Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

TALGWU Yakemea Watumishi wa Serikali za Mitaa Kudhalilishwa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya

$
0
0
CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kimevunja ukimya na kuwataka viongozi wa Serikali,  hasa wakuu wa mikoa na wilaya kuacha mara moja kutumia madaraka yao vibaya dhidi ya wafanyakazi.

TALGWU imesema kuwa viongozi hao wamekuwa wakitumia kile wanachodai utumbuaji kwa watendaji kiuonevu na ukiukwaji sheria za nchi.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa TALGWU, Rashid Mtima, alisema baadhi ya viongozi wa kisiasa wamekuwa wakitumia nafasi hiyo kama njia ya kujipatia sifa ama kuonyesha mabavu ya mamlaka yao.

Alisema viongozi hao wamethubutu kutumia vibaya nafasi zao kwa kuendeleza manyanyaso kwa wafanyakazi wa kada ya watendaji wa vijiji, mitaa na kata, wakiwaadhibu bila kufuata utaratibu wa kiutumishi, huku mamlaka zinazopaswa kutumika kwa kazi hiyo zikiporwa madaraka yake kwa nguvu ya kisiasa.

“Jambo hili ni baya na la hatari kwa mujibu wa mustakabali wa utawala wa sheria na linapaswa kukemewa mara moja na kwa nguvu zote kwa sababu likiachwa lina madhara makubwa.

“Tumeshuhudia matukio ya udhalilishaji na ukiukwaji wa taratibu za kazi wakifanyiwa kada hii, maofisa watendaji wamekuwa wakiwekwa ndani ovyo kana kwamba wametenda makosa ya jinai, kutukanwa na kudharauliwa hadharani na wanasiasa, kusimamishwa kazi ovyo bila kuzingatia mamlaka zao za ajira.

“Kwa mfano Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi, aliwaweka ndani watendaji wanne wa Kata ya Mikocheni kwa kushindwa kutekeleza maagizo yake, vilevile Hapi alipotembelea Kata ya Kawe aliwaweka ndani watendaji watatu wa mtaa kwa kosa la kuwapa mashine za kukusanyia fedha wakandarasi na kutounda vikundi vya ulinzi shirikishi,” alisema Mtima.

Katibu mkuu huyo alisema kuwa sheria ya tawala za mikoa ya mwaka 1997 inampa mamlaka mkuu wa mkoa katika kifungu cha 7 (1) hadi (9) na mkuu wa wilaya katika kifungu cha 15 (1) hadi (9) ya kuamrisha mtu yeyote kuwekwa ndani kwa kuona mbele yake au ufahamu wake mtu huyo kuwa ametenda kosa.

Alisema kifungu kidogo cha (2) cha sheria hiyo kinamtaka mkuu wa mkoa au wilaya kufanya hivyo pale ambapo atakuwa amejihakikishia kuwa kosa lililotendwa na mhusika ni lazima litasababisha uvunjivu wa amani kwa mtendaji na jamii kwa jumla na hakuna njia mbadala zaidi ya kumuweka ndani.

“Pia kifungu (3) kinamtaka mtu aliyekamatwa kwa amri au maelekezo ya mkuu wa mkoa au wilaya afikishwe mahakamani ndani ya saa 48 kwa ajili ya kufunguliwa mashtaka ya jinai. Endapo hatofikishwa mahakamani kwa muda unaopaswa na kuisha, anapaswa kauchiwa na hapaswi kukamatwa tena,” alisema.

Alisema kwa tafsiri hiyo ya kisheria, ni kwamba viongozi wa kisiasa hawazingatii sheria hiyo kikamilifu na ni uonevu mkubwa kwa watumishi waliowekwa ndani.

“Swali la kujiuliza je, uchunguzi ukishakamilika na ikaonekana watendaji waliotangazwa hadharani na kudhalilishwa walionewa, viongozi hao wa Serikali watatumia vyombo vya habari kusafisha majina ya watendaji hao?” alisema na kuhoji.

Mtima alisema kuwa TALGWU haitetei wafanyakazi ambao wanakwenda kinyume na sheria, kanuni na taratibu za kazi, lakini inataka utaratibu ufuatwe na hatimaye watuhumiwa wachukuliwe hatua stahiki.

“Wito wetu viongozi wa kisiasa wenye tabia hiyo watambue dhamana kubwa waliyopewa na Taifa, watumie mamlaka yao kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za nchi vinginevyo kama chama hatutasita kuchukua hatua za kisheria,” alisema Mtima

SORRY MADAM -Sehemu ya 15 & 16 (Destination of my enemies)

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA
Daktari huyo alijikuta akimuita Rahab, na kuishia katikati mara baada ya kumtazama Shamsa aliye simama pembeni yake. Daktari akabaki kimya akiwa katika hali ya kunto kufahamu asememe nini mbele ya mke wa raisi. Akaingiza mkono wake kwenye mfuko wa koti, akatoa simu yake na kuiwasha. Alipo hakikisha imewaka, akaingia upande wa meseji na kuandika maneno mafupi kisha akamkabidhi Rahab. Rahab kabla hata hayaisoma akastukia akipokonywa simu na Shamsa, hakuamini alicho kiona kimeandikwa kwenye simu hiyo kwa herufi kubwa
(MUHESHIMIWA AMETUTOKA)
Taratibu Shamsa akaiachia simu hiyo, huku miguu ikimlegea na kujikuta akianza kwenda chini, kabla hajafika sakafuni Rahab, akamdaka.

ENDELEA
“Mpelekeni wodini”
Rahab aliwaamuru askari waliopo katika eneo hilo, wakambeba Shamsa na kumpeleka kwenye moja ya wodi kwa ajili ya kupumzishwa. Rahab akaingia kwenye chumba alicho lazwa Eddy, akawakuta madaktari wakiwa wamemfunika shuka,
Ukimya mwingi ukatawala ndani ya chumba hicho, kila aliye kuweomo ndani ya chumba, huzuni ilimtawala katika moyo wake.
‘EDDY, EDDY’
Rahab aliita kimoyo moyo, huku akiwa ameyafumba macho yake.
‘EDDY EDYYY EDDYYY’

Rahab alizidi kuita kwa hisia kubwa pasipo mtu yoyote kuweza kuhisi kitu chochote, jinsi alivyo zidi kumuita Eddy, kuizuia roho yake isiweze kwenda mbali na ulimwengu huu, ndivyo jinsi nguvu za mwili wake zilivyo zidi kumuishia, akazidi kumita hadi damu za pua zikaanza kumtoka. Gafla Eddy akazinduka kutoka katika usingizi  wa kifo na kukaa kitako kitandani, jambo lililo wastua madaktari wote, wengine nusura wapige ukelele. Taratibu rahaba akaanguka chini, akiwa amechoka kwani ni kwakiasi kikubwa ametumia nguvu nyingi katika kumpigania Eddy.

“Madam Madam”
Nesi mmoja alimuwahi kumuita Rahab baada ya kumkuta akiwa amekaa chini, huku damu za puani zikiwa zinamwagika.
“Nipo sawa”
Rahab alizungumza huku taratibu akinyanyuka, macho yake yote alimtazama Eddy, jinsi anavyo endelea kuhema kitandani. Eddy akamtazama Rahab, wote wakajikuta wakitabasamu kwa pamoja.
                                                                                                  ***
“Sasa ni nini mpango wako?”
Mzee Tukuyu alimuuliza Mzee Godwin baada ya kumaliza kumsimulia historia nzima ya maisha yake.
“Nahitaji kuchukua kiti cha madaraka katika hii nchi?”
“Mmmmmm……. Sasa utajiunga na chama gani cha siasa wakati tayari wewe ni muhalifu?”
“Si kwakutumia siasa, ila ni kwakutumia mtutu”
Bwana Tukuyu akastuka, akajikuta wasiwasi wake ukistukiwa na Mzee Godwin.
“Sa…sa kwa nini unahitaji kulifanya hilo wakati nchi yetu ni nchi ya amani?”

“Amani ni hapo zamani, ila nahitaji kulipiza kisasi kwa wale wote walio weza kuniharibia maisha yangu”
“Godwin kumbuka hilo swala unalo lifanya ni swala moja la hatari sana?”
“Nafahamu, ila itabdidi niweze kulifanya hilo”
Ukimwa ukatawala kati yao, akili ya bwana Tukuyu ikazidi kuwa na mashaka na rafiki yake huyo. Akili yake ikamtuma kwenda kuweza kuita askari ambao wataweza kumkamata Mzee Godwin, na kumsalimisha katika mikono ya serikali, kwani mpango wake utakwenda kusababisha mauti kwa wananchi wengi wasio na hatia.

“Mbona upo kimya unawaza nini ndugu yangu?”
“Aahaa… haapana bwana”
Mzee Tukuyu, alitabasamu huku taratibu akisimama kuingia ndani ya nyumba yake. Mzee Godwin akamtazama Mzee Tukuyu, kisha na yeye akasimama na kuingia ndani, akamkuta mzee Tukuyu akivaa shati pamoja na suruali.
“Unakwenda wapi?”
“Na….naa kwenda hapo mbele”
Kubabaika kwa mzee Tukuyu tayari kulisha mpa alama ya hatari mzee Godwin, aliye anza kuikunja ngumi yake ya mkono wa kushoto taratibu. Gafla Mzee Godwin akachomoa mkanda wa suruli ya Mzee Tukuyu, alio kuwa amening’inia kwenye suruali yake.

“Una……..”
Mzee Godwin akamuwahi Mzee Tukuyu kwa kuuzungusha mkanda kwenye shingo ya mzee huyo, bila hata ya huruma akamkaba Mzee Tukuyu hadi akapoteza maisha yake
“Pumbavu sana”
Mzee Godwin alizungumza kwa dharau kubwa, kisha akaupandisha kitandani mwili wa mzee Tukuyu, akamfunika vizuri kwa shuka kama mtu aliye lala fofofo.
“Tutaonana katika maisha yajayo”
Mzee Godwin alizungumza huku akiyafunika macho ya mzee Tukuyu. Mzee Godwin akatoka nje ya nyumba hiyo na kusimama kila kona, kabla hajapiga hatua hata moyo ya kuondoka, akamuona kijana mmoja akija katika eneo hilo.

“Shikamoo”
“Marahabaa, nikusaidie nini?”
“Nahitaji kumuona mzee, kwani huu ni muda wa kwenda kutega nyavu?”
“Ahaaa mzee kidogo anajisikia vibaya, ila kama huto jali ninaweza kuichukua nafasi yake”
Kutokana kijana ni miongoni mwa vijana walio weza kumuokoa mzee Godwin jana usiku, na kiongozi wao mzee Tukuyu, alikiri kwamba huyo ni rafiki yake wa muda mrefu, basi hakuona ni tatizo kuweza kuongozana na Mzee Godwin kuelekea maeneo ya baharini.

“Mzee anasumbuliwa na nini?”
“Homa ilimshika asubuhi, nimemtafutia dawa amemeza”
“Ahaaa, ila vipi na wewe hali yako?”
Kijana huyo mwenye umri si chini ya miaka ishirini alionekana kuwa mchangamfu sana kwa Mzee Godwin tofauti sana na jinsi mzee Godwin alivyo weza kuhisi
“Mim naendelea vizuri. Unaitwa nani?”
“Mimi?, mimi naitwa Thomas, ila watu wengi hapa kijijini wamenizoea kuniita TOM”
“Una jina zuri”
“Asante na wewe je?”
“Mimi niite babu tu”
“Babu nani?”
“Babu kama babu”

Mzee Godwin hakuhitaji maswali zaidi kutoka kwa Tom, wakafika maeoneo ya fukwe za bahari, wakakuta vijana wengine wawili wakiwasuribi kwenye boti inayomilikiwa na mzee Tukuyu
“Mzee leo anauwa hatokuja”
Tom aliwaambia wezake huku akikunya suruali yake kwa ajili ya kuingia ndani ya maji, hapakuwa na aliye kuwa na swali lolote, zaidi ya kumshangaa mzee Godwin, anaye ambatana nao. Wakawasha boti na kuondoka.

