Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Picha: Jinsi Shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga alivyofariki katika ajali ya gari

$
0
0
Shabiki wa Yanga maarufu kwa jina la Ally Yanga amefariki dunia jana  katika ajali ya gari. Ally Yanga alijizolea umaarufu mkubwa katika tasnia ya soka kotokana na jinsi alivyokuwa akivaa na kujichora pamoja na namna yake ya ushangiliaji anapokuwa uwanjani.

Ajali hiyo iliyohusika katika kifo cha Ally Yanga iiltokea jana  mkoani Dodoma

Klabu ya Yanga kupitia Idara ya Habari na mawasiliano wametuma salamu za rambirambi kwa ndugu na jamaa wa Ally Yanga kufuatia kifo cha mpendwa wao ambapo wamesema kuwa faraja ya Mungu ikawe na familia hiyo katika kipindi hiki kigumu.

“Uongozi wa Yanga SC umepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Ally Yanga, hakika Mungu ni mwema, faraja ya Mungu wetu ikawe kwa familia katika kipindi chote cha majonzi kwa kuondokewa na mpendwa wao.”

Aidha, kwa upande wao, Yanga wamesema kuwa wameachwa na pengo kubwa kutokana kutokana na kupoteza shabiki na mwanachama huyo maarufu.

“Pia nasi Yanga kifo chake kina acha pengo kubwa kwa nafasi yake ambayo ilipelekea kujipatia umaarufu mkubwa na alikuwa balozi mzuri kama mwanachama na shabiki mkubwa wa timu yetu, Bwana alitoa, Bwana ametwaa.”


Wapinzani Wampeleka Spika Ndugai Mahakamani

$
0
0
Wabunge  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliosimamishwa kuhudhuria Bunge kwa mwaka mmoja, Ester Bulaya wa Bunda na Halima Mdee wa Kawe, wamemfikisha mahakamani Spika wa Bunge, Job Ndugai, wakipinga kusimamishwa kwao.

Mwingine ambaye wamemfikisha mahakamani ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge, George Mkuchika, ambaye ni Mbunge wa Newala Mjini (CCM).

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tayari wabunge hao wamewasilisha shauri lao kwenye Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma.

John Mnyika ambaye alisimamishwa kuhudhuria vikao vya siku saba, adhabu ambayo ilishaisha, naye ameungana na wabunge hao kwenye kesi hiyo.

"Leo hii (jana) katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ya Mahakama Kuu Dodoma waheshimiwa Ester Bulaya, Halima Mdee na John Mnyika wa Kibamba, wamefungua maombi kuomba ruhusa ya mahakama wafungue mashtaka dhidi ya Spika wa Bunge Job Ndugai, George Mkuchika na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju," alisema Lissu.

Lissu alisema waombaji wanaiomba mahakama kuu itoe amri ya kufuta uamuzi wa Spika na wa Bunge kuwasimamisha John Mnyika kwa vikao saba na vile vile ifute kabisa uamuzi wa Bunge wa kuwasimamisha kuhudhuria vikao vilivyobaki na vikao vyote vya Mkutano wa nane na vikao vyote vya Bunge la Tisa, Ester Bulaya na Halima Mdee.

Lissu alisema adhabu zote hizo zinakwenda kinyume na sheria na zilitolewa na Bunge hilo kama kuwakomoa wabunge hao watatu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.

Hivi karibuni, Spika Ndugai, aliwaonya wabunge hao kuwa wanaweza kukabiliwa na adhabu kali zaidi ya ile waliyopewa endapo hawatachunga midomo yao.
 
Wabunge hao walisimamishwa Juni 5, mwaka huu, baada ya kutuhumiwa kudharau kiti cha Spika.

Mdee na Bulaya wamefungiwa kuhudhuria vikao vyote vilivyobaki vya Bunge hili na watakuwa nje mpaka Aprili mwakani.

Bulaya na Mdee walisimamishwa baada ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge inayoongozwa na Mbunge wa Newala (CCM), George Mkuchika kutoa taarifa ya makosa yao bungeni.

Azimio hilo la Bunge lilifikiwa baada ya Mbunge wa Viti Maalum, Juliana Shonza (CCM) kutoa hoja ya kubadilisha azimio lililotolewa na Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge.


Hakimu Afikishwa Mahakamani kwa Rushwa

$
0
0
Hakimu  wa Mahakama ya Mwanzo Magomeni, Omary Abdallah na mwenzake, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na  mashtaka manne likiwamo la kuomba na kupokea rushwa.

Akisoma hati ya mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi, Respicius Mwijage, Mwendesha Mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa(Takukuru), Emanuel Jacob alimtaja mshtakiwa mwingine kuwa ni George Barongo ambaye ni mfanyabiashara.

