Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri Mkuu Majaliwa awavalisha vyeo Maafisa wa Magereza, ahimiza haki na usawa

$
0
0
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka maaafisa na makamanda wa Jeshi la Magereza nchini waendelee kusimamia haki na usawa wanapotimiza wajibu wao.

Majaliwa amesema hayo wakati akizungumza na maafisa na makamanda wa jeshi hilo katika hafla ya kuwavisha vyeo maafisa 29 iliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCTA), Ukonga, jijini Dar es Salaam.

Akifanya kazi hiyo kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, amewavisha vyeo maafisa watano kuwa Naibu Kamishna wa Magereza (DCP) na maafisa 24 kuwa Kamishna Waandamizi Wasaidizi wa Magereza (SACP). Maaafisa hao walipandishwa vyeo Mei 25, mwaka huu.

“Ninyi ni viongozi wakuu katika mikoa mnayotoka. Huko kuna makamanda walio chini yenu na jamii inayowazunguka. Endeleeni kuwahudumiana na kulitumikia Taifa hili kwa weledi mkubwa. Endeleeni kusimamia usawa na haki katika kazi zenu za kila siku,” amesema.

Majaliwa amesema hana shaka na utendaji kazi wa jeshi la Magereza kwani watumishi wake ni waadilifu. “Jeshi hili linayo nidhamu ya hali ya juu, mbali ya jukumu lenu la ulinzi, mnafanya kazi nidhamu, weledi na uadilifu mkubwa,” amesema.

Amesema Serikali inatambua changamoto zinazowakabili katika utendaji wao wa kila siku na kwamba inajitahidi kuzishughulikia hasa baada ya kukamilisha zoezi la kuondoa watumishi hewa.

Spika Jobu Ndugai Atoa ONYO Kwa Wabunge wa Upinzani Wanaotaka Marais Wastaafu Washitakiwe

$
0
0
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesema Ndugai.

Jeshi la Polisi latoa tahadhali kwa wananchi, latoa onyo kali

$
0
0
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa ndani ya Jeshi la hilo hakuna ajira zilizotangazwa, na kuwataka wananchi wote kuwa makini na mtandao wa matapeli.

Tahadhari hiyo imetolewa na msemaji wa jeshi hilo, Advera John Bulimba – ACP kufuati kuibuka kwa kikundi kidogo cha matapeli wanaozunguka katika maeneo mbalimbali hususani vijijini na kuwalaghai vijana kwamba watawapatia ajira ndani ya Jeshi la Polisi jambo ambalo siyo la kweli.

ACP Bulimba amesema kuwa kikundi hicho cha matapeli kilichoibuka hivi karibuni kinazunguka maeneo mbali mbali na kuwadanganya vijana kuwa wao ni waajiriwa wa Jeshi la Polisi na kujipatia fedha kwa udanganyifu huo.

Amesema mfumo wa ajira ndani ya Jeshi la Polisi ni wa wazi na una utaratibu maalum ambao hutangazwa kwa wananchi kwa mujibu wa taratibu za Jeshi hilo.

Kufuatia hali hiyo, Jeshi la Polisi limetoa onyo kali kwa wote wenye tabia hiyo ya utapeli kuacha mara moja na endapo mtu yeyote atabainika hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Aidha, Jeshi hilo limetoa rai kwa wananchi wote wenye taarifa za matapeli hao kuzifikisha haraka katika kituo chochote cha Polisi kilicho karibu ili sheria iweze kuchukua mkondo wake.

Serikali yatoa kibali cha kuajiri watumishi 15000 kuziba nafasi za watumishi waliobainika kuwa na vyeti feki.

$
0
0
Waziri wa nchi,Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora Mh.Angela Kairuki amesema tayari serikali imeshatoa kibali cha ajira 15000 kwa ajili ya kujaza nafasi zilizoachwa wazi na watumishi waliobainika kuwa na vyeti feki katika zoezi lililofanyika nchi nzima la kuwabaini na muda si mrefu nafasi hizo zitajazwa.

Mh.Kairuki amesema hayo Bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la nyongeza la mbunge wa viti maalum Iringa mh.Rita Kabati aliyetaka kufahamu juu ya ujazwaji wa nafasi hizo ambapo amekiri upungufu huo umesababisha usumbufu mkubwa katika taasisi mbalimbali za umma hivyo kuwahakikishia wananchi  kuwa tatizo hilo litakwisha hivi karibuni.

Katika hatua nyingine akijibu swali la Mbunge wa Mtwara mjini Mh.Maftaha Abdallah Nachuma aliyetaka uboreshwaji wa bandari ya Mtwara kwa kudai kuwa imesahaulika licha ya kuwa na kina kirefu katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati,Naibu waziri wa ujenzi,uchukuzi na Mawasiliano Mh.Edwin Ngonyani amesema serikali inampango wa kuboresha na kuendeleza bandari zote nchini ikiwemo bandari ya Mtwara ili kuipunguzia mzigo bandari ya Dar es Salaam.

Mh.Ngonyani amesema kuwa tayari serikali imeshatenga fedha kwaajili ya ujenzi wa gati katika bandari ya Mtwara yenye urefu wa meta 350 itakayogharimu zaidi ya shilingi bilioni137 inayotarajiwa kukamilika ndani ya miezi 21.

Profesa Kitila Mkumbo Awapa Makavu Wapinzani Wanaopinga Ripoti za Rais Magufuli

$
0
0
Katibu Mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo amewakejeli watu wanaopinga ripoti mbili za mchanga zilizowasilishwa na tume mbili tofauti za wasomi kwa Rais John Magufuli.

Profesa Kitila ambaye alikuwa mshauri wa chama cha ACT-Wazalendo, ametumia mtandao wake wa Twitter kufikisha ujumbe wake kwa watu aliodai wanapinga kila kitu.

“Kuna ugonjwa unaitwa opposition defiant disorder (ODD). Dalili kubwa ni kupinga kwa lengo la kupinga hadi unajipanga mwenyewe. Tuuepuke!,” aliandika Profesa Mkumbo.
Mkumbo aliandika wazo hilo baada ya kuwepo baadhi ya watu walioonekana kupinga ripoti na maamuzi ya kamati iliyoongozwa na Profesa, Nehemiah Osoro.

Hata hivyo, watanzania wengi ikiwa ni pamoja na wasomi wameonesha kuunga mkono ripoti hiyo na mapendekezo yote yaliwasilishwa, ambayo Rais John Magufuli aliahidi kuyafanyia kazi yote.

Rais Magufuli Akutana na Wakuu Wote wa Mikoa Nchini na Kutoa Maagizi Mazito

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewaagiza Wakuu wa Mikoa kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa viwanda katika maeneo yao ili kuwawezesha wananchi kuongeza thamani ya mazao yao na kuzalisha ajira.

Mhe. Rais Magufuli ametoa agizo hilo leo tarehe 13 Juni, 2017 Ikulu Jijini Dar es Salaam alipokutana na kufanya mazungumzo na Waakuu wa Mikoa ya Tanzania Bara, kikao ambacho kimehudhuriwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Mcheche Masaju, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi na baadhi ya Mawaziri.

Mhe. Rais Magufuli amesema kila Mkuu wa Mkoa anapaswa kufanyia kazi fursa za uanzishaji wa viwanda katika eneo lake na kuhakikisha anashawishi wawekezaji kuzitumia fursa hizo kama inavyofanyika katika Mkoa wa Pwani ambako tangu Awamu ya Tano iingie madarakani viwanda vikubwa 83 vimejengwa na vingine kukamilika huku viwanda vidogo zaidi ya 120 pia vikiwa vimejengwa.

