MV Gold Star ikiungua baada ya kuchomwa moto na wasafirishaji wa madawa ya kulevya.
Moshi mkubwa ukitoka katika meli hiyo baada ya wahusika kujitosa majini.MV Gold Star ikipelekwa katika Bandari ya Sicilia.
-NI MV GOLD STAR -WATUHUMIWA WAICHOMA MOTO KUPOTEZA USHAHIDI, WAJITOSA MAJINI -ILIKUWA NA DAWA ZA KULEVYA ZENYE THAMANI YA BILIONI 126.5
Meli ya Tanzania yakamatwa na madawa ya kulevya Italia...
↧
↧
Mama lishe abakwa na Afisa tarafa na kuumizwa vibaya
AFISA Tarafa ya Kaliua Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Josephat
Brown anatuhumiwa kumbaka mama lishe na kumsababishia maumivu makali na
kisha kutokomea kusikojulikana.
Tukio hilo limetokea Agosti 29 mwaka huu, saa tano usiku nyumbani kwa
afisa tarafa huyo baada ya kumrubuni mama huyo (jina) mwenye miaka (38)
katika baa iitwayo Leaders akitaka ampelekee nyama ya kuku ana wageni.
Kwa
↧
Madiwani wataka SHERIA ya kuwalazimisha WANAUME kwenda KLINIKI itungwe
BAADHI ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu wameomba itungwe sheria ndogo, kushinikiza wanaume kushiriki huduma ya kliniki kwa lazima.
Wametaka sheria itungwe ili atakayekaidi, achukuliwe hatua za kisheria na kupata adhabu kali. Walisema kuwepo kwa sheria hiyo, kutapunguza idadi ya wanawake wanaokwenda kliniki peke yao, na kusaidia wajawazito kupata huduma mbalimbali.
↧
Ripoti ya gazeti la IJUMAA WIKIENDA kuhusu msanii maarufu aliyenaswa na madawa ya kulevya Brazil
SAKATA la madawa ya kulevya kusafirishwa nje au kuingizwa nchini na
kuwafikia vijana wanaoharibika kila kukicha, limezidi kuchukua nafasi ya
kipekee baada ya ripoti mpya kabisa kutoka juzi...
Aisha Bui anayedaiwa kufungwa nchini Brazil.
Kwa wiki iliyopita, Ijumaa Wikienda lilipekenyua maeneo yote muhimu
na kukumbana na mambo mapya kuhusu habari za ‘unga’ huku taarifa
zikionesha kuwa,
↧
Waziri Magufuli azomewa mbele ya Rais jijini mwanza
RAIS Jakaya Kikwete jana alipata wakati mgumu, baada ya kukutana
na nguvu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jijini Mwanza
katika ziara yake, huku Waziri wake wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, naye
akijikuta akizomewa mbele yake.
Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje, alivunja mwiko baada ya kujiunga
katika msafara huo wa raia akiwa na gari lenye alama za Movement for
Change (M4C
↧
↧
Picha za kikatili za mwanamke aliyeuawa kwa kutobolewa KOROMEO
Mrembo Yusta Mkali, mkazi wa Kawe, Dar ambaye alikuwa mke wa mtu
anadaiwa kuuawa kwa kutobolewa koromeo na mumewe, Musa Senkando na
kusababisha simulizi ya kutoa machozi kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa
kimapenzi.
Polisi wa kituo cha Kawe wakiukagua mwili wa marehemu Yusta.
Mtuhumiwa wa mauaji, Musa Senkando.
Mwili wa marehemu Yusta ukipelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali ya
↧
Picha za msanii RECHO akisuguliwa nyeti zake wakati wa tamasha la Serengeti Fiesta- 2013
↧
Mzungu wa African Barrick Gold atiwa mbaroni kwa kumtelekeza mtoto aliyezaa na binti wa KITANZANIA
Andre akiwa na mzazi mwenzie akimsihi aondoe shauri hilo
mahakamani
Andre akiwa na mtoto wake nje ya mahakama
ANDRE LAPIERRE (50) MFANYAKAZI WA MGODI WA
BULHYAHULU
Mzungu akitoka kusikiliza shauri lake chumba cha mahakama ambapo shauri
hilo liliahirishwa mpaka tarehe 4.10.2013 ambapo alidhaminiwa na wadhamini
wawili .
Raia
wa nchini Canada ambaye ni mfanyakazi wa
↧
Jack Wolper awataka wasanii wa kike WAJIHESHIMU kwa kutovaa mavazi ya nusu UCHI.
Muigizaji wa filamu za kibongo maarufu kwa jina Jackline Wolper amewaasa waigizaji
wenzake wa kike kuacha kuvaa nguo za nusu uchi kwani ni kinyume na mila
na tamaduni za kitanzania .
Wolper aliyasema hayo
kufuatia kupigiwa kura na kushinda kama muigizaji wa kike mwenye
muonekano wa kistaa...
Akizungumza katika kipindi cha filamu cha Take One
kinachorushwa Clouds Tv , Wolper
↧
↧
Millen Magese akiwa katika pozi la NUSU UCHI.
Anajiita, MODEL, au MISS TANZANIA.Ni binti wa kibongo maarufu kwa jina la Millen Magese akiwa katika pozi la KICHUPI style lililoanzishwa na WAKOLONI maarufu kwa jina la wazungu na kupokelewa kwa mikono miwili na baadhi ya mabinti wa kibongo hasa mastaa....
