Naibu katibu mkuu wa CCM bara, Mh. Mwigulu Nchemba ambaye pia ni
mbunge wa Iramba amefunguka kuwa vurugu zilizotekea bungeni wiki iliyopita zilisababishwa na kambi
ya upinzani kukosa akili na kutumia nguvu kubwa ....
Akiongea na mpekuzi wetu , Mwigulu ameitupia lawama kambi ya upinzani na kudai kuwa kambi hiyo imekuwa ikitumia
nguvu nyingi badala ya
"Nipo tayari kugombea URAIS endapo wananchi WATANICHAGUA."..Mwigulu Nchemba
↧
↧
Taharuki kubwa yaibuka katika mpaka wa Rwanda na Tanzania.
Taharuki imeibuka
katika mpaka wa Tanzania na Rwanda wakati madereva wa malori kutoka
nchini wakihaha kuvuka kuingia Rwanda kabla ya kuanza kutumika kwa
ushuru mpya wa barabara ambao unaanza kutumika tena leo kwa upande wa
Rwanda ukilenga magari kutoka Tanzania tu.
Rwanda iliongeza
ushuru kwa zaidi asilimia 229 dhidi ya magari ya mizigo ya Tanzania tu
kutoka viwango vya zamani vya
↧
Mtandao wa fedha haramu wabainika kuwepo Tanzania
Mtandao wa kimataifa
unaojihusisha na utengenezaji wa fedha bandia unaowahusisha baadhi ya
wafanyabiashara wa nchi jirani ya Kenya na Tanzania umebainika kuwepo
nchini kufuatia jeshi la polisi kukamata tena dola za kimarekani na
kusababisha fedha bandia zilizokamatwa katika kipindi cha siku mbili
kufikia zaidi ya shilingi milioni 250.
TAZAMA RIPOTI YA ITV HAPO CHINI
<!-- adsense -
↧
Jokate afunguka baada ya kutuhumiwa kugawa URODA kwa LUCCI ili auze sura
Baada ya kutuhumiwa kugawa uroda kwa Lucci ili aweze kuuza sura katika video mpya ya "dada, kaka" , Jokate ameamua kufunguka na kuzikanusha tuhuma hizo....
Huu ni ujumbe wake alioutoa instagram.
"Okay leo nimeamua kupitia page yangu ya
Instagram ku-address the following pressing matters kwenye ulimwengu wa
majungu.
1. Luciano Gadie Tsere is NOT my LOVER and
↧
Alex Massawe afikishwa mahakamani huko Dubai
Mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Massawe amefikishwa
mahakamani Dubai, Falme za Kiarabu (UAE), kwa tuhuma za mauaji baada ya
Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol),
kuiomba Serikali ya nchi hiyo kumkamata.
Massawe anayetarajiwa kuletwa nchini wakati wowote
kuanzia sasa, alikuwa anatafutwa na Polisi wa Tanzania kwa muda mrefu
na alikamatwa Dubai,
↧
↧
Ndugai na Mbowe walivunja kanuni za Bunge MAKUSUDI kwa maslahi ya vyama vyao.....
Kumekuwa na mjadala mkali kuhusu iwapo Naibu Spika, Job Ndugai
alikiuka Kanuni za Bunge katika kushughulikia vurugu zilizotokea Bungeni
Alhamisi iliyopita kwa kuamuru kutolewa nje kwa Kiongozi wa Kambi Rasmi
ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe.
Ndugai ambaye alikuwa kiongozi wa shughuli za
Bunge siku hiyo, aliwaamuru askari kumtoa nje Mbowe baada ya kukaidi
amri yake ya kutaka kuketi
↧
Haya ndo mashitaka matatu aliyosomewa makamu wa Rais wa Kenya mbele ya mahakama ya ICC
William Ruto amekana mashtaka yote yanayomkabili kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Fatou
Bensouda anayesimamia kesi hiyo, alisema watuhumiwa wawili waliofikishwa
mahakamani hapo jana, Ruto na mtangazaji wa Redio, Joshua arap Sang
wanakabiliwa na mashtaka matatu kila mmoja, ambayo ni kuwalazimisha watu
kukimbia makazi yao, mauaji na
↧
"CHADEMA wamepewa mamilioni ya fedha na wazungu ili wakwamishe mchakato wa katiba mpya"..Nape Nnauye
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeibua madai mazito dhidi ya Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuwa kimepewa mamilioni ya fedha
kutoka nje ya nchi, kwa nia ya kukwamisha mchakato wa Katiba Mpya.