Pamoja na hilo Mhe. Rais Magufuli amewaagiza Wakuu wa Mikoa kuongeza juhudi za utatuzi wa migogoro ya ardhi ikiwa ni pamoja na kuharakisha mchakato wa kuwanyang’anya hati za umiliki wa mashamba makubwa ambayo yanashikiliwa na watu pasipo kuyaendeleza.

“Mashamba yote yaliyotelekezwa, fuateni taratibu za sheria, yanyang’anyeni wapewe Watanzania ambao wapo tayari kuyaendeleza, lakini fanyeni jambo hili kwa kufuata utaratibu” amesema Mhe. Rais Magufuli.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli amewatahadharisha Wakuu wa Mikoa hao dhidi ya watu wanaofanya njama za kujimilikisha maeneo makubwa ya ardhi na kusababisha wakulima na wafugaji kukosa maeneo ya kilimo na malisho na ametaka wote watakaobainika kufanya njama hizo wafichuliwe na kunyang’anywa maeneo hayo.

Mhe. Dkt. Magufuli pia amewataka Wakuu wa Mikoa kushughulikia migogoro ya wakulima na wafugaji na kuwahimiza wananchi kufanya kazi kwa juhudi na maarifa na kuzalisha chakula cha kutosha katika maeneo yao.

Katika kikao hicho Wakuu wa Mikoa wamempongeza Mhe. Rais Magufuli kwa juhudi zake za kuwapigania Watanzania hasa wanyonge na wamemuhakikishia kuwa wataendelea kumuunga mkono katika juhudi hizo ikiwemo kudhibiti wizi wa rasilimali za Taifa kama vile madini na maeneo ya hifadhi za wanyamapori.

Jaffar Haniu
Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam

13 Juni, 2017

Spika Job Ndugai Atoa ONYO Kwa Halima Mdee na Ester Bulaya......Atishia Kuwapa Adhabu Kali Zaidi

$
0
0
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai leo bungeni amewapa onyo wabunge Halima Mdee pamoja na Easter Bulaya akisema kuwa wanapaswa kutambua kuwa Bunge bado linauwezo wa kuwaita na kuwahoji na kuwapa adhabu kali zaidi ya hiyo walionayo sasa.

Job Ndugai amesema kuwa ameamua kutoa onyo hilo kufuatia wabunge hao kufanya malumbano na bunge huku wengine wakitumia maneno ambayo si mazuri hivyo amewashauri kuwa wamewavumilia kwa mengi lakini kama bado huko waliko wanaendelea na tabia hizo wanaweza kuwaita na kuwapa adhabu kali zaidi ya hiyo waliyonayo sasa.

"Wako wenzetu ambao bunge hili liliwachukulia hatua za kinidhamu mbalimbali baadhi yao wamekuwa wakijaribu kufanya malumbano na bunge na baadhi ya kauli zao zimekuwa ni kauli ambazo si nzuri kihivyo, ningependa kuendelea kuwashauri kwamba tumewavulimilia kwa mambo mengi lakini kama bado huko waliko wanafikiri wanaweza kuendelea na tabia hizo huko waliko wajue kabisa bado tunaweza kuwaita, tukawajadili kwenye bunge hili na kuwachukulia hatua kali zaidi ya hii waliyonayo, kama mtu anataka kwenda mahakamani unaalika watu kama mkutano wa hadhara si unaenda tu" alisisitiza Job Ndugaina kuongeza;

"Mimi nawapa onyo tu la jumla kama ni viongozi ni vizuri kuongea lakini ongea vitu ambavyo unataka kuongea lakini ukitaka kupambana na watu wengine nao watataka kupambana na wewe, kwa hiyo mtapimana" alisema Job Ndugai

Spika wa Bunge, Job Ndugai ametoa kauli hii siku moja baada ya kusifiwa na Rais John Pombe Magufuli kuwa anakwenda vizuri kuwadhibiti watu ambao wanaropoka bungeni na kumwambia kuwa aendelee na moto huo huo ili watu hao wakiropoka nje ya bunge adili nao. 

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge iliwaadhibu wabunge Halima Mdee na Ester Bulaya kutohudhuria vikao vyote vya Bunge linaloendelea hadi Bunge la Bajeti 2018/2019 baada ya kuwakuta na hatia ya kudharau mamlaka ya Spika wa Bunge.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya June 14


Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume

$
0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  

Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto  kwa  muda  mrefu.

Katika  makala  yetu  ya  leo, tutaangalia  namna   suala  la  upigaji  punyeto linavyo  athiri  nguvu  za  kiume.

Kabla  hatujaangalia  namna  suala la upigaji  punyeto linavyo  maliza  nguvu  za  kiume, ni  vyema  tukafahamu  kwanza  kuhusu  SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Kufahamu   kuhusu   SAYANSI  YA  MFUMO  WA  NGUVU  ZA  KIUME  tafadhali  tembelea :

Ukisoma  vizuri  kuhusu  mfumo  wa  nguvu  za  kiume, utagundua  kuwa   Suala  la  nguvu  za  kiume  ni  suala  la  kimfumo.  Ili  mwanaume  awe na nguvu  za  kiume, aendelee  kuwa  na  nguvu  za  kiume na  azilinde  nguvu  zake za  kiume, ni  lazima  ogani  zote zinazo  husika  na  mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ziwe  na  afya  njema  na  ziwe  na  ushirikiano   thabiti  na  wenye  afya.

Vile  vile , utagundua  kuwa , mambo  makuu  muhimu  katika   mfumo  wa  nguvu  za  kiume  ni  kama  ifuatavyo:

i.Mishipa  imara  ya  ubongo  na  yenye  afya  njema

ii. Mishipa  imara  ya  uti  wa  mgongo  (  spinal  cords )

iii.Mishipa  imara  itumikayo  kusafirisha  damu  mwilini  (  Blood Vessels )

iv. Mfumo  imara  wa  usafirishaji  damu  mwilini

v. Mishipa  ya  uume  iliyo  imara  na  yenye  afya  njema

vi. Uhusiano  imara  na  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  ubongo, mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  misuli & mishipa  ya  kwenye  uume.

Hivyo  basi, ili  mwanaume  aweze  kuwa  na  nguvu  imara  za  kiume, na  aendelee  kuwa  na  nguvu  hizo ni  lazima  mambo  yote  muhimu  katika  mfumo  wa  nguvu za  kiume  yawe  imara  pasi na  hitilafu  yoyote.

Hitilafu  yoyote  katika  mambo  hayo, itasababisha  ukosefu na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume  kwa  mwanaume  huyo.  Pale inapotokea    hitilafu  ama  mapungufu  katika  ogani  zaidi  ya  moja  kati  ya  zilizo  tajwa hapo  juu, basi  tatizo  kwa  muhusika  huwa  kubwa  mara  dufu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU &  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume   anapopatwa na  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, ubongo  hutoa  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo  husafirisha  taarifa  hadi  kwenye  mishipa &  misuli  ya  uume.

