Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mwigulu Nchemba Atoa ONYO Kali Kwa Wanaompinga Rais Sakata la Wanafunzi Kupewa Mimba

0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amezionya taasisi zisizo za Serikali zinazohamasisha kudai haki ya mtoto anayepata mimba kurejeshwa shuleni kuacha mara moja na zikiendelea atazifutia usajili.

Mwigulu ameyasema hayo leo, Jumapili wakati alipomwakilisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika harambee ya kuchangia ujenzi wa Parokia ya Kisasa Mjini hapa.

Amesema Serikali haitaomba ushauri wala maoni kwa sababu maelezo yaliyotolewa na Rais, John Magufuli ni maagizo ya Serikali.

Waziri huyo amesema Serikali imetoa haki ya kila mtoto kupata elimu kwa kuifanya kuwa bure kwa hiyo atakayeikosa asitafute kisingizio.

"Rais ametoa haki hiyo sasa hivi elimu ni bure, halipi tuition wala nini, atakayeamua kuachana na haki hiyo asitafute kisingizio, asipeleke lawama kwa Serikali, "amesema.

TID kutinga tena kituo cha kati cha polisi kivingine

0
0
Mwimbaji TID aka Mnyama kama anavyopenda kuitwa, ametishia kutinga katika kituo cha kati cha polisi jijini Dar es Salaam kuwasilisha malalamiko yake dhidi ya Quick Rocka na kundi la OMG.

TID ambaye ana historia ya kufikishwa yeye kwenye kituo ha polisi na hata kufungwa miezi kadhaa, sasa amebadili upepo na yeye anahitaji haki yake kisheria.

Kupitia mtandao wa Instagram, Mnyama ametishia kufika polisi kuwasilisha malalamiko yake kutokana na kile alichodai kundi la OMG na Bosi wao Quick wametumia wimbo wake ‘Watasema’ bila ruhusa yake. Hivyo, anahitaji kulipwa angalau milioni 20 kama kifuta jasho kwa kazi yake iliyowahi kushinda tuzo mbili.

“Wat is this….?! Hivi ndio mnapata Magari yenu!? @quickrocka & @omgtanzania we need to TALK #Watasema, ameandia msanii huyo. Naomba tukutane Central Police huwezi kutumia Haki zangu hivihivi Kabla sijafanya kitu kibaya nahitaji million 20 compensation… This song ni Awards mbili Za Kisima Music Awards 2005 inKenya u can’t just Steal it, Unalala Ndani Leo.” ameandika TID.

‘Watasema’ ni hit ya miaka mingi iliyopita, ambapo TID alimshirikisha Naaziz, malkia wa michano kutoka Necessary Noise ya Kenya.

Lori lalipuka na kuteketeza watu 123, Pakistan

0
0
Takribani watu 123 wamekufa kwa kuteketea kwa moto baada ya Lori lililokuwa limebeba mafuta kupata ajali na kulipuka nchini Pakistan.

Taarifa iliyotolewa na Serikali nchini humo imeeleza kuwa ajali hiyo imetokea katika mji wa Ahmedpur Sharqia katika jimbo la Punjap ambapo watu wengine kadhaa wameteketea vibaya, pale walipokuwa wakijaribu kuteka mafuta kutoka katika lori hilo la mafuta.

Waliojeruhiwa wanatibiwa hospitali huku kikosi cha zima moto kipo katika eneo la ajali kikikabiliana na moto huo.

Lori hilo la mafuta limedaiwa kuwa lilikuwa likiendeshwa kwa kasi hali iliyosababisha kuanguka na kisha kushika moto, huku mashuhuda wakieleza kuwa, baadhi ya watu waliofika katika eneo la ajali walikuwa wakivuta sigara, jambo ambalo linakisiwa kuwa chanzo cha moto huo.

SORRY MADAM -Sehemu ya 72 & 73 (Destination of my enemies)

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWAILIPOISHIA
ILIPOISHIA
Nusu saa zima likakatiaza, Shamsa mapigo yake ya moyo hayakuweza kurudi, kila daktari aliye kuwemo kwenye chumba hicho akakata tamaa. Hadi daktari mkuu Bi. Sharmaa.
“Dokta mgonjwa ameshafariki huyu”
Daktari msaidizi alizungumza kwa msisitizo.
“Muandaeni kwa ajili ya kumpeleka Mochwari”
Bi Sharmaa alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Kwa kipindi cha miaka ishirini katika kazi yake ya udaktari hakuna siku ambayo aliweza kuguswa na kifo cha mgonjwa, kama kifo cha Shamsa. Hakuhitaji kulia mbele za watu, akafungua mlango na kutoka
“Dokta hali ya mgonjwa vipi?”
Madam Mery alimuuliza Bi Sharmaa, huku akimtazama mwana mama huyo. Bi Sharmaa, akamtazama madam Mery kwa macho yaliyo jaa huruma, mbaya zaidi machozi akajikuta yakimwagika. Kitu kilichomfanya madam Mery kuhisi hali ya hatari imetoke
“SHAMSA AMEFARIKI DUNIA. SAMAHANI KWA HILO”
Bi Sharmaa alizungumza na kuondoka na kumuacha Madam Mery akiwa mdomo wazi asijue afanye nini.

ENDELEA
Taratibu Madam Mery akajikuta akitafuta sehemu na kukaa, mwili mzima ulimuishia nguvu, kifo cha Shamsa ni kifo kilicho mstaajabisha kwa maana ni jana mchana alikuwa naye kutwa nzima.
‘Sasa nitafanyaje mimi?’
Ni swali alilio jiuliza madam Mery akiendelea kububujikwa na machozi usoni mwake
                                                                                                       ***
Safari ya kufika katika nyumba ya raisi Praygod haikuchukua muda sana, kila mtu ndani ya gari hakuzungumza chochote, kila mtu kichwani mwake aliwaza chake. Rahab akaonekana kustuka baada ya kuukuta mlango wa kuingilia ukiwa na tofauti kidogo na jinsi walivyo uacha.

“Vipi”
Raisi Praygod aliuliza baada ya kuona mabadiliko ya sura ya Rahab.
“Kuna tatizo ndani, nisubirini nje”
Rahab alizungumza kwa kujiamini na kuwaacha Sa Yoo na Raisi Praygod kusimama. Eddy akaarudi hatua mbili nyuma kutoka katika sehemu alipo simama na kutazama upande wa pili wa nyumba ambapo aliweza kuona mlango wa sehemu hiyo ya nyuma ukiwa wazi.

Bila kumueleza mtu yoyote kitu, akaanza kuelekea kwenye mlango huo kwa tahadhari kubwa.  Kitendo cha kufika karibu na mlango huo, kufumba na kufumbua, akastukia gongo zito likitua kifuani mwake na kumuangusha chini. Akiwa amelala chini akastukia mtu akiwa amesimama mbele yake, cha kushangaza Eddy akajikuta akiishiwa nguvu na kubaki akimtumbulia macho mtu huyo.
                                                                                                      ***
   Phidaya baada ya kuingia ndani ya Taksi moja kwa moja akamuomba dereva taksi ampeleke nyumbani kwa raisi Praygod. Hawakuchukua muda mwingi wakafanikiwa kufika nyumbani kwa raisi Praygod. Hali ya ukimya ikaanza kumpa wasiwasi mwingi Phidaya, kwani tangu akae wiki kadhaa kwenye nyumba hiyo hajawahi kuona ukimya wa namna hiyo. Hapakuwa na sauti ya Tv au redio kama ilivyo zoeleka. Kwa haraka akaangaza macho yake huku na kule, hakuliona gari la Raisi Praygod analo litumia.

‘Wamekwenda wapi?’
Ni swali ambalo Phidaya alijiuliza baada ya kuufungua mlango, huku akiwa na mashaka moyoni mwake. Akaanza kuingia ndani akiwa katika mwendo wa tahadari, kama alivyo fikiria kichwani mwake kweli hakukuta mtu wa aina yoyote ndani humo.
Akiwa katika kushangaa shangaa, akastukia mlango ukifunguliwa, akageuka kwa haraka na kumkuta dereva taksi aliye mleta eneo hilo akiwa amesimama, uso wake ukionekana ukiwa katika hali ya hasira tofauti na jinsi alivyo muacha ndani ya gari.

“Unanichelewesha dada nahitaji pesa yangu”
Dereva taksi alizungumza kwa msisitizo mkubwa, ulio mfanya Phidaya kuingiwa na hofu kidogo. Dereva huyo anaye onekana ni mzee wa makamu kiasi mwenye ndevu nyingi usono mwake, zilizo fungamana kama ndevu za gaidi mmoja aliye kuwaa maarufu duniani kwa usumbufu wake, Osama Bin Laden. Mavazi aliyo yavaa yalidhihirisha kwamba ni mtu wa sala na asiye penda ujinga katika mambo yake.
“Ku….kuu kuna ndugu zangu na…wasu….biri waniletee pesa”
“Hadi saa ngapi, nimekaa hapo nje na kusubiria au unaniletea utapeli wako si ndio?”

Mzee huyo alizidi kumjia juu Phidaya na kumfanya azidi kuchanganyikiwa kwa woga. Dereva huyo akazidi kuikunja sura yake huku akianza kumsogelea taratibu Phidaya, ambaye naye alianza kurudi nyuma kwa woga. Macho ya mzee huyo yakaanza kumtazama Phidaya kuanzia juu hadi chini, taratibu macho ya mzeee huyo yakaanza kumlegea na kuingia na tamaa ya mapenzi, alipo dhibitisha kwamba hakuna mtu mwengine yoyote ndani ya nyumba hiyo dhaidi ya wao wawili tu.

