Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Dk Slaa apokewa kwa mabango ya kumpinga Mkoani Kigoma..Wamtaka yeye na Mbowe wajiuzulu.

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Wilbrod Slaa amepokewa kwa mabango katika mkutano wake wa hadhara wilayani Kakonko, Kigoma lakini akawaambia waliofanya hivyo kuwa chama chake hakitayumbishwa huku akiwataka wanaosimama na mabango kumtetea Zitto Kabwe kung’oka naye ndani ya chama.  Dk Slaa yuko mkoani Kigoma ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku 11

Siku ya mazishi ya mzee Nelson Mandela ni tarehe 15 mwezi huu....Obama, Bill Clinton, David Cameron wathibitisha kuhudhuria

$
0
0
Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma ametangaza mazishi ya Nelson Mandela yatafanyika siku ya Jumapili, Desemba 15 mwaka huu kijijini kwake Qunu, katika jimbo la Eastern Cape, Afrika Kusini.   Rais Zuma ametangaza siku 5 za maombolezo kitaifa na bendera zitapeperushwa nusu mlingoti katika muda wote huo. Na ameitangaza siku ya Jumapili ya Desemba 8, 2013 kuwa siku maalumu ya kitaifa ya

CHADEMA yakerwa na ukweli wa CUF.....

$
0
0
BAADHI ya wafuasi cha Chadema, jana nusura waanzishe fujo kwenye mdahalo wa kujadili demokrasia na migogoro ndani ya vyama vya siasa, baada ya mmoja wa washiriki kutamka kuwa, CCM itaendelea kuongoza nchi endapo vyama vya upinzani vitaendelea kuwa na migogoro hivyo kuzidi kividhoofisha.   Kauli hiyo, licha ya kutaka kusababisha fujo, iliwafanya baadhi ya wafuasi wa Chadema kutoka nje ya

Kamati ya Bunge yadai TAMISEMI ni sehemu ya mtandao wa ufisadi

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (Laac), imeilipua Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa madai ya kuwa sehemu ya Mtandao wa Ufisadi serikalini.    Tamisemi inaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Hawa Ghasia anayesaidiana na manaibu waziri wawili, Aggrey Mwanry na Majaliwa Kassim Majaliwa.

Muswada wa kura ya maoni wa mwaka 2013 wapita

$
0
0
BUNGE limepitisha muswada wa kura ya maoni wa mwaka 2013.    Muswada huo ambao ulikwama kupitishwa juzi kutokana na hitilafu ya umeme na kusababisha vipaza sauti kugoma, ulipitishwa jana kwa wabunge kutakiwa kuitikia ndiyo au siyo.   Hata hivyo, muswada huo ulikuwa na mvutano mkali kati ya serikali na wabunge wa upinzani, huku baadhi ya wabunge wakichafua hali ya hewa kwa kudai

Kwa staili hii, mahausigeli ( mabinti wa ndani ) wataendelea kulala na waume zenu katika maisha yenu yote ya ndoa.

$
0
0
  Siku hizi watu wengi wamekuwa na mtindo wa kuajiri wasichana wa kazi  ili kusaidia kazi za nyumbani....   Hatukatai,  pengine mama mwenye nyumba anaweza kuwa anazidiwa na kazi,kama kufua nguo za mzee,watoto,kunyoosha, kuandaa chakula  nakadhalika.   Lakini kuna  wanawake wengine unakuta  wako wawili tu, yeye na mumewe, eti nao wanaweka house girl sijui wa nini? Tena  wengine sijui ni sifa

Mke asipopewa heshima hawezi kumthamini mumewe hata iwaje....Kwa stori kibao za mapenzi, BOFYA HAPA

$
0
0
Kuna wanaume ambao kwa kutokujua wanadhani mwanamke anachohitaji ni ‘fidia’ baada ya kuvunjiwa heshima, hivyo huwa wanawavunjia heshima wake zao na baadae kujitoza ‘fidia’ kwa kuwanunulia zawadi kubwakubwa wanawake hao.   Wanawake huwa wanapokea zawadi hizi, lakini hii haina maana kwamba ndoa itaendelea kuwa ya amani na upendo. Mwanamke hata kama atapewa dhahabu yote duniani, kama

NIMEONA UTUPU WA MKE WA MTU..SASA IMEKUWA TABU...!! USHAURI JAMANI NIFANYEJE????

