Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Serikali Kuajiri Watumishi Wa Kada Ya Afya Kuziba Pengo La Wenye Vyeti Feki

$
0
0
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeahidi kuajiri watumishi wa idara ya afya ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi na watumishi ambao wameondolewa katika utumishi wa umma kwa kukosa sifa ya kuwa na vyeti halisi baada ya zoezi la uhakiki wa vyeti nchini.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameyasema hayo jana wakati wa maadhimsho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambapo kitaifa imefanyika katika hospitali ya St. Gasper, Itigi Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.

Waziri Ummy amesema serikali inatambua mzigo mkubwa wa majukumu kutokana na uhaba wa wauguzi ambao umesababishwa na baadhi yao kuondolewa katika utumishi kwa kukosa vyeti halisi na hivyo imetenga bajeti ya kuajiri wauguzi wa kutosha nchini huku akiahidi kutoa kipaumbele kwa mkoa wa Singida.

“Kuna baadhi ya Zahanati na vituo vya afya vimefungwa kwa kutokana na sakata la vyeti feki, lakini pia tunatambua kuwa wauguzi hamtoshi na hivyo kupelekea muuguzi mmoja kutoa huduma kwa wagonjwa wengi, hali hii inapunguza ufanisi wenu na kuwanyima haki ya kupumzika”, ameongeza Waziri Ummy.

Aidha ameagiza waajiri wa utumishi wa umma na hasa halmashauri zote nchini kupeleka maombi ya watumishi wa kada za afya ili wizara iweze kutangaza nafasi hizo zijazwe na watanzania wenye sifa huku akisisitiza kuwa nia ya serikali ya awamu ya tano ni kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

“Serikali imegawa vitanda 25 vya wagonjwa, magoro 25 na mashuka kwa kila halmashauri nchini huku bajeti ya wizara ya afya ikipanda kutoa trilioni 1.9 mwaka jana hadi trilioni 2.2 kwa mwaka wa fedha 2017/18, bajeti hii itasaidia kupambana na changamoto za sekta ya afya nchini nah ii ni ishara kuwa serikali imedhamiria kuimarisha afya za watanzania” amefafanua Waziri Ummy.

Kwa upande wake Rais wa Chama cha Wauguzi Tanzania Pulo Magesa amewataka wauguzi kuto muangusha waziri wao wa Afya kwa kuwa amekua mstari wa mbele kuhakikisha wauguzi na watumishi wote wa Sekta ya Afya Nchini wanafanya kazi katika mazingira yanayoridhisha.

Magesa amesema serikali inaweka mazingira mazuri kwa kutenga bajeti ya kutosha ila ufanisi wake utaonekana endapo watumsihi wa sekta ya afya hasa wauguzi ambao ndio muhimili wa vituo vya huduma za afya mfano hospitali, zahanati na vituo vya afya watazingatia misingi ya uadilifu, upendo na weledi.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amesema wauguzi wanaweza kupunguziwa mzigo wa kupata wagonjwa wengi hasa kwa magonjwa yanayozuilika endapo kutaanzishwa mfumo wa utoaji wa huduma za uuguzi kwa ngazi za kaya ambapo kila mwanafamilia atapewa elimu ya kuzuia baadhi ya magonjwa.

Dkt. Nchimbi amesema mfumo huo wa uuguzi kaya uendeshwe mpaka kwenye taasisi za elimu hasa shule za msingi na sekondari ili jamii iweze kuzuia kwa kiwango magonjwa yote yanayozuilika na hivyo kupunguza msongamano wa wagonjwa .

Aidha amemshukuru Waziri Ummy kwa kuunga mkono wazo hilo na kukubali kuanza kulifanyia kazi huku akiahidi kutoa ushirikiano kwa kuwa mkoa wa Singida utatumika na sehemu ya utafiti wa mfumo huo ili kufahamu ufanisi wake

Maadhimisho Siku ya Wauguzi Duniani ni kukumbuka ya muasisi wa taaluma ya uuguzi Bi.Florence Nightngale aliyezaliwa Mei 12 mwaka 1820. Wakati wa sherehe hizi huwa mishumaa inawashwa kama ishara ya upendo na utumishi bora moyoni mwa muuguzi. Muasisi huyu ndiye aliyefungua chuo cha kwanza cha uuguzi nchini Uingereza.

Bi Florence alianza kutoa huduma ya afya mwaka 1844 na mwaka mmoja baadaye kulitokea vita na yeye akawa anahudumia majeruhi kwa kutumia mishumaa nyakati za usiku kwa vile hapakuwepo na nishati yoyote wakati huo. Bi Florence kwa huduma yake hiyo ya kutibu majeruhi wa vita aliweze kupunza vifo kutoa asilimia 42 hadi asilimia mbili (2).

Wauguzi waliokuwepo kwenye maadhimisho hayo kutoka mikoa mbalimbali nchini walirudia kiapo chao cha uuguzi ambacho sehemu mojawapo inasema “Naapa mbele ya Mungu na mbele ya mhadhara huu, kuendesha maisha yangu na kutekeleza wajibu wangu wa kazi kwa uaminifu. Sitafanya vitendo vyo vyote vile vilivyo viovu na sitochukua au kutoa dawa ye yote ile ninayoifahamu kuwa ina madhara”.

Awali wauguzi, viongozi mbalimbali wa serikali na madhehebu ya dini pamoja na wananchi waliohudhuria maadhimisho hayo walisimama kwa dakika moja kuwakumbuka na kuwaombea wanafunzi 32, walimu wawili na dereva wa shule ya Lucy city ya Mjini Arusha waliopoteza maisha yao kwenye ajali mbaya ya gari iliyotokea hivi karibuni.

Mapya yaibuka mauaji ya kada wa CCM.......Kamanda wa Polisi Ataja Ujumbe Waliouacha baada ya Mauaji

$
0
0
Siku moja baada ya Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Bungu wilayani Kibiti, Alife Mtulia, kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake, imeelezwa kuwa wauaji hao waliacha ujumbe wakidai marehemu alikuwa akidhulumu watu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Onesmo Lyanga alisema mauaji hayo yalifanyika usiku wa kuamkia jana, huku akiahidi kutoa ufafanuzi wa kina leo.

Mauaji ya askari Polisi, viongozi wa Serikali za Mitaa na raia yamekuwa yakifanyika mara kwa mara katika wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga mkoani Pwani.

“Mtulia aliuawa akiwa anaelekea bafuni kuoga. Walimvamia wakampiga risasi na kupoteza maisha. Hili tukio limetokea kweli ameuawa. Ila marehemu hakuwa  katibu wa chama wa tawi, alikuwa kiongozi miaka ya nyuma sielewi alistaafu lini,” alisema.

Alibainisha kuwa sababu za mauaji hayo hazijafahamiaka, licha ya wauaji hao kuacha ujumbe wa maandishi.

“Katika ujumbe huo wauaji walidai kuwa marehemu alikuwa mtu wa kudhurumu. Ila hawakusema alidhulumu lini na alimdhulumu nani,” alisema.

Alisema Jeshi la Polisi linaendelea na msako wa watu waliofanya mauaji hayo, mpaka jana jioni hakuna mtu aliyekamatwa.

“Tunaendelea na msako. Nawataka tu wananchi kuwa watulivu katika kipindi hichi ambacho tunaendelea kuwasaka wauaji,” alisema.

Hivi karibuni Jeshi la Polisi liliwaua watu wanne wanaosadikiwa kuhusika na mauaji ya askari polisi wanane na uporaji wa silaha katika eneo la Mkengeni, Kata ya Mjawa, Wilaya ya Kibiti mkoani Pwani. Tukio hilo lililotokea takribani wiki mbili zilizopita.

Jeshi hilo lilieleza chanzo cha mauaji ya askari polisi kujirudia mara kwa mara katika maeneo hayo ya Mkuranga, Rufiji, Ikwiriri na Kibiti kuwa ni eneo hilo kuzungukwa na pori.

Akizungumza kuhusu tukio hilo katika Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es Salaam, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, Nsato Mssanzya alisema baada ya majambazi hao kuwaua askari hao walipora bunduki saba na kutokomea kusikojulikana.

Alisema baada ya tukio hilo polisi walifanya operesheni na kufanikiwa kutambua maficho ya muda ambapo katika majibizano ya risasi walifanikiwa kuwaua watu hao wanne pamoja na kupata silaha nne mbili zikiwa ni za askari waliouawa na mbili za majambazi hao.

Majeruhi Ajali Iliyoua 35 Arusha Wasafirishwa Kwenda Marekani

$
0
0
Majeruhi  wa ajali  ya gari iliyohusisha vifo 35 vya wanafunzi, walimu pamoja na dereva wa shule ya msingi Luck Vicent  wilayani Karatu, wamesafirishwa jana kwenda Marekani kwa ajili  ya matibabu zaidi .

Akizungumza katika uwanja wa ndege wa Kia, Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo alisema kuwa majeruhi hao wanasafirishwa na ndege ya Shirika la Samaritan Purse ili kuwawezesha kupatiwa huduma za matibabu zaidi ambazo zitaweza kurejeshea afya zao.

Gambo alisema kuwa Serikali imejitahidi kwa hali  na mali kuhakikisha kuwa wamewafariji wale wote waliofikwa na msiba na hata kuhakikisha kuwa majeruhi waliobaki wanapatiwa huduma ambazo zitaweza kunusuru maisha  yao.

Gambo aliwataka wakazi wa jiji la Arusha na viunga vyake kuacha kutumia mitandao ya kijamii vibaya kwa kuwa inakwamisha huduma za kijamii kwa ajili ya kuchanganya na shuguli za kisiasa.

"Naombeni sana wana Arusha muache kutumia mitandao ya kijamii vibaya kwani hii mitandao imepotosha sana mambo mengi imehusisha huduma za kijamii kuwa mambo ya kisiasa hali ambayo inasababisha hata wanaojitokeza kuchangia maafa haya kuvunjika moyo kwa ajili ya mambo yaliyoandikwa kwenye mitandao ya hiyo"-alisema Gambo

Alidai kuwa huduma za kijamii hazipaswi kuhusishwa na shughuli za kisiasa kwani endapo zitahusishwa zitakwamisha hata wale wanaoendelea kufariji kushindwa kuendelea na moyo huo.

Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ambaye ni mmoja wa waliojitolea kufanikisha safari hiyo aliwataka Watanzania kuendelea kuombea majeruhi hao ili wapone haraka.

Safari ya majeruhi hao kuelekea Marekani ilianza saa 5:40 asubuhi wakiambatana na mkuu wa wilaya ya Hai, Gelasius Gaspa ambaye amemwakilisha mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Meck Sadiki.

Vita ya Kitwanga na Waziri wa Maji Yachukua Sura Mpya.......Lwenge Amtaka Ahame CCM Kama Haoni Juhudi za Serikali

$
0
0
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Gerson Lwenge, amesema kauli ya Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga (CCM), aliyoitoa bungeni wiki hii, kwamba kama Serikali haitapeleka maji atahamasisha wananchi wakang’oe mtambo wa maji ulioko jimboni kwake, ni sawa na uasi.

Kutokana na kauli hiyo, amemtaka Kitwanga ahame chama kama haoni jitihada za kupeleka maji jimboni kwake zinazofanywa na Serikali.

Lwenge alitoa kauli hiyo bungeni juzi, alipokuwa akihitimisha mjadala wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018.

“Spika, naomba nizungumzie mchango wa Kitwanga, ambaye alichangia hapa kwa hisia kubwa akionyesha Serikali ya CCM haijafanya chochote kwenye Wilaya ya Misungwi,” alisema na kuongeza:

“Nataka nimuulize Kitwanga kama yupo hapa, kwamba hayo ni maneno yake au ni maneno ya wananchi? Kama ni maneno ya wananchi, nitawaambia ni nini kimefanyika Misungwi kwa sababu hata juzi tumesaini mikataba ya maji ya shilingi bilioni 38 kutoka Ziwa Victoria kwenda Misungwi na Mwenyekiti wa Halmashauri alikuwepo.

“Kitwanga anaposema atakwenda kuhamasisha wananchi wakabomoe mtambo wa Iherere maana yake analeta uasi au hathamini kazi iliyofanywa na chama chake?