“Naomba pesa yanguuu”
Mzee huyo alizungumza huku macho yakimlegea, sehemu ya mbele ya suruali yake maeneo ya zipu, ikaanza kutuna taratibu, kitu kilicho mpa Phidaya ufafanuzi wa kwanini mzee huyo aliingia humo ndani, ingali alisha mueleza amsubirie kwenye gari. Phidaya katika kurudi rudi kwake nyuma akafanikiwa kufika kwenye mlango wa kutokea nje upande wa pili wa nyumba hiyo. Mzee huyo bila hata kusita akaanza kumkimbiza Phidaya, bila ya kujali nini hatari ya yeye kufanya hivyo.

Akilini mwake tayari alisha tawaliwa na jini la mahaba na alicho kihitaji yeye kwa wakati huo ni penzi la Phidaya mwanamke aliye muona ni mzuri kuliko hata wake zake wanne alio waacha nyumbani kwake. Phidaya akafanikiwa kutoka nje na kumuacha mzee huyo hatua kadhaa, kwa haraka Phidaya  akatazama tazama eneo la nyuma ya nyumba hiyo, kulipo hifadhiwa, baadhi ya vitu vilivyo malizia ujenzi wa nyumba hiyo.

Kwa haraka Phidaya akaokota moja ya gongo na kulishika kwa umakini kitendo cha mzee huyo kutokeza sura yake kwenye kona aliyo jibanza Phidaya, gongo zito  likatua kwenye pua yake, kitendo kilicho mfanya mzee huyo kutoa ukelele mkali wa maumivu. Phidaya akamuongeza mzee huyo gongo jengine la mgongo na kumfanya mzee huyo kutoka baru,  moja kwa moja akaelekea kwenye gari lake na kuondoka eneo hilo akiyasikiulizia maumivu makali ya mgongo aliyo yapata.

Phidaya akashusha pumzi nyingi huku taratibu akikaa chini, machozi yakimwagika usoni mwake. Kwa msongamano wa mawazo na kuchoka, usingizi ukaanza kumnyemelea Phidaya taratibu na kujikuta akipitiwa na usingizi akiwa amekaa eneo hilo huku gongo lake akiwa amelishika mkononi. Haukupita muda mlio wa gari ukamstua na kujikuta akikurupuka na kusimama huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi.

Akajibanza tena kwenye kona yake, kitendo cha kuchungulia, akamuona mwanaume aliye kuwa akimkimbiaza amesimama katika eneo la nyumba hiyo, kwa bahati mbaya Phidaya katika kurudi nyuma akajikuta akikanyaga kipande cha bati, kilicho toa ukelele ulio mstua mtu aliye kuwa akimkimbiza. Phidaya  mwili mzima ukamtetemeka baada ya kumuona mtu huyo akitazama eneo hilo kwa umakini na kuanza kutembea hatua za tahadari akimfwata.

Phidaya huku akiwa anatetemeka mwili mzima akalishika vizuri gongo lake, kwa mikono miwili, mtu huyo aliye hisi amumuona akazidi kumfwata , kabla hajaufikia mlango, Phidaya akalirusha gongo hilo lililo tua kifuani mwa mtu huyo na kumuangusha chini. Kwa haraka Phidaya akajitokeza  mbele ya mtu huyo kwa haraka akihitaji kuliokota gongo lake. Mtu huyo alionekana kuzubaa akimshangaa.

Phidaya bila kupoteza muda akaliokota gongo lake, baada ya kumuona mtu huyo akiwa anamshangaa shangaa pasipo kufanya kitu chochote. Akalivuta kwa nguvu na kutaka kulishusha kichwani mwa mtu huyo anaye muona ni miongoni mwa watu walio agizwa na dokta Ranjiti.

“Phidaya Stop”(Phidaya acha)
Sauti ya mwanaume huyo ikamfanya Phidaya kusita kidogo, kwani si sauti ngeni kwenye masikio yake.
“Phidaya ni mimi Eddy”
Phidaya akajikta kigugumizi kikali kikimshika, huku kikiambatana na bumbuazi kali.
“Tafadhali Phidaya ni muda mrefu nilikuwa nikikitafuta mke wangu, tafadhali usinidhuru”

Eddy alizungumza huku taratibu akinyanyuka, akampeleka Phidaya mkono wa kulia huku akihitaji kumshika ila Phidaya akaukataa mkono huo, kwani sauti ndio ni ya mume wake Eddu ila sura ndio inayo mzuzua.
Phidaya akalivuta gongo lake kwa nguvu na kutaka kumpiga nalo Eddy, akiamini mtu huyo anatumia sauti ya mume wake Eddy.
“PHIDAYAAAA”
Sauti ya Rahab ndio iliyo mfanya Phidaya kusita kwa mara nyingine, huku sura yake akimtazama Rahab aliye tokea kwenye mlango uliopo eneo hilo. Sauti ya Rahab iliwastua Sa Yoo na raisi Praygod na wote kwa pamoja wakakimbilia eneo la nyuma ya nyumba hiyo inapo tokea sauti hiyo.

Wote wakamkuta Phidaya akiwa amelishikilia gongo lake kwa mikono miwili huku mwili mzima ukimtetemeka kwa hasira.
“Madam”
Sa Yoo aliita huku macho yakiwa yamemtoka.
“Madam ni mimi Sa Yoo”
Sa Yoo alizungumza huku akimsogelea Phidaya. Kila mtu alikaa kimya akiwatazama Phidaya na Sa Yoo
“Upo katika mikono salama, madam”
“Shamsa yupo wapi?”
Phidaya alizungumza akiwa bado hajalishusha gongo lake analo taka kumpiga nalo Eddy asiye muamini kama ni Eddy kweli.

“Shasma nimemuacha hotelini, naamini tukitoka hapa tutakwenda kumuona”
Kwa maneno ya Sa Yoo, kidogo Phidaya akaanza kiliteremsha gongo lake chini, Sa Yoo akalichukua gongo hilo na kulitupa pembeni kisha akakumbatiana na Phidaya, wote wakajikuta wakimwagikwa na machozi.
“Nahitaji kuonana na Shamsa anidhibitishie kwamba huyu ni Eddy au laa”
“Sawa hakuna tatizo ila ninaomba uamini kwamba huyo ndio mumeo. Ila hiyo ni sura bandia aliyo ivaa alifanyiwa oparesheni akiwa Japani”

“Sitaki kuliamini hilo nahitaji kuonana na Shamsa mwanangu kwanza”
Hapakuwa na mtu aliye weza kubisha hilo. Wala Eddy hakuzungumza chochote zaidi ya moyoni mwake kujawa na furaha ya kuiweza kumuona mke wake. Hapakuwa na haja ya kuingia ndani wote wakaingia kwenye gari. Safari ya hotelini ikaanza, kwa mara kadhaa, Phidaya aligeuka nyuma kumtazama Eddy, ila moyoni mwake hakuhitaji kukubali kwamba huyo ni mumewe.

    Wakafika hotelini na wote wakashuka, moja kwa moja wakelekea kwenye chumba ambacho analala Shamsa na Sa Yoo. Wakaingia kwenye chumba  ila hawakumkuta Shamsa.
“Anaweza kuwa katika chumba cha madam Mery”
Sa Yoo alizungumza nakutoka kuelekea kwenye chumba hicho ila hakumkuta pia madama Mery, hakuwa na mashaka yoyote akaamini kwamba Shamsa na madama Mery wanaweza kuwa pamoja. Akatoka kwenye chumba hicho na kuanza kutembea kwa hatua za haraka kurudi katika chumba alipo waacha wezake, kabla hajakifikia akakutana na muhudumu, akamsimamisha.

“Samahani dada, kuna mwenzangu yule mwenye asili ya kiarabu arabu umemuona wapi?”
“Wa chumba kipi?”
“Ninalala naye chumba hicho hapo”
Sa Yoo akamuonyesha muhudumu huyo kwa kutumia mkono, muhudumnu akageuka nyuma, akakitazama chumba anacho onyeshwa na Sa Yoo, akashusha pumzi nyingi kisha akamgeukia Sa Yoo na kumtazama usoni. 

HabariZilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya June 26

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume

0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  

Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto  kwa  muda  mrefu.

Katika  makala  yetu  ya  leo, tutaangalia  namna   suala  la  upigaji  punyeto linavyo  athiri  nguvu  za  kiume.

Kabla  hatujaangalia  namna  suala la upigaji  punyeto linavyo  maliza  nguvu  za  kiume, ni  vyema  tukafahamu  kwanza  kuhusu  SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Kufahamu   kuhusu   SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME  tafadhali  tembelea :

Ukisoma  vizuri  kuhusu  mfumo  wa  nguvu  za  kiume, utagundua  kuwa   Suala  la  nguvu  za  kiume  ni  suala  la  kimfumo.  Ili  mwanaume  awe na nguvu  za  kiume, aendelee  kuwa  na  nguvu  za  kiume na  azilinde  nguvu  zake za  kiume, ni  lazima  ogani  zote zinazo  husika  na  mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ziwe  na  afya  njema  na  ziwe  na  ushirikiano   thabiti  na  wenye  afya.

