Binti mmoja ambaye ni mfanyakazi wa ndani ( Housegeli ) amenaswa live na kamera zilizofungwa jikoni na bosi wake akikojoa ndani ya jiko na kisha kuuchukua mkojo na kuuchanganya na chakula cha bosi wake.....
Kwa mujibu wa maelezo ya bosi huyo ( jina limehifadhiwa ) , kamera hizo za siri zilifungwa jikoni mwake siku chache baada ya kustushwa
Hausigeli anaswa AKIKOJOLEA chombo cha kumpikia chakula bosi wake....Hii ni video ya tukio hilo la huzuni
↧
↧
Mwanafunzi wa chuo kikuu apiga picha chafu akitambaa sakafuni huku wenzake wakimshangilia.....
Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu maarufu nchini amejikuta akiuaga mwaka vibaya baada ya picha zake chafu kuvuja....
Katika picha hizo, mwanafunzi huyo anaonekana kujiachia uchi sakafuni huku wenzake wakimshangilia ndani ya chumba cha hosteli chao....
Picha si nzuri....una hiari ya kuziangalia au kutoziangalia. Kikubwa hapa kilikuwa ni kufikisha
↧
Rais Kikwete awataka wananchi kuwekeza zaidi katika kilimo ili kukuza uchumi wa nchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete amesema endapo jamii itafanikiwa kuwekeza katika kilimo basi uchumi wa Tanzania utakuwa na kufanikiwa kupiga hatua katika maendeleo ya nchini...
Rais Kikwete ametoa msisitizo huo leo hii jijini Dar Es Salaam wakati wa mkutano wa saba wa baraza la Taifa la Biashara TNBC uliokutanisha taasisi binafsi na za umma kwa lengo la
↧
"Kwani Kuna ubaya gani nikitangaza hadharani kwamba natafuta mwanaume wa kunilala??...." Recho aamua kujibu skendo yake
Msanii wa THT, Rachel Haule ameijibu taarifa iliyoandikwa na mitandao
ya nchini Kenya kuwa aliwaaibisha wasanii wenzie wa Kigoma All-stars
waliokuwa kwenye show mjini Mombasa, Kenya wiki iliyopita kwa kuongea
mbele ya waandishi wa habari kwamba anatafuta mwanaume wa kumlala na kumridhisha
kimapenzi.
Akizungumza na mwandishi wetu leo baada ya taarifa hii kusambaa, Recho
↧
Taarifa ya SUMTRA kwa umma kuhusu kusitisha leseni za usafirishaji kwa mabasi ya Burudani, Polepole Classic na Osaka Royal Class
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUSITISHA LESENI ZA USAFIRISHAJI KWA MABASI YANAYOMILIKIWA NA KAMPUNI ZA OSAKA ROYAL CLASS, POLEPOLE CLASSIC NA BURHAN BUS SERVICES
Hivi karibuni mabasi yanayomilikiwa na kampuni za Osaka Class, Polepole Classic na Burhan Bus Services yalihusika katika ajali zilizotokea katika maeneo na siku tofauti ambapo watu walipoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa.
↧
↧
Watu saba wakamatwa kwa kosa la kumpiga mawe na kumuua mwenyekiti wa CCM - Mwanza
Watu saba wanashikiliwa na Polisi Mwanza wakituhumiwa kuhusika
na mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza na Diwani wa
Kisesa, Clement Mabina.
Mabina aliuawa na wananchi katika ugomvi wa ardhi baada ya kudaiwa kumuua mmoja wa wakazi hao kwa risasi.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Kamishna
Msaidizi Mwandamizi (SACP), Valentino
↧
Serikali yakiri uwepo wa wanaume nchini ambao siyo Rijali
Serikali imekiri kuwapo wanaume ambao mbegu zao hazina uwezo wa
kuwapa mimba wanawake na kwamba, imekuwa ikiendelea kutoa elimu mara kwa
mara.
Hayo yalisemwa jana na Naibu Waziri wa Afya na
Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alipojibu swali la nyongeza la Mbunge wa
Viti Maalumu, Kidawa Saleh (CCM).
Mbunge huyo alitaka kujua iwapo Serikali haioni
↧
Wahitimu wa vyuo vikuu nchini washauriwa kujiajiri badala ya kutegemea kuajiriwa
SHIRIKA la Maendeleo la Restless limewataka wanafunzi wanaohitimu vyuoni
kuwa na mtazamo tofauti ikiwamo wa kujiajiri kuliko kutegemea ajira
kupunguza tatizo la ajira nchini. Akizungumza na RAI, Meneja wa
Maendeleo Restless, Nicas Ngumba alisema lengo la kuanzisha program hiyo
ni katika juhudi za kupunguza tatizo la ajira nchini.
Ngumba alisema baada kufanya uchunguzi imebainika kuwa
↧
"Kesi ya kukutwa na simu nimebambikiwa"...Liyumbs
Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya
Tanzania (BoT), Amatus Liyumba anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu
gerezani, ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imfutie shtaka hilo
na kumuachia huru kwa madai kuwa kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya
kumkomoa.
Liyumba aliyaeleza hayo jana wakati akijitete
mbele ya Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando anayetarajia
↧
↧
"Wasanii ni wanafiki ....wakati naumwa sikuwahi kupigiwa simu na msanii mwenzangu"...Ray C
Rehema Chalamila aka Ray C jana alifunguka kupitia kipindi cha Mkasi
jinsi ambavyo wasanii wenzake walimtenga wakati alipokuwa amelazwa
hospitali kupatiwa matibabu ya ‘uraibu’ (addiction) wa madawa ya
kulevya.
