja wa Mradi wa kuzalisha umeme wa Kinyerezi, Mhandisi Stephen Manda alisema gharama za mradi wa Kinyerezi II ni dola milioni 344.

Meneja huyo alisema tayari mradi huo umefikia asilimia 66.32 ya ujenzi wake na sasa wako katika hatua mbalimbali za kukamilisha, ikiwemo ujenzi wa misingi ya mitambo na jengo la kuendeshea mitambo.

“Pia tunaendelea na ujenzi wa nguzo za kupokelea laini ya msongo wa kilovoti 220 kutoka Kinyerezi I hadi Kinyerezi II, ambapo mtambo wa kwanza wa megawati 30 utawashwa ifikapo Desemba 2017 na kila mwezi tutaingiza megawati 30 katika gridi ya Taifa.”

Alisema miradi iliyoko katika eneo hilo ambayo iko katika hatua mbalimbali za utekelezaji ni Kinyerezi 1 (150MW), Kinyerezi I Extension (185MW ) na Kinyerezi II (240MW).

Mhandisi Manda aliongeza kuwa mradi wa Kinyerezi 1 (150MW) ulikamilika Machi 2015 na miradi mwili ya Kinyerezi 1-extension na Kinyerezi II inatarajiwa kukamilika mwaka 2018.

Mhandisi Manda alisema miradi mingine inayotarajiwa kujengwa katika eneo hilo ni wa Kinyerezi III (600 MW) na Kinyerezi IV utakaozalisha (450 MW).

Awali Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Bi. Sophia Mjema ambaye alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Paul Makonda alisema mradi huo umewanufaisha wananchi wengi wa eneo hilo.

Alisema hadi sasa wananchi 100 wa eneo la Kinyerezi wameajiriwa katika miradi hiyo ambapo ni sawa na asilimia 40 ya watumishi wote.

Bi. Sophia alisema mbali na ajira pia wananchi wa eneo hilo watanufaika kwa kuboreshewa huduma mbalimbali za kijamii katika eneo hilo zikiwemo za maji na elimu ambapo wameahidiwa kupewa madawati ya shule tano

Mwananchi Mmoja Auawa kwa Kupigwa Risasi Kibiti

$
0
0
Mkazi mmoja wa kitongoji cha Nyambwanda kilichopo katika Kijiji cha Hanga wilayani Kibiti aliyetambulika kwa jina la Hamis Ndikanye (54) ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia  Jumamosi akiwa nyumbani kwake.

Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu wa marehemu alijitambulisha kwa jina la Hamis Saidi amesema watu kama watano wakiwa na bunduki walifika nyumbani kwa ndugu yake saa 6 usiku, kisha kufanya mauaji hayo.

Alisema kabla ya kufanya mauaji hayo walimfunga mke wa marehemu kitambaa usoni na kisha kumpiga risasi mbili mume wake.

Mganga wa Kituo cha Afya Kibiti Dk Sadock Bandiko amesema Ndikaye alipigwa risasi mbili mwilini mwake, moja kichwani na nyingine mgongoni.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi wa Rufiji, Onesmo Lyanga, amesema polisi wako  eneo la tukio kwa ajili ya uchunguzi.

SORRY MADAM -Sehemu ya 76 & 77 (Destination of my enemies)

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA
Wakiwa katika hali bado ya kushangaa, madam Merya akaona gari mbili za polisi zikisimama katika maegesho yaliyopo mbele yao. Wakashuka watu sita kwenye gari mbili hizo. Kwa haraka madam Mery akamkumbatia Eddy na kumgeuza upande mwengine na kuanza kumnyonya denda huku viganja vyake vyote viwili vikiufunika uso wa Eddy na kuzidi kumnyonya denda Eddy pasipio kumuhofia mtu wa aina yoyote. Shamsa akalishuhudia tukio hilo na kumuonyesha Phidaya kitua anacho kifanya Madam Mery, jambo lililo ipandisha hasira ya Phidaya mara dufu na kuanza kuwafwata madama Merry na Eddy sehemu walipo simama.

ENDELEA
“Eddy hakikisha uwageukii wale askari”
Madam Mery alizungumza kwa haraka kabla hata Phidaya ajawafikia. Kitendo cha Phidaya kufika tu madam Mery akamuachia Eddy na kuingia kwenye gari kuepusha mafarakano yasiyo ya lazima. Phidaya akataka kuingia kwenye gari ili kumchomoa madam Mery ila Eddy akamuwahi na kumkumbatia na kuanza kumnyonya mdomo, huku kwa pembe ya jicho akiwatazama askari hao wanao elekea ndani ya lango la hospitali.

“Niachie”
Phidaya alizungumza huku akijitoa mikononi m wa Eddy. Rahab, raisi Praygod na Sa Yoo walibaki wakiwa na mshangao wasijue ni kitu gani ambacho kinaendela kati ya watu hawa watatu.
“Tuondokeni, Phidaya ingia kwenye gari”
Eddy alizungumza kwa sauti nzito iliyo onyesha msisitizo, taratibu Phidaya akajikuta akiingia kwenye gari hiyo.
“Itabidi kupakatana hapa, siti hazitoshi”
Rahab alizungumza huku akifungua mlango wa mbele, raisi Praygod naye akaingia siti ya mbele, ikabidi  Eddy akae katikati ya madam Mery na Phidaya, huku Shamsa akipakwa na Phidaya na Sa Yoo akipakatwa na madam Mery. Wakaondoka eneo hilo la hospitalini pasipo askari walio kuja kuwatafuta kuwaona.
                                                                                                             ***
   Yassin na vijana wake wakaonye vitambulisho kwa askari walio eneo hilo. Kutoka vitambulisho havina utofauti kabisa na vitambulisho na askari halali, hapakuwa na mtu aliye weza kuwatilia mashaka hata kidogo.
“Tunahitaji kuzungumza na daktari wa zamu”
Yassin alimuambia mmoja wa nesi, aliye kaa sehemu ya mapokezi