CCM
kimeibua tuhuma hizo, ikiwa ni siku chache baada ya wabunge wa upinzani
kupigana ngumi na askari wa Bunge muda mfupi baada ya kupitisha hoja ya
kujadili Muswada wa Sheria ya
↧
Gari la kubebea wagonjwa lakamatwa likitumika katika wizi ndani ya Mgodi wa Geita
Mwandishi wa habari Denice Stephano anaripoti kwamba gari la kubebea wagonjwa limekamatwa likitumika katika wizi ndani ya mgodi wa Geita na kufanya wapatikane watuhumiwa tisa
wa kesi ya wizi wa mafuta katika mgodi huo wa Dhahabu ( GEITA GOLD MINE ).
Mwendesha
mashitaka wa polisi Inspekta Abiner ameiambia mahakama September 9 2013
kwamba 5/09/2013 saa 7:30 usiku huko eneo la Geita
↧
↧
Video ya binti wa kidato cha nne akisimulia jinsi alivyotongozwa na Diamond ( Simulizi la UONGO)
MREMBO Sasha Juma, 20, kwa sasa anapitia kipindi cha majuto,
analipia gharama ya kujivalisha ubandidu na kujisingizia kupewa mimba na
supastaa, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’.
Sasha, akiwa na
macho makavu, alitamka mbele ya waandishi wetu kuwa mimba hiyo aliyopewa
na Diamond, ilimgharimu kufukuzwa shule akiwa kidato cha nne mwaka
jana.
Unadhani Sasha analo tena? Ameshaumbuka na baada ya
↧
SADC yamuonya Kagame kuhusu mipango yake ya kuivamia Tanzania baada ya kuomba msaada wa kijeshi toka Kenya na Uganda
MZOZO wa kidiplomasia alioibua Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa Rais
Jakaya Kikwete, sasa unaonekana kuchukua mwelekeo mpya, baada ya Jumuiya
ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kumuonya kiongozi huyo kuacha
mara moja fikra zozote mbaya dhidi ya Tanzania, MTANZANIA Jumatano
limedokezwa.
Habari za uhakika na za kuaminika kutoka miongoni mwa viongozi wa juu
wa SADC na maofisa wa
↧
Mnyarwanda AJINYONGA baada ya kuamriwa arudi kwao RWANDA
Raia wa Rwanda
amejinyonga kwa kamba chumbani kwake, tukio linalohusishwa na zoezi
linaloendelea hivi sasa nchini la kuwasaka wahamiaji haramu na
kuwarejesha makwao.Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio,
marehemu anatajwa kuwa ni Francis Mathias (75), ambaye alikuwa mkazi wa
kitongoji Kikukuru kata Kikukuru, tarafa Mabira wilayani Kyerwa mkoani
Kagera.Mwenyekiti wa kitongoji cha
↧
Hakimu apigwa na wanajeshi wa JWTZ huko karagwe kwa kudhaniwa kuwa ni Mnyarwanda
Matendo Manono (kushoto)
Mtu
mmoja aliyefahamika kwa jina la Matendo Manono ambaye ni Hakimu Mkazi
katika Mahakama ya Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera amelalamikia kitendo
cha kupigwa na kujeruhiwa vibaya na Askari wa Tanzania, katika zoezi la
kuwaswaga wahamiaji haramu wa kinyarwanda wanao ishi nchini Tanzania.
Soma maelezo ya hakimu huyo hapo chini...
"
i have a serious
↧
↧
Mwandishi wa gazeti la MWANANCHI akatwa katwa mapanga mkoani SINGIDA
Mwandishi
wa habari wa gazeti la The Citizen na mwananchi mkoani Singida, Awila
Silla amenusurika kuuawa na mtu anayedhaniwa kuwa Jambazi baada ya kukatwa
katwa mapanga kichwani na kusababisha kuzirai. Tukio hilo limetokea juzi saa
mbili usiku jirani na mahakama ya mwanzo ya Utemini mjini Singida.
