Ndugu
yangu ukishangaa ya Mussa basi shangaa na ya Filauni, Methali hiii
methibitika Songea baada ya Mtoto Bahati Upendo mwenye siku 3 toka
azaliwe alipo wekwa na mama yake kwenye mfuko wa mbolea na kutumbukizwa
kwenye shimo...
Ndani ya shimo hilo amekaa siku 6 bila kula wala kunywa
hadi alipo okotwa na wasamalia wema...
Hivi sasa yuko Hospitali ya Mkoa wa
Ruvuma akiwa
HUYU NDO MTOTO MCHANGA WA SIKU 4 ALIYEKAA NDANI YA SHIMO SIKU 6 AKIWA HAI
↧
↧
RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI AJA KUHUBIRI INJILI TANZANIA
Rais Pierre Nkurunziza.
Rais
wa Burundi, Pierre Nkurunziza, anatarajiwa kuja nchini Agosti, kuhubiri
Injili katika mkutano mkubwa wa Injili unaoandaliwa na Baraza la
Makanisa ya Kipentekoste nchini (PCT), imefahamika.
Kwa
mujibu wa Askofu Samson Mlawi aliyezungumza na mwandishi wa habari hizi
mwishoni mwa wiki, tayari Kamati ya Maandalizi imefanya vikao kadhaa
ambavyo pamoja
↧
CUF YAKANUSHA KUHUSIKA NA UCHOCHEZI WA VURUGU ZA MTWARA
SIKU chache baada ya Serikali kuahidi
kusaka kokote duniani wachochezi wa vurugu za Mtwara, Chama cha Wananchi
(CUF) kimeibuka na kudai hakihusiki.
Chama hicho kimedai kupata taarifa ya
kuwapo mpango wa kukamata viongozi wa CUF na kuuaminisha umma kuwa ndio
wahusika wa kuchochea, kupanga na kufanya vurugu za Mtwara.
Hayo yalielezwa jana na Mwenyekiti wa
chama hicho, Profesa
↧
VIKONGWE WATATU WAUAWA KIKATILI KWA KUCHOMWA MOTO HUKO BUNDA
MAUAJI
ya kikatili yametokea usiku wa kuamkia leo wilayani Bunda, mkoani Mara
baada ya watu wenye hasira wa kijiji cha Kasaula kuwauwa kwa kuwachinja
kama Kuku kisha kuwachoma moto vikongwe watatu kwa kuwatuhumu wanajihusisha
na vitendo vya kishirikina.
Pia
watu hao mbali na kuwaua kikatili vikongwe hao kwa tuhuma kwamba
walimuua kijana mmoja aitwaye Sale Ligolo, walichoma moto na
↧
" ANAYEDAI KUOMBWA RUSHWA YA NGONO AJITOKEZE HADHARANI."...HASHIM LUNDENGA
Hashim Lundenga.
Baada ya shutuma za rushwa ya ngono kuzidi kwa waandaaji wa shindano
la Miss Tanzania, uongozi unaosimamia shindano hilo umesema kama kuna
mrembo yeyote ambae amewahi kuombwa rushwa hiyo ya ngono ajitokeze.
Mkurugenzi
Hashim Lundenga amesema “kuna kushutumiwa kwamba tunachukua rushwa ya
ngono kutoka kwa Wasichana kitu ambacho sio kweli, hakuna msichana
↧
↧
UPDATE: TRENI YAUA UKONGA- MOSHI BAR MUDA HUU
↧
RIHANNA IMEKULA KWAKE..!!!!! ...KARRUECHE TRANS SASA AHAMIMIA NYUMBANI KWA CHRIS BROWN
Siku zote mwenye kiu iliyopitiliza
akipewa maji ya kunywa hutamani atumie jagi zaidi ya kikombe anachowekewa maji,
ndivyo ilivyomtokea mrembo Karrueche Tran aliyetoswa mwaka jana na Chris Brown
aliyemchagua Rihanna dhidi yake wakati mrembo huyo akiwa na moyo uliojaa
mapenzi na maumivu ya kulikosa penzi la ‘turn up the music singer’..
