Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Naibu Waziri wa Afya, Dk Khamis Kigwangalla Aupa Siku 60 Uongozi Wa Hospitali ya Rufaa Mbeya Kununua Mashine ya CT Scan

0
0

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo, Jinsia, Watoto na Wazee, Dk Khamis Kigwangalla amewapa siku 60 viongozi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mbeya (MRH) wawe kununua mashine ya CT-scan.

Dk Kigwangalla alitoa agizo hilo juzi jioni, baada ya kuwasili jijini Mbeya ghafla na kwenda moja kwa moja kwenye hospitali hiyo na kupokea taarifa iliyoeleza pia kwamba ni ya kanda, lakini haijawahi kupata mashine za CT scan.

Kukosekana kwa CT-scan kumesababisha wagonjwa kwenda Dar es Salaam au watumie mashine ya mtu binafsi iliyofungwa jijini hapa miaka miwili iliyopita.

“Haingii akilini mtu binafsi hapahapa Mbeya anamiliki CT-scan, lakini hospitali kubwa kama hii imekosa,”alisema.

Dk Kigwangalla alishangazwa zaidi aliposikia kuwa mapato ya hospitali hiyo ni zaidi ya Sh500 milioni kwa mwezi.

“Sasa nawapa siku 60 nataka kuona mashine hiyo imefungwa, vinginevyo mtakuwa mmeshindwa kazi, nitakula sahani moja na nyie viongozi,” alisema.

Aliwataka watumishi wa hospitali hiyo kuwa na mawazo chanya kwa maendeleo na kutoa mfano wa CT-scan nzuri na ya kisasa kama ile iliyonunuliwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MHN) inauzwa Sh3 bilioni jambo ambalo wanaweza kulitekeleza badala ya kusubiri Serikali iwapelekee.

Awali, Mkuu wa Kitengo cha Maabara cha hospitali hiyo, Abednago Mwakila alisema mbali ya kukosa mashine hiyo kwa miaka yote, nyingine zilizopelekwa hapo hazifanyi kazi baada ya kuharibika na hawajui mafundi wanapatikana wapi.

Alitoa mfano wa mashine ya kuangalia mgando wa damu aliyodai ni kifaa muhimu, lakini haifanyi kazi kwa zaidi ya miaka minne kutokana na kukosekana kwa fundi.

Baada ya kuelezwa hivyo, Dk Kigwangala aliuagiza uongozi wa hospitali hiyo kuorodhesha mashine ambazo hazifanyi kazi na kumpelekea ofisini aweze kufanya utafiti na kubaini watu walioingia mkataba na Serikali wapeleke mashine hizo.

Kaimu Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Dk Idsory Thomas alisema agizo lililotolewa na Dk Kigwangalla litatelekezwa kwa wakati.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili Ya Februari 14

Rais Magufuli Asema Hataingilia Mgogoro wa Zanzibar,Ataka Wenye Malalamiko Waende Mahakamani....Hotuba Nzima Ya Rais Iko Hapa

0
0
Rais John Magufuli jana alitumia dakika 55 kuzungumza na wazee wa Dar es Salaam, akigusa kila sekta wakati akizungumzia mambo aliyoyafanya katika siku 100 na anayotarajia kufanya.

Katika hotuba hiyo ambayo aliendelea kuzungumzia jinsi nchi inavyotafunwa, kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tano aliweka msimamo wake kuhusu mgogoro wa kisiasa Zanzibar, akisema hataingilia.

Pia alidokeza kuhusu uteuzi wa wakuu wa mikoa na wilaya, akimhakikishia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda kuendelea au kupandishwa cheo.

Mambo mengine aliyozungumzia ni mafanikio na changamoto ya elimu bure, ujenzi wa barabara na madaraja, utendaji wa mawaziri, miradi ya umeme, huduma kwenye Hospitali ya Muhimbili, vyombo vya habari, na kuwataka wananchi wajitathmini wamefanya nini katika siku 100 za kwanza za utawala wake.

Dk Magufuli aliyekuwa ameambatana na Makamu wa Rais, Samia Suluhu, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Naibu Spika Dk Tulia Ackson, alikuwa akizungumza na baraza la wazee wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, ikiwa ni siku yake ya 102 tangu alipoapishwa Novemba 5, 2015 kuwa Rais.

Mkutano huo ulihudhuriwa na watu zaidi 3,000, wakiwamo mawaziri, viongozi wa CCM na viongozi wa dini, walioongozwa na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhaj Mussa Salum na Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.

Rais Magufuli aliyeingia katika ukumbi huo saa 8:30 mchana, alianza kuzungumza saa 9:36 alasiri na kumaliza saa 10:32 jioni, akisisitiza wananchi wamuombee aweze kutekeleza majukumu yake, ikiwa ni pamoja na kutumbua majipu.

 Uchaguzi  Zanzibar
Rais ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu kuhusu mgogoro wa kisiasa Zanzibar, hatimaye jana aliweka bayana msimamo wake akisema hataingilia kwa kuwa anaheshimu utawala wa sheria.

“Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ni huru kwa mujibu wa Kat iba ya Zanzibar kifungu kati ya 112 au 115. Lakini kama ilivyo kawaida Tume huru ya uchaguzi duniani haiwezi kuingiliwa na rais yoyote. Ni kama ilivyo ZEC na (Tume ya Taifa ya Uchaguzi) NEC ndivyo ilivyo,” alisema Rais.

Alisema uamuzi wa ZEC kufuta uchaguzi Zanzibar na kisha kutangaza tarehe ya marudio, hauwezi kuingiliwa na mtu yeyote, akisisitiza kuwa wanaotaka tafsiri ya kisheria juu ya uamuzi wa ZEC, waende mahakamani.

“Mahakama ipo hutaki kwenda halafu unasema Magufuli ingilia! Nenda mahakamani ukapewe tafsiri ya haki. Siingilii na nitaendelea kukaa kimya. Jukumu langu ni kuhakikisha usalama wa Zanzibar, Pemba na Tanzania unaimarika,” alisema.

“Ukifanya “fyokofyoko” katika eneo lolote nchini, utashughulikiwa na vyombo vya ulinzi na usalama.”

Mgogoro wa kisiasa Zanzibar uliibuka baada ya ZEC kufuta matokeo ya uchaguzi wa rais, wawakilishi na madiwani kwa maelezo kuwa sheria na kanuni zilikiukwa na baadaye kutangaza Machi 20 kuwa siku ya kupiga kura upya.

Wakati mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salim Jecha akitangaza kufuta matokeo siku ambayo alitakiwa amtangaze mshindi wa kiti cha urais, tayari matokeo ya majimbo 31 yalikuwa yameshatangazwa huku majimbo tisa yakiwa yameshahakikiwa. Pia washindi wa viti vya uwakilishi na udiwani walishatangazwa na kupewe hati za ushindi.

Chama kikuu cha upinzani Zanzibar, kimepinga ZEC kufuta matokeo kikisema ni kukiuka katiba kwa kuwa ushindi unapingwa mahakamani tu na kimejitoa kwenye uchaguzi wa marudio huku kikimtaka Rais Magufuli aingilie katika kutatua mgogoro huo mezani.

“Sitaingia suala la Zanzibar,”alisema Magufuli.

Akizungumzia mabadiliko ambayo Serikali yake inayafanya, Rais alisema yana changamoto zake ambazo zinaweza kuwagusa baadhi ya watu, lakini akasema watakaoguswa ni wachache kwa faida ya wengi.

“Tanzania haitakiwi kuwa na wanafunzi wanaokaa chini, watu kukosa maji, Muhimbili watu kulala watano kitandani. Tanzania hii ina neema ila lazima tutambue wapo watu wachache waliotufikisha hapa,” alisema.

Alisema mabilioni ya fedha za Watanzania yanatumika hovyo.

“Ifike mahali Watanzania tujiulize tumemkosea nini Mungu? kwa nini asitusamehe kwa makosa tuliyoyafanya. Serikali imejitoa sadaka kwa ajili ya Watanzania,” alisema.

“Ndani ya Serikali tumejipanga, anayetaka kutukwamisha tutambomoa kwa faida ya Watanzania, hasa wanyonge. Haiwezekani kila mahali unapokwenda ukute wananchi wanalia wakati nchi ina rasilimali za kila aina.”

Ufisadi 
Katika hotuba yake ambayo mara kwa mara alikuwa ikikatishwa na shangwe za wananchi, Dk Magufuli alianza kuzungumzia ufisadi, akisema katika siku 100 ambazo amekaa madarakani, wamejifunza mengi na kukumbana na changamoto lukuki.

“Wapo watu katika nchi hii kwao fedha sio tatizo, fedha hizo hawajazipata kwa uhalali wamezipata kutoka kwa masikini wanaohangaika . Kila tulipokuwa tunagusa kuna maajabu,” alisema 

Alisema alimtuma Majaliwa kwenda bandarini na Katibu Mkuu wa Tamisemi kwenda wilayani Bariadi na wakakumbana na madudu.

“Akiwa Bariadi alikuta barabara ya kilomita moja imejengwa kwa Sh2 bilioni tena ni barabara ya halmashauri ya wilaya. Mimi nimekaa Serikalini sijawahi kujenga barabara kuu ya kilomita moja kwa Sh2 bilioni, ila hii ya halmashauri imejengwa kwa kiasi hicho?” alihoji.

“Barabara ya kilomita nne na nusu ya Halmashauri ya Bariadi imejengwa kwa Sh9.2 bilioni, wakati mkuu wa mkoa, wilaya, mkurugenzi na mhandisi yupo.

 “Ninapozungumza kutumbua majibu, Watanzania mtuunge mkono tuyatumbue kwelikweli.”

Alisema kiwango hicho cha fedha kingeweza kutengeneza kilomita 22 hadi 23 za lami.

Wizi bandarini 
Akizungumzia wizi wa mafuta bandarini alieleza kushangazwa na kitendo cha mita za mafuta kutofanya kazi kwa miaka mitano.

“Waziri Mkuu alikwenda bandarini na kukuta flow meter ya kupimia mafuta yanayoingia nchini haifanyi kazi kwa miaka mitano,” alisema.

“Mafuta yanaingia nchini yanagawiwa kwa watu na ndiyo maana mnaona kutoka Dar es Salaam kwenda Kibaha kila mahali kuna sheli (vituo vya mafuta).”

Kutokana na wizi huo wa mafuta, juzi Majaliwa alimsimamisha kazi mtendaji mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) na meneja wake wa kitengo cha bandari kupisha uchunguzi.

Alisema fedha ambazo zingepatikana kama mafuta hayo yangepimwa na kulipiwa kodi zingeweza kutumika kununua dawa hospitali, kusomesha wanafunzi bure na kujenga barabara.

“ Hiyo ndiyo Tanzania tuliyoikuta sisi. Mifano ni mingi ya kila aina,”alisema. 

Madudu muhimbili 
Alisema alitembelea Muhimbili na kusimamishwa na akinamama waliomtaka aende wodi ya wanawake, lakini wasaidizi wake wakamzuia.

“Walinizuia ila nilikataa. Niliwambia naenda hukohuko na niliyoyakuta ni maajabu,” alisema.

Alisema katika wodi namba 36, alikuta maji kutoka chooni yanavuja huku akina mama wakiwa wamelala chini, watano kwenye godoro moja.

“Ukiwa unaenda Muhimbili jirani kuna jengo la ghorofa tatu, linatumika kama ofisi ya uzazi na watoto. kuna wafanyakazi 70. Ukisogea mbele zaidi kuna jengo lilianza kujengwa tangu utawala wa Serikali ya Awamu ya Pili mpaka leo halijaisha,” alisema.

