Mbunge
wa Nzega Dr. Kigwangalla, ametumia muda wake karibu wote wa kuchangia
Muswada wa Katiba kwa kumshambulia Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe. Mbowe kuwa ni
Mjinga, Mpuuzi, ametia aibu aibu
Kigwangalla amempongeza Naibu Spika kwa kumtimua Mbowe bungeni na kusema kuwa kitendo hicho kimemshikisha adabu...
Aidha, mbunge huyo wa Nzega amedai kuwa Mbowe sio Mchaga bali ni
"Mbowe ni Mjinga na Mpuuzi"...Hii ni kauli ya Kigwangalla bungeni
↧
↧
Producer akata mzizi wa UNAFIKI kati wa Dayna na Diamond
Baada ya sakata la kuibiana nyimbo lilichokua takribani siku mbili kati ya msanii Diamond Platnum na Dayna Nyange,producer Shedy ameamua kukata mzizi wa fitina kwa kuuanika ukweli wa mambo....
Akiongea na #Team tizniz,Shedy amefunguka kama ifuatavyo:
“Beat hii nilitengeneza
mimi kwa idea zangu mwenyewe. Alikuja Dayna akaupenda ule mdundo na
mimi sikumnyima , akafanya demo
↧
Rais Kikwete na Kagame wamaliza tofauti zao na kukubaliana kushirikiana kama zamani
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
leo, Alhamisi, Septemba 5, 2013, amekutana kwa faragha na Rais wa
Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame katika mazungumzo yaliyokwenda vizuri na
kuwaridhisha viongozi hao wawili wa nchi jirani.
Viongozi
hao wamekutana kwa zaidi kidogo ya saa moja katika mkutano uliofanyika
kwenye Hoteli ya Munyonyo Commonwealth
↧
Aibu: Daktari FEKI akamatwa katika hospitali ya KCMC Moshi
Hali ya wasiwasi imejitokeza kwa baadhi ya wagonjwa wanaopatiwa huduma za matibabu
katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC Moshi Kilimanjaro baada ya uongozi wa
hospitali hiyo kumkamata mtu anayejifanya kuwa ni daktari wa watoto
akiwa kwenye wodi ya upasuaji.
Daktari huyo feki aitwae Alex Sumni Massawe
amewekwa chini ya ulinzi na Jeshi la Polisi baada ya kukutana na mmoja
wa wagonjwa ambae
↧
Linex amwagana na DEMU wake wa Kizungu...kisa ni Pesa na Muziki.
Kilichokua kinafata ni ndoa ambayo ilikua
imepangwa na wote wawili baada ya Linex kukamilisha hatua muhimu ambayo
ni kumvisha pete mchumba wake anaitwa Suvi raia wa Finland mwezi March
2013.
Millardayo amepata nafasi ya kuzungumza na Linex
kwenye
exclusive interview ambayo amekiri ni kweli imebidi kila mmoja aendelee
na maisha yake na mapenzi yao kuisha kwa sababu kadhaa
↧
↧
Polisi na Mawaziri wadaiwa kujihusisha na biashara haramu ya NGONO
BAADHI ya mawaziri na polisi wametajwa kuwa ni wateja wakubwa wa wanawake wanaouza miili yao, maarufu kwa jina la Changudoa.
Hayo yameelezwa jana na Jukwaa la Wanaharakati Wanawake Vijana (YFF),
walipokuwa wakiwasilisha ujumbe wao kwa njia ya sanaa ya ngonjera,
katika tamasha la 11 la Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) linaloendelea
eneo la Mabibo jijini Dar es Salam.
Wanaharakati hao
↧
Wananchi walilaani Bunge la Tanzania kutokana na vurugu zinazoendelea
Baada ya kuibuka mvutano mkali bungeni jana, kati ya Naibu
Spika, Job Ndugai na wabunge wa Kambi ya Upinzani, wasomi, wanaharakati,
Chama cha Madaktari Tanzania (Mat), Chama cha Walimu Tanzania (CWT) na
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), vimesema
kinachoendelea sasa ndani ya Bunge ni masilahi ya vyama vya siasa siyo
taifa.