“Ngoja niwasiliane naye”
Nesi huyo akanyanyua mkonga wa simu na kumpigia daktari wa zamu na kumuomba aweze kufika sehemu ya mapokezi kuja kuafanya mahojiano na askakari hao. Hazikupita dakika tano daktari wa zamu akafika eneo hilo la mapokezi, akasilimiana na Yassin ambaye hadi sasa hivi hakuna mtu hata mmoja ambaye ameweza kumgundua kwamba yeye ndio gaidi aliye fanya uvamizi masaa kadhaa nyuma.
“Kuna mtu tunahitaji kumuhoji maswali mawali matatu na amelazwa hospitalini hapa”

“Ingekuwa ni vizuri kama ukanieleze jina la mtu huyo anaitwa nani ili tuweze kutazama kwenye vitabu vyetu vya kumbukumbu”
Yassin akatoa simu yake mfukoni na kumuonyesha daktari huyo picha ya Eddy, aliyo itazama kwa muda mchachwe na kuweza kumkumbuka mtu aliye weza kumpatia huduma ya kwanza aliye sadikika kwamba alivamiwa na gaidi.
“Huyu yupo wodini, nilimuhudumia baada ya tukio la uvamizi kutoa”
“Tunakuomba utupeleke kwenye chumba chake”
“Ila kuna usalama kweli?”
“Usalama upo, dokta mbona una wasiwasi”
“Ahaaa haaa hamna”

Daktari alijing’ata ng’ata huku akijaribu kuvuta kumbukumbu ya sura ya Yassin, aliye anza kumtilia mashaka ila kofia aliyo ivaa Yassin kidogo iliweza kumpa matumaini daktari huyo na kujiamini kwamba labda mtu huyo atakuwa sio yeye. Wakafika kwenye wodi ambayo Eddy alilazwa, kila mtu alibaki akishangaa hata daktari mwenyewe.
“Amekwenda wapi huyu mtu?”
Daktari alijiuliza huku akipiga hatua kueleka chooni, akafungua mlango na kukuta hakuna mtu yoyote
“Bosi kwani amevaaje vaaje mtu huyo?”
Khalid alimuuliza Yassin huku akimtazama machoni. Yassin akavuta picha ya jinsi Eddy alivyo valiaa.
“Amevaa shati jeusi, lina mistari mistari myeusi kwenye mikono”

“Shiti bosi, mbona kama huyo mtu nilimuona kwenye maegesho ya magari muda ule tulivyo fika, ila alitupa mgongo na alikuwa akipigana kisi na mkewe sijui”
“Nini?”
“Ndio bosi ninauhakika, kama ni mtu aliye valia shati yeusi basi ninauhakika ndio huyo niliye muona”
“Asante dokta”
Yassin kwa haraka akatoka nje akiwa na vijana wake, wakaingia kwenye magari, wakaondoka eneo la hospitali. Walipo fika getini Yassin akamuamuru kijana wake asimamishe gari ili kumuuliza mlinzi wa getini. Akamuelezea jinsi muonekanano wa Eddy na akamuonyesha picha mlinzi huyo.

“Sijamuona kabisa”
“Je kuna gari lolote lililo toka eneo hili dakika chache?”
“Magari yaliyo toka yapo kama kumi na kila moja limeelekea upande tofauti wa barabara”
“Asante. Ednesha gari”
Yassin alizungumza huku akifunga kioo cha gari na kuondoka eneo la hospitali matumaini ya kumpata Eddy yakiwa yamemuishia kabisa. Hakujua afanye nini ili kumpata kwa maana jiji la Cairo ni kubwa sana na ni ngumu kumtafuta mtu mmoja tu.
                                                                                                      ***
   Breki ya kwanza ikawa nyumbani kwa raisi Praygod. Wakashuka kwenye gari kila mmoja akiwa amechoka sana huku matumbo yao yakisumbuliwa na njaa waliyo dumu nayo kwa muda mrefu sana. Sa Yoo moja kwa moja akaelee lilipo friji akafungua na kutoa chupa ya soda na kuanza kuigugumia, bila ya mapumziko.
“Mmmm best utapaliwa”
Shamsa alizungumza huku akitabasamu
“Mmmm bora kupaliwa kuliko hii kiu niliyo kuwa nayo. Yaani tangu asubuhi nilivyo ondoka hotelini sijakula chochote hadi muda huu”

“Ehee hivi ilikuwaje kuwaje hadi mukaja hospitalini?”
“Tulikuja kukuangalia, tulisikia kwamba uliwahishwa hospitalini na madam Mery baada ya wewe kuwa katika hali mbaya.”
“Tulivyo ondoka asubuhi nilikuacha ulale kwa maana uliletwa umelewa chapachapa. Sasa muda tunarudi hotelini tukaambia kwamba umewahishwa hospitalini, kufika madam Mery anatuambia kwamba umefariki. Sasa muda ule ninakuona pale mapokezi, niliingiwa na woga kiasi kwamba nikataka kuondoka. Ila nilijikaza na kukufwata”
“Hapo sasa nimeanza kupata picha?”
“Picha gani?”