“(Rais wa Serikali ya Awamu ya Pili, Ali Hassan) Mwinyi hakulimaliza, akaja (wa Awamu ya Tatu, Benjamin) Mkapa hakulimaliza, akaja (wa Awamu ya Nne, Jakaya) Kikwete hakulimaliza na sasa nipo mimi bado halijaisha.”

Alisema inashangaza kuona viongozi wa hospitali hiyo wakishindwa kumfukuza mkandarasi anayejenga jengo hilo ambaye ni Masasi Construction Engineering .

Alisema alipokuwa Waziri wa Ujenzi alifukuza makandarasi 3,000, lakini akashangazwa kuona jengo la ghorofa nne likijengwa zaidi ya miaka 20.

“Nadhani jengo hili limeweka rekodi duniani,” alisema.

Alisema jengo hilo likimalizika linaweza kuchukua watu 342, lakini hivi sasa lina watu 100, waliopo eneo la chini la ghorofa hilo, halina umeme wala maji.

Alisema Muhimbili kuna jengo la Taasisi ya Tiba ya Mifupa ya Muhimbili (Moi), kuna jengo la ghorofa sita lililoanza kujengwa miaka minne iliyopita, lakini mpaka leo halijamalizika kutokana na mvutano kati ya Moi na mkandarasi anayetaka kulipwa Sh9 bilioni.

“Wamechukua wagonjwa wachache na kuwaweka ghorofa ya kwanza hadi ya tatu. Lina jenereta ila haijafungwa. Hiyo ndiyo Tanzania,” alisema.

Alisema ameshatoa maagizo kwamba ndani ya siku mbili wafanyakazi hao 70 waondolewe kwenye jengo hilo linalotumika kama ofisi na badala yake viwekwe vitanda vya wagonjwa. 

“Sasa Waziri wa Afya na Katibu Mkuu watajua watawatafutia wapi pa kuwapeleka. Wanaweza kuwapeleka pale wizara ya Afya wakakae nao huko. Ndani ya siku mbili hizohizo ofisi hiyo ijae vitanda na akina mama waliokuwa wanalala chini wahamishiwe kwenye jengo hilo,” alisema.

Alisema ili Tanzania isiwe ombaomba lazima viongozi wajifunze kutokukubali kulea makosa.

“Kama ni majipu tutayatumbua kwelikweli. Likienda kichwani tutalitumbua, likienda kifuani tutalitumbua, likienda mgongoni tutalitumbua ili mradi majipu yaishe na Tanzania iende mbele,” alisema.

Tanzania bila mapato haiwezekani
 Alisema Tanzania haiwezi kuendelea bila kuwa na mapato yake.

“Wafanyabiashara wamekuwa wakikwepa kulipa kodi. Mara ya kwanza tulipoanza kuchukua hatua tulipata zaidi ya Sh1 trilioni, mwezi uliofuata tulipata Sh1.592 trilioni na Januari tulikusanya Sh1.063 trilioni,” alisema.

Alisema Serikali ya Awamu ya Tano inataka kuona fedha hizo zikiwahudumia wananchi masikini.

“Zipo kejeli nyingi, wanasema ni nguvu ya soda. Hata kama ni soda ukiweka gongo utalewa. Hii ni soda ‘special’ ambayo tumedhamiria kufanya kazi kwa ajili ya Watanzania. Haiwezekani nchi tajiri kama Tanzania tuwe ombaomba, inatakiwa iwe inaombwa misaada,” alisema.

Aliwataka Watanzania kujenga utamaduni wa kulipa kodi na kudai risiti kwa kila manunuzi wanayoyafanya.

Kukwama kwa mradi wa umeme 
Kuhusu mradi wa umeme wa gesi wa Kinyerezi 2 uliokwama tangu mwaka 2012, alisema wafadhili kutoka Japan walitoa dola 292 za Marekani na Serikali ya Tanzania ilitakiwa kuchangia asilimia 15 ya fedha hizo.

Alisema mradi huo utaingiza zaidi ya megawati 240 za umeme.

“Fedha hizo tumezitoa na kampuni kutoka Japan imeshaanza kazi na mwezi ujao tunakwenda kuweka jiwe la msingi. Mradi wa ujenzi wa barabara ya juu Dar es Salaam mkandarasi ameshaanza kazi na fedha za awali ameshalipwa,” alisema.

Alisema upembuzi yakinifu wa mradi wa barabara ya njia sita kutoka Dar es Salaam kwenda Chalinze, umeshamalizika na kuna kandarasi zaidi ya 12 wameshaomba zabuni.

“Katika kipindi hikihiki cha awamu ya tano itajengwa ili tuwe na barabara ya njia sita kupunguza msongamano wa magari,” alisema.

Rais pia alidokeza kuhusu mradi wa ujenzi wa daraja la urefu wa kilomita saba litakalopita baharini kutoka ufukwe wa Coco hadi Hospitali ya Aga Khan, akisema Serikali imeshapata zaidi ya Sh260 bilioni.

“Kuhusu barabara ya Mbagala rangi tatu kuja mjini (Posta), nilikuwa nazungumza na ubalozi wa Japan wapo katika utaratibu wa kutangaza tenda,” alisema.

Pia alizungumzia ujenzi wa barabara za juu zitakayojengwa kwenye makutano ya Ubungo.

Alisema makutano hayo yatakuwa na ghorofa tatu ambazo zitakuwa na barabara zinazokutana eneo hilo ili kuondoa tatizo la foleni.

“Benki ya Dunia imekubali kutoka Sh67 bilioni kujenga interchange (mzunguko wa juu wa barabara) ya ghorofa tatu pale Ubungo, nina uhakika watani zangu wazaramu watakwenda pale kufunga ndoa,” alisema.

Kuifufua ATCL 
 Alisema Serikali ina mpango wa kufufua Shirika la Ndege (ATCL), ambalo hivi sasa lina ndege moja lakini limeajiri wafanyakazi 200.

Alisema kwa sasa wanakusanya fedha za kutosha ili kuweza kununua ndege aina ya Airbus yenye uwezo wa kuchukua kuanzia abiria 120 na kuendelea, akisema bei yake ni takriban Sh140 bilioni.

“Mkijipanga mnaweza kuwa mnanunua ndege moja kila mwezi,”alisema. 

Elimu bure 
Akizungumzia changamoto ya elimu bure alisema wanafunzi walioanza darasa la kwanza nchini mwaka huu ni 1,337,000, jambo ambalo alisema linaonyesha kuwa wananchi walikuwa wakishindwa kuwapeleka watoto wao shule kwa sababu ya kukithiri kwa michango.

Alisema changamoto zilizojitokeza baada ya Serikali kuanza kutoa elimu bure watazimaliza, ikiwa ni pamoja na kutenga fedha nyingi zaidi kwa ajili ya kuzipeleka katika shule.

Aliwashukuru wananchi ambao wameanza kujitokeza kuchangia ujenzi wa madarasa na kumsifu Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa kuendesha harambee ya kuchangia ujenzi wa shule.

Awashukia wakuu wa mikoa na wilaya
 Dk Magufuli pia alizungumzia utendaji wa wakuu wa wilaya na mikoa na wakurugenzi wao, akiwataka kutathmini hali ilivyo kwenye shule na ofisi zao.

“Kama unajua kujipima vizuri, ujitambue kuwa hutoshi kuwa kiongozi. Sijateua wakuu wa mikoa, wakuu wilaya na wakurugenzi ili niendelee kuwachambua vizuri (waliopo) ni nani anatosha na nani hatoshi,” alisema..

“Kutosha kwao ni lazima wajipange watatatua vipi kero za wananchi. Lazima ifike mahali viongozi tujue jukumu letu. Unapopewa jukumu la uongozi wewe ni mwakilishi wa wanyonge.”

Huku akiwataka Watanzania wa kada zote nao kujipima walichoifanyia nchi ndani ya siku 100, alisema haingii akilini kiongozi kusimama na kusema chakula hakuna wakati mvua inanyesha kila mkoa nchini.

“Kiongozi umeshindwa hata kuhamasisha watu walime. Natoa wito kwa viongozi wenzangu. Katika mkoa, wilaya au tarafa itakayokuwa haina chakula kwa mwaka huu ambao mvua inanyesha, ajitambue hafai kuongoza katika nchi,” alisema.

Alisema aliahidi kuwalipa wazee waliolitumikia taifa lakini jambo hilo haliwezekani kama kutakuwa na vijana wanaoshinda mitaani bila kufanya kazi.

“Najua mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, wakuu wa mikoa wenzako watakuuliza nitateua lini wakuu wa mikoa na wilaya. Kwanza tarehe ya kuteua hawataijua na ninaendelea kuwachambua,” alisema Magufuli.

“Lakini angalau Makonda umeshajihakikishia walau utakuwepo ila na wewe usiende kulala, endelea kufanya juhudi. “Ukipanda cheo watu wasikuonee wivu.”

Alisema Makonda amejijengea heshima kubwa kwa kuhamasisha watu wa kada mbalimbali kumaliza changamoto za kuongezeka wa wanafunzi, uhaba wa madarasa na madawati.

Kuhusu changamoto za elimu bure, Rais alisema asilimia 80 ya viongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano wanaishi Dar es Salaam, akiwamo yeye, waziri mkuu, mawaziri, makatibu wakuu na naibu spika.

“Wao wakitoa milioni moja moja zinafika milioni 82 na zitabaki milioni 18, lakini kuna Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na mimi. Tuigawane hii na kila mmoja achangie Sh6 milioni itimie Sh100 milioni na tutaileta kwenye uongozi wa mkoa wa Dar es Salaam,” alisema.

Alisema kwa mamlaka aliyonayo ataongeza Sh2 bilioni na kumtaka mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kutozitumia vibaya, akitaka zigawanywe kwa kila wilaya ili zijengwe shule za kutosha kufidia wanafunzi wanaokaa chini. 

Afagilia vyombo vya habari 
Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tano pia alizungumzia vyombo vya habari ambavyo alisema vimefanya kazi kubwa na kuisaidia Serikali.

“Hata sisi huwa tunafuatilia. Mfano katika gazeti la Jamhuri waliweka michoro fulani mpaka sisi (Serikali), tukajiuliza wamejuaje tunachotaka kukifanya?” alisema.

==>Hii ni Hotuba Ya Rais Magufuli.Msikilize Akiongea

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Februari 15

Maofisa wa Wizara ya Afya Wahama Muhimbili Kutekeleza Agizo La Rais Magufuli

0
0

AGIZO la Rais John Magufuli la kuibadilisha jengo la maofisa wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, limetelekezwa baada ya jana maofisa hao kuondoa vifaa vyao.
 
Tangu jana asubuhi maofisa wa wizara hiyo Kitengo cha Afya ya Uzazi na Watoto wakiongozwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk Mpoki Ulisubisya walikuwa wakiondoa vifaa na kupakia kwenye magari.
 
“Ikifika jioni vifaa vyote vitakuwa vimeondolea ndani na katika eneo hili,” alisema Ulisubisya na kueleza kuwa ofisi hizo zitahamia wizarani Barabara ya Sokoine jijini Dar es Salaam.
 
Akizungumza baada ya kukagua uondokaji wa maofisa hayo, Waziri Ummy Mwalimu alisema agizo la Rais limetekelezwa na kusisitiza kuwa hakuna mgonjwa atakayelala chini.
 
Alisema pamoja na kuwa kazi ya kulipangia matumizi jengo hilo ni ya uongozi wa Muhimbili, uongozi wake utasimamia kuhakikisha jengo hilo lenye ghorofa tatu linatumika kama wodi katika kupunguza msongamono katika wodi ya wazazi.
 
Mwalimu alisema baada ya kuhamishwa maofisa hao, kinachofuata ni kufanya ukarabati wa kuongeza vyoo na mabafu ili yaendane na viwango vya wodi inavyotakiwa na baadaye kuwekwa vitanda takribani 300.
 