“Tunaelekea mpaka wapi?”
Mzee Godwin aliwauliza, wakiwa tayari wamefika mbali sana na kutoka nchi kavu
“Hapa tunakwenda mbali sana, katikati huko ya kina, ndipo tunapo tegaga nyavu”
“Kwahiyo huwa munazama ndani ya maji?”
“Ndio, tunazama ndani kabisa, huwa tunatumia hiyo mirija ya kuhemea kuzama ndani ya maji”
Maswali yote aliyajibu Tom, aliye onekana kumpenda sana mzee Godwin, pasipo kufahamu kwamba ni moja kati ya watu magaidi wanao isumbua nchi ya Tanzania, na pia ni mtu aliye waulia mzee wao waliye mtegemea sana.

Wakafika hadi sehemu ambayo wanazoea kutega nyavu, ili kuweza kupata samaki wengi sana, Vijana wawili wakajiandaa, Tom naye akataka kujiandaa ila mzee Godwin akamzuia kwa ishara na Tom akatii pasipo kuelewa ni kwa nini mzee Godwin amemzuia. Vijana hao wawili wakipemba, wakajitosa ndani ya maji, huku wakionekana kuwa ni hodari katika zadi hiyo, wakaipokea nyuvu waliyo shushiwa na Tom pamoja na mzee Godwin, kisha wakazama nayo ndani ya maji.
“Watachukua muda gani hadi kutoka?”
“Zaidi ya dakika kumi na tano, kutokana hawa ni wazoefu sana”
“Ahaaa sawa tuachane na hayo. Nyumbani unaishi na nani?’
“Peke yangu?”
“Wazazi wako?”

“Wazazi wangu walisha fariki dunia siku nyingi sana, nimelelewa na majirani zangu wema, hadi leo nimekuwa hivi”
“Una umri gani?”
“Miaka ishirini na moja”
Nzee Godwin alitingisha kichwa huku akitabasamu. Tom akasimama kwenye boti hiyo na kuangalia magharibi kwake.
“Babu unauona huu usawa huu?”
“Ndio”
“Kuna siku mzee Tukuyu aliniambia kwamba kuna msitu, kuna hazina yake ya thamani ameiweka, hata siku nikifa basi nikaichukue”
Maneno ya Toma yakamstua mzee Godwin na kujikuta na yeye akisimama, akatazama sehemu ambayo Tom anamuonyesha.

“Ni hazina gani hiyo?”
“Yeye aliniambia zipo kwenye msitu, upande huu, ila ni vitu vya thamani sana”
“Unaonaje tukaenda kuvitazama?”
“Sasa hivi!!!?”
“Ndio”
“Kuna wezetu humu hatuwezi kuwaacha”
“Hao ni mahodari wa kuogelea, tunakwenda mara moja kisha tunarudi”
Tom akamuangalia usoni mzee Godwin, kutokana ni mzee aliye weza kutambulishwa na babu aliye mchukulia kama ni baba yake, basi akaamua kuufwata ushauri wa mzee Godwin.

Wakawasha boti hiyo inayo kwenda kwa kasi kutokana namshine zake mbili kuwa na uwezo mkubwa sana. Ikawachukua zaidi ya lisaaa moja kuweza kufika kwenye moja ya msitu mkubwa, ulipo pembezoni mwa bahari. Wakashuka na kuiweka boti pembeni, kutokana kagiza kilisha anza kuingia, Tom akachukua tochi kubwa ambayo huwa wanaitumiaga sana kwenye maswala ya kuwavuta samaki kipindi wakivua nyakati za giza.
“Ila aliniambia kwamba msitu huu una wanyama na wadudu wabaya sana”
“Kwani hapa ni wapi?”
“Huu msitu, upo maeneo ya mkoa wa pwani”
“Pwani…..!!”

“Ndio, ukizunguka kivile utakuta mji wa pwani”
Tom alimuelekeza mzee Godwin kwa njia ya baharini. Wakaanza kuingia kwenye msitu huo, huku ujasiri wa Tom ukizidi kumvutia mzee Godwin.
“Mbona hatufiki, alikuambia ni wapi?”
“Mbele kidogo aliniambia kuna miti mitano mirefu sana, kisha chini kuna handaki lenye mfuniko ulio wekewa jiwe kubwa juu yake”
“Ahaa sawa”
Wakazidi kutembea zaidi ya lisaa zima jingnine hadi wakafanikiwa kufika katika sehemu ambayo, Tom alielekweza na Mzee Tukuyu na kila alicho elekezwa alikikuta katika eneo hilo.

“Hapa ndipo penyewe”
Tom alizungumza huku akishangaa shangaa eneo hilo, wakalisukuma jiwe hilo kubwa, ambapo kweli kwa chini wakakuta mfuniko wa chuma. Kutokana Mzee Godwin ananguvu nyingi, aliweza kuufungua mfuniko huo ulio jaa kutu. Wakakuta ngazi nyingi zilizo jengwa kwa saruji zikielekea chini.
“Lete tochi”
Mzee Godwin akachukua tochi, akatangulia mbele huku Tom akifwata kwa nyuma. Wakaingia ndani ambapo katika kumulika mulika mzee Godwin aliweza kuona swichi ukutani. Akaiminya na taa za ndani zote zikawaka

“Waooooo……!!!”
“Tom alishangaa sana, kwani hakuamini kama eneo hilo ni kubwa kiasi hicho na linapendaza sana kwa kiasi kikubwa. Wakakuta baadhi ya computer zikiwa katika eneo hilo, inavyo onekana kama kuna watu walikuwa wanaishi hapo kipindi cha nyuma. Tom akaanza kukagua chumba kimoja baada ya kingine, chumba cha kwanza aliweza kukuta kitanda pamoja na nguo za kike.

“Babu kuna nguo za kike huku”
Alimuita Mzee Godwin, aliye mfwata na kuzishuhudia nguo hizo, wakaingia kwa pamoja kwenye chumba cha pili na kukuta nguo nyingine za kike. Wakaingia chumba cha tatu wakakuta nguo za kike pamoja na bastola, ikiwa kitandani, Tom akaichukua
“Hii ni bunduki……!!!”
Aliitazama huku akiishangaa sana kwani alisha zoae kuiona silaha hiyo kwenye filamu za kizungu za mapambano.

Tundu Lissu aeleza kwanini waliamua kumchagua Lowassa kugombea Urais

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kiliamua kumchukua aliyekuwa waziri mkuu, Edward Lowassa, ajiunge na chama hicho baada ya kubaini katika utafiti maalum uliofanywa na shirika moja kutoka nchi za nje kwamba alikuwa na uwezo wa kubeba asilimia 18 ya kura zote katika uchaguzi mkuu kuliko mgombea mwingine wa urais katika uchaguzi mkuu uliopita.

Hayo yalizungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, wakati akihojiwa na Global TV Online ambapo alisema pia Lowassa aliongoza wagombea wote katika utafiti huo.

“Wazungu wakatuambia hivi political personalities zote za Tanzania walimfanyia kila mmoja wao walimfanyia uchunguzi wake, wakatuambia hivi ‘katika wote hao ukimweka huyu na huyu, huyu bwana mkubwa Lowassa huyu yeye peke yake anatembea na asilimia 18 ya Tanzania voters,’ aliyekuwa anamfuata alikuwa na asilimia 11 tu. Kwahiyo Lowassa as Lowassa alikuwa na eighteen percent ya likeability ya kupendwa na hao Watanzania akienda huku anaenda na asilimia 18 ya ziada, akienda huku anaenda na asilimia 18 za ziada nyingine ongezeeni,” alisema Lissu.

“Tukasema hivi, ‘tunataka kushinda uchaguzi eeh tuzungumze na Lowassa’ na Dkt Slaa akasema tuzungumze na Lowassa tukamwambia ‘Dkt una mawasiliano naye’ akasema ‘sina mawasiliano naye, ila kuna mtu ambaye anaweza akawezesha mawasiliano naye ni nani? Askofu Gwajima’ tunaelewana, so this how we got Edward Lowassa.”

Rais Dkt Magufuli akutana na Mjumbe maalum wa Rais Buhari wa Nigeria

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 10 Januari, 2017 amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Nigeria Profesa Ibrahim Gambari nyumbani kwake Chato Mkoani Geita. Mazungumzo yao yalilenga masuala mbalimbali ya uhusiano kati ya Tanzania na Nigeria.

Rais Magufuli amempongeza Rais Muhammadu Buhari kwa jitihada kubwa anazochukua kwa ajili ya kuleta maendeleo nchini mwaka.

Pia, Rais Magufuli amempongeza Rais Buhari kwa jitihada anazozifanya za kukabiliana na kundi la Boko haramu ili kuhakikisha amani inaendelea kudumu nchini mwake.

Kwa upande wake Mjumbe Maalum wa Rais wa Nigeria, Profesa Ibrahim Gambari amempongeza Rais Magufuli kwa ushindi alioupata na jitihada anazochukua katika kupambana na rushwa na kubana matumizi jambo ambalo linaungwa mkono na wananchi wengi wa Nigeria.

Profesa Gambari alimkabidhi Rais Magufuli barua yenye ujumbe maalum kutoka kwa Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria.

Jaffar Haniu
Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Chato, Geita
10 Januari, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifanya mazungumzo na Profesa Ibrahim Gambari ambaye ni Mjumbe maalum wa Rais wa Nigeria Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea barua yenye ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari uliowasilishwa na Profesa Ibrahim Gambari ambaye ni Mjumbe maalum wa Rais huyo wa Nigeria, Chato mkoani Geita.

Mil. 369 Zimechotwa Kutoka Akaunti ya CUF na Kuingizwa Akaunti Binafsi ya Mtu wa Karibu na Prof. Lipumba

Ajali ya Boti Bahari ya Hindi Yaua 12 na Kujeruhu 25........Mbunge wa Tanga Atoa Pole Kwa Wafiwa Wote

$
0
0
Ajali ya Jahazi ambayo ilitokea usiku wa kuamkia leo iliyosababisha vifo vya abiria 12 na wengine 25 kujeruhi kwenye tukio hilo.

Jahazi hilo lenye namba za usajili Z5512 MV Burudani maarufu kama Sayari lilikuwa likitokea eneo la Bandari Bubu ya Sahare kuelekea Visiwani Pemba ambapo lilipofika eneo la Jambe, chombo hicho kilipigwa na dhoruba kali na hivyo kumshinda nahodha wake Badru Saidi na kuzama

Akizungumza na Mtandao huu,Mbunge Mussa alisema amepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za ajali hiyo na kuwataka ndugu na jamaa kuwa na uvumilifu na kuhaidi kuwa nao bega kwa bega.

Licha ya hivyo lakini pia mbunge huyo alikabidhi sanda 12 kwa ajili ya maziko ambayo yanafanyika leo  na kesho kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini.

Ajali hiyo ambayo ilitokea usiku wa kuamia leo kwenye eneo la kisiwa cha Jambe kandokando ya bandari ya Tanga imeacha simamanzi kubwa kwa wakazi wa mji huu na viunga vyake.

Alisema kuwa yeye kama mbunge wa Jimbo la Tanga yupo nao bega kwa bega na kuwaombea mwenyezi mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi.

“Ajali sio jambo ambalo tunalipanga bali ni mipango ya mwenyezi mungu lakini pia nivitake vyombo vya usafiri majini kuhakikisha havipakii mizigo mingi zaidi ya uwezo wao kwani hali hiyo inaweza kusababisha ajali “Alisema.

Kamanda wa Polisi Mkoani Tanga,Benedict Wakulyamba alithibitisha kutokea tukio hilo na kueleza hivi sasa vyombo vya ulinzi na usalama wapo kwenye mchakato wa kutafuta watu wengine kwenye bahari ya hindi.