$
0
0
Ilikuwa wiki moja iliyopita.Wakati wa asubuhi naingia bafuni kuoga kumbe kulikuwa na mke wa jirani yangu ambaye pengine hakusikia ujio wangu nami sikujua kama yumo.   Ile anataka kutoka tu pale mlangoni,kanga yake ikaanguka na akabaki mtupu Macho hayana pazia niliona utupu wake nae aliona kuwa nimeona.Ile tu anajizoazoa kujisitiri akateleza akaanguka ikabidi nimsaidie kumuinua ,

Jinsi ya kufuta kila kitu kwenye computer yako zikiwemo picha za uchi ili kuzuia zisivuje na kusambaa...Kumbuka kuformat hakusaii kitu

$
0
0
Kuna watu wamekuwa wakipata hasara katika makampuni yao au hata watu binafsi kutokana na kuuza kompyuta zao kwa watu wengine . Uuzaji wa kompyuta bila kuisafisha umeawafanya watu wengi kuibiwa kumbukumbu zao za siri bila wao kufahamu na kumbukumbu hizo zinapoangukia kwenye mikono ya watu wabaya inakuwa hasara kwa aliyeuza kompyuta hiyo. Je Unataka kuuza kompyuta yako na kununua mpya,

Ufoo Saro arejea kazini akiwa ngangari kiafya.....

$
0
0
MWANDISHI wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro ambaye hivi karibuni alikumbwa na madhila ya kupigwa risasi na kujeruhiwa vibaya na mzazi mwenzie, kwa sasa afya yake imeimarika na kurejea kazini. Kamera yetu iliweza kumkamata katika mmoja ya mkutano wa waandishi wa habari wakati akiuliza swali. Mmoja ya wafanyakazi wenzake ambaye hakupenda kuwekwa wazi jina

Msajili wa Vyama Vya Siasa Francis Mutungi awataka wana Arusha kuacha ushabiki wa kisiasa unaohatarisha amani.

$
0
0
Msajili  wa vyama vya siasa  nchini  Bw Fransis  Mutungi  amewataka  wananchi  wa  Mkoa  wa  Arusha na watanzania  kwa  ujumla   kuepuka kuingiza  ushabiki  kwenye  siasa  kwani   kufanya  hivyo  licha ya kuwa  chanzo   cha kuhatarisha  amani  wanaharibu   lengo  la  fani hiyo  ambayo ina  umuhimu  na  faida  kubwa  katika  jamii   kama  taratibu  na misingi yake  ikifuatwa   na

Jacline Wolper anusurika kufa katika ajali ya gari

$
0
0
Muigizaji wa filamu, Jacqueline Wolper ameponea chupuchupu kupoteza uhai  baada ya gari  lake kugonga ukuta na kubomoa matanki makubwa ya maji ambayo kama yangeangukia gari yake ingekuwa ni story nyingine.   Wolper ameshare mkasa huo kwa mashabiki wake wa Instagram na kuweka picha inayoonesha mantenki ya maji yaliyobomoka.   “Dah kuzaliwa cku moja na kufa ni cku moja nando

Upepo mkali waezua paa la shule ya msingi Luganga....