Akitoa maelezo kwa Waziri, Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Lawrence Museru alisema katika kutatua tatizo hilo kwa muda wameamua kutumia ghorofa ya chini, ambayo ilikuwa ikitumika kama kliniki ya wajawazito na watoto chini ya siku 30 na kuweka vitanda kwa ajili ya wagonjwa 50.
 
“Mpaka leo (jana) tulikuwa na wagonjwa 50 waliokuwa wamelala chini, hivyo tumeamua kutumia eneo lililokuwa likitumiwa kama kliniki kuwa wodi kwasababu ya kuwa na vyoo na mabafu. Baada ya maofisa wa wizara kuondoka, eneo la chini la jengo la ghorofa tatu litatumika kama kliniki,” alisema Profesa Museru.
 
Naye Asha Twalib aliyekuwapo hospitalini hapo kumuona mgonjwa wake, alipongeza juhudi za Rais Magufuli katika kuboresha sekta ya afya nchini.
 
Rais Magufuli ambaye alisimamishwa na akina mama hospitalini hapo na kutembelea wodi ya wazazi wiki iliyopita, alitoa siku mbili kwa maofisa 70 wa wizara Kitengo cha afya ya Uzazi na Mtoto kuhama katika jengo hilo na kuhamishia wazazi ili kila mzazi apate kitanda cha kulala.
 
“Nimeshatoa agizo lile jengo la ofisi la uzazi ndani ya siku mbili wahame...wakiweza wakakae na Waziri (Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto).

 “Ndani ya siku mbili hizo hizo, pawe na vitanda na wale akinamama (wajawazito wanaolala watano kitanda kimoja), wahamishiwe kule,” alisema Rais Magufuli alipozungumza na Taifa juzi kupitia kwa wazee wa Dar es Salaam kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee akitimiza siku 100 tangu aingie Ikulu ya Magogoni.

CUF: Maalim Seif Sharif Hamad Akishinda Uchaguzi wa Marudio Zanzibar Hatakubaliana Na Matokeo

0
0

Chama cha Wananchi (CUF) kimesema ikitokea Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad ameshinda kwa kupigiwa kura na akaibuka mshindi wa kiti cha urais katika uchaguzi wa marudio utakaofanyika Machi 20, hatakwenda kuapishwa. 
 
Kimesema kuna uwezekano mkubwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), ikaweka jina la Maalim, wawakilishi na madiwani katika karatasi za kupigia kura na kusisitiza, ikitokea hivyo na wagombea hao wakapigiwa kura, wote hawataenda kuapa.

“Kama wagombea wetu wakichaguliwa na ZEC ikawatangaza washindi itakuwa ni kazi bure. Pia, CUF hatutakwenda mahakamani kufungua kesi ya kikatiba kupinga hatua ya mwenyekiti wa ZEC kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25,” Kaimu Katibu Mkuu wa CUF, Nassor Ahmed Mazrui aliwaambia waandishi wa habari jana.

Oktoba 28, mwaka jana mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salim Jecha alifuta matokeo ya uchaguzi wa rais, wawakili shi na madiwani kwa maelezo kuwa sheria na kanuni zilikiukwa na baadaye kutangaza Machi 20 kuwa siku ya kupiga kura upya.

Mazrui alisema licha ya CUF kuiandikia barua ZEC, ikitaka wagombea wake wote kuondolewa katika orodha ya karatasi ya kupigia kura, kuna uwezekano mkubwa wa majina hayo kutoondolewa.

“... Sisi tumeshaipelekea ZEC barua 54 za wawakilishi na madiwani walioshindwa au kushinda katika uchaguzi wa Oktoba 25 na kuwaeleza kuwa wawaondoe katika karatasi za uchaguzi wa marudio. 

"Hata kama wananchi watamchagua Maalim Seif kwa asilimia 90 hawezi kwenda kuapishwa. Kufanya hivyo ni sawa na kukataa kula nyama ya nguruwe lakini mchuzi wa nyama hiyo unaunywa.”

Mazrui ambaye alitangazwa mshindi wa uwakilishi wa jimbo la Mtopepo, kabla ya kufutwa kwa matokeo hayo alisema, “Hatuna shida na uchaguzi wao, tumekosa nini mpaka tuwe na shida nao?”

Alisema CCM inadhani kwamba CUF itajitosa kushiriki uchaguzi huo wa marudio katika dakika za mwisho; “wanachotakiwa kujua ni kwamba hatuingii katika uchaguzi wao wawe na amani yote.”

Akizungumzia kauli ya Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu kwamba CUF walipaswa kupinga kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi, siku 14 baada ya kutangazwa, Mazrui alisema kauli hiyo imedhihirisha kuwa hata wakienda mahakamani hakuna haki itakayotendeka.

“Ameshatoa hukumu kabla hata kesi haijafunguliwa. Muda wa siku 14 aliousema unahusu ukomo wa kupeleka kesi ya uchaguzi Mahakama Kuu. Kesi ya uchaguzi msingi wake mkubwa ni uamuzi wa msimamizi wa uchaguzi ambao CUF na wajumbe wateule hatuna tatizo nao,”
alisema.

“Hakuna anayetaka atangazwe mshindi kati ya wagombea wote wa CUF kwa kuwa walitangazwa kihalali na wasimamizi wa uchaguzi na kupewa vyeti. 

"Aliyehujumu uchaguzi si ZEC ni Jecha. Sisi kesi tunayoweza kufungua ni ya kikatiba si kupinga matokeo na kesi ya kikatiba haina muda wa kufungua kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar.”

Alisema kutokana na kauli ya Makungu, CUF imewashauri wajumbe wa Baraza la Wawakilishi waliokuwa na nia ya kupeleka shauri mahakamani kuachana na wazo hilo kwa maelezo kuwa Jaji Makungu ameshaandaa hukumu na kuisoma hadharani.

ACT-Wazalendo Wapinga Uchaguzi wa Marudio Zanzibar........Wamtaka Rais Magufuli Afute Posho za Makalio Na Matumizi Ya Magari Ya Anasa

0
0
Maazimio Ya Kamati Kuu Ya ACT-Wazalendo Kufuatia Kikao Chake Kilichofanyika Jumamosi 13 Februari 2016 Katika Hoteli Ya Kagame Jijini Dar Es Salaam

Kamati Kuu ya Chama cha Wazalendo (ACT-Wazalendo) ilifanya kikao chake cha kawaida siku ya Jumamosi tarehe 13 Februari 2016 katika Ukumbi wa Hoteli ya Kagame Jijini Dar es Salaam. 

Pamoja na mambo mengine, Kamati Kuu ilijadili, kutolea maoni na kuazimia mambo yafuatayo yanayohusu chama na Taifa kwa ujumla.

1. Kamati Kuu ilijadili na kuzingatia hali ya kisiasa nchini na kutolea maoni mambo yafuatayo:

a. Kamati Kuu iliwapongeza wananchi na Tume ya Taifa Uchaguzi (NEC) kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa amani kwa upande wa Jamhuri Muungano wa Tanzania. Hata hivyo, Kamati Kuu inalaani kitendo cha Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa Zanzibar za kuvuruga zoezi la kukamilisha kujumlisha matokeo ya kura zilizopigwa katika uchaguzi huo.

b. Kamati Kuu ilipokea na kujadili utendaji wa serikali ya awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais John Pombe Joseph Magufuli na kuzingatia yafuatayo:

i. Kamati Kuu imetambua jitihada za serikali ya Dk Magufuli katika kupambana na rushwa na ufisadi nchini kupitia dhana ya kile anachokiita ‘kutumbua majipu’. Hata hivyo, Kamati Kuu imezingatia kuwa bado hali ya maisha ya wananchi imeendelea kuwa ngumu kama inavyothibitishwa na kuendelea kupanda kwa bei ya bidhaa muhimu kwa maisha ya binadamu kama vile sukari, mchele, na mafuta ya kula. Aidha, pamoja na bei ya mafuta kuendelea kushuka kwa kasi katika soko la mafuta duniani, bei ya mafuta hapa nchini imeshuka kwa kiwango kidogo kisicholingana na kiwango cha kushuka katika soko la dunia.

ii. Pamoja na kwamba chama chetu kinaunga mkono juhudi za kuwachukukia hatua za kinidhamu watumishi wa umma wenye tuhuma za rushwa na ubadhirifu wa mali za umma, tunasisitiza kwamba juhudi hizo lazima zifanywe kwa kuzingatia misingi ya utawala wa sheria, utawala bora na utu.

Aidha, serikali ya Rais Magufuli haijajikita katika kuleta mabadiliko ya kimfumo, ikiwemo: kubadili mikataba ya kinyonyaji ya raslimali kama vile madini na mafuta; kufuta posho za makalio katika mfumo wa utumishi wa umma ikiwemo Bunge; kuachana na matumizi ya magari ya anasa (mashangingi); tunaendelea kuagizi sukari nje; hakuna mpango wa kuifanyia mabadiliko TAKUKURU; na serikali haielekei kama itashughulikia suala la Katiba Mpya ambayo ndiyo ajenda kubwa kwa miaka mingi sasa.

2. Kamati Kuu imepokea na kujadili hali ya kisiasa katika visiwa vya Zanzibar na kuzingatia na kuazimia yafuatayo:

a. Kamati Kuu imeendelea kusisitiza kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Ndugu Jecha Salumu Jecha, hakuwa na uhalali wa kisiasa, kikatiba na kisheria kufuta zoezi lililokuwa linaendelea la kuhesabu kura mnamo tarehe 28 Oktoba 2015.

Dalili zote za kisiasa zinaonyesha kwamba Ndugu Jecha alichukua hatua alizochukua kwa shinikizo na/au mapenzi ya kisiasa kwa lengo la kuzuia ushindi wa chama kimojawapo ulioelekea kuwa dhahiri.

Kamati Kuu imezingatia pia kuwa, mbali na Chama cha Mapinduzi, waangalizi wote wa uchaguzi wa ndani na nje, pamoja na Jumuiya ya Kimataifa, ikiwemo Jumuiya ya Afrika Mashariki, wametamka bayana kwamba uchaguzi wa Zanzibar ulifanyika katika mazingira ya haki, huru na demokrasia na matokeo ya uchaguzi huo yalizingatia utashi na matakwa ya wapiga kura wa Zanzibar.

Kwa kuzingatia haya, Kamati Kuu imeazimia yafuatayo:

i. Kupinga marudio ya uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 20 Machi 2016 na kwamba Chama chetu cha ACT-Wazalendo hakitashiriki katika uchaguzi huo

ii. Kutoa wito maalumu kwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kuchukua hatua stahiki kwa mamlaka aliyepewa kikatiba kuhakikisha kwamba Umoja na Amani ya Taifa inaendelea kuimarika nchini kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, utawala wa sheria na utawala bora.

iii. Kamati kuu ya ACT-Wazalendo,inataka madiwani na wawakilishi walioshinda na kutangazwa rasmi na ZEC katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 25/2015 watambuliwe na waanze kuwatumikia wananchi.
 
Kwa sababu wawakilishi na madiwani waliotangazwa na ZEC ni halali kwa mujibu wa katiba, sheria na kanuni za Uchaguzi wa Zanzibar

iv. Kamati Kuu inaamini kwamba suluhu ya mkwamo wa kisiasa Zanzibar ni kufanya mazungumzo yatakayojumuisha wadau wote muhimu katika mchakato wa uchaguzi wa Zanzibar. Hatuamini kwamba mkwamo huu utatuliwa kwa vitisho vya kidola.