Alidai kuwa, kati ya January na Februari 12/ 2017, Omary akiwa mwajiriwa wa Mahakama ya Mwanzo Kinondoni aliomba rushwa  ya Sh 205,000 kutoka kwa Agnes Nyenza kwa ajili ya kumsaidia kwenye kesi yake ya mirathi ya namba 570/2016 ambayo ilikuwa mbele yake.

Alidai, shtaka la pili linalomkabili hakimu hiyo  pia anadaiwa kupokea rushwa ya kiasi hicho cha fedha Kutoka kwa Nyenza ili aweze kumsaidia katika kesi hiyo.

Alidai kati ya Februari na Machi mwaka huu, jijini Dar es salaam, Hakimu Omary akiwa na mfanyabiashara Barongo waliomba rushwa ya Sh 1,000,000  kutoka kwa Nyenza kwa ajili ya kumsaidia katika kesi hiyo ya mirathi.

Alidai washtakiwa hao katika siku hiyo kwa pamoja walipokea rushwa ya Sh 500,000 kwa ajili ya kumsaidia Agnes Nyenza kwenye kesi yake ya mirathi iiyopo mbele ya hakimu Omary Mohammed wa Mahakama ya Mwanzo Magomeni.

Wakili Jacob alidai, upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na kuomba mahakama hiyo kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa.

Hata hivyo washtakiwa hao wamekana mashtaka hayo na Hakimu Mwijage aliwataka washtakiwa hao kila mmoja kuwa na mdhamini mmoja atakayesaini bondi ya Sh milioni 10. Washtakiwa hao walikidhi masharti ya dhamana na kesi hiyo imeahirishwa hadi Julai 4 mwaka huu.

Sherehe ya Kula Nyama ya Mbwa Yafanyika China

$
0
0
Sherehe ya kula nyama ya mbwa iliogubikwa na utata katika mji wa Yullin nchini China imeanza licha ya ripoti za awali kwamba ilikuwa imepigwa marufuku mwaka huu.

Sherehe hiyo hufanyika kila mwaka katika mkoa wa Guangxi.

Mapema mwaka huu ,wanaharakati walidai kwamba wafanyibiashara waliagizwa na mamlaka kutouza nyama ya mbwa.

Lakini wamiliki wa vibanda vinavyouza nyama hiyo walisema  hawajasikia lolote kuhusu hatua hiyo kutoka kwa maafisa. Mnamo tarehe 15 mwezi Mei, maafisa wa mji walithibitisha kwamba hakuna marufuku yoyote.

Siku ya Jumatano, ripoti kutoka Yullin zilisema kuwa mbwa waliokufa walionekana wakiwa wametundikwa katika ndoano za nyama katika vibanda ndani ya soko la Dongkou ambalo ndio kubwa mjini humo.

Credit: BBC

Mfalme wa Saudi Arabia amchagua mwanae kumrithi, amvua binamu yake

$
0
0
Mfalme Salman wa Saudi Arabia amemchagua mwanae Mohammed bin Salman kuwa mrithi wa kiti cha ufalme akimuondoa wadhifa huo binamu yake, Mohammed bin Nayef.

Kwa mujibu wa sheria ya nchi hiyo, mteule huyo pia anapata nafasi ya kuwa Naibu Waziri Mkuu huku akiendelea na nafasi yake kama waziri wa ulinzi.

Aidha, kwa muujibu wa kituo cha runinga cha nchi hiyo, mfalme huyo wamemvua Pince Mohammed bin Nayef cheo cha kuwa mkuu wa mambo ya usalama wa ndani ya nchi.

Mfalme Salman mwenye umri wa miaka 81, alivikwa taji la ufalme wa Saudi Arabia Januari 2015 baada ya kifo cha kaka yake, Abdullah bin Abdul Aziz.

Hatua ya kuteuliwa kwa Prince Mohammed bin Salman mwenye umri wa miaka 31 kuwa mfalme ajaye kumeelezwa kuwa ishara ya mabadiliko makubwa kwa kizazi cha vijana.

Marekani yaendeleza ubabe Syria, yaitungua ndege nyingine

$
0
0
Marekani imeendeleza ubabe wake wa kuzitungua ndege za kijeshi za Syria mara baada ya kuitungua ndege nyingine isiyo na Rubani kusini mwa nchi hiyo.

Marekani inadai kuwa ndege hiyo iliyotunguliwa ya Jeshi la Syria ilikuwa imebeba silaha nzito na hatari kwa Jeshi la Marekani la ardhini hivyo imechukua hatua hiyo kwaajili ya kujikinga na hatari ya kushambuliwa.

Hiki ni kisa cha karibuni kabisa katika anga ya Syria, baada ya Marekani kuangusha ndege ya kivita ya Syria siku ya Jumapili na ndege nyingine isiyo na rubani mapema mwezi huu.