$
0
0
  Wanafunzi wa shule ya msingi Luganga kata ya Ilolompya Tarafa ya Pawaga Mkoa wa Iringa, wakiangalia sehemu ya paa la chumba cha darasa lililo ezuliwa na upepo mkali... Nyumba ya Mwalimu Wanafunzi wa Shule ya Msingi Luganga wakicheza nje ya Darasa lililo ezuliwa Wanafunzi Shule ya msingi Luganga wakiendelea na Masomo ndani ya Darasa lililo ezuliwa na Upepo mkali ,(Picha na Said

Picha tano za mikutano ya Dr. Slaa mkoani Kigoma.....Mwenyekiti wa mtaa ajitoa CCM na kuhamia CHADEMA

$
0
0
 Baadhi ya waandamanaji wakiwa na mabango ya kumpinga Dr. Slaa... Polisi  wakimsulubu  kijana aliyeleta  vurugu  eneo  la  mkutano.... Polisi wakidumisha  ulinzi  kwa  kukabiliana  na  waandamanaji.... Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Community Center mjini Kibondo baada ya waleta

Mizengo Pinda adaiwa kuwa ni mzigo serikalini.....Rais Kikwete ashauriwa amfukuze

$
0
0
SAKATA la mawaziri kuandamwa kwa kutowajibika limezidi kushika kasi ambapo safari hii, Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kumfukuza kazi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa madai ya kuwa mchawi wa maendeleo ya nchi na mzigo namba moja.  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia naye anadaiwa kuwa mzigo mwingine kwa taifa kutokana na kubariki ufisadi

Meli ndogo ya mizigo yazama kilwa masoko....mtu mmoja hajulikani aliko

$
0
0
Mtu mmoja aliefahamika kwa Jina la Nice Mtega fundi mkuu wa Meli ndogo ya mizigo iitwayo MV MERCI II inayomilikiwa na Semuhungu Shingiro anahofiwa kufa maji baada ya kutoweka toka kuzama kwa meli hiyo katika bandari ya Kilwa masoko.    Akiongea na mwandishi wetu, meneja wa Bandari ya Kilwa, Bw. Iddi Omary,  alieleza kuwa Meli hiyo iliyofunga gati jana jioni ikitokea songosongo na  

Taarifa kamili ya maandamano yakumpinga Dr Slaa mkoani Kigoma yaliyofanyika jana ambapo bendera na kadi za CHADEMA zilichomwa moto

$
0
0
Ziara ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbroad Slaa, imekumbwa na vurugu wilayani Kibondo baada ya vijana kuingilia mkutano wake wa hadhara wakiwa na mabango.   Vurugu hizo zilisababisha vijana 12 kutiwa mbaroni na polisi. Mabango hayo yalikuwa yakipinga hatua iliyochukuliwa na Kamati Kuu (CC) ya Chadema kumsimamisha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.   Vijana hao wakike

Rais Kikwete awasili nchini akitokea ufaransa

$
0
0
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha wageni wakati aliposimama kwa muda katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi akiwa njiani kurejea nyumbani baada ya kuhudhuria mkutano unaohusu Amani na usalama na ushirikiano wa kiuchumi kati ya Bara la Africa na Ufaransa.Kulia aliyesimama ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Balozi Amina Mohamed na kushoto ni

Picha 7 za vurugu kubwa zilizotokea Kasulu Kigoma Kumpinga Dr. Slaa......Mabango yao yanasema Zitto kwanza, CHADEMA baadae.

$
0
0
Baada ya mkutano wa Dr. Slaa Kuvunjwa  kwa fimbo  na mawe, kilichofuata  baadae  ni  mapambano  kati  ya  polisi  na  wananchi  wanaompinga Dr. Slaa  <!-- adsense -->

Mkutano wa CHADEMA mkoani kigoma wasambaratishwa kwa mawe....Polisi watumia mabomu ya machozi kumuokoa Dr. Slaa

$
0
0
  Taarifa za kusikitisha ni kwamba mkutano wa Dr.slaa wilayani Kasulu-Kigoma umevunjika baada ya vurugu kubwa kuibuka....   Kwa mujibu wa mtandao wa jamii forums ,Slaa anadaiwa kupigwa mawe na vijana wasiojulikana  wakati akiwa Jukwaani.... Baada ya vurumai hilo, polisi walilazimika kupiga mabomu ya Machozi ili kutawanya watu .... Bado haijulikani, Slaa ameumizwa kiasi gani
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images