3. Kamati Kuu imepokea, kujadili na kupitisha taarifa ya uchaguzi wa chama na kuzingatia yafuatayo:

a. Kamati Kuu imewapongeza na kuwashukuru wananchi waliojitokeza kupiga kura na kukiunga mkono chama na hata kufanikiwa kumpata mbunge mmoja, madiwani 41 katika mikoa mbalimbali, na kuongoza Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji

b. Kamati Kuu imepitisha taarifa ya mapato na matumizi katika uchaguzi mkuu ambapo chama kilipokea na kutumia shilingi 656,625,000/=.Taarifa hii inawekwa wazi kwa umma kama tulivyoahidi kwa kuzingatia tunu yetu ya uwazi

c. Kamati Kuu imevipongeza vyombo vya habari kwa kazi kubwa waliofanya katika kuwaelimisha wananchi kuhusu uchaguzi mkuu na kwa kufanya kazi kwa weledi na bila ubaguzi

4. Kamati Kuu imejadili na kupitisha Mkakati wa Chama kwa kipindi cha miaka mitano 2016-2020.

Mkakati huu unalenga kukiimarisha chama katika maeneo matano yafuatayo:

i) Kuimarisha safu ya uongozi na watendaji katika ngazi zote
ii) Kuimarisha mfumo wa mawasiliano ya ndani na kwa umma
iii) Kuibua na kushiriki katika miradi mbalimbali ya maendeleo ya wananchi kwa kuwashirikishi wananchi
iv) Kuimarisha mahusiano na vyombo vya habari
v) Kujiandaa kikamilifu na kimkakati kwa chaguzi za serikali za mitaa wa mwaka 2019 na uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, na chaguzi ndogo zitakazojitokeza.

5. Ili kutekeleza kikamilifu Mkakati wa Chama, pamoja na hatua zingine, Kamati Kuu imeziunda upya Kamati za chama makao makuu kama ifuatavyo:

i) Kamati ya Fedha na Miradi ya Kujetegemea
ii) Kamati ya Utafiti, Sera na Mipango
iii) Kamati ya Uadilifu, Ulinzi na Usalama wa Chama
iv) Kamati ya Katiba, Sheria na Mambo ya Nje
v) Kamati ya Itikadi, Mawasiliano na Uenezi
vi) Kamati ya Maendeleo ya Jamii
vii) Kamati ya Mafunzo na Chaguzi
viii) Kamati ya Wabunge na Uendeshaji wa Serikali za Mitaa

Kamati kuu imeiagiza sekretariet ya chama kuanza utekelezaji wa mpango mkakati, ili kukiandaa chama kwa Uchaguzi ujao na uchaguzi mbali mbali

Pia kamati kuu inawahimiza wanachama waendelee na juhudi za ujenzi wa Chama na kutunza amani ya nchi.

Zitto Ruyagwa Kabwe
Kiongozi wa Chama
14/02/2016

Polisi Watwangana Chupa za Bia Baa

0
0

Kigogo mmoja katika Kituo cha Polisi Kachwamba, wilayani Chato, mkoani Geita, anadaiwa kumjeruhi vibaya askari mwenzake baada ya kumshambulia kwa chupa ya bia wakiwa kwenye baa.

Kituo hicho cha polisi kipo kata ya Kachwamba, nje ya makao makuu ya wilaya ya Chato, lakini wakati tukio hilo  likifanyika kigogo huyo alikuwa Chato mjini.

Askari aliyejeruhiwa, PC Deus Sigera wa kitengo cha upelelezi katika kituo cha polisi Chato, amedaiwa kujeruhiwa kwenye paji la uso pamoja na shavuni na eneo la mdomo aliumia vibaya.

Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia juzi wakati polisi hao wakipata kinywaji kwenye baa moja iliyopo Chato mjini.

Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo na aliyeamulia ugomvi huo kabla ya kutakiwa kwenda kutoa maelezo polisi, Sunday Baregu, ambaye pia ni ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Chato, amesema  kuwa wawili hao walianza kwa kujibizana kwa maneno makali.

Alisema baada ya majibizano hayo, kigogo huyo wa polisi alichukua chupa ya kinywaji alichokuwa akikitumia kisha kumshambulia mwenzake usoni na shavuni kabla ya kusaidiana na wasamaria wema kuamua ugomvi huo na kumwahisha hospitali kwa matibabu.

“Ni kweli niliamulia ugomvi huo na baadaye kuongozana na aliyejeruhiwa kwenda kutoa maelezo polisi na kupewa PF3 (hati ya matibabu), lakini kwa taarifa zaidi labda liulize Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita kwa kuwa mimi siwezi kulizungumzia hilo,” alisema.

Hata hivyo, habari kutoka vyanzo mbalimbali zinaarifu kuwa  baada ya tukio hilo kigogo huyo alikamatwa na kuswekwa mahabusu wakati mwenzake, PC Deus akiendelea kupata matibabu kwenye Hospitali ya Wilaya ya Chato.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Latson Mwabulambo, alipoulizwa kuhusu tukio hilo alisema bado hajapokea taarifa rasmi kutoka kwa wasaidizi wake na kwamba wanaendelea na upelekezi wa tukio hilo.

Aidha, alidai kuwa hakuwa ofisini kwake kwani alikwenda kata ya Manyovu Runzewe kwa shughuli za kikazi.

Credit:Nipashe

Serikali Ya Zanzibar Yasema Haiko Tayari Kurejea Kwenye Meza Ya Mazungumzo Na CUF Kwa Sasa

0
0

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, amesema hakuna sababu za msingi za kurejewa kwa mazungumzo ya kutafuta muafaka wa mkwamo wa uchaguzi mkuu wakati Zec tayari imetangaza kufanyika uchaguzi wa marudio Machi 20, mwaka huu.

Balozi Seif ametoa msimamo huo wa serikali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Ndege wa Pemba baada ya kumalizika kwa ziara yake ya siku tatu Kisiwani Pemba jana.

Alisema mazungumzo ya pamoja kati ya Rais wa Zanzibar, Dk. Shein na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad,  kuhusu kufutwa kwa uchaguzi mkuu yalifanyika kwa maombi ya Maalim Seif na kwamba mwishowe yeye binafsi akaamua kujiondoka kwenye maendeleo ya vikao vya mazungumzo hayo.

"Kinacholikabili taifa kwa wakati huu ni suala la marejeo ya uchaguzi si njia nyingine, walioamua kutoshiriki uchaguzi huo wa marudio ni vema wakabakia nyumbani ili kutoa fursa kwa wenzao kushiriki kwa kutumia haki yao ya kidemokrasia kuwachagua viongozi wanaowataka," alisema.

Balozi Seif alisema hata kwa upande wake anaheshimu maamuzi ya Zec ambayo hayawezi kuingiliwa na chombo chochote licha ya kwamba tayari alikuwa ameshashinda Jimbo la Mohanda na kupewa cheti kinachothibitisha kuwa mwakilishi wake.

“Tupo tuliokwishashinda kwenye chaguzi zetu za majimbo na kupewa vyeti vinavyotuthibitisha, lakini baadhi yetu kwa nini tuendelee kushutumu maamuzi ya tume ambayo kutokana na sababu za msingi imeeleza kulijitokeza dosari kadhaa kwenye zoezi zima na kulazimika kufuta matokeo na uchaguzi wote,” alisema Balozi Seif.

Akizungumzia uvumi uliojitokeza wa kuwapo kikundi cha vijana wanaopiga watu katika badhi ya maeneo maarufu kama 'Mazombi', Balozi Seif alisema hana taarifa yoyote iliyomfikia akiwa kama kiongozi wa juu wa serikali kuhusu shutma hizo.

Hata hivyo, alitoa agizo kwa vyombo vya ulinzi kufanya uchunguzi dhidi ya shutuma hizo na pale itakapobainika kuwapo kwa vitendo hivyo, juhudi za kuwakamata wahusika zichukuliwe na kuwafikisha mbele ya sheria.

Polepole: CCM Haina Mpinzani

0
0

Alikuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na Mwanaharakati, Humphrey Polepole, amesema CCM ndiyo chama pekee cha siasa nchini chenye misingi ya kuwatumikia wananchi ukilinganisha na vyama vingine vya siasa.

Alisema Jimbo la Iringa Mjini halikupaswa kwenda upinzani hivyo aliwataka viongozi wa CCM mkoani humo kujitathimini na kuona wapi walipoanguka ili waweze kulirudisha mwaka 2020.

Polepole aliyasema hayo jana wakati akifungua Kongamano la Shirikisho la Vyuo vya Elimu ya Juu la CCM mkoani humo.

Aliongeza kuwa, utendaji mzuri wa Serikali ya Rais Dkt. John Magufuli katika kutekeleza Ilani ya CCM, umedhihirisha wazi aina ya wana CCM ambao ni hazina wanaoweza kuleta maendeleo makubwa kwa jamii na nchi kwa ujumla.

Aliwataka wana CCM mkoani humo, kuanza kueleza mambo mazuri yanayofanywa na Rais Dkt. Magufuli katika utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Polepole alisema kinachofanywa na Rais Dkt.Magufuli juu ya kuwatumikia Watanzania, kimewafanya wananchi watambue hazina kubwa iliyopo ndani ya CCM.

"Katika Uchaguzi Mkuu 2015, CCM ilipata ushindi wa asilimia 58 ambao si mzuri sana tunaoweza kujivunia...nguvu iongezwe zaidi ili tupate ushindi wa asilimia 80 hadi 88.

"Njia pekee ya kuongeza ushindi wa CCM, lazima tufanye kazi ya kukijenga chama," alisema Polepole

Mke Wa Kafulila ( Jesca Kishoa ) Ataka Dr. Mwakyembe Naye Akamatwe Na Kufikishwa Mahakamani Kwa Kuhusika Na Sakata La Mabehewa Mabovu

0
0

Mbunge wa Viti Maalumu, mkoani Singida Jesca Kishoa(CHADEMA), amesema aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe na Katibu Mkuu wake, wanapaswa kufikishwa mahakamani katika sakata la mabehewa mabovu.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam,  Kishoa alisema viongozi hao, pia aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha wakati huo, naye afikishwe mahakamani kwa sababu ndiye alikuwa mlipaji Mkuu wa Serikali.

Alisema ni aibu Kiti cha Spika kumfukuza mbunge bungeni akidaiwa kuzungumza uongo kabla ya kudai ripoti ya mabehewa ili kujua ukweli wa jambo hilo ni upi.

Aliongeza kuwa, Katibu Mkuu huyo alilipa fedha asilimia 100 kinyume cha sheria wakati Dkt. Mwakyembe ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, aliruhusu mabehewa yanunuliwe.

"Aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi naye awajibishwe kwa kosa hilo kama Mtendaji Mkuu wa Wizara...mabehewa hayo yalipokewa kwa mbwembwe lakini kasoro zake zinatokana na zabuni ya utengenezaji wake kutozingatia viwango.

"Kampuni ya Hindustan Engineering haikufanyiwa uchunguzi kuhusu rekodi na uwezo wake, malipo yalifanyika kwa asilimia
100 kabla ya mabehewa hayajawasili nchini," alisema.

Alisema umma unashuhudia baadhi ya vigogo wa TRL wanafikishwa mahakamani kutokana na sakata la mabehewa hayo na kusisitiza sheria ichukue mkondo wake kwa wote waliohusika si  kuwashtaki wachache wakati Mawaziri wanaachwa.

Kishoa ambaye ni Mke wa aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila (NCCR-Mageuzi), alisema hakuna mtu mwenye uhakika kwamba mabehewa mabovu ni 25 kati ya 275.

"Nani ana uhakika kwamba waliokamatwa ndio wanahusika peke yao, haiwezekani Serikali ikajichunguza yenyewe, kujishughulikia yenyewe kwa kuamua nani imtoe kafara, nani imlinde wote, wote washtakiwe kama ilivyo kwa wengine," alisema Kishoa.

Kishoa alihoji kwanini ripoti ya mabehewa inaendelea kufichwa na haifikishwi bungeni ili Bunge liweze kuisimamia Serikali jambo ambalo halitoi picha kwa Bunge la 11.

