Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Zitto Kabwe Ang’ang’ania Ufisadi Benki ya Stanbic

$
0
0

MBUNGE wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT- Wazalendo) ameitaka serikali kumwagiza Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) ili kubaini wizi wa Sh. 608 trilioni zilizokopwa kupitia Benki ya Stanbic yenye tawi lake nchini hapa.

Ametoa kauli hiyo leo bungeni wakati akiuliza swali la nyongeza kutaka kujua ni hatua gani ambazo zinachukuliwa kutokana na ufisadi mkubwa wa fedha hizo ambazo ni trilioni 6.8.

“Jumla ya fedha ambazo serikali ilizikopa nje kwa mfumo wa namna hiyo ni shilingi trilioni 6.8 na katika taarifa ya hukumu inaonesha mtindo huo wa kutumia vikampuni kwa ajili ya kupata mikopo imekuwa ikitumika na mabenki mengi ya kibiashara hapa nchini.

“Serikali haioni kwamba umefika wakati CAG aweze kufanya ukaguzi maalum wa mikopo yote ya kibiashara ambayo serikali imechukua katika kipindi hicho ili kuweza kujua kama pia kulikuwa kuna aina za rushwa za namna hiyo ambazo zimekuwa zinafanyika,”amehoji Zitto.

Zitto amesema DFA (Hukumu ya Uingereza) ilikuwa ina lengo la kuilinda Benk ya Uingereza ambayo ndiyo ilitoa hongo kwa maofisa wa Tanzania ili iweze kupata biashara ambapo alihoji, serikali haioni kwamba ni wakati muafaka sasa kufungua kesi dhidi ya benki hiyo ya Uingereza ili iwe fundisho kwa kampuni za nje zinazohonga kwa lengo la kupata biashara katika nchi za kiafrika

Akijibu maswali hayo Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji George Masaju amesema CAG anayo majukumu ya kikatiba na hilo ni jukumu ambalo anaweza kulitekeleza wakati wowote ili kujiridhisha kama mikopo hiyo ambayo imekuwa ikipatikana kwa namna ambayo inaifanya nchi iingie kwenye hasara.

Amesema, kama Zitto anazo taarifa zozote zinazoweza kuisaidia serikali ama kufungua shauti la madai ama jinai ashirikiane na vyombo husika ikiwemo Ofisi ya AG na kuliangalia ili kuona kama linakidhi sifa na sheria na kwa kuzingatia pia uhusiano uliopo kwa nchi ya Uingereza ili kuona kama kesi ya jinai inaweza kufunguliwa.

Aidha amesema serikali imepokea ushauri wa Zitto na itaufanyia kazi kwa kuzingatia sheria za ndani ya nchi na uhusiano wa kisheria katika Jumuiya ya Kimataifa.

Awali katika swali la msingi la Zitto alitaka kujua serikali inaichukulia hatua gani Stanbic Bank ili walipe fidia zaidi.

“Mwaka 2013 serikali ilizuia hatifungani ya thamani ya dola za Kimarekani milioni 600 (USD 600.0 mili) kupitia Benki ya Sdandard yenye tawi hapa nchini (Stabic).

“Shirika la Corrupition Watch la Uingereza kwa kutumia vyombo kama IFM imeonesha kuwa hatifungani hiyo imeipa Serikali ya Tanziania hasara ya Dola za Marekani miliono 80 na serikali imelipwa fidia Dola za Marekani milioni 6.

“Je kwa nini serikali haichukulii hatua Stanbic Bank ili ilipe fidia zaidi?”amehoji Zitto.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Ashantu Kijaju amesema, serikali imefuatilia taarifa za hasara kwa Serikali ya Tanzania ya Dola za Marekani 80 iliyotajwa na Zitto lakini haikupata ushahidi wake.

Hata hivyo Dk. Kijaju amesema Benki Kuu ya Tanzania imeiandikia Benki ya Stanbic barua ya kusudio la kuitoza faini ya Sh. 3 bilioni kwa kosa la kufanya miamala inayokiuka sheria na kanuni za mabenk na taasisi za fedha.

Panga Pangua Ya Rais Magufuli Imemgusa Bi. Suzan Paul Mlawi Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria

$
0
0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemhamisha Bi. Suzan Paul Mlawi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, kwenda kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Manejimenti ya utumishi wa umma na Utawala Bora.

Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, imeeleza kuwa uhamisho huo umeanzia tarehe 26 Januari, 2016.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa pamoja na shughuli nyingine za Unaibu Katibu Mkuu, Bi. Suzan Paul Mlawi, atashughulikia eneo la Utawala Bora.

Nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria iliyoachwa wazi, haitajazwa kwa sasa.

Gerson Msigwa,
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU.
Dar es salaam.
01 Februari, 2016.

Afande Sele Atoa Wosia....Asema Akifa Achomwe Moto Badala ya Kuzikwa

$
0
0

Msanii Afande Sele ambaye anawakilisha mkoa wa Morogoro katika muziki amefunguka na kusema kuwa hataki kuja kuwa binadamu tena bali anahitaji kuwa Malaika.

Afande Selle alisema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo cha East Africa Radio na kusisitiza kuwa siku atakayo kufa anaomba achomwe moto kwani yeye anaamini katika moto na si kuzikwa kawaida.

Afande Sele alidai kuwa amechoka kuwa binadamu bali anataka kuwa Malaika ndio maana anahitaji kuchomwa moto ili siku ya ufufuo arudi kama Malaika na si binadamu, imani yake inamtuma kuwa akizikwa kwenye udongo siku ya ufufuo atarudi kuwa binadamu tena jambo ambalo yeye hataki kusilisikia tena.

Kufuatia imani hiyo Afande Sele amesema mpaka sasa ameacha wosia kuwa siku atakayokufa achomwe moto na si kuzikwa.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya Februari 2

CRDB Yawatoa Hofu Wateja Wake Baada Ya Serikali Kuagiza Akaunti za Taasisi zake Katika Mabenki ya Kibiashara Zifungwe

$
0
0
(Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu serikali kuhamishia akaunti zote za mapato Benki Kuu. Kulia ni Mkurugenzi wa Hazina wa Benki ya CRDB, Alex Ngusaru na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa.)

****
SIKU chache baada ya Serikali kutangaza kuchukua hatua za kupunguza riba za mabenki kwa wananchi kwa kuagiza akaunti za mashirika na taasisi zake katika mabenki ya kibiashara zifungwe na kuhamisha fedha zilizopo katika akaunti hizo kwenda Benki Kuu ya Tanzania (BoT), benki ya CRDB imeunga mkono hatua hiyo.

Pia benki hiyo imewataka wananchi wasiwe na hofu juu ya mpango huo, kutokana na hofu iliyojengeka kwamba kuna hatari benki za kibiashara kufilisika nchini.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk.Charles Kimei alisema uamuzi uliofanywa na Serikali utasaidia kukuza uchumi pamoja na kutambua fedha zake mahali zilipo.

Alisema Serikali ina haki na nia njema kwa kutaka akaunti hizo zifunguliwe BoT kwa kuwa zimekuwa zikifunguliwa kwenye mabenki makubwa ya kibiashara, huku baadhi ya Wakala wa ukusanyaji wa fedha wakishindwa kuzifikisha serikalini  kama inavyotakiwa.

Pia alieleza kuwa mfumo huo hauna utofauti na awali kwani utofauti utakuwepo kutokana na mashirika na taasisi kufungua akaunti BoT, ambapo lengo kubwa ni walaka wa Hazina kulenga kuboresha mapato ya serikali ammbayo yanaweza kutumiwa kwa namna mbalimbali.

“Mfumo huu…utakuwa hauna tofauti na ilivyo sasa kwa kuwa fedha zitakazokuwa zikiingizwa kwenye akaunti hizo ni zile zilizokuwa zikiingizwa kwenye benki awali, ili kupunguza kiwango cha riba,” alisema.

Pia alisema hofu nyingine inayojengeka kwa wananchi inatokana na mfumo huo kutotumiwa kwa muda mrefu na BoT, licha ya kuwa kuna baadhi ya nchi inatumia mfumo huo na hakuna madhara yoyote.

“Hivyo tunafikiri maamuzi hayo hayana athari zozote kwani nchi mbalimbali zimekuwa zikitumia mfumo huo ikiwemo Uganda, Rwanda na Kenya ila  kwetu unaonekana mgeni kutokana na kutotumika kwa muda mrefu,”alisema.

Pia Dk.Kimei alisema kuwa kutokana na uwepo wa mfumo huo,benki za kibiashara zitawakopesha zaidi sekta binafsi, ikiwa tofauti na malalamiko ya mwanzo kwamba Serikali inapata manufaa kutokana na kukopeshwa zaidi.

“Hii itasaidia hata wananchi wa kiwango cha chini kuchukua mikopo kutokana na riba kuwa ndogo, ambapo hata wananchi wa chini wataweza kuchukua mkopo, ikiwa tofauti na awali wananchi wanashindwa kuchukua mikopo kutokana na riba kuonekana kuwa juu zaidi ya asilimia 10,”alisema.