Alisema kati ya miili hiyo iliyopatikana mpaka sasa wanaume watano na wanawake 7 wameweza kuokolewa katika tukio hilo.

Aidha alisema mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana hivyo wanashirikiana na vyombo vyengine ili kubaini ingawa kwa mujibu wa mashuhuda chanzo chake kinatokana na chombo hicho kupigwa na wimbi eneo la nyuma na kukosa mwelekeo na kuzama baharini.

Kwa upande wake,Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Bombo,Dkt Goodluck Mbwilo alithibitisha kupokea maiti 12 pamoja na majeruhi 25.

Alisema kati ya majeruhi hao 18 ni watu wazima huku watoto wadogo wakiwa ni saba ambao waliweza kupewa huduma ya kwanza na kuendelea na matibabu mengine.

Rais Magufuli anatarajia kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Simiyu kuanzia leo

$
0
0
Rais  John Magufuli leo anatarajia kufanya ziara ya siku mbili katika mikoa ya Simiyu na Shinyanga na atazungumza na wananchi kupitia mikutano ya hadhara, ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu achaguliwe kuwa Rais.

Katika ziara hiyo Rais Magufuli anatarajiwa kuweka jiwe la msingi katika Hospitali ya rufaa ya mkoa iliyopo mtaa wa Nyaumata na kufungua barabara ya Bariadi kwenda Lamadi ya urefu wa kilometa 50.3.

Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari jana Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Antony Mtaka alisema kwa siku hizo mbili atafanya shughuli hizo na baadaye atazungumza na wananchi lengo kufahamu matatizo yao.

Alisema mkutano huo utafanyika kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Somanda.

Mtaka alisema kuwa Rais Magufuli kwa siku ya kwanza atazungumza na wananchi wa mkoa wa Simiyu lilipowekwa jiwe la ufunguzi wa barabara hiyo, siku ya pili atatembelea kiwanda cha kutengeneza chaki kilichopo Maswa na baadaye ataweka jiwe la msingi katika barabara ya Mwigumbi-Maswa.Pia atazungumza na wananchi wilayani Maswa.

Aidha aliwataka wananchi mkoani hapa kujitokeza kwa wingi kumlaki na kumsikiliza Rais Magufuli ambaye hajawahi kufika mkoani humo tangu achaguliwe kuwa Rais.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainabu Telack, amesema Rais Magufuli anatarajia kufanya ziara ya siku moja mkoani kwake kesho na atazungumza na wananchi katika mikutano ya hadhara na kusikiliza kero zao.

Telack alisema kuwa ujio wa rais mkoani hapa ni kusherehekea siku ya Mapinduzi ya Zanzibar ambapo kitaifa zinafanyika kisiwani humo.

“Rais anatarajia kuwasili mkoani kwetu kwa ziara ya siku moja kwa lengo la kuzungumza na wananchi na siku hiyo itakuwa ni siku ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar hivyo atazisherekea akiwa mkoani hapa,” alisema.

Rais Magufuli Atuma Salamu Za Rambirambi Kufuatia Kuzama Watu 12 Baharini Tanga

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tanga kufuatia vifo vya watu 12 vilivyosababishwa na kuzama kwa boti waliyokuwa wakisafiria kutoka Tanga kwenda Pemba.

Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia  tarehe 10 Januari, 2017 katika kisiwa cha Jambe  kilichopo katika bahari ya Hindi umbali mfupi kutoka Tanga Mjini, ambapo pamoja na vifo vya watu hao watu wengine 33 wamenusurika na 25 kati yao wamelazwa katika Hospitali ya Bombo Mkoani Tanga.

"Nimeshtushwa na kusikitishwa sana na vifo vya watanzania wenzetu waliopoteza maisha katika ajali hii ya kuzama boti, tumepoteza wapendwa wetu, watoto wetu na watu wazima ambao kwa hakika familia zao ziliwategemea katika maisha ya kila siku, nakuomba Ndg. Mkuu wa Mkoa unifikishie pole nyingi kwa familia za Marehemu wote na jamaa zao" amesema Dkt. Magufuli katika salamu hizo.

Aidha, Rais Magufuli amewaombea marehemu wote wapumzishwe mahali pema peponi na pia amewataka wote walioguswa na vifo hivyo kuwa na moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki cha huzuni ya kuondokewa na jamaa zao.

Dkt. Magufuli pia amewatakia matibabu mema majeruhi wote walionusurika katika ajali hiyo ili wapone haraka, warejee katika familia zao na waendelee na ujenzi wa Taifa.

"Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe, Amen" Amemalizia Rais Magufuli.



Watu 10 Watiwa Mbaroni Kwa Kumchapa Mwanamke Viboko 30 Rorya

$
0
0
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya mkoani Mara, linawashikilia watu 10 kwa udhalilishaji wa kumchapa viboko mwanamke hadharani.

Watu hao ni wa kijiji cha Kinesi tarafa ya Suba wilayani Rorya. Miongoni mwa watu hao, wamo viongozi watano wa baraza la mila liitwalo Irienyi ndogo la kabila la Wasimbiti.

Watu hao wanatuhumiwa kumchapa viboko zaidi ya 30 hadharani mwanamke huyo, kitendo kilichomdhalilisha mbele ya jamii.

Mapema wiki hii, baadhi ya video ilisambaa katika mitandao ya kijamii, ikimuonesha mwanamke akichapwa viboko na wanaume kwa zamu huku akilia mbele ya hadhara na sauti za wanaume zilisikika zikishabikia kitendo hicho.

Kamanda wa Polisi Tarime/ Rorya, Andrew Satta alisema kuwa tukio hilo ni la Desemba 23 mwaka jana mchana katika kitongoji cha Migutu kijiji cha Kinesi tarafa hiyo ya Suba wilayani Rorya katika maeneo ya Mastooni, ambako kulikuwa na mkutano wa Ritongo wa mila.

Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 38, mkazi wa kijiji hicho (jina limehifadhiwa) aliitwa na kufuatwa na vijana na kupelekwa katika mkutano huo wa mila, uliohudhuriwa na mamia ya wakazi wa kijiji hicho. Ilidaiwa kuwa mwanamke huyo alimtuhumu mama yake mzazi wa umri wa miaka 55 kuwa ni mchawi.

Kwamba hamtambui na kumkana kuwa si mama yake mzazi; huku akidai kuwa mama huyo anataka kumuua kwa uchawi. 

Kamanda Satta alisema katika mkutano huo wa baraza la mila la Irienyi, vijana sita waliamriwa kumchapa kila mmoja viboko vitano makalioni mwanamke huyo, hali iliyomsababishia majeraha, kumuathiri, kumdhalilisha na kumshushia utu wake kwa jamii.

“Tumewakamata mwenyekiti wa baraza hilo, viongozi wenzake wanne na vijana sita walioshiriki kumkamata na kuadhibu kwa kumlaza chini, kumchapa viboko na kumsababishia madhara makubwa mwilini na kumdhalilisha,” alisema Kamanda. Alisema watuhumiwa hao wanahojiwa na jeshi hilo linaendelea kuwasaka wengine waliohusika.
****


==>Video ya tukio

Nuh Mziwanda Akana Kutoka na Shilole Jijini Mwanza

$
0
0
Msanii Nuh Mziwanda ambaye bado anafanya vyema na wimbo wake 'Jike shupa' amekanusha tetesi za yeye kuwa pamoja na mpenzi wake wa zamani Shilole jijini Mwanza siku mbili hizi.

Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, Nuh Mziwanda anasema ni kweli alimuona Shilole Mwanza kwenye club ambayo yeye alikuwa anafanya show na aliambiwa kuwa yupo pale lakini hakukutana naye wala ku-kiss na yeye kama ambavyo watu wanadai kuwa waliwaona wakali hao wakiwa pamoja na waki kiss.

"Mimi nimekuja Mwanza kwenye show zangu nimekutana naye tu Club hivyo mimi siwezi kumkataza mtu kuingia sehemu hivyo hilo ni jambo la kawaida, mimi mwenyewe niliambiwa yupo humu so sikujali maana mimi nilienda kufanya kazi na yeye alikwenda kufanya kazi kimpango wake. Kwa hiyo hayo maneno mengine yanayoongeleka mimi mwenyewe siyajui mimi nimekuja Mwanza kutafuta pesa" alisema Nuh Mziwanda

Mbali na hilo Nuh Mziwanda anasema kwa yeye saizi ni mume wa mtu hivyo hawezi kufanya mambo ya ajabu ajabu kama hayo kwa kuwa yeye anajiheshimu na kuheshimu ndoa yake

"Mimi nimeoa najiheshimu siwezi kufanya vitu ambavyo si vya maadili au ambavyo sitakiwi kuvifanya kilichonileta Mwanza ni kufanya show na kufanya makubaliano na kusaini mkataba wa show yangu nyingine itakayofanyika Dar es Salaam" alisema Nuh Mziwanda

Mbwana Samatta Kuendelea Kushindania Namba KRC Genk

$
0
0
Siku 14 zimepita toka mshambuliaji wa KRC Genk Nikolaos Karelis ambaye alikuwa anashindania namba na mtanzania Mbwana Samatta atangazwe kuwa atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi cha miezi 8 hadi 9 kufuatia jeraha la goti la kushoto alilolipata wakati wa mchezo dhidi ya KAA Gent dakika ya 51 December 27.

January 10 2017 KRC Genk imetangaza kukamilisha usajili wa mshambuliaji Jose Naranjo kutokea Celta Vigo ya Hispania, hiyo itakuwa ni changamoto mpya kwa Mbwana Samatta kuendelea kupambania namba ya kucheza na Naranjo katika kipindi ambacho Karelis atakuwa nje.

Jose Naranjo amejiunga na KRC Genk ya Ubelgiji akitokea Celta Vigo ya Hispania kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu, Naranjo mwenye umri wa miaka 22 amewahi kuichezea Villarreal kwa mkopo mwaka 2014 akitokea Recreativo.

Utapeli wastukiwa katika usajili wa gazeti la Lete Mambo......Mmiliki Atupwa Selo

$
0
0
Idara ya Habari (MAELEZO) imebaini nyaraka za kughushi zilizowasilishwa na Mmiliki wa Kampuni ya FUKANI, Joseph Sheka wakati alipoziwasilisha kwa ajili ya kusajili gazeti la LETE MAMBO.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa MAELEZO, Dkt. Hassan Abbasi alisema kuwa mtuhumiwa huyo aliwasilisha nyaraka mbalimbali akidai kuwa ni za Mamlaka ya Mapato (TRA) ambazo uchunguzi wa awali umebaini kuwa mihuri na sahihi za baadhi ya maafisa wa Mamlaka hiyo zilizotumiwa ni za kughushi.

“Ni vyema jamii ikafahamu kuwa huu siyo wakati wa kujaribu kuishi kwa njia zisizo halali, kila mwananchi anapaswa kufuata taratibu zinatohitajika pindi anapotaka kupatiwa huduma katika maeneo mbalimbali ya ofisi za Umma."

Dkt. Abbasi alitoa rai kwa ofisi mbalimbali za Umma kuwa makini na nyaraka zinazowasilishwa na wateja wao kwani zinaweza kuwa na malengo mbalimbali ya kuiingiza Serikali katika matatizo hivyo kuitia hasara.

Mbali na hayo Dkt abbasi alisisitiza kuwa wale wanaohisi waliwasilisha nyaraka zao na kuona kwamba zina utata kuja kuzirekebisha na watakaobainika kuwa walighushi nyaraka hizo sheria itafuata mkondo wake.

Kwa sasa Idara ya Habari imemkabidhi mtuhumiwa katika Kituo cha Polisi cha Kati jijini dar es salaam kwa mahojiano zaidi.