Ujue Mfumo wa Nguvu za Kiume Unavyofanya Kazi Na Jinsi Ya Kukabiliana na Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume

0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani.

Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?

Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu

HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME

Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo :

Hatua  ya  kwanza, ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Na  hatua  ya  pili  ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION

JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA.

1. HATUA   YA  KWANZA:
DAMU  KUTIRIRIKA  KWA  KASI KUINGIA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME  NA  KUUFANYA  UUME  KUSIMAMA  NA  KUWA  MGUMU.

Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu iliyopo  kwenye  ubongo,  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo, ambayo  nayo  hupeleka  taarifa  hadi  kwenye  mishipa  ya  uume. 
 
Taarifa  inapofika  kwenye  mishipa  ya  uume  huifanya  mishipa hiyo  ku-relax  na  hatimaye   kufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka  na  kutanuka. Mishipa  ya  ateri  inapo  tanuka  na  kufunguka, huruhusu  damu  kuingia  kwa  kasi  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  huume  kusimama.

Ni  muhimu  kujua  kuwa, mishipa  ya  uume  inapo relax  hupelekea  kuisukuma na  hatimaye  kuiziba  mishipa  ya  vena  iliyo  karibu  na  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuiondolea  uwezo  wa  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.

N.B: Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili.  Au  kwa  lugha  nyingine  unaweza  kusema, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

2. HATUA  YA  PILI  :
DAMU  KUENDELEA  KUHIFADHIWA  KATIKA  UUME  WAKATI  UUME  UKIWA  UMESIMAMA  NA  HIVYO  KUUFANYA  UUME  UENDELEE  KUDUMU  KATIKA  TENDO LA NDOA   KWA  MUDA  MREFU.

Uume  ulio  simama, ili  uendelee  kusimama, ni  lazima  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo   wa  kunyonya  damu  kutoka  katika  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyinginezo  za  mwili. .

Mishipa  ya  Vena  ndio  inayo  husika  na  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume na  kupeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.  Ili  uume  uendelee  kusimama  lazima  mishipa  hii  ya  vena  iwe imezibwa. Ili  iweze  kuzibwa   ni  lazima  misuli  laini  ya  kwenye  uume  iwe - ime  relax na  hivyo  kuifanya  mishipa  ya  vena  kushindwa  ku  nyonya  damu  kutoka  kwenye  uume.

Endapo  mishipa  ya  vena  itazibuka , basi  itanyonya  na  kutoa  damu yote  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume uliosimama  na  kuipeleka  sehemu  nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  huo ulio simama  na  utasinyaa  mara  moja.

JINSI  UUME  UNAVYO  SIMAMA  NA  KUSISIMKA.
Tumeisha  zifahamu  hatua  mbili  muhimu  katika  kusimama  kwa  uume

Jinsi  Uume  unavyo  simama: Katika  uume  kuna chemba  yenye  mishipa  laini  sana, ambayo  ndio  huufanya  uume  kusimama.

Mishipa  hii  ipo kama  sponji  hivyo  huweza  kunyauka  na  kutanuka.

Damu  inapoingia  ndani  ya  mishipa  hii  huufanya  uume  kusimama  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Damu  inapoendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  mishipa  hii  wakati  wa  tendo  la  ndoa, huufanya  uume  uendelee  kusimama.

Mwanaume  unapo  patwa  na  wazo la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu  iliyo  kwenye  ubongo  hupeleka  ishara  kwenye  uti  wa mgongo, ambao  nao  hufikisha   taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume.

Taarifa  ikisha  fika  kwenye  mishipa  ya  uume, huifanya  mishipa  ya  uume  ku-relax  na  mishipa  ya  uume  inapo  relax, hufanya  mambo  makuu  mawili;

i. Kwanza  hufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka na  hivyo  damu  kutiririka  kwa  kasi  sana  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume

( Mishipa  ya  ateri  ndio  inayo  tumika  kama  njia  ya  kuingiza  damu  kwenye  uume. Bila  mishipa  ya  ateri  imara  na  yenye  afya, damu  haiwezi kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  damu  isipoweza kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, basi  uume  hauwezi  kusimama )

ii.Pili huibana  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuizuia    kunyonya  damu  kutoka  kwenye  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu nyingine  za  mwili. Matokeo  yake  kuufanya  uume  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Kumbuka ,kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  neva  iliyo  karibu  na  mishipa ya  uume, ni kunyonya  damu kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili. Kwa  lugha  nyingine, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume ulio simama.

Kadri  damu  inavyo  zidi  kuingia  ndani  ya mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo  zidi  kuwa  mgumu  na  kukakamaa.

Na  kadri  damu  inavyo  hifadhiwa  ndani  ya  mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo endelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa kwa  muda  mrefu.

Baada  ya  kumaliza  kufanya  tendo  la  ndoa,mishipa  ya  uume inarudi  katika  hali  yake  ya  kawaida (inanyauka ), ikisha  nyauka, mishipa  ya  ateri  inanyauka  pia, vena  zinafunguka  na  kunyonya  damu  katika  mishipa  ya  uume  na  kuirejesha  katika  sehemu nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  kurudi  katika  hali  ya  kawaida  ( Flaccid ).

Hali  hii  itaendelea  kujirudia  kwa  kadri  utakavyo  kuwa  ukiendelea  kufanya  tendo  la  ndoa.

Mambo  Muhimu  Katika  Kuufanya Uume  Usimame na  Kuendelea  kudumu  katika  kusimama  kwa  muda  mrefu wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ili  uume  uweze  kusimama  imara  kama  msumari na  uendelee  kusimama  imara  na  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo la  ndoa, ni  lazima  mambo  yafuatayo yawepo.

1.Mishipa ya   uume iliyo  imara  na  yenye  afya  njema.
2.Mfumo   mzuri  wa damu  katika   mwili  mzima.
3.Mtiririko  imara  wa  damu kuingia  na  kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume.
4.Ushirikiano  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume.

Ili  mwanaume  aweze  kuwa  imara  katika  tendo  la  ndoa, ni  lazima  mambo  manne  niliyo yataja  hapo  juu  yawe  sawa  sawa  bila  hitilafu  yoyote. Kinyume  chake, mwanaume  hawezi  kuwa  na  nguvu  za  kiume.

MAMBO   YANAYO SABABISHA   UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Tumeshajua   nguvu za  kiume  ni  nini, jinsi  uume  unavyo  simama, hatua  za  kusimama  kwa  uume, pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  uume  uweze  kusimama  na  kuwa  na  uwezo  wa  kuendelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ni  vyema  tukajua  mambo  yanayo  sababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume, mambo  yanayo  sababisha  uume  ushindwe kuendelea  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa   pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  mtu  ashindwe  kurudia  tendo  la  ndoa.

Yafuatayo  ni  mambo  yanayo  sababisha  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.

1. MAGONJWA  YANAYO  SHAMBULIA  MFUMO  WA  DAMU  PAMOJA  NA  MISHIPA  YA  DAMU.

Damu  ndio  nishati  inayo wezesha  kusimama  kwa  uume  na kuufanya  kuwa  mgumu na  imara  kama  msumari.

Damu  ndio  nishati  inayo weza   kuufanya  uume uendelee kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Damu  ndio  nishati  inayo  upa  uume  uimara  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  moja.

Hivyo  basi  ili  uume  uweze  kuwa  imara na  wenye  nguvu, pamoja  na  kuwa  na  uwezo  wa  kumudu  na  kustahimili   tendo  la  ndoa  wakati  wowote , basi  ni  lazima   mwanaume  awe  na mfumo  imara  wa  damu  utakao  ruhusu  kutiririka  kwa  damu  kwenda  katika  sehemu mbalimbali  za  mwili  ikiwamo  uume.

Ili  mfumo  uweze  kuwa  imara  ni  lazima  mhusika  awe  na  damu  ya  kutosha, na  pili  awe  na  mishipa  ya  damu  yenye  afya.

Katika  mwili  wa  mwanadamu,kuna  mishipa  inayo  tumika  kusafirisha  damu  kutoka  katika  sehemu moja  ya  mwili kwenda  katika  sehemu  nyingine  ya  mwili  ikiwemo  uume. Mishipa  hiyo  ni  kama  vile  vena (veins), atery ( ateri) na  capillary  ( kapilari )

Mishipa  hii  ya  damu  inapaswa  kuwa  imara  na  yenye  afya  njema  wakati  wote.   Mishipa  hii  ikipatwa  na  hitilifu, basi  itazuia  kusafirishwa  kwa  damu  katika  sehemu  mbalimbali za  mwili  wa  mwanadamu  na  hatimaye  kufanya  suala  la  kuwa  na  nguvu  za  kiume  kwa  mhusika  kuwa  ugumu  kwa  sababu   ya  kushindwa  kupeleka  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

Magonjwa  kwenye  mishipa  ya  damu  huzuia   kutirika  kwa  damu kwenye  ogani  muhimu   kama  vile  moyo, ubongo na  figo.

VIASHIRIA  VYA  MAGONJWA  KWENYE  MISHIPA  YA  DAMU.
Utajuaje  kwamba  una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu ?

Ukiwa  una  matatizo  yafuatayo ya  kiafya, ni  ishara  kwamba, una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu:

1.  Kolestrol ( Ama  lehemu  kwenye  damu )
Kolestrol  nyingi  kwenye  damu, huzuia  kutiririka  kwa  damu. Kolestrol  ikizidi  kwenye  damu,  hupelekea  kuziba   mishipa  ya  ateri  ambayo  kazi  yake  ni  kupeleka  damu  kwenye  uume. Matokeo  yake  ni  mhusika  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake barabara  kwa  sababu uume  hauwezi  kusimama  bila  damu  kuingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume.  
 
Hivyo  basi pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, yakupasa  kutibu  kolestrol. Unaweza  kuondoa  kolestrol  kwenye  damu  kwa  kutumia  dawa  mbali  za  asili  kama  vile mdalasini,uwatu, habbat sodah  etc.  Jinsi  ya  kujitibu  kolestrol  kwa  kutumia dawa asilia  tafadhali  tembelea


2. Shinikizo  Kubwa  la  Damu
Shinikizo  Kuu la  Damu husababisha  mishipa  ya  ateri  ambayo  hutiririsha  damu  iingiayo  kwenye  uume  kuziba  na  kushindwa kutanuka  kwa  kiwango  inachotakiwa  kutanuka.

Pia  huifanya  mishipa  laini  katika  uume   kushindwa  ku-relax  na  hivyo  kushindwa  kuizuia  mishipa  ya  vena  ya  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  maeneo  mengineyo  ya  mwilini.

Matokeo  yake  kunakuwa hakuna  kiasi  cha  kutosha  cha  damu  iingiayo  kwenye  uume  na  hivyo  kufanya  uume  ushindwe  kusimama.

Vile  vile  hata  kiasi  kidogo  cha  damu  kinacho  ingia  kwenye  uume, kinashindwa  kuendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  uume  wakati uume  ukiwa  umesimama, na  matokeo yake  ni  uume  kusinyaa  ndani  ya  kipindi kifupi  sana  tangu  usimame.

Pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa   pia  kutumia  dawa  asilia  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  kuu  la  damu.

Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  la  damu  kwa  njia  ya  asilia, tembelea :


3.  Ugonjwa  wa  kisukari :
Ugonjwa  wa  kisukari  ni  miongoni  mwa  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.  Kusimama  kwa  uume  kunategemeana  na  kutiririka  kwa  damu  mwilini. Kisukari  huathiri  mishipa  ya  damu pamoja  na  usambazaji  wa  damu  kwenye  ogani  muhimu  mwilini  kama  vile  moyo, ubongo, figo  na  uume.

Kiukweli, mwanaume  mwenye  kisukari  yupo  katika  risk  kubwa  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume,m tena  katika  kiwango  kikubwa  sana.

