WIMBI la ukatili dhidi ya watoto linazidi kushika kasi jijini hapa baada
ya mtoto, Emilly George (7) Mkazi wa kijiji cha Ruanda wilaya ya Mbeya
kuunguzwa vibaya mikono na mama yake mzazi, Elisia Mwasile (41) kwa maji
ya moto kisha kufungiwa ndani kwa siku saba.
Akizungumza huku akiwa
anatetemeka kwa hofu, mama wa mtoto huyo, Elisia alisema kuwa chanzo cha
kumchoma mtoto wake ni kutokana
Mtoto achomwa moto na mama yake akituhumiwa kuiba mayai ya kuku jijini Mbeya.
↧
↧
Irene Uwoya aahidi kufichua SKENDO kubwa na mbaya za ERICK SHIGONGO
Lile bifu linalondelea kati ya mwigizaji Irene Uwoya na mmiliki
wa kampuni maarufu ya magazeti nchini Erick Shigongo limeshika sura
mpya baada ya mwigizaji huyo kuapa kuzianika hadharani SKENDO chafu za Erick Shigongo huku akitangaza wazi kuwa haogopi kufa wala kumwagiwa tindikali...
Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii Irene alitundika maneno yafuatayo:
↧
NGEDERE ATIMUKA NA BUKTA YA BEKI WA TIMU YA SIMBA....
Ngedere mmoja kwa jina la Sharobaro amekuwa kivutio katika
kambi ya Simba iliyopo kwenye Fukwe za Bamba nje kidogo ya Jiji la Dar,
eneo la Kigamboni, ambapo gazeti la Championi Jumatano lilimshuhudia
ngedere huyo akivinjari katika vyumba vya wachezaji wa timu hiyo na
kucheza na beki wa kikosi hicho, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’ lakini baadaye
akakimbia na bukta ya mazoezi ya nyota huyo.Mara
↧
JESHI LA POLISI LAPONGEZWA KWA KUMKAMATA MWALIMU ALIYELAWITI WANAFUNZI WANNE MKOANI IRINGA
Mmoja kati ya watoto wanaodaiwa kulawitiwa na mwalimu huyo..
SIKU chache baada ya Gazeti la Majira kuandika
habari ya ukatili wa kutisha dhidi ya mwalimu anayedaiwa kuwalawiti
wanafunzi wanne mkoani Iringa, mtuhumiwa huyo amekamatwa na yupo katika
mikono ya polisi.Mwalimu huyo anafundisha katika Shule ya
Sekondari Wanging'ombe, iliyopo Wilaya Mpya ya Wanging'ombe, mkoani
Njombe, Bw.
↧
URUSI NA UFARANSA WAZIDI KUMUUMIZA RAIS OBAMA.....WADAI SYRIA HAISTAHILI KUVAMIWA NA MAREKANI
Urusi
na Ufaransa zimeeleza wazi wazi tofauti zao kuhusu ripoti ya wataalamu
wa silaha wa Umoja wa Mataifa, ambayo ilithibitisha kwamba silaha za
kemikali zilitumiwa nchini Syria. Waziri wa mambo ya nchi za
nje wa Urusi Sergei Lavrov ambaye alikutana na mwenzake wa Ufaransa
Laurent Fabius mjini Moscow jana, alitupilia mbali madai kwamba serikali
ya Syria ndio iliyotumia silaha hizo
↧
↧
CHADEMA,NCCR MAGEUZI NA CUF WATOA MSIMAMO WAO MPYA....
Vyama vya NCCR-Mageuzi, CUF na Chadema vimeanza kuwasha moto wa katiba
baada ya kuanza kukutana na viongozi wa Jukwaa la Katiba Tanzania ikiwa
ni harakati za kupinga mchakato wa katiba mpya kwa madai kuwa umehodiwa
na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Wenyeviti wa vyama hivyo, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), Profesa Ibrahim
Lipumba (CUF) na Freeman Mbowe (Chadema) jana walifika katika ofisi za
↧
AISHA BUI AKANUSHA MADAI YALIYOSAMBAA KWAMBA " YEYE NI PUNDA " ALIYEFUNGWA BRAZIL
Msanii wa Bongo Movie Aisha Bui amefunguka kuwa ameshangazwa
na madai yaliyoenea kuwa amefungwa nchini Brazil baada ya kunaswa na
unga.
