Elizabeth Michael maarufu kwa jina la Lulu ambaye ni star mkubwa wa filamu nchini Tanzania
anadaiwa kukataa kumvulia nguo Diamond Platinumz anayehaha kutaka kulifaidi penzi
lake kiasi cha kufikia hatua ya kumnunulia gari aina ya Nissan
Murrano yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 60 za kitanzania ..
Ili kumaanisha kuwa hataki
kutoka kimapenzi na Diamond , Lulu
Lulu Michael agoma kumvulia nguo Diamond licha ya kuahidiwa kuhongwa gari la Milioni 60
↧
↧
Ridhiwani Kikwete alaani siasa za Chuki n Ukanda zilizowatoa madarakani Zitto Kabwe na Dr. Kitila Mkumbo.
Baadhi ya watu maarufu nchini akiwemo mtoto wa Rais Kikwete, Ridhiwan wamezipokea taarifa za kuvuliwa wadhifa
wa unaibu Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa Zitto Kabwe kwa mitazamo tofauti.
Zitto alivuliwa uongozi wa Naibu Katibu Mkuu Taifa na Naibu Kiongozi
wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa tuhuma za kukisaliti chama hicho.
Haya ni maoni ya Ridhiwani Kikwete aliyoiweka
↧
Mwanafunzi auawa na mpenzi wake wakati akisubiri matokeo ya kidato cha nne jijini Dar....Chanzo cha mauaji ni wivu wa mapenzi
Mwanafunzi
aliyehitimu kidato cha nne mwaka huu, Sharifa Abdallah (18) ameuawa kwa
kuchomwa kisu shingoni na mbavuni chumbani kwa mvulana aliyedai kuwa
mpenzi wake maeneo ya Kimara Golani, Dar es Salaam.
Tukio hilo
lilitokea juzi saa 8:30 mchana na baadaye mvulana huyo aliyetambuliwa na
Polisi kwa jina la Abdul Alpha (22) kujisalimisha katika kituo cha
Polisi cha Stendi Kuu ya
↧
Maombi ya TANESCO kupandisha bei ya umeme kutoka sh 198 mpaka 332 kwa uniti moja yapokelewa kwa hisia tofauti
Maombi
ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ya kupandisha bei ya umeme,
yamepokewa kwa hisia tofauti za kuungwa mkono na pia kupingwa.
Waungaji
mkono maombi hayo ni pamoja na Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Kessy
aliyesema kulingana na changamoto zinazolikabili shirika hilo, bei ya
umeme iongezwe ila kwa kuzingatia kutoa huduma zinazolingana na gharama
wanazotoza.
Hata hivyo
↧
Mwasisi wa CHADEMA ndugu Edwin Mtei adai kuwa chama chake kitaendelea kuwafukuza wasaliti bila kujali umaarufu wao.
Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin
Mtei amesema kuwa chama hicho kitaendelea kuwafukuza wote wanaokihujumu
huku akieleza kwamba, anaunga mkono kuvuliwa uongozi kwa Zitto Kabwe na
Dk Kitila Mkumbo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwananchi, nyumbani kwake jana, Mtei aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu (BOT)
na Waziri wa Fedha katika utawala wa awamu
↧
↧
Rais Kikwete awataka watanzania waitetee nchini yao badala ya kushinda kwenye mablogu wakiiponda.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema wajibu mkuu wa Watanzania wanaoishi nje ya nchi ni kuisemea vizuri, kuihangaikia na kuitetea nchi badala ya kushinda kwenye mablogu wakiiponda, kuibeza na kulalamika.
Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa kuishi kwa Watanzania nje ya nchi kutaonekana jambo la maana zaidi ikiwa
↧
"Kufukuzwa kwa Zitto Kabwe kumefunika maovu mengi yaliyokuwa yamepangwa kufanywa na CHADEMA dhidi yake"...Hii ni kauli ya mama yake mzazi
Siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumvua uongozi
aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Taifa wa chama hicho, Zitto Kabwe, mama yake
mzazi, Shida Salum ametoa ya moyoni akieleza kuwa kilichomkuta mwanaye
kimefunika mabaya mengi yaliyopangwa afanyiwe.