Unashauriwa pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, tumia  pamoja  na  dawa  mbalimbali  za  asili  kwa  ajili  ya  kubalance  sukari  yako mwilini. 
 
Zipo  dawa  mbalimbali  za  asili  zinazo  saidia  kubalance  kiwango  cha  sukari  mwilini. Dwa  hizo  ni  pamoja na mdalasini, unga  wa  uwatu, mbegu  za  uwatu, manjano, majani  ya  manjano,mbegu  za  katani, nakadhalika.
 
 Namna  ya  kutumia  dawa  hizo  kujitibu  tatizo  la  sukari, tafadhali  tembelea :http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

4. Magonjwa  ya  figo
Tatizo  la  ugonjwa  wa  figo  huathiri  vitu vingi  ambavyo  ni  muhimu  sana  katika  kuufanya  uume  uweze  kusimama  na  kuendelea  kudumu  katika  kusimama.

Tatizo  la  figo, huathiri  homoni, huathiri kutiririka   kwa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume. Huathiri  mfumo  wa mishipa  ya  neva  pamoja  na  nishati  ya  mwili mzima.

Pamoja  na  dawa  ya  kutibu  tatizo  la  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia, kutibu  tatizo  la  figo.
 
 Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  mbalimbali  ya  figo  kwa  kutumia  dawa  mbalimbali  asilia, tembelea : http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

5.  Ugonjwa  wa  moyo
Moyo  ndio  supplier  mkubwa  wa  damu  katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili.  Ugonjwa  wa  moyo  hupunguza  uwezo  wa  moyo  kusambaza  damu  kwenye  mishipa  mbalimbali  ya  damu  na  hivyo  kuathiri  utendaji  kazi  wa  mishipa ya  damu  kama  vile  ateri  na  vena.
 
 Matokeo  yake  ni  mishipa  hiyo  kushindwa  kupeleka  damu  ya  kutosha  katika  uume  pamoja  na  kushindwa  kuifanya  mishipa  ya  uume  kurelax na  matokeo  yake,. Ukosefu  wa nguvu  za  kiume. 
 
Hivyo  basi, pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia   kutibu  tatizo  la  moyo. Kufahamu  jinsi  unavyo  weza  kutibu  ugonjwa  wa  moyo  kwa  dawa  asilia, tembelea :


6.  Kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena.
Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  kwenye  uume   kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili. 
 
 Mishipa  ya  vena  iliyopo  karibu  na  uume  kazi  yake  kubwa  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  yoyote  kwenye  mishipa  ya  uume. ( KUMBUKA  KUWA  DAMU  NDIO  HUFANYA  UUMU  USIMAME, HIVYO  CHOCHOTE  KILE  KITAKACHO  FANYA  DAMU  ISIKAE  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME , KITAFANYA  UUME  USINYAE  )

Ili  uume  uendelee  kusimama  ni  lazima, mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  kupeleka  nje  ya  mishipa  ya  uume.

Na  ili  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa    kunyonya  damu  kutoka  kwenye   mishipa  ya  uume  ulio  simama  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili,  ni  lazima  mishipa  ya  uume  iwe  imara  na  thabiti  isiyo  na  hitilafu  yoyote  ile.

Mishipa  ya  vena  ikipwaya, mwanaume  hutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wako, na  ikitokea  umefanikiwa  kuusimamisha  basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana  na  utasinyaa  ndani  ya  muda  mfupi  sana, kwa  sababu  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  uume  wako  na  kuufanya  usimame, itanyonywa  ndani  ya  muda  mfupi  sana  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  wako  usimame.

Tatizo  la  kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena  linasababishwa  na  kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  pamoja  na  ugonjwa  wa  kisukari.

KUPIGA  PUNYETO  KWA  MUDA  MREFU:  Kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  ni  moja  kati  ya  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Asilimia  kubwa  ya  vijana  wenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, linasababishwa  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Unapopiga  punyeto  unakuwa  unaiminya  mishipa  ya  uume   ambayo  ndio  inaufanya  uume  usimame.

Matokeo  yake  unaifanya  mishipa  hiyo  ilegee na  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  tena.

Mishipa  ya  uume  iliyo  legea  kutokana  na  upigaji  punyeto, huleta  madhara  yafuatayo  :

i. Huondoa  uwezo  wa  mishipa  ya  uume  kurelax.
( Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  uume  ina relax  , mishipa  iki  relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  kuruhusu  damu  kingie  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hatimaye  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  mgumu)

ii.Mishipa   ya  kiume  ikishindwa  ku relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kuziba

iii. Mishipa  ya  ateri  ikiziba, damu  haiwezi  kutiririka  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  hata  ikitokea  damu  imeingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  basi  huingia  kiasi  kidogo sana   tena  kwa  presha  ndogo  sana  hivyo  basi  hata  kama  uume  utasimama   basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana

iv.Mishipa  ya  uume  ikishindwa  kurelax  basi  haitakuwa  na  uwezo  wa  kuipush  na  kuiziba  mishipa  ya  vena  ambayo  ndio  hunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  ulio  simama. Matokeo  yake  basi, damu  kidogo  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuufanya  uume  kusimama, hunyonywa  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  ndani  ya  sekunde  chache  sana  na  hivyo  kuufanya  uume usinyae  ndani  ya  muda  mfupi  sana.

v.         Mishipa  ya  uume  kulegea
vi.       Uume  kurudi ndani  na  kusinyaa  na  kuwa  kama  uume  wa  mtoto

6. Tatizo  la  unene  kupita  kiasi : Tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi  ni  miongoni  mwa  mambo  yanayo  sababisha  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. Unene  kupita  kiasi  humuweka  mtu  katika  hatari  ya  kupatwa  na  magonjwa  kama  vile  kisukari, presha, moyo  na  shinikizo  kuu  la  damu. 
 
Na  magonjwa  ya  kisukari, moyo,presha  na  shinikizo  la  damu  husababisha  upungufu na  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, na  hivyo  kumuweka  muhusika  katika  hatari  kuu  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Hivyo  basi  kwa  wewe  mwenye  tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi , pamoja  na  kutumia  tiba  ya  nguvu  za  kiume,  ni  vyema  ukafanya  na  mpango  wa  kupunguza  unene  na  uzito  wako.

JINSI  YA  KUPUNGUZA  UZITO  NA  UNENE  KWA  KUTUMIA  TIBA  ASILIA, TAFADHALI  TEMBELEA:


7.   Matatizo  Katika  mfumo  wa  Ubongo
Uume  hauwezi  kusimama   bila  ya  kuwa  na  ushirikiano  na  ubongo.  Ili mtu  uume  uweze  kusimama, mtu  lazima  apate  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa  (UBONGO  UNA HUSIKA  HAPO ), akishapata  wazo, ubungo  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo hupeleka  taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume  then  uume  usimama.   
 
Hivyo  basi  ili  mtu  aweze  kuwa  na uwezo  wa kusimamisha  uume  wake  ni lazima  kuwa  na  mawasiliano  mazuri  na  imara  kati  ya mishipa  ya  fahamu ( ubongo ), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo   na  mishipa  ya  kwenye    uume.  Bila  ushirikiano  kati  ya  vitu  hivyo  vitatu, uume  hauwezi  kusimama.

Magonjwa  yanayoweza  kuathiri  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  ubongo  na  mishipa  ya  uume, yanaweza  kusababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume.

Magonjwa  hayo  ni  pamoja  na  kiharusi,kupoteza  kumbukumbu  (  Alzheimer ), multiple  sclerosis pamoja  na  ugonjwa  wa  Parkinson.

Ni  vyema  mgonjwa  akatibiwa  kwanza  magonjwa  hayo  kabla  ya  kuanza  kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume.  Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  tajwa  hapo  juu  kwa  njia  asilia,tafadhali  tembelea

Mambo   mengine  yanayo  sababisha  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  pamoja  na  maumivu & majeraha  kwenye  uti  wa  mgongo,  chango  la  kiume , ngiri  na  matatizo  katika  homoni.

VIASHRIA  VYA  MTU  MWENYE  TATIZO  LA  UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Mtu  mwenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  huwa  na  dalili  zifuatazo ;

1. Kushindwa  kabisa  kusimamisha  uume  wake
2. Uume  kusimama  ukiwa  legelege
3. Kuwahi  kumaliza  tendo  la  ndoa
4. Mwanaume  kutokuwa  na uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  katika  baadhi  ya  staili  ( Mara  nyingi   mwanaume  huyu huwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa    staili  moja  tu ).  
 
Hapa  mwanaume  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  ya   “ missionary” pekee.  Ikibadilishwa   staili, mwanaume  anakuwa hana  tena  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake  japo  katika  hali  ya lege  lege

5. Uume  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  wenyewe   bila  kushikwashikwa  ama  kutomaswa kwa  muda  mrefu.

6. Uume  kusinyaa  ukiwa  ndani  ya  mwanamke.

7. Uume  kusinyaa, pindi  inapotokea  activity  yoyote  ya  kiungo  ama  ogani  nyingine  ya  mwanaume  wakati  wa  tendo  la  ndoa. Kwa  mfano, wakati  wa  tendo  la  ndoa, ikitokea  mwanaume  amekohoa  au  kupiga  chafya, uume  nao  unasinyaa.

8. Uume  kusinyaa  mara  tu  baada  ya kutolewa  ndani  ya  uke ( Kwa  mfano  kama  unafanya  tendo  la  ndoa, halafu  uume  ukatoka  nje, kitendo  cha  kuushika  kuurudisha ndani, tayari  una  sinyaa )

9. Kutokuwa  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa.
10.  Kupatwa  na  maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

VIASHIRIA  VYA  MWANAUME  ASIYE 
NA  TATIZO  LA UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume  asiye  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, huonyesha  ishara  zifuatazo ;

i. Uume  husimama  ukiwa  imara  kama  msumari.

ii.Hukaa  kifuani  kwa  muda  mrefu  ( Wastani  ni  kati  ya  dakika  20  hadi  45  )

iii.Huweza  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  tatu  bila  misuli  ya  uume  kuchoka.

iv. Huweza  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  yoyote  ile

v. Uume  husimama  wenyewe  bila  kushikwa  shikwa  wala  kuwa  stimulated  kwa  namna  yoyote  ile

vi.Kwa  ufupi  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya na  kukamilisha  tendo  la  ndoa  kwa  uukamilifu  mkubwa.

TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Dawa  asilia  ya  JIKO   ni  dawa  asilia  inayo  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.

MFUMO   WA  DAWA
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO ni  mkusanyiko  wa  dawa  nne  asilia  zenye  uwezo  mkubwa  sana  katika kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Dawa  hizi  zipo  katika  mfumo  wa  MIZIZI  na  UNGA  UNGA.

JINSI   DOZI  YA  DAWA  YA  JIKO  INAVYO  FANYA  KAZI.
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inafanya  kazi  zifuatazo  katika  mwili  wa  mwanadamu.

KAZI  INAYO  FANYWA  NA  DAWA  YA  JIKO .
Dawa  ya  JIKO  inasadia  katika  mambo  makuu yafuatayo:

1.  Inasaidia   kuimarisha  mishipa  ya  uume  ulio legea  na  hivyo  kuufanya  uume  uwe  na uwezo  wa  kusimama  barabara  kama  msumari  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

2. Inasaidia  kusafisha  mishipa  ya  kwenye  uume  na  hivyo  kusaidia  katika  kuongeza  kasi  ya  msukumo  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  kwenye  uume.

3. Huongeza  damu  mwilini

4. Husaidia  kuongeza  msukumo (pressure)  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  kuwa  na  nguvu  za  ajabu.

