Kanisa la Evangelistic Assemblies of God
(EAGT) linatarajia kuuanza mwezi ujao kwa machungu mapya kabisa huku yale
ya kuaga dunia kwa aliyekua Askofu wake mkuu Askofu Moses Kulola yakiwa
hayajapoa.....
Kanisa hilo linatakiwa kusimama mahakamani mwezi ujao Oktoba
1 kujitetea ili waumini wake wasiondolewe kwenye kanisa la Bugando
ambako askofu Kulola amezikwa.
Chanzo kimojawapo
RIPOTI: Ugomvi wa miaka 20 iliyopita wa kanisa la EAGT na TAG waibuka upya baada ya kifo cha Askofu KULOLA
↧
↧
Wanasayansi wadai kwamba MWISHO WA DUNIA utafika baada ya miaka bilioni 3.5 ambapo JUA litakuwa kali balaa.
Mwisho wa dunia kwa mujibu wa wanasayansi bado sana. Maisha duniani yataendelea kuwepo kwa miaka bilioni 3.5 mingine.
Baada ya hapo wanasayansi wanaamini jua litakuwa kali kiasi ambacho
hakuna kiumbe kitakachoweza kuishi. Tangu iwepo, sayari ya dunia imekuwa
kwenye umbali sahihi kutoka kwenye jua kiasi cha kuifanya iwe na
maisha.
Wanasema tatizo ni kwamba nyota zimeendelea kuchemka
↧
Hawa ndo washindi wetu watatu waliojishindia VOCHA za buku buku kila mmoja
Leo asubuhi tulitoa swali moja la kawaida kwa wasomaji wetu na kuahidi kutoa zawadi ya vocha ya sh. 1000 kwa mshindi mmoja wa kwanza....
Swali hilo liliambatanishwa na picha moja ya mdada na mkaka wakiwa kimahaba na kisha kuhoji ni nani KAJIKOJOLEA....
Katika picha hiyo, msomaji alitakiwa kuitazama kwa makini na kisha kutoa majibu yake kwa njia
↧
HAKIMU ACHOMWA KISU MAHAKAMANI WAKATI AKITOA HUKUMU HUKO SHINYANGA
Hakimu wa mahakama ya Mwanzo mjini Shinyanga Mheshimwa Nyanguoa Masaba
amejeruhiwa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali akiwa Mahakani akitoa
hukumu. Tukio hilo limetokea leo katika mahakama ya mwanzo mjini Shinyanga. Hakimu huyo alijeruhiwa na mlalamikaji katika kesi ya wizi wa Baiskeli wakati akitoa hukumu. Tukio hilo limesababisha mahakama hiyo kusimama kumnusuru hakimu huyo na
↧
Maandamano ya CHADEMA, CUF na NCCR MAGEUZI yapigwa marufuku siku ya jumamosi
Jeshi la Polisi Jijini Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya
umoja wa vyama vya CUF, NCCR na CHADEMA siku ya Jumamosi yaliyokuwa yamepangwa kuanzia Tazara hadi Jangwani na Mwenge hadi Jangwani na sehemu
mbalimbali ...
Taarifa iliyotolewa na kamanda Kova kupitia ITV imeeleza kuwa Polisi wamechunguza na kugundua kwamba maandamano hayo yataleta
usumbufu kwa watu wengine na
↧
↧
MWALIMU MKUU AKUTWA NA BANGI SHULENI.....
MWALIMU Mkuu wa Shule ya Msingi Mukubu, Wilaya ya Ngara mkoani
Kagera, Silidion Kaiza (43), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa
tuhuma za kukutwa na bangi gunia sita.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Philip Kalangi alisema kuwa tukio
hilo lilitokea Septemba 17, mwaka huu, shuleni hapo katika kata na
kijiji cha Muganza majira ya saa tano asubuhi.
Alisema kuwa raia wema
↧
PICHA ZA UCHI ZA FLORAH LYMO ALIYEDAI KABAKWA NA GODBLESS LEMA ZAVUJA
Huyu ni
Flora Bahati Lyimo ambaye aliwahi kutikisa media za Tanzania kwa kudai kwamba alibakwa na mbunge
Godbless Lema wa Arusha....