Katika taarifa nyingine jeshi la Marekani lilitangaza rasmi kuwa lilimuua kiongozi wa cheo cha juu wa kundi la Islamic State Turki al-Binali, wakati wa shambulizi lililofanywa na ndege nchini Syria Mwezi uliopita.

Kigwangalla: Tuliopinga wizi wa madini yetu tulibezwa, tulikamatwa kama wezi

$
0
0
Kupitia ukurasa wa kijamii wa twitter wa Mbunge wa Nzega Vijijini, Dk. Hamisi Kigwangalla ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ameweka wazi kuwa daima ataendelea kupambana dhidi ya rasilimali za umma, kwani amekuwa mwanaharakati kwa muda mrefu.

“Tuliopinga wizi wa madini yetu tulibezwa, tulikamatwa kama wezi; tuliswekwa ndani, tulionekana wasaliti. Leo kiko wapi? #NasimamaNaRaisWangu” aliandika Dk. Kigwangalla huku watu mbalimbali wakitoa maoni yao.

Kwa mujibu wa Dk. Kigwangalla amebainisha kuwa, suala la kupambana na rasilimali za Taifa alilianza miaka mingi kwani miongoni mwa matukio makubwa ni la 2013, ambapo alijitolea kupambana kudai haki  tukio lililopelekea kutiwa nguvuni na Jeshi la Polisi.

Dk. Kigwangalla anasema  katika kupigania maslai Taifa ataendelea kuunga mkono juhudi za Rais Dk. Magufuli  mwanzo mwisho kwani ni moja ya matunda ya nchi yoyote ile Duniani.

Anasema kiongozi Mkuu lazima alinde na kupigania rasilimali za nchi, hivyo akiwa Mtanzania na kiongozi mwenye dhamana anaunga juhudi hizo bila kuchola.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awasili Mwanza Akiwa Njiani Kuelekea Chato

$
0
0
 WAZIRI MKUU AMUAGIZA MKURUGENZI WA MISUNGWI AITISHE KIKAO KESHO SAA 4   

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Bw. Eliud Mwaiteleke aitishe kikao na wananchi wa Kigongo na kutafuta ufumbuzi wa tatizo la eneo la kujenga soko.

Ametoa agizo hilo leo jioni (Jumatano, Juni 21, 2017) wakati akizungumza na mamia ya wakazi na wajasiriamali wanaotumia kivuko cha feri cha Kigongo waliokuwa wakimsubiri avuke kwenda Busisi, wilayani Sengerema.

"Mkurugenzi haya mambo ya mipango, mipango na kupanga hayaleti tija kwa wananchi. Hivi hamjui kuwa wananchi wanahitaji kuwa na soko katika eneo hili ili waweze kuuza mazao yao au samaki?"

"Ninakuagiza Mkurugenzi, kesho Alhamisi, saa 4 njoo na Afisa Biashara wako, Mwenyekiti wa kijiji na watu wako pamoja na Diwani wa hapa, itisheni kikao na muonyeshwe eneo la soko ili mliingize kwenye mipango yenu," alisema.

Waziri Mkuu alisema Serikali ya awamu ya tano haitaki kusikia lugha za michakato wakati wananchi wanaendelea kuteseka.

Awali, Waziri Mkuu alimwita Mkurugenzi huyo ili aeleze amejipanga vipi kwenye Halmashauri yake kutatua tatizo la soko kwa wananchi wa Kigongo.

Akitoa majibu mbele ya Waziri Mkuu, Bw. Mwaiteleke alisema hawajawahi kupata mpango kutoka kwenye kata hiyo na kwa hiyo akawasihi wananchi waibue mpango huo na kuuwasilisha kwenye Halmashauri ili wao waweze kutenga fedha za kujenga soko.

Mapema, Mwenyekiti wa Kijiji cha Kigongo, Bw. Sebastian Kisumo alimweleza Waziri Mkuu kwamba eneo hilo linakabiliwa na tatizo la soko pamoja na uhaba wa maji.

Kuhusu maji, Waziri Mkuu alisema Serikali imetenga sh. bilioni 2.5 kwa ajili ya mradi wa maji wa kutoka Ziwa Victoria eneo la Itelele ambao utasambaza maji kwenda Misungi, Usagara hadi Kigongo Feri.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATANO, JUNI 21, 2017.

Rais Magufuli Amtaka Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasa) Archado Mtalemwa ajiandae kustaafu

$
0
0
Rais John Magufuli amemtaka Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasa) Archado Mtalemwa ajiandae kustaafu kutokana na mapungufu mengi ambayo Rais amesema ameyaona katika mamlaka hiyo.

Rais ameyasema hayo leo(Jumatano) akiwa katika ziara yake ya siku tatu mkoani Pwani na alitumia fursa hiyo kuzungumzia miradi ya maji na ulipaji wa maji kwa taasisi za serikali.