5. Huipa  misuli  ya  uume  uwezo  wa  kuziba  wa  kuizuia  mishipa  ya  vena   kunyonya  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  wakati  wa  tendo  la  ndoa  na  matokeo  yake  kukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu( Kuzuia  hali  ya  kufika  kileleni  haraka  )

6. Husaidia  kurelax  mind  na  hivyo  kumfanya  mtu  awe  na  uwezo  wa  kuconcentrate  wakati  wa  tendo la  ndoa   bila  kuathiriwa  na  msongo  wa  mawazo

7.  Hurejesha, kuimarisha  na  kuboresha  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume

8. Humfanya  mwanaume  awe  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  nyingi  zaidi  bila  kuchoka.
9. Husaidia  kuongeza  hamu  ya  tendo  la  ndoa.

10.Husaidia  kuurudisha  nje  uume  ulio ingia  ndani.

11. Husaidia  kutibu  side effects  za  punyeto  na  matumizi  ya  muda  mrefu  ya dawa  kali  za  (za  kizungu ) za  kuongeza  nguvu  za  kiume.

12. Husaidia  kutibu  chango  la  kiume.
13. Dawa  hii  huwasaidia  hata  wanawake  wanao sumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  hamu ya  tendo  la  ndoa.

BEI  YA  DAWA:  Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU  (Tshs.80,000/=)

DAWA  HII  IMETHIBITISHWA  NA  MKEMIA  MKUU  WA  SERIKALI.

MAHALI  TUNAPOPATIKANA :
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO, inatolewa  na  duka  la  dawa  asilia  la  NEEMA  HERBALIST    NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC. Tunapatikana  jijini  DAR ES  SALAAM, katika  eneo  la UBUNGO    karibu  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu, tunatoa  huduma  ya kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ( DELIVERY )

Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  DAR  ES  SALAAM, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  mabasi, wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa   njia  ya  boti  na  kwa  wateja  waliopo  Ulaya, America  na  Arabuni, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  DHL  au POSTA.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA
0766  53  83  84.
Na  kwa  maelezo  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, endelea  kutembelea:

www.neemaherbalist.blogspot.com

Waziri wa Afya awasimamisha wakurugenzi wanne MSD

0
0

Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Watoto na Wazee Mhe. Ummy Mwalimu amewasimamisha wakurugenzi wanne toka Bohari ya Dawa ya Taifa(MSD) kwa ubadhilifu wa fedha takribani Shillingi Billion 1.5.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari katika Kitengo cha Afya ya Mama na Mtoto baada ya kupokea  vifaa toka Bohari Kuu ya Dawa ya Taifa (MSD), amesema amepata taarifa ya uchunguzi ofisini kwake ya ubadhilifu wa kiasi hicho cha fedha na kuamua kuwasimamisha wakurugenzi wanne kupisha uchunguzi.

“ Nimeletewa taarifa ofisini kwangu na nimeamua kuchukua fursa hii kuwaambia na hili pia kwamba nimewasimamisha wakurugenzi wanne toka Bohari ya Kuu Dawa ya Taifa kwa ubadhilifu wa fedha na nisingeweza kusubiri nitumbuliwe mimi jipu na Mhe.Rais kwahiyo  nimeamua kuwachukulia hatua kwa kuwasimamisha kazi ili kupisha uchunguzi kuendelea”

“ Hizi ni zama za kufanya kazi na kuwajibika sasa inabidi tuwajibike kwa kufanya kazi na hatutowavumilia watendaji watakaoenda kinyume na utaratibu katika ofisi yoyote ile katika sekta ya afya na tutawachukulia hatua kwani tunataka uwajibikaji ili kuiendeleza sekta ya Afya ambayo  ni muhimu sana kwa kila mwanadamu” Alisema Ummy.

Amewataja aliowasimamisha kazi kuwa ni Joseph Tesha Mkurugenzi wa Fedha na Mipango, Misanga Muja Mkurugenzi wa Ugavi, Heri Mchunga Mkurugenzi wa Manunuzi na Cosmas Mwaifani Mkurugenzi Kanda na Huduma kwa Wateja ambapo amewataka Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Bodi ya Bohari ya Dawa ya Taifa kuwaandikia barua mara moja ya kuwasimamisha kazi.

Katika kuboresha sekta ya Afya nchini, Wizara wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Watoto na Wazee imejipanga kufanya kazi  kwa taratibu na misingi iliyopo ili kuhakikisha inapeleka mbele gurudumu la maendeleo hasa katika sekta ya afya.

Rais Magufuli Amteua Dr. Asha Rose Migiro Na Mathias Chikawe Kuwa Mabalozi Wapya....Dr. Kipilimba Kateuliwa Kuwa Bosi Mpya Wa NIDA

0
0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa mabalozi watatu katika Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa.

Rais Magufuli pia amefanya uteuzi wa makamishna wanne wa Jeshi la Polisi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, imewataja mabalozi walioteuliwa kuwa ni Dkt. Asha-Rose Mtengeti Migiro, Mheshimiwa Mathias Meinrad Chikawe na Dkt. Ramadhan Dau.

Vituo vya uwakilishi kwa mabalozi hawa vitajulikana baada ya taratibu husika za kidiplomasia kukamilika.

Kwa upande wa Makamishna wa Polisi, Balozi Sefue amewataja walioteuliwa kuwa ni:

Naibu Kamishna wa Polisi Simon Nyakoro Sirro ambaye amepandishwa cheo kuwa Kamishna wa Polisi, na ameteuliwa kuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam. Kamishna Sirro anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Kamishna Mstaafu Suleiman Kova.

Naibu Kamishna wa Polisi Albert Nyamuhanga ambaye amepandishwa cheo kuwa Kamishna wa Polisi na ameteuliwa kuongoza Idara ya Fedha, Utawala na Lojistiki. Kamishna Nyamuhanga anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Kamishna wa Polisi Clodwing Mathew Mtweve aliyeteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza.

Naibu Kamishna wa Polisi Robert Boaz Mikomangwa ambaye amepandishwa cheo kuwa Kamishna wa Polisi na ameteuliwa kuongoza Idara ya Intelijensia. 

Kamishna Mikomangwa anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Kamishna Valentino Mlowola aliyeteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Nsato Marijani Mssanzya ambaye amepandishwa cheo kuwa Kamishna wa Polisi na ameteuliwa kuongoza Idara ya Mafunzo na Operesheni. 

Kamishna Mssanzya anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Kamishna wa Polisi Paul Moses Chagonja aliyeteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi.

Aidha, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Modestus Francis Kipilimba kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). 

Kabla ya Uteuzi huu Dkt. Kipilimba alikuwa Mkurugenzi wa Menejimenti ya Udhibiti (Director of Risk Management) katika Benki Kuu ya Tanzania. Dkt. Kipilimba anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Dikson Maimu ambaye uteuzi wake ulitenguliwa.

Teuzi zote zinaanzia leo tarehe 15 Februari, 2016

Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
15 Februari, 2016

Nape Nnauye Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Wa Habari Na Matukio Pamoja Na Meneja Wa Vipindi TBC

0
0

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye amewasimamisha kazi watumishi wawili wa Shirika la Utangazaji la Taifa TBC kutokana na utendaji usioridhisha.
 
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za TBC leo jijini Dar es Salaam, Waziri Nape amewataja watumishi waliosimamishwa kazi kuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Matukio Bwana Mbwilo Kitujime na Meneja wa Vipindi Bibi. Edna Rajab ambao wote kwa pamoja wasimamishwa kazi na uamuzi huo utafikishwa kwa Bodi ya TBC kwa hatua zaidi.
 
“Tunachukua uamuzi wa kuwasimamisha kazi watendaji hawa ili kujenga upya Idara hii muhimu katika ustawi wa TBC na habari kwa ujumla” Alisema Nape
 
Aidha Waziri huyo amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa TBC kuwachukulia hatua watumishi wengine walio chini ya Idara hiyo kwakuwa wako chini ya mamlaka yake na kutoa mrejesho wa hatua alizochukua dhidi ya wale wote wilioonyesha utendaji mbovu.
 
Alisema kuwa Serikali imefikia uamuzi huo kutokana na kuwepo kwa malalamiko ya muda mrefu juu ya utendaji mbovu na wakutoridhisha viongzi na baadhi ya watumishi wa Idara hiyo hiyvo hatua hizo zimechukuliwa ikiwa ni  kujenga upya na kuboresha Idara hiyo muhimu katika uendeshaji wa Shirika lolote lile la Habari na kuongeza ufanisi.
 
Idara ya Habari na Matukio ya TBC inaundwa na Mkurugenzi wa Idara, Meneja wa Vipindi Wahariri na Waandishi wa Habari ambapo tayari Mkurugenzi na Meneja wa Vipindi wamesimamishwa kazi leo tarehe 15 Februari 2016 na watumishi wengine watachukuliwa hatua kufuatia agizo la Mhe. Waziri wa Habari kwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC alilolitoa leo wakati akitangaza kuwasimamisha kazi viongozi hao.

Waziri Kairuki Asema TAKUKURU Kuna Majipu Yanayohitaji Kutumbuliwa

0
0

WAFANYAKAZI wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), wametakiwa kuanza kujisafisha huku wakiambiwa kwamba taasisi hiyo haitaepuka kutumbuliwa majipu.

Aidha, wameagizwa kuwasilisha upya taarifa za mali zao kwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, zifanyiwe uhakiki wa mali; moja baada ya nyingine kubaini waliofanya udanganyifu wa umiliki wa mali zao.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki alisema hayo jana Dar es Salaam kwenye ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa viongozi wa taasisi hiyo.

Alisisitiza kuwa tayari anazo taarifa zinazohitaji baadhi ya viongozi wa taasisi hiyo kutumbuliwa majipu muda muafaka utakapowadia. 

Kairuki aliagiza taasisi hiyo kufanyia tathmini kesi zake zote, ilizowahi kushindwa na kuja na majibu ya sababu za kushindwa na endapo itabainika hazikushinda kutokana na mchezo mchafu wa wachunguzi, wahusika wachukuliwe hatua haraka iwezekanavyo.

“Niliposikia mnataja majina yenu wakati wa kujitambulisha, nilikuwa nafurahi sana kwani wengi wenu nawajua na nina taarifa zenu. Haiwezekani wewe mtu mmoja watu wengi wawe wanakuongelea vibaya. Msifikiri majipu humu (Takukuru) hakuna, yapo na nawahakikishia tutayatumbua tu,” alisisitiza Waziri huyo.

Alisema iwapo yupo mtumishi hasa viongozi wa taasisi hiyo, anayejitambua kuwa ni ‘jipu’, ajisalimishe kwani akiendelea kusubiri na kutumbuliwa, mwisho wake utakuwa mbaya. 

“Tukiwatumbua hali itakuwa mbaya kwani nyie mko chini ya Ofisi ya Rais, hata Rais (Dk John Magufuli) hatasita kuwachukulia hatua si tu za kinidhamu bali hata za kisheria,” alibainisha.

Alisema katika taasisi hiyo, yapo maeneo mengi yanayohitaji kutumbuliwa majipu kuanzia Uhasibu, Ukaguzi na Manunuzi zikiwemo ofisi za mikoani akitolea mfano Mkoa wa Kilimanjaro na makao makuu, Upanga, Dar es Salaam.

“Tutasafisha nawahakikishia hata ikibidi kuanza upya, ikitulazimu pia kufukuza wote ikithibitika mnakwenda kinyume na maadili yenu tutawafukuza ila hatutamwonea mtu, kwani wako watu wengi wenye sifa wanaotaka kufanya kazi,” alisisitiza Kairuki.

Alisema kuanzia sasa, ofisi hiyo itawekewa malengo ya utendaji wake na kufanyiwa tathmini hasa kwa kesi zilizoshindwa ifahamike aliyezifanya, sababu za kushindwa, iwapo imetokana na uzembe au kama upo mkono wa mtu. 