Katika maelezo yake ambayo aliyatoa katika gazeti moja la udaku la hapa Tanzania, mwana mama huyu alifunguka kwamba Godbless Lema alimbaka wakati alipoenda nje ya nchi kwa shughuli za kichama.
Hata hivyo, madai hayo
↧
Picha za Agness Masogange akiwa huru mtaani baada ya kuachiwa kwa DHAMANA
Watanzania Agness Masogange na Melisa Edward waliokamatwa kwa
kutuhumiwa kubeba dawa za kulevya huko Afrika Kusini wameachiwa kwa
dhamana.
Mkuu wa Kitengo cha Dawa za Kulevya Afrika Kusini,
Kamishna Toto Mangaleni aliithibitishia Mwananchi jana kuwa watuhumiwa
hao wameachiwa kwa dhamana,lakini wataendelea kubaki Afrika Kusini
wakati kesi yao ikiendelea.
↧
Mke wa mtu afumaniwa akisaliti ndoa yake na mwanaume mwingine.
Kijana anayedaiwa kuwa muumini wa kanisa la kilokole (jina tunalo) la
jijini Dar, Faraji Oti amekutwa na mazito akidaiwa kufumaniwa na mke wa
mtu aliyetajwa kwa jina moja la Jesca.
MANZESE, DARTukio hilo lililoongeza furaha ya Shetani, lilichukua
nafasi mwanzoni mwa wiki hii majira ya 11:00 jioni huko Manzese, jijini
Dar.
Kwa mujibu wa watu wa karibu na wahusika hao, kisa kilianzia
↧
↧
CCM yatoa miezi 6 kwa waziri wa Elimu kujiuzulu....Vinginevyo itamtimua kwa nguvu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Waziri wa Elimu na Mafunzo ya
Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa kujiuzulu kwa kushindwa kulipa madeni ya
walimu nchini.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana pia ametoa muda wa
miezi sita kwa Waziri huyo na Naibu wake Philip Mulogo kutekeleza hilo
agizo hilo vinginevyo chama kitawatumia wabunge wake kuwatimua kwa
nguvu.
Kwa mujibu wa taarifa za madeni
↧
WAPINZANI WAMCHANA RAIS KIKWETE......WADAI AKIENDEKEZA KEJELI DAMU ITAMWAGIKA
SIKU moja, baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema anashangazwa na uongo
wa baadhi ya wanasiasa kumtuhumu juu ya mambo mbalimbali kuhusu mchakato
wa Katiba Mpya, viongozi wa vyama vitatu vya upinzani wameibuka na
kusema madai hayo hayana msingi wowote.
Viongozi hao ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Freeman Mbowe, Profesa Ibrahim Lipumba (CUF) na James Mbatia
(
↧
Tahadhari toka JWTZ kuhusu uvumi wa "AJIRA ZA WATAALAMU JESHINI"
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kuwataarifu Wananchi wote kuwa taarifa zilizoenea kwa njia ya ujumbe mfupi wa maneno kupitia simu za mkononi (sms) na mitandao mbalimbali ya kijamii kwamba JWTZ limeanza kuajiri wataalamu Jeshini (Professionals) siyo kweli na halina utaratibu wa kutangaza ajira kupitia mitandao ya kijamii au kupitia simu za mikononi.Kwa
kawaida,
↧
BAADA YA TAIFA STARS KUBORONGA - KOCHA KIM POULSEN APIME UZITO WA KIBARUA CHAKE NA AJIUZULU
MAKOCHA wa kigeni wanaoajiriwa kuzinoa timu za
soka za taifa Tanzania – Taifa Stars, Kilimanjaro Stars, Ngorongoro Heroes na
Serengeti Boys – wana bahati.
Matokeo mabaya uwanjani huwa hayana athari
zozote katika mikataba yao. Hata baada ya timu zao kufungwa vibaya, huendelea
hadi mwisho na hata kuongezewa mpya.