“Kama ni hivyo, sasa ajitoe kwenye chama kwa sababu Serikali imepeleka fedha na kwa maendeleo yaliyofanyika, ni lazima tuwahamasishe wananchi kutunza miundombinu iliyopo badala ya kwenda kuibomoa. Hata kwenye umeme huwa tunaona wanaweka kwenye kijiji kimoja na kuruka hadi kijiji cha nne, lakini hatujawahi kuona wanang’oa nguzo.”

“Kwa hiyo, nataka nimwambie kwamba, Serikali itaendelea kuboresha maji katika maeneo mbalimbali, ikiwamo Misungwi na Usagara.”

Lwenge alisema kwa upande wa Usagara, Serikali itapeleka maji yanayosukumwa kutoka Nyashishi, ambapo lita milioni tatu zitazalishwa na usanifu unafanyika Buswelu.

“Sasa akisema haungi mkono bajeti maana yake hizi fedha tuzitoe tupeleke wilaya nyingine,” alisema.

Pamoja na maelezo hayo, Lwenge alisema wizara yake kupitia Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mwanza, imesaini mkataba wa Sh bilioni 38 kwa ajili ya kupeleka maji Misungwi na kazi hiyo imefadhiliwa na Benki ya Ulaya na Shirika la Maendeleo la Ufaransa.

Wakati huo huo, alisema Sh bilioni 3.5 zitatumika pia kupeleka maji katika vijiji mbalimbali vilivyopo wilayani Misungwi.

Majibu hayo ya Lwenge aliyompa Kitwanga, ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kabla uteuzi wake haujatenguliwa mwaka jana na Rais Dk. John Magufuli, ni mwendelezo wa kauli zinazotolewa na wabunge wa CCM baada ya kutoridhishwa na mchango wa mbunge mwenzao huyo.

Aliyeanza kumshambulia Kitwanga ni Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma (CCM), ambaye wiki hii alilitaka Jeshi la Polisi likampige mabomu Kitwanga na wananchi watakaoandamana kwenda kung’oa mtambo wa maji.

“Jana nilisikiliza mchango wa Kitwanga akilalamika kwamba atahamasisha wananchi 10,000 wa Misungwi ili wakazime mashine ya maji Iherere,” alisema na kuongeza:

“Nilisikitika sana na nataka niwaulize kwamba, nyinyi mawaziri wa Magufuli hivi vile viapo mnavyokula mnajua maana yake?”

“Kama hamjui maana ya hivi viapo, basi sina hakika kama mko sawasawa na kama hamko sawaswa, Ndalichako (Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi), hebu pitisha operesheni ya vyeti feki huenda hapa penyewe kuna feki za kutosha.”

“Hivi inawezekana vipi mtu uliyekuwa waziri unasimama hapa na kusema ulipokuwa waziri ulikuwa umebanwa kuzungumza na baada ya kufukuzwa sasa uko huru kuzungumza?”

Korea Kaskazini Yasema Kombora Jipya Lililorushwa Jana Lina Uwezo Wa Kubeba Nyuklia:

$
0
0
Korea Kaskazini imedai kwamba kombora la masafa marefu lililofanyiwa majaribio siku ya Jumapili ni kombora jipya linaloweza kubeba kichwa cha nyuklia.

Kombora hilo lililorushwa lilienda angani urefu wa kilomita 2,000 na kusafiri kilomita 700 kabla ya kuanguka katika bahari Magharibi mwa Japan.

Majaribio ya mara kwa mara ya makombora ya masafa marefu yanayofanywa na taifa hilo yanakiuka vikwazo vya Umoja wa Mataifa na yamesababisha wasiwasi miongoni mwa jamii ya kimataifa pamoja na Marekani.

Marekani na Japan zimetaka kufanyika kwa mkutano wa dharura katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne.

Shirika la habari la Korea Kaskazini KCNA, limesema kwamba jaribio la kombora jipya la masafa marefu la Hwasong 12, lililenga kuonyesha kwamba kombora hilo jipya lina uwezo wa kubeba kichwa cha Nyuklia.

Machinjio Yafungwa kwa Uchafu

$
0
0
Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeyafunga nusu ya machinjio ya ng’ombe, kuku na nguruwe katika Manispaa za Temeke, Ilala, Ubungo na Kinondoni baada ya kufanya ukaguzi.

Mkurugenzi wa TFDA, Hiiti Sillo alisema kuwa ukaguzi huo uliofanyika katika machinjio 55 kwa kushirikiana na Bodi ya Nyama, Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi na Maofisa Afya na mifugo, umebaini 26 yamekiuka kanuni na sheria, hivyo kuyafunga.

“Lengo la ukaguzi ilikuwa kuangalia utekelezaji wa Sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi Sura ya 219, hususan kukagua majengo, miundombinu, mfumo wa uchinjaji na uendeshaji wa machinjio kama unazingatia kanuni”, alisema Sillo.

Alitaja sababu za kufungwa kwa machinjio hayo kuwa ni kutokuwa na majengo ya kudumu miundombinu isiyofaa, uchinjaji usiozingatia kanuni, ukiukwaji wa sheria za kuendeshea machinjio na uchafu ndani na nje ya machinjio.

Meneja wa TFDA Kanda ya Mashariki, Emmanuel Alphonce, alisema barua zimeandaliwa ili kupelekwa kwa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kwaajili ya machinjio ya Vingunguti na uongozi wa Mazizini, baada ya TFDA kutoa siku saba kwa uongozi wa machinjio hizo, kufanya marekebisho ya upungufu uliobainika ambao ni uuzwaji wa nyama ndani ya machinjio na uingiaji wa watu wasiohusika.

Mwanafunzi Kukishitaki Chuo Kikuu cha UDSM

$
0
0
Mwanafunzi aliyefukuzwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Alphonce Lusako, amewasilisha maombi Mahakama Kuu chini ya hati ya dharura, aruhusiwe kukishtaki chuo hicho kwa kumkatisha masomo.

Mwanafunzi huyo aliyekuwa akisoma shahada ya kwanza ya sheria alifukuzwa baada ya kufutiwa usajili Januari 26, pamoja na mambo mengine akidaiwa kusajiliwa kwa makosa kwasababu aliwahi kufukuzwa chuoni hapo.

Lusako anayewakilishwa na Wakili Jebra Kambole anaiomba Mahakama impe kibali cha kuishtaki UDSM na itoe amri ya kuzuia uamuzi wa kumfutia usajili. Maombi hayo yamepangwa kusikilizwa Mei 23 na Jaji Pellagia Khaday.

Lusako alijiunga na UDSM kwa mara ya kwanza mwaka 2009 akiwa amedahiliwa kusoma Shahada ya Biashara katika Uhasibu.

Hii ni mara ya pili kwa Lusako kufukuzwa chuoni hapo, mara ya kwanza ni Desemba 13, 2011, pamoja na wenzake kadhaa, akiwa mwaka wa tatu walifukuzwa na kufutwa katika mfumo wa elimu nchini wakidaiwa kuratibu mgomo wa wanafunzi UDSM.

Hata hivyo, anadaiwa alikuwa akipinga ufisadi katika Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) kwa kusajili wanafunzi hewa na katika Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).

Baada ya kukaa uraiani kwa muda mrefu, aliamua kuomba usajili, TCU ilimsajili na kumpanga UDSM kusoma kozi ya sheria.

Baada ya kusoma muhula mmoja, alipewa barua ya kufutiwa usajili ikieleza alisajiliwa kimakosa chuoni hapo kwa kuwa tayari alishawahi kufutiwa usajili.

Jinsi Wachawi Wanavyo Tumia Mafiga Mabichi Ya Mti Wa Mfausiku Kupika Uchawi Wa Kumvuta Kimapenzi Mtu Aliye Mbali.

$
0
0
Na. DOKTA  MUNGWA  KABILI …0744 -000  473.

 Wachawi  wanaweza  kutumia  uchawi  kumvuta  kimapenzi  mtu  aliye  mbali. Moja  kati  ya  vitu  vinavyo  tumika  katika  uchawi  huu  ni  pamoja  na  mafiga  mabichi  ya  mti  wa  mfausiku  ambayo  hukokwa  kwenye  majani  makavu ya  mgomba  ambayo  hutumika  kama  kuni  au  moto,  kipande  cha  sanda  alichovalishwa  maiti, herufi za  moto,  mti wa hina, pamoja na  vitu  vingine  lukuki. Kufahamu  kuhusu  uchawi wa aina  hii  na  jinsi  ya  kujikinga  nao, fuatilia  sehemu  ya  nne  ya  kitabu “ KITANDA  CHA  SOKWE  MTU” kama  ifuatavyo :

SEHEMU  YA  PILI   YA  KITABU  “ KITANDA  CHA  SOKWE  MTU “

Wachawi   wakishindwa  kukutengenezea  kesi  kubwa  basi  waatakufunga  kwenye  kifungo  cha  mapenzi.

 Katika  vifungo  vyote anavyo  fungwa  mwanadamu  hakuna  kifungo  kibaya  kama  kifungo  cha  mapenzi.  Usiombee  ufungwe  kwenye  kifungo  cha  mapenzi.

 Ni kifungo hatari  sana na  chenye  madhara  makubwa  sana.  Watu  wengi  wamekufa , wamejiua, wamefiliska  na  kuua  kwa  sababu  ya  kufungwa  kwenye  vifungo  vya  mapenzi.

 Kifungo  cha  mapenzi  ni  pale  mtu  anapo fungwa  kumpenda  mtu  fulani  katika  maisha  yake  yote.

 Ukifungwa  kifungo  hiki  ndugu  yangu  jua  umekwisha.  Ndoa  nyingi  zimeharibika na  watoto kukosa  mwelekeo  kwa  sababu  ya  vifungo  vya  mapenzi.

 Kwa ufupi  mtu  anae  kufunga  kifungo  cha  mapenzi ni mtu mbaya  sana  kwako.

 Kifungo  hiki  ni  kibaya  kwa  sababu  anae  kufunga  na  yeye anakuwa  ana  faidika  kutokana  na  kifungo  chako.

 Hapa  kwa  mfano  mwanamke   A  anakuwa  amemfunga  mwanaume  B  ampende yeye  tu  katika  siku  zote  za  maisha yake  yote.

 Anamfunga  macho, masikio, akili, ufahamu, maarifa  na  kila kitu.

 Mwanaume  anafungwa  amsikilize yeye  tu. Asisikilize  wazazi wake, ndugu zake, rafiki  zake, viongozi  wake wa  dini, mke  wake, watoto  wake, bosi  wake  au  mtu  yoyote  Yule na  badala  yake  asikie, afuate na  kutii  neno  na  maamuzi  ya  mfungaji.

 Gereza  hili  lina  wafungwa wengi  sana  ila  kati yao wanaume  ndio  wengi  zaidi  kuliko  wanawake.

 Zipo njia  nyingi   sana  ambazo  wanawake   huzitumia  kuwafunga  wanaume  kimapenzi.

 Katika  kitabu  hiki  nitaelezea  njia  moja  wapo  kati  ya  hizo, kwa  sababu  maelezo  yake  ni  machache  ikilinganishwa  na  njia  zingine.

 Zoezi  la kumfunga  mtu  kimapenzi  huwa  linaanza  kwa  kupima  kwanza  mwili  wa  mwanamke  ambae  anataka  kumfunga  mwanaume  kichawi.

Hii ni  kwa  sababu  uchawi   hususani wa  masuala  ya  mvuto  huwa  hauwezi  kufanya  kazi  kwa  mtu  mwenye  mwili  mchafu.

Ninaposema  mwili  mchafu  sizungumzii  uchafu  wa  nje  nazungumzia  uchafu  wa  ndani.  Mtu  anakuwa  ametupiwa  majini  wachafu  kwa  lengo  la  kumtia  nuksi, mikosi  na  mabalaa.

 Sasa basi  mtu  mwenye  mwili  uchafu  hawezi  kufanya  ulozi  wa  mapenzi  na  ukakubali.  Ili  ukubali  inabidi  asafishwe  kwanza  mwili  wake.

 Wakati  mwingine  mwili  wa  mtu  unaweza  kuwa  na  nuksi  ambazo  amezipata  yeye  mwenyewe   ila  kurogwa  na  mtu  yoyote.

 Naomba  ieleweke  kwa  watu kwamba,  zipo nuksi, mikosi  na  mabalaa  ambayo  mtu  anaweza  kuyapata  yeye  mwenyewe  bila  kurogwa  na  mtu  yoyote.

 Yapo  mambo mengi  yanayo  weza  kumsababishia  mtu  kupata nuksi, mikosi  na  mabalaa  bila  kurogwa  na  mchawi  au  mtu  yoyote  mbaya.