Mishipa  ya  uume inapopokea  taarifa  hiyo, hutanuka. Na  mishipa  ya  uume  inapotanuka, hufanya  mambo  mawili  muhimu  sana :

i.Husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  hivyo  kuruhusu  damu  kuingia kwa  kasi  sana   ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  imara  bara bara.

ii. Huibinya na  kuiziba  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuzuia  kunyonya  ama  kufyonza  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa ya  uume.  (  KAZI  KUBWA  YA  MISHIPA  YA  VENA  ILIYO  KARIBU NA  MISHIPA  YA  UUME  NI KUHAKIKISHA  HAKUNA  DAMU NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME. HIVYO  BASI  DAMU  INAPOINGIA  NDANI YA  MISHIPA  YA  UUME, MISHIPA  YA  VENA  HU “SENSE” JAMBO  HILO  KWA  HARAKA  NA HIVYO  KUIFYONZA  DAMU  HIYO  KUTOKA KWENYE MISHIPA  YA UUME  YA  KUITOA  NJE YA MISHIPA  YA  UUME.  NA  DAMU INAPOKOSEKANA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME, HUUFANYA  UUME  KUSINYAA  NA  KULEGEA )

Mtu  anayepiga  punyeto  husababisha  mambo  yafuatayo  katika  mwili  wake :

1. Huuwa  nguvu  ya  mishipa  & misuli ya  uume ambayo  ndio  inayo husika  na  kusimama  kwa  uume

2. Mishipa  ya   uume  inapo  sinyaa  na  kukosa  nguvu  yake  ya  asili, husababisha  mambo  yafuatayo :

i.Huondoa  uwezo  wa  mishipa  &  misuli  ya  uume  kutanuka, na  hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  waathirika  wa  punyeto  kutumia  nguvu  nyingi  sana  katika  kuufanya  uume  usimame.

ii.Huondoa  uwezo  wa  mishipa &  misuli  ya  uume  kuibana  na  kuiziba  mishipa  ya  vena, na  hii ndio  sababu  inayo  fanya  waathirika  wa  punyeto  kufika  kileleni  haraka  sana, kwani damu  inayo  ingia  kwenye misuli  ya  uume   hufyonzwa  ndani ya  muda  mfupi sana. 
 
 Hii  hutokea  kwa  sababu  mishipa na  misuli  ya  uume inakuwa  imelegea,na  mishipa  ya  vena inakuwa  imepwaya, hivyo  msuguano wowote ule  hufanya  mishipa  ya  vena  kufunguka  na  kufyonza  damu  kutoka  kwenye mishipa  ya  uume  na hivyo  kuufanya  uume  kusinyaa  ndani ya dakika ama sekunde  chache sana.

3. Vile  vile  punyeto  hufanya  uume  kusinyaa na  kurudi ndani  na  kuufanya  uonekane kama  uume  wa  motto mdogo.

Kwa  ufupi  punyeto  husababisha  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  kwa  sababu  kuu  zifuatazo :

i.Kwanza   hudhoofisha  na  kuharibu  mishipa  ya  uume,  ambayo  ndio  hufanya  uume kusimama.

ii.Pili  hudhoofisha  utendaji  kazi  wa  mishipa  ya  ateri, ambayo  ndio  hutumika  kama  njia  ya  kusafirisha  damu kupeleka kwenye  misuli  ya  uume  na  ivyo  kuufanya  uume  usimame

iii. Tatu, punyeto  hupelekea  kuvuja  kwa  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kusababisha  damu  kufyonzwa  kwa  haraka  sana  kila  iingiapo ndani  ya  misuli ya  uume  na  matokeo  yake  ni  uume   kusimama  kwa  muda  mfupi  sana  wakati wa  tendo  la  ndoa.

iv. Punyeto  huathiri  mtiririko  wa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume, kwa  sababu  hudhoofisha  misuli &  mishipa  ya  uume  pamoja  na mishipa ya  ateri  ambayo  ndio  hutumika  katika  kusafirisha  damu kwenda  kwenye  uume

DALILI  ZA  MTU  ALIYE  ATHIRIWA  NA  PUNYETO
Dalili  kuu  za  mtu  aliye athiriwa  na  punyeto  ni  kama  ifuatavyo:

i.           Uume  kusinyaa  na  kuwa  kama  wa  mtoto
ii.         Uume kurudi  ndani
iii.       Uume  kusimama  ukiwa  legelege
iv.       Kufika  kileleni  haraka  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

TIBA   YA   NGUVU  ZA  KIUME  KWA MTU  ALIYE  ATHIRIKA  NA  PUNYETO.
Dawa   asilia  ya  nguvu  za  kiume iitwayo JIKO  ni tiba  bora  na  ya  uhakika  kabisa  kwa  mtu  aliye  athiriwa   na  punyeto.  Dawa  hii, pamoja  na  mambo  mengine  mengi, husaidia  kufanya  mambio  yafuatayo  katika  mwili  wa  mwanaume  aliye  athiriwa  na  punyeto :

i.Kuimarisha  mishipa  & misuli  ya  uume  ulio  legea na  hivyo  kuurejeshea  uwezo wake wa  asili

ii. Hutibu   tatizo  la  uume  kurudi  ndani

iii.Humaliza  tatizo  la  kusimama  kwa  uume  ukiwa  legelege

iv.Hutibu  na  kuponya  kabisa  tatizo  la  kufika  kieleleni  haraka.

BEI  YA  DAWA  :  Dawa  hii  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tsh. 80,000/=)

MAHALI  INAPOPATIKANA :  Dawa  hii  inapatikana  katika  duka  la  dawa  asilia  liitwalo  NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC  lililopo  jijini  DAR  ES  SALAAM  katika  eneo  la  UBUNGO   nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA   karibu  na SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

Kwa  wateja  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu. Watafikishiwa  dawa  mahali  popote  walipo  jijini  DAR  ES  SALAAM.

Kwa   wateja  waliopo  mikoani  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  MABASI

Kwa  wateja  waliopo   Zanzibar  wata fikishiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa boti.

Na  kwa  wateja  waliopo  UGHAIBUNI  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  ama  DHL.

MAWASILIANO :  WASILIANA  NASI   KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84.

Kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee kila  siku  kwenye  blogu  yetu :

Lowassa Amsifia Rais Magufuli Kuhusu Hatua Anazochukua Dhidi ya Madini Yetu

$
0
0
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa amempongeza Rais Magufuli kwa hatua anazozichukua kuhusu madini ya nchi yetu. 

Lowassa  aliyayasema hayo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la mchanga wa madini (makinikia) ambalo limeonyesha kuwa Tanzania impoteza zaidi ya trilioni 100 tangu mwaka 1998 hadi Machi mwaka 2017.

“Nimpongeze sana Mhe Rais John Pombe Magufuli kwa uamuzi na hatua ambazo amechukua kuhusu jambo hili, na hasa pale anapowashirikisha wananchi, ni jambo muhimu sana." Alisema Lowassa

Lowassa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA alisema anampongeza Rais Magufuli kwa kutekeleza maamuzi ambayo ni ya UKAWA kwani kipindi anazunguka kuomba kura kwa wananchi alipopita maeneo yenye madini aliyazungumza haya yanayotekelezwa leo.

“Nampongeza kwa kutekeleza yale maamuzi ambayo ni ya UKAWA. Nilipokuwa kwenye kampeni ya kuomba kura, hata pale Geita, nilieleza jambo hilo, nikasema hivyo hivyo alivyosema yeye kwamba nikiingia madarakani nitaunda tume ya kuchunguza jambo hili ili mtanzania awe ndiye anapata sehemu kubwa ya faida kuliko mgeni.”

Aidha, Lowassa amesema kuwa, ni kweli mikataba ya madini ina matatizo na hata yeye alipoteuliwa kuwa Waziri Mkuu aliwaita wawekezaji hao wakakaa na kuzungumza, lakini jambo gumu lilikuwa ni kwamba, mikataba ukishaiweka saini inakuwa migumu sana kubadilisha.