“Unajua  jana usiku kichwa kiliniuma sana, nikajisahau kama nimekunywa pombe. Nilichukua zile dawa zako za kukuzuia maumivu ya kichwa, nikazinywa. Kuanzia hapo sikuelewa nini kinacho endelea. Kuja kustuka najikuta nipo mochwari”
“Mochwari…….??”
“Yaani wee acha tu, kunatisha kama nini na kuna ubaridi mkali”
“Jamani mabinti tusaidiane kupika”
Rahab alizungumza na kuyakatisha mongezi ya Sa Yoo na Shamsa, hapakuwa na aliye bisha, wakaingia jikoni na kuanza kusaidiana kupika.
“Mudabidi muweke tofauti zenu pembeni sasa”
Raisi Praygod alizungumza huku akiwa anawatazama Eddy, Phidaya na madam Mery alio kaa nao kwenye sebleni.

“Ila muheshimiwa haiwezekani, huyu malaya kumkisi mume wangu tena wa ndoa”
“Phidaya cha kumtusi mwenzio”
“Ahaaa kwa hiyo unamtetea huyo malaya, si ndio”
“Phidaya hembu kuwa na lugha ya busara. Tambua upo wapi na unazungumza na watu wa aina gani”
Raisi Praygod alizungumza kwa sauti ya ukali kidogo na kumfanya Phidaya kukaa kimya, ila jazba yake bado inautawala moyo wake.

“Muheshimiwa ninaomba nizungumze kitu, ambacho kilinifanya mimi kuweza kufanya nilicho kifanya”
“Zungumza”
“Mimi nilikuwa ni miongoni mwa wanachama wa D.F.E. Niliingia kwenye chama hicho kutokana nilikuwa na musiano ya kimapenzi na Mzee Godwin ambaye kwa sasa ni raisi wa Tanzania.”
Madam Mery alizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa unyeyekevu.
“Lengo kubwa lilikuwa ni la kumteketeza Eddy ambaye ni mtoto wa mzee Godwin, tena wa kumzaa naamini unalitambua hilo muheshiwa, kwamba Eddy huyo hapo ni mtoto wa Godwin”

Raisi Praygod akatingisha kichwa akiashiria kwamba anatambua swala hilo.
“Ukiachilia mbali swala zima la kumuua Eddy, ila D.F.E, inajishuhulisha na mambo mengi duniani. Ni mtandoa mmoja wa siri ambao ni mkubwa na wenye nguvu kulia hata kundi la Alquida. D.F.E inamatawi karibia dunia nzima. Na ndio iliyo pelekea wewe kuangushwa kwenye uchaguzi kwa maana ndani ya serikali yako kulikuwa na watu wa ngazi ya juu ambao walikuwa wakiungana na Mzee Godwin.”

“Tukiachana na hayo tuje kwenye wale askari tulio waona pale hospitalini. Naweza kuwaambia kwamba hakuna askari pale. Yule jamaa mrefu anaitwa Yassin alikuwa ni bodigadi wangu kipindi nipo kwenye mtandao wa D.F.E, ndio maana niliweza kumtambua haraka sana nilipo weza kumuona pale kwenye maegesho. Ninaimani walikuja kwa lengo la kumteka Eddy. Laiti wangemuona sisi wote tungeangamia, kwa maana Yassin huwa ni mtu asiye na huruma kwa mtu ambaye amekusudia kumuua"

Phidaya akajikuta akishusha pumzi, kwa maana anamtambua vizuri mzee Godwin na ndio mtu aliye sababisha yeye kuingia katika matatizo ya kupotezana na mume wake.
“Tupo katika hali ya hatari, tunatakiwa kuwa tayari kwa lolote muda wowote kuanzia sasa.”

“Sasa tutafanyaje jamani?”
Raisi Praygod alizungumza kwa unyonge akionyesha hivi hivi ni dhaifu katika swala hilo.
“Muheshimiwa naomba hiyo kazi uniachie mimi, ninaimani kwamba  kila jambo litakwenda sawa. Nitahakikisha kwamba ninamuu mzee Godwin”
“Honey sio kiurahisi kama unavyo hisi. Wewe mwenyewe unamjua baba yako alivyo na roho mbaya”
“Hakuna mtu mwengine anaye weza kupambana na mzee Godwin zaidi yangu. Inabidi tufanye mpango wa kurudi Tanzania”

“Eheeee Tanzania!!?”
“Ndio honye ni lazima turudi Tanzania, kule ndio kwetu. Nilazima kuitetea nchi yangu kwa maana kwa sasa wananchi wanapitia kwenye kipindi kigumu sana”
“Baby mimi sirudi nitakaa hapa hapa?”
Phidaya alizungumza kwa woga mkubwa sana. Sa Yoo akaingia sebleni na kuwatazama watu wote kwa haraka akagundua kuna jambo ambalo linaendelea eneo hilo
“Jamani munaombwa muje mezani chakula kimesha ivaa”
“Sawa tunakuja”
Raisi Praygod alijibu, Sa Yoo akaondoka na kuacha ukimya ukitawala. Hapakuwa na mtu aliye zungumza jambo lolote. Madam Mery akanyanyuka na kueleka kwenye meza na kuwaacha Phidaya, Eddy na raisi Praygod.

“Jamani natangulia mezani”
Raisi Praygod aakanyanyuka na kuondoka. Eddy akamtazama Phidaya usoni
“Mke wangu tunabidi kurudi Tanzania. Nahitaji kukulinda siwezi kukuacha ukae mbali nami?”
“Ila honey naogopa”
“Usiogope nitakulinda hadi mwisho wa maisha yangu”
Eddy alizungumza huku taratibu akimvuta Phidaya kifuani mwake na kumkumbatia.