Yanga Yatolewa Kombe La Mapinduzi na Simba Kwa Penati ya 4-2 ............Sasa ni Simba vs Azam fainali Mapinduzi Cup2017

$
0
0
Yanga imeendelea kusulubiwa kwenye mashindano ya Mapinduzi Cup baada ya kujikuta ikichezea kichapo kutoka kwa Simba kwenye mchezo wa nusu fainali ya pili kwa mikwaju ya penati 4-2 kufatia dakika 90 kumalizika bila timu hizo kufungana.

Baada kichapo cha 4-0 kutoka kwa Azam FC, Yanga imeondoshwa kwenye michuano hiyo na kuziacha Simba na Azam zikutane kwenye mchezo wa fainali ambao utachezwa siku ya Ijumaa January 13, 2017 ikiwa ni siku moja baada ya kilele cha Mapinduzi ya Zanzibar.

Golikipa wa Simba Daniel Agyei ndio alikuwa shujaa kwa upande wa Simba hususan kwenye changamoto ya mikwaju ya penati. Agyei ameokoa penati mbili za Deogratius Munishi na Mwinyi Haji huku yeye akifunga penati yake baada ya Mkude kufunga ya kwanza.

Wachezaji wa Simba waliofunga penati: Jonas Mkude, Daniel Agyei, Mzamiru Yassin na Javier Boukungu

Method Manjale ni mchezaji pekee wa Simba aliyekosa penati ambayo iliokolewa na golikipa wa Yanga Deogratius Munishi.

Simon Msuva na Thaban Kamusoko ndio wachezaji pekee wa Yanga waliofunga penati zao huku Deogratius Minish ‘Dida’ na Mwinyi Haji penati zao zilitua kwenye mikono ya golikipa wa Simba Daniel Agyei.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano ya January 11

Anglikana Bado Ngoma Nzito........Askofu Mokiwa Atoa Utetezi Wake, Asisitiza Hatang'oka Hata Kwa Dawa

$
0
0
Hali  ya amani ndani ya Kanisa la Anglikana nchini, bado si nzuri baada ya Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam, Dk Valentino Mokiwa aliyevuliwa uaskofu kutoa msimamo wake na kudai kuwa yeye ni msafi, na ndio Askofu wa Dar es Salaam, hang’oki hata kwa dawa, na amewasamehe wanaompinga.

Askofu Mokiwa aliyasema hayo kwenye Kanisa la Anglikana Ilala jana, alipozungumza na waandishi wa habari. Alisema licha ya kusemwa mambo magumu, lakini yeye kama Askofu, kazi yake ni kuwaombea waliomkosea na hana matatizo nao, kwani amekwisha wasamehe.

Askofu Mokiwa pia alienda mbali zaidi kwa kudai kuwa Dayosisi ya Anglikana Dar es Salaam haina mgogoro, bali viongozi watano wa dayosisi hiyo ndio wanatengeneza mgogoro huo kwa maslahi binafsi, wakitumia Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Andrea la Magomeni kama njia ya kupitishia migogoro yao.

“Siogopi kusema baba askofu kapotoka katika hili, ameshauriwa vibaya na washauri wake wa kisheria,”alisema Askofu Dk Mokiwa ambaye alimtaja Profesa Palamagamba Kabudi kuwa mshauri wa kisheria wa askofu mkuu.

Kauli hiyo ya Mokiwa imekuja siku chache baada ya kuvuliwa uaskofu, kwa kile kilichoelezwa mashtaka 10 yaliyofunguliwa na walei 32 wa Kanisa hilo Dayosisi ya Dar es Salaam, yakiwemo ya ufisadi wa mali za kanisa, ndio sababu ya Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Dk Jacob Chimeledya kumvua uaskofu.

Hata hivyo, Dk Mokiwa amegomea uamuzi huo, kwa maelezo kuwa mwajiri wake ni Sinodi ya Dar es Saalam, ambayo ndiyo yenye uamuzi wa kumfuta kazi na si askofu mkuu; au askofu mwingine yeyote wa kanisa hilo Tanzania.

Uamuzi wa kumvua uaskofu, ulichukuliwa mwishoni mwa wiki iliyopita na Askofu Chimeledya baada ya Askofu Mokiwa kugoma kujiuzulu, kama ilivyoshauriwa na Nyumba ya Maaskofu, ambayo ilimkuta na hatia ya kufuja mali za kanisa hilo na kukiuka maadili ya kichungaji, ambayo yalibainishwa kwenye ripoti ya uchunguzi iliyoundwa na kiongozi mkuu wa kanisa hilo nchini.

Akizungumzia suala hilo, Mokiwa alisema, “Alikuja na maaskari zaidi ya 12 ambao wamevaa sare, na wengine ambao hawakuvaa sare sijawajui idadi yake, askofu mkuu alidai amekuja kuleta mrejesho wa halmashauri kuu, na matokeo yake akaishia kusema ameniondoa kwenye huduma ya uaskofu.

"Nimesema siondoki, na nimeona wanasema wataweka kila kitu hadharani, nawambia hivi, mimi ni msafi na sina uchafu sehemu yoyote ile, wawe huru na amani kuanika madudu yangu kama yapo, waweke tu hadharani wala siogopi.

“Ninavyo vyombo  halali kwenye Dayosisi hii ambayo hakutaka kukutana navyo ambavyo ni Halmashauri ya Kudumu, hakuwahi kutaka kuwasiliana na sisi, sisi tulitaka kuwasiliana na yeye, angejibu mawasiliano yetu ya kujenga mahusiano na kutekeleza yaliyoamuliwa, hukutaka kutekeleza leo unakuja na hoja ya kuniaondoa. 

“Halmashauri ya Kudumu inamwambia hatujawahi kumpelekea mgogoro sisi kama Dayosisi ya Dar es Salaam, waswahili wanasema ‘jipu linamsumbua mwenye mwili wake’, hujawahi kupelekewa neno lolote la machafuko, ni nani aliyekwambia Dayosisi ya Dar es Salaam ina migogoro?

 “Askofu anafanya kazi na sisi, askofu ana vyombo vya kutawala, hana mamlaka ya kujiamulia mambo yake mwenyewe, ukisema Dar es Salaam kuna machafuko wewe Askofu Mkuu tunajua unasimama na watu na makundi katika Dayosisi hii. 

“ Yeye ni askofu kama mimi, yeye yupo Mpwapwa, tuna taratibu zetu kama za bendera ukiingia mahali unashusha bendera kidogo, kwa nini Askofu Mkuu afanye kazi na watu ambao sio sehemu ya mamlaka ya Dayosisi ya Dar es Salaam.

“Halmashauri Kuu inamwambia kwa kuwa amekuja na tamko lake bila ya kuwashirikisha, wamemwambia Dar es Salama kuna askofu mmoja tu ni Mokiwa. 

“Yeye kama Askofu Mkuu hakupaswa kucheza nje ya Nyumba ya Maaskofu, mimi pia naingia kwenye Nyumba ya Maaskofu, kuchomoka na kufanya kazi nje ya taratibu, hii sio sawa.

"Askofu Mkuu ana timu yake ya maofisa ambao wamemshauri vibaya, na yote yaliyonukuliwa yote yamekosewa katika kusimamia taasisi, kila taasisi ina uhuru wa kurekebisha pale palipoharibika pasipo kuingiliwa.

“Dayosisi ya Dar es Salaam haina mgogoro na mimi ndio Askofu wake, mgogoro uliopo ni wa kutengeneza, katika timu yake kuna watu wenye ‘interest maalum’ ambao ni Profesa Palamagamba Kabudi, yeye ndio mshauri mkuu wa askofu lakini amekuwa akimpotosha, askofu akikosea na yule ni mwanasheria aliyebobea na ndiye anayeingiza kanisa kwenye migogoro iliyobobea.

“Tumewahi kuandikiwa barua na serikali Kanisa letu ndio vinara wa migogoro, wamekuwa wakitengeneza mgogoro kati ya waumini na maaskofu wasielewane, wakubwa waingie kushika hatamu za uongozi hapa. 

“Nina kibali cha kuzungumzia Dayosisi ya Victoria Nyanza Mwanza, uongozi wa kanisa umeingia pia na kufanya kazi na makundi, kando ya taratibu, kugombanisha askofu na watu wanaowangoza na kusababisha maumivu makubwa, lakini nasema bila kufuata taratibu yeye akiwa kiongozi mkuu, ni hatari sana kiongozi anayeacha kuongoza kwa taratibu na kufuata matakwa yake mwenyewe. "

Ataja majipu 5 ndani ya Kanisa 
Askofu Mokiwa alisema kuwa ndani ya Kanisa hilo, kuna majipu ambayo yamekuwa kiini cha migogoro kila kukicha na kuchafua taswira nzima ya kanisa hilo.

“Askofu Mkuu anashauriwa na Mwanasheria (Profesa Kabudi) anayeheshimiwa na watu wengi, aliyezalisha wanasheria wengi zaidi katika nchi hii lakini halitendei haki kanisa, halisaiidi kusimama sawa sawa, kuliokoa kanisa na mvurugiko, haonekani mara zote kwa kuwa amejificha nyuma ya taratibu hizo.

“Mwingine ni askofu Oscar Mnung’a, Makamu Askofu Mkuu, huyu anakuja kufanya kazi na makundi Dar ili aje kuwa askofu mkuu, alikuwa padri wangu na ni askofu wa Newala, naamini watu wa Mpwapwa na Newala wanawafahamu, kuwa ndio viongozi wao ndio chanzo cha maumivu kwenye kanisa hili.

“Mwingine ni Johnson Chinyong’ole ni Katibu Mkuu, Padri wa Dayosisi ya Morogoro, moyoni mwake anaamini mimi ndiye niliyebana asiwe askofu mkuu, nataka kusema Kanisa Anglikana ni Kanisa kubwa nchi hii, alipaswi kuonekana na dalili yoyote ya migogoro, lina uwezo wa kufanya mambo yake ndani bila ya kuvuana nguo kama ilivyo sasa tena bila ya sababu za msingi.

“Askofu mkuu anafanya kazi na Kanisa la Andrea Mtakatifu Magomeni, kule kuna mtu anaitwa John Mhina, yule alikuwa Padri katika dayosisi yangu na tulimuondolea haki za sakramenti na huduma za kichungaji mikononi mwake, tulifanya hivyo kwa sababu ya kukiuka jambo moja tu la utii. 

“Tulifanya uhamisho katika Dayosisi ya Dar akagoma, akatengeneza tuhuma kwa taasisi moja kubwa ambayo naiheshimu, na sitaki kukosea ikavurugikiwa kwa sababu ya maneno ya kinywa changu, taasisi hiyo sina uchafu nao, na sina uchafu popote.

“Sababu ya Mhina kumuondoa ni kwamba haifai, mtu ni kuhani wa Mungu halafu anaenda kukopa benki na kukimbia vielelezo ninavyo, benki alizokopa ni BOA, Akiba Commercial Bank na Tanzania Investment ambayo iliwahi kumtoa mpaka picha zake.

“Mwingine ni Paul Mtweve alikuwa mkuu wa idara ya Uinjilisti, naye nilimuondoa kwa sababu za kiuaminifu, kulikuwa na Saccos ambayo alijikopesha na sasa imefungwa, wamechafua taswira nzima ya Dar es Salaam na ndio wamekuwa wakitumika na askofu mkuu, ndio wamekuwa vinara wa kutengeneza mashaka. Kuthibitisha kuwa wanafanya kazi na Askofu mkuu, uhamisho wa Mhina, alipopinga kuhama, askofu Mkuu ‘alisapoti’, kwangu mimi kwa Dar es Salama sio tena Askofu, mwaka jana sikukuu ya Matende alisema amehamina Mpwapwa sasa sijui amebaki huko au vipi maana hapa sijamuona.

“Nilisali Ubungo siku ya Krismasi, e-mail zilinaswa ambazo zilikuwa zikisambazwa kwa wanangu wa Magomeni ambao hawakusali Krismasi kwa sababu walipewa taarifa kupinduliwa kwangu, hivyo walijua kutakuwa na mapinduzi. 

