NDIYO habari ya ‘mujini’ kwa sasa, kwamba
staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnumz’ na mwandani
wake, mtangazaji wa kituo cha runinga cha DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’
wamemwagana.....
KAMA UTANI, WEMA ATAJWA
Kwa sharti la kutotajwa mahali popote, ‘mtonyaji’ wetu ambaye ni mtu wa
karibu wa wawili hao aliliambia gazeti la Risasi kuwa chanzo cha Diamond na
Penny kuingia
Penzi la Diamond na Penny lavunjika....Wema Sepetu adaiwa kuwa chanzo.
↧
↧
Mwaliko wa kupendekeza majina ya watakaoteuliwa kuwa wajumbe wa bunge la Katiba
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
MWALIKO KWA MAKUNDI MBALIMBALI KUPENDEKEZA MAJINA YA WATAKAOTEULIWA KUWA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete anapenda kutoa mwaliko kwa makundi mbalimbali kwa ajili ya
kuwasilisha orodha ya watu wasiopungua wanne na waziozidi tisa kwa ajili
ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge Maalum
↧
Mke amfumania mumewe akingonoka na kimada gesti.....
Mfanyabiashara wa madini
aliyefahamika kwa jina moja la Jimmy amejikuta katika wakati mgumu baada
ya kufumaniwa na mkewe akiwa na kimada gesti.
Tukio hilo lililofunga mtaa kwa kujaza wambea kibao, lilitokea hivi
karibuni ndani ya gesti moja Kinondoni jijini Dar es
salaam ambapo mke wa mfanyabiashara huyo (jina halikupatikana mara
moja), alimnasa mumewe akijiandaa kuvunja amri ya
↧
Basi la Ally lagongana uso kwa uso na Hiace mkoani Mwanza.....Watu 7 wafariki papo hapo
Watu saba wamefariki dunia papo hapo na wengine wengi inasemekana wamejeruhiwa baada ya basi la Allys linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mwanza kugongana uso kwa uso na Hiace katika eneo la Buhongwa mkoani Mwanza....
Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa hospitali ya Bugando kwa ajili ya matibabu
<!-- adsense -->
↧
HII NDO RIPOTI ILIYOWANG'OA MAWAZIRI 4 JANA BUNGENI ....
TAARIFA YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA
KUHUSU TATHMINI YA MATATIZO YALIYOTOKANA NA OPARESHENI TOKOMEZA
1.0 UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika, wakati Bunge likijadili hoja ya kuahirisha shughuli za
Bunge ili kujadili jambo muhimu la dharura kwa mujibu wa Kanuni ya 47
ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2013, iliyowasilishwa na Mhe.
Said Nkumba, Mbunge wa
↧
↧
Mganga wa Diamond aibuka tena, asema Diamond ameanza kushuka, aapa hatakufa kabla hajamuona akifulia....Bofya hapa umsikilize akiongea kwa uchungu
Mtu mmoja anayedai kuwa mganga aliyemtoa mkali wa Bongo Fleva,
Diamond Platinumz ameibuka tena na kueleza kuwa Diamond Platinumz tayari
ameanza kushuka kimuziki kama alivyosema awali.
Mtu huyo anayejitambulisha kwa jina la Dr. Yahya Michael ameuambia
mtandao wa mamuafrica kuwa kile alichokisema mwanzo kuwa Diamond
Platinumz atashuka kimuziki na kurudi pale alipokuwa kimeanza
↧
Picha 10 za mapokezi ya Zitto Kabwe mkoani Kigoma
↧
Aibu: Padri wa kanisa Katoliki afikishwa mahakamani mkoani Singida baada ya kushindwa kumtunza mwanae aliyezaaa na mhudumu wa kanisa
KANISA Katoliki limeingia kwenye kashfa baada ya mmoja wa mapadri wake katika Jimbo Katoliki Singida, Deogratius Makuri kufikishwa kwenye Mahakama ya Mwanzo Utemini mjini Singida, akituhumiwa kushindwa kutunza mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja.
Mbele ya Hakimu wa Mahakama hiyo, Ferdinand Njau, ilidaiwa, kuwa Padri Makuri alikuwa na uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu na Maria
↧
Zitto Kabwe afunika vibaya mkoani kigoma......Hii ni hotuba yake aliyoitoa leo kwa wanakigoma
HOTUBA YA MH ZITTO Z. KABWE - KIGOMA – 21 DESEMBA 2013
Leo nina furaha kubwa sana kwani baada ya safari ndefu na yenye
changamoto nimerudi nyumbani kuwasalimu wananchi wenzangu! Na hii si
salamu za kawaida bali nawasalimu kwa salaam za demokrasia, uadilifu,
uzalendo na uwajibikaji.
Nawasalimu si kama mbunge bali kama mwana wenu wa Kigoma! Na popote
niendapo najivunia kujitambulisha
↧
↧
Ajali yaua watu sita mkoani Tanga na kujeruhi 12
Watu
sita wamefariki papo hapo na zaidi ya 12 kujeruhiwa baada ya gari la
abiria aina ya Toyota Hiace kuligonga kwa nyuma lori la mizigo
lililokuwa limeharibika barabarani bila kuonyesha ishara yoyote eneo la
Kange jirani na mizani mkoani Tanga...
Baadhi ya majeruhi katika ajali
hiyo wamepelekwa katika Hospitali ya Mkoa Tanga kwa matibabu.
<!-- adsense -->
↧
JK kumng’oa Pinda? ....Yasemekana kaandika barua ya kujiuzulu , Mbinu ya Kikwete kumnusuru yabainika
HATUA ya Rais Jakaya Kikwete kuridhia kutengua uteuzi wa mawaziri wanne,
sasa ina kila dalili za kumpa nafasi ya kuchukua uamuzi wenye mwelekeo
mpya ndani ya muda mfupi ujao kuanzia sasa...