 Nuksi, balaa  na  mikosi  ya  aina  hii  hutokea  pindi  mtu  anakutana  au  kuingiwa  na  majini  wachafu  ambao  huweza  kumuingia  mtu  huyu  kwa  sababu  mbalimbali.

Zipo  sababu  nyingi  sana  zinazo  weza  kufanya  majini  wachafu  wakamuingia  na  kumvaa  mtu. Katika  kitabu  hiki  nitazitaja  chache  kama  ifuatavyo :

Kupata  nuksi  na  mikosi  sio tu lazima  uwe  umetupiwa  na  wabaya  wako. Wakati  mwingine  unaweza  kufanya  mambo  kadha  wa  kadhaa  eidha  kwa  kujua  au  kutokujua, yakakusababishia  kupatwa  na mikosi, nuksi  na  mabalaa  katika  maisha  yako. Baadhi  ya  mambo  yanayo  weza  kukuletea  nuksi, mikosi  na  mabalaa  katika  maisha  ni  pamoja  na  yafuatayo ; Umetoka  kufanya  mapenzi  bila  kuoga  janaba  halafu  wakati  unaelekea  nyumbani  au  mahali  popote  ukakumbwa  na  “ upepo mbaya”. Huyu  ni  jinni  hatari  sana  wa  njia  panda . Huwakumba  sana  sana  wazinzi  pamoja  na  watu  wanao  fanya  zinaa  halafu  baada  ya  kufanya  zinaa  wakashindwa  kuoga  janaba  au  kuoga  kwa  kutumia  dawa  maalumu.    Uzinzi ;tabia  ya  kufanya  mapenzi  ovyo , hii  inawahusu  sana  wanaume.  

Akienda  bar  akilewa  anaondoka  na  mwanamke, kesho  yake  anafanya  hivyo  hivyo  tena, kulala  na  wanawake  wanao  fanya  biashara  ya  kuuza  miili  yao.   Jambo  hili  ni hatari  sana, watu wengi  wamevuna  mikosi  na  mabalaa  makubwa  kwa  sababu  ya  uzinzi.  Hii  ni  kwa  sababu  tendo  la  ndoa  ni  agano  la  damu. Unapo fanya  mapenzi  na  mwanamke, mnamkuwa  mmefanya  agano  la  kuunganisha  damu  zetu. Na  damu  ndio  uhai  wa  mtu  na  ndio  hubeba, tabia  mustakabali  wa  kila  mwanadamu. Unapo  unganisha damu  na  mtu kwa  njia  ya  mapenzi , maana  yake  ni kwamba  unakuwa  umeunganisha  maisha  yake  na  yako, nyota  yake  na  yako. Sasa  unapokuwa  umekutana  na  mwanamke   mwenye  nuksi, mikosi  na  mabalaa  na  kufanya  nae  mapenzi , maana  yake  ni kwamba  unakuwa  umejifungamanisha  na  mikosi  na  mabalaa  yake.   Unakuwa  kitu kimoja  na  yeye,. Na  unapo  fanya  tendo  hilo  na  wanawake  wengi  zaidi  wenye  mabalaa  na  mikosi  unakuwa  umechukua  mikosi  ya  kila  aina . 

 Kibaya  zaidi  ni  kwamba, hao  wanawake  ambao  unakuwa  unakutana  nao  kimwili  ni  wanawake  Malaya  ambao  hulala  na  kila  mwanaume  na  hivyo  kuchukua  mikosi  ya  kila  mwanaume. Mikosi  na  mabalaa  hayo  huamia  kwako.

Kuwa  makini  sana  na  tabia  ya  kulala  na  kila  mwanamke  hususani  wanawake  wanao  huza  miili  yao. Ni  jambo  baya  sana na  ndio  maana kwenye  maandiko  matakatifu, imeandikwa  “ mwanaume  mzinzi  hana  akili  hata  kidogo, anaiangamiza  nafsi yake  mwenyewe “.  Tafuta  mwanamke  wako  mmoja, mchunguze  vizuri, ukijiridhisha  na  mwenendo  wake,  basi  fanya  nae  agano  la  milele. Wapo watu wengi  sana  wamefanikiwa  kwa  sababu  ya  aina  ya  wanawake  ambao  wame kuwa nao.  Hili  ni  somo  pana  sana  ambalo  linahitaji muda  na  nafasi  ya  kutosha  kulielezea. Ni somo  ambalo kila  mwanaume  na  kila  mwanamke  anapaswa  kulielewa  kwa mapana   na  marefu  yake.

Mambo  mengine  ni  pamoja  na  kukiuka  miiko  inayo  husiana  na  masuala  ya  wafu.   Kukiuka miiko  inayo  husiana  na  masuala  ya  wafu  ni  eneo  ambalo  limesababisha  mabalaa  na  mikosi  kwa  mamilioni  ya  watu  duniani. Katika  kitabu  hiki  nitaelezea   baadhi  ya mambo  yanayo  kiukwa  kuhusu  wafu  na  hivyo  kusababisha  mikosi  kwa  wahusika. Mikosi  na  mabalaa  haya  huwapata  wahusika   na  wahusika  hushindwa  kujua  chanzo cha  tatizo.

Mambo  hayo  ni  pamoja  na  kulaza  kaburi  wazi.  Ni mwiko  kuacha  kaburi  lilale  wazi. Kaburi  huwa  halilali  wazi hata  siku  moja.   Hakikisheni  siku  mtakayo  chimba  kaburi , iwe  ndio  siku  ambayo  mtazika marehemu  wenu.  Mkikiuka   mwiko  huu  basi  mikosi  itawaandama  sana  katika  familia  yenu. Vifo  vya  mara  kwa  mara  tena  vya  ajabu, magonjwa, umasikini na  mabalaa  mbalimbali  yatawaandama  katika  siku  zote  za  maisha  yenu  mpaka  mtakapo  fanya  tambiko  maalumu  la  kuvunja  hiyo  ngulikizi.

Msiache  kaburi  wazi  wakati  mnaenda  kuchukua  mwili  wa  marehemu  kwa  ajili  ya  kuupumzisha. Hakikisheni  wakati  watu  wanaenda  kuchukua  mwili  wa  marehemu  basi  kuwe  na  watu  kadhaa  ambao  watabaki kaburini  kulinda  kaburi  kuhakikisha  hakuna  mtu  yoyote  anakuja  kuchezea  kaburi  hilo.

Mwanamke  mjamzito  asihudhurie  mazishi; Mwanamke mjamzito hatakiwi kuhudhuria kwenye maziko ( makaburini ).Endapo atafanya hivyo basi, roho ya marehemu itamuingia mtoto aliyeko tumboni, na hivyo kusababisha bahati mbaya na mikosi kwa mwanamke huyo wakati wa kujifungua na endapo atajifungua salama, basi mtoto atakae zaliwa anaweza kupoteza uhai, au endapo ataishi basi, mama  huyo  atafariki  na  kumuacha  motto na  mtoto  atakuwa kwa taabu sana na ataandamwa na balaa   mikosi katika  maisha  yake  yote.

Kama itatokea mwanamke huyo akalazimika kuhudhuria kwenye mazishi ( Mfano labda aliyefariki ni mtu wake wa karibu sana kama vile mama yake,baba yake, mume wake, kaka yake, dada yake au mtoto wake ), basi anatakiwa ASITAZAME MWILI WA MAREHEMU wakati wa kuaga.

Endapo atafanya hivyo, basi ile roho ya marehemu itaishaishawishi roho ya mtoto aliyepo tumboni, kwenda kwenye nchi ya wafu, jambo ambalo litasababisha matatizo makubwa sana kwa mama wa mtoto wakati wa kujifungua. Uwezekano wa kujifungua mtoto aliyefariki, utakuwa kwa asilimia mia.

Usizungumze  habari  za  wafu  nyakati  za  usiku. Kuna  watu  huwa  wana  tabia  ya  kuzungumza  kuhusu  habari  za  ndugu, jamaa  na  marafiki  walio  tangulia  mbele  za  haki. Kama  utalazimika  kuzungumza  kuhusu  habari  hizo, nakushauri  usifanye  hivyo  wakati  wa  usiku. Ukizungumza  habari  za  wafu  nyakati  za  usiku, utasababisha  nuksi, balaa  na  mikosi  katika  maisha  yako. Kwani kwa  kufanya  hivyo  utakuwa  unaziamsha  na  kuzivuta  roho  za  wafu  zilizopo  makaburini  katika  maisha  yako  na  hivyo  kukusababishia  nuksi, balaa  na  mikosi. Moja  kati  ya  mabalaa  hayo  ni pamoja  na  kupatwa  na  misiba ya mara kwa  mara. Chunga  sana  hili.,

  Unapopita kwenye eneo la makaburi mida ya saa saba mchana au saa moja usiku, usiache mdomo wako wazi wala kupiga miayo. Endapo utafanya hivyo, roho za wafu zitakuingia na kusababishia matatizo makubwa.

Mnapomzika marehemu, kichwa kiangalie upande wa magharibi na miguu iwe upande wa mashariki.

Mara tu kifo kinapotokea, kitu cha kwanza, unacho takiwa ni kuondoa ama kufunika picha na vioo vyote vilivyomo kwenye chumba alichopo marehemu. Ni nuksi kubwa sana kuacha taswira ya mwili wa marehemu ionekane kwenye kioo. Kama hiyo haitoshi, ni nuksi kubwa sana kutazama taswira yako kwenye kioo hicho, mpaka mwili wa marehemu uatakapo kuwa umeondolewa. Ukitaka kuamini ninacho kisema, jaribu kuingia na kioo kwenye chumba alimo lala marehemu halafu jitazame kwenye hicho kioo. Utakacho kiona, uje ukisimulie hapa.

Naweni mikono kwa dawa maalumu baada ya kubeba jeneza lenye mwili wa marehemu.

Oga dawa mara baada ya kutoka kaburini.

Kama marehemu amefariki akiwa nyumbani, mnapoenda kuutoa mwili wake, miguu itangulie kutoka, kamwe msifanye kosa mkatanguliza kichwa.

Kitanda anacho lalia mgonjwa mahututi, kitazame mashariki na magharibi, na kamwe sio kaskazini na kusini. Kichwa kiangalie magharibi na miguu itazame mashariki.

Jina la mwisho kutajwa na marehemu wakati anakaribia kukata roho, litakuwa jina la mtu atakae fuatia kufa baada ya marehemu.Hili  kujiepusha  na  balaa  hili, basi  unatakiwa  kufanyiwa  tambiko  maalumu.

Endapo mtu anae karibia kukata roho, atakun’gata, basi na wewe utamfuata baada ya muda mfupi. Ili kujiepusha na kifo cha namna hiyo, basi unatakiwa na wewe umng’ate katika sehemu ile ile aliyo kun’gata.

Kama kiongozi wa familia atafariki dunia, basi mnatakiwa kusimamisha saa kubwa ya ukutani inayo kaa sebuleni, vinginevyo wanafamilia walio baki nao watamfuata ndani ya kipindi kichache, vitatokea vifo mfululizo vya wanafamilia.

Baada ya kuuosha mwili wa marehemu, na kuuvisha nguo zake, unatakiwa kuweka punje moja ya chumvi kwenye kifua cha marehemu ili kuwafukuza roho na majini wabaya.

 Kama marehemu atakufa akiwa ameacha macho wazi , hiyo ni ishara mbaya sana. Maana yake ni kwamba,anatafuta watu ( ndugu zake ) wa kwenda nae kaburini. Kujiepusha na hilo, funikeni macho yake kwa kutumia sarafu .

Usifagie chumba cha marehemu kabla marehemu hajatolewa. Endapo utafanya hivyo, basi amini nakwambia wewe ndie utakae mfuata marehemu. Kama  ulikuwa  haujui  na  ukafanya  hivyo  basi  unatakiwa  kufanyiwa  tambiko  maalumu  la  kuvunja  roho  hiyo  haraka  iwezekanavyo.

Msitoe shuka wala nguo yoyote iliyopo kwenye kitanda alicho kilalia marehemu, na ambacho umauti ulimkuta. Endapo mtakiuka hilo, basi mwanafamilia mwingine atafariki ndani ya mwaka huo huo.  Kama  mlijisahau au  mlikuwa  hamjui  basi  mnatakiwa  mfanye  tambiko  maalumu  la  kuvunja  roho  hiyo.