Lowassa alieleza kwamba baada ya kuongea nao kwa muda walikubali na kuongeza kidogo mirahaba lakini haikutosha.

“Matumaini yangu ‘figure’ (namba) hizo ni za kweli, kama ni za kweli, tumeliwa kweli kweli,” alisema Lowassa alipokuwa akizungumzia mahesabu yaliyowasilishwa katika ripoti za uchunguzi kuhusu kiasi cha fedha ambazo Tanzania imepoteza.

Msaidizi Wa Mbowe ( Profesa Abdallah Safari ) Amfananisha Rais Magufuli Na Mashujaa Wa Afrika

$
0
0
Kada wa chama cha Demokrasia  na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, Profesa Abdallah Safari amemfagilia Rais Magufuli kwa kupigania rasimali za taifa ikiwemo madini yaliyokuwa yakiwanufaisha Wawekezaji.

Akizungumzia hatua ya Rais Magufuli kuitisha tume mbili za uchunguzi wa Mchanga wa Madini na kubaini madudu kwenye uwekezaji katika sekta ya Madini ikiwemo baadhi ya kampuni kutosajiliwa ikiwemo kampuni ya ACACIA, Prof Safari amesema kutokana na juhudi binafsi anazofanya kutetea rasilimali za nchi anamfananisha Magufuli na Rais wa Kwanza wa Ghana, Kwame Nkrumah na Waziri Mkuu wa Kwanza wa Congo (DRC), Patrice Lumumba

Licha ya Prof.Safari mwingine aliyempongeza Rais Magufuli ni Mbunge wa Chambani, Yusuf Salim Hussein (CUF) ambaye  amesema anamuunga mkono Rais Magufuli, kwani amejitoa mhanga kwa maslahi ya taifa.

Aliongeza kuwa vita hiyo ni ngumu na wanapaswa kumshukuru Rais bila ya kujali kama ni wa CCM, Chadema au CUF.

“Ninampongeza Rais John Magufuli kwa kazi kubwa anayoifanya kutetea rasilimali za nchi. Anafanya kazi kama walivyokuwa wanafanya baadhi ya viongozi wazalendo barani Afrika ya kupigania haki za wananchi wao kufaidika na rasilimali za nchi,” alisema Profesa.

Alitoa mfano wa Patrice Lumumba, Kwame Nkrumah na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kama viongozi waliojitolea kwa ajili ya wananchi wao. 

Alisema maamuzi anayoyafanya Rais yanasimama katika Kifungu cha Tisa (Kifungu Kidogo C) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na marekebisho ya mwaka 2000, ambacho kinasisitiza kwamba utajiri wa Taifa uendelezwe, uhifadhiwe na kutumiwa kwa manufaa ya wananchi wote kwa jumla na pia kuzuia mtu kumnyonya mtu mwingine.

Profesa Safari aliwaomba Watanzania na wataalamu wa sheria za mikataba, kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais katika kutetea maslahi ya Taifa. 

“Nchi hii ina wanasheria wengi wazuri katika masuala ya madini na mikataba. Ninashauri watafutwe wataalamu hawa watakaokuwa sio wala rushwa ili wamsaidie Rais katika vita hii ya rasilimali,” aliongeza Profesa Safari.

Juzi Rais Magufuli alipokea ripoti ya Kamati ya Pili ya Madini ya kuangalia masuala ya kisheria na kiuchumi, ambapo ilionesha Serikali imekuwa ikipoteza mapato ya Sh trilioni 108.46 kutokana na udanganyifu, unaofanywa katika usafirishaji wa mchanga wa dhahabu ‘makinikia’ nje ya nchi katika kipindi cha kuanzia mwaka 1998 hadi mwezi Machi 2017.

Wakati huo huo, Bunge linatarajiwa kutoa Azimio la kumuunga mkono Rais Magufuli kutokana na kazi nzuri, zilizofanywa na kamati mbili alizoziteua kuchunguza mchanga wa dhahabu (makinikia) zilizobaini wizi mkubwa, anaripoti Mgaya Kingoba kutoka Dodoma.

Wabunge wengi wakiwamo wa Kambi ya Upinzani, walisema jana kuwa wameikubali kazi nzuri inayofanywa na Rais Magufuli katika suala la madini, ingawa wao walinyoosha kidole kwa Serikali ya CCM kuwa ilishindwa kuzuia wizi huo.

Wabunge wote waliochangia jana walitoa pongezi kwa Rais Magufuli kutokana na kazi nzuri ya kamati zake mbili; ya kwanza ya wataalamu wa jiolojia na kemia na ya pili ya wachumi na wanasheria, ambazo zimeibua wizi mkubwa uliofanywa na kampuni za uchimbaji madini.

Mbowe Apata Pigo Tena.... Serikali 'Yaharibu' Mitambo Shambani Kwake

$
0
0
Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amezidi kukumbwa na matukio mbalimbali baada ya jana Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kung’oa mitambo ya umwagiliaji iliyopo katika shamba lake na kumtoza faini kwa kuendesha kilimo eneo lisiloruhusiwa.

NEMC imemtoza faini ya Tsh 18 milioni Freeman Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa kosa la kuendesha shughuli za kilimo ndani ya eneo la mita 60 kutoka kilipo chanzo cha maji.

Akizungumzi tukio hilo jana, Mbowe ambaye yupo Dodoma ambapo vikao vya bunge la bajeti vinaendelea alisema kuwa, zoezi zima limeendeshwa kisiasa na hii kuthibitisha kuwa nchi yetu inaongozwa kwa chuki na husda.

Mbowe alisema kuwa walipopewa taarifa mara ya kwanza, walikata rufaa kwa waziri husika kwa sababu sheria inaruhusu hivyo hadi sasa walikuwa wakisubiria majibu ya rufaa hiyo. Baada ya tukio hilo, Mbowe alieleza kuwa atawasiliana na wanasheria wake ili kujua hatua zitakazofuata.

Zoezi hilo la kung’oa miundombinu kwenye shamba hilo la Kilimanjaro Veggies lilifanyika jana chini ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa na maofisa wa NEMC.

Shamba hilo la Mbowe liko katika Kijiji cha Nshara, Machame ambapo Januari 20 mwaka huu, DC Hai alifika shambani hapo na kusitisha shughuli zote za kilimo kutokana na eneo hilo kuwa ndani ya chanzo cha maji.

Kwa siku za hivi karibuni, Mbowe amekumbwa na matatizo kadhaa ambapo jengo ilimokuwa ofisi yake ya Bilicanas na Free Media lilivunjwa na kuamriwa kutoka, kisha siku chache baada alituhumiwa kujihusisha na dawa za kulevya, tuhuma ambazo alikanusha.

John Heche ( Mbunge) Kuwahamasisha Wananchi Kuzipiga Mawe Ndege za ACACIA

$
0
0
Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche amefunguka na kusema kwa kuwa Rais Magufuli kupitia ripoti ya pili ya mchanga amesema kampuni ya ACACIA ni feki na haipo basi yeye anawaambia wananchi wa jimbo lake wajiandae kuingia mgodini kuchukua kila kitu.

Heche amesema hayo bungeni jana na kudai kuwa atasimamia zoezi hilo na kuhakikisha kuwa ndege za kampuni hiyo zikitua mgodini kwa ajili ya kubeba madini basi zinapigwa mawe kwa kuwa wananchi wa jimbo lake la Tarime ambapo hiyo migodi ipo wameumizwa sana kusikia hiyo kampuni inayochukua mali zao ni feki na hewa.