“Kwa upande wangu naona kama ni ushindi kwa Zitto
kutokana na jinsi ninavyojua hali ilivyo, mambo yalikuwa ni mengi mno na
nikwambie tu,
↧
Profesa Juma Kapuya atoweka nchini, Polisi waahidi kumsaka popote alipo.
SIKU moja baada ya binti anayedaiwa kubakwa na kutishiwa kuuawa na
Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), kufungua jalada
polisi dhidi yake, inadaiwa mbunge huyo ametoweka nchini...
Vyanzo mbalimbali vilivyo karibu na mbunge huyo, vinadai kuwa
amesafiri juzi kwenda nchini Sweden kwa masuala ya kikazi, na kwamba
atakuwepo huko kwa muda usiopungua mwezi mmoja.
↧
Baadhi ya mambo yanayoendelea ndani ya kikao cha Zitto Kabwe na waandishi wa habari
Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, Dk Kitilia Mkumbo amekiri
kwamba alishirikiana na Samson Mwigamba katika kuandaa waraka wa
mabadiliko katika Chama hicho, lakini siri hiyo ivuja baada ya Mwigamba
kukamatwa na kunyang'anywa Laptop ambayo ilikuwa na wakara mzima.
Dk Kitilia amefafanua kwamba sababu ya yeye kuandaa waraka huo
ilikuwa ni kuleta mabadiliko ndani ya Chama hicho. Kwa
↧
↧
Sekretarieti kuu ya CCM yawasili jijini Mbeya ikiwa na kauli mbiu ya "UMOJA NI USHINDI"
Sekretarieti
kuu ya CCM,ikiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana (pichani
kati),Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt Asharose Migiro
(kulia) pamoja na Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye
wakiwapungia wakazi mbalimbali waliofika kuwalaki mapema leo walipokuwa
wakiwasili kwenye Bandari mpya ya Kiwila Wilayani Kyela Mkoani Mbeya,
kwa ziara ya kikazi,wakitokea
↧
Taarifa ya Dk. Kitila Mkumbo kwa Umma kuhusu Kuvuliwa nafasi za mamlaka ndani ya CHADEMA
Taarifa ya Dk. Kitila Mkumbo kwa Umma kuhusu Kuvuliwa nafasi za mamlaka ndani ya CHADEMA
1. Katika kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kilichofanyika tarehe 20-22 Novemba 2013, pamoja na mambo mengine, kulijadiliwa waraka wa siri unaojulikana kama Mkakati wa Mabadiliko 2013. Waraka huu ulilenga kujenga hoja ya kufanya mabadiliko ya uongozi na kuanisha mikakati ya ushindi kwa mgombea mlengwa
↧
TAARIFA YA ZITTO ZUBERI KABWE (MB) KUHUSU KUVULIWA NAFASI ZA UONGOZI NDANI YA CHADEMA
1. Utangulizi
Katika kikao chake cha siku mbili kilichofanyika tarehe 20 - 22 Novemba
2013, Kamati Kuu ya CHADEMA, pamoja na mambo mengine, iliazimia kunivua
nafasi zangu zote za uongozi ndani ya chama.
Kwa mujibu wa taarifa ya
chama iliyotolewa katika mkutano na waandishi wa habari siku ya Ijumaa
tarehe 22 Novemba 2013, ilielezwa kwamba sababu za kuvuliwa uongozi mimi
na Dk
↧
Malawi yaichokoza tena Tanzania ....Rais wao ametangaza kuwa mkoa wa Ruvuma na wananchi wake ni mali ya Malawi
RAIS wa Malawi, Joyce Banda ametajwa kuendeleza chokochoko baina ya nchi yake na Tanzania, huku sasa akidaiwa kutumia redio na runinga za nchini mwake kutangaza kuwa mkoa wa Ruvuma, viongozi na wananchi wa ukanda wa Ziwa Nyasa ni mali yake.
