Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Rais Shein amtembelea padri aliyemwagiwa tindikali mjini UNGUJA

$
0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Padri Joseph Monesmo Magamba, wa Kanisa la Romani Katoliki Parokia ya Machui, alipofika katika Hospitali ya Mnazi Mmoja kumpa pole,Mjini Unguja,baada ya kumwagiwa tindikali na watu wasiojulikana katika Mtaa wa Mlandege Mkoa wa Mjini Magharibi jana jioni, Padri alimwagiwa Tindikali alipokuwa akitoka 

Serikali yakata mawasiliano na WAPINZANI...Yaapa kutowaalika tena IKULU

$
0
0
  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Steven Wassira, amesema wapinzani wasitarajie tena kukaribishwa Ikulu, kutokana na msimamo wao wa kususia mjadala wa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa mwaka 2013, wakati wa kikao cha Bunge mjini Dodoma hivi karibuni, kwa majadiliano mengine. Waziri Wassira, alitoa kauli hiyo siku moja baada ya wasomi,

SHEMEJI yangu ananitaka kimapenzi....Naombeni ushauri wenu

$
0
0
  Nina rafiki yangu ambaye ni kama ndugu,tumetoka mbali sana na sasa ni kama mtu na kaka yake.Jamaa yangu huyu(hajaoa) alikuwa na dem flani  lakini walishindwana kwa matatizo yao binafsi wakawa wameachana kama mwaka mmoja uliopita.  Kwa kuwa nilikuwa nishatambulishwa kwa shemej yangu huyo basi hata baada ya kuachana na jamaa yangu tukawa tunasalimiana,iko siku ananipigia na mimi kuna siku

Mwakyembe abaini kutobolewa kwa bomba la mafuta bandarini....Atoa siku 2 za kuwabaini wahusika

$
0
0
Waziri wa uchukuzi Dkt. Harrisoni Mwakyembe amebaini wizi wa mafuta katika boya la mafuta mjimwema na kuagiza maskari wa usimamizi wa bandari Tanzania kuwakilisha majina ya wahusika ndani ya siku mbili. Mwakyembe ameyasema hayo wakati akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania (TPA) na kulaani kitendo cha baadhi ya watu kutoboa bomba hilo na kuunganishia

Dk. Slaa aelekea Mbeya kumsafisha Sugu

$
0
0
  KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), Dk. Willbroad Slaa, leo anatarajia kuongoza mapokezi makubwa ya kumpokea Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’. Mbunge huyo anafanyiwa mapokezi hayo, ikiwa ni siku tisa tangu kutokea kwa vurugu kubwa bungeni, baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai kuamuru Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, kutolewa

Jeshi la Rwanda lasogezwa mpakani....Majeshi ya SADC yaendelea kujiweka tayari kwa lolote

$
0
0
  VIKOSI vya wanajeshi vya Serikali ya Rwanda vyenye silaha za kivita, sasa vimesogezwa katika eneo la mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Taarifa ya kusogezwa kwa vikosi hivyo mstari wa mbele katika eneo la mpakani, imetolewa jana na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).Katika taarifa yake hiyo, SADC imeeleza wasiwasi wake kuhusu hatua ya Rwanda kusogeza

Nape amtaka MBOWE ajiuzulu haraka....Awashauri wananchi kutumia busara katika uchaguzi ujao

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uendezi wa Chama Cha mapinduzi (CCM),Nape Nnauye amemtaka Kiongozi wa Upinzani Bungeni,Freeman Mbowe kujiuzulu nafasi hiyo mara moja kwa sababu ameshindwa kuiongoza kambi hiyo.    Wito huo uliutoa mjini  Shinyanga Ijumaa jioni alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara ya siku Nne ya Katibu Mkuu wa Chama hicho, Abdulrahman Kinana katika mkoa huo.

"Erick Shigongo ameamua kunichafua magazetini kwa kuwa nina kesi nae mahakamani"...Irene Uwoya.