"Kampuni ile ya ACACIA Rais amesema feki na hakuna 'formula' ya kukamata mwizi mlisema wenyewe, formula ya kukamata mwizi ni kupambana naye sisi hatutaruhusu madini yatoke pale ndege ikitua itapigwa mawe, magari yao tutayakamata kwanza tunawadai fidia nyingi kweli kweli pale Tarime. 

"Mhe. Spika sisi tulitegemea Mhe. Rais aseme madini yasiondoke nchini mpaka mambo hayo yote yapitiwe, tutazuia mchanga madini yanaondoka. 

"Rais amesema ACACIA ni mwizi wewe unataka utaratibu wa kukamata mwizi Tarime, sisi watu wetu wameumia sana na maji ya sumu, ng'ombe wamekufa, watu wamepigwa risasi kwa mujibu wa ripoti ya Waziri wa Nishati na Madini watu wa Tarime zaidi ya 64 wameuawa pale mgodini" alisema Heche

Mbali na hilo John Heche alisema kuwa kama serikali itamkamata kwa maamuzi ambayo atafanya basi Watanzania watajua kuwa serikali haipo tayari kupigana vita hii ya kupigania rasilimali za nchi hii, hivyo amewataka watu wa jimbo la Tarime wajiandae na kuanza maandalizi ya kupigania rasiliamali zao ili waone kama serikali itapeleka jeshi la polisi kulinda mali za wezi hao. 

==>Msikilize Hapo chini akiongea

OFA: Jipatie Riwaya Kali ya Kusisimua Ya President Wife

$
0
0
USIPITWE NA OFA HII NDUGU MSOMAJI
WATEJA 20 WA MWANZO WATAPA MFULULIZO WA MAISHA YA EDDY GODWIN BUREEEE KABISA KUANZIA AKIWA MWANAFUNZI, WAZIRI HADI KUWA RAISI. WAHI SASA UWE MIONGONI MWA WATEJA HAO.

Nunua kitabu cha PRESIDENT WIFE kwa sh 10000, UWE MIONGONI MWA WATEJA 20 WA MWANZO WATAKAPO PATA OFA KABAMBE. OFA hii ni wa watumiaji wa mtandao wa Whatsapp 0657072588 na EMAIL eddazariaM@gmail.com NDANI NA NJE YA TANZANIA
Kumbuka historia ya EDDY GOWIN ni ndefu na ina sisimua na utajifunza mambo mengi sana kupitia yeye.

PRESIDENT WIFE
"Baada ya utawala wa mzee GODWIN na MANKA kutolewa madarakani na EDDY DODWIN, adui mkubwa wa Eddy, JOHN anachukua madaraka ya Mzee Godwin na kuapa ni lazima ataamuangamiza Eddy aliye kuwa rafiki yake wa kipindi kirefu toka wakiwa sekondari. Rahab anaongoza nchi huku kijana machachari Adrus akiwa mlinzi makini kuhakikisha maisha ya mke wa raisi yanakuwa salama, ila K2 na kaka yake wanajawa na uchu wa madaraka na kuhakikisha kwamba wanauangusha uongozi wa Raahab, ila Eddy anasimama kama ngao na kupigania uongozi wa Rahab je atafanikiwa"
 
Ungana nami muandishi wako Eddazaria G.Msulwa katika hadithi hii ya kusisimua

Wasiliana nami kwa simu 0657072588 au 0768516188
KARIBUNI SANA

Kutana na Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania

$
0
0
Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
 
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
CHIEF SULTAN ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
Je unasumbulia na Mapenzi..?


(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na CHIEF SULTAN Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.


Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na CHIEF SULTAN Kwa Majibu ya Maswali yako..
Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)


KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA..
Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.

Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.)Humaliza Kesi za Muda mrefu ndani ya siku 14 tu.


Anatoa NDAGU Zisizokuwa na Masharti.. Kwa maelezo Zaidi wasilina nae kwa 

 
whatsapp +255 0658 316 976
Call +255 755 911 233

ACACIA Waeleza Utata wa Usajili wa Kampuni Yao

$
0
0
Kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia, imesema kuwa inafanya kazi nchini kwa misingi ya sheria na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CMSA) inatambua uwepo wake.

Kauli hiyo imekuja baada ya juzi taarifa ya pili ya wachumi na wanasheria iliyofanya uchunguzi wa mchanga wa madini katika makontena yalizuiwa kusafirishwa kwenda nje ya nchi, kubainisha kuwa kampuni hiyo haina kibali na inafanya kazi kinyume na sheria.

Taarifa iliyotolewa na kampuni hiyo jana pia imesema kuwa Acacia itafanya mkutano na wanahisa wake kesho kutoa ufafanuzi zaidi juu ya sakata zima.

Kampuni hiyo ilieleza kuwa migodi yake ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara inaendeshwa kisheria.

“Acacia inapenda kuthibitisha kwamba inaendelea kufanya kazi katika migodi yake mitatu ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara.

“Migodi hii yote inamilikiwa na kuendeshwa na makampuni ambayo yamesajiliwa Tanzania kisheria; Bulyanhulu Gold Mine Limited, Pangea Minerals Limited na North Mara Gold Mine Limited ambayo yana leseni maalumu kwa kila mgodi,” inasomeka sehemu ya taarifa  ya Acacia ambayo tumeiweka hapo chini.

Taarifa hiyo iliendelea kueleza: “Kampuni hizi zinamilikiwa na Acacia ambayo imesajiliwa nchini Uingereza ingawa umiliki huu si wa moja kwa moja (indirectly owned).

“Muundo huu ni wa uwazi, upo kisheria na huwekwa wazi katika taarifa zetu za hesabu za mwaka ambazo hukaguliwa kwa mujibu wa taratibu za kimataifa.”

Taarifa hiyo iliendelea kufafanua kwamba utaratibu huo wa umiliki uliwekwa wazi kwa CMA wakati Acacia ikijioredhesha katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) mwaka 2011.

“Muundo huu ni sehemu ya taarifa ambayo ilipitishwa na CMSA kwa ajili ya kujiorodhesha DSE. Tangu kujisajili DSE kilichobadilishwa ni jina la Acacia kutoka African Barrick Gold Plc kuwa Acacia Mining Plc,” inasema taarifa hiyo.

Katika hatua nyingine, Acacia wametangaza kufanya mkutano na wanahisa wake kwa mtandao kesho kutoa ufafanuzi zaidi juu ya sakata zima.

Walipofuatwa DSE kutoa maelezo ni kwa vipi kampuni ambayo haina usajili kuweza kujiorodhesha na kuuza hisa, walisema wao si wasemaji kwa kuwa mchakato wa kujiorodhesha huongozwa na kusimamiwa na CMSA na hivyo kumshauri mwandishi awasiliane nao.

Mwandishi alipowasiliana na  Ofisa Habari wa CMSA, Charles Shirima, alisema mtu aliyekuwa akishughulikia suala hilo alikuwa safarini Dodoma na kumtaka mwandishi awasiliane naye leo.

JKT Imeongeza Orodha Ya Majina Ya Vijana Waliohitimu Kidato Cha Sita Mei 2017 Kwa Ajili Ya Kuhudhuria Mafunzo Ya Mujibu Wa Sheria Mwaka 2017....Bofya Hapa Kuona Majina

$
0
0
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linapenda kuutaarifu umma kuwa limeongeza majina ya vijana waliohitimu elimu ya kidato cha sita mwezi Mei 2017 kujiunga na mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria.