Taarifa ya serikali kuhusu watumishi waliokata rufaa ya vyeti feki

$
0
0
WATUMISHI WA UMMA WALIOKATA RUFAA KUHUSU UHALALI WA VYETI

Watumishi wa umma waliowasilisha vyeti vyao vya kuhitimu kidato cha nne, cha sita na ualimu kwa ajili ya rufaa katika Baraza la Mitihani la Taifa (NETA) kuhusu zoezi la uhakiki, wanatakiwa kuwasiliana na waajiri wao ili kupewa matokeo ya hatma ya rufaa kuhusu uhalali wa vyeti vyao.

Ipo taarifa inayosambaa katika mitandao mbalimbali ikiwa ni majina ya wanaodaiwa kuwa watumishi wa umma na maeneo yao ya kazi ikiwa na kinachodaiwa matokeo ya rufaa zilizokatwa kuhusu uhalali wa vyeti vya elimu kwa wahusika. Wananchi na watumishi wote wanaelezwa kuwa, serikali inao utaratibu rasmi wa kutoa taarifa na mawasiliano.

Taarifa inayosambazwa haijatolewa na serikali na ipuuzwe.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikali,

Ofisi ya Rais-Utumishi,

08.07.2017

Orodha ya wagombea wa TFF waliyochujwa katika usahili.......Jamal Malinzi Kaondlewa

$
0
0
Jumamosi ya July 8 2017 kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka Tanzania TFF ilikutana kwa mara ya kwanza baada ya kuvunjwa na kuundwa upya na kikao cha kamati ya utendaji ya TFF.

Baada ya kikao kumalizika na kufanya usahili wa wagombea wa nafasi zote na kuchuja, orodha ya wagombea waliyochujwa nafasi ya Urais ni pamoja na Rais wa sasa wa TFF Jamal Malinzi ambaye ameondolewa kwa sababu yuko Rumande


Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya July 10

Waziri Mkuu Azisifu Taasisi za Agha Khan......Asisitiza Tanzania ni Salama Kwa Uwekezaji

$
0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia uwekezaji wenye tija wawekezaji watakaokuja nchini kwa kuwa Tanzania ni nchi yenye amani,utulivu wa kisiasa na uchumi wenye kukua kwa kasi.

Ameyasema hayo jana Julai 09,2017 alipomuwakilisha Rais Dkt.John Magufuli katika maadhimisho ya miaka 60 tangu Mtukufu Aga Khan alipochaguliwa kuwa Imamu Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani.

Waziri Mkuu alisema Serikali inatambua na kuthamini shughuli mbalimbali zinazofanywa na mtandao wa taasisi za Aga Khan zilizopo hapa nchini, hivyo Serikali itaendelea kushirikiana nao.

Aliupongeza mtandao wa taasisi za Aga Khan kwa kumuunga mkono Rais Dkt.Magufuli katika kutoa kipaumbele cha kuwapa fursa watu wenye kipato cha chini kushiriki katika uzalishaji ili waweze kujikwamua kiuchumi.

"Nawahakikishia kwamba uwekezaji wenu hapa nchini utakuwa na baraka  kwa sababu nchi imetulia kisiasa na uchumi wake unakua kwa kasi. Nawaomba muendelee kuwaalika wanajumuia wa  madhehebu ya Shia Ismailia popote walipo duniani waje kuwekeza nchini fursa bado zipo", Majaliwa.

Kwa upande wake Rais wa Jumuiya ya Madhehebu ya Shia Ismailia Tanzania, Bw. Amin Lakhani aliishukuru Serikali kwa ushirikiano inaowapa na kwamba ameahidi kuendelea kushirikiana nayo katika kuboresha sekta mbalimbali nchini.

Alisema mtandao wa maendeleo wa Aga Khan unatoa huduma mbalimbali zikiwemo za afya,elimu,kilimo na kunaendesha miradi katika mabara ya Afrika na Asia kwa kuwapa fursa watu wenye kipato cha chini kushiriki katika uzalishaji ili kujikwamua kiuchumi.

Mkapa azindua nyumba za wahudumu wa afya Chato

$
0
0
Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa ametembelea na kuzindua nyumba ya wahudumu wa afya katika kijiji cha Mkungo wilayani Chato mkoani Geita zilizojengwa na taasisi ya Mkapa Foundation kwa kushirikiana na Serikali.

Akizindua nyumba hizo jana, Rais Mkapa aliwasalimia wanachi kwa salam yake ya “mambo” na wananchi kuitika poa” na kuwataka kutunza nyumba hizo na kushirikiana vema na watumishi watakaoshi katika nyumba hizo kisha msafara wake kuondoka na kuelekea Ikulu ndogo iliyopo Chato.

Mkapa aliingia katika eneo la zahanati hiyo saa sita mchana akiongozana na mkewe, Mama Anna Mkapa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu.

Uzinduzi wa nyumba hiyo ni ishara ya kuzindua nyumba nyingine 50 zilizopo katika mikoa ya Geita, Simuyu na Kagera .

Makabidhiano ya nyumba hizo yanatarajiwa kufanyika leo(Jumatatu July 10)  katika uwanja wa mpira wa miguu uliopo Chato mjini hafla itakayohudhuriwa na Rais John Magufuli.

Ofisa Mahusiano na Mawasiliano wa Mkapa Foundation, Deogratius Rimoy alisema nyumba 50 zilizojengwa na taasisi hiyo katika mikoa mitatu tofauti zimegharimu kiasi cha Sh 2.5 bilion

Alisema lengo la kujenga nyumba hizo ni ili kuboresha huduma za afya vijijini illi watumishi waweze kutoa huduma za afya kwa saa 24.

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume

$
0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  

Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto  kwa  muda  mrefu.

Katika  makala  yetu  ya  leo, tutaangalia  namna   suala  la  upigaji  punyeto linavyo  athiri  nguvu  za  kiume.