Ray C alisema japokuwa mama yake alitoa kwa umma mawasiliano yake na
maelekezo ya namna ya kumsaidia, simu hiyo iliyokuwa busy saa 24,
ilikuwa ikipokea simu na ujumbe
↧
"Maneno ya watu ndo yaliyonifanya nikubali kulala na bosi wangu....Walinisema sana, nikaamua kufanya kweli"....Baby Madaha
Hivi sasa sio siri tena wala Baby Madaha hataki tena kupindisha
pindisha maneno kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na meneja wake wa Kenya
CEO wa Candy n Candy Joe Kariuki.
Msanii huyo filamu na muziki kutoka Tanzania Baby Joseph Madaha,
ameiambia Global kuwa mwanzoni yeye na Kariuki hawakuwa na
uhusiano wa kimapenzi zaidi ya kazi, ila kutokana na watu kuanza kuongea
kitu
↧
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi jijini Mwanza kufuatia vifo vya Mabina ( mwenyekiti wa CCM aliyeuawa na wananchi) na Malimi
Rais Jakaya Mrisho
Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.
Evarist Ndikilo kufuatia vifo vya watu wawili vilivyotokea tarehe 15
Desemba, 2013 katika Kitongoji cha Kanyama Kata ya Kisesa Wilaya ya
Magu, Mkoani Mwanza.Rais ametuma salamu hizo kwa Mkuu wa Mkoa kufuatia vifo vya BW. Clement Mabina na Tenery Malimi vilivyotokea baada vurugu zilizosababishwa na
↧
Hizi ni picha mbili za Lulu Michael akiwa kifua wazi ambazo zilimfanya atangaze dau la sh. 800,000 kwa mwanaume anayemtaka
↧
↧
Maiti nyingine yagoma kuzikwa nchini Kenya.....Ndugu wafanya tambiko kumsihi marehemu akubali kuzikwa....Tazama Video hii
↧
Unyama: Majambazi 7 yambaka mama na mabinti zake watatu kwa zamu huko Geita
Watu
wanaokadiriwa kufikia saba wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na
mapanga na marungu, wamevamia nyumbani kwa mkazi wa kijiji cha Kaduda
kata ya Katoro wilayani Geita na kuwabaka kwa zamu mama na wanawe watatu
kwa zaidi ya saa mbili.
Hali kadhalika, watu hao walimjeruhi mmoja wa watoto wake wa kiume aliyekuwa akishuhudia unyama huo ukifanyika.
Tukio hilo lilitokea usiku wa
↧
Wabunge wataka Watanzania waandaliwe kumiliki uchumi wa gesi iliyogunduliwa hapa nchini
Kamati
ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, imeitaka serikali kuwaandaa
Watanzania na miundombinu itakayowawezesha kumiliki uchumi wa gesi.
Akiwasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kwa kipindi cha Machi hadi
Desemba 15, mwaka huu, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mahmoud Mgimwa,
alisema maandalizi ya uchumi wa gesi yanatakiwa kuwa makubwa.
Alisema hiyo ni pamoja na kumuandaa
↧
Idadi ya waliokamatwa kwa kumpiga mawe na kumuua mwenyeki wa CCM yaongezeka na kufika 10
Idadi ya watu wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa
tuhuma za kuhusika na mauaji ya Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) mkoani Mwanza, Clement Mabina imeongezeka kutoka saba hadi
10.
Habari kutoka ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza zimeeleza kuwa
watuhumiwa hao walikamatwa kutoka maeneo mbalimbali ya Kata ya Kisesa
kwa ajili ya kuhojiwa.
“
↧
↧
Abiria atakayekutwa amesimama ndani ya basi atatozwa faini.....Huu ni utaratibu mpya unaoandaliwa na jeshi la polisi
POLISI Kikosi cha Usalama Barabarani, inaandaa sheria itakayosaidia kudhibiti ujazaji wa watu kwenye magari ya abiria, ambayo abiria atakayekutwa amesimama, atatozwa faini.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Alisema kabla ya sheria hiyo kutungwa na kutekelezwa,
↧
Wema Sepetu afulia baada ya kigogo wa ikulu aliyekuwa akimwagia manoti kufilisika.
NI kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha? Kama ni kweli, basi ile
jeuri ya fedha ya Miss Tanzania mwaka 2006 ambaye pia hufanya vyema
kwenye gemu la sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu inadaiwa imefikia
nchani....
Kwa mujibu wa chanzo makini, hali ya kifedha ya staa huyo si nzuri
kiasi kwamba kwa sasa amekuwa mtu wa kushinda ndani kwa kuwa hana mpunga
unaomuwezesha kwenda kujirusha
↧
Mwigulu Nchemba akerwa na kitendo cha Freeman Mbowe kuchanganya kazi na Mapenzi bungeni.....Amelitaka bunge kuchunguza posho zilizoliwa na hawara yake
Mbunge wa Iramba Magharibi, mh. Mwigulu Nchemba leo asubuhi aliomba mwongozo wa Spika wa bunge akimtuhumu Mh. Mbowe kwamba amekuwa akitumia madaraka yake vibaya kwa kuchanganya mapenzi na kazi, hali inayolichafua bunge la Tanzania katika tawsira za kimataifa.....
Mwigulu ameliambia bunge kuwa , Mbowe alipiga simu kutaka kusitishwa kwa safari ya mbunge
↧
More Pages to Explore .....