Vijana hao wanatakiwa kuripoti kwenye makambi ya JKT waliyopangiwa kuanzia tarehe 13 Juni 2017 hadi tarehe 20 Juni 2017.

Mkuu wa JKT, kwa mara nyingine tena, anawakaribisha vijana wote waliochaguliwa ili waweze kujiunga na vijana wenzao katika kujifunza uzalendo, umoja wa kitaifa, stadi za kazi, stadi za maisha na utayari wa kulijenga na kulitumikia Taifa letu.

Orodha kamili ya majina ya vijana hao walioongezwa, maeneo ya makambi ya JKT waliyopangiwa na vifaa wanavyotakiwa kwenda navyo inapatikana hapo chini

Kauli ya Mbowe Baada ya Serikali Kuharibu Miundo Mbinu ya Shamba Lake

$
0
0
Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe amethibitisha shamba lake kuvamiwa na viongozi wa serikali ya Wilaya na kuharibiwa miundombinu ya shamba hilo huku akidai anajua yote hayo yanafanyika kutokana na misimamo yake ya kisiasa na kudai hawawezi kumbadili.

Freeman Mbowe amesema hayo leo kupitia mitandao yake ya kijamii huku akikiri wazi kuwa siku ya Alhamisi ya tarehe 7 mwaka huu walipokea barua kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira -NEMC ambayo ilikuwa inadai kilimo wanachofanya kilikuwa kinaharibu mazingira hivyo hawapaswi kuendelea na kilimo hicho.

"Ni kweli nimepata taarifa ya kuwa mkuu wetu wa wilaya ya Hai, akiambatana na askari wa mgambo akiambatana na watu wengine ambao sijaweza kuwafahamu wakiwemo vile vile waandishi wa habari, walikwenda kwenye mradi wetu wa Kili Vegies ni mradi wa kilimo cha kisasa cha mboga mboga (Green house), tukilima mboga na matunda, tukilima mboga kwa sababu ya 'local market' na wakaanza kuharibu miundombinu, ikiwemo kuharibu 'Green houses', kukatakata mabomba , kuharibu mimea na uharibifu mwingine mwingi" alisema Mbowe n kuongeza;

"Ni kweli tulipokea barua ya NEMC siku ya Alhamisi tarehe 7, iliandikwa tarehe 7 lakini tuliipata tarehe 8, tulijibu hiyo hoja ya NEMC, kwamba tunaamini wamekosea sheria kwa sababu kilimo chetu hakiharibu mazingira wala shutuma zilizotolewa kwamba ni kwenye chanzo cha maji sio kweli, wanadai kwamba shamba hilo limeanzishwa kwenye chanzo cha mto Weruweru jambo ambalo sio kweli, mto unaoitwa Weruweru unaanzia mlimani kabisa National Park Kilimanjaro"

Mbowe anasema kitendo hicho kilichofanywa na viongozi hao ni kitendo cha kufedhehesha na cha kukatisha tamaa hivyo anasikitishwa sana na kitendo hicho, huku akisema anatambua kuwa yote hayo anayofanyiwa ni kutokana na misimamo yake kisiasa, na misimamo ya chama anachokiongoza.

"Najua haya yanatokea kwa sababu ya misimamo yangu ya kisiasa kwa sababu wa muelekeo wangu wa kisiasa na uthabiti na uimara wa chama ninachokiongoza, sasa mimi siwezi kuwa kondoo, nimesema siku zote, haya mambo ya duniani anayeyalipa ni Mungu,hawatabadilisha mawazo yangu kwa kuharibu mali zangu, wanaweza kuharibu zote hata wakitaka roho yangu waichukue, waichukue tu lakini haitanisababisha nibadili msimamo wangu katika kuamini ninachokisimamia, ninachokipigania katika Taifa" alisisitiza Mbowe

Mbali na hilo kiongozi huyo amedai kuwa hakuna wingi wa mali zake zinaweza kuharibiwa zikamfanya yeye akapige magoti kama watu wengine wanavyofanya, anadai yeye hawezi kupiga magoti bali atasimama kwenye ukweli na haki siku zote.

Hili ni tukio la pili kwa mwaka huu kutokea kwenye shamba hilo, mwezi wa kwanza mwaka huu serikali ilimtaka kiongozi huyo kusimamisha kilimo kwenye shamba hilo ikidai kuwa lipo kwenye chanzo cha maji.

Bunge Latoa Azimio La Kuitaka Serikali Ichukue Hatua KALI Kwa Wahusika Wote wa Mikataba Mibovu ya Madini

$
0
0
Bunge limeitaka Serikali kuchukua hatua kali dhidi ya wote watakaothibitika kuhusika kuliingizia Taifa hasara na kuwakosesha Watanzania fursa ya kufaidika na rasilimali za madini.

Hoja hiyo imetolewa leo Jumatano bungeni baada ya kamati iliyoundwa jana na Spika Job Ndugai kupata maoni ya namna Bunge linavyoweza kuunga mkono juhudi binafsi zinazochukuliwa na Rais John Magufuli kukabiliana na udanganyifu unaofanywa kwenye sekta hiyo.

Kamati hiyo iliyoongozwa na Mbunge wa Newala Mjini, George Mkuchika baada ya kukamilisha taratibu zote, imetoa maazimio matatu ambayo yamepitishwa na Bunge.

"Bunge linamuunga mkono Rais John Magufuli na lipo tayari kutoa ushirikiano wa dhati kadri itakavyohitajika kuhakikisha juhudi hizi hazipotei bure na sekta ya madini inachangia maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla," amesema Mkuchika.

Kukubaliana na kinachofanywa na Rais Magufuli maazimio matatu yametolewa ambayo ni kumpongeza na kuunga mkono kwa hatua anazochukua, kumhakikishia ushirikiano wakati wowote atakapohitaji na kushauri kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa watakaobainika kushiriki kulitia taifa hasara kutokana na kuidhinisha mikataba mibovu na wizi uliofanywa.

SORRY MADAM -Sehemu ya 68 & 69 (Destination of my enemies)

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWAILIPOISHIA

ILIPOISHIA
Macho ya Eddy, Sa Yoo, Shamsa na Madam Mery wakawashuhudia Phidaya na Rahab wakiingia kwenye moja ya gari la kifahari huku nyuma yao akiwepo dokta Ranjiti.
“RANJITIIIIIIIIIIIIIIIIIII…………………….”
Eddy aliita kwa sauti kubwa na kumfanya dokta Ranjiti kutazama sehemu sauti hiyo inapo tokea, kwa haraka aliweza kuotambua sauti hiyo ni ya Eddy, ila sura ni tofauti kabisa, ila macho yake yalipo muona Madam Mery akiwa nyuma ya mtu huyo akagundua kwamba kila kitu kimeharibika. Kwa kiwewe dokta Ranjiti akajikuta akifyatua risasi kadhaa kuelekea anapotokea Eddy na kusababisha watu kuanza kukimbia kimbia ovyo kuyaokoa maisha yao.