Akizungumza na Globalpublishers, Aisha amesema kuwa yeye alimfuata mchumba wake nchini Brazil na
alipoondoka nchini Tanzania aliondoka kimya kimya maana alijua ni lazima
watu watazusha mambo na kumpaka matope ya kumchafua.
"Jamani hayo madai ya
↧
MTU MMOJA APOTEZA MAISHA BAADA YA KUSHAMBULIWA NA SIMBA MKOANI LINDI
Hili ni tukio la kutisha lililomkumba mtanzania mwenzetu ambaye ni mkazi wa kijiji cha Lionja kilichoko wilayani Nachingwea katika mkoa wa Lindi...
Mtanzania huyo alishambuliwa na simba wawili na kubakizwa vipande vipande alfajiri wakati akielekea katika shamba lake la korosho
Wanakijiji wakitaharuki baada ya kuuona mwili wa marehemu.
↧
Tanzania yatengwa rasmi na nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ( EAC )
HATIMAYE Tanzania imewekwa kando rasmi na nchi wanachama wa Jumuiya ya
Afrika Mashariki (EAC), katika kuunda Shirikisho la Kisiasa
litakaloziongoza nchi hizo.
Tayari marais wa nchi hizo, Paul Kagame wa Rwanda, Yoweri Museveni
wa Uganda, Uhuru Kenyatta wa Kenya na Pierre Nkurunzinza wa Burundi
wamekwishafikia makubaliano ya kuanzisha mchakato wa kuandikwa kwa
Rasimu ya Katiba ya
↧
↧
Huu ni ujumbe wa EDWARD LOWASSA kwa wanasiasa WASIOMPENDA....
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema yuko imara na hakatishwi
tamaa na maneno ya baadhi ya wanasiasa dhidi ya harakati zake za
kisiasa.
Lowassa ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati
akizungumza katika harambee ya ujenzi wa Shule ya Msingi ya Kanisa la
African Inland Church of Tanzania (AICT) mjini Kahama, Mkoa wa
Shinyanga.
Alisema, wanasiasa wanaomshambulia
↧
Unafahamu maana ya "PEOPLES POWER" ya CHADEMA??...Kama hujui, Waziri MAGUFULI wa CCM ameitafsiri
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amesema kuwa anafurahishwa na salamu
ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa kuwa kila neno
katika salamu hiyo lina maana na linaashiria ushindi.
Magufuli ameyasema
hayo wakati akizungumza na viongozi wa sekta ya miundombinu ya barabara
wa Mkoa wa Iringa, katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi
za Mkuu wa Mkoa huo, Dk. Christine
↧
Ndoa yasambaratika KANISANI ikiwa na dakika chache kabla ya kuidhinishwa...Kisa ni Umalaya wa bwana harusi.
Hili ni tukio la kusikitisha, lakini lenye mafunzo kibao ndani yake....
Tukio hilo lilitoke mwanzoni mwa mwezi wa nane mwaka huu ndani ya kanisa la Pentekoste la nchini Kenya ambapo wanandoa wawili walikuwa wakila kiapo cha maisha mbele ya mchungaji wa kanisa hilo....
Dakika chache kabla ya wanandoa hao kuapishwa na kuruhusiwa kuvishana pete,
↧
Aibu: Shehena ya Samaki walioharibika yanaswa ikiwa Tabata Bima Jijini Dar ES Salaam
Shehena ya samaki
tani 22.5 kutoka nchini China wanaodaiwa kuharibika na kutokuwa salama
kwa matumizi ya binadamu wamekutwa katika eneo la Tabata Bima jijini
dar es salaam huku baadhi ya samaki hao wakiwa tayari wamekwishaingizwa sokoni
kwa kuuzwa.
Baada
ya kuwepo kwa fununu za uingizwaji wa samaki waodaiwa kuharibika kutoka
nje ya nchi na kuingia hapa nchini na kuatarisha maisha
↧
↧
Mpenzi wangu ni MSAGAJI, bado nampenda na kumwacha nashindwa.Naomba ushauri
Dunia yetu kwa sasa imepata mabadiliko
makubwa sana, kiasi cha kusababisha tamaduni na desturi zetu kuathiriwa
na mabadiliko hayo.