“Ndugu yangu Mtalemwa, naongea kwa lugha nzuri hapa, nikuombe tu kuwa ustaafu mapema, inawezekana Waziri wa Maji ni rafiki yako, kama ilivyo kwa mawaziri wengine, lakini nadhani huu ni wakati mzuri,” amesema na kuongeza;

“Pamoja na kazi zako nzuri, it’s your time to go.”  

Rais Magufuli amezungumzia kero mbalimbali za maji na kusema kuna upotevu mkubwa wa maji.

Trafiki Wawili Wauawa Kibiti....Gari Lao na Pikipiki Vyachomwa Moto

$
0
0
Askari Polisi wawili wa kikosi cha usalama wa barabarani wilayani Kibiti ambao majina yao bado hayajatambulika wamepigwa risasi na watu wasiojulikana katika Kijiji cha Msafiri,Kata ya Bungu wakiwa kazini.

Mbali na kupigwa risasi, pia watu hao wamechoma moto gari moja na pikipiki moja za askari hao kisha kutokomea kusikojulikana.

Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa tukio na kusema anafuatilia.

Tukio hilo limetokea kilomita chache kutoka eneo ambalo waliuawa askari polisi wanane kwa kupigwa risasi katika eneo la Mkengeni walipokuwa wakitoka doria katika Kijiji cha Jaribu.

Rais Magufuli abaini uwepo wa pembejeo hewa,

$
0
0
Raisi John Magufuli amesema kuna pembejeo hewa  kama ilivyo kwa watumishi  na wanafunzi hewa.

Akizungumza leo (Jumatano) wakati akizindua kiwanda cha chuma cha kuunganisha matrekta cha Ursus, Rais Magufuli amesema tatizo la pembejeo hewa ni kubwa na sasa analifanyia kazi na muda wowote ataliweka hadharani.

Amesema amebaini katika mpango wa kusambaza pembejeo nchini wapo wakulima walioandikishwa majina yao lakini kumbe walishafariki zaidi ya miaka 20 iliyopita na wengine wanaodaiwa kusambaziwa kumbe hata si wakulima na hawana hata mashamba.

Rais amesema hayo katika ziara yake ya siku tatu mkoani Pwani.

Amesema tayari ameipa kazi timu maalumu ya watu kufanya uchunguzi wa kina kuhusu pembejeo hewa ambazo amedai ni nyingi na akiikamilisha ataanika hadharani madudu hayo na wahusika wote watashughulikiwa.

“Yaani hata kwenye pembejeo nimebaini zipo hewa, majina ya watu unakuta ni mtu aliyefariki miaka zaidi ya 20 iliyopita, mengine mtu hana hata shamba sasa kila kitu ilikua hewa, na hapa naamini tatizo ni kubwa lakini tutalimaliza kama lile la wanafunzi na watumishi, wapo watu wanafanya hii kazi ikikamilika tu tutaeleza,"amesema

Rais amesema asilimia 80 ya Tanzania inategemea kilimo lakini eneo hilo halina maendeleo kwa sababu wengi wanatumia jembe la mkono.

Lakini kama wakianza kutumia matrekta basi kilimo chetu nchini kitakua cha tija kwani wakulima wengi watazalisha zaidi.

Ameitaka Wizara ya viwanda na uwekezaji, wizara ya kilimo na wawekezaji wa matreta hayo waangalie suala la bei ili isiwe kubwa na kuwafanya watu kushindwa kuyanunua.

Katika ziara yake amelitaka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) wabadiliie katika utendaji kazi sababu huko nyuma kila kilichokua kibaya akiuliza imetajwa NDC hadi akawa ameanza kutaka kufumua lakini kupitia ziara hiyo ameona mabadiliko mengi yenye tija kwenye uanzishwaji viwanda hivyo vitatu alivyotembelea Kibaha.

Picha: Rais Magufuli alivyozindua Kiwanda cha TAMCO kinachounganisha Matrekta

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amezindua kiwanda cha kuunganisha matrekta cha Ursus na kiwanda cha Nondo cha Kiluwa ambapo  amewataka wawekezaji kujitokeza kwa wingi kwani Serikali iko nao bega kwa bega.

"Kiwanda ni kikubwa na kinatoa nondo ambazo zinaweza kujenga daraja lolote Tanzania au Ulaya.Tanzania tuna chuma, kwa nini tuagize chuma kutoka Brazil au China.