 Kwa mara nyingine tena narudia, mwili wa marehemu unapotolewa kwenye jengo lolote lile, iwe nyumbani, kanisani, au msikitini ni lazima miguu ndio itangulie kutoka na sio kichwa, vinginevyo roho au mzimu wa marehemu huyo, utatazama katika jengo hilo na kumuita mtu mwingine wa kufuatana nae.

Marehemu azikwe mahali alipo pachagua wakati wa uhai wake, au la sivyo endapo mtaenda kinyume chake, vifo vitatokea katika familia hiyo. Na kama mtalazimisha kusafirisha mwili wa marehemu, basi msafara huo lazima utapata ajali njiani, na mtu mmoja lazima atakufa.

 Ukiugusa mwili wa marehemu, utakuwa na uhakika kwamba, roho ya marehemu haitakusumbua. Na endapo utaugusa mwili wa marehemu usoni, hutoota ndoto mbaya kuhusu marehemu huyo.

 Usipeleke mwili malaloni kwa kutumia gari lako binafsi. Ni nuksi kubwa sana kufanya hivyo. Mwili wa marehemu unapelekwa malaloni kwa kutumia gari maalumu.

 Endapo mtasafirisha mwili wa marehemu kwa basi, kichwa kitazame anapotoka na miguu itazame anapoelekea. \

Usi hesabu magari kwenye maziko (makaburini), ukifanya hivyo unakuwa unahesabu siku zako mwenyewe za kuishi.

Kuwa muangalifu usione taswira yako kwenye gari lililo beba mwili wa marehemu, vinginevyo wewe ndio utakae fuatia kubebwa kwenye gari hilo. MAGARI  MAALUMU YA KUBEBA  MIILI  YA  MAREHEMU  HUWA  YANAN’GAA  KIASI  UNAWEZA  KUJIANGALIA  UKAJIONA. SASA  BASI  EPUKA  KUANGALIA  KWENYE  GARI  HILO. IKITOKEA  UMEANGALIA  NA  KUJIONA  KWENYE  M’NGAO  WA  GARI  HILO  AU HATA KWENYE  KIOO  CHAKE  BASI  WEWE  NDIO  UTAKAE  FUATIA  BAADA  YA  MAREHEMU. KUONDOA  ROHO  HIYO  YA  UMAUTI  NI  LAZIMA  UFANYIWA  TAMBIKO, AU  UOMBEWE  AU  KUFANYIWA  DUWA.

Usiende na mtoto mchanga kwenye msiba, vinginevyo atakufa kabla hajatimiza mwaka mmoja.

Ni nuksi kubwa sana kutangulia makaburini ( kwenye maziko)  au kupita bila kushiriki kwenye maziko . Kama utafanya hivyo, utakufa ndani ya muda si mrefu.

38.  Kama paka mweusi atakatisha mbele wakati wa maziko (makaburini ) mwanafamilia mmoja katika familia ya marehemu atakufa ndani ya siku tatu. Kuvunja roho  hilo  lazima  yafanyike  maombezi, dua  au  tambiko  maalumu.

Kama ndugu yenu amekufa, kwa kuuwawa au mna wasiwasi kwamba ndugu yenu ameuwawa, basi mzikeni huku kichwa kikiwa kinatazama chini. Mtu aliye muua ndugu yenu, kama atakuwa kwenye eneo la maziko, basi hatoondoka eneo hilo hadi atakapo kamatwa. Watu wote wataondoka, lakini yeye atabaki, hapo hapo, atakuwa kama amepagawa  na kupigwa na bumbuwazi. Kama msiporudi kutazama hapo kaburini, basi hata siku tatu mtamkuta, na atakapo waona, basi ata tubu na mtafikisha kwenye vyombo vya dola.

Miaka ya sabini kushuka chini, babu zetu ilikuwa kama ndugu yao amekufa kwa kuuwawa ama kama wanahisi ndugu yao amekufa kwa kuuwawa, mfano amewekewa sumu, amenyongwa n.k,. basi walikuwa wanafanya hivi, wanatoa ini la marehemu, halafu wanazika ini sehemu tofauti na mwili wa marehemu, kwa kufanya tambiko maalumu. Ndani ya siku saba, mtu aliye muua marehemu, atapatikana katika eneo lililozikwa ini.

Kaburi lilisale wazi, likilala wazi, basi mwanafamilia mwingine katika familia ya marehemu atafariki ndani ya mwaka huo huo. Kaburi lizikwe siku liliyo chimbwa.Kaburi likilala wazi  siku ya Jumapili, basi jumapili itakayo fuata, mwanafamilia mwingine kutoka kwenye familia ya marehemu na yeye atamfuata marehemu.

Vifaa vilivyo tumika kuchimba kaburi, vinatakiwa vibakie kaburini kwa siku nyingine saba. Kuvipeleka nyumbani vifaa hivyo siku hiyo hiyo au kabla ya siku saba, ni nuksi kubwa sana.

Kuondoka makaburini kabla kaburi lote halijafukiwa, kutasababisha msiba kwenye familia yako wewe uliye ondoka kabla watu hawajamaliza kuzika. Mvua ikinyesha kwenye kaburi ambalo bado halijafukiwa, ni ishara mbaya sana kwa familia ya wafiwa.  Ili  kuepukana  na  nuksi  hiyo, inabidi  kuwe  na  mtaalamu  wa  kuzuia  mvua.

Ni nuksi  kubwa  sana  kusonta  kaburi.
Ni  nuksi  kubwa  sana kurukia  kwenye  kaburi
Ni  nuksi  kutembelea  makaburini  baada  ya  jua  kuzama.

Wafiwa  wasiondoke  nyumbani  wala  kujichanganya  mtaani na watu  wengine, hadi  matanga  yatakapo  inuliwa. Kwa  mfano  watu wengine, unakuta  mtu  amefiwa, lakini  kabla  hata  matanga  hayajainuliwa, anakwenda  bar kunywa  na  kurudi  msibani. Hayo ni makosa  makubwa  sana. Wengine  huondoka na  kurejea  makazini  kwao  kabla hata  matanga  hayajainuliwa. Jamani acheni  kudharau  mila  na  desturi  zetu. Suala  hili  limesababisha  nuksi, balaa  na  mikosi  kwa  watu  wengi  sana.

Wafiwa wote  wakuu, yaani  ndugu  wa  karibu  wa  marehemu, wasioge  hadi  baada  ya  siku  tatu, ambayo  ndio  siku  ya  kuanua  matanga, na  maji  watakayo  oga  yawe  maji  ya  moto.

Wafiwa  wasishiriki  ngono  hadi  matanga  yatakapo  inuliwa.

Waombolezaji  msibani, wasiongee  kwa  nguvu  wala  kucheka  kwa  nguvu. Ni makosa  makubwa  sana  kufanya  hivyo.

Hayo  ni  baadhi  ya  mambo  ambayo  yanaweza  kusababisha  nuksi, mikosi  na  mabalaa  kwa  mtu  ambayo huja  yenyewe  otomatiki bila  kusababishwa  na  watu  wabaya. Hayo  ni  baadhi  tu  ila  yapo  mengi  sana. Nikisema  niyataje  hapa  basi  itanipasa  kuandika  kitabu  kingine  chenye  mamia  ya  kurasa.

Sasa basi  kabla  ya  kutengeneza  uchawi  wa  kumfunga  mtu  kimapenzi, huwa  linaanza  kwanza  zoezi  la  kupima  mwili  wa  mtu  anae  taka  kumfunga  mwenzake  kimapenzi.

Zoezi  la  kupima  mwili  kama  ni msafi  au  mchafu  huwa  linafanyika  kwa  kutumia  ndege, nyama  ya  utumbo  wa  ng’ombe  au  mbuzi, nyanya, kitabu, maji  pamoja  na  njia  nyingine  nyingi.

Sasa  basi  mwanamke  huyu   akikutwa  ana  mwili  mchafu, zoezi  linalo  fuata  huwa  ni  kumsafisha  mwili  wake  halafu  baada  ya  hapo  anapikwa.

Zoezi  la  kumsafisha  mwili  huwa  linahusisha  dawa  nyingi  sana. Baadhi  ya  dawa  hizo  ni  pamoja  na  tufahaali  jinni  au  tunda  la  majini (  Tufahaal  jinni  ni  mti  wenye  Baraka  kubwa  sana  za  majini, majini  na  maruhani  wote  wazuri  huwa wanakula  tunda  hili , tunda la  mti  huu  pamoja  na  mti  huu, ni moja  kati  ya  vizimba  vikubwa  sana  kwenye   kusafisha  mwili  na  kupandisha  nyota  ya  mtu ). Dawa   na  vizimba  vingine  vinavyo  tumika  hapa  ni  pamoja  na  marashi  yaitwayo  Alwud , Ubani mzuri  (Ubani unaonukia  kuliko  ubani  wote  duniani )   Muharaka , Mpapatiko,   Miski nyeusi  ya  mafuta ( ile  ya  marashi) , Mdalasini  wa  India  na  maji yaliyo tumika  kuoshea  mchele ,   Maandishi  maalumu  karatasi arobaini (maandishi  haya  huandikwa  kwa  kutumia  hinna  au  zaafarani nyekundu ),Dhukuri Jawi ,Huzabara ,Maji  makuu  ,Mafuta  ya  mcheka  na  mbingu, mzizi  wa  mti ulio katisha  njia ,Vichali  vya  ndege  arobaini ,Kichali cha ndege  wa  porini  aitwae fundi chuma , Kamba  iliyo  tumika  kumfunga  ndege  aitwae dudumizi , Mchanga  wa  njia  panda  arobaini, ambao  huchukuliwa  kwa  dua  na  tambiko  maalumu, tumbaku, mchanga  wa  jua  la saa  saba, pamoja  na  dawa  nyingine nyingi.

 Dawa   hizi zinasagwa   pamoja kisha   zinachemshwa  kwenye  chungu, halafu   baada  ya  hapo, mhusika  anatumia  kuoga.

Baada  ya  kusafishwa  mwili, linafuata  zoezi  la  kupikwa . Hapa  huwa  kuna njia  kuu mbili, njia  ya  kwanza  anapikwa  kwenye  pipa  maalumu.

Anaingizwa  huko  kiganga  na  kupikwa  kwa  muda  ambao  mganga  atakuwa  amepokea  maelekezo kutoka kwa  mizimu  wake.

Ila  njia  hii  hutumika  zaidi  kwa  wafanyabiashara  na  watu  wanao  tafuta  kinga  kubwa.

Njia inayo tumika  kwa  mwanamke  anaye  taka  kumfunga  mwanaume  kimapenzi  huwa  inakuwa  hivi; Mwanamke huyo  atatoa  vitu  vya  kwenye  mwili  wake, kama  vile  nywele, ywele  za  kwapa  na  kucha.

 Vitu  hivyo vitachanganywa  na  dawa  maalumu  kisha  vitapikwa  kwenye  chungu  kwa  muda  ambao  utaendana  na  siku  husika.

Baada  ya  zoezi  la   kupikwa  kukamilika, zoezi  linalo fuata  huwa  ni  kupikwa  nyungu.

Zoezi  la  nyungu  huwa  linategemeana  na afya  ya  mhusika.

Kama  mhusika  anasumbuliwa  na  magonjwa  kama  vile  presha  na  kisukari, zoezi  hili  huwa  halifanyiki kwa  sababu  lina  nguvu  sana.

Kama afya  yake  ni nzuri  ndio  anapikiwa  nyungu.

Jinsi  anavyo  pikwa  nyungu, huwa  inachukuliwa  mizizi, matawi  pamoja  na  magamba  kutoka  kwenye miti  mbalimbali  ambayo  idadi yake  huanzia  arobaini  na kuendelea .

 Idadi  na  aina  ya  miti  itakayo  tumika  kwenye  nyungu  hutegemeana  na  siku na  muda  ambao  nyungu hufanyika  pamoja  na ukubwa wa  tatizo  la mteja.

Vitu vingine  vinavyo ongezwa  kwenye  nyungu  ni  pamoja  na  mawe   ya  mtoni  nakadhalika.

Miti  hii  hupikwa  kwenye  chungu  au  sufuria,  kisha  mhusika  anaenda  kufukizwa  akiwa  amevaa  kaniki   na  akiwa  amefunikwa  shuka  ambayo rangi  yake pia  itategemeana  na siku, hali ya magonjwa  na  aina  tatizo  lake.