Vile  vile , utagundua  kuwa , mambo  makuu  muhimu  katika   mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ni  kama  ifuatavyo:

i.Mishipa  imara  ya  ubongo  na  yenye  afya  njema

ii. Mishipa  imara  ya  uti  wa  mgongo  (  spinal  cords )

iii.Mishipa  imara  itumikayo  kusafirisha  damu  mwilini  (  Blood Vessels )

iv. Mfumo  imara  wa  usafirishaji  damu  mwilini

v. Mishipa  ya  uume  iliyo  imara  na  yenye  afya  njema

vi. Uhusiano  imara  na  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  ubongo, mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  misuli & mishipa  ya  kwenye  uume.

Hivyo  basi, ili  mwanaume  aweze  kuwa  na  nguvu  imara  za  kiume, na  aendelee  kuwa  na  nguvu  hizo ni  lazima  mambo  yote  muhimu  katika  mfumo  wa  nguvu za  kiume  yawe  imara  pasi na  hitilafu  yoyote.

Hitilafu  yoyote  katika  mambo  hayo, itasababisha  ukosefu na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume  kwa  mwanaume  huyo.  Pale inapotokea    hitilafu  ama  mapungufu  katika  ogani  zaidi  ya  moja  kati  ya  zilizo  tajwa hapo  juu, basi  tatizo  kwa  muhusika  huwa  kubwa  mara  dufu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU &  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume   anapopatwa na  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, ubongo  hutoa  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo  husafirisha  taarifa  hadi  kwenye  mishipa &  misuli  ya  uume.

Mishipa  ya  uume inapopokea  taarifa  hiyo, hutanuka. Na  mishipa  ya  uume  inapotanuka, hufanya  mambo  mawili  muhimu  sana :

i.Husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  hivyo  kuruhusu  damu  kuingia kwa  kasi  sana   ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  imara  bara bara.

ii. Huibinya na  kuiziba  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuzuia  kunyonya  ama  kufyonza  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa ya  uume.  (  KAZI  KUBWA  YA  MISHIPA  YA  VENA  ILIYO  KARIBU NA  MISHIPA  YA  UUME  NI KUHAKIKISHA  HAKUNA  DAMU NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME. HIVYO  BASI  DAMU  INAPOINGIA  NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME, MISHIPA  YA  VENA  HU “SENSE” JAMBO  HILO  KWA  HARAKA  NA HIVYO  KUIFYONZA  DAMU  HIYO  KUTOKA KWENYE MISHIPA  YA UUME  YA  KUITOA  NJE YA MISHIPA  YA  UUME.  NA  DAMU INAPOKOSEKANA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME, HUUFANYA  UUME  KUSINYAA  NA  KULEGEA )

Mtu  anayepiga  punyeto  husababisha  mambo  yafuatayo  katika  mwili  wake :

1. Huuwa  nguvu  ya  mishipa  & misuli ya  uume ambayo  ndio  inayo husika  na  kusimama  kwa  uume

2. Mishipa  ya   uume  inapo  sinyaa  na  kukosa  nguvu  yake  ya  asili, husababisha  mambo  yafuatayo :

i.Huondoa  uwezo  wa  mishipa  &  misuli  ya  uume  kutanuka, na  hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  waathirika  wa  punyeto  kutumia  nguvu  nyingi  sana  katika  kuufanya  uume  usimame.

ii.Huondoa  uwezo  wa  mishipa &  misuli  ya  uume  kuibana  na  kuiziba  mishipa  ya  vena, na  hii ndio  sababu  inayo  fanya  waathirika  wa  punyeto  kufika  kileleni  haraka  sana, kwani damu  inayo  ingia  kwenye misuli  ya  uume   hufyonzwa  ndani ya  muda  mfupi sana. 
 
 Hii  hutokea  kwa  sababu  mishipa na  misuli  ya  uume inakuwa  imelegea,na  mishipa  ya  vena inakuwa  imepwaya, hivyo  msuguano wowote ule  hufanya  mishipa  ya  vena  kufunguka  na  kufyonza  damu  kutoka  kwenye mishipa  ya  uume  na hivyo  kuufanya  uume  kusinyaa  ndani ya dakika ama sekunde  chache sana.

3. Vile  vile  punyeto  hufanya  uume  kusinyaa na  kurudi ndani  na  kuufanya  uonekane kama  uume  wa  motto mdogo.

Kwa  ufupi  punyeto  husababisha  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  kwa  sababu  kuu  zifuatazo :

i.Kwanza   hudhoofisha  na  kuharibu  mishipa  ya  uume,  ambayo  ndio  hufanya  uume kusimama.

ii.Pili  hudhoofisha  utendaji  kazi  wa  mishipa  ya  ateri, ambayo  ndio  hutumika  kama  njia  ya  kusafirisha  damu kupeleka kwenye  misuli  ya  uume  na  ivyo  kuufanya  uume  usimame

iii. Tatu, punyeto  hupelekea  kuvuja  kwa  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kusababisha  damu  kufyonzwa  kwa  haraka  sana  kila  iingiapo ndani  ya  misuli ya  uume  na  matokeo  yake  ni  uume   kusimama  kwa  muda  mfupi  sana  wakati wa  tendo  la  ndoa.

iv. Punyeto  huathiri  mtiririko  wa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume, kwa  sababu  hudhoofisha  misuli &  mishipa  ya  uume  pamoja  na mishipa ya  ateri  ambayo  ndio  hutumika  katika  kusafirisha  damu kwenda  kwenye  uume

DALILI  ZA  MTU  ALIYE  ATHIRIWA  NA  PUNYETO
Dalili  kuu  za  mtu  aliye athiriwa  na  punyeto  ni  kama  ifuatavyo:

i.           Uume  kusinyaa  na  kuwa  kama  wa  mtoto
ii.         Uume kurudi  ndani
iii.       Uume  kusimama  ukiwa  legelege
iv.       Kufika  kileleni  haraka  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

TIBA   YA   NGUVU  ZA  KIUME  KWA MTU  ALIYE  ATHIRIKA  NA  PUNYETO.
Dawa   asilia  ya  nguvu  za  kiume iitwayo JIKO  ni tiba  bora  na  ya  uhakika  kabisa  kwa  mtu  aliye  athiriwa   na  punyeto.  Dawa  hii, pamoja  na  mambo  mengine  mengi, husaidia  kufanya  mambio  yafuatayo  katika  mwili  wa  mwanaume  aliye  athiriwa  na  punyeto :

i.Kuimarisha  mishipa  & misuli  ya  uume  ulio  legea na  hivyo  kuurejeshea  uwezo wake wa  asili

ii. Hutibu   tatizo  la  uume  kurudi  ndani

iii.Humaliza  tatizo  la  kusimama  kwa  uume  ukiwa  legelege

iv.Hutibu  na  kuponya  kabisa  tatizo  la  kufika  kieleleni  haraka.

BEI  YA  DAWA  :  Dawa  hii  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tsh. 80,000/=)

MAHALI  INAPOPATIKANA :  Dawa  hii  inapatikana  katika  duka  la  dawa  asilia  liitwalo  NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC  lililopo  jijini  DAR  ES  SALAAM  katika  eneo  la  UBUNGO   nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA   karibu  na SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

Kwa  wateja  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu. Watafikishiwa  dawa  mahali  popote  walipo  jijini  DAR  ES  SALAAM.

Kwa   wateja  waliopo  mikoani  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  MABASI

Kwa  wateja  waliopo   Zanzibar  wata fikishiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa boti.

Na  kwa  wateja  waliopo  UGHAIBUNI  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  ama  DHL.

MAWASILIANO :  WASILIANA  NASI   KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84.

Kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee kila  siku  kwenye  blogu  yetu :

Jeshi la Polisi latoa tahadhari kwa watumiaji wa barabara

0
0
Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limetoa tahadhari kwa watumiaji wote wa barabara nchini kuzingatia sheria ili kuepuka ajali hususani wakati wa sikukuu ya Eid el Fitri.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam jana juni 25, 2017, Kaimu Kamanda Kikosi cha Usalama Barabarani, (SACP) Fortunatus Musilimu alisema kuwa katika kipindi cha sikukuu madereva wamekuwa wakiendesha magari kwa mwendo kasi, kuyapita magari mengine bila kuchukua tahadhari na kubeba abiria kupita kiasi hali inayoweza kusababisha ajali.

“Tutafanya operesheni kali barabarani, kuwapima madereva kiwango cha ulevi na watakaobainika wamelewa watakamatwa na kuwekwa mahabusu na kufikishwa mahakamani, nasisitiza kwamba,dereva anayetaka kuendesha gari asinywe pombe,akitaka kunywa pombe asiendeshe gari” alisisitiza Kamishna Musilimu katika taarifa hiyo.

Wamiliki wa magari wametahadharishwa yatakayokodishwa  kwenda maeneo ya Fukwe bila kibali yatakamatwa na wahusika kufikishwa mahakamani.

Kamishna Musilimu pia alitoa wito kwa wazazi kuangalia usalama wa watoto wao na wasiwaache wakatembea peke yao barabarani bila uangalizi ili kuepuka ajali zinazoweza kuepukika.

Akizungumzia upande wa madereva wa Pikipiki (Bodaboda) alieleza kuwa wamekuwa wakipita taa nyekundu, wakiendesha pikipiki zao bila kuvaa kofia ngumu, kubeba abiria zaidi ya mmoja (mishikaki) na abiria hao kutovaa kofia ngumu hivyo kuhatarisha Usalama wao hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Kamishna Musilimu alisema, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limekuwa likihamasisha na kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kuzingatia sheria na matumizi sahihi ya barabara ili kuepuka ajali katika kipindi chote na hasa wakati huu wa sikukuu.