"Wawekezaji watafute njia ya kutumia chuma cha Tanzania badala ya kuagiza nje ya nchi  na nashauri Ajira zianze kwanza kwa vijana wa Mkoa wa Pwani'',  amesema Rais Dkt. Magufuli na kuongeza kuwa serikali inampango  wa kujenga barabara kubwa ya lami ya njia sita kutoka Dar mpaka Chalinze ambapo amewataka watanzania kuvilinda viwanda  na  amani ya Tanzania

 

CUF Lipumba yatambulisha bodi mpya ya wadhamini, yadai kupata

$
0
0
Uongozi wa CUF, unaotambuliwa na msajili wa vyama vya siasa nchini, umeitambulisha rasmi bodi mpya ya wadhamini baada ya kupata usajili Juni 12, mwaka huu kutoka Wakala wa Ufilisi na Udhamini (Rita).

Kwa mujibu wa Sheria namba 5 ya mwaka 1992 ya vyama vya siasa, inakitaka kila chama cha siasa kilichosajiliwa kuwa na bodi ya wadhamini iliyopata usajili Rita, ambayo itadumu kwa kipindi cha miaka mitano.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo, (Jumatano) Katibu Mkuu wa Bodi hiyo, Thomas Malima amesema baada ya usajili huo, Baraza Kuu la Uongozi chini ya Mwenyekiti Profesa Ibrahim Lipumba liliketi na kufanya uteuzi wa wajumbe tisa wa bodi hiyo baada ya kujiridhisha bodi iliyokuwapo imemaliza muda wake.

“Sasa chama kinarejea katika hali yake na kumaliza migogoro yote, baraza moja, kamati ya utendaji moja na Bodi ya wadhamini moja, tunatoa onyo kali na tutamchukulia hatua kali za kinidhamu mwanachama yeyote atakayesikika akitoa matamko yoyote yanayohusiana na chama asiyetambuliwa kikatiba,” amesema Malima.

Kadhalika Malima ametaja maazimio ya kikao cha bodi hiyo mpya kilichoketi Juni 17, mwaka huu na kusema bodi hiyo iliadhimia kufuta kesi zote zilizofunguliwa katika mahakama mbalimbali nchini.

Mengine yaliyoadhimiwa ni kuziandikia benki zote zenye akaunti ya CUF zifungulie miamala yake na akaunti ya NMB tawi la Temeke iwe akaunti ya bodi ya wadhamini.

Urusi Yaitimua Ndege ya NATO Iliyokuwa Ikimfukuzia Waziri wake wa Ulinzi

$
0
0
Ndege ya kijeshi ya Urusi, Su-27 imefanikiwa kuitimua ndege ya jeshi la NATO, F16  ambayo ilikuwa ikiifukuzia ndege aliyokuwa amepanda waziri wa Ulinzi wa Urusi, Sergei Shoigu

Vyombo vya habari  Urusi vimesema  kuwa tukio hilo limetokea  katika anga ya kimataifa eneo la Baltic, wakati Sergei Shoigu alikuwa akisafiri kuenda himaya ya Urusi ya Kaliningrad.

NATO  baadaye ilisema ilifuatilia ndege hiyo kwa kuwa haikujitambulisha.

Kwa mujibu wa  mashirika ya habari ya Urusi ndege ya F16 ilipita karibu na ndege ya Waziri wa Ulinzi, Shoigu, kisha ndege ya Urusi ya Su-27, ikaingilia kati na kutoa ishara kuonyesha kuwa ilikuwa imejihami, kisha ndege ya Nato ikaondoka.

Jipatie Dawa za Asili za Kupunguza Maziwa, Kupunguza tumbo, Kuongeza nguvu za Kiume na Mvi

$
0
0
NATURAL BEAUTY COSMETICS inatoa OFFER SPECIAL kwa ajili ya SIKUKUU YA EADY kwa kila bidhaa. Bidhaa zetu zote zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote pia matokeo ni GUARANTEE. Pata bidhaa hizi kwa punguzo la %10 uweze kufulahia matokeo mazuri. Bidhaa tulizonazo ni kama zifuatavyo÷
🍉🍓🍇🍅🍊🍒🍍🌴🍐🧀🧀🧀🧀🍅🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍐🍍🌳🍏🍐🌶🍉🍆🍆🍒.
1. YODI PILLS _ Ni vidonge vya kuongeza hips na makalio @170,000/=
2. BOTCHO CREAM_ Ni dawa ya kupaka ya kuongeza shepu (hips na makalio) @150,000/=
3. BOTCHO MULT PLUS_ Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza shepu (hips makalio na mapaja) @200,000/=
4. PANNAMAS BREAST_ Ni dawa ya kupunguza maziwa na kuyasimamisha hata kwa walio nyonyesha. Inapatikana kwa Tsh @120,000/=
5. DISCREET_Hii ni kwa ajili ya kuondoa mvi milele na zisiludi tena. @130,000/=
6. BODY BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza mwili mzima na kukupa hamu ya kula vizuri. Inapatikana kwa Tsh @130,000/=
7. LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu kuwa (Chupa ya bia) @120,000/=
8. HAIR GROWTH STIMULATOR_ Ni mafuta ya kulefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo. Yanapatikana kwa Tsh @100,000/=
9. MICRO COMPUTER_ Ni mkanda wa kupunguza tumbo na manyama uzembe. @170,000/=
10.HANDSOME UP ni kifaa kinachoongeza maumbile ya kiume  kwa 99% kwa size uipendayo wewe na kuimarisha misuli ya uume kwa @170,000/= tuu.
11.MEN GELY YA KUPAKA. Hii inaongeza kwa wastani wa inch 6.5 na inapatikana kwa @120,000/=. 
12. SHARK POWER. Hii pia ni kwa ajili ya kuongeza maumbile  wastani wa inch 7.5 inapatikana kwa @135,000/=.
15. MAX MAN 2. Ni vidonge kwa ajili ya nguvu ambavyo vinasaidia sana hata kwa watu wenye kisukari na waliokua wakifanya sana master blashion. Pia huongeza hamu ya tendo la ndoa inapatikana kwa @130,000/=🌙💫🌟⭐
🌳🍉🍌🍅🍍🍐🍓🍆🍐🍒🍒🍓🍓🍑🍍🍍🍓🍓🍓🍍🍐🍐🍈🍉
 
