WAKATI rufaa ya kupinga ubunge wa Mbunge wa Singida Mashariki,
Tundu Lissu (CHADEMA) ikitarajiwa kuanza kusikilizwa katika Mahakama ya
Rufaa Dodoma, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Wakili wake, Godfrey
Wasonga, kimeiomba mahakama hiyo kuifuta kesi hiyo.
Kwa mujibu wa wakili huyo, sababu ya kuomba kufutwa kwa kesi hiyo ni
kutokana na walalamikaji wote kujitoa na kuapa mahakamani kuwa
CCM yajisalimisha kwa Tundu Lissu baada ya kuiomba mahakama ifute Rufaa ya kupinga ubunge wake.
↧
↧
Polisi mkoani Dodoma yashindwa kumfikisha mahakamani mbunge SUGU wa Mbeya mjini
JESHI la Polisi mkoani Dodoma limeshindwa kumpandisha kizimbani
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), kwa madai kuwa
upelelezi bado haujakamilika.
Mbilinyi, maarufu kama ‘Sugu’ alifunguliwa jalada na jeshi hilo Ijumaa
iliyopita, akidaiwa kumjeruhi jichoni askari wa Bunge, Koplo Nikwisa
Nkisu.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, Wakili wake, Tundu
Lissu,
↧
Rais Kikwete awapa MAKAVU wanaoudharau utendaji kazi wake....Adai 2015 atawaumbua kwa AIBU,.
Rais Jakaya Kikwete amesema wale wote wanaombeza kuhusu utendaji
wake, wataona aibu atakapomaliza muhula wake 2015 huku akiwananga
baadhi ya wanaCCM kwa kushindwa kuyaelezea mafanikio ya Serikali chini
ya chama hicho.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa
kusambaza umeme katika mikoa ya Mwanza na Geita unaofadhiliwa na Mfuko
wa Changamoto za Milenia (MCC), Rais Kikwete alisema:
↧
Ndoa ya mzee MAJUTO yavunjika
MWANAMKE anayedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchekeshaji
mahiri Bongo, Amri Athuman maarufu kama Mzee Majuto au King Majuto,
Rahma Abdallah (20), ameibuka na kudai kutelekezwa na mumewe huyo.
Ndoa hiyo ambayo ilifungwa kwa siri jijini Dar Julai 28, mwaka huu na
kudumu siku 44, inaonekana imevunjika rasmi baada ya Mzee Majuto kutoa
talaka kupitia kwa msanii wa filamu aitwaye Rehema Omary
↧
Picha za UCHI za binti wa kibongo zavuja....
Utandawazi umeendelea kuwaangamiza dada zetu wanaopenda kuiga mambo wasiyoyajua....
Katika upekuzi wetu, mtandao huu umefanikiwa kuzinasa picha za mrembo huyu akiwa katika pozi la nusu uchi.
Hii si mara ya kwanza kwa mtandao huu kuzinasa picha za mrembo huyu ambazo husambazwa na yeye mwenyewe kwa wapenzi wake na mashosti zake....
Mapema mwezi wa
↧
↧
Msanii azianika nyeti zake jukwaani wakati akipiga show
Msanii toka nchini Nigeria amejikuta akijitia aibu ya mwaka baada ya kuzianika nyeti zake hadharani wakati akitumbuiza jukwaani....
Aibu hiyo ilimpata kutokana na kivazi kifupi cha nusu uchi alichokuwa amekivaa siku hiyo huku akiwa hajavaa KUFULI ( CHUPI / NGUO YA NDANI )...
<< BOFYA HAPA KUIONA PICHA YAKE>>
Picha siyo nzuri. Ni uamuzi wako
↧
Mwanamke akamatwa uwanja wa ndege akiwa na mimba bandia iliyokuwa na madawa ya kulevya.
Kila
kukicha vita dhidi ya biashara haramu ya dawa za kulevya inazidi
kupamba moto, wakati mataifa mbalimbali yakizidi kuimarisha udhibiti wa
biashara hiyo, na wafanyabiashara hiyo wanazidi kuja na mbinu mpya za
kusafirisha dawa hizo.
Huko
Colombia mwanamke mmoja raia wa Canada amekamatwa uwanja wa ndege akiwa
na tumbo la ujauzito wa bandia ambalo ndani yake alificha kilo
↧
Reginald Mengi na waziri Sospeter Muhongo WASHIKANA Mashati
MWENYEKITI Mtendaji wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi na
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, wameingia katika
mzozo mzito kuhusu uwekezaji katika sekta ya gesi.
Katika mzozo huo, Mengi amemshambulia Waziri Muhongo kwa kumwita ni
mwongo, mpotoshaji na mwenye lengo la kuwatoa Watanzania kwenye hoja ya
msingi ya rasilimali yao ya gesi.
Mengi alitoa kauli hiyo
↧
Baba afikishwa mahakamani baada ya kumbaka mwanae
MKAZI wa Kijiji cha Njoro wilayani Kiteto mkoani Manyara, Mohamed Ally
(42) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa tuhuma za kumbaka
mtoto wake wa kufikia.
Mwendesha Mashitaka wa Polisi, Paulo Kimaro
alidai mahakamani kuwa tukio hilo lilitokea Septemba 9 mwaka huu
nyumbani kwa mtuhumiwa huyo alipombaka mtoto huyo, mwanafunzi wa darasa
la saba.