“Taasisi za dini hazipaswi kufanya kama hivi ni aibu, waumini wakimbilie wapi wakati wanaamini Kanisa ndio mahali salama. 

“Waumini watulie, kwa jimbo la Dar es Salaam hawatatusikia katika migogoro yoyote, bado nina imani na waumini wa Dayosisi hii, tushikane pamoja, kuifanya kazi ya Mungu. 

“Tuna shule, vituo vya watoto yatima, nataka ninaofanya nao kazi bila njaa, na wale wanaocheza nje ya zizi, warudi kundini nitawakaribisha,” alisema.

Mokiwa alifunguliwa mashtaka 10 Machi 2015 ambayo ni kuizuia dayosisi ya Dar es Salaam, kupeleka michango pasipo maelekezo ya Sinodi ya Dayosisi ya Dar es Salaam, kuhamasisha dayosisi kujitoa katika udhamini wa Kanisa la Anglikana Tanzania (KAT) kwa lengo la kuifarakanisha dayosisi na Jimbo, kinyume na katiba ya dayosisi.

Mashitaka mengine ni kufuja mali za kanisa na kuingia mikataba kiholela yenye viashiria vya rushwa katika eneo la kanisa la Mtoni Buza na miradi mingine, kushindwa kutatua migogoro inayohusu uwekezaji na maadili baina ya dayosisi na mitaa ya Magomeni ambao kuna mgogoro na Benki ya DCB, kanisa la Kurasini na mengine.

Askofu huyo pia anadaiwa kushindwa kutatua migogoro baina ya mapadiri na waumini na kutunza mali za kanisa katika mtaa wa Watakatifu wote Temeke na kutelekeza nyumba ya askofu iliyopo Oysterbay ambako imegeuzwa kuwa yadi ya kuuza magari. 

Pia alilalamikiwa kushitakiwa mahakamani na Marehemu Christopher Mtikila na watu wengine watatu kwa kosa la kuwatishia silaha ya moto na kuwapapasa maungoni mwao bila ridhaa yao kinyume na maadili ya kikanisa.

Askofu Mokiwa pia analalamikiwa kuanzisha taasisi ya MEA Foundation iliyomwezesha kupokea fedha nyingi za wafadhili kwa ajili ya maendeleo ya dayosisi, lakini fedha zimefujwa na hesabu za chombo hazikuwahi kukaguliwa. 

Tuhuma zingine ni kurejea kwa mchakato wa mapitio ya katiba mpya na kuvuruga mchakato wa awali wa maandalizi ya katiba mpya ya dayosisi kwa kutumia fedha za dayosisi na kutekelezwa askofu msaidizi dayososi ya Katanga Kalemi .

Hata hivyo akijibu tuhuma hizo Mokiwa alisema; Nyumba ya Maskofu Oysterbay 

“Ile nyumba haijatekelezwa bali vigae vilikuwa vinaanguka, nina kijana wangu ambae ana matatizo mpaka sasa ni mkubwa lakini hasemi vizuri kuna siku nilimkuta anacheza na nyoka, paa linavuja mvua zikinyesha, ndio niliamua kuhama na sasa naishi nyumbani kwangu Mbezi Luisi. 

“Kuna fedha Sh milioni 60 ambazo zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa nyumba hiyo ikikamilika nitarudi kukaa.

“Silverhok iliyopo Upanga, nyumba haikuwa kwenye hali nzuri jengo halikua salama, ndio maana tuliwahamisha na jengo halijatekelezwa kwani tunataka kulifanya la kisasa kama majengo mengine yanayozunguka eneo lile la Mindu. 

"Fedha za DCB Kuna watu wanaeneza nimekuwa nikilipwa Shilingi bilioni 6 na DCB, huku ndani mimi nimewahi kuunda chombo ambacho kinahusisha DCB Magomeni, wa wawakilishi wa dayosisi, lakini Magomeni wenyewe ndio wanakimbia vikao, DCB ndio waliojenga na ndio wanaolipa Kanisa Dayosisi ya Anglikana.

“Kama ni vita yenye maslahi, fanyeni uchunguzi mjue anayepokea fedha kutoka DCB ni nani, mtapa ukweli kuwa ni Magomeni wenyewe, inashangaza wao ndio wanakula na kushiba lakini ndio wamekuwa wakipiga kelele na kupotosha watu.

“Kwa mikono yangu niliwaidhinishia Sh milioni 200 za ujenzi wa Kanisa lakini mpaka leo halijajengwa, mabati yapo pale yamesimama kama kaburi, hakuna kilichofanyika na hela zimeliwa, waseme yote kwa ukweli na sio kuweka siasa. "

Miiko Elfu Moja Na Moja( 1001) Ya Wafu

$
0
0
Msimuliaji :  Dokta. mungu  wa  kabili …….0744 000  473
Asalaam Aleykum Ndugu zanguni.  Habari za mwaka mpya  wa  2017.

Ni matumaini yangu kuwa Mwenyezi Mungu amewavusha salama.

Niende  kwenye  mada  ya  leo, Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipata kesi za watu ambao nikiwatazama katika jicho la rohoni, nagundua ya kwamba, matatizo yao yanahusiana moja kwa moja na kutofuata ama kutozingatia miiko ya jinsi ya kushughulika na  habari  za  wafu.

Ninapo zungumzia  habari  za   wafu, namaanisha   masuala yoote yanayo husiana na wafu, kuanzia makaburi, maiti, vyumba vya kuhifadhia maiti, taratibu za kumuandaa na kumuosha marehemu, taratibu za maziko na mazishi, taratibu  za  matanga & maombolezo,  nguo za marehemu, masuala ya mirathi ya marehemu, jinsi ya kuishi na yatima walio achwa na marehemu, mke au wake za marehemu , mali za marehemu nakadhalika.

Watu wengi wana pata nuksi, mikosi au hata vifo visivyo vyao, kwa sababu ya kutozingatia taratibu za namna ya kushughulika na wafu.

Somo hili lina muhusu kila mmoja wetu, kwa  sababu  kila  mtu  anaweza  kupata  msiba  wa  ndugu, jamaa  au  rafiki  wakati  wowote  ule.

Pamoja  na  kwamba, hakunaga  mtu  mwenye  uzoefu  wa  kufiwa. ( Yaani  kuzoefu  uchungu  wa  kufiwa  kwa  sababu  umeshapata  misiba  mizito mingi ), lakini  linapokuja  suala  la  kufahamu  kuhusu  miiko  na  taratibu za  namna  ya  kushughulika  na  habari  za  wafu, kila  mtu  anapaswa kuwa  na  uzoefu   wa  kutosha, kwa  sababu  msiba  unaweza  kuja  wakati wowote.

Ni muhimu sana kujua taratibu na miiko ya namna ya kushughulika na habari za wafu ili usije kupata madhara yasiyo ya lazima, kwa sababu ya kutokujua nini cha kufanya pale unapokuwa una shughulika na habari za wafu.

Kwa bahati mbaya sana, nyakati za siku hizi hata watu wazima nao hawajui namna ya kushughulika na habari za wafu. Kupitia mfululizo wa makala haya, nitakuwa nikielezea kuhusu miiko mbalimbali ya namna ya kushughulika na habari za wafu.

 Fuatilia makala haya mwanzo hadi mwisho, ili upate kuzijua taratibu hizo na hivyo kujiepusha na madhara mbalimbali yanayo weza kukupata kutokana na kutokujua kwako.

1. KAMA UMEJIFUNGUA MTOTO AMBAE AMEZALIWA AKIWA AMESHA KUFA TAYARI

Moja kati ya mambo ambayo unapaswa kuwa nayo makini sana, ni  pale unapokuwa una shughulika na mazishi ya kichanga, hususani kile kilicho zaliwa kikiwa kimekufa tayari.

Hii ni kwa sababu, maiti ya vichanga, pamoja na eneo vinapozikwa vitoto vichanga ni hazina kubwa sana katika ulimwengu wa wachawi na walozi.

Katika ulimwengu wa wachawi na walozi, watoto wachanga walio zaliwa wakiwa wamekufa tayari, hujulikana kama “ WATU WALIO PITA DUNIANI BILA KUONEKANA” .

Wachawi wanapo sikia mwanamke amejifungua kitoto kichanga kikiwa kimefariki dunia, hukusanyika na kufanya karamu kubwa ya kichawi, kwa sababu , maiti ya kitoto kichanga kilicho zaliwa kikiwa kimefariki dunia, ina maana kubwa sana  katika shughuli zao.

Wachawi hutumia vitovu vya watoto wachanga walio zaliwa wakiwa wamekufa, kama malighafi ya kutengeneza aina mbalimbali za ndumba za kichawi, mfano; kutengeneza ndumba ya kuwafanya wasionekane na maadui zao, kutengeneza uchawi wa kuiba na kufunika nyota ya mtu au biashara ya mtu na kumfanya mtu huyo pamoja na biashara yake visonekane hadi anaingia kaburini, kutengeneza mafuta yajulikanayo kama mafuta ya usiku, ambayo hutumiwa na wafanyabiashara hasa wafanya biashara ndogo ndogo katika kuvuta wateja kwenye biashara, kutengeneza filimbi ya kichawi ambayo hutumika kuwaita wachawi kwenye mikutano yao ya kichawi.

Wachawi hutumia kufanya matambiko mazito kwenye makaburi yaliyo tumika kuzika vitoto vichanga ambayo mara nyingi huwa yanakuwa majumbani.

Matambiko hayo ya kichawi, huwa na madhara makubwa sana kwa watu wanaoishi katika nyumba hiyo, hususani wazazi pamoja na ndugu wa hicho kichanga.

Endapo wachawi watafanikiwa kutumia katika  shughuli zao za kichawi, maiti ya kichanga kilicho zaliwa kikiwa kimekufa, mabalaa, nuksi na mikosi mbalimbali itaiandama familia ya kichanga hicho, kwa sababu moja kati ya maunizi yanayo fanywa na wachawi, huwa ni pamoja na kuwatupia mikosi wazazi wa kichanga hicho, hususani mama wa kichanga hicho.

 Wachawi watatumia tambiko la kitoto hicho kichanga kama lango la kichawi la kuingia katika familia ya wazazi wa kitoto hicho na kuifanya kama watakavyo.

Moja kati ya dalili kwamba, wachawi wametumia  katika shughuli zao za kichawi, kitoto chako kilicho zaliwa kikiwa kimekufa, ni pamoja na kutopata ujauzito , kubeba mimba zinazochoropoka, au kuendelea kuzaa vitoto vilivyo kufa, katika kila ujauzito unao upata.

NINI CHA KUFANYA : 1. Kwanza unapokuwa mjamzito unatakiwa kuchukua tahadhari ya hali ya juu sana ili kuepuka kuzaa kitoto ambacho kimekufa, kwa sababu wachawi huwa wanawafunga wanawake wajawazito wajifungue vitoto vilivyo kufa ili waweze kuvitumia katika mambo yao ya kichawi.

Hivyo unapokuwa na mke mjamzito, hakikisha unampa kinga madhubuti ambayo itawazuia wachawi kumfunga na kusababisha kichanga hicho kisicho na hatia, kuzaliwa kikiwa kimepoteza maisha. 2. Kama tayari umejifungua kitoto ambacho kimezaliwa kikiwa kimeshakufa, unatakiwa ufuate taratibu maalumu za kukifanyia maziko maalumu, pamoja na wewe mwenyewe kufanyiwa tambiko maalumu la kukusafisha na kukukinga dhidi ya jambo  kama hilo, katika siku zako zijazo.

Taratibu za maziko ya vitoto vichanga vilivyo zaliwa vikiwa vimekufa, zinategemea na mambo makuu yafuatayo : jinsia ya mtoto, siku aliyo zaliwa mtoto, mtoto amezaliwa peke ake au wamezaliwa mapacha, kama ni mapacha wamekufa wote au mmoja amepona, na kama mmoja amepona, zipo pia taratibu za namna ya kumfanyia tambiko na ibada maalumu ili kumuepusha na jicho la maadui wa kichawi.