Alisema imefikia wakati sasa watumishi wa taasisi hiyo wanapaswa sasa wale kiapo cha ahadi ya uadilifu na kukisaini ili watakaoshindwa wachukuliwe hatua za kinidhamu.

Taarifa za mali
Aliwataka watumishi wote wa taasisi hiyo, kurejea upya kuwasilisha taarifa za mali zao kwa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

 Alisema taarifa hizo zitapewa kipaumbele cha kuhakikiwa mali moja baada ya nyingine na endapo mtumishi atabainika kufanya udanganyifu wa mali anazomiliki, atachukuliwa hatua.

Alihadharisha kuwa chombo hicho cha kupambana na rushwa hakipaswi kutuhumiwa kwa rushwa. Alisema kikituhumiwa kwa sifa hiyo, ni sawa na kuigeuza Takukuru kuwa jipu badala ya vidole vya kutumbulia majipu.

Takukuru mpya
Alisema Serikali ya Awamu ya Tano, imejipanga kuhakikisha inazalisha chombo kipya cha kuzuia na kupambana na rushwa chenye maadili. 

Aliwataka wanaoona hawawezi kwenda na kasi hiyo, wawasilisha barua zao za kujiuzulu kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa taasisi hiyo, Kamishna wa Polisi Valentino Mlowola.

Hata hivyo, alisema Serikali inatambua kuwa kazi ya upelelezi na uchunguzi ni ngumu kutokana na kukabiliwa na vishawishi vingi, jambo ambalo wanahitaji ujasiri. Alisisitiza watumishi hao kutunza heshima yao na chombo hicho.

“Faraja ya uchunguzi ni kufanikisha majalada kwenda kwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) na baadaye watuhumiwa kufikishwa mahakamani. Sasa ili kufanikisha faraja hii ni vyema kufanya kazi kwa weledi na tusiwe na pupa ili mradi tupeleke kesi nyingi kwa DPP na kuziwasilisha mahakamani,” alisema Kairuki.

Aliendelea,“Nasema haya kwa sababu nafahamu bado kwenye uchunguzi hapa Takukuru kuna upungufu. Nafikiri mmemuona Mheshimiwa Rais anavyoshughulikia suala la rushwa na ufisadi, ni wajibu wenu Takukuru kufanikisha azma hii kwa kuja na matokeo ya utendaji chanya.”

Aidha, waziri huyo aliitaka taasisi hiyo kutumia weledi, sifa yaa ukachero wa kiupelelezi na kiuchunguzi kufuatilia matukio yenye shaka yanayoendelea mitaani na si kusubiri taasisi kubwa kuyavumbua.

“Nyie ndio makachero tumieni ukachero wenu kuibua ufisadi, kuna mtu mmoja amebainishwa na Rais lakini jina lake kwa umaarufu na utajiri wake linatumika kama kituo, alishajiuliza sababu na kuchunguza?” alihoji.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mlowola aliwataka wafanyakazi wa taasisi hiyo kubadilika na kuacha kufanya kazi kwa mazoea. 

Kasi ya Magufuli 
Aliwataka wahakikishe wanaendana na kasi ya Dk Magufuli na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya utendaji na utumbuaji wa majipu katika maeneo yenye ubadhirifu wa fedha, rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.

“Natarajia tutafanya kazi kwa weledi na si nguvu, kwa mfano taarifa zilizotolewa katika maeneo ya bandarini na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), siye ndio tulitakiwa tuziwasilishe juu (ngazi ya Rais). Naomba tusisubiri kuletewa,” alisisitiza.

Aliwataka watumishi hao kujiepusha kuwa watuhumiwa wa rushwa. “Jamani hii ni mbaya kwetu Polisi akituhumiwa ujambazi ni mbaya sana, lakini ofisa wa Takukuru akituhumiwa rushwa ni dhambi kubwa. Sisi tuwe watu wa mwisho kutuhumiwa kwa rushwa."

Aliwataka watumishi hao kuelekeza nguvu zao katika kuhakikisha wanaisaidia Serikali kwenye eneo la upotevu wa fedha kwa kufuatilia matumizi na miradi ya maendeleo na fedha zinazopelekwa kwenye halmashauri na kwenye manunuzi ya umma.

Alisema katika utekelezaji wa jukumu la kuzuia na kupambana na rushwa nchini kwa mwaka 2014/15 taasisi hiyo ilipokea malalamiko 4,675. Ilifanyia uchunguzi na kukamilisha majalada 667, kupeleka kwa DPP majalada 278, walirejeshewa majalada 172 yenye vibali vya kufungua mashtaka na kufungua kesi mpya 314 nchini kote.

Aidha alisema taasisi hiyo ilishinda kesi 132 mahakamani na washitakiwa walihukumiwa vifungo mbalimbali ikiwemo faini. Ziliokolewa Sh bilioni saba zilizokuwa ziingie kwenye mifuko ya wabadhirifu wachache.

Ndani ya siku 100 za Rais Magufuli madarakani taasisi hiyo ilipokea malalamiko 411 kutoka kwa wananchi, imefungua mafaili 146 ya uchunguzi. Imepeleka kwa DPP mafaili 103, mafaili 65 yenye kibali cha DPP yamerejeshwa kwa ajili ya kufunguliwa mashtaka, jumla ya kesi 72 mpya zimefunguliwa mahakamani na imeshinda kesi 40 na kushindwa kesi 52.

“Ndani ya siku 100 tumefanikiwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa 11 akiwemo Mtendaji Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) Kipallo Kisamfu,” alisisitiza.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Februari 16

Mchakato Wa Kura Ya Maoni Ya Katiba Mpya Waanza

0
0

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, amesema mchakato wa Kura ya Maoni ya Katiba mpya umeanza baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka jana.

Kauli hiyo ya Jaji Lubuva imekuja wakati wadau wa siasa nchini wakimtaka Rais Dk. John Magufuli, kutoendelea na Kura ya maoni badala yake mchakato wa Katiba mpya urudi nyuma baadhi ya mambo yaliyo kwenye Katiba iliyopendekezwa yarekebishwe.

Itakumbukwa kuwa mchakato wa Katiba mpya uliingia dosari baada ya baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupinga mfumo wa Serikali Tatu uliokuwa umependekezwa na Tume ya Jaji mstaafu Joseph Warioba, iliyokusanya maoni nchi nzima na matokeo yake kuzaa kundi lililojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

“Tulikuwa tunangoja tumalize uchaguzi, kama vile ambavyo Mnyamwezi anavyobeba mzigo, unamaliza mmoja unakwenda kwa mwingine. Sasa tumemaliza (uchaguzi mkuu), tunakwenda kwa lingine (Kura ya Maoni),” alisema Jaji Lubuva.

Aliongeza: “Tunaliangalia na kama Tume tutakuja kuwajulisha wananchi hali ikoje, tuliahirisha (Kura ya Maoni) ili tumalize hili (uchaguzi mkuu).” alisema Jaji Lubuva na kuongeza.

“Hili ni suala linalohitaji mambo ya bajeti kubwa na ndiyo tumetoka kwenye uchaguzi na serikali ndiyo inaanza, kwa hiyo ni suala ambalo tunaliangalia na baadaye wananchi watajulishwa,” alisema Jaji mstaafu Lubuva.

Alipoulizwa kuhusu makadirio ya bajeti ya kuendesha kura hiyo ya maoni, Lubuva alisema:“Hilo niulize siku nyingine, sina zaidi ya hapo kwa leo.”

Rais Magufuli alipokuwa akihutubia Bunge la 11 siku ya kulizindua Novemba 20, mwaka jana, alisema serikali yake imepokea kiporo cha mchakato wa Katiba ambao haukukamilika katika awamu iliyomtangulia kutokana na kutokukamilika kwa wakati kwa uandikishaji wapiga kura.

“Napenda kuwahakikishia kuwa tunatambua na kuthamini kazi kubwa ya kizalendo iliyofanywa na wananchi walioshiriki hatua ya awali ya ukusanyaji wa maoni kuhusu Katiba mpya, Tume ya Marekebisho ya Katiba na Bunge la Katiba lililotupatia Katiba Inayopendekezwa. Tutatekeleza wajibu wetu kama ulivyoainishwa katika Sheria ya Marekebisho ya Katiba,” alisema Rais Magufuli. 

Mbali na muundo wa serikali tatu, baadhi ya mambo ambayo Ukawa walitaka yawe kwenye Katiba mpya ni mamlaka ya Rais kupunguzwa, ushindi wa Rais uwe zaidi ya asilimia 50, Tume huru ya Uchaguzi, matokeo ya Rais kupingwa mahakamani, kuwe na mgombea binafsi, mawaziri wasitokane na wabunge, na muundo mpya wa Bunge la Muungano.

Siku 100 za Rais Magufuli Vs Rais Kikwete

0
0
1. Hakuwa  na  Semina  elekezi  kwa Mawaziri wake.Kitendo  hicho  kiliokoa  shilingi  biloni 2  ambazo  zilitumika  kwa  kazi  nyingine.

2. Makusanyo  ya  mapato  yaliongezeka  baada  ya  kuingia  madarakani  kutoka  bilioni 900  mpaka  trilioni 1.4 kwa  mwezi.

3. Alikabiliwa  na  changamoto  za  ukwepaji kodi  na  matumizi  mabaya  ya  ofisi.Mfano  sakata  la  makontena  na  watendaji bandarini  na  TRA.

4. Alikaa siku 3  bila  baraza  la  mawaziri  kuanzia  Novemba 5,2015  alipoapisha  hadi  Disemba 10,2015

5. Alipunguza  idadi  ya  mawaziri  katika  baraza  lake,kutoka  mawaziri 26  hadi  kufikia  mawaziri 19.

1. Alifanya  semina  elekezi  kwa  mawaziri  wake,hata hivyo gharama  halisi  za semina  elekezi  hazikuwekwa  bayana.

2. Makusanyo  ya  mapato  yalipungua  wakati  anaingia  madarakani  kutoka  bilioni  190  mpaka  bilioni 157  kwa  mwezi.

3. Alikabiliwa  na  changamoto  ya  ukame  na  ujambazi.Mfano  ni  tukio  la  wizi  wa  milioni 300  benki  ya  Standard  Chartered.
4.  Alikaa  siku 14  bila  baraza  la  mawaziri, kuanzia  Disemba 21, 2005  alipoapishwa  mpaka  Januari 4,2005.

5.  Aliongeza  idadi  ya  mawaziri  katika  baraza  lake  kutoka  mawaziri 27  hadi  kufikia  mawaziri 29  wakati  anaingia.

Tanzia: Msanii Wa Bongo Fleva John Woka Afariki Dunia

0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye alijipatia umaarufu mkubwa kwa staili yake ya kuimba kama mlevi, Joni Woka amefariki dunia alfajiri ya leo.

Woka amefariki baada ya juzi kupata ajali ya kulipukiwa na mtungi wa gesi. Alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
 
Hii ni taarifa iliyotolewa na mtu wa karibu na rapper huyo kuelezea ajali hiyo:
 
"Walikuwa wanahangaika kurekebisha usafiri kwenye garage hapo Sinza, sasa katika kuhangaikia upande wa AC mtungi wa gas ukalipuka,moja ya vipande vya chuma chenye ncha kali kikamchoma kichwani. Madaktari wanahofia imefika mbali kiasi kwamba damu inamwagikia kwenye ubongo."

Msanii John Woka ambaye alikuwa kwenye kundi la Watukutu Family, alijipatia umaarufu kwa nyimbo zake za Sophia, baby gal na nyinginezo, ambazo aliziimba kwa mtindo wa ulevi.
 
Kwa yeyote aliyeguswa na angependa kutoa rambi rambi anaweza kuwasiliana na kaka yake kwa namba +255767007005.
 
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images