Ingawa ni maeneo mengi yameathirika
kutokana na athari za kiutandawazi, lakini kwenye hii mada ningependa
kuzungumzia hawa wanawake "wasagaji ".
Binafsi ni miongoni mwa waathirika wa
hayo mabadiliko ya kiutandawazi, kwa kuwa binti ambae nimempenda kwa
↧
Utafiti: Simu za kupapasa ( SMART PHONE ) zina uchafu mwingi kuliko CHOO.
Simu ya kupapasa.
Watafiti wamebaini kuwa baadhi ya vifaa
vya kisasa vya mawasiliano vinavyotumika kwa kupapasa kama tablet
komputa na smart-phones huwa na vijidudu vingi vya uchafu kuliko hata
choo.
Bakteria hao huachwa na watumiaji
wavifaa hivyo kwa kupapasa vioo vya vifaa kama Apple iPads na
Samsung Galaxy tablets kutokana na kutumia bila ya kuosha mikono.
Choo
Moja ya
↧
Lulu Michael ndani ya MKASI SHOW....Safari hii atatudanganya nini??...Hizi ni picha tano za maandalizi
Actress Lulu Michel is so busy nowadays shooting new movies,
media interviews and many more. Today the Swahili movies screen queen was on
set shooting her interview with Mkasi Tv show which is aired on East
Africa Television..
Kaa tayari kwa vipindi vya Mkasi Vinavyofuata kujua Lulu aliongelea nini. Je Safari hii atatudanganya MIAKA TENA??
<!-- adsense -->
↧
HII NDO PICHA ILIYOMFANYA AMBER ROSE AACHANE NA KANYE WEST
SIRI mojawapo ya penzi la dhati ni heshima.Tendo la ndoa pekee halitoshi kumfanya mtu ajione anapendwa na kuthaminiwa....
Katika hali ya kawaida, utajisikiaje mpenzi wako akikupiga DOLE la makalioni mbele wa watu kiasi hiki?. Ni ishara ya kupendwa au kudharauriwa...
Kwa Amber Rose, hii ilikuwa ni dharau tosha aliyowahi kutendewa na Kanye west
↧
↧
DIVA WA CLOUDS FM AMTIBUA TENA ZITTO KABWE.
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Loveness Malinzi
‘Diva’ amesema alichokuwa anahitaji katika sakata lake la kudai ameibiwa
‘idea’ ya Kigoma All Star East Africa Tour na Mhe. Zitto Kabwe ni
kupewa heshima yake (appreciation) tu.
Katika maelezo yake, Diva amefunguka kuwa walijadili na Zitto kuhusu
idea hiyo lakini badala yake akashangaa mheshimiwa anampotezea katika
↧
HII VIDEO NI KWA AJILI YA AKINA KAKA TU....Ni ya binti akikata mauno kama hana akili timamu
Baada ya kupashana kwa habari motomoto za matukio ya kila siku hapa nchini, si mbaya pia tukiwa tunaburudika japo mara moja moja....
Hizi ndo faida za utandawazi.Huyu ni binti wa kinigeria akikata mauno kama hana akili nzuri. Nadhani mzuka ulimpanda....
Kwa matukio mengi ya aina hii, usikose kujiunga na forum yetu ya MZALENDO FORUM...
<< BOFYA
↧
Toka Maisha ya UTEJA mpaka kutembelea gari...Hili ni gari jipya alilonunua RAY C...Anasema huo ni mwanzo tu
STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila‘Ray
C’ ameamua kuianika gari yake ambayo anatembelea kwa sasa ...
Gari hilo ni aina ya
Jaguar ambalo namba zake za usajili hazionekani vizuri ila mwishoni
zinasomeka T…CHL,huku akiandika kwenye instragram kuwa… Jaguar don't
care...CHL means Chalamila Family.....
Pongezi za kutosha zikufikie Ray C popote ulipo. Huo ni mwanzo mzuri
↧
More Pages to Explore .....