Kitu kingine, inategemea na mtoto aliyezaliwa ni NZAO ama UZAO wa ngapi wa mwanamke aliye jifungua. Kama ni uzao wa kwanza, kuna taratibu zake, na kama ni uzao wa mwisho kuna taratibu zake pia.

Taratibu hizi zisipo fuatwa, basi madhara makubwa sana yatatokea kwa familia husika.

2. KAMA MAMA AMEFARIKI NA MTOTO AMEBAKI HAI

Kama utapatwa na mtihani huu, unapaswa kuwa makini sana na kuzingatia taratibu na kanuni za kufuata.

Ninaposema kuwa makini namaanisha uwe makini kwelikweli, kwa sababu wachawi wana siri kubwa sana na mwanamke aliye jifungua na kufariki dunia.

Kuwa makini sana na watu watakao enda kuuosha mwili wa mke wako ,au dada yako n.k ambae amefariki wakati anajifungua, kwani baadhi yao watakuwemo wachawi ama mawakala wa wachawi ambao watachukua baadhi ya vitu vya mke wako na kwenda kuviuza kwa wachawi.

Vitu hivyo ni pamoja na nywele, nywele za sehemu za siri, kucha, na maji yaliyo tumika kumuoshea.

Vitu hivyo hutumiwa na wachawi kutengeneza ndumba za aina mbalimbali, kama vile kuwafunga wanafunzi wanao soma, wafanyakazi, wafanya biashara nakadhalika.

3. KAMA MAMA NA MTOTO WOTE WAMEFARIKI:

 Kama kwa bakti mbaya umepatwa na mtihani mzito kama huu, unapaswa kuwa makini na kuchukua tahadhari kama ilivyo elezwa hapo juu.

4. KAMA NDUGU YAKO ALIYE FARIKI ALIKUWA KICHAA AU MWENDAWAZIMU

Kama ndugu yako aliyefariki alikuwa kichaa au mwendawazimu wakati wa uhai wake na alifariki dunia akiwa katika hali hiyo unapaswa kuzingatia yafatayo :

Kwanza maiti yake isilale ndani. Itoke moja kwa moja mochwari hadi makaburini. Nguo zake zote zichomwe moto siku ya saba baada ya maziko.

Kuweni makini sana na watu watakao enda kuosha mwili wake.

Ikiwezekana awepo mwanafamilia anae aminika, wakati wa zoezi la kuuosha mwili wa ndugu yenu, kwa sababu watu walio kufa wakiwa wendawazimu ni hazina kubwa sana kwa wachawi, kuanzia sehemu za miili yao, hususani nywele na kucha, nywele za siri , sanda iliyo tumika kuwavisha, nguo  walizokuwa  wamevaa  wakati  wa  kupatwa  na  umauti pamoja na kaburi lililo tumika kuwazika.

Wachawi hutumia vitu hivyo katika kutengeneza uchawi na ulozi wa aina mbalimbali.

 Kwa mfano, nywele za marehemu ambae alikuwa mwendawazimu wa jinsia ya kiume, hutumika kutengeneza ndumba ya kichawi ya kumtuliza kimapenzi mwanaume na kumfanya awe kama mwendawazimu kwa mwanamke aliye mfanyia uchawi huo.

Vivyo hivyo, nywele za mwanamke aliyefariki akiwa mwendawazimu hutumika kutengeneza uchawi wa kuwapumbaza wanawake kimapenzi na kuwafanya kuwa kama wendawazimu kwa waume zao.

Kama hiyo haitoshi, wachawi huchukua nywele za marehemu mwendawazimu wa kiume, huchanganya na nywele za mwendawazimu mwanamke, nywele za mtu aliyekufa akiwa msukule, mafuta ya msukule pamoja na ndumba nzingine, ili kutengeneza uchawi wa kuwapumbaza na kuwafunga wafanyakazi hususani wale wanao fanya kazi kwenye kampuni za watu binafsi.

Uchawi huu hutumiwa sana na matajiri wanao miliki maduka, hoteli, migahawa  au kampuni zao binafsi.

Mtu aliye fanyiwa uchawi huu mara nyingi huwa na uwezo mkubwa na wa kipekee katika kazi yake, na bosi wake anakuwa hayupo tayari kupoteza huduma yake, basi anacho kifanya ni kumlisha uchawi huu na kumpumbaza katika maisha yake yote.

Vilevile, wachawi hutumia vitu vya mwendawazimu kutengeneza uchawi wa biashara hususani biashara ya chakula .

Mtu ukishakula tu chakula kilicho wekwa uchawi huu basi utakuwa kama mwendawazimu kwenye chakula cha kwenye mgahawa au hoteli hiyo.

Huwezi kula chakula sehemu nyingine yoyote ile isipokuwa kwenye mgahawa huo tu, hata yatokee mabadiliko gani.

Uchawi huu pia hutumiwa na wafanyabishara wa biashara nyinginezo kama vile nguo nakadhalika. Kumpumbaza mteja. Mteja huweza kununua nguo ambayo thamani yake ni sh elfu kumi, kwa shilingi laki moja.

Uchawi huo ndio unao tumiwa sana na akina dada katika kuwapumbaza wanaume na kuwafanya wawape kila kitu wanacho kitaka. Endapo utaruhusu wachawi watumie vitu vya marehemu ndugu yenu ambae amefariki akiwa mwendawazimu, basi mikosi na mabalaa makubwa yataiandama familia yenu.

5. KAMA NDUGU YAKO ALIYE FARIKI ALIKUWA KIPOFU !

Unapaswa kuwa makini sana, pale unapopatwa na msiba wa ndugu yako wa damu ambae alikuwa na ulemavu wa kutokuona yaani kipofu.

Hii ni kwa sababu wachawi wanaweza kutumia katika shughuli zao za kichawi baadhi ya vitu vya ndugu yenu na matokeo yake kuiacha familia yenu ikiwa kwenye mabalaa na mikosi isiyo elezeka.

Kuweni makini sana na aina ya watu watakao pewa jukumu la kuosha mwili wa ndugu yenu.

Nawashauri badala ya kuwapa kazi hiyo watu wa mochwari, ifanye ninyi wenyewe ili kuhakikisha kuwa hakuna ufisadi wowote unao fanyika hapo.

 Kwani endapo hamtafanya hivyo, basi mtatoa nafasi kwa wachawi pamoja na wakala wao kuchukua baadhi ya vitu vya ndugu yenu huyo kwa ajili ya kufanya shughuli zao za kichawi.

Vitu hivyo ni pamoja na nywele, nyusi,nywele za siri,kucha, nguo alizokuwa amezivaa marehemu wakati anaaga dunia, kama alikuwa anatumia gongo la mti, nalo ni dili kubwa sana kwa wachawi, maji yaliyo tumika kumuosha nakadhalika.

Pamoja na mambo mengine, vitu vya marehemu ambae wakati wa uhai wake alikuwa na ulemavu wa kuona yaani upofu ( Hasa Yule aliye zaliwa na upofu ), hutumiwa na wachawi kutengeneza uchawi wa aina mbalimbali kama vile uchawi wa kuwafunga maadui zako wasi kuone, uchawi wa mapenzi kumfanya mpenzi wako asimuone mtu mwingine yoyote Yule isipokuwa wewe tu, kufunga nyota ya mtu isionekane na yoyote Yule. Kwenye kaburi la marehemu aliyekuwa na ulemavu wa kuona, hufanyika tambiko la kuzika na kufunga kesi, kuifanya isionekane.

Pia vitu hivyo hutumika kuwaloga wanawake wajawazito kuzaa watoto wenye ulemavu wa macho

6. KAMA NDUGU ALIYE KUFA ALIKUWA NA ULEMAVU WA KUTOSIKIA :

Wachawi hutumia vitu vya mtu aliye fariki ambae wakati wa uhai wake alikuwa na ulemavu wa kusikia, kutengeneza uchawi wa aina mbalimbali kama vile; Mapenzi; kumfanya mpenzi asisikie jambo la mtu yoyote Yule, isipokuwa wewe tu, kumroga mtoto wa mtu kumfanya asiwasikie wazazi wake, kumroga mke au mume wa mtu kufanya asiwe na masikizano na mwenzi wake nakadhalika.

Vitu vinavyo tumika hapo ni pamoja na nywele, nyusi, kucha, nywele za siri, nguo zake, maji yalotumika kumwosha pamoja na kaburi lake.

Unapopatwa na msiba wa ndugu ambae wakati wa uhai wake alikuwa na tatizo la ulemavu wa kusikia, basi unapaswa kuwa makini sana.

7. KAMA NDUGU YENU AMEKUFA MAJI  : Kama mmepata taarifa kuhusu msiba wa ndugu yenu ambae amekufa maji, eidha alikuwa anaogelea, au amepata ajali kwenye mashua au jahazi au meli, zipo taratibu na miiko ya kufuata wakati wa maziko yake.

Moja ya miiko hiyo ni pamoja na “ msichimbe kaburi kabla hamjaupata mwili wa marehemu”.

Hakikisheni kwanza mmeupata mwili wake ndio mchimbe kaburi na kumzika kwa kufuata taratibu zote za kumzika mtu aliye fariki kwenye ajali ya maji.

 Msichimbe kaburi kabla hamjauona mwili wa marehemu. Endapo mtachimba kaburi kabla ya kuuona mwili wa marehemu halafu ikatokea bahati mbaya msiupate mwili wa marehemu, basi  kwanza, mmoja  kati  ya  ndugu  wa  karibu  katika  familia  ya  marehemu, atafariki  dunia ndani  ya  mwaka  huo  huo. Idadi  ya  ndugu  watakao  fariki  ndani  ya  mwaka  mmoja, itategemeana  na  idadi  ya  siku  ambazo  hilo  kaburi  limekaa  wazi.

Kama  hiyo  haitoshi, pili , mtakuwa mmewapa faida kubwa  sana  wachawi.

Wachawi wataenda kulitumia kaburi hilo kutengeneza uchawi mkubwa na wenye nguvu sana.

Makaburi ya namna hiyo hapa Afrika mashariki yapo machache sana, na yanapatikana zaidi nchini Congo DRC na Tanzania hususani kanda ya ziwa na kanda ya kusini katika mkoa wa Lindi.

 Kanda ya ziwa makaburi hayo yapo katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Simiyu, na mengi kati yao ni yale ya wahanga wa ajali ya meli ya MV Bukoba ya mwaka 1996, ambapo mamia ya miili ya abiria waliokuwa kwenye meli hiyo haikuweza kupatikana, ilihali ndugu, jamaa na marafiki walisha chimba makaburi.

 Huko nchini Kongo, idadi kubwa ya makaburi hayo ni yale ya wale mabinti bikira, walio kufa kwenye ajali ya meli iliyotokea mto Kongo miaka ya 70.

Katika ajali hiyo hakuna, mwili uliopatikana hata mmoja na idadi kubwa ya ndugu, jamaa na marafiki wa mabinti hao ilikuwa tayari imeshachimba makaburi kwa ajili ya kuwahifadhi wapendwa wao hao. LAWAMA NYINGI KUHUSU AJALI HIYO ZILIELEKEZWA KWA ALIYE KUWA RAIS WA KONGO KIPINDI HICHO, MOBUTU SSESESEKO AKIDAIWA KUWATOA KAFARA MABINTI HAO KWA MAELEKEZO YA KAMATI YAKE YA UFUNDI ( Miiko yangu ya kazi, hainiruhusu kutoa maoni yangu kuhusu jambo hili )

8. MSICHIMBE KABURI HALAFU LIKALALA BILA KUZIKWA : Kaburi huwa halilali njaa, hakikisheni siku mtakayo chimba kaburi  hilo, iwe ndio siku mtakayo mzika marehemu wenu.

Kamwe msichimbe kaburi kabla mwili haujafika nyumbani.