Nyungu  hii itasaidia  kutoa  majini, mapepo, masheitwani na  roho  zote  chafu ambazo zimo ndani ya  mhusika.

 Na  wakati  majini  hao  wanatoka  huwa  sio  shughuli  ya kitoto.

Nyungu  zipo  za  aina  kuu  tano, aina  ya  kwanza  ni  nyungu  kwa  kutumia  miti  ya  porini pekee, aina  ya  pili  ni  nyungu  kwa  kutumia  dawa za  kiarabu, ya  tatu  ni nyungu kwa  kutumia  mchanganyiko  kati  ya  dawa  za  kiarabu  na  miti  ya  porini ya  nne  ni  nyungu  kwa  kutumia   miti  maalumu  ya  porini  na  ya  tano  ni  nyungu  kwa  kutumia  dawa  maalumu  za  kiarabu.

Watu  wengine  huwa  na   matatizo  maalumu ambayo   huhitaji  aina  fulani  ya  mti .

Anapotokea  mtu wa  aina  hii, basi  hutengenezewa  nyungu  kwa  kutumia  aina  ya  mti  husika.

Kama mhusika  atakuwa na  magonjwa  kama  presha  na  kisukari, basi  kitakacho fanyika  atawekwa katika chumba  maalumu  kisha  atapakwa  mafuta  ya  usiku  yaliyo  changanywa  na  mafuta  ya  miski.

 Mafuta  haya  atapakwa  kwenye  matundu  yote  ya  mwili pamoja na vidole  vyote  vya  kwenye miguu  na  mikono.

 Baada  ya  zoezi  la  nyungu  kukamilika, litafuata  zoezi  la  kufushwa.  Mwanamke  huyu  atafanyiwa  fusho  maalumu  linalo  nukia sana na  ambalo  linaendana  na siku  ya  tukio .

Akimaliza  kufukishwa  atapewa  orodha  ya  mafusho  maalumu ya  kutumia  kwa  siku  maalumu  pamoja  na  aina  ya  mavazi  ya  kuvaa  katika  kila  siku  atakayo  kuwa  anafanya  mafusho  hayo.

Baada  ya  hapo litafuatia  zoezi  la  kuchanjwa  mwili.  Mhusika  atachanjwa  pande  saba  za  mwili  kisha  atapakwa  dawa mbalimbali  kwenye  sehemu  alizo chanjwa.

Dawa  hizo  ni  pamoja  na tumbaku  pamoja  na  ndele  au ndumba  maalumu ya  mvuto  wa  mapenzi ambayo inajumuisha  dawa  na  vizimba  zaidi  ya  ishirini  na  moja.

Dawa  na  vizimba hivyo ni pamojana mpapatiko,mvuto,mwinula,kishinda wachawi, mti mkuu,mfalme wa pori,mzungu pori,lufakale, mkubashengelo,muoshafedha,muharaka  pamoja  na  dawa na  vizimba  vingine  vingi.

Vizimba  hivyo  ni  vingi  sana, siwezi kuvitaja  vyote  kwenye  kitabu  hiki na  hata kama  nitavitaja, sitoweza  kuvielezea  kwa undani, kwa sababu  maelezo yake ni  marefu  sana, ila  nitataja  vichache  na  kuvielezea  vichache  kati  ya  hivyo.

Baadhi ya  vizimba  hivyo  ni  pamoja  na  chupi  arobaini  za  wanawake  Malaya, mkia  wa  kondoo  uliokaushwa  na kusagwa pamoja  na  madawa ya  kiganga, mikia saba ya  mbwa  ambayo  ilikatwa  wakati mbwa  ameufyata  mkia na  kisha  kusagwa  pamoja na  madawa  mengine  ya  kiganga, pamoja na kizimba ambacho  kinatengenezwa  kwa  kuchanganya  miti  saba  ya  porini  pamoja  na majivu  ya mnyama  fulani wa  porini    ambae alichomwa  na  kuunguzwa  wakati akiwa  amemmeza  mnyama  mmoja afugwae.

Ni  hivi  porini  huwa  kuna  mnyama  mmoja mkubwa, huyu  mnyama huwa  anakula  wanyama wenzake.

 Miongoni  mwa  wanyama  anao  wala  ni  pamoja  na  mnyama  mmoja  ambae  hufugwa majumbani.

Jinsi anavyo mkamata  mnyama huyu afugwae  huwa  inakuwa  hivi.  Mnyama  huyu  afugwae  ana uwezo  wa  kuona  mambo  mengine  yasiyo onekana  kwa  macho  ya  kawaida, ndio  maana  hata  majumbani  huwa anafugwa  kwa ajili  ya  kusaidia  kuona  wachawi hasa  wanapokuwa  wamekuja  kuroga usiku  au  wanapokuwa  wanaondoka  usiku.

 Kinacho  mpa  uwezo  huu mnyama  huyu  ni mkuli  wake. Sasa  basi  mkuli  wa  mnyama  huyu  afugwae  unaupenda  sana, kuuheshimu na  kuutukuza  mkuli  wa  mnyama  huyu wa  porini.

Mkuli  wa  mnyama  huyu wa  porini  unatoka  katika “utawala” mmoja  na  mkuli  wa  mnyama huyu  wa  nyumbani.  Katika  utawala  wa  mikuli  ya  wanyama  wa  porini na  majumbani, mkuli  wa  mnyama  huyu  wa  porini  ni  mkubwa  sana  kiitifaki  kwa  mkuli  wa mnyama  huyu  wa  kufugwa.

Mkuli  wa mnyama  huyu  wa  porini  ni  mfalme  wa  mkuli  wa  mnyama  huyu wa kufugwa.  Mkuli wa  mnyama  huyu  wa  kufugwa  unaupenda  sana, unau heshimu  sana  na  kuutukuza  sana  mkuli wa  mnyama  huyu  wa porini.

Mnyama  huyu  wa  porini, akihisi  uwepo  wa  mnyama  huyu wa  nyumbani  katika  eneo  lake la, huwa  anatoa  ishara  ya  uwepo  wake  katika  eneo  hilo  kwa  mnyama  huyu  wa  nyumbani.

Ishara hiyo huwa  katika  mfumo  wa  harufu  maalumu  ambayo  mnyama  huyu  wa  kufugwa  akiisikia tu  basi  anatambua  uwepo  wa  mnyama  huyu wa porini.

Kwa  kuongozwa  na  mkuli wake, mnyama  huyu  wa  kufugwa  hujongea  hadi  mahali  alipo mnyama  huyu  wa  porini  ambapo  bila  kupoteza muda, mnyama  huyu  wa  porini  hummeza mnyama  huyu  wa  nyumbani.

Sasa  basi  wachawi  wa  nchi  wanapo  gundua  juu  ya  uwepo  wa  tukio  la  mnyama  huyu  wa  porini  kummeza  mnyama  huyu  wa  nyumbani, huwa  wanakwenda  haraka  na  kumchukua  mnyama  huyo, anapelekwa  njia panda  saa sita  za  usiku,  wanaitwa  wachawi  wenza  kwa  kutumia  filimbi  ya  kichawi  ambazo  hutengezwa  kwa  kutumia  dhakari ya  mnyama fulani  afugwae  ambae  anapendwa sana  na  wachawi.

Wachawi  wenza wanapo jitokeza, hufanyika  zoezi  la  kumchoma  mnyama  huyu  wa porini akiwa  katika  hali hiyo  hiyo  ya  kummeza  mnyama wa  nyumbani.

Huchomwa  pamoja  na  madawa  ya  kichawi, na  majivu yake  hutumika  katika  kutengeneza  uchawi  wa aina  mbalimbali  kama  vile  uchawi  wa kumkamata  na  kumficha  mtu  kimapenzi, kumuweka  mtu kwenye  chupa, kupambana  na  washindani  wa  kibiashara, kazini  au ushindani  wa  aina  yoyote  ile, kuwatupia  watu  uchawi , kufunika  uchawi  nakadhalika.

(KUFUNIKA  UCHAWI   NI UCHAWI  UNAOFANYWA  NA  WACHAWI  KWA  LENGO  LA  KUWAFUNGA  WATU  WALIO WAROGA  ILI  WASIJUE  KAMA  WAMEROGWA WALA  WASIPATE  WAZO  LA  KUFIKIRIA  AU KUAMINI  KAMA  WAMELOGWA. Mfano  unaweza  kukuta  familia  fulani  inalogwa  ili  kuteketezwa  kwa  ugonjwa  wa  aina  Fulani. Pamoja  na  kwamba  watu  wa  familia  hiyo  wanakuwa  wanaugua  magonjwa  ya  ajabu  na  kufa  katika  mazingira  ya  kutatanisha  lakini  hawezi  kutokea  hata  mtu mmoja  katika  familia hiyo  wa  kusema  kwamba  wamerogwa  na  hivyo  wachukue  hatua  stahiki  kama  vile  kwenda  kwa  waganga  au  kwa  watumishi  wa  Mungu.  Na  hata  ikitokea mmoja  kati  ya  wanafamilia  akapata  wazo  la  kuwashitua  waende  kwa mganga  au  kuwaona  watumishi  wa  Mungu, basi  atapata  upinzani  wa  hali  ya  juu.

Sasa  basi huyu  mwanamke, kila  atakapo  kuwa  anachanjiwa  dawa, huwa  kunakuwa  na   tamko  la  maneno  maalumu.

Kwa  mfano  wakati  anachanjiwa  tumbaku, huwa  kunakuwa na  maneno  maalumu  ambayo  yanakuwa yanatamkwa  wakati  mhusika  anachanjiwa tumbaku.

Na  wakati  anachanjiwa  hiyo  ndele , maneno  yake  maalumu  hutamkwa  pia.

Kesho  yake  asubuhi  na  mapema  mwanamke  huyu  atapewa  kuoga  maji  maalumu.

Maji  haya  huchotwa  mtoni alfajiri  na  mchotaji  anatakiwa  kuwa  ndio  mtu  kwanza  kuchota  maji  hayo  kwa  siku  hiyo.

Maji  haya  huchotwa   kwa  dua  na  tambiko  maalumu.

Maji  haya  yatachemshwa  pamoja  na  dawa  maalumu  na  kisha  mwanamke  huyo  atapewa  kukoga.

Baada  ya  mazoezi  niliyotaja  hapo  juu  kukamilika.Mwanamke  huyu  anakuwa  sasa  amewiva.  Majini  wachafu, mabalaa  na  mikosi  yote  inakuwa  imeondoka  kwenye  mwili  wake.  Na  nyota  yake  inakuwa  imepaa.

Akisha   maliza  kuoga  na  kupumzika  linaanza  kufanyika  zoezi  la  kumtazama  mwanaume  anaye mtaka.

Kupima  nyota  yake  na  kinga  yake. Kuangalia  kama mwanaume  huyo  ana  kifungo  chochote  cha  nafsi kutoka  kwa  mwanamke  mwingine.

Kama  nyota  ya  mwanaume  huyo  ipo  juu  , basi  lazima  nyota  ya  mwanaume  huyo  ishushwe  kwanza .

Hivyo basi  nyota  ya  mwanaume  huyo  itashushwa  hadi  kuwa  chini  kabisa. Hii ndio sababu  wanaume  wengi  wanaofungwa  kimapenzi huwa  wanafilisika  baada  ya  muda  fulani  na  mambo  yao  huwa  yanashuka  na  kuwachachia.

Zoezi  la  kushusha  nyota  ya  mwanaume  huyu  huchukua  lisaa  limoja  hadi  masaa  matatu  kulingana  na ukubwa  wa  nyota  yake.

Zipo  njia  nyingi  zinazo  tumika  kushusha  nyota  moja  wapo  ni  kutumia  misumari  kwenye  mti  wa  mgodo au mti  wa  majini  wabaya.

Kitu  kingine  kitakacho  angaliwa  hapa  ni  kama  mwanaume  huyu  ana  kifungo  chochote  cha  kimapenzi  kutoka  kwa  mwanamke  mwingine  yoyote  Yule.

Kama  atakuwa  na  kifungo  basi  kitaondolewa  na   nyota  ya  mwanamke  huyo  itashushwa   na  kuzikwa  au   watafarakanishwa .