Mbali na hilo, pia Kimei alisema endapo riba ikiwa inapungua itasaidia kukuza uchumi kutokana na wananchi wengi wa hali ya chini kuchukua mikopo.

Diwani Wa CUF Auawa Kwa Kucharangwa Mapanga Na Watu Wasiojulikana

$
0
0

Diwani wa kata ya Kimwani iliyoko Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera, Silvester Miga (CUF) amepoteza maisha baada ya kuvamiwa na kukatwa na mapanga nyumbani kwake, usiku wa kuamkia jana.

Kamanda wa Polisi Mkoani Kagera, Augustine Ollomi alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa marehemu alipoteza maisha majira ya saa saba usiku akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Kagondo.

Imeelezwa kuwa Miga alivamiwa nyumbani kwake akiwa anaangalia taarifa ya habari kwenye runinga ambapo watu hao walimvamia na kutekeleza tukio hilo la kikatili.

Kamanda Ollomi alisema kuwa Jeshi la Polisi mkoani humo limeendesha msako mkali na kuwakamata watu wawili wanaotuhumiwa kuhusika na tukio hilo.

 Aliwataja watu hao kuwa ni Aderarid Antony mwenye umri wa miaka 42 na Shiranga Gonzari mwenye umri wa miaka 22.

Baadhi ya wakazi wa kata Kimwani waliwaambia waandishi wa habari kuwa mazingira ya kuuawa kwa diwani wao ni ya kisiasa zaidi.

Polisi Wanaowalinda Wauza Dawa Za Kulevya Nchini Kuadhibiwa Vikali

$
0
0

Wananchi wametakiwa kutoa taarifa dhidi ya askari ambao wanadaiwa kuwafumbia macho wanaojihusisha na biashara za dawa ya kulevya ili wachukuliwe hatua.

Wito huo ulitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, Dk. Abdallah Possi, wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalum, Mwantumu Haji, aliyehoji ni hatua gani zinachukuliwa dhidi ya askari ambao wanafumbia macho wauza dawa za kulevya.

Haji alisema kuna askari ambao hawaendani na kasi ya kuthibiti dawa za kulevya na kuhoji ni mbinu gani zinazotumika kuthibiti tatizo hilo.

Dk. Possi alisema askari kutochukua hatua  shidi ya watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya ni kinyume cha sheria na kufanya hivyo ni kosa la jinai.

“Kwa wale ambao wanawafahamu askari wanaojihusisha na suala hili watoe taarifa ili wachukuliwe hatua,” alisema.

Aidha, akijibu swali la msingi la mbunge huyo, aliyehoji serikali imejipanga vipi kunusuru vijana katika janga  la utumiaji wa dawa za kulevya, Dk. Posi alisema serikali inatambua maumizi ya dawa za kulevya yana madhara mengi kwa watumiaji, familia na jamii kwa jumla, hivyo imejipanga kupambana na tatizo hilo.

Alisema ili kuwanusuru vijana serikali imechukua hatua kwa kuongeza juhudi za kimkakati za kuhakikisha wote wanaojihusisha na biashara hiyo haramu wanakamatwa na kuadhibiwa vikali.

Alisema serikali pia inaendelea kutoa matibabu kwa watumiaji wa dawa za kulevya katika hospitali na vituo vya magonjwa ya akili nchini ili kuwasaidia watumiaji wa dawa hizo kuacha.

Watu 6 Watiwa Mbaroni Kufuatia Kutunguliwa helikopta Katika Ranchi ya Wanyapori ya Mwiba, Meatu

$
0
0

Watu sita wanaodaiwa kuwa majangili, wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuitungua helikopta ya doria na kusababisha kifo cha rubani wake katika pori la akiba la Maswa.

Kukamatwa kwa watu hao kumekuja siku moja baada ya Rais, John Magufuli, kutoa agizo kwa Wizara ya Maliasili na Utalii kuwakamatwa waliohusika na tukio hilo na kufikishwa katika mkono ya sheria.

Kauli hiyo ya Rais iliyotolewa  na  Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa,  ilisema Rais Magufuli mbali na kusikitishwa na tukio hilo, pia aliuakikisha umma kuwa serikali itahakikisha inaendeleza mapambano dhidi ya ujangili kwa nguvu zote na kuwataka wananchi na wadau mbalimbali wa hifadhi ya wanyamapori kutokatishwa tama.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Simiyu, Gemini Mushy, jana alithibitisha  kukamatwa kwa watu hao.

Alisema awali walikamata watu wawili, juzi watatu na jana mmoja wote wakiwa wakazi wa Simiyu na uchunguzi bado unaendelea. 

Ijumaa iliyopita, watu wasiojulikana, waliitungua helikopta hiyo  wakati ikifanya doria katika pori hilo baada ya kuwapo taarifa kwamba majangili walikuwa wameua tembo mmoja.

Katika tukio hilo, rubani wa helikopta hiyo raia wa Uingereza, Rodgers Gower (37) alikufa, huku mwenzake Nicky Bester wa Afrika Kusini akinusurika.

Mke wa Kafulila Amlipua Dr. Mwakyembe Kuhusu Sakata La Mabehewa FEKI........Mwakyembe Akomaa, Asema Yupo Tayari Kujiuzulu Ikithibitika

$
0
0

Sakata la ununuzi wa mabehewa kwa ajili ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) yanayodaiwa kuwa mabovu liliibuka jana Bungeni na kumuinua Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe ambaye alikuwa Waziri wa Uchukuzi katika serikali ya awamu ya nne.

Waziri Mwakyembe alikanusha madai yaliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Jesca Kishoa kuwa ununuzi huo wa mabehewa mabovu uliisababishia sherikali hasara ya shilingi bilioni 238, huku akitaka ripoti ya ukaguzi wa ununuzi huo iwasilishwe bungeni.

Akitumia kanuni ya 63 (3) kuomba kutoa taarifa, Mwakyembe alikanusha kiwango cha fedha kilichotajwa na mbunge huyo wa viti maalum ambaye ni mke wa aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.

“Mbunge aliyesimama kabla, aliyejitambulisha kama mke wa Kafulila, ameeleza kwamba serikali ilitumia zaidi ya shilingi bilioni 238 na kuleta hasara kwa kununua mabehewa mabovu. Mheshimiwa Mwenyekiti nataka kukuthibitishia kwamba Serikali ya Jamhuri ya Muungano, kwa kununua mabehewa 274 haijawahi kutumia zaidi ya shilingi bilioni 60,” alisema Mwakyembe.

Waziri huyo alienda mbali na kueleza kuwa endapo mbunge huyo atawasilisha uthibitisho wa kiwango hicho cha fedha kutumika kununua mabehewa hayo, atajiuzulu nafasi yake ya ubunge.

“Mimi naomba athibitishe hiyo shilingi bilioni 238. Na nitashukuru sana kama akileta hapa. Na akileta hiyo, mimi nitajiuzulu hata ubunge,” alisema Mwakyembe.

Baada ya kauli hiyo ya Mwakyembe, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee naye alisimama na kueleza kuwa Waziri huyo hakutumia kifungu sahihi kutoa taarifa kwa kuwa alipaswa kutumia kifungu cha 63 (4) kutoa ushahidi wa kukanusha kwake kwanza.

Naye Kishoa aliendelea kusisitiza kuwa Serikali inapaswa kuwasilisha bungeni hapo ripoti ya ukaguzi wa manunuzi ya mabehewa hayo.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Bunge, Dk. Mary Mwanjelwa alitoa siku tatu kwa mbunge huyo wa viti maalum kuwasilisha ushahidi kuhusu madai yake.

Tamko La Serikali Kuhusu Mwenendo Wa Ugonjwa Wa Kipindupindu Nchini

$
0
0
 Tamko Kuhusu Mwenendo Wa Ugonjwa Wa Kipindupindu Nchini Lililotolewa Na Mhe. Ummy Mwalimu (mb); Waziri Wa Afya, Maendeleo Ya Jamii, Jinsia, Wazee Na Watoto, Tarehe 1 Februari 2016

Ndugu Waandishi wa Habari,
Wizara yangu inaendelea kutoa taarifa ya wiki kwa umma kuhusu mwenendo wa ugonjwa wa kipindupindu hapa nchini. Hadi kufikia tarehe 31 Januari 2016, jumla ya watu 15067 wameugua ugonjwa huo, na kati yao watu 233 wamepoteza maisha kwa ugonjwa huu. 

Njombe, Ruvuma na Mtwara ndiyo mikoa pekee ambayo haijawahi kuripoti mgonjwa yoyote wa kipindupindu, tangu mlipuko huu uanze mnamo mwezi Agosti mwaka huu.