Aidha, amesitisha safari za meli ya mv Ilala iliyokuwa ikifanya safari kwenye Ziwa Nyasa kusafirisha mazao na wananchi wa ukanda huo upande wa
↧
↧
Aibu: Miss Tanzania arekodi mkanda wa ngono na lili wyne wa bongo, Video yavuja ikimuonesha binti huyo akiwa ameharibiwa vibaya
Tumenasa tukio la kustajabisha la msichana mmoja ambae ni mrembo namba moja wa Mkoa mmoja jina linahidhiwa akiwa amecheza DVD ya ngono na mwanamuziki chipukizi aliyefahamika kwa jina la Shebo.Tunaomba radhi wasomaji kwa kuweka picha hizi za wazi mno ili kuonesha jamii upuuzi mzima unaofanywa na vijana wetu ambao ni nguvu kazi ya taifa.Katika DVD hiyo, binti huyu anaonekana akimlazimisha
↧
Watoto watekwa , walawitiwa na kuteswa kinyama ndani ya handaki lilipo katika msitu wa Mabwepande
Zaidi ya watoto 60
wanadaiwa kutekwa na kufichwa katika handaki lililopo kwenye msitu wa
Mabwepande, Wilaya ya Kinondoni ,Dar es Salaam, ambalo ndani yake kuna
jengo kubwa lenye vyumba.
Utekaji huo unadaiwa kufanywa na raia wa
kigeni (Wazungu), wakishirikiana na Watanzania ambapo watoto hao
hufungiwa katika vyumba hivyo, kuteswa, kulawitiwa na kubakwa.
Mtoto Emmanuel Robert (11)
↧
Serikali yabariki TANESCO kupandisha bei za umeme....Naibu waziri adai kuwa atakayeshindwa kumudu gharama hizo basi atumie kibatari
Naibu Waziri wa umeme, Mh George Simbachawene, amesema kwamba serikali
imekubali TANESCO waongeze gharama za umeme kwa 68% kama walivyokuwa
wameomba.
Simbachawene ameitoa kauli hiyo wakati akiongea katika kipindi cha Kumepambazuka
kupitia Radio One leo asubuhi.
Amesema kwamba hata kama TANESCO
wakiongeza gharama za umeme hadi kufikia Tsh 800 kwa unit bei hiyo ni
nafuu kuliko
↧
Mwili wa mwanamamke wakutwa kichakani ukiwa umekatwa kichwa na kufungwa kamba.
Wanakijiji wa kijiji cha Nyamira wameamka na kukuta mwili wa
mwanamke ukiwa umekatwa kichwa na kutelekezwa pamoja na kufungwa mikono
kwa kamba...
Mwili huo ambao unaonyesha kuwa ni wa mwanamke mwenye miaka kati ya 25
hadi 35 amekutwa umevaa jeans pamoja na blouse nyeusi na kutupwa pembeni
ya kijito cha maji mida ya saa 12 na nusu asubuhi.
Wanakijiji hao wamedai kushtushwa na
↧
↧
Wabongo waendelea kujipiga za utupu bila Aibu
Dada zetu kama kawaida yao hawakomi kujianika wakiwa watupu....
Bila hiana, kila picha au video tunayoipata ni lazima tuianika maana mtandao huu ni wa kuburudika, kupashana na kukumbushana yanayojiri...
Mara nyingi hatuweiki picha moja kwa moja, Picha na video zinawekwa katika jukwa la wakubwa ndani ya forumu yetu....
Hakuna masharti
↧
Mwanaume atembezwa uchi mtaani baada ya kufumaniwa na mke wa mtu jijini Dar
WANASEMA za mwizi arobaini, ikiongezeka moja mshukuru Mungu! Novemba
16, mwaka huu ilikuwa siku ya aibu kwa bosi Hussein Shaban (35) kufuatia
kudaiwa kufumaniwa katika nyumba ya kiongozi mmoja wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) huko Tegeta jijini Dar es Salaam.
Sakata hilo la aina yake lilitokea katika kitongoji cha Nyeishozi,
Tegeta kwa kumuhusisha Hussein ambaye ni mfanyabiashara na mke
↧
CHADEMA wadai kuwa Zitto Kabwe ni Muongo na Mzushi....Kamati kuu yajipanga kutoa ufafanuzi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema aliyekuwa Naibu
Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati
Kuu ya chama hicho, Dk. Kitila Mkumbo, ni waongo na wazushi.
Katika
kikao chake cha dharura kilichokutana jana, ikiwa ni siku moja baada ya
Zitto na Dk. Kitila kuzungumza na waandishi wa habari, Kamati Kuu ya
chama hicho, imesema taarifa
↧
More Pages to Explore .....