$
0
0
  Irene Uwoya amejibu mapigo ya kudaiwa kuiba simu aina ya iphone 5 toleo jipya la  mwaka  huu ambapo habari hiyo iliripotiwa jana  katika gazeti la Risasi na kutawala mitandao mingi  ya  kijamii.  Katika  utetezi  wake  alioutoa  kupitia  ukurasa  wake  instagram, Irene  Uwoya amesema kuwa chanzo cha kuandikwa hivyo ni kuvunjwa nguvu katika harakati zake za kesi aliyomfungulia Shigongo

Video ya ngono ya wanafunzi wengine wa Chuo / College yanaswa.

$
0
0
  Baada  ya  video  wa  wanafunzi  wa  chuo/ college  flani  kunaswa  na  mtandao  huu   miezi  minne iliyopita, mpekuzi  wetu  amefanikiwa  kuinasa  video  nyingine  ya  wanafunzi  ambao  waliamua  kuigeuza HOSTEL  yao  kuwa  GESTI.... Katika  video  hii, wanafunzi  wawili  ambao  wanasomeshwa  kwa  jasho  la  wazazi  wao  wanaonekana  wakivunja  amri  ya  sita  ndani  ya  HOSTEL   huku  wakiwa

Tanzania yatuhumiwa kuwabaka raia wa Malawi....Kurugenzi ya idara ya habari yakanusha

$
0
0
Msemaji wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene akitoa ufanunuzi kwa waandishi wa habari jana mjini Dar es salaam juu ya taarifa zilizochapishwa na gazeti la Malawi News kuwa Wamalawi waishio nchini Tanzania wanaogopa kutoka nje kutokana na ubaguzi wanaofanyiwa na Watanzania taarifa ambazo sio kweli. Msemaji wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi

Umewahi shuhudia ugomvi wa Mbwa na Jogoo?...

$
0
0
Kweli JOGOO ni jogoo tu ...Ulikuwa  ni  ugomvi  mkubwa  sana  kati  ya  Mbwa  na  Jogoo  baada  ya  kupambanishwa  na  jirani  yangu  leo.... Jamaa  alitupa  mnofu  wa  nyama  mbele  ya  jogoo  na  mbwa  na  kuwaacha  wapambane.... Amini , usiami....Jogoo  aliibuka  kidedea.... VIDEO  IKO  HAPO  CHINI <!-- adsense -->

Hii ni video ya akina mama Wakimlilia sheikh ponda alipofikishwa mahakamani leo

$
0
0
Hatimaye mahakama ya hakimu mkazi Mkoa wa Morogoro imeamua kumnyima dhamana katibu wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda anayekabiliwa na mashitaka matatu ambayo ni kutokutii amri halali, kuharibu imani za dini na kushawishi na kutenda kosa... Hii  ni  ripoti  ya  ITV ikiwaonesha  wafuasi  wake  wakiwemo  akina  mama  ambao  walikuwa  wakitokwa  machozi 

Sekondari ya Iliboru yafungwa kwa hofu ya kuchomwa moto na wanafunzi

$
0
0
SHULE ya Sekondari ya Ilboru, jijini Arusha imefungwa kwa muda usiojulikana kuanzia leo baada ya kuwepo hofu ya kuchomwa moto. Uchunguzi wa madai ya shule hiyo kuchomwa moto, unaendelea kufanywa huku ikielezwa kwamba wanafunzi wanne wanahojiwa na polisi wilayani Arumeru ili wasaidie kubaini ukweli juu ya madai hayo. Wanafunzi wengine 10 inadaiwa wamepewa barua za kusimamishwa

Wizara yatoa onyo kali kwa balozi wa China aliyehudhuria mkutano wa CCM

$
0
0
  Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imehadharisha mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini, kuepuka kujihusisha na mambo ya ndani.Hadhari hiyo imetolewa jana katika taarifa ya wizara hiyo kwa vyombo vya habari, baada ya Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China, Lu Younqing, kuonekana katika mkutano wa hadhara wa CCM, akiwa amevalia kofia yenye nembo ya chama

Chege na Temba kuanza ziara ya miezi 3 Ulaya wiki ijayo.Ommy Dimpoz naye yuko Marekani.