ENDELEA
Dokta Ranjiti hakuhitaji kupoteza muda au kuangalia risasi zake zimemdhuru nani kwa haraka akaingia ndani ya gari na kumuamuru dereva wake waondoke kwa kasi katika eneo hilo. Risasi alizo zifyatua dokta Ranjiti kwa muda mchache ulio pita kwa bahati mbaya ziliwapata raia wawili ambao walikuwa wakikatiza mbele ya Eddy. Eddy akajairibu kulifukuzia gari hilo kwa miguu ila mbio zake hazikuweza kusaidia chochote mbele ya mwendo kasi wa gari hilo. Madam Mery, Sa Yoon a Shamsa wakafika sehemu alipo simama Eddy anaye hema kwa hasira.

“Sasa inakuwaje?”
Sa Yoo aliuliza huku macho yakiwa yamemtoka asijue ni nini afanye kwa wakati huo. Kila mmoja wao hakujua afanye nini ubaya ni kwamba wote ni wageni katika nchi ya Misri.
                                                                                                    ***
“Ranjiti kwa nini unatufanyia hivi lakini?”
Phidaya alizungumza huku machozi yakimwagika.
“Nyamaza wewe, unahisi  unaweza kunikimbia mimi, pumbavu sana wewe”
Muda wote huo, Rahab alikaa kimya asizungumze kitu chochote akilini mwake akipanga ni kitu gani anacho weza kukifanya kuyaokoa maisha yao. Hakuhitaji kuonyesha uwezo wake kwa wakati huo, alihitaji waweze kufika katika eneo ambalo dokta Ranjiti alikusudia kuweza kufika ili aweze kufanya atakacho weza kukifanya kwa wakati huo.

Safari yao ikachukua takribani dakika arobaini, wakafanikiwa kufika kwenye moja ya gorofa refu kwenda juu, ambalo kwa haraka haraka linaonekana ni gorofa kuu kuu(limechakaa). Wakaingia kwenye ndani, dokta Ranjiti akapolewa na kikundi cha vijana wenye silaha mikononi mwao, huku sura zao zikiwa zimefunikwa na vitambaa vyeusi huku ni sehemu ya macho yao tu ndio inayo onekana. Wakamtoa Phidaya kwenye gari pamoja na Rahab, kila mmoja akapelekwa upande wake jambo ambalo lilimchanganya sana Rahab.

Rahab akaingizwa kwenye chumba kimoja chenye kiti kimoja cha chuma pamoja na meza moja iliyo tengenezwa kwa chuma. Akakalishwa kwa nguvu kwenye kiti hicho, akafungwa miguu na mikono yake kwenye kiti hicho. Lugha ya kiarabu wanayo zungumza vijana hao wawili walio muingiza ndani ya chumba hicho, ikazidi kumtatiza Rahab, hata wazo la kujiokoa likapotea kichwani mwake.

Vija hao wakatoka ndani ya chumba hicho chenye mlango wa chumba, na kuufunga kwa nje. Vijana wawili wakabaki nje ya mlango huo kwa ajili ya kuimarisha ulinzi.
    Phidaya akaingizwa kwenye moja ya chumba, ambacho kinakitanda kikubwa. Akarushwa kitandani na vijana walio muingiza humo ndani wakatoka na kumuacha dokta Ranjiti peke yake ndani ya chumba hicho.

“Hivi wewe ni mjanja kuliko mimi, si ndio……?”
Dokta Ranjiti alizungumza huku bastola yake akiwa ameishika mkononi, Phidaya hakujibu kitu chochote zaidi ya kutetemeka mwili mzima na kumwagikwa na machozi mengi.
“Umeisumbua akili yangu, umeusumbua moyo wangu. Nashindwa kufanya vitu vya maana kwa ajili yako wewe”
Dokta Ranjiti alizungumza kwa hasira huku macho yake yakimtazama Phidaya aliye zidi kutetemeka na kulia kwa woga.
“Nimelimisi sana penzi lako”
Dokta Ranjiti alizungumza huku akianza kuvua nguo zake moja baada ya nyingine. Alipo bakiwa na nguo ya ndani akapanda kitandani na kuanza kumsogelea Phidaya taratibu huku bastola yake akiwa nayo mkononi mwake.
                                                                                                         ***
   Eddy na wezake wakajikuta wakirudi kwenye chumba anacho lala Shamsa na Sa Yoo, kila mmoja alijikuta akiwa mwingi wa mawazo, hususani Eddy, alijihisi kichwa kitampasuka kwa kuwaza. Simu ya mezani ikawatoa wote kwenye dibwi la mawazo. Kila mmoja akaitazama simu hiyo inavyo ita. Kwa haraka Sa Yoo akasimama na kwenda kuipokea simu hiyo.

“Haloo”
Sauti ya kiume ilisikika upande wa pili wa simu, Sa Yoo akajikuta akipata kigugumizi kuijibu sauti hiyo. Eddy kwa akili ya haraka akagundua kigugumizi cha Sa Yoo kina jambo fulani ambalo Sa Yoo anashindwa kulijibu. Eddy akanyanyuka kwa haraka na kumpokonya simu Sa Yoo na kuzungumza na aliye piga simu hiyo.
“Nani?”
Eddy aliuliza kwa sauti yenye msisitizo mkubwa. Mpiga simu wa upande wa pili akajikuta akikaa kimya kwa muda asijubu kitu cha aina yoyote.

“Halooo”
Eddy alizungumza tena kwa msisitizo.
“Samahani nahisi nimekosea namba”
Mtu huyo mwenye sauti ya kiume alizungumza na kukata simu. Eddy taratibu akaurudisha mkonga wa simu kwenye sehemu husika kisha akarudi kwenye sofa alilo kuwa amekaa.
  Hadi inatimu majira ya saa tatu kasoro usiku hapakuwa na jibu  lolote walilo weza kulipata juu ya kutekwa kwa Phidaya. Hata polisi ambao walianza upelelezi wao hawakuweza kumpata mualifu wala hawakujua ni wapi muhalifu huyo alipo.

“Kukiwa na chochote, mutanifahamisha, naeleka chumbani kwangu”
Eddy alizungumza kwa sauti ya unyonge huku taratibu akinyanyuka na kutoka katika chumba walipo Shamsa, Madam Mery na Sa Yoo. Kila mmoja alimtazama Eddy akitoka katika chumba hicho.
“Mutakula nini?”
Madam Mery alizungumza huku akiwaangali Shamsa na Sa Yoo.
“Mimi sijisikii njaa”
Shamsa alizungumza huku akinyanyuka na kueleka katika chumba cha Eddy na kuwaacha Sa Yoo, na madam Mery alio amua kushuka chini kabisa ya gorofa la hoteli hiyo kwenye mgahawa mkubwa kwa ajili ya wageni walio fika kwenye hoteli hiyo.