Kichupi style imekuwa na madhara makubwa sana kwa WANAUME tangu kuanzishwa kwake..Moja ya
↧
Napenda PESA zake tu ila sitaki NIMVULIE nguo zangu na sitaki KUNGONOKA nae...naomba ushauri
Nina mahusiano ya kawaida tu na kijana mmoja wa kichaga ambaye ni mfanyabiashara yapata miaka 3 sasa.
Anatoa huduma zote kwangu kifedha kasoro
tu dushelele lake ndo silihitaji maana sina hisia zozote jaman za
mapenzi kwake (toka moyoni) ki ukweli...nataka hela zake tu
Kwanzia mwaka jana jamaa anaulizia ndoa
me namwambia subir nimalize chuo,kwakweli nataka kumuacha huyu mtu ila
sijui
↧
Pikipiki aina ya JINYEE yasababisha kichapo kikali kwa mfanyabiashara
Na Jumanne Nzagamba, Chunya.
Nipo kijijini Kanga, wilaya ya Chunya ambapo kwa macho yangu nimemshuhudia mfanyabiashara mmoja akipewa kichapo kikali na vijana watatu wa kisukuma ambao alikuwa akifanya nao biashara ya pikipiki...
Kichapo hicho kilianza baada ya baba mwenye nyumba kumuomba mtoto wake wa darasa la sita amsomee maneno yaliyoandikwa katika
↧
Picha za UCHI za binti wa kibongo zavuja
Jinamizi
la picha za utupu limeendelea kuwatafuta akina dada ambapo
leo hii mpekuzi wetu amefanikiwa kuzinasa picha mbaya za binti
mmoja wa kibongo anayesadikiwa kuwa ni mwanafunzi wa chuo
kikuu ....
Picha
hizo za laana zinamuonesha binti huyo akiwa uchi wa mnyama
ndani ya vyoo vya hotel na moja akiwa kitandani...
<<BOFYA HAPA KUJIONEA
↧
↧
Joseph Kaniki anaswa na madawa ya kulevya Ethiopia....
Mshambuliaji wa nyota wa zamani wa timu ya soka ya Simba na
Taifa, Joseph Kaniki ‘Golota’ na bondia Mkwanda Matumla wanashikiliwa
huku Addis Ababa, Ethiopia wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya.
Kukamatwa kwao kumezidi kuongeza idadi ya
Watanzania maarufu waliotiwa mbaroni nje ya nchi katika siku za karibuni
wakituhimiwa kwa makosa hayo.
Tukio
↧
Sheikh Koba atiwa mbaroni kwa tuhuma za KUMBAKA mwanafunzi wa darasa la pili
KIONGOZI wa msikiti wa Masjid Maftah ulioko Misufini katika
manispaa ya Morogoro, Alhaj Abdul Wazir, maarufu kama Sheikh Koba,
anashikiliwa kwa mahojiano mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mtoto
mwenye umri wa miaka nane, mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya
msingi Sabasaba.
Taarifa zilizopatikana na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa
Morogoro, Faustine Shilogile,
↧
Zanzibar yaapa kuishitaki meli iliyokamatwa na tani 30 za bangi Italia.
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema itafungua mashtaka
dhidi ya kampuni ya Gold Star, baada ya meli yake kukamatwa na tani 30
Za mihadarati aina ya bangi Kisiwa cha Malta Vessel, nchini Italia.
Hatua hiyo ilitangazwa na Mkurugenzi wa Mamalaka
ya Usafiri Baharini (ZMA), Abdi Omar Maalim, alipozungumza ofisini kwake
Mlandege Zanzibar, jana.
↧
Ndugai ataja sababu zake zilizomfanya amtimue Freeman Mbowe Bungeni
NAIBU Spika, Job Ndugai ametetea uamuzi wake wa kuagiza kutolewa ndani
ya ukumbi wa Bunge, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe
akisema alikuwa sahihi.
Mabishano hayo ambayo yalisababisha kuibuka kwa vurugu bungeni
yalitokea mwishoni mwa wiki, muda mfupi baada ya kipindi cha maswali na
majibu, ambapo kiongozi huyo wa Bunge aliruhusu mjadala kuhusu Muswada
wa Marekebisho
↧
↧
Waasi wa M23 wakubali kuweka silaha chini kwa masharti kadhaa
Wakati vikosi vya Umoja wa Mataifa vikisitisha kwa muda
operesheni ya kukabiliana na Kundi la M23 Mashariki kwa Jamhuri ya
Demokrasia ya Congo, ili kupisha mazungumzo ya amani, kundi hilo
limesema liko tayari kuweka silaha chini.
Mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mapigano kati ya kundi hilo na Jeshi la DRC, yalitarajiwa kuanza jana mjini Kampala,Uganda.
↧
VIDEO: Binti aangukia mshumaa na kuungua nyeti zake wakati akikata mauno
↧
Jalada la kesi ya mbuge SUGU wa Mbeya mjini latua kwa DPP
JALADA la Kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi
(CHADEMA), limefikishwa katika Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali.
Mbilinyi maarufu kwa jina la ‘Sugu’, anadaiwa kumjeruhi askari wa Bunge
katika vurugu zilizotokea Bungeni mwishoni mwa wiki iliyopita.
Kwa
mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Susan Kaganda alisema
polisi wameshapeleka jalada la mbunge huyo
↧
More Pages to Explore .....