Walitoa
↧
Ripoti maalumu ya gazeti la MWANANCHI kuhusu vurugu zilizotokea jana bungeni
Jana, Bingwa wa Dunia wa uzani wa kati (super middle),
unaotambuliwa na Shirikisho la Ngumi Duniani (WBF), Francis Cheka
alitembelea Bunge baada ya kutwaa taji hilo karibuni na jana hiyohiyo,
Bunge hilo lilishuhudia ngumi kavukavu katika vurugu kubwa pengine
kuliko zote zilizowahi kutokea katika ukumbi wake.
Katika masumbwi hayo yasiyo rasmi, Mbunge wa
↧
Serikali yasalimu amri na kukubali kulipa mishahara ya wafanyakazi wa TAZARA waliokuwa wamegoma
HATIMAYE serikali imesalimu amri na kuamua kuwalipa mishahara ya
miezi minne wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia
(TAZARA) waliogoma wakishinikiza kulipwa stahiki zao.
Uamuzi wa kuwalipa wafanyakazi hao ulitangazwa jana bungeni na Waziri
wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, alipokuwa akitoa kauli ya serikali
kuhusu mgomo wa wafanyakazi hao ulioanza Agosti 23 mwaka huu.
↧
↧
Viongozi wa Maziwa Makuu watoa siku tatu kwa M23 na Serikali ya DRC kurejea meza ya mazungumzo
Wapatanishi
wa mgogoro wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametoa muda wa siku
tatu kwa waasi wa M23 na serikali ya nchi hiyo kurejea kwenye meza ya
mazungumzo huko jijini Kampala Uganda.
Hayo ni baada ya kikao cha viongozi wa kanda ya maziwa makuu kiliyofanyika juzi huko kampala Uganda.
Kiongozi wa kundi la M23 Bertrand Bisimwa amesema wao wapo
tayari kwa mazungumzo na
↧
"Nileteeni mama zenu nilale nao ili nithibitishe kama ninyi ni wanangu"...Baba kanumba
BABA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, Steven Kanumba,
Charles Kanumba ametoa ofa kwa wanawake wanaohitaji kuzaa watoto kama
marehemu mwanaye wamuone ili awape uzao wake.
Akipiga stori na mwandishi wetu, baba Kanumba alisema amefikia hatua
hiyo kutokana na usumbufu anaoupata kwani tangu Kanumba alipofariki
dunia wamejitokeza mabinti watano wakidai kuwa ni watoto wake wakati si
↧
"Tumewataka Kenya, Uganda, Rwanda watueleze walichozungumza kwa siri"...Benard Membe
Serikali imeziomba nchi za Kenya, Uganda na Rwanda kuipa taarifa ya mikutano waliyoifanya bila ya kuishirikisha hivi karibuni.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa, Bernard Membe akizungumzia na waandishi wa habari ofisini
kwake jana alisema wameziomba nchi hizo kuitaarifu kile walichokijadili.
Alisema kwakuwa nchi hizo ni miongoni mwa
↧
Sakata la mwanafunzi wa KIDATO CHA NNE aliyezalishwa na msanii DIAMOND
MREMBO aliyetimuliwa shule akiwa kidato cha nne baada ya kutundikwa
mimba, Sasha Juma ameibuka na madai kuwa amezaa na staa wa Bongo Fleva,
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
MCHEZO MZIMA
Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika zilidai kuwa Sasha na
Diamond walikutana katika mgahawa mmoja uliopo kwenye maduka ya Mlimani
City, Dar na ndipo walipoanzisha uhusiano.
Ilidaiwa kuwa Sasha
↧
↧
"Namshukuru mungu kwa kuwa sina UKIMWI"...RAY C
Mwanadada anayejipanga kurejea kwenye gemu la Bongo Fleva kwa
kishindo, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amefunguka ya moyoni tena akisema kuwa
anamshukuru Mungu kwa kupona madhara ya madawa ya kulevya bila kupata
matatizo mengine ya kiafya huku akifafanua suala la kuokoka.