Tupo DAR ES SALAAM  kariakoo na kinondoni kanisani. 
 
Kwa mawasiliano zaidi piga  0759029968 au 0659618585.
Popote ulipo utapata huduma zetu.
                 Follow us
@natural2162
@natural2162
@natural2162
@natural2162
     Bidhaa zetu zote ni garantii na unapewa risiti
              Karibu

Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

$
0
0
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..

CHIEF SULTAN ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
Je unasumbulia na Mapenzi..?
 
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na CHIEF SULTAN Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
 
Wasiliana na CHIEF SULTAN Kwa Majibu ya Maswali yako..
Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA..
 
Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.)Humaliza Kesi za Muda mrefu ndani ya siku 14 tu.
Anatoa NDAGU Zisizokuwa na Masharti.. Kwa maelezo Zaidi wasilina nae kwa

Whatsapp +255 0658 316 976
Call +255 755 911 233

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya June 22

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume

$
0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  

Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto  kwa  muda  mrefu.

Katika  makala  yetu  ya  leo, tutaangalia  namna   suala  la  upigaji  punyeto linavyo  athiri  nguvu  za  kiume.

Kabla  hatujaangalia  namna  suala la upigaji  punyeto linavyo  maliza  nguvu  za  kiume, ni  vyema  tukafahamu  kwanza  kuhusu  SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Kufahamu   kuhusu   SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME  tafadhali  tembelea :

Ukisoma  vizuri  kuhusu  mfumo  wa  nguvu  za  kiume, utagundua  kuwa   Suala  la  nguvu  za  kiume  ni  suala  la  kimfumo.  Ili  mwanaume  awe na nguvu  za  kiume, aendelee  kuwa  na  nguvu  za  kiume na  azilinde  nguvu  zake za  kiume, ni  lazima  ogani  zote zinazo  husika  na  mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ziwe  na  afya  njema  na  ziwe  na  ushirikiano   thabiti  na  wenye  afya.

Vile  vile , utagundua  kuwa , mambo  makuu  muhimu  katika   mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ni  kama  ifuatavyo:

i.Mishipa  imara  ya  ubongo  na  yenye  afya  njema

ii. Mishipa  imara  ya  uti  wa  mgongo  (  spinal  cords )

iii.Mishipa  imara  itumikayo  kusafirisha  damu  mwilini  (  Blood Vessels )

iv. Mfumo  imara  wa  usafirishaji  damu  mwilini

v. Mishipa  ya  uume  iliyo  imara  na  yenye  afya  njema

vi. Uhusiano  imara  na  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  ubongo, mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  misuli & mishipa  ya  kwenye  uume.

Hivyo  basi, ili  mwanaume  aweze  kuwa  na  nguvu  imara  za  kiume, na  aendelee  kuwa  na  nguvu  hizo ni  lazima  mambo  yote  muhimu  katika  mfumo  wa  nguvu za  kiume  yawe  imara  pasi na  hitilafu  yoyote.

Hitilafu  yoyote  katika  mambo  hayo, itasababisha  ukosefu na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume  kwa  mwanaume  huyo.  Pale inapotokea    hitilafu  ama  mapungufu  katika  ogani  zaidi  ya  moja  kati  ya  zilizo  tajwa hapo  juu, basi  tatizo  kwa  muhusika  huwa  kubwa  mara  dufu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU &  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume   anapopatwa na  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, ubongo  hutoa  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo  husafirisha  taarifa  hadi  kwenye  mishipa &  misuli  ya  uume.