Endapo mtakiuka jambo hilo, basi misiba itaiandama familia yenu kwa mwaka mzima.

Mtakuwa  mmeiunganisha  familia  yenu  na  kaburi  lililo  lala  wazi  kwa  hiyo  siku  moja. Tumbo la kaburi hilo  litadai malipo yake ya kulala bila chakula chake kwa siku nzima.

9. MSIACHE KABURI WAZI WAKATI MNAENDA KUCHUKUA MWILI WA MAREHEMU

 Mkishamaliza kuchimba kaburi, msilitelekeze peke yake. Wekeni watu kadhaa wa kulinda kaburi ambao watakaa huko kaburini hadi pale mwili wa marehemu utakapo letwa kuzikwa.

10. MWANAMKE MJAMZITO ASIHUDHURIE MAZISHI Mwanamke mjamzito hatakiwi kuhudhuria kwenye maziko ( makaburini ).

Endapo atafanya hivyo basi, roho ya marehemu itamuingia mtoto aliyeko tumboni, na hivyo kusababisha bahati mbaya na mikosi kwa mwanamke huyo wakati wa kujifungua na endapo atajifungua salama, basi mtoto atakae zaliwa anaweza kupoteza uhai, au endapo ataishi basi, mama  huyo  atafariki  na  kumuacha  motto na  motto  atakuwa kwa taabu sana na ataandamwa na mikosi.

Kama itatokea mwanamke huyo akalazimika kuhudhuria kwenye mazishi ( Mfano labda aliyefariki ni mtu wake wa karibu sana kama vile mama yake,baba yake, mume wake, kaka yake, dada yake au mtoto wake ), basi anatakiwa ASITAZAME MWILI WA MAREHEMU wakati wa kuaga.

Endapo atafanya hivyo, basi ile roho ya marehemu itaishaishawishi roho ya mtoto aliyepo tumboni, kwenda kwenye nchi ya wafu, jambo ambalo litasababisha matatizo makubwa sana kwa mama wa mtoto wakati wa kujifungua.

Uwezekano wa kujifungua mtoto aliyefariki, utakuwa kwa asilimia mia.

11.  Unapopita kwenye eneo la makaburi mida ya saa saba mchana au saa moja usiku, usiache mdomo wako wazi wala kupiga miayo. Endapo utafanya hivyo, roho za wafu zitakuingia na kusababishia matatizo makubwa.

12. Mnapomzika marehemu, kichwa kiangalie upande wa magharibi na miguu iwe upande wa mashariki.

14. Mara tu kifo kinapotokea, kitu cha kwanza, unacho takiwa ni kuondoa ama kufunika picha na vioo vyote vilivyomo kwenye chumba alichopo marehemu. Ni nuksi kubwa sana kuacha taswira ya mwili wa marehemu ionekane kwenye kioo. Kama hiyo haitoshi, ni nuksi kubwa sana kutazama taswira yako kwenye kioo hicho, mpaka mwili wa marehemu uatakapo kuwa umeondolewa. Ukitaka kuamini ninacho kisema, jaribu kuingia na kioo kwenye chumba alimo lala marehemu halafu jitazame kwenye hicho kioo. Utakacho kiona, uje ukisimulie hapa.

15. Naweni mikono kwa dawa maalumu baada ya kubeba jeneza lenye mwili wa marehemu.

16. Oga dawa mara baada ya kutoka kaburini.

17.  Kama marehemu amefariki akiwa nyumbani, mnapoenda kuutoa mwili wake, miguu itangulie kutoka, kamwe msifanye kosa mkatanguliza kichwa.

18. Kama watu wawili katika nyumba moja, wanaumwa sana, halafu ikatokea mmoja wao akafariki dunia, basi hiyo ni ishara kwamba huyo mwingine atapata nafuu kubwa.

19. Kuna ndege mmoja anapatikana porini ( SIMTAJI KWA SABABU ZA KIMIIKO), ukichukua nyoya la huyo ndege halafu ukaliweka kwenye mto wa kitanda anacho lalia mgonjwa, basi mgonjwa huyo atakufa wala hatopona. Nyoya hilo hilo likiwekwa kwenye kitanda anacholalia mtoto mdogo, litamzuia mtoto huyo kukua.

20. Kitanda anacho lalia mgonjwa mahututi, kitazame mashariki na magharibi, na kamwe sio kaskazini na kusini. Kichwa kiangalie magharibi na miguu itazame mashariki.

21. Jina la mwisho kutajwa na marehemu wakati anakaribia kukata roho, litakuwa jina la mtu atakae fuatia kufa baada ya marehemu.

22. Endapo mtu anae karibia kukata roho, atakun’gata, basi na wewe utamfuata baada ya muda mfupi. Ili kujiepusha na kifo cha namna hiyo, basi unatakiwa na wewe umng’ate katika sehemu ile ile aliyo kun’gata.

23. Kama kiongozi wa familia atafariki dunia, basi mnatakiwa kusimamisha saa kubwa ya ukutani inayo kaa sebuleni, vinginevyo wanafamilia walio baki nao watamfuata ndani ya kipindi kichache, vitatokea vifo mfululizo vya wanafamilia.

24. Baada ya kuuosha mwili wa marehemu, na kuuvisha nguo zake, unatakiwa kuweka punje moja ya chumvi kwenye kifua cha marehemu ili kuwafukuza roho na majini wabaya.

25. Kama marehemu atakuwa akiwa ameacha macho wazi , hiyo ni ishara mbaya sana. Maana yake ni kwamba,anatafuta watu ( ndugu zake ) wa kwenda nae kaburini. Kujiepusha na hilo, funikeni macho yake kwa kutumia sarafu .

26.  Usifagie chumba cha marehemu kabla marehemu hajatolewa. Endapo utafanya hivyo, basi amini nakwambia wewe ndie utakae mfuata marehemu.

27.  Msitoe shuka wala nguo yoyote iliyopo kwenye kitanda alicho kilalia marehemu, na ambacho umauti ulimkuta. Endapo mtakiuka hilo, basi mwanafamilia mwingine atafariki ndani ya mwaka huo huo.

28. Endapo Kundi la wanandugu, jamaa na marafiki, mtaenda kuuchukua mwili wa marehemu halafu ghafla mkaona anatoa damu kwenye tundu za pua, basi mjue kuwa marehemu amekufa kwa mkono wa mtu, na aliye husika na kumuua, yu miongoni mwenu,ndani ya chumba hicho hicho.

29. Kwa mara nyingine tena narudia, mwili wa marehemu unapotolewa kwenye jengo lolote lile, iwe nyumbani, kanisani, au msikitini ni lazima miguu ndio itangulie kutoka na sio kichwa, vinginevyo roho au mzimu wa marehemu huyo, utatazama katika jengo hilo na kumuita mtu mwingine wa kufuatana nae.

30. Marehemu azikwe mahali alipo pachagua wakati wa uhai wake, au la sivyo endapo mtaenda kinyume chake, vifo vitatokea katika familia hiyo. Na kama mtalazimisha kusafirisha mwili wa marehemu, basi msafara huo lazima utapata ajali njiani, na mtu mmoja lazima atakufa.

31. Ukiugusa mwili wa marehemu, utakuwa na uhakika kwamba, roho ya marehemu haitakusumbua. Na endapo utaugusa mwili wa marehemu usoni, hutoota ndoto mbaya kuhusu marehemu huyo.

32. Usipeleke mwili malaloni kwa kutumia gari lako binafsi. Ni nuksi kubwa sana kufanya hivyo. Mwili wa marehemu unapelekwa malaloni kwa kutumia gari maalumu.

33. Endapo mtasafirisha mwili wa marehemu kwa basi, kichwa kitazame anapotoka na miguu itazame anapoelekea.

34. Usi hesabu magari kwenye maziko (makaburini), ukifanya hivyo unakuwa unahesabu siku zako mwenyewe za kuishi.

35. Kuwa muangalifu usione taswira yako kwenye gari lililo beba mwili wa marehemu, vinginevyo wewe ndio utakae fuatia kubebwa kwenye gari hilo.

36. Usiende na mtoto mchanga kwenye msiba, vinginevyo atakufa kabla hajatimiza mwaka mmoja.

37. Ni nuksi kubwa sana kutangulia makaburini ( kwenye maziko)  au kupita bila kushiriki kwenye maziko . Kama utafanya hivyo, utakufa ndani ya muda si mrefu.

38.  Kama paka mweusi atakatisha mbele wakati wa maziko (makaburini ) mwanafamilia mmoja katika familia ya marehemu atakufa ndani ya siku tatu.

39.  Kama ndugu yenu amekufa, kwa kuuwawa au mna wasiwasi kwamba ndugu yenu ameuwawa, basi mzikeni huku kichwa kikiwa kinatazama chini. Mtu aliye muua ndugu yenu, kama atakuwa kwenye eneo la maziko, basi hatoondoka eneo hilo hadi atakapo kamatwa. Watu wote wataondoka, lakini yeye atabaki, hapo hapo, atakuwa kama amepagawa  na kupigwa na bumbuwazi. Kama msiporudi kutazama hapo kaburini, basi hata siku tatu mtamkuta, na atakapo waona, basi ata tubu na mtafikisha kwenye vyombo vya dola.

Miaka ya sabini kushuka chini, babu zetu ilikuwa kama ndugu yao amekufa kwa kuuwawa ama kama wanahisi ndugu yao amekufa kwa kuuwawa, mfano amewekewa sumu, amenyongwa n.k,. basi walikuwa wanafanya hivi, wanatoa ini la marehemu, halafu wanazika ini sehemu tofauti na mwili wa marehemu, kwa kufanya tambiko maalumu. Ndani ya siku saba, mtu aliye muua marehemu, atapatikana katika eneo lililozikwa ini.

40.  Kaburi lilisale wazi, likilala wazi, basi mwanafamilia mwingine katika familia ya marehemu atafariki ndani ya mwaka huo huo. Kaburi lizikwe siku liliyo chimbwa.

41. Kaburi likilala wazi  siku ya Jumapili, basi jumapili itakayo fuata, mwanafamilia mwingine kutoka kwenye familia ya marehemu na yeye atamfuata marehemu.

42. Vifaa vilivyo tumika kuchimba kaburi, vinatakiwa vibakie kaburini kwa siku nyingine saba. Kuvipeleka nyumbani vifaa hivyo siku hiyo hiyo aun kabla ya siku saba, ni nuksi kubwa sana.

43. Kuondoka makaburini kabla kaburi lote halijafukiwa, kutasababisha msiba kwenye familia yako wewe uliye ondoka kabla watu hawajamaliza kuzika. Mvua ikinyesha kwenye kaburi ambalo bado halijafukiwa, ni ishara mbaya sana kwa familia ya wafiwa.  Ili  kuepukana  na  nuksi  hiyo, inabidi  kuwe  na  mtaalamu  wa  kuzuia  mvua.

44. Ni nuksi  kubwa  sana  kusonta  kaburi

45. Ni  nuksi  kubwa  sana kurukia  kwenye  kaburi

46. Ni  nuksi  kutembelea  makaburini  baada  ya  jua  kuzama

47. Wafiwa  wasiondoke  nyumbani  wala  kujichanganya  mtaani na watu  wengine, hadi  matanga  yatakapo  inuliwa. Kwa  mfano  watu wengine, unakuta  mtu  amefiwa, lakini  kabla  hata  matanga  hayajainuliwa, anakwenda  bar kunywa  na  kurudi  msibani. Hayo ni makosa  makubwa  sana.

48. Wafiwa wote  wakuu, yaani  ndugu  wa  karibu  wa  marehemu, wasioge  hadi  baada  ya  siku  tatu, ambayo  ndio  siku  ya  kuanua  matanga, na  maji  watakayo  oga  yawe  maji  ya  moto.