Awila
ambaye amelazwa wodi 2 katika hospitali ya mkoa amedai kuwa baada ya kukutana na
↧
Pesa zazidi kumwagika kwa DIAMOND...Haya ni mamilioni aliyopewa na VODACOM
Msanii
wa muziki ya kizazi kipya Diamond Platinumz (kushoto) akisalimiana na
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin
Twissa, punde baada ya kusaini mkataba utakaowezesha wateja kuchukua
wimbo wa Diamond Platinumz kama Ring Back Tone (RBT) na wajishindie Tsh
50,000 kwa siku. Anayeshuhudia ni Salum Mwalim, Mejena wa Mahusiano ya
Nje, Vodacom Tanzania.
↧
Diamond ajibu tuhuma za KUMTUNDIKA MIMBA mwanafunzi na zile za wimbo wa Dayna
Hatimaye Diamond Platnumz leo amejibu
tuhuma kadhaa zilizokuwa zikimkabali ikiwemo ile ya Dayna Nyange kudai
kuwa alitumia beat ya wimbo wake kurekodi wimbo wake unaotamba sasa,
Number 1 na pia kuhusu Baba Levo kudai Diamond alimuibia chorus ya wimbo
wake.
Katika mahojiano na kipindi cha XXL cha Clouds FM, Diamond pia
amejibu scandal kuhusu kumzalisha mwanafunzi iliyoandikwa na magazeti
↧
Ray C alianika "shairi la penzi lake" instagram...Albam yake mpya iko jikoni inapikwa
Haya wale wenye kiu na ujio mpya wa Ray C mnaweza kuanza kuandaa
makoo yenu sababu chakula kimeshawekwa jikoni na muda si mrefu mnaweza
kukaribishwa mezani.
Ray C ameshea picha kadhaa akiwa studio na wadau mbalimbali akiwemo
Bab Tale na Said Fella, na kama haitoshi ameweka mashairi ya wimbo wake
ambao unaonekana ndio aliokuwa akiurekodi wakati anapiga picha hiyo na
kuandika “Mashairi
↧
↧
Hiki ni kilio cha Bondia Rashid Matumla baada ya mdogo wake kukamatwa na dawa za kulevya
Bondia Rashid ‘Snake man’ Matumla amedai endapo itathibitika mdogo
wake Mkwanda anajihusisha kusafirisha dawa za kulevya atakuwa ameipa
fedheha familia yao.
“Mkwanda ameipa fedhea familia yetu, hii ni aibu kubwa ukizingatia
vitendo hivyo vinakatazwa si Tanzania tu bali na kwenye nchi nyingine”
Mkwanda ambaye kwa mujibu wa Rashid alipumzika kucheza ngumi miaka
kadhaa iliyopita kutokana
↧
Pongezi za dhati kwa mmiliki wa "UDAKU SPECIALLY BLOG" kwa kufunga ndoa.
Pongezi za dhati zikufikie Mmmliki wa Mtandao wa Udaku specially blog kwa kufunga ndoa.Ni uamuzi wa busara sana na hiyo ni hatua muhimu sana katika maisha ya mwanadamu..
Mpekuzi blog inawatakia maisha marefu yenye heri na baraka.
Mr and Mrs John Kiandika
Someone husband in the middle........
Wat a nice smile !
↧
"Kwa sasa Sina MPENZI ....mwenye nia ya dhati ANITAFUTE"...Baby Madah
Leo katika interview na baby Madaha ambaye hivi karibuni
amesaini mkataba mnono na kampuni ya Candy n’ Candy Records ya
jijini Nairobi nchini Kenya , Bongomovie.com wameweza kupata mambo matano
ambayo mashabiki wa mwanadada huyu watakuwa hawajui kumhusu yeye.
Katika interview hiyo, baby Madaha ametaja mambo matano ambayo anasema
mashabiki wake wanahitaji kuyafahamu kumhusu yeye.
↧
More Pages to Explore .....