Zoezi  la  kuwafarakanisha  huwa  linafanyika  kwa  kutumia  ndumba moja  chafu  sana, ndumba  hii  inatengenezwa kwa  kutumia  mavi  ya  nyani, mavi ya sokwe, mavi ya  ngedere, mavi ya mtu  ambayo  aliyanya  akiwa  porini, mavi  ya  bundi, mavi  ya  mpambe  wa  bundi ( MPAMBE  WA  BUNDI  NI  NDEGE  MMOJA  WA  PORINI  AMBAE  HUFUATANA NA  BUNDI KILA  MAHALI) Mavi  ya  ndege  wa  porini aitwae  mkatasanda, mavi ya  kinyonga, udongo  wa  kwenye  milima  miwili  ambayo  haionani  pamoja  na  dawa  nyingine  za  kichawi.

Hii ni dawa  hatari  sana. Mke na  mume  wakichomewa  dawa  hii  kama  walilala  wote  wataamka  wote  vizuri  lakini wakisha  achana  tu  kwenda  kazini  basi ndio  hawataonana  tena  wala  kukaa  pamoja  tena.

Ni  uchawi  wa  hatari  sana.  Baada  ya  kusafisha  njia, zoezi  litakalo  fuata  hapa  sasa  ni  kumvuta  mwanaume  huyo  kwa  kutumia  uchawi au  uganga.

Katika  ulozi  wa  kumvuta  mtu  kichawi, zipo  njia  nyingi  sana. Sio  rahisi  kuelezea  njia  zote . Katika  kitabu  hiki  nitazielezea  njia   tatu  ambazo  nimeona  ni  rahisi  kidogo  kuzielezea  kuliko  njia  nyingine.

Kwanza  kabla  sijaelezea  njia  hizi  tatu  moja  baada  nyingine, naomba  nielezee  sababu  kwanini  wanawake  hulazimika  kutumia  uchawi  wa  kuwavuta  wanaume  kichawi?

Sababu  kuu  ni  moja  tu, nayo ni kwamba, mwanamke  hasa  mwanamke  wa  kiafrika  hata  ampende  vipi  mwanaume , huwa  hawezi  kumtamkia  anampenda, sana  sana  atakacho kifanya  ni  kujilengesha  kwa  mwanaume  anae  mtaka  na  si kumtamkia  anampenda.

Ndio  maana  wanawake  wengi  hulazimika  kutumia  uchawi  wa  kuwavuta  wanaume  wanaowataka.  Unavutwa  mwanaume  ili  wewe  mwenyewe  umfuate  mwanamke  huyo  kumtamkia  unampenda

Katika  njia  hii  ya n kumvuta  mwanaume  kwa  kutumia  uchawi,  huwa  kuna  hatua  kuu  tatu  kama  ifuatavyo ( HATA  MWANAUME  ANAWEZA  KUTUMIA  UCHAWI  HUU  KUMVUTA  MWANAMKE )

KUPIKA  DAWA  KWENYE  MAFIGA  MABICHI.
Kwanza  huwa  linaanza  zoezi  la  kumuita  mwanaume  aliye  kusudiwa  kwa  kutumia  mafiga  mabichi  na  majani  ya  mdizi  au mgomba,

Huwa  inakuwa  kama  ifuatavyo : Kwanza  huwa  ni  lazima  kuwe  na  picha ,  nguo  au majina   au kitu  chochote  cha  mwanaume  aliye kusudiwa.

Pili  huwa  ni  lazima  iwepo dawa  ya  kiganga  iitwayo  ukurubizo pamoja  na  dawa  nyingine  za  porini  ambazo  ni Mpapatiko, Mkubashengelo, Mzungupori,  Kishinda wachawi, Mti mkuu,  Mfalme  wa  pori, Inama nikuchume   (  Hii  inama nikuchume . Ukitaka  kuichuma  inainama, ukisha  chuma  inarudi  katika  hali  yake  ya  kawaida )

Tatu  kuwe  na  Mafiga  ya  miti  mibichi . Nne  kuwe  na  mafuta  ya  usiku, Tano  kuwe  na  majani  ya  mgomba  makavu  ambayo  yatatumika  kama  kuni  za  kupikia  uganga.  ( Mti  wa  mgomba  una  matumizi mengi sana  katika  uganga, uchawi  na  tiba  )

Sita  mwanamke  huyu  lazima  awe  amevaa  vazi  maalumu  la  kiganga  kwa  ajili ya  shughuli  ya  kupika  huu  uganga  wa  kumuita  mwanaume.              

Siku  hiyo  jua  halitazama, mtu huyo  atakutafuta .  Kama  unaishi nae  katika  mji  mmoja  atakuja  siku  hiyo  hiyo. Kama  anaishi  mkoa  wa  mbali  au nje ya  nchi, atapanga  safari  yake  siku  hiyo  hiyo  na  kesho  atakutaarifu  anakuja.

Itachukuliwa  picha  au jina  au  kitu chochote  cha  mwanaume  huyo  vitawekwa  kwenye  chungu, pamoja  na  maji, dawa  nilizo zitaja  hapo  na  mafuta  ya  usiku. Chungu  hiki  kitawekwa  kwenye  mafiga  mabichi  ambayo  yatachochewa  kwa  kutumia  majani  makavu  ya  mgomba.

Vitu  vyote  hivyo  vitapikwa  kwenye  hicho  chungu  huku  maneno  maalumu  ya  kiganga  yakitamkwa. Zoezi  hili  litafanyika  kwa  muda  wa  dakika arobaini.

Baada  ya  hapo itafuata  hatua  ya  pili  ambayo  hujulikana  kama  herufi  za  moto. Katika  njia  hii  huchukuliwa  mayai  saba  ya  kuku  wa  kienyeji , kila yai  litaandikwa  herufi saba  za  moto. Hizi  herufi  ni  herufi za  majini  na  kila  herufi  inasimama  badala  ya  majini  mia  saba  wa  moto  na mvuto  wa  mapenzi.  Ni herufi  hatari  sana.  Herufi hizi  zitaandikwa  kwa  kutumia  hina. Yaani  hina  itatumika  kama  wino  na  kijiti  kitakacho  tumika  kuandikia  herfu  hizo lazima  kiwe  kijiti cha  mti  wa  msufi  ambacho  kilichumwa  kwa  kutumia  tambiko  maalumu . Mti  wa  msufi una  Baraka  kubwa  sana  za  majini  na  maruhani  wazuri. Ni  sawa  na  mti  wa  mkomamanga, mkuyu, mzeituni au mkunanazi.

Hina ina  majini  na  maruhani  wakali  sana  wa  mapenzi, ambao  nikisema  niwaelezee  hapa  mmoja  mmoja  pamoja  na  kazi zao  na  jinsi  wanavyo  tumika, nitatakiwa  kuandika  vitabu  vingine  mia  moja.

Ndio  maana  mabibi  harusi  na wanawake wa  Pwani  ya  Afrika  Mashariki kwa  ujumla huwa   wanapenda  sana  kujiremba  kwa  kutumia  hina. Hii  ni kwa sababu  hina ina  maruhani  wenye  mvuto mkali  sana  wa  mapenzi. Nashauri  kila  mtu  ajifunze  jinsi  ya  kutumia  hina  kwenye mvuto  wa  mapenzi, kwa  sababu  ipo  namna  maalumu  ya  kutumia  hina  kwenye  mvuto  wa  mapenzi.

Hina  inapochanganywa  na  dawa  nyingine tatu  za  porini, na  kutumika  kuogea , huwa  na  mvuto  mkubwa  sana  wa  mapenzi. Nashauri  kila  mwanandoa  au  kila  aliye  kwenye  ndoa, atumie  dawa  hizi kwa  ajili  ya  kuogea. Atapata  matokeo mazuri  sana  kwenye  ndoa  yake. Anaweza  kutumia  kwa  kuchanjiwa  pia.

  Kijiti cha  mti  wa  msufi, kinachovwa  kwenye  hina iliyopondwa  na  kukorogwa  na  maji  kisha  kinatumika  kuandika  hizo  herufi  saba  za  moto  wa  mapenzi.

Herufi  hizi  huandikwa  kwenye  yai  kwa  lugha  maalumu ya  kitabibu.

 Kila  herufi  huwa  ina  majini  wakali  wa  mapenzi  wapatao  mia saba. Huu  ni  uchawi  mkali  sana  wa  kimapenzi  na  unashauriwa  usimfanyie  mtu  kwa  kumkomoa.

Baada  ya  kuandika  herufi  hizi  saba  kwenye  kila  yai, unachukua  hayo  mayai  unakwenda, ima njia  panda, ima kando kando ya  mto, ima kando kando ya  ziwa, ima  kando  kando  ya  bahari, ima  porini au  sehemu  yoyote   iwe  nyumbani  kwao  au  mahali  popote  utakapo  ona  pana  faa.

 Ukifika  sehemu  hiyo  unachimba  shimo, ndani  ya  shimo  hilo  una mwaga  dawa iitwayo  kishinda  wachawi,  pamoja  na  mti wa  hina, unaweka  mayai  yako, kisha  unanyunyizia  mafuta  ya  usiku,  unafukia  halafu baada  ya  hapo, unaweka  mkaa  juu  ya  shimo  hilo, unawasha  mkaa  huo  huku  ukitamka  maneno  maalumu  ya  kiganga. Unapokuwa  unaweka  mayai  yako, hakikisha  unakadiria  kuwa  moto  au  joto  la  moto  wako  litayafikia  mayai.

Huu  ni uchawi  hatari  sana. Uliemkusudia ataanza  kufanya  mipango ya  kuja  kukuona  wakati  huo  huo.

Hii   ni   hatua  ya  pili. Katika  hatua  hii  ya  tatu  huwa  vinachukuliwa  vitu  vifuatavyo :Chumvi  ya  mawe  punje  21, Mtama  mweupe  punje 21 Mpapatiko , Mwita ,Mvuti, Mkurungu ,Mwinula ,Maseko , Mfupa  wa  nyama  au  samaki  iliyo  tupwa  zamani ikakauka..inatwangwa  na  kuwa  kama  ubani.

 Vitu  vyote  hivi  vinachanganywa  na  kusagwa  kwa  pamoja  kisha  kinatafutwa  kigae  cha  chungu  au  mtungi  ulio pasuka wenyewe  zamani.

Dawa  hii  inachukuliwa  na  kisha inawekwa  kwenye  kigae  cha  chungu  au  mtungi  ulio pasuka  zamani.  Zoezi  la kumuita  mtu  aliye kusudiwa  litafanyika  kupitia  kwenye  kigae  au  chungu  kilicho  pasuka. Baada  ya  hatua  hii  itafuata hatua  ya  nne, katika  hatua  hii  ya  nne,. Litafanyika  zoezi  la  kumuita  mtu  kwa  kutumia  koroboi.

Hapo  wachawi  huchukua   kipande  cha  sanda  iliyo tumika  kumvisha maiti ,  mwita, mpapatiko,kalimukamwi,mafuta  ya  mbarika ndogo, kishinda wachawi, mfalme  wa  pori pamoja  na  mafuta  ya  taa  ambayo  hutakiwi kuyaomba  wala  kuyanunua.  Kipande  hiki cha  sanda  ndio  kitatumika  kama  utambi  wa  kumuita  mtu  aliye  kusudiwa  na  huviringishwa  pamoja na  dawa  nilizo zitaja hapo  juu  pamoja  na  mafuta  ya  mbarika  ndogo.  Hutakiwi  kutumia  mafuta  ya  taa  uliyo nunua  au  uliyo yaomba, kwa  sababu  huyu mtu  haumbembelezi,. Ila unamuita  kwa  lazima.

Utambi  utawashwa  na  mhusika  atakuwa  anatamka  maneno  maalumu  ya  kumuita  mpenzi  wake.  Kama  anae  fanya  zoezi  hili  ni  mwanaume, lazima  awe  na  mti  wa  mnyaa.  Hii  inawahusu  wale  wanaume  ambao wamekimbiwa  na  wake  zao. Mti wa  mnyaa, kipande  kitafungwa  mlangoni, hal;afu  kipande  kitatumika  kuchora  kuanzia  mlangoni  kwenda  hadi  uvunguni  mwa  kitanda  anacho  lalia yeye  na  ambacho  amekusudia  huyo  mke  wake  aje  alale  hapo, na  akisha  lala  kipande  hicho  cha  mnyaa  kitachukuliwa  na  kutengenezwa ndumba  nyingine.  Hii  inaweza  kufanya  na  mwanamke  pia  ila  sharti awe  amevaa  vazi  maalumu.

Mtu  akiitwa  kwa  njia  hii, huja  haraka  sana  na  anapokuja  zoezi  linalo  fuatwa  huwa  ni  kufungwa.