49. Wafiwa  wasishiriki  ngono  hadi  matanga  yatakapo  inuliwa.

50. Waombolezaji  msibani, wasiongee  kwa  nguvu  wala  kucheka  kwa  nguvu. Ni makosa  makubwa  sana  kufanya  hivyo.

Leo  tumekomea  miiko  50. Kama  kichwa  cha  maya  kinavyo  jieleza, MIIKO  ELFU MOJA  NA  MOJA YA  WAFU. Hivyo  basi, ili  kufahamu  kuhusu  miiko  mingine  iliyo  baki, tembelea  kila  siku:  www.mungwakabili.blogspot.com

Imesimuliwa  na   Dokta. mungu  wa  kabili. Anapatikana  kwa  simu  namba  0744 000  473

Jipatie Dawa za Asili za Kupunguza Maziwa, Kutoa Michirizi, Kuondoa Chunusi, Kuongeza Maumbilie na Nguvu za Kiume

$
0
0
NATURAL BEAUTY COSMETICS ni kampuni inayoongoza kwa kutoa bidhaa original za asili zenye matokeo mazuri bila kemiko wala madhara yoyote pia tunatoa punguzo la bei la %10 kwa ajili ya Xmas and new year pata bidhaa kwetu uweze kufurahia matokeo mazuri kwa bidhaa original.

     Tunazo za:👇👇👇👇
1. Kutengeneza shepu hipsi na makalio kwa:- (a) Dawa ya kunywa au Botcho yakupaka @ 150,000/= (b)Vidonge maalum @ 150,000/=
 
2. Kupunguza au kuongeza maziwa @ 90,000
3. Kushepu miguu kuwa (Chupa ya bia) @ 100,000
( Kuludisha bikra (@) 100,000/=
 
4. Kuondoa mipasuko au michirizi @90,000/=
5.Kuwa softi na mweupe mwili mzima kwa mafuta @10,000/= vidonge maalum @150,000
 
6.Kuongeza unene wa mwili mzima @130,000/=
7.kupunguza tumbo na manyama uzembe kwa:-
(a)Dawa ya kunywa au kupaka @ 130,000/=
(b) Mkanda original wa MICRO COMPUTER @200,000/=
 
8.Kuondoa chunusi na madoa sugu (@) 100,000/=
9.Kuondoa mvi milele na zisiludi tena @ 120,000
 
10.Kuongeza maumbile kwa:- (a)Gel ya kupaka @120,000/= Mashine original ya HANDSOME UP @170,000/=
11.Kuondoa vinyweleo @90,000/=
 
12.kuotesha nywele kwenye kipara @120,000/=
13.Kuongeza nguvu za kiume na hamu ya tendo @100,000/=
14.Kuondoa makovu sehemu yoyote @90,000/=

     WASILIANA NASI KWA NAMBA :-
          065 9618585 au
             0759029968.
 
Popote ulipo utapata huduma zetu. BIDHAA  zetu zote ni GARANTII  na risiti unapewa ili kuhakikisha mafanikio yako
           Follow us 
   👇👇👇👇👇👇
@natural2162
@natural2162
@natural2162
@natural2162
@natural2162
      👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻👆🏻

Mkuu wa Wilaya Aagiza Ng'ombe Wavishwe Hereni

$
0
0
Mkuu  wa  Wilaya ya Arusha Gabriel  Dangalo, amewaagiza wataalamu wa mifugo na kilimo katika  wilaya zote za mkoa wa Arusha, kuhakikisha wanafanya sensa ya kutambua idadi ya mifugo na kuivalisha hereni.

Dangalo ametoa kauli hiyo kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo kwenye  hafla ya uzinduzi wa mradi wa kuboresha ng’ombe wa maziwa ADGG, uliowahusisha  wafugaji kutoka halmashauri ya Arusha na jiji la Arusha iliyofanyika mkoani hapa.

Amesema maelekezo ya mkoa ni kuhakikisha ng’ombe wote waliopo kwenye wilaya, mkoani hapa, wanaingizwa kwenye mpango wa utambuzi kwa kuvalishwa hereni, chini ya mradi wa kuboresha mradi wa ng’ombe za maziwa wa  ADGG.

Mratibu wa mradi huo Dk. Eliaman  Lyatuu amesema suala la uwekeji hereni za kitaifa kwa ng’ombe wa maziwa kwa ajili ya utambuzi ni mpango mzuri ambao unafanyika kwa nchi mbalimbali duniani na tayari halmashauri ya Arusha na jiji la Arusha, wameshavalisha ng’ombe wa maziwa zaidi ya 300 .

Ameongeza kuwa mpango huo umepokelewa vizuri na wafugaji na utawasaidia kutambua ng’ombe wao hata pale watakapokuwa wanahamisha mifugo kutoka eneo moja kwenda eneo lingine, pia ng’ombe anapopotea ama kuibiwa inakuwa rahisi kumtambua.

Rais Obama Amwaga Chozi Wakati Akiwaaga Wamarekani

$
0
0
Rais wa Marekani, Barack Obama amewaaga Wamarekani na ulimwengu mzima kwa ujumla ikiwa ni mara ya mwisho akiwa kama rais, katika hotuba iliyojaa hisia kubwa aliyoitoa mjini Chicago na kuwataka Wamarekani kuunganisha nguvu katika kuleta mabadiliko. 

Rais huyo ametokwa na machozi wakati akimshukuru mke wake Michelle Obama kwa namna alivyotoa mchango mkubwa katika utawala wake.

Akihitimisha utawala wake katika Ikulu ya Marekani, Obama amerejea katika mji ambao sasa ni nyumbani kwake wa Chicago ambako kampeni yake ya "ndio tunaweza" ilianzia hapo na leo akisema "ndio tumeweza".

Akiorodhesha mafanikio ya utawala wake kuanzia mkataba wa nyukilia na Iran hadi huduma ya bima ya afya, sehemu kubwa ya hotuba yake iliegemea katika kuwatia moyo wafuasi wake waloshtushwa na ushindi wa Donald Trump pamoja na kutathmini mafanikio aliyoyapata katika uongozi wake na mtazamo wake kuhusu wapi Marekani inaelekea .
 
Obama amewataka Wamarekani kuamka, kupigania demokrasia lakini akaonya kuwa ubaguzi wa rangi na kukosekana kwa usawa bado ni kitisho kwa demokrasia. 

"Sisi sote bila ya kujali vyama, ni lazima turudi katika ujenzi wa taasisi ya demokrasia", amesema Obama.

"Hivyo sisi kama wananchi, lazima tuwe macho dhidi ya uchokozi wa nje, ni lazima tuilinde misingi yetu inayodhoofika inayotutambulisha sisi ni akina nani. Ndio maana katika kipindi cha miaka nane iliyopita nimefanya kazi ya kuweka mapambano dhidi ya ugaidi katika misingi ya kisheria.
 
"Ndio maana tumemaliza mateso, kufanya kazi kulifunga gereza la Guantanamo, na mageuzi ya sheria zetu zinazosimamia ufuatiliaji wa kulinda faragha na uhuru wa raia. Na ndio maana mimi nimekataa ubaguzi dhidi ya Waislamu Wamarekani", amenukuliwa rais huyo.

Miongoni mwa mafanikio mengine anayojisifia Obama ni pamoja na kuimarishwa kwa uchumi, kuhalilisha ndoa za jinisia moja, kufunguliwa kwa mahusiano ya kidiplomasia na Cuba na maenedeleo mengine.

Mke wake Michele Obama na makamu wa rais Joe Biden na mke wake Jill ambao rais amewaelezea kama "familia" wamehudhuria hafla hiyo.

Obama akifuta machozi machoni mwake amemshukuru mke wake Michelle akimuita ni rafiki yake mkubwa, mtoto wake Malia aliyekuwa akibubujikwa na machozi pamoja na Sasha ambaye hakuwepo. 

Akielezea mchango wa mke wake, Obama anasema,  "Michelle Lavaughn Robinson, msichana kutoka upande wa kusini, kwa miaka zaidi ya 20 iliyopita, umekuwa sio tu mke wangu na mama wa watoto wangu lakini rafiki yangu mkubwa.

"Ulichukua jukumu ambalo hukuuliza na ukalifanya kuwa lako kwa neema , ujasiri, mipango na ucheshi mzuri. Uliifanya Ikulu kuwa sehemu ya kila mtu."

Anasema Marekani imekua bora na yenye nguvu duniani tangu alipokula kiapo kuiongoza nchi hiyo miaka nane iliyopita. 

Donald Trump atakayeapishwa Januari 20 anatarajiwa kuondoa baadhi ya yaliyofikiwa na karibu kiasi ya watu elfu 18 waliohudhuria hafla hiyo mjini Chicago walimshangilia rais huyo wakisema "miaka minne zaidi" na Obama akasema hawezi kufanya hivyo.

Obama katika hotuba yake ya mwisho ameepuka kumkosoa Trump moja kwa moja na kulaani mgawanyiko ambao umezikumba siasa za taifa hilo.

Imeandikwa na Mtandao wa DW

Michelle Obama akimliwaza binti yake Milia ambaye alijikuta akitokwa na machozi wakati akisikiliza hotuba ya baba yake Rais Barack Obama

Makamu wa rais wa Marekani Joe Biden naye alijikuta akishindwa kujizuia na kutokwa na machozi

 Rais wa Marekani, Barack Obama akikumbatiana na Makamu wa rais wa Marekani Joe Biden baada ya kumaliza hotuba yake.

Michelle Obama akimkumbatia mumewe rais Barack Obama baada ya kumaliza hotuba yake. 

Rais wa Marekani Barack Obama akimkumbatia binti yake Milia baada ya kumaliza hotuba yake.

MCT, LHRC, THRDC wafungua Kesi mahakama ya EACJ kupinga Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari

$
0
0
Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Mtandao wa Haki za Binadamu Tanzania ( THRDC) leo Jumatano ya Januari 11, 2017 wamefungua kesi ya kuipinga Sheria Mpya ya Huduma za Vyombo vya Habari namba 12 ya mwaka 2016 katika Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ).

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufunguliwa kesi hiyo, Katibu Mtendaji MCT, Kajubi Mukajanga amesema washirika waliofungua kesi hiyo wanataka baadhi ya vifungu vya sheria vinavyokandamiza uhuru wa habari na kujieleza vifutwe kwakuwa vinakiuka matakwa ya mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Na kwamba mahakama ya EACJ imepewa mamlaka ya kutafsiri mkataba huo na kuhakikisha nchi wanachama wanaufuata na kuusimamia.

“Vifungu hivyo vya sheria vinakandamiza uhuru wa habari na wa kujieleza, vifutwe kwani vinakiuka matakwa ya mkataba wa EAC ambao unataka nchi mwanachama kuzingatia na kulinda haki ambazo zimeelezwa katika mkataba huo kwenye ibara ya 6(d) na 7(2),” amesema.

Amesema kuwa, Ibara ya 6(d) ya mkataba wa EAC inahimiza umuhimu wa kufuata kanuni za utawala bora, wa kidemokrasia, sheria, uwajibikaji, uwazi na haki kwa wote ikiwa pamoja na usawa wa kijinsia, kulinda na kuheshimu haki za binadamu.

“Kama ilivyo kwenye kifungu cha 8(1) (c), Tanzania inatakiwa kuchukua hatua za kuhakikisha haki zote zinazotajwa katika mkataba huo zinafuatwa na kutekelezwa,” amesema.

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Helen Kijo-Bisimba amesema baadhi ya vifungu vya sheria hiyo vinakiuka haki za binadamu na kwamba wameshiriki kufungua kesi hiyo ili kuipinga sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari.

“Sheria imekaa sivyo, tumeona tuungane na wenzetu ili kuipinga sheria hii,” amesema.

Mkurugenzi wa THRDC, Onesmo Olengurumwa amesema sheria inabidi ibadilishwe hasa katika vifungu kandamizi kabla ya kuanza kutumika.

“Kuna mazingira yatakayowaweka katika mazingira magumu waandishi wa habari, ni vyema kuipinga sheria hii isitumike hadi ibadilishwe.”
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images