Alidai siku hiyo mke wake alitoka na
↧
↧
Tundu Lissu atunisha msuli....Akataa uamuzi wa CCM kutaka kuifuta kesi yake
WAKATI viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakiwasili mjini Dodoma
kuungana na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, katika rufaa ya
kupinga ubunge wake inayoanza kusikilizwa leo, mbunge huyo amekataa
uamuzi CCM kutaka kuifuta kesi hiyo.
Juzi CCM kupitia kwa wakili wake, Godfrey Wasonga, iliwasilisha barua
katika Mahakama ya Rufaa Dodoma na nakala kwa Lissu ikiomba mahakama
hiyo
↧
Mtanzania anaswa AKILAWITIWA na Mzungu CHOONI...Wajitetea na kudai walikuwa wananyoana Ma**u****
MDOSI au Kanjibai aliyefahamika kwa jina moja la Milah ambaye ni bosi
wa kampuni moja ya ujenzi yenye makao yake Mwenge jijini Dar alinaswa
chooni akiwa na mfanyakazi wake, John Carlos ‘Shabani’ (watu
walimpachika jina la Shabani kutokana na Kanjibai wa kwenye Komedi)
ikidaiwa walikuwa katika mazingira ya ulawiti...
Ishu hiyo nzito ilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo wawili
hao
↧
Jokate ataja sababu nne zinazowafanya wanaume WAMMEZEE MATE na kumtongoza kila siku
MREMBO anayefanya vizuri katika mambo mengi nchini, Jokate Urban
Mwegelo (pichani) ametaja sababu nne zinazowafanya wanaume kumzimikia,
akiwemo nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Akiandika
katika mtandao wake wa Kidoti Life Style, Jokate, mshindi wa pili wa
Miss Tanzania 2006, alizitaja sababu hizo kuwa ni kujiamini,
kujitegemea, kupendeza na tabasamu muda wote.
“Kujiamini
↧
Mtuhumiwa ajikojolea Mahakamani huko Morogoro
MTUHUMIWA, Manfred Adam anayekabiliwa na kesi ya kutishia kuua katika
hali isiyotarajiwa amelimwaga kojo katika Mahakama ya Mwanzo na kuleta
vurugu kubwa zilizosababisha kuvunjika kwa meza ya Mahakama ya Mwanzo ya
Mazimbu mkoani Morogoro mwanzoni mwa wiki hii.
Katika vurugu hizo
zilizolazimisha shughuli za mahakama kusimama kwa muda wa saa mbili,
askari wawili waliokuwepo eneo la tukio
↧
↧
Padri wa kanisa KATOLIKI amwagiwa tindikali huko Zanzibar
↧
Video ya Padri aliyemwagiwa tindikali huko Zanzibar na kuumizwa vibaya.
↧
Ray C na Zamaradi Mketema waingia katika bifu zito....Kisa ni PENZI la mwanaume
So
Rehema Chalamila aka Ray C na mtangazaji wa kipindi cha Take One cha
Clouds TV, Zamaradi Mketema haziivi? Katika kile kilichoacha wazi midomo
ya watu wengi, warembo hao leo wameingia kwenye vita vya maneno kwenye
mtandao wa Instagram. Alianza Zamaradi aliyepost picha yenye maneno ya mafumbo:
Picha hiyo aliiandikia maneno haya:
Huwezi
amini sikuchukii ila nimezidi kukudharau!!!
↧
Shilole atachukuliwa hatua za kinidhamu baada ya kuianika CHUPI na SHANGA za kiunoni hadharani
WENYEKITI
wa Kamati ya Umoja wa Mashirikisho ya Sanaa Tanzania, Kimela Billa,
ameutaka uongozi wa Shirikisho la Muziki Tanzania, kumchukulia hatua ya
kinidhamu, msanii wa muziki wa mduara Shilole ambaye pia ni muigizaji wa filamu kwa kosa
la kukiuka maadili ya Tanzania katika tamasha la Serengeti Fiesta,
mkoani Iringa.
Shilole
alipanda jukwaani akiwa anacheza wimbo wake wa ‘
↧
↧
Ripoti ya gazeti la MWANANCHI kuhusu Padri aliyemwagiwa tindikali jana huko Zanzibar
Padri wa Kanisa la Romani Katoliki Parokia ya Machui, Joseph
Monesmo Magamba amemwagiwa tindikali na watu wasiojulikana katika Mtaa
wa Mlandege jana jioni, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi,
Haji Hana alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba kiongozi huyo
wa dini amelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja, akiendelea na matibabu
↧
Irene Uwoya akamatwa na polisi kwa wizi wa simu aina ya iPhone 5
MSANII aliyewahi kutamba
kisha kuporomoka kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini Tanzania kwa
sababu ya tabia zake chafu, Irene Uwoya, amefikishwa Kituo cha Polisi
Msimbazi kwa wizi wa simu aina ya iPhone 5.
Kwa mujibu wa habari za kipolisi, mmiliki wa simu hiyo ni mwanamme aliyejulikana kwa jina la Mohammed Marjey, mkazi wa Dar.
Uwoya ambaye siku hizi anajitutumua kwa kuanzisha
↧
"Namshukuru mungu maana sina UKIMWI...Mwenye wivu ajinyonge"..Recho
Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ amejikuta akivuja jasho la furaha baada ya kupima Ukimwi na kujikuta yupo salama.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni maeneo ya Sinza Palestina ambapo
Recho alienda kupima katika Hospitali ya Amen iliyopo Sinza ambapo kabla
hajapata majibu hayo alikuwa akihaha huku na kule kutokana na wasiwasi.
Baada ya vipimo hivyo, Recho alipewa
↧
More Pages to Explore .....