Sasa
alipopewa nafasi tena ameamua
↧
KESI YA LADY JAYDEE NA LWAKATARE ZITAUNGURUMA LEO MAHAKAMANI
WAKATI
kesi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare
ikitarajiwa kusikilizwa leo Mei 27 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Kisutu, Kesi ya msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Judith Wambura (Lady
JayDee) pia inatarajia kusikilizwa tarehemu hiyo katika Mahakama ya
Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Kesi
hizo zinatarajia kuvuta hisia za watanzania kutokana
↧
HII NI NEEMA KWA WALIOFELI KIDATO CHA NNE....UFAULU WAONGEZEKA, MATOKEO NI MUDA WOWOTE
Idadi
ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana
imeongezeka kwa kati ya asilimia 20 na 23 baada ya Baraza la Mitihani la
Taifa (Necta), kufanya marekebisho alama za viwango vya ufaulu,
Mwananchi limebaini.
Habari ambazo gazeti hili imezipata zinasema matokeo hayo ambayo
yamewezesha kiwango cha ufaulu kupanda na kufikia asilimia kati ya 54 na
57, huenda yakatangazwa
↧
↧
JACK WOLPER ALIA NA MATAPELI YANAYOTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA JINA LAKE KUOMBA HELA WATU
Katika
kile kinachoonekana ni mwendelezo wa matapeli wa mjini kutumia majina
ya waigizaji maarufu nchini kutapeli watu kwa njia ya mtandao, dhahama
hii sasa imemkuta mwanadada Jacqueline wolper baada ya watu wanaoaminika
kuwa ni matapeli kutumia jina lake kujipatia fedha na vitu vingine
kiudanganyifu.Akizungumza kwa simu na tovuti ya bongomovies,
mwanadada Jacqueline wolper alisema
↧
AIBU: MUME WA MTU ANASWA GESTI AKILAWITIANA NA SHOGA LIITWALO ' AUNT STEVE"
Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa
jina la Ezekiel Malika 'Baba Kulwa' amenaswa gesti na mkewe akiserebuka
na shoga aitwaye Aunt Steve na kuibua mtiti mzito..
Tukio hilo lilivuta umati lilijiri Mei 20, mwaka huu kwenye gesti
moja iliyopo Mwananyamala, Dar ambapo mke wa Ezekiel
alivamia na kutembeza mkong’oto wa hasira kwa mumewe.
Mei 19, mwaka huu, saa 3:15 asubuhi, mwanamke
↧
PENZI LA WASTARA LAGOMBANIWA.....
TAKRIBAN wiki moja baada ya kumaliza eda tangu alipofariki mumewe
Juma Kilowoko ‘Sajuki’ Januari 2, mwaka huu, staa mkubwa wa filamu za
Kibongo, Wastara Juma anagombewa na midume ikitaka kumuoa.
Akizungumza na mwandishi wetu akiwa nchini Oman,
Wastara alifunguka kuwa tangu amalize eda yake hiyo amekuwa akipata
usumbufu mkubwa kutoka kwa wanaume mitandaoni na wanaomtamkia mwenyewe.
↧
VIDEO YA PROFESA LIPUMBA WA CUF AKIMLAUMU KIKWETE NA KUDAI KUWA WAISLAMU WAMETENGWA...!!!
Iliyopachikwa hapo chini ni video ya Profesa Ibrahiumu H.
Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Msikiti wa
Idrissa, Kariakoo, jijini Dar es Salaam, alikokwenda kuswali swala ya
Ijumaa, miezi kadhaa iliyopita. Prof. Lipumba alikaribishwa
kuzungumza na waumini hao mara baada ya utangulizi uliotolewa na Imamu
wa msikiti huo, Sheikh Ali Basaleh, aliyemtaka awaeleze Waislamu
↧
↧
VIDEO YA MWANAMKE ALIYEMUUA MUMEWE KWA KUMWAGIA MAJI YA MOTO HUKO MOMBASA
Mwanamume mmoja mjini mombasa amefariki kwa kile kinachodaiwa
kusababishwa na mgogoro wa kinyumbani kati yake na mkewe.