Marcio Maximo wa Brazil aliletwa nchini na
serikali kwa mbwembwe mwaka 2006,
↧
↧
CHADEMA, CUF na NCCR MAGEUZI wasitisha MAANDAMANO yaliyopangwa kufanyika kesho
Vyama vitatu vya Upinzani vinavyounda Umoja wa vyama vya
Upinzani nchini vilivyopanga kufanya maandamano ya amani kupinga baadhi
ya vipengele vilivypopo kwenye rasimu ya katiba vimeridhia kuahirisha
maandamano hayo yaliyokuwa yafanyike Septemba 21 mwaka huu.
Vyama hivyo ambavyo ni CUF,CHADEMA,na NCCR MAGEUZI kwa pamoja
vimekubaliana na uongozi wa juu wa jeshi la Polisi nchini
↧
Taarifa mbali mbali toka shirikisho la soka nchini ( TFF ) leo
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inaingia raundi yake ya tano kesho (Septemba
21 mwaka huu) kwa mechi huku vinara Simba wakiwakaribisha Mbeya City
kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Uwanja wa Mkwakwani, Tanga
utakuwa mwenyeji wa mechi kati ya Mgambo Shooting Stars na Rhino Rangers
ya Tabora. Mtibwa Sugar itakuwa mgeni wa Tanzania Prisons katika
pambano litakalochezwa Uwanja wa Kumbukumbu
↧
Video ya JANUARY MAKAMBA akiongelea msimamo wake wa kugombea URAIS mwaka 2015 na mambo mengine.
Mahojiano haya yalifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia Star TV
kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi. Mambo yaliyozungumziwa:
1.
Uendeshaji na mwelekeo wa Bunge,
2. Vijana na Uongozi,
3. Suala la
Urais 2015,
4. Mwelekeo wa Chama Cha Mapinduzi,
5. Rushwa na maadili
katika Chaguzi.
<!-- adsense -->
↧
RAIS KIKWETE AWATOA HOFU WAWEKEZAJI WA MAREKANI KUHUSU TISHIO LA CHINA NCHINI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIHakuna tishio la China – Rais KikweteRais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
amesema kuwa maslahi ya makampuni ya Marekani yanayotaka kuwekeza katika
Tanzania hayataathiriwa na kuwepo kwa China katika uchumi wa Tanzania
kwa sababu China siyo moja ya wawekezaji wakuu katika uchumi wa Tanzania
kwa sasa.Rais Kikwete amesema
↧
↧
Hizi ni picha nyingine za uchi za msanii Manaiki ...Ziangalie kwa makini huenda kukawa na ndugu yako ili sheria ichukue mkondo
Huyu ni msanii Manaiki Sanga “The Don” aliyejipatia umaarufu mkubwa
nchini na duniani baada ya picha zake za utupu akiwa na wanawake zaidi ya 400
wakiwemo wazungu akifanya nao ngono nzembe kuvuja mtandaoni...
Hili ni toleo jipya za picha nyingine za uchi ambalo tunalitoa kwa ajili ya UTAMBUZI.Ziangalie kwa makini huenda kukawa na ndugu yako aliyehusika na
↧
Picha za serengeti fiesta 2013 ndani ya uwanja wa karume mjini musoma mkoani mara usiku wa leo
Msanii
mwingine anaefanya vyema hivi sasa katika anga ya muziki wa
Bongofleva,Rich Mavoko akiwaimbisha mashabiki wake usiku huu,mbele ya
wakazi wa mji wa musoma waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la
Serengeti Fiesta 2013,ndani ya uwanja wa Karume mkoani Mara.
Madansa
wa msanii wa muziki wa kizazi kipya,Shilole wakitumbuiza jukwaani usiku
huu ndani ya Uwanja wa Karume,ndani ya mji
↧
Daktari FEKI akamatwa katika hospitali ya Muhimbili jijini Dar
DAKTARI anayedaiwa kuwa bandia amekamatwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam, akiwa na vitambulisho bandia vya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Muhimbili cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS) akisomea Shahada ya Pili.
‘Daktari’ huyo ambaye amekuwa akitafutwa na uongozi wa chuo kwa zaidi ya mwaka alikamatwa jana asubuhi akiwa hospitalini hapo karibu na jengo kilimo kitengo
↧
More Pages to Explore .....