Kisukari ni tatizo linalo wasumbua watu wengi duniani. Ama kwa upande wa wanaume, tatizo la kisukari huja na madhara mengi. Moja kati ya madhara yanayo letwa na tatizo la kisukari ni pamoja na tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Kwa wanaume tatizo la kisukari na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume huenda sambamba. Mara nyingi, ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume huweza kuchukuliwa kama dalili ya kuwa na tatizo la kisukari.
Tatizo hili huweza kuja na athari nyingine za kijamii na kifamilia. Mfano wa athari hizo inaweza kuwa kukimbiwa na mke, mchumba, mpenzi nakadhalika.
Tunacho kisa kimoja cha kusikitisha kinacho muhusu mwanaume aliye kimbiwa na mke wake, na kisha mke huyo kuhamia kwa jirani yake kwa sababu ya ugonjwa wa kisukari.
Kisa hiki kinasimuliwa na Mchungaji & Mwinjilisti Daniel Kulola, alipokuwa akihubiri huko Chamwino, mkoani Dodoma.
Mchungaji Daniel Kulola anasema
“ Wakati nakuja kwenye basi, mtu mmoja akanipigia simu. Aliokoka mwaka 97 wakati nahubiri Shinyanga. Yule ni mwalimu wa sekondari, sasa hivi ni amepandishwa cheo, amekuwa Mratibu wa Elimu.
Anasema ‘ KILA NIKIFUMBA MACHO, NAONA KIFO! PRESHA YANGU IPO JUU KULIKO KAWAIDA, NA NIMEPIMWA NIMEKUTWA NINA KISUKARI.
KISUKARI KIMENIFANYA MKE WANGU ANIKIMBIE. AMEENDA KUOLEWA NA JIRANI YANGU. KWA HIYO MKE WANGU ANAPITA MBELE ZA MLANGO WA NYUMA YANGU. NA MWANAUME MWNGINE AMBAE ANA GARI. MIMI SINA GARI
Fikiria maumivu hayo. Mke wako wa ndoa!, halafu anapita mbele ya nyumba yako,kwa sababu wewe ni masikini, tena unaumwa ! Umepata kisukari, na presha ni kubwa! Yule mtu anasema am ready YANI NINAONA KIFO KIPO MBELE YANGU…..
UHUSIANO ULIOPO KATI YA KISUKARI NA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
NINI TIBA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME KWA MWANAUME MWENYE KISUKARI.
HABARI HII IMELETWA KWENU NA NEEMA HERBALIST BLOG, KWA UDHAMINI MKUBWA WA NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC, WAUZAJI WA DAWA MBALIMBALI ZA ASILI KAMA VILE :
1. Dawa asilia ya kuunganisha mifupa, pingili na kukomaza mifupa.
2.Dawa asilia ya kuondoa maumivu ya misuli, kurekebisha mishipa na misuli
3.Dawa asilia kwa wagonjwa wa kiharusi (Kupooza)
4.Dawa asilia ya kutibu majeraha
5.Dawa asilia ya kutibu vidonda ndugu
6.Dawa asilia ya kuondoa uchovu na kuwashwa
7.Dawa asilia ya kuondoa mafuta kwenye damu ( kolestrol /lehemu)
8.Dawa asilia ya kutibu tatizo la nyongo
9.Dawa asilia ya kutibu gauti
10.Dawa asilia ya uzazi wa mpango
11.Dawa asilia ya kutibu tatizo la Goita
12.Dawa asilia ya kutibu tatizo la change la watoto wachanga.
13.Dawa asilia ya kutibu vidonda vya tumbo
14.Dawa asilia ya kutibu mzio ( Allergy)
15.Dawa asilia ya kutibu tatizo la degedege kwa watoto wenye umri wa kati ya miezi 6 hadi tisa.
16.Dawa asilia ya kurutubisha mayai ya uzazi na kuzibua mirija ya uzazi kwa wanawake.
17.Dawa asilia ya kutibu tatizo la utasa kwa wanaume.
18. Dawa asilia ya kusaidia kugeuza mtoto aliye kaa vibaya tumboni ( Mfano: Katanguliza mikono, makalio n.k )
19.Dawa asilia ya kupunguza kitambi, uzito na unene uliozidi.
20.Dawa asilia ya kutibu tatizo la vinyama vya puani.
21.Dawa asilia ya kutibu tatizo la bawaziri.
22.Dawa asilia ya kutibu tatizo la uchungu wa pili baada ya kujifungua.
23.Dawa asilia ya kutibu majeraha ya moto pamoja na makovu yatokanayo na moyo.
24.Dawa asilia ya kutiu tatizo la kwikwi
25.Dawa asilia ya kutibu tatizo la kutokwa na harufu mbaya kinywani
26.Dawa asilia ya kutibu tatizo la kutoa harufu mbaya mwilini
27.Dawa asilia ya kusaidia kunenepesha mtu aliye dhoofu mwili
28.Dawa asilia ya kutibu tatizo la uvimbe wa tumboni ( FIBROID )
29.Dawa asilia ya kisukari
30.Dawa asilia kwa watu wenye tatizo la moyo, presha ya kupanda, presha ya kushuka, moyo kupanuka na matundu kwenye moyo.
31.Dawa asilia ya kutibu tatizo la U.T.I, kaswende, kisonono sugu na Taifodi.
32.Dawa asilia ya kutibu magonjwa mbalimbali ya ngozi
33.Dawa asilia ya kutibu tatizo la kubanwa mkojo na maumivu kwenye njia ya mkojo
34.Dawa asilia ya kutibu tatizo la kujikojolea
35.Dawa asilia ya kusafisha figo na kibofu cha mkojo
36.Dawa asilia ya kuondoa sumu mwilini
37.Dawa asilia ya kuondoa maumivu ya hedhi
38.Dawa asilia za kuondoa sumu ya nyoka, na nge.
39.Dawa asilia ya kutibu tatizo la pumu
40.Dawa asilia ya kuyeyusha uvimbe kwenye lango la uzazi.
41.Dawa asilia ya kutibu malaria sugu
42.Dawa asilia ya kutibu tatizo la upara
43.Dawa asilia ya kutibu tatizo la kikohozi sugu na kimeo.
44. Dawa asilia ya kutibu tatizo la ngiri
45. Mawe kwenye figo
46.Kukosa choo
47.Kukosa hamu ya kula
48.Chango la kike
49.Kutanua nyonga ( Kuzaa bila kupasuliwa )
50.Nguvu za kiume
51.Hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake.
52.Mtoto kuchelewa kutembea
DAWA ZOTE HIZI NI ZA ASILIA KABISA NA HAZINA KEMIKALI ZA VIWANDANI.
Tunapatikana UBUNGO jijini DAR ES SALAAM, jirani na SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING, nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA.
Kwa wateja waliopo Dar Es Salaam, ambao hawana nafasi ya kufika ofisini kwetu, watapelekewa dawa mahali popote walipo.
Kwa wateja waliopo mikoani, watatumiwa dawa kwa njia ya mabasi.
Kwa wateja waliopo Zanzibar, watatumiwa dawa kwa njia ya usafiri wa boti.
Kwa wateja waliopo Mombasa, watatumiwa dawa kupitia basi la TAHMEED.
Kwa wateja waliopo jijini Nairobi, watatumiwa dawa kupitia basi la DAR EXRESS.
Na kwa wateja waliopo ughaibuni, watatumiwa dawa kwa njia ya POSTA au DHL.
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA:
0766 – 53 83 84.
Kwa taarifa zaidi kuhusu huduma zetu, tutembelee kila siku, kupitia :