Inadaiwa
marehemu alimwagiwa maji moto na mkewe siku chache zilizopita hali
ambayo imepelekea kifo chake.
Ilibidi polisi kuingilia kati kumnusuru
mama huyo dhidi ya hasira za umati uliotaka kumshambulia na kumuua..
VIDEO
<!-- adsense -->
↧
LWAKATARE AKWAMA TENA KUPATA DHAMANA, KESI YA JAYDEE YARUSHWA MPAKA JUNE 13.
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare na
mwenziye Ludovick Joseph wamekwama tena leo Jumatatu, Mei 27 kupata
dhamana baada ya Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Kisutu, Sundi Fimbo
kueleza kuwa Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Aloyce Katemana, bado yupo
likizo tangu wiki tatu zilizopita.
Watuhumiwa wanakabiliwa na shitaka la kupanga njama za kumnywesha sumu
↧
DIVA WA CLOUDS FM AMPA SUPPORT "MKE MWENZA WA KENYA " ANAYEIWAKILISHA NCHI HIYO KWENYE BIG BROTHER AFRICA
Juzi (May 26) ndio ulifanyika ufunguzi rasmi wa shindano kubwa Africa la Big Brother ambalo mwaka huu limepewa jina la “The Chase”, na tayari washiriki wa nchi zote ikiwemo Tanzania wamekwisha fahamika.
Huddah Monroe a.k.a The boss lady ambaye ni model mwaka huu ndio amebeba imani za wakenya za kurudi na kitita cha $300,000 zinazoshindaniwa katika msimu wa 8 wa shindano la Big Brother “The
↧
AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA KWA KOSA LA KUMLAWITI MTOTO WA MIAKA WA MIAKA 7
MKAZI
wa kijiji cha Turiani, Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga, Athuman Rashid
(25) amehukumiwa kutumikia kifungo cha maisha jela na adhabu ya kuchapwa
viboko sita baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa miaka
saba.
Hukumu
hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Korogwe, Arnold Kirekiano.
Kwa
mujibu wa hati ya
↧
↧
AIBU: KIJANA ANASWA AKIUZA UUJME WA MTU....POLISI WATIA MBARONI
Jeshi la polisi nchini malawi
wanamshikilia kijana mmoja baada ya kumkuta akiuza sehemu ya siri ya
mwanaume.
Kijana huyo mwenye miaka 24 alikamatwa baada ya wananchi kutoa
ripoti kituo cha polisi kuwa kunamzee kalala relini huku akiwa anatokwa
damu nyingi
Polisi walifika eneo la tukio na kumkuta mzee huyo
akiwa hoi na kuamua kumkimbiza hosipitali.
Baada ya kufikishwa
↧
AIBU: VIDEO YA NGONO YA WANAFUNZI WA COLLAGE MOJA ILIYOPO DODOMA YAVUJA....WALIJIREKODI WENYEWE NA KUISAMBAZA
<!-- adsense -->
Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma wameoza kwa matukio machafu ya ngono..
Uchunguzi
wetu umebaini kuwa siyo kila mwanachuo anayepata nafasi hiyo adimu ya
kujiunga na elimu ya juu anafanya kile kilichokusudiwa, badala yake
wanafanya kinyume kwa kujihusisha na vitendo haramu na hatarishi vya
ngono.
Katika uchunguzi wa muda mrefu, mpekuzi
↧
ADAM MCHOVU ATUPIA PICHA ZA UCHI ZA LADY JAYDEE.....WATU WAMSHAMBULIA KWA MATUSI
Kutoka facebook muda huu Acc ya Adam Mchomvu imepost hivi nanukuu "
Picha za uchi alizopiga Lady Jay D bofya hapa" then akaweka link, ambayo
binafsi sijaielewa na sikuona umuhimu wa kuifungua.
Account hii inayotumia jina la Adam Mchomvu sijajua kama ni yake ama
fake ..
Na kama ni yake sijajua kama wame hack wakaandika au ameandika yeye mwenyewe
COMMENT ZA WADAU:
↧
More Pages to Explore .....