Lowassa Awataka Masheikh wa Uamsho Waachiwe

0
0
Waziri  Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amemtaka Rais Dk. John Magufuli, kutafakari hatima ya masheikh wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumuki) maarufu ‘Uamsho’ wanaosota gerezani kwa miaka minne sasa bila kesi yao kuamuliwa.

Masheikh hao ambao wamefunguliwa kesi ya ugaidi, awali kesi yao ilikuwa ikiendeshwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar na baadaye kuhamishiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam inakoendelea hadi sasa.

Lowassa, alisema ni jambo la fedheha kwa nchi iliyopata uhuru zaidi ya miaka 50 kuwaweka mahabusu viongozi wa dini muda mrefu kiasi hicho bila kesi kusikilizwa mahakamani.

Lowassa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), aliyasema hayo juzi  alipokuwa akizungumza kwenye futari iliyoandaliwa na Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara (Chadema).

Alisema kama masheikh hao wamefanya makosa wapelekwe mahakamani ili haki itendeke lakini kuendelea kuwashikilia ni fedheha kubwa kwa Taifa.

Waziri Mkuu huyo wa zamani alisema kama ambavyo Rais Dk. John Magufuli, ametekeleza ahadi ya vyama Vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kuunda Tume  mbili za kushughulikia madini ya dhahabu, hana budi kutekeleza na ahadi yake (Lowassa) kuwatoa kizuizini masheikh hao wa Uamsho.

“Nilipokuwa nagombea urais, nilizunguka nchi nzima nikiahidi kuunda tume ya kuchunguza madini ya dhahabu, bahati mbaya kura zetu walizihesabu vibaya na kutunyima kura zetu, sasa niliposikia bwana mkubwa kaunda tume nikasema naam… Rais ameanza kutekeleza ahadi yetu ya Ukawa.

“Sasa nimwombe aangalie na hili la masheikh wetu, sisemi kwamba hawana makosa, lakini kuwaweka ndani miaka minne bila kesi kuamuliwa ni fedheha kwetu na kwa Serikali pia.

“Nchi gani hii, ina uhuru wa miaka 50, watu wako tena waumini wa dini wanawekwa ndani bila kesi, kwa sababu ya tofauti ya kiitikadi, tuwaombee masheikh wetu wale watoke, lakini na nyinyi masheikh mliopo hapa zungumzeni mfanye nini, msiwe baridi sana, pengine kuna lugha watakayoweza kuwasikia,” alisema Lowassa.

Akizungumzia suala la kuenzi amani ya nchi  aliwataka waumini wa dini ya Kiislamu wanapotafakari mambo mbalimbali kupitia mwezi Mtukufu wa Ramadhan wakemee jambo hilo ambalo alisema linavurugwa na chuki zikiwamo za kisiasa.

Awali Imamu Mkuu wa Msikiti wa Gongolamboto na Amiri wa Shura ya Maimamu Wilaya ya Ilala, , Sheikh Hassan Abbas,  alimwomba Mbunge Waitara kupeleka kilio chao bungeni kuhusu viongozi hao wa dini wanaosota gerezani bila kesi yao kuamuliwa.

“Nimshukuru Mbunge kwa kutambua katika eneo lake kuna kada mbalimbali za viongozi kujumuika pamoja kuelekea sikuu zetu hizi baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

“Lakini kuna jambo linatuuma sisi waislam, wakati tunaelekea kula sikuu wenzetu wako mahabusu, kwakweli jambo hili linatuuma sana na tunaomba utufikishie kero hii huko bungeni,” alisema Sheikh Abbas.

Kwa upande wake, Waitara alisema juzi ilikuwa siku maalum ya kujumuika pamoja kula futari na kwamba baada ya kumaliza vikao vya Bunge Julai 2, mwaka huu atakaa nao na kujadili kwa undani kero mbalimbali za wananchi.

“Tunatarajia kumaliza Bunge la Bajeti kati ya Julai 2 au 3, kimsingi nina mambo mengi nitakuja tujadiliane, kuna sheria ambayo imepitishwa juzi bungeni, faini ya utupaji taka ovyo imepanda kutoka 50,000 za awali hadi 200,000 na milioni 1,000,000.

“ Na kwa wenzetu washereheshaji (MC’s) na mama lishe kuanzia sasa wataanza kulipa kodi. Haya mambo muwe nayo makini,” alisema Waitara.

==>Msikilize hapo chini akiongea

OFA: Jipatie kitabu cha PRESIDENT WIFE na AM NOT A DOCTOR......Ni Riwaya Kali za Kusisimua

0
0
PATA PUNGUZO LA BEI KATIKA SIKUKUU HII
Jipatie kitabu cha PRESIDENT WIFE na AM NOT A DOCTOR kila kimoja kwa sh 5000 Tu.
 
Vitabu hivi vipo katika mfumo wa softy copy na vinapatikana kupitia Whatsapp 0657072588 au kwenye email eddazariaM@gmail.com

OMBI KWA WASOMAJI WANGU WOTE
Natafuta wadhamini wa kunisaidia kutoa kitabu cha SORRY MADAM season one na two katika mfumo wa HARD COPY. 

 Ukipenda kuwa MDAU naomba uwasiliane nami kupitia simu namba 0657072588 au 0768516188 naamini wote mumepitia kazi zangu na mumeona uwezo wangu. 

Naamimi kupitia nyinyi wadauo wangu wote, mutanisaidia katika kukuza kipaji changu kadri siku zinavyo zidi kwenda na mimi sinto waangusha katika kuwaandalia hadithi nzuri na bora zaidi. Nitafurahi sana siku nikifanikisha kutoa nakala za vitabu vyangu. 
 
Karibuni sana.
Ninawaakia sikukuu njema ya EID MUBARAK

Jipatie Dawa za Asili za Kupunguza Maziwa, Kupunguza tumbo, Kuongeza nguvu za Kiume na Mvi

0
0
OFFER OFFER OFFER
Natural beauty products inakupa OFFER ya EID kwa punguzo la %10 kwa kila product. 
Bidhaa zetu zote zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote.
 
   🥝🥑🥒🧀🍉🍅🍓🍋
        Pia anatumia mtu wa aina yoyote. Tunazo za÷
1.HANDSOME UP ni kifaa kinachoongeza maumbile ya kiume  kwa 99% kwa size uipendayo wewe na kuimarisha misuli ya uume kwa @170,000/= tuu.
2.MEN GELY YA KUPAKA. Hii inaongeza kwa wastani wa inch 6.5 na inapatikana kwa @130,000/=. 
3. SHARK POWER. Hii pia ni kwa ajili ya kuongeza maumbile  wastani wa inch 7.5 inapatikana kwa @135,000/=.
4.. MAX MAN 2. Ni vidonge kwa ajili ya nguvu ambavyo vinasaidia sana hata kwa watu wenye kisukari na waliokua wakifanya sana master blashion. Pia huongeza hamu ya tendo la ndoa inapatikana kwa @130,000/=
5.DISCREET. Hii ni ya kuondoa mvi na zisiludi tena milele inapatikana kwa @130,000/=
🍅🍇🍉🍅🍍🍓🥒🥑🍒
Tupo DAR ES SALAAM  kariakoo na kinondoni kanisani. 
 
Kwa mawasiliano zaidi piga  0759029968 au 0659618585.
Popote ulipo utapata huduma zetu.
           Follow us Instagram
@natural2162
@natural2162
@natural2162
@natural2162
 
     Bidhaa zetu zote ni garantii na unapewa risiti
              Karibu

Lubinga: Hakuna fisadi wala mla rushwa atakayepona awamu hii

0
0
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Uhusiano wa Kimataifa, Ngemela Lubinga amesema kuwa katika awamu hii ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. Magufuli hakuna fisadi wala mla rushwa atakayepona.

Ameyasema hayo wakati akitoa mada kwenye darasa la itikadi kwaajili ya vijana wa vyuo vikuu mkoani Dodoma ambapo amesema kuwa kila aliyeiba mali ya umma ni lazima atashughulikiwa ikiwa ni pamoja na kutaifishwa mali zote alizoiba.

“Serikali imejipanga kurejesha mali zote zilizoibiwa hivyo, popote walipo watashughulikiwa na hakuna atakayepona katika vita hii, Rais anapambana na wezi wa madini lakini kuna baadhi ya wananchi badala ya kumuunga mkono wao wanaanza madai kuwa nchi itashtakiwa,”amesema Lubinga.

Hata hivyo, Lubinga amewataka vijana kutoruhusu adui ndani ya chama hicho kwakuwa Serikali ya CCM wapo baadhi ya watumishi ambao hawatendi haki.

SORRY MADAM -Sehemu ya 74 & 75 (Destination of my enemies)

0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA
  Hisia za mapenzi zikazidi kupanda kati yao, mikono ya Eddy ikawa na kazi ya kupita kila kona ya mwili wa Phidaya. Kwa nguvu alizo nazo akamnyanyua na kumkalisha kwenye sehemu maalumu ya kunawia mikono. Hapakuwa na mtu aliye kuwa na kipingamizi cha kumpatia mwenzake denda la kutosha.
Kwa haraka Phidaya akaanza kuufungua mkanda wa suruali ya Eddy, hakuishia hapo akafungua na zipu ya suruali hiyo na kiganja chake akakiingiza sehemu lilipo tango lililo simama kidedea.
Viganga vya Eddy vikawa na kazi ya kuyaminya minya mziwa ya Phidaya yaliyo simama vizuri.
“Eddy tizama nyuma yakoooo”
Phidaya alizungumza kwa sauti ya juu huku macho yakimtoka huku kiganja chake akikitoa sehemu lilipo tango la Eddy

ENDELEA
Kitendo cha Eddy kugeuka nyuma, akakutana na ngumi nzito iliyo tua usoni mwake na kumfanya apate kizunguzungu cha gafla. Kwa haraka Phidaya akaiweka nguo yake vizuri, huku macho yake yopte yakiwa kwa mwanaume aliye jazia misuli.