Takwimu za Kuanzia tarehe 25 hadi 31 Januari 2016, zinaonyesha kuwa mkoa wa Simiyu ndio umeongoza kwa kuripoti idadi kubwa zaidi ya wagonjwa ukilinganishwa na mikoa mingine, (Bariadi vijijini 33, Bariadi mjini 26, Busega 19, Itimila 10 na Maswa 4), ukifuatiwa na mikoa ya Mwanza (Ukerewe 38, Nyamagana 23 na Ilemela 9), Mara ( Musoma manispaa 12, Musoma DC 11, Tarime Vijijini 12 na Butiama 20), Morogoro (Morogoro Manispaa 36, Morogoro vijijini 14, Mvomero 6 na Kilosa 3) na Manyara  (Babati 40, Simanjiro 12)

Jumla ya mikoa ambayo imeripoti kuwa na wagonjwa ni 15 ambapo wagonjwa 459na vifo 5 vimeripotiwa. Idadi ya wagonjwa walioripotiwa wiki hii imepungua ukiliinganisha na idadi ya wiki iliyoishia tarehe 24 Januari ambapo wagonjwa 524 na vifo 10 vilioripotiwa, punguzo hilo ni sawa na 12%.

Ndugu Waandishi wa Habari,
Ugonjwa huu bado ni tatizo na tunahitaji ushirikiano wa kila mmoja katika kudhibiti Ugonjwa huu.  Changamoto ambazo nilizitaja katika tamko la tarehe 24 Januari bado zipo na zinaendelea kuchangia kulegalega kwa juhudi za kupambana na Kipindupindu ni;
 
i.Kuwepo na idadi ndogo ya kaya ambazo zinamiliki na kutumia vyoo bora hususani katika maeneo ambayo yameathirika zaidi na ugonjwa huu.
 
ii.Kutokuwepo kwa miundombinu stahiki ikiwemo choo na maji katika Maeneo ya mikusanyiko kama masoko na minada kutokuwa na
 
iii.Wananchi kutokutii sheria zilizopo kwa kuendelea kuuza chakula bila kuzingatia kanuni za afya na kuuza matunda yaliyokwisha katwakatwa maeneo yasiyo salama
 
iv.Utiririshaji wa maji taka kwenye vyanzo vya maji, pamoja na kujisaidia maeneo ya wazi na pembezoni karibu na vyanzo vya maji
 
v.Kuwepo kwa idadi ndogo ya watu wanaopata maji safi na salama ya kunywa. Aidha utakasaji wa maji katika ngazi ya kaya kwa kuyachemsha au kwa kutumia vidonge vya kutakasia bado ni changamoto kubwa.

Ndugu Waandishi wa Habari,
Kutokana na changamoto hizo, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ikishirikiana na wadau pamoja na na sekta nyingine, inaendelea na mapambano ya udhibiti wa ugonjwa wa kipindupindu na  inaendelea kusisitiza ushiriki wa jamii katika mapambano haya  kwa kuzingatia yafuatayo:

kunywa maji yaliyo safi na salama
-kuepuka kula chakula kilichoandaliwa katika mazingira yasiyo safi na  salama
-   kunawa mikono kwa sabuni na maji safi  yanayotiririka.
-  kutumia vyoo wakati wote na kutokujisaidia ovyo katika vyanzo vya maji vya mito, maziwa na mabwawa.
-  Kutokutiririsha maji taka na vinyesi ili kuepuka uchafuzi wa vyanzo vya maji
-Wananchi kuwahi mapema katika vituo vya kutolea huduma za afya mara waonapo dalili kuu za ugonjwa wa kipindupindu ambazo ni pamoja na  kuanza ghafla kuharisha mfululizo kinyesi cha majimaji meupe kama maji yaliyooshea mchele na kinaweza kuambatana na kutapika, kulegea, kusikia kiu, midomo kukauka, na kuishiwa nguvu. Mgonjwa anaweza kupoteza maisha endapo hatapata huduma yoyote ya tiba katika muda mfupi na hasa kutokana na kuishiwa maji.

Wizara imeendelea kupeleka timu za Taifa katika mikoa inayoonekana kuwa bado na changamoto katika kudhibiti Kipindupindu. 

Timu hizi za Taifa zitakwenda tena tarehe 1 Febrauri 2016 katika mikoa ya Morogoro, Dodoma,Simiyu, Kilimanjaro, Manyara, Mbeya, Mwanza na Mara.

 Aidha katika Timu ya Mkoa wa Morogoro, nimemwagiza Katibu Mkuu ashiriki katika pamoja na Timu itakayokwenda mkoani hapo na mimi mwenyewe nitakuwepo katika Timu ya mkoa wa Dodoma.

Ndugu Waandishi wa Habari,
Napenda kurudia tena kutoa agizo kwa Mamlaka za Mikoa na Halmashauri pamoja na watendaji wake kote  nchini kuendeleza juhudi za kuzuia kusambaa kwa mlipuko ambazo ni pamoja na: 
 
·Uundwaji wa Timu za mikoa na wilaya ambazo zitashirikisha kila sekta na wadau mbalimbali katika hatua mbalimbali za kuratibu mikakati ya udhibiti wa ugonjwa wa kipindupindu
 
· Ushirikishwaji wa viongozi ngazi mbali mbali, hasa ngazi za Halmashauri kwa kushirikisha madiwani na viongozi wa kata, vijiji, na mitaa Hasa katika Kusimamia utekelezwaji wa Sheria ya Afya ya Mazingira na Sheria ndogo ndogo (By-Laws). 
 
   Matumizi ya sheria hizi pia yazingatie Haki za Binadamu hususan katika uamuzi wa kutumia nguvu ambayo inaweza kuleta madhara kwa mtu. 
 
·Ushirikishwaji wa wadau mbalimbali ngazi ya mkoa,wilaya, halmashauri zikiwemo sekta binafsi na viongozi wa dini  katika jitihada za kupambana na kipindupindu

·Mamlaka husika kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama ikiwa ni pamoja na uwekaji wa dawa ya klorini kwenye maji na kupima usalama wa maji mara kwa mara.

·Kila halmashauri inapaswa kutoa taarifa  mapema na kwa wakati bila kuficha pindi wanapopata wagonjwa wapya  na jamii isiwekewe vikwazo  vya faini au kunyanyapaliwa wapatao ugonjwa huu kwani inaweza kusababisha wananchi kuogopa kwenda katika vituo vya afya.

Hitimisho

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, inatoa rai kwa jamii, wataalamu na viongozi katika ngazi zote kila mmoja kutimiza wajibu wake katika harakati za kuudhibiti ugonjwa huu. 

Tunawashukuru wadau wote, yakiwemo Mashirika ya Kimataifa kwa mchango wao mkubwa katika jitihada zetu za kupambana na Kipindupindu.

Pamoja tukishirikiana tutaweza kuutokomeza ugonjwa huu.

                           Nawashukuru kwa kunisikiliza.

Mbunge Joseph Msukuma Kasheku Ataka Serikali Ihalalishe Bhangi na Mirungi Kama ilivyohalalisha Viroba

$
0
0

Mbunge  wa  Geita vijijini kwa tiketi  ya  CCM, ndugu Joseph Kasheku (Msukuma)  ameishauri serikali  kuruhusu kisheria kilimo cha Bhangi na Mirungi  ili kuiwezesha  kujipatia  fedha za kigeni  kutokana  na  mauzo  ya  mazao hao

Mbunge huyo aliyasema hayo jana katika kikao cha 5 cha bunge la 11 linaoendelea na vikao vyake katika ukumbi wa bunge mjini Dodoma.

''Mheshimiwa mwenyekiti zao la mirungi na bhangi kuna nchi zinaruhusu .Mfano mzuri mfano ni majirani zetu wa Kenya ambao ndege mbili kubwa hutua nchini humo kuchukua mirungi na kupeleka ulaya,sasa kwa nini sisi tusiendeleze zao hili linalopatikana Geita na maeneo ya Bunda mkoani Mara na maeneo mengine nchini ili wananchi wanufaike kwa kuuza zao hilo ?''Alihoji Msukuma na kuongeza;

"Kwa wasukuma kule kwetu mtu akitumia bhangi anapata nguvu ya kulima sana hata hekari mbili lakini inakatazwa na wakati huo huo vijana wetu  tumewaruhusu kutumia viroba ambavyo huwadhoofisha sana pengine kushinda hata bhangi, naomba tufanye utafiti upya juu ya hili.

"Wapo wenzetu humu (wabunge) wanaitumia bhangi na hakuna madhara yoyote, tena wanachangia hoja kwa ufasaha kabisa."

Baada  ya hoja hiyo ya Mbunge Msukuma, Naibu Waziri Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Dkt Khamis Kigwangalla alisimama kumjibu ambapo alisema madawa ya kulevya aina ya bhangi na mirungi yana athari kubwa sana za kiafya na hasa afya ya ubongo .

Kingwangalla alisema serikali kwa namna yoyote haitakubali kuruhusu au kujadili  kuhalalishwa kwa madawa hayo.

Wabunge Wa Upinzani Wagoma Kuteua Wenyeviti PAC Na LAAC

$
0
0

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema kutokana na Spika wa Bunge kuteua kibaguzi wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge, wabunge wa upinzani hawatashiriki uchaguzi wa wenyeviti wa kamati mbili ambazo zinapaswa kuongozwa na upinzani.

Amedai kuwa katika kamati hizo za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Mashirika ya Umma (LAAC), wameteuliwa wabunge wa upinzani ambao hawana uwezo mkubwa katika kutekeleza majukumu hayo na wamekataa kabisa kumhamisha na kumuweka Freeman Mbowe kuwa mjumbe wa kamati hizo.