Mwanamuziki
huyo alisema kuwa katika kipindi chote cha kupigana na madawa ya
kulevya zaidi ya miaka mitatu iliyopita,
↧
Picha za UTUPU za wanafunzi wakinyonyana maziwa zanaswa
<!-- adsense -->
Picha chafu za wanafunzi wa sekondary moja maarufu zimenaswa na mpekuzi wetu zikipaa toka mtandao mmoja kwenda mwingine....
Katika picha hizo, wanafunzi wawili wakiwa na sare za shule wanaonekana wakinyonyana maziwa huku kamera yao iliyoegeshwa ikiwachukua.....
Tumeifunika picha kidogo.Ukitaka ambayo haijafunikwa, bofya hapo chini
↧
Mengi amchana Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo kupitia Twitter
Mkurugenzi wa IPP, Bw Reginald Mengi amemtolea uvivu waziri wa Nishati
na Madini, Mh Sospeter Muhongo, na kuweza wazi hisia zake kuhusu waziri
huyo kwa kupitia mtandao wa Twitter. Mzee Mengi ameandika:
Mh Muhongo asambaza taarifa za uongo juu yangu kuhusu vitalu vya madini. Ni kufilisika kifikra. Asipoteze lengo. Ajibu hoja ya gesi
— Reginald Mengi (@regmengi) September 6, 2013
Mh
↧
Mama aumbuka baada ya NZI kujazana katika MAKALIO yake wakati akielekea sokoni
Mama mmoja amejikuta akiambulia AIBU ya mwaka baada ya NZI kujazana katika makalio yake..
Mama huyo ambaye mpekuzi wetu hakuweza kumtambua jina, alikumbwa na aibu hiyo hivi karibuni wakati akikatiza mitaa kuelekea sokoni....
Haikuweza kufahamika mara moja kuhusu chanzo cha NZI hao kujazana katika makalio yake.
<!-- adsense -->
↧
↧
"Baba nilikuona USIKU ukiwa UCHI, nikajifanya nimelala, baadae nikamsikia mama AKIKOROMA"..Mtoto
Haya ndo madhara ya kulala na watoto chumba kimoja...
Huyu ni binti wa miaka 2 ( makadirio) ambaye ameamua kuwaumbua wazazi wake kwa matendo yao ya usiku ambayo amekuwa akiyashuhudia....
Walipoamka asubuhi, binti alimfuata baba yake na kumwambia kuwa jana aliwashuhudia wakiwa UCHI...
Baada
ya kauli hiyo, baba alistuka kidogo na kutaka kujua zaidi
↧
Wanafunzi walipukiwa na bomu mkoani Morogoro
Taarifa kwa mujibu wa ITV — Wanafunzi wawili wa kidato cha kwanza katika
shule ya sekondari Matombo katika wilaya ya Morogoro wamejeruhiwa,
baada ya kulipukiwa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu, wakati
wakitoka shuleni.Wanafunzi hao waliojeruhiwa katika sehemu
mbalimbali za miili yao ni Luciani Juma (14) na Anthonia Charles (15),
wakazi wa kijiji cha Konde, Tarafa ya Matombo wilayani
↧
Dunia yamgeuka Rais Paul Kagame...
TASWIRA ya kimataifa ya Rais wa Rwanda, Paul Kagame, ambaye katika
siku za hivi karibuni aliibua mzozo wa kidiplomasia na Rais Jakaya
Kikwete, inaonekana kuchukua mwelekeo wa kuchuja badala ya kustawi kwa
namna ilivyokuwa miaka michache tu iliyopita, MTANZANIA Jumapili
limebaini.Baada ya kuvuma kwa zaidi ya muongo mmoja sasa,
Kagame, aliyekuwa akibeba taswira ya mtu shupavu na shujaa,
↧
More Pages to Explore .....