Shamsa akagonga kwenye chumba cha Eddy mara kadhaa, baada ya kuona mlango haufunguliwi, kaingia ndani na kumkuta Eddy akiwa amejilaza kwenye sofa pasipo kuwasha taa.
“Eddy”
“Mmmmmmm”
“Usiwaze sana”
Shamsa alizungumza kwa sauti ya unyonge huku taratibu akikaa sofa la pembeni ya sofa alilo lala Eddy.
“Ni lazima niwaze, sifahamu ni kitu gani kinacho endelea kwenye hii dunia”

“Kivipi?”
“Kila kitu ninacho kikusudia kukifanya kwenye maisha yangu naona kinakwenda kinyume na jinsi nilivyo taraji kiende”
Eddy alizungumza kwa sauti iliyo jaa huzuni na unyonge ndani yake huku machozi yakimlenga lenga.
“Eddy, tambua kwamba kila jambo hutokea kwa wakati wake. Kuna wakati wa kulia na kunawakati wa kucheka”
“Sawa Shamsa ila mimi naona ninalia kuliko huko kucheka. Tazama Junio mwangangu amefariki, mbaya ameuawa na dada yangu Manka. Mama amefariki, ameuliwa na baba yangu tena mzazi. Mke wangu ambaye nilikuwa ninajua amefariki leo hii namuaona yupo hai, basi nimchukue. Anatokea mtu anamteka ni nini nitafanya hapa duniani ili nitulie”

Maneno haya Eddy aliyazungumza huku machozi yakimwagika, taratibu Shamsa akanyanyuka kwenye sofa alilo kaa, akakinanyua kichwa cha Eddy na kukaa kwenye sofa hilo kisha akakaa na kukiweka kichwa cha Eddy kwenye mapaja yake yaliyo jazia kiasi.
“Eddy, jinsi unavyo umia wewe ndivyo name pina ndivyo ninavyo umia”
“Shamsa, hupaswi kuumia tena. Maisha yangu kwa sasa ninaona hayana thamani yoyote. Nitafanya chochote nitakacho agizwa ili kumuokoa mke wangu”

“Bado unathamani kubwa moyoni mwangu Eddy.”
Shamsa alizungumza huku mkono wake wa kulia akiupitisha pitisha kwenye kifua cha Eddy. Eddy hakuliweekea maanani jambo hilo, akili yake na mawazo yake yote yapo kwa mke wake ambaye hadi sasa hatambui ni wapi alipo. Shamsa akajikuta akizidi kuipeleka mikono yake yote miwili kwenye mwili wa Eddy, hadi akaifikisha kiuno cha Eddy na taratibu akaanza kufungua mkanda wa suruali.
                                                                                                                   ***
Dokta Ranjiti akaendelea na shuhuli ya kumuingilia Phidaya, pasipo ridhaa yake japo ni mke wake, aliye kuwa akiishi naye, ila kwa wakati huo Phidaya kumbukumbu zake hazikuwepo. Muda wote dokta Ranjiti anavyo muingilia Phidaya, aliendelea kulia hadi dokta Ranjiti alipo maliza.

“Aghaaaaaaaa”
Dokta Ranjiti alishusha pumzi huku akitoa miguno ya kumaliza mpambano wa ulazima alio ufanya kwa Phidaya. Kama kawaida yake dokta Ranjiti akajilaza pembani huku akihema kana kwamba amekimbia umbali wa mbio nyingi.
“Utamu wako mke wangu bado haujaondoka, bado tunda lako lina joto kali kama nilivyo liacha”

Dokta Ranjiti alizungumza maneno ambayo yalizidi kumchoma moyo Phidaya, na kuzidi kuipandisha hasira ya Phidaya iliyo jijenga mara baada ya kumbukumbu zake kumrejea”
“Hivi niambie mke wangu ni wapi ulipo kuwa?”
Phidaya hakujibu kitu chochote zaidi ya kukaa kimya.
“Ukikaa kimya sio swala muhimu, kwako. Ila nimetambua kwamba kamume kako ka zamani bado kapo hai. Kitu nitakacho kwenda kukifanya utasikia”

Dokta Ranjiti alizungumza huku akishuka kitandani na kuanza kuvaa nguo zake. Alipo maliza kuvaa akakaa tena kitandani kwa dharau.
“Huto toka hapa hadi nihakikishe Eddy ANAKUFA”
Phidaya alipo sikia kauli ya dokta Ranjiti, mapigo yake ya moyo yakaanza kumuenda mbio, woga ukazidi kumtawala maradufu na ilivyo kuwa wali.
“Tafadhali Ranjiti ninakuomba usimuue Eddy, kwa maana hajafanya kosa lolote baya kwako”

“Nikumuacha hai atafanya kosa ambalo litakuwa baya kwangu. Wewe ni wangu na hakuna ambaye atakutoa wewe mikononi mwangu”
Dokta Ranjiti baada ya kuyazungumza maneno hayo akanyanyuka kutoka kitandani na kutoka ndani ya chumba hicho na kumuacha Phidaya akiendelea kulia.
Dokta Ranjiti baada ya kutoka kwenye chumba alipo Phidaya moja kwa moja akaeleka kwenye chumba alipo shikiliwa Rahab.

“Mumempatia chakula?”
Dokta Ranjiti aliwauliza vijana wake kwa luhga ya kiarabu, alio wakuta nje ya chumba walipo muhifadhi Rahab.

“Ndio mkuu, ila anaonekana amekata chakula”
“Nifungulieni”
Dokta Ranjiti akafunguliwa mlango na kuingia ndani akamkuta Rahab hajakula chochote na wala hajafunguliwa jinsi alivyo kuwa amefungwa tangu mwanzoni, alipo ingizwa katika chumba hicho. Dokta Ranjiti akamtazama vizuri Rahab na kujikuta akistuka na kumsogelea vizuri usoni mwake. Kumbukumbu zake kwa haraka zikampelaka siku ya msiba wa Phidaya nchini Tanzania. Aliweza kumshudia akiletwa na msafara mkubwa na kuheshimiwa.

“Wewe si mke wa raisi Praygod”
Dokta Ranjiti alizungumza huku macho yakimtoka na kumuangalia vizuri Rahab, akaanza kumgeuza geuza Rahab sura yake. Jibu alilo kuwa nalo kichwani mwake ni sahihi kwani Rahab kweli ni mke wa raisi Praygod.

Dokta Ranjiti akakaa kimya kwa muda kisha akatoka kwenye chumba hicho akiwa na wasiwasi mkubwa moyoni mwake japo ni jasiri ila kosa ambalo anahisi litayagharimu maisha yake ni kitendo cha kuweza kumteka  mke wa raisi. Japo kuwa haelewi ni kitu gani kinacho endelea ndani ya Tanzania.
“Nahitaji mumuachie huyu msichana”
“Kwa nini mkuu?”
“Huyu sina kazi naye. Hakikisheni kwamba munamuachia hapa na kumtelekeza huko mtaani”

Hapakuwa na kijana aliye weza kuipinga amri hiyo ya bosi wao dokta Rajiti, vijana hao wakaingia ndani ya chumba walipo Rahab. Wakamvunga macho yake kwa kitambaa cheusi kisha wakambeba juu juu na moja kwa moja wakempeka kwenye gari lao jeusi aina ya Toyota Land Cruser V8. Safari ikaaza kumpeleka kwenye mtaa mmoja ambao hauna watu wengi.

Bila ya kupoteza muda wakafungua mlango wa gari  lao na kumsukumia Rahab pembezoni mwa barabara na akaangukia kwenye nyasi nyingi kisha wakaondoka kwa mwendo wa kasi pasipo kumfungua kamba na kitambaa walicho mfunga usoni  mwake. Rahab akaanza kujitahidi kujifungua kamba hizo kwa bahati nzuri akapita kijana wa kiume aliye amua kumsaidia Rahab na kumfungua kamba hizo pamoja na kitambaa alicho fungwa usoni mwake.

“Asante”
Rahab alizungumza huku akijipangusa pangusa majani yaliyoshikamana na nguo zake. Kutokana na kijana huyo kuzungumza kiarabu na Rahab haifahamu lugha hiyo ikamlazimu Rahab kumshukuru kwa vitendo kijana huyo ambaye naye pia alijibu kwa vitendo. Kwa bahati nzuri katika eneo hilo ambalo Rahab alitelekezwa, aliweza kulifahamu kwani ni moja ya maeneo ambayo hupita asubuhi anapo kimbia akichukua mazoezi ya viungo.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images