Kwa mujibu wa Tundu Lissu,  ili Mbowe aweze kuwa mwenyekiti wa PAC au LAAC ni lazima awe mjumbe wake, jambo ambalo limekuwa gumu baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kukataa kumpeleka huko.

Tundu Lissu amesema Ndugai amefanya hivyo kwa madai kwamba amepokea amri kutoka mamlaka za juu  asihamishe mjumbe wa kamati zozote ambazo zimetangazwa

Amesema endapo hawataafikiana na Spika na kufanya marekebisho ya wajumbe wa kamati kama wanavyotaka, kamwe hawatakuwa tayari kuongoza kamati hizo

“Hili Bunge litakuwa la vichekesho, maana unasema kamati za usimamizi wa fedha za umma zitaongozwa na wapinzani halafu unawachagulia nani aongoze hizo kamati. Hatushiriki uchaguzi acha waendelee.”

“Kwa mujibu wa mabunge ya jumuiya za madola, kamati hizo mbili lazima ziongozwe na wabunge kutoka upinzani, hivyo majukumu ya PAC hayawezi kuhamishiwa PIC (kamati mpya ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma).”

Mara baada ya Spika kutangaza majina ya Kamati za Kudumu za Bunge, wabunge wa upinzani walipinga jinsi uteuzi huo ulivyofanyika kwa maelezo kuwa wabunge wenye weledi mkubwa walipangiwa kamati zisizojihusisha na masuala makubwa ya kitaifa.

Akizungumzia suala hilo, Naibu Katibu wa Bunge, John Joel alisema kamati hizo zinaweza kuendelea na kazi bila kuwa na wenyeviti.

“Kiutaratibu mwenyekiti wa kamati hizo mbili lazima atoke upinzani ila makamu wake hutokea CCM. Hata wasiposhiriki zitaendelea na kazi chini ya makamu mwenyekiti. Hakuna kanuni inayoeleza kuwa lazima kamati iwe na mwenyekiti. Ni kama bungeni asipokuwepo Spika, shughuli zitaendelea kufanywa na Naibu Spika,” alisema.

The Most Powerful Witchdoctor In East Africa, Warns Kenyans Not To Call Him “ Mungu wa Pili “!

$
0
0
He  is  so powerful  to  the  extent  that, some  Kenyans  are  now   reffering to  him  as  “  mungu  wa  pili “,   a  Swahili   for  the  second  god.

However , Sheikh  Saleh, a  descendant  of  Arabs  and  Persians who  immigrated  to  the  East  African  nation in 19th  Century  is  not  happy  with  the  idea.

“ I hate  when people  call me  the  second  god. That  is  blaspheming! I am  neither  the  second  God, nor  a   deity!  I am just  a  human  being, just  like you or any other person! I really  don’t  like  that and  I repeat,  I really  don’t  like  that “ He  said.

Sheikh  Saleh, the  master  of Egyptian   Witchcraft,  Indian  Witchcraft, Persian Witchcraft, Tibetan  Magic, Arabian  Black  Magic  combined  with  Black  African  Magic  is  praised in all  over  the  country  of  Kenya  for  his  ability  to  solve  people’s  problems  by using  his  spiritual  powers.

Ascending  to the  levels  of  a  supernatural  being, Sheikh  Saleh  is  indeed  in the  highest  level  of  existence. He  is  Primus  Inter  Pares   among  the  powerful  witchdoctors  in the  world.

Speaking  to  the  author  of  this  article, one  juju man , who  is  also  regarded to be  among  the  strongest  and  powerful  witch  doctors  in  the  region,  had  this  to  say  about  Sheikh  Saleh  The  Greatest .

“ I know  him  as  a  very  gifted  man.  He  know  that  which we  know  not! He  is a spiritual  custodian  to  many  powerful  witch  doctors  in East, central  and  Southern part  of  Africa.

"Most  of  the    powerfull  witchdoctors   from this  region,  claim  there  spiritual  powers  from him.   A lot   of   Strong  and  powerful  witchdoctors  from  Kenya, Tanzania, Uganda, Malawi and  Democratic  Republic  of  Kenya  come  to  Sheikh  Saleh  for  spiritual  powers.

"Most  of  the  time  when  we faced  with  difficult  problems, we  consult  Sheikh  Saleh. He  specializes  in solving  the  impossible  difficult  issues. “     He  said

When  I  asked  him  about  the  issue  of  some   Kenyans  calling him  “ the  second  god”  he  replied :

“ Sheikh  Saleh  himself, doesn’t  like  to  be  addressed  as  such. But for  my  personal opinion, although  it  is  not  right  for  people  to  call  him  such  a  name, but  some  time  I don’t  blame  them so much  for  that, because  he  kind  deserve  that  title. He  can  solve  almost  any  problem  that  you  can  imagine “. He  said.

He   added  that  “  Sheikh  Saleh  the  Great  is  a  kind  of  person who  will  never  be  afraid  only  by  people  but also  by  ghost  and  spirits, not  the  weak  spirits, the  strongest  and  powerful  ones.”

He  has  powers  to  do  and  un do. He  has  powers  to do the  impossible  and  see  the  invisible.

Most of  the  successful    businessmen  and  politicians  are  a  result  of blessings  from  Sheikh  Saleh.  Sheikh  Saleh  is  indeed  one  of  the  most  precious  gifts that  God  gave  to  human  kind.  He  has  changed  a lot  of people’s  lives.

Sheikh  is  now  in Dar  Es  Salaam, Tanzania  for  a  two  week  visit .

If you need  to  know  more  about  Sheikh  Saleh  the  Great, please  visit

Afande Sele Aungana Na Mbunge Joseph Msukuma Kuitaka Serikali Ihalalishe Matumizi Ya Bhangi

$
0
0

Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumizi ya bangi na si kukosoa juu ya hoja iliyotolewa na mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma.

Ikiwa imepita siku moja toka mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma (CCM), kusema haoni sababu ya serikali kuzuia bangi kuwa zao la biashara kwa maana haoni madhara yake huku akidai kwamba viroba vina madhara zaidi kuliko bangi, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumizi ya bangi na si kukosoa juu ya hoja hiyo ya Joseph Msukuma.

Afande Sele amedai kuwa kuna nchi ambazo tayari wao wamehalalisha matumizi ya bangi na kuthibitisha kuwa pombe ina madhara makubwa zaidi kuliko bangi.

"Legalize it, Don't criticize it. Korea Kaskazini, Marekani, Mexico Uruguay na mataifa mengine ya Ulaya yamethibitisha pombe ina madhara kuliko Cannabis Sativa" Amesema Afande Sele.

Toka Bungeni: Serikali Yakiri Kasoro Mradi wa TASAF...Yaahidi Kufanya Maboresho

$
0
0

Serikali imekiri kuwepo  kasoro nyingi zilizojitokeza katika mradi Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini unaotekelezwa na TASAF ikiwamo ubadhirifu wa fedha kwa Kaya sizizokuwa na sifa kupewa pesa kupitia mpango huo hivyo imejipanga kuborsha zaidi mpango huo katika awamu ya tatu kwa kutengeneza miundombinu mizuri ya kutambua Kaya zinazolengwa.

Akijibu swali la Mhe.Magdalena Hamisi Sakaya Mbunge wa Kaliua (CUF) lililouliza ni vigezo gani vinatumika kuondoa Kaya zilizopendekezwa kwenye mradi na kubakiza Kaya chache, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki amesema mpango wa kunusuru Kaya maskini hutambulishwa kijijini na wataalam kutoka Halmashauri husika kwa kusimamiwa na uongozi wa kijiji kisha kuweka vigezo vya Kaya maskini.

“ Wakusanya taarifa huchaguliwa kutoka miongoni mwa vijana wanaoishi kijijini hapo na kupitia nyumba kwa nyumba kuorodhesha Kaya ambazo zinakidhi vigezo vilivyoanishwa na mkutano wa Kijiji ila bado kuna malalamiko yanayotolewa kuwa Kaya maskini zinaachwa na kupewa Kaya nyingine ambazo sio maskini  

"Kwa kuliona tatizo  suala hili tunalifanyia uchunguzi na tunaomba watu watoe taarifa ikiwa wataona ukiukwaji wa uorodheshaji wa Kaya zitakazohusika na mpango huu ili hatua ziweze kuchukuliwa dhidi ya yoyote atakaye bainika kufanya hivyo

“Mpaka sasa kutokana  na malalamiko yaliyojitokeza katika kuorodhesha Kaya maskini zinazotakiwa kuwezeshwa na mpango huu tumewawajibisha watendaji toka Wilaya za Karagwe, Kagera , kibondo na Kigoma na tuomba kupewa taarifa kwa sehemu yoyote ambapo kutatokea tatizo kama hili na tutachukua hatua mara moja kuokoa fedha zilizotakiwa kwenda kusaidia watu husika” Alisema Mhe Angella Kairuki.