Mwanaume huyo aliye ingia ndani ya choo hicho, kwa lengo la kujisaidia haja ndogo. Ila alipo iona sura ya Eddy, akatambua ya kwamba ndio mtu wanaye mtafuta katika kundi lao lenye watu wengi karibia dunia nzima. Eddy akajaribu kusimama, ila mwanaume huyo aliye na umbo refu kwenda juu na mwenye kifua kilicho gawanyika kwa mazoezi makali aliyo yafanya. Akampiga Eddy teke moja lililo tua kwenye mbavu na kumfanya Eddy kutoa ukelele mkali wa maumivu.

Phidaya bila ya kujifikiria mara mbili akamrukia mwanaume huyo mgongoni na kunaza kumpiga makofi ambayo kwa ukakamavu wa mwanaume huyo hayakuwa na maumivu ya aina yoyote. Kwa nguvu alizo nazo mwanaume huyo akamshika Phidaya kwa mikono yake yote miwili na kumrushia kwenye moja ya kioo cha ukutani mwa  choo hicho, kitendo kilicho mfanya Phidaya kugugumia kwa maumivu makali huku damu zakimtoka kwenye upande wake wa kushoto ambao alipigizwa kwenye kioo hicho kilicho pasuka.

   Mwanaume huyo hakutaka kudili sana na Phidaya, akamsogelea Eddy ambaye anajizoa zoa kunyanyuka kutoka chini. Akamshika kwa mikono yake yote miwili na kumyanyua usawa wake. Akampiga Eddy kichwa kimoja cha uso kilicho mzidisha Eddy kulegea kwa kukosa nguvu.

Akiwa emeendelea kumshikilia Eddy akamtandika kichwa cha pili cha uso kilicho mfanya Eddy kutulia tuli na kupoteza fahamu. Mwanaume huyo pasipo kuchelewa, akamuweka Eddy begani mwake, akamtazama Phidaya anaye gugumia kwa muamivu makali chini alipo lala. Akataka kutoa bastola na kumpiga Phidaya, ila akamuonea huruma kwa maana si muhusika katika sekeseke hilo.

Akafungua mlango wa kutokea kwenye choo hicho. Akachungulia pande zote mbili za kordo hiyo ndefu ila hakuona mtu yoyote akikatiza. Alipo hakikisha usalama upo, taratibu akaanza kutoka na kutembea kwenye kordo hiyo kuelekea nje, huku Eddy akiwa amembeba begani.

    Mwaname huyo mwenye asili ya kiarabu, aliye changanyia na asili ya Kirusi(Russia). Akazidi kutembea kwa kwa kujiamini kwenye kordo hiyo hadi akafanikiwa kufika sehemu ya mapokezi ambapo ndipo kuna lango la kutokea kwenye hospitali hiyo. Manesi na watu walipo kwenye eneo hilo, wakabaki wakimshanga mwanaume huyo.
“Samahani muheshimiwa, mtu huyo unampeleka wapi?”
Askari mmoja wa ulinzi wa eneo hilo alimsimamisha mwanaume huyo, aliye mbeba Eddy.

“Ni ndugu yangu nimekuja kumchukua nimrudishe nyumbani”
“Mbona huyo ni mwafrika na wewe si muafrika imekuwaje akawa ni ndugu yako?”
Mwanaume huyo akaka kimya huku akiwatazama askari wawili wanao sogelea eneo hilo, baada ya kumuona mwenzao akimuhoji mwanaume huyo mwaswali. Mwanaume huyo akamtazama askari huyo anaye muhoji maswali anayo hisi yanampotezea wakati. Taratibu akaurudisha mkono wake wa kulia nyuma, ili kuichomoa bastola yake aliyo ifunika na jaketi lake zito.

“Ahaaaaaaaaaa bastolaaaaaaa”
Binti mmoja aliye kaa kiti cha nyuma ya jamaa huyo aliweza kuona kitendo anacho taka kukifanya jamaa huyo. Askari wawili ambao wanao mfwata jamaa huyo wakaongeza mwendo huku kila mmoja akijaribiu kuwahi kuichomoa bastola yake kiunoni mwake. Kufumba na kufumbua wakastukia wakitupiwa Eddy, ikawabidi wamdake na wote wakaanguka chini. Askari aliye simama karibu yake aliye kuwa akimuhoji maswali, alistukia akitandikwa teke la sehemu za siri lililo mfanya ajikunje huku akilia kwa maumivu makali sana.

Askari wengine walipo eneo hilo wakaongezeka kukabiliana na mwanaume huyo, ambaye tayari alisha ichomoa bastola yake na kuanza kukabiliana na askari wanamfwata huku wakiwa wameshikilia mitutu ya bunduki. Watu wote waliopo katika eneo hilo la mapokezi walijikuta wakilala chini huku wachache wakiamua kukimbilia nje kuyaokoa maisha yao.

Mashambulizi ya polisi na mwauamue huyo yalizidi kuwa makali, baada ya mwanaume huyo kujibanza kwenye moja ya nguzo iliyopo katika eneo hilo. Iliyo msaidia kukinga risasi zinazo toka kwa askari. Macho ya mwanaume huyo muda mwingi yaliweza kumtazama Eddy aliye lala mita chacha kutoka sehemu alipo jificha na ni ngumu kwa yeye kuweza kumchukua kwa maana akifanya hivyo basi risasi za askari wanao ongeze kila muda basi zinaweza kuishia kwenye mwili wake.

Mwaname huyo aliye fika hospitalini hapo kwa lengo la kumtembelea bibi yeka, aliye lazwa kwenye hospitali hiyo, lengo lake liliweza kuvunjika baada ya kuibanwa na haja ndogo na kuingia kwenye moja ya choo ambacho pasipo kutazama kama kimewekewa tangazo la matengenezo, alijikuta akiingia tu kuitua haja yake hiyo na ndipo hapo alipo weza kumuona Eddy akiwa na Phidaya kwenye choo hicho wakiendelea kuogelea kwenye dibwi zito la mahaba. Alipo hakikisha kwamba mtu huyo ndio wanaye mtafuta baada ya kuiangalia picha ya Eddy kwenye simu yake, ndipo alipo amua kufanya shambulizi lililo mzidi Eddy na kumchukua kiurahisi.
“F……k”
Mwanaume huyo alizungumza huku akimtazama Eddy kwa macho ya hasira. Akachomoa magazine ya bastola yake na kukuta ikiwa imesalia na risasi tano tu na wingi wa askari hao ni mkubwa kuliko wingi wa risasi zake.

“I wiil be back”(Nitarudi tena)
Mwanaume huyo alizungumza huku akijiandaa kukimbia kwa kutokea kwenye moja  mlango mmoja wa kioo uliopo mbele yake. Akaikoki bastola yake vizuri akafyatua risaasi mbili kuelekea walipo askari, kisha akachomoka kwa kasi kubwa, na kuwaacha askari wakifyatua risasi ambazo zote zilipita pembeni. Mwaume huyo akadandia pikipiki yake kubwa aliyo kuja nayo na kuondoka eneo hilo la hospitaloi kwa mwnedo  kasi.
                                                                                                       ***
   Milio ya risasi iliweza kusikika eneo zima la hospitalini. Mlinzi mmoja anaye linda jengo la kuhifadhia maiti(Mochwari). Kwa woga akajikuta akifungua mlango na kuingia ndani ya jengo hilo huku akihema. Kitendo cha mlinzi huyo kuingia ndani ya jengo hilo Shamsa aliweza kuona  sehemu mwanga wa mlango ulipo tokea na mtu huyo kuingia ambaye hakujua kwamba ni nani. Kwa haraka Shamsa akaanza kutembea kwa haraka kuelekea eneo la mlango huku akiomba msaada.

Mlinzi huyo akasikilizia sauti ya msichana huyo inayo omba msaada akahisi labda ni wenge la woga wake, kwa maana tangu afanye kazi hiyo ni mwaka wa kumi na mbili hajawahi kusikia wala kuona kitendo kama hicho kilichopo mbele yake. Kwa haraka mlinzi akakimbilia swichi ya kuwashia taa. Kwa haraka akawasha taa, eneo zima la ndani likatawala mwanga.