Kabla  hatujaangalia  namna  suala la upigaji  punyeto linavyo  maliza  nguvu  za  kiume, ni  vyema  tukafahamu  kwanza  kuhusu  SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Kufahamu   kuhusu   SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME  tafadhali  tembelea :

Ukisoma  vizuri  kuhusu  mfumo  wa  nguvu  za  kiume, utagundua  kuwa   Suala  la  nguvu  za  kiume  ni  suala  la  kimfumo.  Ili  mwanaume  awe na nguvu  za  kiume, aendelee  kuwa  na  nguvu  za  kiume na  azilinde  nguvu  zake za  kiume, ni  lazima  ogani  zote zinazo  husika  na  mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ziwe  na  afya  njema  na  ziwe  na  ushirikiano   thabiti  na  wenye  afya.

Vile  vile , utagundua  kuwa , mambo  makuu  muhimu  katika   mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ni  kama  ifuatavyo:

i.Mishipa  imara  ya  ubongo  na  yenye  afya  njema

ii. Mishipa  imara  ya  uti  wa  mgongo  (  spinal  cords )

iii.Mishipa  imara  itumikayo  kusafirisha  damu  mwilini  (  Blood Vessels )

iv. Mfumo  imara  wa  usafirishaji  damu  mwilini

v. Mishipa  ya  uume  iliyo  imara  na  yenye  afya  njema

vi. Uhusiano  imara  na  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  ubongo, mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  misuli & mishipa  ya  kwenye  uume.

Hivyo  basi, ili  mwanaume  aweze  kuwa  na  nguvu  imara  za  kiume, na  aendelee  kuwa  na  nguvu  hizo ni  lazima  mambo  yote  muhimu  katika  mfumo  wa  nguvu za  kiume  yawe  imara  pasi na  hitilafu  yoyote.

Hitilafu  yoyote  katika  mambo  hayo, itasababisha  ukosefu na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume  kwa  mwanaume  huyo.  Pale inapotokea    hitilafu  ama  mapungufu  katika  ogani  zaidi  ya  moja  kati  ya  zilizo  tajwa hapo  juu, basi  tatizo  kwa  muhusika  huwa  kubwa  mara  dufu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU &  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume   anapopatwa na  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, ubongo  hutoa  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo  husafirisha  taarifa  hadi  kwenye  mishipa &  misuli  ya  uume.

Mishipa  ya  uume inapopokea  taarifa  hiyo, hutanuka. Na  mishipa  ya  uume  inapotanuka, hufanya  mambo  mawili  muhimu  sana :

i.Husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  hivyo  kuruhusu  damu  kuingia kwa  kasi  sana   ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  imara  bara bara.

ii. Huibinya na  kuiziba  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuzuia  kunyonya  ama  kufyonza  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa ya  uume.  (  KAZI  KUBWA  YA  MISHIPA  YA  VENA  ILIYO  KARIBU NA  MISHIPA  YA  UUME  NI KUHAKIKISHA  HAKUNA  DAMU NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME. HIVYO  BASI  DAMU  INAPOINGIA  NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME, MISHIPA  YA  VENA  HU “SENSE” JAMBO  HILO  KWA  HARAKA  NA HIVYO  KUIFYONZA  DAMU  HIYO  KUTOKA KWENYE MISHIPA  YA UUME  YA  KUITOA  NJE YA MISHIPA  YA  UUME.  NA  DAMU INAPOKOSEKANA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME, HUUFANYA  UUME  KUSINYAA  NA  KULEGEA )

Mtu  anayepiga  punyeto  husababisha  mambo  yafuatayo  katika  mwili  wake :

1. Huuwa  nguvu  ya  mishipa  & misuli ya  uume ambayo  ndio  inayo husika  na  kusimama  kwa  uume

2. Mishipa  ya   uume  inapo  sinyaa  na  kukosa  nguvu  yake  ya  asili, husababisha  mambo  yafuatayo :

i.Huondoa  uwezo  wa  mishipa  &  misuli  ya  uume  kutanuka, na  hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  waathirika  wa  punyeto  kutumia  nguvu  nyingi  sana  katika  kuufanya  uume  usimame.

ii.Huondoa  uwezo  wa  mishipa &  misuli  ya  uume  kuibana  na  kuiziba  mishipa  ya  vena, na  hii ndio  sababu  inayo  fanya  waathirika  wa  punyeto  kufika  kileleni  haraka  sana, kwani damu  inayo  ingia  kwenye misuli  ya  uume   hufyonzwa  ndani ya  muda  mfupi sana. 
 
 Hii  hutokea  kwa  sababu  mishipa na  misuli  ya  uume inakuwa  imelegea,na  mishipa  ya  vena inakuwa  imepwaya, hivyo  msuguano wowote ule  hufanya  mishipa  ya  vena  kufunguka  na  kufyonza  damu  kutoka  kwenye mishipa  ya  uume  na hivyo  kuufanya  uume  kusinyaa  ndani ya dakika ama sekunde  chache sana.