Aidha Mhe. Angella Kairuki ameongeza kuwa kuna taarifa zinazoenezwa kuwa fedha za mpango wa TASAF Awamu ya Tatu ni fedha za freemasons, taarifa hizo sio za kweli kwani fedha hizi zinatolewa na Serikali ili kusaidia Kaya maskini ili ziweze kujikwamua kiuchumi kwa kuweza kupata Elimu Malazi na chakula bora.

TASAF ni mpango wa kunusuru Kaya maskini na imekuwa katika awamu tatu mpaka hadi sasa kwa ajili ya kuwezesha Kaya maskini kujikwamua kiuchumi.

Bungeni: Serikali Kuajiri Vijana 71,408 Mwaka Huu.......Halmashauri Zaagizwa Kutenga Asilimia 5 Ya Mapato Kwa Ajili Ya Kuwasaidia Vijana

$
0
0

Serikali katika mwaka wa fedha 2016/2017 imepanga kuongeza ajira kwa vijana ili kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana wengi wa kitanzania kwa kuongeza ajira na kuwezesha wengine kujiajiri kupitia mifuko ya uwezeshaji toka Halmashauri za Wilaya nchini.

Akijibu swali la Mhe.Mgumba Tebweta Omary Mbunge wa Morogoro Kusini (CCM) lenye sehemu a na b lililouliza Serikali itaanza lini kuwawezesha vijana wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki  kifedha ili waweze kujiajiri na kuondokana na tatizo la ajira na umaskini ,Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe  Suleiman Jafo amesema vijana katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Kusini Mashariki wamekuwa wakiwezeshwa kiuchumi kupitia fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Vijana ambapo kila Halmashauri hupaswa kutenga asilimia 5 ya mapato yake ya ndani kila mwaka kwa ajili ya vijana.

Mhe  Suleiman Jafo ameongeza kuwa katika Bajeti ya mwaka 2014/2015,Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ilifanikiwa kutoa Shillingi Millioni 10.3 kwa vikundi vya vijana 19 kwa ajili ya kutekeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi na katika Bajeti ya mwaka wa fedha 2015/2016 vikundi vya vijana vilitengewa Shilllingi Millioni 87.5 ili kuviwezesha kiuchumi kwa kujiajiri.

“Katika kutatua changamoto zilizopo kwa vijana tunawawezesha  kifedha ili kujiajiri ili kumekuwa na tatizo la fedha kuchelewa kufika kwa walengwa ila Serikali kupitia Wizara yangu tunalifanyia kazi ili fedha zifike kwa wakati na tumetenga Shillingi Millioni 50 kwa kila kijiji kwa ajili ya kuwezesha vijana walioko katika vikundi mbalimbali mfano SACCOS ili waweze kujiajiri na kujikwamua kiuchumi kwa kujiondoa katika hali ya umaskini”

“Napenda kuwaomba wabunge tusaidiane sababu wao  wanahusika katika kamati za fedha za Halmashauri za Wilaya, waende wakasimamie hizo fedha kwa ajili ya kuwezesha vijana  zitoke na ziwasaidie walengwa” Alisema Mhe Jafo.

Aidha Mhe  Suleiman Jafo amesema kuwa Serikali imetenga Shillingi Billioni 233 kwa ajiri ya kuajiri vijana wapya takribani 71,408 kati ya hao watumishi wapya wa Afya wanatarajiwa kuwa takribani 10,871 na Waalimu 40,000 kwa nchi nzima ili kupunguza tatizo la ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo mbalimbali nchini.

Serikali kupitia Halmashauri za Wilaya imejipanga katika kuwawezesha vijana katika maeneo yao kujikwamua kiuchumi kwa kujiajiri na kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Serikali itaboresha zaidi mifuko ya kuwezesha vijana katika Halmashauri za Wilaya kwa kununua vifaa zaidi vya kujifunza stadi mbalimbali za kazi zitakazowezesha vijana wengi zaidi kuwa na ujuzi utakaowasaidia kujipatia kipato na kujikwamua kiuchumi.

Ujue Mfumo wa Nguvu za Kiume Unavyofanya Kazi Na Jinsi Ya Kukabiliana na Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume

$
0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani.

Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?

Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu

HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME

Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo :

Hatua  ya  kwanza, ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Na  hatua  ya  pili  ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION

JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA.

1. HATUA   YA  KWANZA:
DAMU  KUTIRIRIKA  KWA  KASI KUINGIA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME  NA  KUUFANYA  UUME  KUSIMAMA  NA  KUWA  MGUMU.

Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu iliyopo  kwenye  ubongo,  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo, ambayo  nayo  hupeleka  taarifa  hadi  kwenye  mishipa  ya  uume. 
 
Taarifa  inapofika  kwenye  mishipa  ya  uume  huifanya  mishipa hiyo  ku-relax  na  hatimaye   kufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka  na  kutanuka. Mishipa  ya  ateri  inapo  tanuka  na  kufunguka, huruhusu  damu  kuingia  kwa  kasi  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  huume  kusimama.

Ni  muhimu  kujua  kuwa, mishipa  ya  uume  inapo relax  hupelekea  kuisukuma na  hatimaye  kuiziba  mishipa  ya  vena  iliyo  karibu  na  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuiondolea  uwezo  wa  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.

N.B: Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili.  Au  kwa  lugha  nyingine  unaweza  kusema, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

2. HATUA  YA  PILI  :
DAMU  KUENDELEA  KUHIFADHIWA  KATIKA  UUME  WAKATI  UUME  UKIWA  UMESIMAMA  NA  HIVYO  KUUFANYA  UUME  UENDELEE  KUDUMU  KATIKA  TENDO LA NDOA   KWA  MUDA  MREFU.

Uume  ulio  simama, ili  uendelee  kusimama, ni  lazima  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo   wa  kunyonya  damu  kutoka  katika  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyinginezo  za  mwili. .

Mishipa  ya  Vena  ndio  inayo  husika  na  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume na  kupeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.  Ili  uume  uendelee  kusimama  lazima  mishipa  hii  ya  vena  iwe imezibwa. Ili  iweze  kuzibwa   ni  lazima  misuli  laini  ya  kwenye  uume  iwe - ime  relax na  hivyo  kuifanya  mishipa  ya  vena  kushindwa  ku  nyonya  damu  kutoka  kwenye  uume.

Endapo  mishipa  ya  vena  itazibuka , basi  itanyonya  na  kutoa  damu yote  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume uliosimama  na  kuipeleka  sehemu  nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  huo ulio simama  na  utasinyaa  mara  moja.

JINSI  UUME  UNAVYO  SIMAMA  NA  KUSISIMKA.
Tumeisha  zifahamu  hatua  mbili  muhimu  katika  kusimama  kwa  uume

Jinsi  Uume  unavyo  simama: Katika  uume  kuna chemba  yenye  mishipa  laini  sana, ambayo  ndio  huufanya  uume  kusimama.

Mishipa  hii  ipo kama  sponji  hivyo  huweza  kunyauka  na  kutanuka.

Damu  inapoingia  ndani  ya  mishipa  hii  huufanya  uume  kusimama  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Damu  inapoendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  mishipa  hii  wakati  wa  tendo  la  ndoa, huufanya  uume  uendelee  kusimama.

Mwanaume  unapo  patwa  na  wazo la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu  iliyo  kwenye  ubongo  hupeleka  ishara  kwenye  uti  wa mgongo, ambao  nao  hufikisha   taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume.

Taarifa  ikisha  fika  kwenye  mishipa  ya  uume, huifanya  mishipa  ya  uume  ku-relax  na  mishipa  ya  uume  inapo  relax, hufanya  mambo  makuu  mawili;

i. Kwanza  hufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka na  hivyo  damu  kutiririka  kwa  kasi  sana  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume

( Mishipa  ya  ateri  ndio  inayo  tumika  kama  njia  ya  kuingiza  damu  kwenye  uume. Bila  mishipa  ya  ateri  imara  na  yenye  afya, damu  haiwezi kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  damu  isipoweza kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, basi  uume  hauwezi  kusimama )

ii.Pili huibana  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuizuia    kunyonya  damu  kutoka  kwenye  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu nyingine  za  mwili. Matokeo  yake  kuufanya  uume  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Kumbuka ,kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  neva  iliyo  karibu  na  mishipa ya  uume, ni kunyonya  damu kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili. Kwa  lugha  nyingine, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume ulio simama.

Kadri  damu  inavyo  zidi  kuingia  ndani  ya mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo  zidi  kuwa  mgumu  na  kukakamaa.

Na  kadri  damu  inavyo  hifadhiwa  ndani  ya  mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo endelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa kwa  muda  mrefu.

Baada  ya  kumaliza  kufanya  tendo  la  ndoa,mishipa  ya  uume inarudi  katika  hali  yake  ya  kawaida (inanyauka ), ikisha  nyauka, mishipa  ya  ateri  inanyauka  pia, vena  zinafunguka  na  kunyonya  damu  katika  mishipa  ya  uume  na  kuirejesha  katika  sehemu nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  kurudi  katika  hali  ya  kawaida  ( Flaccid ).