Ni
katika mwelekeo huo, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ambaye naye alitakiwa
na wabunge kujiuzulu, licha ya juzi kutokuwa tayari kulizungumzia jambo
hilo wakati akitangaza uamuzi wa Rais kutengua
↧
Picha na habari kamili kuhusu vifo vya watu 10 vilivyosababishwa na na ajali ya basi la Allys na Bunda mkoani Mwanza
Watu kumi wamefariki dunia, wanane kati yao papo hapo na wengine 16 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha mabasi ya kampuni ya Bunda na Ally, mkoani Mwanza.
Ajali hizo zilitokea ijumaa usiku katika barabara kuu ya Mwanza-Shinyanga katika maeneo ya Mitindo wilayani Misungwi na eneo la Buhongwa Dampo wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza.
Ajali mbaya zaidi iliyosisimua na
↧
Picha 5 za muonekano wa kifua cha Loveness Diva
Habari za weekend wadau, pamoja na mipasho ya habari mbalimbali za
kisiasa na matukio ya hapa na pale, si mbaya pia tukaangalia na
upande wa pili wa shilingi, nikiwa na maana ya udaku na
burudani....
Inawezekana ukawa hupendi udaku, lakini naamini kuna wanaopenda, hivyo si vizuri kuwakatili...
Hapo
chini kuna picha kadhaa za muonekano wa mwanadada
↧
↧
Barua mpya ya mfungwa Hongkong akiwataja wahusika wawili wa madawa ya kulevya nchini Tanzania
Waraka mwingine ulioandikwa katika lugha ya Kiswahili umechapishwa
hapo chini … Waraka huo unataja majina ya Watanzania wawili kuwa
wafanyabiashara wa dawa za kulevya.
Waraka huo wenye saini ya aliyejiita Jumaa, akiwa jela Hon Kong,
ni wa kurasa mbili zilizojaa maneno ya kujuta kwa kufanya kazi hiyo
haramu. Ni waraka ambao unaeleza mbinu mpya inayotumiwa na
wafanyabiashara
↧
Edward Lowassa aongoza tamasha maalum la waendesha bodaboda jijini dar na kuwashauri wanunue pikipiki zao ili waache kunyanyasika
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa
akiwahutubia Vijana waliojiajiri kwa kazi ya kuendesha pikipiki za
kupakia abiria maarufu kama Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam (hawapo
pichani) wakati wa Tamasha Maalum la Bodaboda lililofanyika leo kwenye
Viwanja vya Leaders Club,jijini Dar es Salaam.Mh. Lowassa alikuwa ni
Mgeni Rasmi katika hafla hiyo iliyofana
↧
Serikali yafuta kodi ya line za simu na kuirejesha kwa staili nyingine
Serikali imeondoa kodi ya kadi za simu iliyopitishwa na wabunge
katika Mkutano wa 13 wa Bunge ambayo ililalamikiwa na wadau na watumiaji
wa simu nchini.
Hata hivyo, kodi hiyo imerejeshwa kwa staili
nyingine baada ya kuongezwa katika tozo la kodi ya manunuzi iliyokuwepo
kutoka asilimia 14.5 ya awali hadi asilimia 17.
Kauli hiyo ilitolewa juzi na
↧
Mkakati mpya wa kumng'oa Mizengo Pinda....wabunge 26 watia saini fomu maalumu ya kutaka Bunge limng'oe
Baadhi ya wabunge wameanzisha mkakati wa kumwondoa madarakani,
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kile wanachodai kuwa hawaridhishwi na
utendaji wake serikalini.
Hiyo ni dalili kwamba kung’oka kwa mawaziri wanne
kutokana na matokeo ya ripoti ya utekelezaji wa Operesheni Tokomeza
Ujangili hakujamnusuru Pinda, kwani baadhi ya wabunge wanaendelea na
msimamo kwamba naye ajiuzulu kwa
↧
↧
Waendesha bodaboda jijini Dar wadai kwamba Lowassa ndo Rais mteule wa 2015 na kwamba atapita bila kupingwa
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowasa amewataka waendesha
bodaboda na watu wengine wasimwite Rais kwa sababu wanamtengenezea chuki
na uhusiano mbaya na watu.
“Mbona mnataka kuniletea uchuro! Mnanitengenezea
ugomvi na watu jamani…,” alisema wakati akizindua Shirikisho la Bodaboda
Tanzania jana kwenye Viwanja vya Leaders, Dar es Salaam.
Lowassa
↧
Picha za mkutano wa Dr Slaa Igunga mjini
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.
Willbroad Slaa akiwahutubia wananchi wa Igunga mjini jana katika Uwanja
wa Barafu wakati akihitimisha ziara ya kuimarisha na kukagua uhai wa
chama, mkoani Tabora.
Wananchi wa Igunga mjini wakiinua mikono juu wakati Dk. Slaa akiwahutubia jana katika Uwanja wa Barafu mkoani Tabora.<!-- adsense -->
↧
Habari kuhusu kusitishwa kwa mkataba wa kocha mkuu wa Yanga.
MUDA mfupi uliopita klabu ya soka ya Yanga imetangaza
kusitisha mkataba na kocha wake Ernest Brandts baada ya kutoridhishwa na
mwenendo wa timu hiyo. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga,
Baraka Kizuguto, mkataba wa Brandts ambaye ni raia wa Uholanzi
umesitishwa rasmi leo hii asubuhi na ameshakabidhiwa barua ya kumtaarifu
juu ya hali hiyo. “Tumesitisha mkataba na kocha wetu na
↧
More Pages to Explore .....