Mishipa  ya  uume inapopokea  taarifa  hiyo, hutanuka. Na  mishipa  ya  uume  inapotanuka, hufanya  mambo  mawili  muhimu  sana :

i.Husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  hivyo  kuruhusu  damu  kuingia kwa  kasi  sana   ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  imara  bara bara.

ii. Huibinya na  kuiziba  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuzuia  kunyonya  ama  kufyonza  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa ya  uume.  (  KAZI  KUBWA  YA  MISHIPA  YA  VENA  ILIYO  KARIBU NA  MISHIPA  YA  UUME  NI KUHAKIKISHA  HAKUNA  DAMU NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME. HIVYO  BASI  DAMU  INAPOINGIA  NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME, MISHIPA  YA  VENA  HU “SENSE” JAMBO  HILO  KWA  HARAKA  NA HIVYO  KUIFYONZA  DAMU  HIYO  KUTOKA KWENYE MISHIPA  YA UUME  YA  KUITOA  NJE YA MISHIPA  YA  UUME.  NA  DAMU INAPOKOSEKANA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME, HUUFANYA  UUME  KUSINYAA  NA  KULEGEA )

Mtu  anayepiga  punyeto  husababisha  mambo  yafuatayo  katika  mwili  wake :

1. Huuwa  nguvu  ya  mishipa  & misuli ya  uume ambayo  ndio  inayo husika  na  kusimama  kwa  uume

2. Mishipa  ya   uume  inapo  sinyaa  na  kukosa  nguvu  yake  ya  asili, husababisha  mambo  yafuatayo :

i.Huondoa  uwezo  wa  mishipa  &  misuli  ya  uume  kutanuka, na  hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  waathirika  wa  punyeto  kutumia  nguvu  nyingi  sana  katika  kuufanya  uume  usimame.

ii.Huondoa  uwezo  wa  mishipa &  misuli  ya  uume  kuibana  na  kuiziba  mishipa  ya  vena, na  hii ndio  sababu  inayo  fanya  waathirika  wa  punyeto  kufika  kileleni  haraka  sana, kwani damu  inayo  ingia  kwenye misuli  ya  uume   hufyonzwa  ndani ya  muda  mfupi sana. 
 
 Hii  hutokea  kwa  sababu  mishipa na  misuli  ya  uume inakuwa  imelegea,na  mishipa  ya  vena inakuwa  imepwaya, hivyo  msuguano wowote ule  hufanya  mishipa  ya  vena  kufunguka  na  kufyonza  damu  kutoka  kwenye mishipa  ya  uume  na hivyo  kuufanya  uume  kusinyaa  ndani ya dakika ama sekunde  chache sana.

3. Vile  vile  punyeto  hufanya  uume  kusinyaa na  kurudi ndani  na  kuufanya  uonekane kama  uume  wa  motto mdogo.

Kwa  ufupi  punyeto  husababisha  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  kwa  sababu  kuu  zifuatazo :

i.Kwanza   hudhoofisha  na  kuharibu  mishipa  ya  uume,  ambayo  ndio  hufanya  uume kusimama.

ii.Pili  hudhoofisha  utendaji  kazi  wa  mishipa  ya  ateri, ambayo  ndio  hutumika  kama  njia  ya  kusafirisha  damu kupeleka kwenye  misuli  ya  uume  na  ivyo  kuufanya  uume  usimame

iii. Tatu, punyeto  hupelekea  kuvuja  kwa  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kusababisha  damu  kufyonzwa  kwa  haraka  sana  kila  iingiapo ndani  ya  misuli ya  uume  na  matokeo  yake  ni  uume   kusimama  kwa  muda  mfupi  sana  wakati wa  tendo  la  ndoa.

iv. Punyeto  huathiri  mtiririko  wa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume, kwa  sababu  hudhoofisha  misuli &  mishipa  ya  uume  pamoja  na mishipa ya  ateri  ambayo  ndio  hutumika  katika  kusafirisha  damu kwenda  kwenye  uume

DALILI  ZA  MTU  ALIYE  ATHIRIWA  NA  PUNYETO
Dalili  kuu  za  mtu  aliye athiriwa  na  punyeto  ni  kama  ifuatavyo:

i.           Uume  kusinyaa  na  kuwa  kama  wa  mtoto
ii.         Uume kurudi  ndani
iii.       Uume  kusimama  ukiwa  legelege
iv.       Kufika  kileleni  haraka  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

TIBA   YA   NGUVU  ZA  KIUME  KWA MTU  ALIYE  ATHIRIKA  NA  PUNYETO.
Dawa   asilia  ya  nguvu  za  kiume iitwayo JIKO  ni tiba  bora  na  ya  uhakika  kabisa  kwa  mtu  aliye  athiriwa   na  punyeto.  Dawa  hii, pamoja  na  mambo  mengine  mengi, husaidia  kufanya  mambio  yafuatayo  katika  mwili  wa  mwanaume  aliye  athiriwa  na  punyeto :

i.Kuimarisha  mishipa  & misuli  ya  uume  ulio  legea na  hivyo  kuurejeshea  uwezo wake wa  asili

ii. Hutibu   tatizo  la  uume  kurudi  ndani

iii.Humaliza  tatizo  la  kusimama  kwa  uume  ukiwa  legelege

iv.Hutibu  na  kuponya  kabisa  tatizo  la  kufika  kieleleni  haraka.