Hali  hii  itaendelea  kujirudia  kwa  kadri  utakavyo  kuwa  ukiendelea  kufanya  tendo  la  ndoa.

Mambo  Muhimu  Katika  Kuufanya Uume  Usimame na  Kuendelea  kudumu  katika  kusimama  kwa  muda  mrefu wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ili  uume  uweze  kusimama  imara  kama  msumari na  uendelee  kusimama  imara  na  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo la  ndoa, ni  lazima  mambo  yafuatayo yawepo.

1.Mishipa ya   uume iliyo  imara  na  yenye  afya  njema.
2.Mfumo   mzuri  wa damu  katika   mwili  mzima.
3.Mtiririko  imara  wa  damu kuingia  na  kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume.
4.Ushirikiano  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume.

Ili  mwanaume  aweze  kuwa  imara  katika  tendo  la  ndoa, ni  lazima  mambo  manne  niliyo yataja  hapo  juu  yawe  sawa  sawa  bila  hitilafu  yoyote. Kinyume  chake, mwanaume  hawezi  kuwa  na  nguvu  za  kiume.

MAMBO   YANAYO SABABISHA   UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Tumeshajua   nguvu za  kiume  ni  nini, jinsi  uume  unavyo  simama, hatua  za  kusimama  kwa  uume, pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  uume  uweze  kusimama  na  kuwa  na  uwezo  wa  kuendelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ni  vyema  tukajua  mambo  yanayo  sababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume, mambo  yanayo  sababisha  uume  ushindwe kuendelea  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa   pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  mtu  ashindwe  kurudia  tendo  la  ndoa.

Yafuatayo  ni  mambo  yanayo  sababisha  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.

1. MAGONJWA  YANAYO  SHAMBULIA  MFUMO  WA  DAMU  PAMOJA  NA  MISHIPA  YA  DAMU.

Damu  ndio  nishati  inayo wezesha  kusimama  kwa  uume  na kuufanya  kuwa  mgumu na  imara  kama  msumari.

Damu  ndio  nishati  inayo weza   kuufanya  uume uendelee kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Damu  ndio  nishati  inayo  upa  uume  uimara  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  moja.

Hivyo  basi  ili  uume  uweze  kuwa  imara na  wenye  nguvu, pamoja  na  kuwa  na  uwezo  wa  kumudu  na  kustahimili   tendo  la  ndoa  wakati  wowote , basi  ni  lazima   mwanaume  awe  na mfumo  imara  wa  damu  utakao  ruhusu  kutiririka  kwa  damu  kwenda  katika  sehemu mbalimbali  za  mwili  ikiwamo  uume.

Ili  mfumo  uweze  kuwa  imara  ni  lazima  mhusika  awe  na  damu  ya  kutosha, na  pili  awe  na  mishipa  ya  damu  yenye  afya.

Katika  mwili  wa  mwanadamu,kuna  mishipa  inayo  tumika  kusafirisha  damu  kutoka  katika  sehemu moja  ya  mwili kwenda  katika  sehemu  nyingine  ya  mwili  ikiwemo  uume. Mishipa  hiyo  ni  kama  vile  vena (veins), atery ( ateri) na  capillary  ( kapilari )

Mishipa  hii  ya  damu  inapaswa  kuwa  imara  na  yenye  afya  njema  wakati  wote.   Mishipa  hii  ikipatwa  na  hitilifu, basi  itazuia  kusafirishwa  kwa  damu  katika  sehemu  mbalimbali za  mwili  wa  mwanadamu  na  hatimaye  kufanya  suala  la  kuwa  na  nguvu  za  kiume  kwa  mhusika  kuwa  ugumu  kwa  sababu   ya  kushindwa  kupeleka  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

Magonjwa  kwenye  mishipa  ya  damu  huzuia   kutirika  kwa  damu kwenye  ogani  muhimu   kama  vile  moyo, ubongo na  figo.

VIASHIRIA  VYA  MAGONJWA  KWENYE  MISHIPA  YA  DAMU.
Utajuaje  kwamba  una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu ?

Ukiwa  una  matatizo  yafuatayo ya  kiafya, ni  ishara  kwamba, una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu:

1.  Kolestrol ( Ama  lehemu  kwenye  damu )
Kolestrol  nyingi  kwenye  damu, huzuia  kutiririka  kwa  damu. Kolestrol  ikizidi  kwenye  damu,  hupelekea  kuziba   mishipa  ya  ateri  ambayo  kazi  yake  ni  kupeleka  damu  kwenye  uume. Matokeo  yake  ni  mhusika  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake barabara  kwa  sababu uume  hauwezi  kusimama  bila  damu  kuingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume.  
 
Hivyo  basi pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, yakupasa  kutibu  kolestrol. Unaweza  kuondoa  kolestrol  kwenye  damu  kwa  kutumia  dawa  mbali  za  asili  kama  vile mdalasini,uwatu, habbat sodah  etc.  Jinsi  ya  kujitibu  kolestrol  kwa  kutumia dawa asilia  tafadhali  tembelea


2. Shinikizo  Kubwa  la  Damu
Shinikizo  Kuu la  Damu husababisha  mishipa  ya  ateri  ambayo  hutiririsha  damu  iingiayo  kwenye  uume  kuziba  na  kushindwa kutanuka  kwa  kiwango  inachotakiwa  kutanuka.

Pia  huifanya  mishipa  laini  katika  uume   kushindwa  ku-relax  na  hivyo  kushindwa  kuizuia  mishipa  ya  vena  ya  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  maeneo  mengineyo  ya  mwilini.

Matokeo  yake  kunakuwa hakuna  kiasi  cha  kutosha  cha  damu  iingiayo  kwenye  uume  na  hivyo  kufanya  uume  ushindwe  kusimama.

Vile  vile  hata  kiasi  kidogo  cha  damu  kinacho  ingia  kwenye  uume, kinashindwa  kuendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  uume  wakati uume  ukiwa  umesimama, na  matokeo yake  ni  uume  kusinyaa  ndani  ya  kipindi kifupi  sana  tangu  usimame.

Pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa   pia  kutumia  dawa  asilia  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  kuu  la  damu.

Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  la  damu  kwa  njia  ya  asilia, tembelea :


3.  Ugonjwa  wa  kisukari :
Ugonjwa  wa  kisukari  ni  miongoni  mwa  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.  Kusimama  kwa  uume  kunategemeana  na  kutiririka  kwa  damu  mwilini. Kisukari  huathiri  mishipa  ya  damu pamoja  na  usambazaji  wa  damu  kwenye  ogani  muhimu  mwilini  kama  vile  moyo, ubongo, figo  na  uume.

Kiukweli, mwanaume  mwenye  kisukari  yupo  katika  risk  kubwa  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume,m tena  katika  kiwango  kikubwa  sana.

Unashauriwa pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, tumia  pamoja  na  dawa  mbalimbali  za  asili  kwa  ajili  ya  kubalance  sukari  yako mwilini. 
 
Zipo  dawa  mbalimbali  za  asili  zinazo  saidia  kubalance  kiwango  cha  sukari  mwilini. Dwa  hizo  ni  pamoja na mdalasini, unga  wa  uwatu, mbegu  za  uwatu, manjano, majani  ya  manjano,mbegu  za  katani, nakadhalika.
 
 Namna  ya  kutumia  dawa  hizo  kujitibu  tatizo  la  sukari, tafadhali  tembelea :http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

4. Magonjwa  ya  figo
Tatizo  la  ugonjwa  wa  figo  huathiri  vitu vingi  ambavyo  ni  muhimu  sana  katika  kuufanya  uume  uweze  kusimama  na  kuendelea  kudumu  katika  kusimama.

Tatizo  la  figo, huathiri  homoni, huathiri kutiririka   kwa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume. Huathiri  mfumo  wa mishipa  ya  neva  pamoja  na  nishati  ya  mwili mzima.

Pamoja  na  dawa  ya  kutibu  tatizo  la  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia, kutibu  tatizo  la  figo.
 
 Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  mbalimbali  ya  figo  kwa  kutumia  dawa  mbalimbali  asilia, tembelea : http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

5.  Ugonjwa  wa  moyo
Moyo  ndio  supplier  mkubwa  wa  damu  katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili.  Ugonjwa  wa  moyo  hupunguza  uwezo  wa  moyo  kusambaza  damu  kwenye  mishipa  mbalimbali  ya  damu  na  hivyo  kuathiri  utendaji  kazi  wa  mishipa ya  damu  kama  vile  ateri  na  vena.
 
 Matokeo  yake  ni  mishipa  hiyo  kushindwa  kupeleka  damu  ya  kutosha  katika  uume  pamoja  na  kushindwa  kuifanya  mishipa  ya  uume  kurelax na  matokeo  yake,. Ukosefu  wa nguvu  za  kiume. 
 
Hivyo  basi, pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia   kutibu  tatizo  la  moyo. Kufahamu  jinsi  unavyo  weza  kutibu  ugonjwa  wa  moyo  kwa  dawa  asilia, tembelea :


6.  Kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena.
Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  kwenye  uume   kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili. 
 