Zoezi  la  kumfunga  mwanaume  kichawi  hufanyika  kwa  lengo  la  kumfunga  mwanaume  asibanduke  kwa  mwanamke huyo, na  awe  nae  na  kufuata  kila  kitu  anacho  kitaka  mwanamke  huyo  katika  siku  zote  za  maisha  yake.  Zoezi  hili  hufanyika  kwa  kutumia dawa  za  kulisha, kuogesha  na  kulisha.

Baadhi  ya  vizimba  vinavyo  tumika  katika  kutengeneza  ndumba  ya  kumlisha  mwanaume  kwa  lengo  la  kumfunga  asiondoke  ni  pamoja  na :  Vinachukuliwa  vizimba  zaidi  ya  arobaini, vinaunguzwa  na  kusagwa  halafu  mwanaume  analishwa .

Jinsi  anavyo  lishwa. Siku  ya  kwanza   mwanamke  anakaa  uchi  wa  mnyama, anachukua  dawa  anapaka  kwenye  viganja  vyake  kisha   vyote  kisha  anasugua  dawa  hiyo  pamoja  na  uchafu  wa  kwenye  viganja  vyake. Uchafu  huo  unachanganywa  na  dawa  nyingine,kisha  mwanaume  analishwa  kupitia  chakula. Wakati  anakwangua  uchafu  wa  kwenye  viganja  vyake  anakuwa  anatamka  maneno  maalumu.

Siku  ya  pili, anajipaka  dawa  hiyo  na  asali  mwili  mzima  kisha  anakaa  kwenye  beseni  na  kujisugua  uchafu  wa  mwili  mzima kisha  uchafu  huo  ulio changanyikana  na  dawa hiyo  unachanganywa  na  dawa  nyingine  kisha  mwanaume  husika  analishwa.

Siku  ya  tatu   anachukua  mchele  kilo  tatu  anauchanganya  na  MAJI  MAKUU  lita  tano  anauacha  usiku  kucha, ikifika  asubuhi  anauengua  mchele  anabaki  na  maji, halafu  anayachukua  hayo maji  Anaya  chemsha  pamoja  na  mdalasini  wa  India  ulio  sagwa,  anapasuliamo  mayai arobaini  ya  kuku  wa  kienyeji,  anaongezamo  marashi  ya  rose  pamoja  na  dawa  ya  kishinda  wachawi, mkubwa  shengelo, mafuta  ya  mcheka  na  mbingu.

Vitu  hivyo  vikisha changanyikana, anaoga  akiwa  juu  ya  meza  huku  anatamka  maneno  maalumu.

Kesho  yake, anatafuta  njiwa  saba  au  kuku  saba  anawalisha  ule  mchele  wote  anabakiza  kiasi kidogo  ambacho  kitapikwa  na  mmoja  kati  ya  kuku  alio walisha  mchele, na  wakati  wa  kuliwa  kitaliwa  kikiwa  mgongoni  mwake , yaani  mgongo  wake  utatumika  kama meza.

Hili  ni  tambiko  hatari  sana na  hufanyika kwa  ajili  ya  mwanamke  kutaka  kumtawala  mume  wake.

Jinsi  ya  kumzindua  mwanaume  au mwanamke  aliye  fungwa  kwenye  uchawi  wa  mapenzi, huwa  yanafanyika  matambiko  ya  aina  mbalimbali. Matambiko  haya  yana  hatua  nyingi  sana  siwezi  kuelezea  kila  hatua  kwenye  kitabu  hiki, ila kwa  ufupi  yamegawanyika  katika  aina  kuu mbili; Aina  ya  kwanza  ni  pale  mhusika  anapokuwa  mbali  na  aina  ya  pili  ni  pale  mhusika  anapokuwa  karibu. 

Kama  mhusika  yupo karibu  atalishwa  dawa  maalumu  na  kutapika  uchawi  kisha  uchawi  huo  utaenda  kuteketezwa  njia  panda. Na  kama  mhusika  yupo  mbali, tambiko  huwa  linaenda  kufanyikia  chini  ya  mti  mmoja  mkubwa  sana  katika  uganga.

Mti  huu  una  sifa  moja  kubwa. Kwanza, huwa  hakuna  kitu  chochote  kibaya  kinacho  kaa  katika  mto  huu, kiwe  nyoka, kiwe  mdudu  mbaya  au  kiwe  jinni  au  shetani  mbaya.  Na  pili  mti huu  una  tibu  magonjwa  karibu yote  na  unatumika kuogea  kwa  ajili  ya  kuondoa  mabalaa  na  kupandisha  nyota.

Kikubwa  mti  huu  hutumika  kubatilisha  mabalaa  na  uchawi  wa  aina  zote.  Mti  ambao  katika  kila  nyumba  ya  mganga  lazima  uwepo. Ni mti  ambao  kila  nyumba  inatakiwa  kuwa  nao.

Mganga  atakwenda  kwenye  mti  huu  muda  maalumu  ambao  utaendana na  siku  husika. Atakwenda  na  pemba  nyeupe  arobaini, kuku weupe  saba, mayai  arobaini  ya  kuku  wa  kienyeji na  punda  mmoja  mwenye  alama  ya  msalaba  shingoni.

Akifika  katika  eneo la  mti  huo, atatoa  kafara  kisha  litafanyika  tambiko  maalumu  la  kubatilisha   uchawi. Mambo  mengi  yatakayo  fanyika  siku  hiyo  yatakuwa  yakifanyika  huku  mganga  akiwa  anatembea  kinyume, Mfano  atauzunguka  mti  huo  kinyume  nyume  mara  arobaini na  kadhalika.

Kwa  ufupi  ili  kuepukana  na   shari  za  wachawi  na  watu wabaya, ni  vyema  kujilinda  na  kujikinga  ili  kujiepusha  na  usumbufu usio kuwa  wa  lazima.

USIKOSE  KUFUATILIA  SEHEMU  YA  TATU  YA  KITABU  HIKI  AMBAYO  UTAISOMA  MUBASHARA  KUPITIA www.mungwakabili.blogspot.com

VIDEO: Yaliyojiri Bungeni Dodoma leo Mei 15, 2017

$
0
0
Fuatilia hapa matangazo moja kwa moja ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mjini Dodoma leo Mei 15, 2017, kipindi cha maswali na majibu. 

==>Bofya hapo chini kutazama.

Wabunge Walalamika Kugeuzwa ATM Mashine na Wananchi

$
0
0
Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara (Chadema), amesema wananchi wamewageuza wabunge wa Tanzania na kuwa kama mashine za kutolea fedha (ATM) na Vyama vya Kuweka na Kukopa (SACCOS).

Kutokana na hali hiyo, amesema kuna haja Serikali kuboresha mafao yao ili yaendane na majukumu wanayokabiliana nayo.

Waitara aliyasema hayo jana mjini hapa wakati wa semina ya wabunge walioko katika mabunge ya nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola (CPA).

“Mshahara wa mbunge kila mwezi unakatwa shilingi milioni 1.2, lakini baada ya kumaliza miaka mitano ya ubunge, mafao yake yanakatwa tena.

“Hivi huo utaratibu mliutoa wapi wakati haupo nchi yoyote duniani? Sisi wabunge tumegeuzwa kama ATM au saccos kwa sababu tutatoa pesa kila mahali.

“Kule Kenya ofisi ya mbunge ni kama taasisi kwa sababu ina mbunge na ina mtafiti anayemsaidia mbunge kila anapotaka kufanya mambo yake.

"Hata kukiwa na harambee, mbunge unaitwa na kutakiwa uchangie fedha nyingi, sasa utachanga kwa fedha zipi wakati mnatulipa kidogo, yaani huu ni mzigo kwetu wabunge.

“Kwa hiyo, tuongezeeni mafao kwa sababu tunalipwa kidogo sana ikilinganishwa na nchi zingine,”alisema Waitara.

Kwa upande wake, Mbunge wa Songwe, Philipo Mulugo (CCM), pamoja na kulalamikia mafao madogo, alitaka kujua takwimu halisi za malipo wanayolipwa wabunge wa Kenya na nchi zingine ili wayalinganishe na wanayolipwa wabunge wa Tanzania.

Naye Mbunge wa Viti Maalum, Shally Raymond (CCM), alisema kuna haja kwa wabunge hao kuboreshewa mafao yao ili waweze kufanya kazi kwa mafanikio zaidi.

Mbunge wa Tunduma, Frank Mwakajoka (Chadema), pamoja na kulalamikia mafao, alilalamikia utaratibu wa vyama vya siasa kukutanisha wabunge wao ili wakubaliane kupitisha mambo yenye masilahi ya chama badala ya kuangalia utaifa.

Wakati hao wakisema hayo, Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), alitaka wabunge wawekewe bima ya afya ya maisha kama sheria inavyotaka.

“Kwanza kabisa nimeshangaa kusikia makao makuu ya CPA Barani Afrika yapo Tanzania na pia ofisi yao iko hapa bungeni.

“Kuhusu hilo suala la bima ya afya ya maisha ya wabunge, nashangaa kwanini Serikali haitaki kuliruhusu kwa wabunge kwani hata Tume ya Utumishi ya Bunge, imekuwa ikisisitiza juu ya jambo hilo.

“Yaani Tume ya Utumishi imelifuatilia kwa muda mrefu, lakini Serikali haitaki kukubali, jambo ambalo hakitendi haki kwa sababu baadhi ya wabunge wameshafariki na wengine wamepata ulemavu,” alisema Lugola.

Hata hivyo, wakati akijibu hoja hizo, Katibu wa Spika wa Bunge, Said Yakub, alisema chanzo cha wabunge kugeuzwa ATM ni wao wenyewe kwa sababu ndivyo walivyowazoesha wapiga kura wao.

Mwigulu Nchemba: Bado Hatuna sheria ya kuthibiti shisha

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba bungeni leo amesema serikali bado haina sheria ya kuthibiti matumizi ya kilevi aina ya shisha ila lipo agizo la Waziri Mkuu la kupiga marufuku biashara hiyo na kutaka agizo hilo lifuatwe na kila mtu.

Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akijibu swali bungeni kuhusu matumizi ya kilevi hicho cha shisha ambacho bado katika baadhi ya maeneo kimeendelea kutumika na kuleta athari kwa watumiaji.

"Ni kweli serikali baada ya kuona matumizi ya kilevi cha Shisha yanaleta athari kwa binadamu, serikali imeanza kuweka sheria za kuthibiti matumizi ya shisha, usambazaji wa shisha na uagizaji wa kilevi hicho, lakini wakati tunasubiri sheria hizo tunatambua kuwa lipo agizo la Waziri Mkuu la kupiga marufuku matumizi ya kilevi cha shisha ambalo utekelezaji wake ulianza mikoani kama Dar es Salaam, Mbeya, Iringa na mikoa mingine imeendelea kuitikia. Kwa hiyo maelekezo ya Mh. Waziri Mkuu yanafanyiwa kazi bila kupunguza hata nukta" alisema Mwigulu Nchemba

Mbali na hilo Waziri Mwigulu alisema anatambua wapo watu walipewa leseni kwa ajili ya kufanya biashara hiyo ya shisha lakini kwa kuwa serikali inajali masuala ya afya ya Watanzania ndiyo maana wanatakakuja na sheria ili kuthibiti kilevi hicho ambacho kina athari kwa watumiaji.

Manara alalama kubambikiwa mzigo usiomhusu Kuhusu Sportpesa

$
0
0
Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Simba SC, Haji Manara amedai anaonewa kwa kupewa lawama zisizomuhusu baada ya kile kinachoaminiwa kuwa naye ni miongoni mwa viongozi walioshiriki katika makubaliano na mdhamini wao mpya Sportpesa

Manara amesema hayo siku moja baada ya mfanyabiashara , Mohammed Dewji kutoa kauli ya kusikitishwa na uongozi wa klabu ya Simba kusaini mkataba wa udhamini wa muda mrefu na Sportpesa bila ya kumshirikisha yeye, ambaye aliweka nguvu zake nyingi katika klabu hiyo.

“Uongozi wowote ni Jalala ila uongozi wa mpira ni Dampo, ‘sometimes’ napokea lawama zisizonihusu, ‘but’ nina moyo wa chuma na nina uzoefu wa kuwa kiongozi katika tasnia tofauti, kazi yangu ni kuhabarisha umma, mengine ni kunionea”ameandika Manara kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Aidha, Manara amesema kuwa hakuhusika kwa chochote katika mchakato huo lakini kwakuwa yeye nikiongozi amesema yuko tayari kupokea lawama zote zinazoelekezwa kwake na baadhi ya wanachama.