3. Vile  vile  punyeto  hufanya  uume  kusinyaa na  kurudi ndani  na  kuufanya  uonekane kama  uume  wa  motto mdogo.

Kwa  ufupi  punyeto  husababisha  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  kwa  sababu  kuu  zifuatazo :

i.Kwanza   hudhoofisha  na  kuharibu  mishipa  ya  uume,  ambayo  ndio  hufanya  uume kusimama.

ii.Pili  hudhoofisha  utendaji  kazi  wa  mishipa  ya  ateri, ambayo  ndio  hutumika  kama  njia  ya  kusafirisha  damu kupeleka kwenye  misuli  ya  uume  na  ivyo  kuufanya  uume  usimame

iii. Tatu, punyeto  hupelekea  kuvuja  kwa  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kusababisha  damu  kufyonzwa  kwa  haraka  sana  kila  iingiapo ndani  ya  misuli ya  uume  na  matokeo  yake  ni  uume   kusimama  kwa  muda  mfupi  sana  wakati wa  tendo  la  ndoa.

iv. Punyeto  huathiri  mtiririko  wa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume, kwa  sababu  hudhoofisha  misuli &  mishipa  ya  uume  pamoja  na mishipa ya  ateri  ambayo  ndio  hutumika  katika  kusafirisha  damu kwenda  kwenye  uume

DALILI  ZA  MTU  ALIYE  ATHIRIWA  NA  PUNYETO
Dalili  kuu  za  mtu  aliye athiriwa  na  punyeto  ni  kama  ifuatavyo:

i.           Uume  kusinyaa  na  kuwa  kama  wa  mtoto
ii.         Uume kurudi  ndani
iii.       Uume  kusimama  ukiwa  legelege
iv.       Kufika  kileleni  haraka  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

TIBA   YA   NGUVU  ZA  KIUME  KWA MTU  ALIYE  ATHIRIKA  NA  PUNYETO.
Dawa   asilia  ya  nguvu  za  kiume iitwayo JIKO  ni tiba  bora  na  ya  uhakika  kabisa  kwa  mtu  aliye  athiriwa   na  punyeto.  Dawa  hii, pamoja  na  mambo  mengine  mengi, husaidia  kufanya  mambio  yafuatayo  katika  mwili  wa  mwanaume  aliye  athiriwa  na  punyeto :

i.Kuimarisha  mishipa  & misuli  ya  uume  ulio  legea na  hivyo  kuurejeshea  uwezo wake wa  asili

ii. Hutibu   tatizo  la  uume  kurudi  ndani

iii.Humaliza  tatizo  la  kusimama  kwa  uume  ukiwa  legelege

iv.Hutibu  na  kuponya  kabisa  tatizo  la  kufika  kieleleni  haraka.

BEI  YA  DAWA  :  Dawa  hii  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tsh. 80,000/=)

MAHALI  INAPOPATIKANA :  Dawa  hii  inapatikana  katika  duka  la  dawa  asilia  liitwalo  NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC  lililopo  jijini  DAR  ES  SALAAM  katika  eneo  la  UBUNGO   nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA   karibu  na SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

Kwa  wateja  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu. Watafikishiwa  dawa  mahali  popote  walipo  jijini  DAR  ES  SALAAM.

Kwa   wateja  waliopo  mikoani  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  MABASI

Kwa  wateja  waliopo   Zanzibar  wata fikishiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa boti.

Na  kwa  wateja  waliopo  UGHAIBUNI  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  ama  DHL.

MAWASILIANO :  WASILIANA  NASI   KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84.

Kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee kila  siku  kwenye  blogu  yetu :

Al Shabaab Yachinja 9 Kenya.....Amri ya Kutotembea Usiku Yatangazwa

$
0
0
Kaimu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Fred Matiangi, ametangaza amri ya kutotembea usiku kwa miezi mitatu katika County za Lamu, Tana River na Garissa ambazo zimekuwa zikishambuliwa mara kwa mara na wanamgambo wa Al – Shaabab.

Amri hiyo imetangazwa baada ya Bw. Matiangi kukutana na Rais Uhuru Kenyatta wakati wa kikao cha Baraza la Taifa la Usalama la nchi hiyo.

Amri hiyo itaanza kutekelezwa mara moja kuanzia saa 12:30 jioni mpaka saa 12:30 asubuhi katika County hizo tatu na maeneo ya jirani ambayo yanaonekana kuwa hatari.

Hata hivyo, Bw, Matiangi, amesema amri hiyo haitahusu visiwa vya Lamu, Manda na Pate.

Ijumaa ya wiki jana usiku, watu tisa waliuwawa kwa kuchinjwa na wanamgambo wa Al – Shaabab katika vijiji vya Jima na Poromoko katika County ya Lamu, ambapo siku ya Jumatano wanamgambo hao walivamia kituo cha polisi na kuwaua maafisa watatu.

Mtangazaji wa E-FM ‘Bikira wa Kisukuma’ afariki dunia

$
0
0
Tasnia ya habari nchini imepata pigo kwa kumpoteza mtangazaji maarufu wa kituo cha redio cha E-FM, Seth Katende maarufu kama ‘Bikira wa kisukuma’ aliyefariki jana mchana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Kituo hicho cha redio kimeeleza kuwa Katende alipoteza maisha baada ya kuugua kwa muda mfupi.

“Kwa masikitiko makubwa E FM inapenda kuwajulisha kuwa mwenzetu Seth Katende maarufu” Bikira wa kisukuma”amefariki dunia  katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi.Seth atakumbukwa sana kwa ucheshi wake kupitia kipindi cha Ubaoni alichokua akiendesha sambamba na Imma Kapanga na Mpoki au “mwarabu wa Dubai”.Msiba upo nyumbani kwa baba yake mzazi Changanyikeni Dar es salaam,” ilieleza taarifa ya E-FM.

Katende alianza kupata umaarufu kupitia mtandao wa Instagram akitumia jina la ‘Bikira wa Kisukuma’ akichambua mada mbalimbali za maisha zilizowagusa wengi hususan vijana.

Umaarufu wa marehemu uliongezeka mara dufu baada ya kuanza kusikika kupitia kipindi cha Ubaoni cha E-FM kutokana na ucheshi wake na jinsi alivyokuwa akiwasilisha mada mbalimbali.

Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

$
0
0
Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..

CHIEF SULTAN ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na CHIEF SULTAN Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
 
Wasiliana na CHIEF SULTAN Kwa Majibu ya Maswali yako..
Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA..
Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
 
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.)Humaliza Kesi za Muda mrefu ndani ya siku 14 tu.
Anatoa NDAGU Zisizokuwa na Masharti.. Kwa maelezo Zaidi wasilina nae kwa

whatsapp +255 0658 316 976
Call +255 755 911 233

Mkapa Afunguka.....Awataka Watanzania Waache Kulialia na Kulaamika, Adai Huwez Pata Haki bila Kutimiza Wajibu Wako

$
0
0
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, amewataka Watanzania, wakiwamo wanasiasa, kuacha kulalamika kwa kukosekana kwa haki, huku akiwataka kujiuliza iwapo wametimiza wajibu wao.

Amesema amekuwa akichukizwa na baadhi ya wanasiasa hapa nchini, ambao kila siku wamekuwa wakilalamika kutaka haki, hali ya kuwa wao hawatimizi wajibu.

Rais huyo mstaafu ametoa kauli hiyo huku kukiwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya viongozi wa upinzani kudai haki ya demokrasia na kupinga kuzuiwa kufanya shughuli zao za kisiasa kupitia mikutano.

Hatua hiyo imekuwa ikizua malalamiko ikiwemo kuwaomba marais wastafu kujitokeza na kumshauri Rais Dk. John Magufuli kutokana na maamuzi yake mbalimbali aliyoyachukua kwa nchi.

Kutokana na hali hiyo, Mkapa amewataka wasomi na wafanyakazi kuendesha midahalo na makongamano ya kuhakikisha nchi inajitegemea badala ya kulalamika kila siku.

Kauli hiyo aliitoa jana wilayani Itilima, mkoani Simiyu, alipokuwa akikabidhi Jengo la Upasuaji (Theater) katika Kituo cha Afya Nkoma, lililojengwa na Taasisi ya Mkapa Foundation kwa gharama ya Sh milioni 270.
 
Rais huyo mstaafu alisema wanasiasa hao, licha ya kulalamika, lakini hawatimiza wajibu wa kuhakikisha wanafanya kazi ili kuletea nchi maendeleo.

Katika kile kinachoonekana kuchukizwa na hali hiyo, Mkapa alisema kila Mtanzania ana wajibu wa kuhakikisha taifa linajitegemea na kuwaletea wananchi wake maendeleo.

“Kila siku utasikia watu wanadai haki, makongamano, midahalo ya kudai haki, swali la kuwauliza wao je, wametimiza wajibu kama Watanzania… maana hakuna haki bila wajibu, ni lazima kubadilika na kuendesha makongamano ya kuonyesha nchi itajitegemea vipi,” alisema Mkapa.

Rais huyo Mstaafu alisema ili kuweza kujitegemea, ni lazima kila Mtanzania atimize wajibu wa kufanya kazi kama Rais Dk. John Magufuli anavyosema, huku akitoa mfano katika nchi ya Japan ambapo wananchi wake jambo la kwanza ni kufanya kazi.

“Kama tunatarajia mataifa kuja kutuinua wakati sisi tumekaa ni dhana potofu, viongozi tubuni miradi ili tujiendeleze na kujiletea maendeleo sisi wenyewe, kama nchi ya Japan wanavyofanya,” alisema Mkapa.
 
Aliongeza kuwa, toka utawala wa Baba wa Taifa na sera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), tangu enzi ilikuwa ni ujamaa na kujitegemea, jambo ambalo ameeleza lazima litekelezwe kwa kila mmoja katika kutimiza wajibu kwa nafasi yake.

Akizungumzia jengo hilo, Mkapa aliishukuru Japan, ambao walitoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo kupitia Taasisi ya Mkapa Foundation, lengo likiwa ni kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga.
 
“Nchi yetu bado tunakabiliwa na changamoto ya vifo vya akina mama wajawazito pamoja na watoto wachanga, nchi ya Japan wametoa msaada huo kwa ajili ya kukabiliana na changamoto hii.

“… taasisi ya Mkapa itaendeleza ushirikiano na Serikali katika kutatua changamoto mbalimbali za afya,” alisema.
 
Baada ya kukabidhi jengo hilo la upasuaji, Rais Mkapa na msafara wake walielekea wilayani Chato

Wananchi Mwanza Wajifungia Ndani Wakiogopa Wahalifu wa Kibiti Waliokimbilia Mwanza..........Polisi Yawatoa Hofu, Yasema Hakuna Mhalifu Atakayesalimika

$
0
0
Wakati  wakazi wa mtaa wa Fumagila Mashariki Kata ya Igoma, Mwanza wakiwa na hofu baada ya watu wawili wanaodhaniwa kuwa majambazi kukimbia juzi, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, limesema linaendesha msako mkali kuwasaka watu hao. 

Majambazi hayo yanadaiwa kutoroka Kibiti na kukimbilia Mwanza ambapo juzi majambazi 6 yaliuawa katika mapambano na polisi yaliyodumu kwa masaa mawili.

Hata hivyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi ameendelea kuwatoa hofu wakazi hao kuwa hakuna jambo baya litakalotokea kwani polisi wamejipanga vya kutosha na wapo kwenye msako kila kona kuhakikisha kundi lote la uhalifu linatiwa nguvuni.

“Wakazi hao wasiwe na wasiwasi tumejipanga vya kutosha, hakuna kibaya kitakachotokea hilo kundi tumeshapata taarifa zao hivyo tutawasambaratisha wote, kikubwa wananchi waendelee kutoa taarifa na kushirikiana na polisi kwa watu wanaowatilia mashaka.” Amesema.