Macho ya mlinzi yakakutana na macho ya Shamsa, ambaye alishuhudia akiingizwa humu ndani maasaa machache yaliyo pita, ikisadikia kwamba amefariki dunia.
“Usinisogelee”
Mlinzi huyo alumuambia Shamsa huku akiwa ameishia bastola yake mkononi na mwili mzima akitetemeka kwa woga.
“Naomba unisaidie kaka yangu”
Shamsa alizungumza huku akiwa amesimama, akifwata amri ya mlinzi huyo anaye onekana kuwa na woga mwingi.
“Wewe umekufa”
“Nimekufa!?”
“Ndio umekufaaa”

Mlinzi huyo alizungumza hivyo huku akijikaza tu, ila miguu yake na mikono yake ilionyesha kwamba anashindwa kusimama kutokana na woga mwingi ulio mjaa. Shamsa akatazama eneo alilopo, hapo ndipo akaelewa kwamba sehemu aliyopo ni katika chumba cha kuhifadhia maiti.
“Ahaa……ka…aaka mi sijafaaa”
Shamsa alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.
“Tazama viungo vyangu sijafa kabisa, ona niniatembea”
Shamsa akapiga hatua mbili mbele na kiumfanya mlinzi kuishikilia vizuri bastola yake na kumuamrisha tena asimama alipo kwa maana haamini kama Shamsa ni binadamu wa kawaida.
“Ukisogea nakumwaga ubongo zombie mkubwa weee”
Mlinzi huyo alizungumza huku akirudi rudi nyuma kuufwata mlango wa kutokea sehemu ulipo.       
                                                                                                        ***
   Sa Yoo na Raisi Praygod walibiki wakisikilizia milio hiyo ya risasi wakiwa nje ya chumba alicho ingizwa Rahab kwa ajili ya kufanyiwa matibabu.
“Kumevamiwa”
Raisi Praygod alizungumza huku akihema kwa woga, wakawaona askari kadhaa wakikatiza mbele yao wakikimbilia sehemu kunapotekea milio ya risasi. Sa Yoo baada ya kuona hivyo na yeye akaanza kufwata kwa nyuma.

“Wee Sa Yoo rudi hapa”
Raisi Praygod alijaribu kuita ila Sa Yoo tayari alisha fika mbali. Sa Yoo akafika sehemu ya mapokezi. Katika kuangaza angaza Sa Yoo akamuona Eddy akiwa amelala chini akiwa hajitambui. Mapigo ya moyo yakaanza kumenda mbio. Kwani hakujua ni kitu gani kimempata Eddy, kila alivyo tizama jinsi askari wakirushiana risasi na mtu aliye jificha nyuma ya nguzo moja kubwa, huku Eddy akiwa amelala pembeni, alihisi kuchanganyikiwa.

Akataka kwenda ila risasi moja ikatua karibu na askari aliye kaa naye pembeni na kumfanya askari huyo kudoka chini na kanza kuvujwa damu. Sa Yoo kuona hivyo na yeye akalala chini huku akizidi kuchanganyikiwa. Kitu kilicho zidi kumuumiza kichwa zaidi ni jinsi Eddy alivyo baki katika sura yake ya kawaida na hakuina sura ya bandia ambayo alitengenezewa akiwa Japani.

  Sa Yoo akafanikiwa kuweza kumuona mwanaume aliye kuwa akifyatua risasi nyingi, akichomoka kwa kasi na kutoka nje katika eneo hilo. Kwa haraka Sa Yoo akanyanyuka kutoka katika eneo aliko kuwa amelala na kuanza kukimbia kueleka sehemu alipo lala Eddy. Kwa haraka akapiga magoti chini, kuitazama hali ya Eddy. Sa Yoo akaanza kuuchunguza mwili wa Eddy kama umejeruhiwa na risasi, ila hakukuta damu yoyote, ila usoni mwa Eddy kidogo kukawa na mabadiliko. Pua ya Eddy kidogo iliuweza kuvimba hakujua ni nini kilicho ifanya pua hiyo kuvimba.

“Msaadaa jamani”
Sa Yoo alizungumza kwa sauti ya juu. Menesi na madaktari wakaanza kuwashuhulikia askari majeruhi walio jeruhiwa kwa risasi ikiwemo na Eddy. Sa Yoo hakutaka kukaa mbali na Eddy akanza kufwata nyuma kitanda cha matairi alicho lazwa Eddy kinacho sukumwa na manesi wawili.
Eddy akaingizwa kwenye chumba cha huduma ya kwanza, akawekewe mirija ya gesi puani mwake. Sa Yoo hakuruhusiwa kuingia kwenye chumba hicho.
“Madam Phidaya”

Sa Yoo alikumbuka huku akiangaza macho yake huku na kule, hakujua ni wapi alipo. Kumbu kumbu ya mwisho aliyo ikumbuka ni jinsi Eddy alivyo ondoka na Phidaya huku akimburuta kutoka katika eneo la ugomvi.  Kwa haraka Sa Yoo akaanza kutembea kuelekea katika sehemu ambayo walimiucha madam Mery. Hakutumia dakika nyingi akawa amesha fika katika eneo hilo ambapo akamkuta Madam Mery akiwa amejiinamia kwenye kitia alicho kaa.
“Madam Mery umemuona wapi Madam Phidaya?”
Sa Yoo aliuliza swali ambalo fika alitambua kwamba hato jibiwa sahihi. Madam Mery akanyanyua sura yake na kumtazama Sa Yoo kisha akajibu kwa kutingisha kichwa kwamba hatambui ni wapi alipo.

“Mungu wangu, sasa itakuwaje?”
Sa Yoo alizungumza huku jasho likimwagika. Madam Mery akamtazama Sa Yoo usoni mwake na kutambua kuna kitu ambacho kinaendelea kwa maana sura yake imejawa na masha makubwa sana.
“Kuna nini kimetokea?”
“Eddy amevamiwa na majambazi”
“Ehheee……..!!?”
Madma Mery alishaanga huku akisimama kwenye kiti, habari hiyo fika ilionyesha kumstua sana Madam Mery.
“Yuu…….uuuu..po wapi Edddy”
“Yupo wodini anashuhulikiwa, hapa ninamtafuta madam Phidaya”

Kutokana na mawazo mengi Madam Mery aliisikia miliio ya risasi ila hakujishuhulisha nayo, alihisi labda ni mawazo yake ndio yanayo mtuma hivyo.  Sa Yoo akaitazama korodo ambayo Eddy na Phiday waliondoka pamoja.

Bila hata ya kuuliza akaanza kutembea kwa mwendo wa haraka kuifwata kordo hiyo iliyo ndefu na iliyo tulia, huku  madam Mery naye akifwata kwa nyuma. Wakapita kwenye mlango wa choo, kilicho wekwa tangazo kwamba kipo katika matengenezo. Sa Yoo hakukitilia maanani sana, hatua mbili mbel, akasikia sauti ya mtu akigugumia kwa maumivu kutoka katika choo hicho.

“Vipi?”
Madam Mery aliuliza baada ya kumuona Sa Yoo akisimama na kugeuka nyuma. Sa Yoo hakujibu chochote zaidi ya kuanza kurudi taratibu huku masikio yake yote na macho akiwa amevielekezea inapo tokea sauto hiyo. Akautazama vizuri mlango wa kuingilia chumba hicho, akakuta ukiwa wazi kidogo, taratibu akausukuma na kuingia ndani. Hakuamini macho yake baada ya kumkuta Phidaya akiwa amekaa kitako akijitahidi kunyanyuka. Vipande vya vioo vilivyo anguka chini vilizidi kumkata kata Phidaya pale alipo jaribu kuweka mikono yake chini ili anyanyuke.

“Madam”
Sa Yoo alizungumza huku kwa haraka huku akimfwata Phidaya. Kwa kusaidiana na Madam Mery wakamnyanyua.
“Eddy ametekwa jamani”
Phidaya alizungumza kwa shinda huku akimtazama Sa Yoo usoni.
“Yupo yupo tayari amesha okolewa na polisi”
Sa Yoo alijibu kwa haraka. Madam Meri aliweza kuiona sura ya bandia ya Eddy aliyopo juu ya sinki la kunawia mikono. Akaiokota kisha wakatoka katika choo hicho. Madam Mery hakujali tofauti zilizopo kati yake na Phidaya. Moja kwa moja wakaeleka katika chumba ambacho Eddy anapatiwa huduma ya kwanza. Manesi wakampokea na Phidaya, wakaanza kumshuhulikia.

Mlinzi aliyevunja, kutishia Kuua na kumbaka Binti wa Miaka 16 afungwa miaka 30

0
0
Mahakama ya Wilaya ya Mlele imemuhukumu mlinzi wa Sekondari Ilela, George Sikoki kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa umri wa miaka 16.

Hukumu hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Hakimu Mkazi Mfawidhi Teotimus Swai baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa.

Mwendesha mashtaka, Baraka Hongoli alidai katika ushahidi mahakamani hapo kuwa, mshtakiwa alitenda kosa hilo Januari 27 saa 7:30 usiku.

Alidai Sikoki ambaye ni mlinzi wa shule hiyo iliyopo tarafa ya Inyonga wilayani hapa alitenda kosa hilo wakati ambao wazazi wa mtoto huyo wakiwa safirini naye alikuwa akilala peke yake.

Upande wa mashtaka ulidai mshtakiwa alikwenda nyumbani kwa mtoto huyo na kuvunja mlango kisha kumtishia kumuua iwapo angepiga kelele hivyo kumbaka na kutokomea kusikojulikana.

Ilielezwa mahakamani kuwa binti huyo akiwa na maumivu makali, huku akitokwa damu sehemu za siri alijikongoja hadi kwa jirani na kutoa taarifa ndipo alipopelekwa hospitali kwa matibabu.

Hongoli alidai baada ya mshtakiwa kukamatwa alikiri kosa hilo kwa maandishi wakati akihojiwa kituo cha polisi, lakini alipofikishwa mahakamani alikana.

Upande wa mashtaka ulipeleka mahakamani mashahidi sita akiwamo daktari kuthibitisha shtaka hilo ambapo waliithibitishia mahakamani bila kuacha shaka

Mzee wa Upako : Kufa Masikini ni Ujinga

0
0

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo alimaarufu kama 'Mzee wa Upako' amefunguka na kusema mtu kufa maskini si jambo la kusifiwa hata kidogo kuwa ni uzalendo bali ni Ufala.

Mchungaji Lusekelo amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji wa kipindi cha UJENZI cha  EATV  kinachoruka kila Jumapili.