BEI  YA  DAWA  :  Dawa  hii  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tsh. 80,000/=)

MAHALI  INAPOPATIKANA :  Dawa  hii  inapatikana  katika  duka  la  dawa  asilia  liitwalo  NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC  lililopo  jijini  DAR  ES  SALAAM  katika  eneo  la  UBUNGO   nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA   karibu  na SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

Kwa  wateja  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu. Watafikishiwa  dawa  mahali  popote  walipo  jijini  DAR  ES  SALAAM.

Kwa   wateja  waliopo  mikoani  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  MABASI

Kwa  wateja  waliopo   Zanzibar  wata fikishiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa boti.

Na  kwa  wateja  waliopo  UGHAIBUNI  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  ama  DHL.

MAWASILIANO :  WASILIANA  NASI   KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84.

Kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee kila  siku  kwenye  blogu  yetu :

Rais Magufuli afuturisha wananchi wa Pwani, atoa ujumbe kwa waislamu

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli jana  tarehe 21 Juni, 2017 amefuturisha wananchi wa mkoa wa Pwani na kuwataka waumini wa dini ya Kiislam na madhehebu mengine kuendeleza umoja na mshikano uliopo kwa muda mrefu kwa lengo la kudumisha amani nchini.

Mhe. Rais Magufuli alisema anaungana na waumini wa dini ya Kiislamu nchini katika kumi la mwisho la Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kuwaombea kumaliza kwa amani ibada ya Funga ya Ramadhani ikiwa ni kutekeleza nguzo ya nne kati ya nguzo tano ya dini ya kiislam.
 
Alisema kwa mujibu wa dini ya Kiislamu ibada ya Funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni muhimu kwani ni njia sahihi ya kujirekebisha kuachana na matendo maovu yanayoweza kusababisha kutenda dhambi.

‘’Ramadhani ni ibada muhimu kwa Waislaam kwani ndio mwezi ambao huchoma dhambi zao na kutenda matendo mema hivyo ni muhimu kwa ndugu Waislaam kuendeleza yote mema ambayo wanafanya katika kipindi hiki cha mwezi wa Ramadhani ikiwa ni pamoja na kuliombea Taifa.’’

Kwa upande wake Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Aboubakar Zubeir Ali alitaka wananchi wa Tanzania bila kujali itikadi za kidini kuendelea kuliombea Taifa ili lizidi kuendelea kuwa na amani.

Nae Kaimu Sheikh wa mkoa wa Pwani Sheikh Hamisi Mtupa alimshukuru Rais Magufuli kwa ukarimu wake wa kuwaaandalia futari wananchi wa mkoa wa Pwani ikiwa ni pamoja na makundi maalum ya watoto yatima wa kituo cha Bulome Foundation cha mjini Kibaha mkoani Pwani.
 
Jaffar Haniu
Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Kibaha, Pwani

Rais Magufuli: Hata Kama Ikulu hawajalipa bili ya maji, katani

$
0
0
Rais John Magufuli amesema taasisi yoyote ambayo haitalipa bili za maji, hata kama ni Ikulu ikatiwe maji.

Aliyasema hayo  jana Jumatano katika ziara yake ya siku tatu mkoani Pwani na kusisitiza kuwa miradi ya maji na ulipaji wa bili za maji ni muhimu.

“Mtu asipolipa bili, iwe taasisi yoyote hata kama ni Ikulu, narudia kusema kata,” alisema na kuongeza:

“Kwa sababu tumezoa kudekezana, kwenye mawizara haya nafahamu, fedha za OC na hata fedha za bajeti wanazo, lakini suala la bili ya maji linakuwa si la lazima.”

Alisema unamkuta kiongozi ana faili la kwenda Ulaya, anaenda kwanza Ulaya, ana semina analipa kwanza semina maji anaona si lazima.

 “Lakini pale hakuna maji, na wale hawajalipia bili, kwa hiyo fundisho la hapa ni kukata,” alisema.

Alisema hata kama ni hospitali wakatiwe kama hawajalipa kwa sababu wana bajeti.

Alisema kama Mkurugenzi wa wilaya yupo na maji yamekatwa, basi hafai kuwa mkurugenzi.

“ Tukifukuza wakurugenzi kama 10, 20 hivi wale wengine watawahi kwenda kulipa bili za maji,” alisema.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images