Haji Mnara: Hans Pope amefuta uamuzi wa kujiuzulu uongozi Simba

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hanspope amerudi kundini Simba baada ya kufuta uamuzi wake wa kujiuzulu

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Simba, Haji Manara amethibitisha suala hilo na kusema Hanspope amerudi kundini baada ya kujiuzulu kutokana na sakata liloendelea ndani ya Simba.

"Rasmi Hanspope arejea kundini, afuta uamuzi wake wa kujiuzulu na ndio maana 'fans' wetu nawaomba mtulie hakuna kitakachoharibika, ni upepo mbaya ulipita na sasa umetulia, karibu tena kamanda Pope" alisema Haji Manara

Serengeti Boys kutupa karata yake ya kwanza AFCON U-17 nchini Gabon...... Issa Abdi Makamba Ameondolewa Kwenye Kikosi

$
0
0
Hatimaye siku iliyokuwa imesubiriwa kwa hamu na Watanzania ya kuishuhudia timu yao ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys imefika ambapo, leo Jumatatu inafungua pazia lake katika mashindano ya Kombe la Afrika kwa Vijana, kwa kumenyana na Mali katika michuano hiyo inayofanyika nchini Gabon.

Aidha, Serengeti Boys imepangwa katika Kundi B, ambapo katika kundi hilo iko pamoja na timu nyingine za Angola na Niger ambazo nazo zitakuwa kibaruani leo.

Kocha Mkuu wa timu hiyo, Bakari Shime amesema kuwa kikosi cha Serengeti Boys kiko vizuri na kimejiandaa vya kutosha kuwakabili vijana wa mali kwenye mchezo huo wa kwanza.

“Kikosi kipo vizuri na tumejipanga kuikabili vilivyo timu ya Mali kwani tunataka kuwafurahisha Watanzania kwa kutowaangusha na naomba wazidi kutuombea,” amesema Bakari Shime.

Timu hiyo ya Taifa ya vijana pamoja na maandalizi mazuri lakini imepata pigo baada ya nahodha, Abd Makamba kuvunjika mguu hivyo hataweza kushiriki mashindano yote.

"Ni jambo la kusikitisha kidogo kwamba Nahodha wetu Issa Abdi Makamba alipata mpasuko wa mguu juzi mazoezini kwa bahati mbaya akiwa pekee yake kabisa…Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa madaktari wangu wamesema kwamba hatoweza kushiriki mashindano haya na jina lake tumeliondoa katika mashindano tayari nafasi yake imeshachukuliwa na mtu mwingine kwa sababu tulikuwa na wachezaji wa akiba". Alisema Shime na kuongeza;
 
“Imekuwa bahati mbaya kwetu, bahati mbaya kwa Issa Abdi amepambana kwa miaka miwili kuiongoza hii timu kuhakikisha inafikia hapa ambapo imefika lakini tunaamini mchango wake ni mkubwa sana na kwa sababu bado yupo ndani ya kikosi anaendelea na majukumu yake kama Kapteni kuhamasisha na kuongoza wenzake bado tunampa pole Issa Abdi tunaamini kabisa wachezaji wanatakiwa kupigana kwaajili yake”.
 

Rais Magufuli aivunja Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA)

$
0
0
Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 15 Mei, 2017 ameivunja rasmi Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) na ameagiza mali na shughuli zote zilizokuwa zikifanywa na CDA zihamishiwe Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma.

Mhe. Rais Magufuli ameivunja CDA kwa kutia saini hati ya Amri ya Rais ya kuivunja Mamlaka hiyo Ikulu Jijini Dar es Salaam, tukio ambalo limeshuhudiwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi, Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Antony Mavunde, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bw. Jordan Rugimbana na viongozi mbalimbali wa wizara.

Mhe. Rais Magufuli amesema ameamua kuivunja CDA na kuhamishia majukumu yake katika Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma ili kuondoa mkanganyiko wa utoaji wa huduma kwa wananchi uliokuwa ukisababishwa na mgongano kati ya vyombo hivyo viwili na pia kuendana na mahitaji ya sasa ambayo yamedhihirisha kuwa hakuna haja ya kuwepo kwa CDA.

Kufuatia uamuzi wa kuivunja CDA, Mhe. Dkt. Magufuli pia ameivunja Bodi ya CDA, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa CDA Mhandisi Paskasi Muragili atapangiwa kazi nyingine na ameagiza wafanyakazi wote wa Mamlaka hiyo wahamishiwe Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma na ofisi nyingine za Serikali kadiri inavyofaa.

Aidha, Mhe. Rais Magufuli ameagiza hati zote za kumiliki ardhi zilizokuwa zikitolewa na CDA kwa ukomo wa umiliki wa miaka 33 zibadilishwe na kufikia ukomo wa umiliki wa miaka 99 kama ilivyo katika maeneo mengine nchini ili kuwavutia wawekezaji hasa wa viwanda.

“Wananchi wa Dodoma wamelalamikia tatizo hili kwa muda mrefu sana, hata nilipokuwa kwenye kampeni zangu za uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 walilalamika sana, sasa nimetekeleza niliyowaahidi, naamini kwa uamuzi huu malalamiko ya wananchi yatapata utatuzi na pia tutakuwa tumeondoa kikwazo cha umiliki wa muda mfupi wa ardhi uliosababisha wawekezaji kushindwa kujenga viwanda Dodoma.

“Sasa majukumu yote yanahamishiwa Manispaa ya Dodoma, sitaki kuendelea kusikia visingizio, mkajipange mambo yaende vizuri” amesisitiza Mhe. Rais Magufuli.

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa wamemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa uamuzi huo na wameahidi kusimamia kwa ukaribu mchakato wa kuhamisha majukumu ya CDA kwenda Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma.

Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) ilianzishwa kwa Amri ya Rais ya tarehe 01 Aprili, 1973 na kutangazwa kupitia tangazo la Serikali namba 230 na imevunjwa rasmi leo tarehe 15 Mei, 2017 kwa Amri ya Rais na kuchapishwa katika gazeti la Serikali.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
15 Mei, 2017

Waziri wa Elimu awasimamisha kazi vigogo wa Taasisi ya Elimu ya Tanzania

$
0
0
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako leo Jumatatu jioni amewasimamisha kazi Kaimu Kamishna wa Elimu, Nicholas Bureta na Kaimu  Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu ya Tanzania (TIE), Dr. Elia Kidga kufuatia sakata la kasoro zilizopo katika vitabu vya kujifunzia wanafunzi.

Waziri Ndalichako ametangaza hatua hiyo kufuatia kuibuka kwa mjadala bungeni leo jioni kuhusu kasoro kwenye vitabu hivyo ambavyo vimechapishwa na taasisi hiyo kwa ajili ya kufundishia. Miongoni mwa makosa yaliyobainika kwenye vitabu hivyo, ni kurasa ulioandikwa kuwa Dodoma ndio mji mkubwa Tanzania.

Waziri Ndalichako amewasimamisha viongozi hao na ameliambia bunge kuwa uchunguzi wa kina unafanyika na baada ya kukamilika hatua za kinidhamu na kisheria zitachukuliwa dhidi ya wote waliohusika.

Wabunge walitishia kuzuia kupitisha bajeti ya Wizara ya Elimu hadi hapo wizara itakapotoa uamuzi wenye mantiki katika kutatua tatizo hilo lililozua mvutano mkubwa.

“Kwa mamlaka niliyonayo, namuagiza Kaimu Kamishna wa Elimu na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE), kuondoka ofisini mara moja ili kupisha uchunguzi,” alisema Ndalichako

Baada ya waziri kutoa agizo hilo, wabunge waliridhia kupitisha bajeti ya wizara hiyo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya May 16

Afande Sele Alia na Utapeli Ndani ya Miss Tanzania

$
0
0

Msanii Afande Sele amefunguka mengine mapya kwa kudai shindano la Miss Tanzania kwa sasa linatia aibu kubwa katika taifa kwa kukosa hadhi huku likionekana ni shindano linalomnufainisha mtu mmoja nasiyo taifa kama ilivyokuwa awali.

Afande Sele amesema hayo baada ya watu wengi ndani na nje ya nchi kutoridhishwa na zawadi ya gari aliyopewa Miss Tanzania 2016/2017, Diana Edward  wakidai limechakaa na linashusha hadhi ya mashindano hayo pamoja na kuvunja moyo  watu ambao walikuwa na lengo la kushiriki katika mashindano mengine yajayo.

“Utapeli ni nini ?....Gari ya Miss Tanzania 2017 na gari ya Miss Tanzania 2011 zinatoa jibu la swali hilo…Lakini pia ni vyema tukamuomba waziri husika katika masuala hayo …a.k.a Dk. Marufuku akamuulize muandaaji wa Miss Tanzania kama ni kweli ameaumua kuzeeka labda hata kufa na shindano lake?”. Ameandika Afande Sele kupitia mtandao wake wa kijamii Instagram

Msanii huyo aliendelea kwa kusema“Kama kweli iko hivyo basi itoshe pia kubadili jina la shindano kwa kuliita Miss jina lake badala ya kuendelea kutia aibu Taifa kwa kuliita Miss Tanzania huku likikosa hadhi ya kitaifa katika maeneo yote kwa makusudi na maslahi yake yeye mtu mmoja tu…aibu yake aibu yetu…Imetosha sasa…imestosha sana”.

Zitto ataka hatua kali zichukuliwe dhidi ya askari polisi aliyemtishia bunduki Adam Malima

$
0
0
Katika hali isiyokuwa ya kawaida iliyotokea jana Jijini Dar es salaam kwa kitendo cha aliyekuwa Naibu Waziri Wizara ya Fedha katika utawala wa awamu ya nne, Adam Malima kutishiwa bunduki na askali mmoja aliyekuwa doria kimewashangaza wengi na kupelekea Mbunge wa Kigoma Mjini, Zuberi Zitto Kabwe kuonyesha masikitiko yake hadharani kwa kitendo kilichofanywa na askali huyo.

Zitto kabwe ameonyesha masikitiko hayo kupitia ukurasa wake wa kijamii Facebook akihoji kama polisi wanafundishwa kuwafanyia hivyo raia wasiokuwa na hatia kiasi cha kuibua hofu katika jamii inayowazunguka na kupoteza imani na jeshi hilo la polisi.

“Hii ni nini ?, askari wetu wanafundishwa kufanya hivi, Waziri Mwigulu huyu yupo wazi na ni wa kutoka kwako. Unahitaji uchunguzi”. Ameandika Zitto.

Zitto aliandika hayo baada ya muda mchache kupita kwa tukio hilo lililowahusisha askari hao walioambatana na kampuni ya Majembe Auction Mart waliokuwa wakitaka kujaribu kukamata gari iliyokuwa imeegeshwa pembeni ya barabara ya Masaki karibu na Hoteli ya Double tree ingawa ndani ya gari hilo alikuwepo dereva.

Godbless Lema awashangaa wanaomdhihaki baada ya kumpongeza Nyalandu kufuatia kuwasaidia majeruhi wa ajali ya basi la Lucky Vicent.

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amewashangaa wanaomdhihaki na kumshambulia kwa maneno makali mara baada ya kumpongeza mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu kufuatia kuwasaidia majeruhi wa ajali ya basi la Lucky Vicent.

Amesema kuwa kwa hapa nchini kuwa mpinzani wa siasa za bongo ni kazi ngumu sana, hivyo inahitaji kuwa na ujasiri wa kuweza kupambana ili uweze kushindana na kila anayekushambulia hata kwa lile jema unalolifanya.

Baada ya Mbunge Godbless Lema (Chadema) kumshukuru Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM) Lazaro Nyalandu kuna kundi la watu liliibuka na kuanza kutoa maneno ya dhihaka kwa Lema huku wengine wakipongeza na kusema ni jambo la kheri kwa mbunge huyo kutambua kazi iliyofanywa na Nyalandu, lakini baada ya mijadala hiyo kuzidi kuwa mikuba Lema aliibuka na kutoa kauli hii kuwajibu waliokuwa wakimdhihaki.

“Kuwa mpinzani wa siasa Tanzania ni kazi ngumu sana, ila hatukati tamaa kwa sababu upendo wetu ni mkuu kuliko dhihaka. Mungu awabariki” aliandika Godbless Lema

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images