Mzee wa Upako anasema mtu anapokufa akiwa ameacha mali za kutosha ni jambo jema kwani familia yake nyuma haiwezi kupata taabu wala watoto hawawezi kupata shida tofauti na yule anayekufa akiwa na kitanda tu kwani watoto wake watapata shida na mateso.

"Watu wanamsifu mtu amekufa bila mali eti alikuwa mwadilifu yaani unakuta mtu amefanya kazi serikalini miaka na miaka, sijui miaka 35 au 40 anakufa hata kitanda hana.

"Wapo watu wanasema huyu jamaa alikuwa mzalendo na muadilifu sana hata kitanda hana, hamna mtu huyo alikuwa fala umenielewa?, huyu alikuwa fala na hastaili kuwa kielelezo cha msingi tuhoji mtu kapata mali wapi? 

"Ndio jambo la msingi sababu unaacha watoto duniani unadhani wataishi vipi? Mama anakuwa na nyumba pale anachota kodi anapeleka watoto shule maisha yanaendelea" alisisitiza Mzee wa Upako.

Waziri Mkuu: Marufuku kusafirisha chakula nje ya nchi

0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amepiga marufuku usafirishaji wa chakula nje ya nchi bila kibali na kuwataka wafanyabiashara kuuza chakula kwenye maeneo yenye uhaba nchini.

Majaliwa ametoa agizo hilo leo, Jumatatu wakati akihutubia Baraza la Eid katika Msikiti wa Masjid Riadha mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.

Waziri Mkuu huyo amesema kuwa kuna maeneo ambayo wananchi hawakupata chakula vizuri kutokana na uhaba wa mvua hivyo wafanyabiashara wapeleke chakula kwenye maeneo hayo.

“Serikali bado haijatoa kibali cha kutoa chakula nje ya nchi, kama unaona kuna umuhimu kaombe kibali, lakini utapewa kibali cha kusaga upeleke unga na siyo mahindi,”amesisitiza  Majaliwa.

Majaliwa ameonya kuwa kwa wale watakao kamatwa wakisafirisha mahindi nje ya nchi kinyume na utaratibu, mahindi hayo yatataifishwa na kupelekwa kwenye ghala la Taifa na magari yatapelekwa polisi.

Amesema kuwa Serikali imepokea barua za maombi ya kupeleka chakula nchi jirani, lakini bado haijatoa ruhusa.

Jinsi Kitambi Kinavyopatikana na Jinsi Kinavyoondolewa na Dawa ya Mkataa Kitambi

0
0

Kitambi  ni  ile  hali  ya  tumbo  kuwa kubwa  na  kuchomoza  kwa  mbele  na  wakati mwingine  kufikia  hatua  ya  kunin’ginia.
JINSI  KITAMBI  KINAVYO  PATIKANA
Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati  ya bilioni 50  hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili wa binadamu.

 Kwa wanawake  seli hizo  zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye  nyonga, kiunoni na kwenye makalio.

Kwa upande  wa  wanaume seli  hizo zinapatikana  sana kwenye kifua, tumboni na kwenye makalio pia.

Mafuta ya tumbo yanayofanya kitambi hukusanywa kwa njia kuu mbili:

i.Njia  ya kwanza ni mafuta kutoka kwenye tishu zilizo chini ya ngozi

ii.Na  njia  ya pili ni kutoka kwenye ogani za ndani kama moyo, kongosho n.k

SABABU ZA KUPATA KITAMBI
Sababu kubwa ya kitambi ni kukosekana ulingano wa nguvu(kalori) katika  mwili  wa  mwanadamu, hali  inayo  sababishwa  na  mtu  kula vyakula vinavyotia nguvu sana kuliko jinsi anavyoweza kutumia na kutoa kama taka mwili.

VYAKULA  VINAVYO  CHANGIA KULETA  KITAMBI

Vyakula vinavyochangia  kuleta  kitambi ni  pamoja  na :
i.Vyakula  vyenye  mafuta  mengi  kama  vile  nyama nyekundu  (iwe ni ya kuchemsha, kukaanga au kuchoma), nyama  ya  kuku  wa  kizungu  ( iwe  ya  kuchemsha, kukaanga  ama  kuchoma ), mafuta ya kupikia, (hasa yale yatokanayo na bidhaa za wanyama, kama siagi, na jibini), viazi ya kukaanga kwa  mafuta  (chips) pamoja  na  pizza.

ii.Vyakula vyenye wanga mwingi kama  vile ugali wa mahindi, mihogo, wali, mkate  mweupe.

iii. Vyakula  na  vinywaji  vyenye  sukari  nyingi  iliyo  ongezwa( added  sugar ), kama  vile  soda  na  keki.

iv. Vyakula  vilivyo  tengenezwa  kwa  ngano  na  sukari kama  vile  keki, skonzi, chapatti, maandazi, mkate  mweupe  nakadhalika

v. Pamoja  na  vinywaji  vilivyo  tengenezwa  kwa  kutumia  ngano  kama  vile  bia  za  aina  mbalimbali  na  kadhalika.

Vyakula  vilivyo  tajwa  hapo  juu, vikitumiwa  bila  kuzingatia  kanuni  za  mlo  kamili, huchangia  kuleta  tatizo  la  kitambi.

vi. Sababu nyingine ni  kutofanya  mazoezi  ya  mwili  na  viungo(  physical  exercises  )  kwa  muda  mrefu.

JINSI YA KUJUA KAMA UNA KITAMBI
Kitambi kinaweza kuonekana kirahisi kwa macho. Ila kujua ni kwa kiwango gani kitambi chako kipo inabidi kufanya vipimo vya kiuno(waist) na nyonga (hips).

Mzingo wa kiuno ukiwa >102 cm au 40  kwa wanaume na >88 cm au 35  kwa wanawake, na uwiano wa kiuno na hips(Waist-Hip Ratio) ikiwa >0.9 kwa wanaume na >0.85 kwa wanawake.

BMI ya 30 au zaidi inaashiria 'Obese' uzito kuzidi kiasi. Kuwa na mzingo uliozidi kawaida ni kiashiria hatari cha matatizo ya kimetaboliki, kuliko hata cha BMI.

Kipimo kingine cha kitambi ambacho kimeonyesha uwezo zaidi kuliko BMI katika kutabiri uwezekano mkubwa wa magonjwa ya moyo ni Index Of Central Obesity(Waist-To-Height Ratio-WHtR) ambapo uwiano ukiwa sawa na 0.5 au zaidi, hii ikimaanisha mzingo wa kiuno angalau ni nusu ya kimo cha mtu.

Kipimo kingine ni Body Volume Index, kinachopima kitambi kwa kupima umbo la mtu na mgawanyo wa uzito wake.

MAMBO  YANAYO  MUWEKA  MTU  KATIKA  HATARI  YA  KUPATWA  NA  KITAMBI
Tumekwisha  ona  hapo  juu jinsi  kitambi  kinavyo  patikana  na  vyakula  pamoja  na  sababu  nyinginezo  zinazo  sababisha  kutokea  kwa  kitambi, sasa  tutazame  mambo  yatakayo  kufanya  uwe  katika  hatari  ya  kupatwa  na  kitambi.

Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za kitaalamu, mambo  yafuatayo  huwaweka  watu  katika  hatari  kubwa   ya  kupatwa  na  kitambi :

1. Ulaji  mbovu  wa  chakula; Ulaji  mbovu  wa  chakula  ni  ulaji  usio  zingatia  kanuni  za  mlo  kamili. Hapa  mtu  hufululiza  kutumia  chakula  cha  aina  fulani  pekee  bila  kuzingatia  aina  nyinginezo  za  chakula.  Mfano; mtu  anaweza  kuwa  anakula  mlo  ufuatao :

Asubuhi :  Mchemsho  ama    supu  ya  ng’ombe , chapatti  tatu  na  soda  moja.  Mchana :   Ugali  nyama  choma anashushia  kwa  maji  na  soda.

Jioni :  Mchemsho  wa  kuku  na  bia  mbili  nakuendelea.

Usiku  :  Chips  mayai  au  chips  kuku  au  chips  mishikaki  na  bia.

Mtu  huyu  akiendelea  na  utaratibu  huu  kwa  muda  mrefu, ni  lazima  atapatwa  na  kitambi.

2. Ulaji  mfululizo  wa  vyakula  vyenye  mafuta  mengi

3. Ulaji  mfululizo  wa  vyakula  vyenye wanga  mwingi  

4.Ulaji  mfululizo  wa  vyakula  vyenye  sukari  iliyo  ongezwa ( added  sugar  ).

5.Ulaji  mfululizo  wa  vyakula  vya  ngano.

6.Ulaji  mfululizo  wa   vinywaji  vyenye ngano  na  sukari.

7.Kutofanya  mazoezi  ya  mwili  na viungo  ( physical  exercises  ).

Mhusika  anapokuwa  katika  makundi  yote  yali yotajwa  hapo  juu, hali  huwa  mbaya  zaidi. 

NJIA ZA KUONDOA KITAMBI
Kuwa  na  kitambi  ni  lugha  ya  mwili  ( body-language )  inayo  leta  ujumbe  kwako  kwamba  “ Mwili    wako  haupo  salama  tena “

Kama  una  kitambi   maana  yake  una  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini, mwili  wako  unatumika  kuhifadhi  mafuta  usiyo  yahitaji.