 Mishipa  ya  vena  iliyopo  karibu  na  uume  kazi  yake  kubwa  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  yoyote  kwenye  mishipa  ya  uume. ( KUMBUKA  KUWA  DAMU  NDIO  HUFANYA  UUMU  USIMAME, HIVYO  CHOCHOTE  KILE  KITAKACHO  FANYA  DAMU  ISIKAE  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME , KITAFANYA  UUME  USINYAE  )

Ili  uume  uendelee  kusimama  ni  lazima, mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  kupeleka  nje  ya  mishipa  ya  uume.

Na  ili  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa    kunyonya  damu  kutoka  kwenye   mishipa  ya  uume  ulio  simama  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili,  ni  lazima  mishipa  ya  uume  iwe  imara  na  thabiti  isiyo  na  hitilafu  yoyote  ile.

Mishipa  ya  vena  ikipwaya, mwanaume  hutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wako, na  ikitokea  umefanikiwa  kuusimamisha  basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana  na  utasinyaa  ndani  ya  muda  mfupi  sana, kwa  sababu  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  uume  wako  na  kuufanya  usimame, itanyonywa  ndani  ya  muda  mfupi  sana  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  wako  usimame.

Tatizo  la  kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena  linasababishwa  na  kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  pamoja  na  ugonjwa  wa  kisukari.

KUPIGA  PUNYETO  KWA  MUDA  MREFU:  Kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  ni  moja  kati  ya  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Asilimia  kubwa  ya  vijana  wenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, linasababishwa  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Unapopiga  punyeto  unakuwa  unaiminya  mishipa  ya  uume   ambayo  ndio  inaufanya  uume  usimame.

Matokeo  yake  unaifanya  mishipa  hiyo  ilegee na  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  tena.

Mishipa  ya  uume  iliyo  legea  kutokana  na  upigaji  punyeto, huleta  madhara  yafuatayo  :

i. Huondoa  uwezo  wa  mishipa  ya  uume  kurelax.
( Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  uume  ina relax  , mishipa  iki  relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  kuruhusu  damu  kingie  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hatimaye  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  mgumu)

ii.Mishipa   ya  kiume  ikishindwa  ku relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kuziba

iii. Mishipa  ya  ateri  ikiziba, damu  haiwezi  kutiririka  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  hata  ikitokea  damu  imeingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  basi  huingia  kiasi  kidogo sana   tena  kwa  presha  ndogo  sana  hivyo  basi  hata  kama  uume  utasimama   basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana

iv.Mishipa  ya  uume  ikishindwa  kurelax  basi  haitakuwa  na  uwezo  wa  kuipush  na  kuiziba  mishipa  ya  vena  ambayo  ndio  hunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  ulio  simama. Matokeo  yake  basi, damu  kidogo  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuufanya  uume  kusimama, hunyonywa  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  ndani  ya  sekunde  chache  sana  na  hivyo  kuufanya  uume usinyae  ndani  ya  muda  mfupi  sana.

v.         Mishipa  ya  uume  kulegea
vi.       Uume  kurudi ndani  na  kusinyaa  na  kuwa  kama  uume  wa  mtoto

6. Tatizo  la  unene  kupita  kiasi : Tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi  ni  miongoni  mwa  mambo  yanayo  sababisha  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. Unene  kupita  kiasi  humuweka  mtu  katika  hatari  ya  kupatwa  na  magonjwa  kama  vile  kisukari, presha, moyo  na  shinikizo  kuu  la  damu. 
 
Na  magonjwa  ya  kisukari, moyo,presha  na  shinikizo  la  damu  husababisha  upungufu na  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, na  hivyo  kumuweka  muhusika  katika  hatari  kuu  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Hivyo  basi  kwa  wewe  mwenye  tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi , pamoja  na  kutumia  tiba  ya  nguvu  za  kiume,  ni  vyema  ukafanya  na  mpango  wa  kupunguza  unene  na  uzito  wako.

JINSI  YA  KUPUNGUZA  UZITO  NA  UNENE  KWA  KUTUMIA  TIBA  ASILIA, TAFADHALI  TEMBELEA:


7.   Matatizo  Katika  mfumo  wa  Ubongo
Uume  hauwezi  kusimama   bila  ya  kuwa  na  ushirikiano  na  ubongo.  Ili mtu  uume  uweze  kusimama, mtu  lazima  apate  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa  (UBONGO  UNA HUSIKA  HAPO ), akishapata  wazo, ubungo  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo hupeleka  taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume  then  uume  usimama.   
 
Hivyo  basi  ili  mtu  aweze  kuwa  na uwezo  wa kusimamisha  uume  wake  ni lazima  kuwa  na  mawasiliano  mazuri  na  imara  kati  ya mishipa  ya  fahamu ( ubongo ), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo   na  mishipa  ya  kwenye    uume.  Bila  ushirikiano  kati  ya  vitu  hivyo  vitatu, uume  hauwezi  kusimama.

Magonjwa  yanayoweza  kuathiri  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  ubongo  na  mishipa  ya  uume, yanaweza  kusababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume.

Magonjwa  hayo  ni  pamoja  na  kiharusi,kupoteza  kumbukumbu  (  Alzheimer ), multiple  sclerosis pamoja  na  ugonjwa  wa  Parkinson.

Ni  vyema  mgonjwa  akatibiwa  kwanza  magonjwa  hayo  kabla  ya  kuanza  kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume.  Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  tajwa  hapo  juu  kwa  njia  asilia,tafadhali  tembelea

Mambo   mengine  yanayo  sababisha  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  pamoja  na  maumivu & majeraha  kwenye  uti  wa  mgongo,  chango  la  kiume , ngiri  na  matatizo  katika  homoni.

VIASHRIA  VYA  MTU  MWENYE  TATIZO  LA  UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Mtu  mwenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  huwa  na  dalili  zifuatazo ;

1. Kushindwa  kabisa  kusimamisha  uume  wake
2. Uume  kusimama  ukiwa  legelege
3. Kuwahi  kumaliza  tendo  la  ndoa
4. Mwanaume  kutokuwa  na uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  katika  baadhi  ya  staili  ( Mara  nyingi   mwanaume  huyu huwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa    staili  moja  tu ).  
 
Hapa  mwanaume  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  ya   “ missionary” pekee.  Ikibadilishwa   staili, mwanaume  anakuwa hana  tena  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake  japo  katika  hali  ya lege  lege

5. Uume  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  wenyewe   bila  kushikwashikwa  ama  kutomaswa kwa  muda  mrefu.

6. Uume  kusinyaa  ukiwa  ndani  ya  mwanamke.

7. Uume  kusinyaa, pindi  inapotokea  activity  yoyote  ya  kiungo  ama  ogani  nyingine  ya  mwanaume  wakati  wa  tendo  la  ndoa. Kwa  mfano, wakati  wa  tendo  la  ndoa, ikitokea  mwanaume  amekohoa  au  kupiga  chafya, uume  nao  unasinyaa.

8. Uume  kusinyaa  mara  tu  baada  ya kutolewa  ndani  ya  uke ( Kwa  mfano  kama  unafanya  tendo  la  ndoa, halafu  uume  ukatoka  nje, kitendo  cha  kuushika  kuurudisha ndani, tayari  una  sinyaa )

9. Kutokuwa  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa.
10.  Kupatwa  na  maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

VIASHIRIA  VYA  MWANAUME  ASIYE 
NA  TATIZO  LA UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume  asiye  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, huonyesha  ishara  zifuatazo ;

i. Uume  husimama  ukiwa  imara  kama  msumari.

ii.Hukaa  kifuani  kwa  muda  mrefu  ( Wastani  ni  kati  ya  dakika  20  hadi  45  )

iii.Huweza  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  tatu  bila  misuli  ya  uume  kuchoka.

iv. Huweza  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  yoyote  ile

v. Uume  husimama  wenyewe  bila  kushikwa  shikwa  wala  kuwa  stimulated  kwa  namna  yoyote  ile

vi.Kwa  ufupi  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya na  kukamilisha  tendo  la  ndoa  kwa  uukamilifu  mkubwa.

TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Dawa  asilia  ya  JIKO   ni  dawa  asilia  inayo  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.

MFUMO   WA  DAWA
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO ni  mkusanyiko  wa  dawa  nne  asilia  zenye  uwezo  mkubwa  sana  katika kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Dawa  hizi  zipo  katika  mfumo  wa  MIZIZI  na  UNGA  UNGA.

JINSI   DOZI  YA  DAWA  YA  JIKO  INAVYO  FANYA  KAZI.
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inafanya  kazi  zifuatazo  katika  mwili  wa  mwanadamu.

KAZI  INAYO  FANYWA  NA  DAWA  YA  JIKO .
Dawa  ya  JIKO  inasadia  katika  mambo  makuu yafuatayo:

1.  Inasaidia   kuimarisha  mishipa  ya  uume  ulio legea  na  hivyo  kuufanya  uume  uwe  na uwezo  wa  kusimama  barabara  kama  msumari  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

2. Inasaidia  kusafisha  mishipa  ya  kwenye  uume  na  hivyo  kusaidia  katika  kuongeza  kasi  ya  msukumo  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  kwenye  uume.