Katika tukio hilo polisi waliua watu sita, kukamata silaha ya SMG AK47, magazine mbili kila moja ikiwa na risasi 30, risasi 36 za AK 47 ambazo zikuwa nje ya magazine, risasi moja aina ya rafal, risasi nane za shortgun.

Silaha nyingine zilizokamatwa ni bastola nne za kienyeji, sare za jeshi za nchi jirani, kofia sita za kuziba uso, kitambaa cha kichwani, nusu kanzu, nguo mbalimbali za kiume, mabegi matatu yaliyokuwa yakihifadhi silaha hizo, baiskeli mbili, pikipiki moja, unga na dagaa.

Mwenyekiti wa mtaa huo, William Ngemela  jana alisema tukio hilo limetoa elimu tosha katika mtaa huo na mitaa jirani huku akidai tangu azaliwe hajawahi kushuhudia tukio kama hilo.

“Hii ni elimu tosha kwasababu haya yote hatukutegemea kama yanaweza kutokea kwenye mtaa kama huu, lakini angalia silaha zote na vitu vilivyokamatwa, kwakweli inatishia amani,” amesema Ngemela.

Mwenyekiti huyo alisema watu hao walikuja mtaani hapo kama waumini wa dini ya kiislamu kumbe walikuwa na mambo yao.

".... lakini hili limekuwa fundisho kwetu, ni wajibu wetu wote kushirikiana, mimi ni mwenyekiti mmoja lakini jamii ninayoingoza ni kubwa inapaswa kutoa taarifa.”

Alisema tangu lilipotokea tukio hilo juzi, baadhi ya wakazi wa eneo hilo hawakutoka nje ya nyumba zao, walijifungia wakiogopa kuwa hao waliokimbia wanaweza kurudi kufanya jambo baya.
Nyumba waliyokuwa wamejificha wahalifu hao ambapo 6 kati yao waliuawa, Wawili wakakimbia


Wiliam Ngeleja arejesha fedha za mgao wa ESCROW alizopokea Disemba 2, 2014.

$
0
0
Wiki kadhaa baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kumpandisha kizimbani mfanyabiashara James Rugemalira, Mbunge wa Sengerema William Ngeleja amerudisha fedha alizopokea kutoka kwa mfanyabiashara huyo miaka mitatu iliyopita.

Ngeleja amezungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu, Julai 10, na kueleza kuwa fedha hizo zipatazo Sh 40.4 milioni tayari ameshazikabidhi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Fedha hizo  ni sehemu ya Sh 306 bilioni zilizochotwa kwenye akauti ya Tegeta Escrow  iliyofunguliwa kwa pamoja na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na kampuni ya kufua umeme ya IPTL wakati wakisubiri mzozo wa kimkataba baina yao uliokuwa mahakamani umalizike.

Fedha hizo ziligawiwa kwa wanasiasa akiwamo Ngeleja ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini, majaji, wabunge na viongozi wa dini.

Ngeleja amesema ameamua kuzirudisha fedha hizo baada ya Rugemalira kuhusishwa na kashfa ya akaunti  hiyo ya Escrow.

"Nilipokea msaada huo kama wapokeavyo wabunge wengine, ilikuwa ni msaada ambao nilipewa kwa ajili ya jimbo langu bila kujua kwamba Rugemalira baadaye angekuja kuhusishwa na kashfa ya fedha, za akaunti ya Escrow."

"Nimepima na kutafakari na hatimaye nimeamua kwa hiari yangu kurejesha serikalini fedha zote nilizopewa kama msaada bila kujali nilishazilipia kodi ya mapato," amesema.

Amesema ameamua kurudisha fedha hizo hata kama aliyempa msaada bado ni mtuhumiwa.

"Ninarudisha fedha hizi ili kulinda heshima na maslahi mapana ya nchi, chama, Serikali, jimbo langu la Sengerema, familia yangu na heshima yangu mwenyewe,"amesema.

===> 

Halima Mdee apelekwa Mahakama ya Kisutu

$
0
0
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amefikishwa katika ukumbi wa wazi wa Mahakama ya Kisutu leo asubuhi  akisubiri kesi yake.

Mdee, alikamatwa na Polisi siku sita zilizopita kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi kwa madai ya kumkashifu Rais John Magufuli.

Hapi aliagiza Mdee akamatwe na kuwekwa ndani kwa saa 48 kwa makosa hayo pamoja na ya uchochezi.

Waziri Mwakyembe Amtumbua Rasmi Malinzi.....Ni Baada ya Kusitisha Uteuzi wa Mwenyekiti na wajumbe wote wa BMT

$
0
0
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) , Dionis Malinzi, ambaye ni ndugu na Rais wa Shirikisho la Soka Jamali Malinzi ametumbuliwa leo na Waziri wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Mwakyembe kufuatia agizo la Waziri Mkuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alimtaka Waziri Mwakyembe kupitia baraza hilo na kulitathimini hivyo baada ya kulipitia na kutathimini amesitisha uteuzi wa Mwenyekiti wa baraza hilo.

"Kwa mamlaka niliyopewa na sheria ya BMT Na. 12 ya 1967, nimesitisha uteuzi wa Mwenyekiti na wajumbe wote wa BMT" amesema Dkt.Harrison Mwakyembe

Kwa mujibu wa Waziri Mwakyembe amesema kuwa Sekretarieti ya Baraza la Michezo Tanzania litaendelea na kazi kwa kushirikiana na serikali wakati mchakato wa kuteua mwenyekiti mpya wa baraza hilo ukiendelea.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images