Hali  hii  kitabibu  imaanisha  kwamba, ogani  nyinginezo  zilizomo  ndani  ya  mwili  wako  zinao gelea  kwenye  mafuta( fats  )  yasihotika  yaliyomo ndani  ya  mwili  wako,  jambo  linalo  kuweka  katika  hatari  kubwa  sana  ya  kushambuliwa  na  magonjwa  hatari  kama  vile  shinikizo  kubwa  la  damu, kiharusi  na kisukari  na  kwa kutaja  machache.

Hivyo  basi  ili  kuondokana  na  hatari  hiyo, yakupasa   kupambana  kuondoa  hayo  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini  mwako.

NJIA  ZA  KUONDOA  KITAMBI.
Unaweza  kuondokana  na  kitambi  kwa  kufanya  diet  pamoja  na  mazoezi ya  mwili  na  viungo.

Vilevile  unaweza  kuondoa  kitambi  na  kupunguza  mafuta  mwilini  kwa  kutumia  dawa  asilia  ya  kuondoa  kitambi  na  kuondoa  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini.

DAWA   ASILIA  YA  KUONDOA  KIAMBI  NA  MAFUTA  MWILINI.
Hii  ni  njia  ya  uhakika  kabisa  ya  kuondoa  tatizo  la  kitambi  pamoja  na  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini.

 Unaweza  kuondoa  tatizo  la  kitambi  pamoja  na  kupunguza  mafuta  mwilini  kwa  kutumia  DAWA  ASILIA   IITWAYO YA  MKATAA  KITAMBI.

 Dawa   hii  ni  ya asili  kabisa
“  Pure  Herbal “, ambayo  haijachanganywa  na  kemikali  yoyote, haina  side  effect kwa  mtumiaji  na  inaondoa  kabisa  tatizo  la  kitambi  ndani  ya  siku  kumi  na  nne.

JINSI  DAWA  YA  MKATAA  KITAMBI  INAVYO  FANYA  KAZI.
1.Huyeyusha  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini.

2.Husaidia  kupunguza  hamu  ya  chakula.

3.Inazuia  kutengenezwa  kwa  seli  za  mafuta  ( fat cells  ) katika  mwili  wa  mwanadamu. Unapokula  chakula  chenye  mafuta  mengi, dawa  hii asilia  hupambana  kuyafanya  mafuta  hayo  yasitengeneze  seli  za  mafuta  mwilini  mwako. Hali  hii  huuepusha  mwili  wako  kuhifadhi  mafuta   yasiyo  hitajika  mwilini.

4. Husaidia  kupunguza  uzito wa mwili  kwa  haraka  sana  endapo  itatumika  pamoja  na  diet  ya  kabechi.

UFANISI  WA  DAWA.
Ufanisi  wa  dawa  hii  ni  wa  asilimia  mia  moja. Dozi  ya  dawa  hii  hutumika  kwa  muda  wa  siki  ishirini  na  moja.

MATOKEO  YA  DAWA:
Dawa  hii  huondoa  kabisa  kitambi  ndani  ya  siku  kumi  na  nne.

BEI  YA  DAWA :
Dawa  hii  inaoatikana  kwa  kiasi  cha  SHILINGI  ELFU  HAMSINI  TU  (Tshs. 50,000/=)

MAHALI  TUNAPO  PATIKANA.
Tunapatikana  jijini  DAR  ES  SALAAM, katika  eneo  la  UBUNGO  karibu  na  SHULE  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

KWA  WATEJA  WASIO  WEZA  KUFIKA  OFISINI  KWETU.
Kwa  wateja  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu  Tabata, tunao  utaratibu  wa  kuwafikishia  dawa  mahali  popote  walipo  ndani  ya  jiji  la  Dar  Es  salaam.

KWA  WATEJA  WA  NJE  YA  DAR  ES  SALAAM.
Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  Dar  Es  salaam, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  MABASI.

Kwa  wateja  wa  ZANZIBAR  tunawatumia  dawa  kwa njia  ya  boti.

KWA  WATEJA  WA  NJE  YA  NCHI:
Kwa  wateja  wa  nje  ya  nchi, tunatumia  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  au  DHL.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA : 0766  53 83 84

TUTEMBELEE:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya June 27

Lowassa Mikononi mwa Polisi Leo........Ni Kufuatia Wito wa DCI Aliyemtaka Afike Polisi saa Nne

0
0
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa ametakiwa kuripoti katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) leo  saa nne asubuhi.

Lowassa ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amepewa wito huo kwa njia ya barau bila kuelezwa sababu za yeye kutakiwa kufanya hivyo.

Msemaji wa CHADEMA, Tumaini Makene na Lowassa mwenyewe wote wamethibitisha kupata taarifa za wito huo huku wakisema si chama wala mhusika anayejua sababu za kuitwa.

Aidha, katika mahojiano aliyofanya Lowassa na The Citizen kwa njia ya simu, amesema kuwa anadhani kuitwa kwake kuna uhusiano na kauli aliyoitoa mwishoni wa juma wakati wa futari kuhusu Masheikh wa Uamsho.

Lowassa alimtaka Rais Magufuli kuingilia kati suala hilo ambapo Masheikh kadhaa wanashikiliwa kwa zaidi ya miaka minne sasa bila maendeleo yoyote ya tuhuma zinazowakabili. Masheikh hao ambao walikamatwa Zanzibar wanatuhumiwa kwa ugaidi ambapo Lowassa alitaka Rais aingilie kati ili kesi hiyo iweze kusikilizwa.

“Sina hakika kama hii ndio sababu, lakini nahisi tu. Ila ukweli utafahamika  nitakapokutana na DCI,”  alisema Lowassa kwenye mahojiano hayo ya simu.

Kauli ya CHADEMA Baada ya Lowassa Kuitwa Polisi Leo Kwa Mahojiano

0
0
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Lowassa amepata wito kutoka kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) kumtaka kufika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo Jumanne, saa 4 asubuhi kwa ajili ya mahojiano.

Mhe. Lowassa ambaye pia alikuwa Mgombea Urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupitia CHADEMA, kwenye Uchaguzi Mkuu uliopita, hajapewa maelezo wala ufafanuzi wowote kuwa mahojiano hayo yatahusu nini hasa.

Tayari Chama kimetoa maelekezo kwa Kurugenzi ya Katiba na Sheria ya Chama kuhakikisha kuwa Mhe. Lowassa anapata msaada wa kisheria wakati wa mahojiano hayo.

Taarifa za awali zinaonesha kuwa mahojiano hayo yanahusishwa na kauli za Mhe. Lowassa alizotoa katika nyakati tofauti hivi karibuni wakati akishiriki futari pamoja na Watanzania wenzetu Waislam waliokuwa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, ambapo amekuwa kiitaka Serikali kuzingatia misingi ya utawala bora kama mojawapo ya misingi muhimu ya kuendesha nchi kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya Watanzania wote.

Imetolewa  Jumatatu, Juni 26, 2017 na;

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
CHADEMA

Jina ZUZU Lamkera Mizengo Pinda

0
0
WAZIRI Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amesema anafarijika kuona mchakato wa kubadilisha jina la kijiji cha Zuzu umeanza kwa kuwa jina hilo halina ustaarabu kulingana na maana yake halisi.

Alisema sasa wanakwenda kupata jina linaloendana na eneo hilo ambalo wanaishi wachapakazi wengi. Shamba la Pinda lililoko kijiji cha Zuzu ni moja ya miradi iliyotembelewa na Mwenge wa Uhuru juzi na kuwawezesha wakimbiza Mwenge kitaifa kushuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika shamba hilo ambalo pia linatajwa kuwa shamba darasa kwa sasa.

Alisema licha ya mafanikio mengi ambayo yamepatikana kilio chake ni jina la kijiji kuwa halina ustaarabu masikioni mwa watu. 

”Zuzu maana yake ni mpumbavu, silipendi jina hilo, sijui walitoa wapi nimekwenda kwenye mtandao nakuta jina ni Zinje kila nikiuliza sipati jibu lini walitubaini sisi ni mazuzu watu wazuri huku tunafanya kazi tunajiendeshea maisha yetu,” alisema 

“Nikamwambia mkuu wa mkoa jina hili si letu ila wametubambikiza tu. Hoja tunayo nadhani serikali imetusikia na tutapata jina ambalo linaendana na eneo hili,” alisema.

Kwa upande wake, Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa, Amour Hamad Amour amewataka viongozi nchini kutekeleza kwa vitendo sera, mipango na mikakati ya kukuza uchumi badala ya kuhubiri na kuhimiza kwa wananchi bila wao kuonesha mfano. 

“Huu ni mfano ulio bora unaopaswa kuigwa na kila kiongozi mikakati ya kukuza uchumi katika nchi inatakiwa kutekelezwa kwa vitendo,” alisema.

Awali akitoa maelezo kuhusu shamba hilo, mke wa Waziri Mkuu mstaafu Pinda, Tunu Pinda alisema harakati za kuanzisha shamba hilo zilianza mwaka 2001 na shamba hilo lina ukubwa wa ekari 60. 

Alisema shughuli mbalimbali zimekuwa zikifanyika katika shamba hilo ikiwemo kilimo, ufugaji na huzalisha gesi ya asili ya biogas kwa ajili ya nishati ya kupikia na taa.

Alisema shamba hilo limekuwa likitumia mbolea ya samadi katika kilimo. Pia alisema shamba hilo lina mizinga 403 ya kisasa ambapo katika msimu wa mavuno uliopita kiasi cha tani 7.5 za asali zilipatikana. ‘’Bidhaa zinapatikana dukani kwa nembo ya Pinda Honey” alisema.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images