$
0
0
  Wasanii wa Kundi la TMK Wanaume Family Chege na Temba wanatarajia kuanza ziara ya miezi 3 barani Ulaya kuanzia wiki ijayo. Akizungumza na mwandishi wetu, meneja wa kundi hilo Said Fella amesema leo ndio wanategemea kupata Visa na wiki ijayo (September 25) Chege na Temba wataondoka nchini wakielekea nchini Sweeden ambako watafanya show ya kwanza (October 5).  Temba na Chege

Aibu: Mzee wa miaka 95 amuoa mwanaume mwenzake wa miaka 65 huko Marekani

$
0
0
Wanaume wawili wazee ambao ni maaskari wakongwe walioshiriki vita ya pili ya dunia, ijumaa iliyopita (September 13) walifunga ndoa ya jinsia moja (mashoga) baada ya kuwa katika uhusiano kwa miaka 20 kabla ya kufikia uamuzi wa kuoana. John Banvard mwenye miaka 95 alimuoa Gerald Nadeau mwenye miaka 67 huko Diego, California Marekani. Tukio hilo limeonekana kutoungwa mkono na baadhi

JOHARI na CHUCHU HANS WAPIGANA HADHARANI KISA PENZI LA RAY ( Vicent Kigosi)

$
0
0
Kuna habari  ambazo zilianza kusambaa mitandaoni jana  kuwa mastaa wa filamu nchini Chuchu Hans na Blandina Chagula(Johari) wamefumaniana kisa ni muigizaji mwenzao Vicent Kigosi(Ray).  Inadaiwa kuwa Johari ndiye amemfumania Chuchu nyumbani kwa Ray maeneo ya Sinza, Dar es salaam na wawili hao kuanza kufumuana makonde na baadaye Ray kuwahi kuwaamulia kabla mambo hayajaharibika zaidi. 

"Hakuna sheria inayomlazimisha Kikwete asisaini mswada wa sheria...Maandamano ya wapinzani hayatasaidia kitu"..Chikawe

$
0
0
Waziri wa Katiba na Sheria, Mathis Chikawe amesema Rais Jakaya Kikwete hana mpango wa kuongeza muda wa uongozi wake baada ya 2015 kama baadhi ya wanasiasa wanavyodai.  Kadhalika, waziri huyo amesema hakuna sheria inayomlazimisha Rais kusaini muswada wa sheria yoyote inayopitishwa na Bunge na wala inayoweka muda maalumu wa kutekeleza wajibu huo.  

Waliolipua mabomu katika mkutano wa CHADEMA jijini Arusha wakamatwa

$
0
0
  Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw Magesa Mulongo.  WATUHUMIWA walioingiza mabomu ya kurushwa kwa mkono yaliyotupwa Arusha Mei na Juni katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti na kwenyemkutano wa wa hadhara wa Chadema, Soweto mkoani Arusha, wamekamatwa. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo, alisema hayo jana katika mkutano wa siku moja wa kuzungumzia fursa za

Nay wa Mitego aonja jeuri ya TRAFFIC....Apigwa faini kwa kukaidi amri ya kujisalimisha.

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Morogoro limemkamata msanii nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kwa kosa la kuendesha gari kwa mwendo wa kasi wakati alipokuwa akiwahi shoo ya Fiesta iliyofanyika mjini hapa Jumapili iliyopita. Kwa mujibu wa askari mmoja wa kikosi cha usalama wa barabarani aliyeomba hifadhi ya jina lake kwa kuwa si msemaji wa jeshi hilo, walimkamata
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images