3. Huongeza  damu  mwilini

4. Husaidia  kuongeza  msukumo (pressure)  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  kuwa  na  nguvu  za  ajabu.

5. Huipa  misuli  ya  uume  uwezo  wa  kuziba  wa  kuizuia  mishipa  ya  vena   kunyonya  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  wakati  wa  tendo  la  ndoa  na  matokeo  yake  kukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu( Kuzuia  hali  ya  kufika  kileleni  haraka  )

6. Husaidia  kurelax  mind  na  hivyo  kumfanya  mtu  awe  na  uwezo  wa  kuconcentrate  wakati  wa  tendo la  ndoa   bila  kuathiriwa  na  msongo  wa  mawazo

7.  Hurejesha, kuimarisha  na  kuboresha  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume

8. Humfanya  mwanaume  awe  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  nyingi  zaidi  bila  kuchoka.
9. Husaidia  kuongeza  hamu  ya  tendo  la  ndoa.

10.Husaidia  kuurudisha  nje  uume  ulio ingia  ndani.

11. Husaidia  kutibu  side effects  za  punyeto  na  matumizi  ya  muda  mrefu  ya dawa  kali  za  (za  kizungu ) za  kuongeza  nguvu  za  kiume.

12. Husaidia  kutibu  chango  la  kiume.
13. Dawa  hii  huwasaidia  hata  wanawake  wanao sumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  hamu ya  tendo  la  ndoa.

BEI  YA  DAWA:  Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU  (Tshs.80,000/=)

DAWA  HII  IMETHIBITISHWA  NA  MKEMIA  MKUU  WA  SERIKALI.

MAHALI  TUNAPOPATIKANA :
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO, inatolewa  na  duka  la  dawa  asilia  la  NEEMA  HERBALIST    NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC. Tunapatikana  jijini  DAR ES  SALAAM, katika  eneo  la UBUNGO    karibu  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu, tunatoa  huduma  ya kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ( DELIVERY )

Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  DAR  ES  SALAAM, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  mabasi, wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa   njia  ya  boti  na  kwa  wateja  waliopo  Ulaya, America  na  Arabuni, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  DHL  au POSTA.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA
0766  53  83  84.
Na  kwa  maelezo  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, endelea  kutembelea:

www.neemaherbalist.blogspot.com

Kigwangalla: Serikali itaendelea kuwafungia mageti watumishi Watumishe Wazembe

$
0
0

Serikali haitokuwa tayari kuwaona watumishi wa umma wachache wakinufaika na kufaidi pesa za walipa kodi hususan wa kipatao cha chini na wale maskini

Hayo yamesema wilayani Nzega na Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kigwangwalla alipokuwa akiwahutubia wananchi wa wilaya hiyo

Dkt.Kigwangwalla alisema serikali ya awamu ya tano inawataka watumishi wote nchini kufanya kazi  za kuwahudumia wananchi na kuacha uzembe kwani awamu hii haiwezi kuwavumilia watumishi wa namna hiyo.

“Serikali haitowavumilia watumishi wazembe,hivyo tutaendelea kuwafungia mageti na kuwashughulikia wale wazembe,tunataka watumishi wa umma wafanye kazi ya kuwahudumia wananchi kwa ufanisi,mtumishi akizembea tutamtumbua majipu,akichelewa tunamfungia geti na akiiba tunamfilisi pamoja na kumpeleka jela,hii ndiyo serikali ya hapa kazi tu”

Aidha alisema serikali ya awamu ya tano inataka kero za wananchi zifanyiwe kazi na kutekeleza ahadi zote za  ilani ya uchaguzi ya ccm zinatimizwa.

“hatutomuonea mtu,lakini tutafanyia kazi pale penye matatizo.Tunataka Tanzania mpya ya mwaka 2015 ,hatutaki hadithi wala ahadi”

Hata hivyo aliwataka wazazi wote wenye watoto wenye umri wa kwenda shule kuwapeleka watoto wao kuanza masomo kwani elimu kwa sasa ni bure na hakuna michango yoyote.

“Natoa wito kwa walimu wote wasitoze michango yeyote wala ushuru kwa wazazi wanaowapeleka kuwaandikisha watoto shule kwani shule zimepatiwa pesa za kuendeshea shule hizo."

Dkt. Kigwangwalla aliwakumbusha watumishi wa umma kujipanga na kama watagundulika ni majipu  hawatosita kuwatumbua hadi kina kitoke usaha na damu  bila huruma

Bungeni: Mbunge Magdalena Sakaya Aituhumu Serikali Kuwa Chanzo Cha Ukosefu Wa Ajira Kwa Vijana

$
0
0

Mbunge wa Jimbo la Kaliua Mkoani Tabora Magdalena Sakaya CUF amesema tatizo kubwa la ajira nchi hii linachangiwa na serikali yenyewe.

Magdalena ameyasema hayo wakati akichangia mpango wa serikali kwa mwaka wa fedha 2016/2017 ambao uliwasilishwa hapo juzi na wabunge kupewa nafasi ya kuchangia na kuishauri serikali kwa muda wa siku 5.

"Mheshimiwa Naibu Spika nchi hii ni tajiri sana tuna misitu ya kutosha lakini cha kushangaza tunakata miti tunasafirisha kwenda nje kwenda kutengeneza vifaa ambavyo tunakuja kuuziwa kwa bei ya juu wakati vijana nchini hawana ajira wanarandaranda mitaani".Alisema Sakaya na kuomngeza;

"Serikali ndiyo chanzo cha kukosekana kwa ajira kwa vijana nchi hii maana hadi pamba za kusafisha masikio tunatoa nje, pia tumeifanya nchi hii kuwa nchi ya kupokea kila kitu wakati malighafi tunazalisha hapa hapa nchini,Serikali ifufue viwanda ili kuweza kuajiri maelfu ya vijana".

Aidha Mbunge huyo ameitaka serikali kutekeleza kwa vitendo miradi ya maji ambayo iliahidiwa katika wilaya ya Kaliua na kwa muda wote wa mpango uliopita vijiji vitatu tuu ndivyo viliweza kupewa kipaumbele.

Maajabu Ya Miski Katika Tiba Ya Kuondoa Kitambi Na Mafuta Mwilini.

$
0
0
Kitambi , manyama uzembe, uzito  uliozidi  na  unene  uliopitiliza  ni  matatizo  yanayo  wakabilia mamilioni  ya  watu  duniani.Matatizo  haya  ya  kiafya  yana  athari  mbaya  sana  katika  mwili  wa  mwanadamu.
 
Baadhi  ya  athari  zake  ni  pamoja  na  kujiweka  katika  hatari  kuu  ya  kukumbwa  na  magonjwa  makubwa  kama  vile  presha na  kisukari.

Kufahamu  zaidi  kuhusu  tatizo  la  kitambi  na  namna  linavyo  patikana, tafadhali  tembelea :


MISKI  INAVYO  SAIDIA   KATIKA  TIBA  DHIDI  YA  KITAMBI  NA  UNENE  ULIO  ZIDI.

Miski  ina  faida  zaidi  ya  ishirini  katika  afya  ya  mwili  wa  mwanadamu.  Miski  inapotumika  pamoja  na  dawa  asili  ya  MKATAA  KITAMBI,  hutoa  mchango  mkubwa  sana  katika  kuondoa  kitambi  na  kupunguza  mafuta  mwilini. 

Mtu  mwenye  kitambi  na  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini, anapotumia  dawa  ya  mkataa  kitambi  pamoja  na  miski, kitambi  chote  pamoja  na  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini  huisha kabisa.

JINSI  YA  KUTUMIA  MISKI  KATIKA  KUONDOA  KITAMBI  NA  MAFUTA  YASIYO  HITAJIKA  MWILINI.

Mahitaji:
i.Miski  kichupa  kimoja.

ii. Dawa  asilia  ya  mkataa  kitambi.

iii. Maji  lita  moja

MATAYARISHO :
· Chukua  vijiko  vidogo  vitatu  vidogo  vyenye  dawa  ya  mkataa  kitambi, kisha  weka  kwenye  lita  moja  ya  maji  halafu   chemsha  hadi  itokote kabisa . Ikishatokota, ipua na  chuja, makapi  weka  pembeni  ubaki  na  juisi  yako.

· Chukua  kichupa  kimoja  cha  miski,kitikise  kwa  dakika  moja  kisha  changanya  chote  kwenye  dawa  ya mkataa  kitambi   halafu  koroga  hadi  ichanganyikane kabisa. Ikisha  kamilika kunywa  dawa  yako  yote.  Utafanya  hivyo  mara  moja  kwa   siku  kwa  muda  wa  siku ishirini  na  moja. Muda  mzuri  wa  kutumia  tiba  hii  ni  kati  ya  saa  kumi  na  mbili  jioni  hadi  saa  tatu  kamili  usiku.

LISHE MAALUMU  AMBAYO  UNAWEZA  KUTUMIA  PAMOJA  NA  TIBA  HII.

Kama  utataka  kupungua  zaidi  na  kwa  haraka  zaidi, pamoja  na  tiba  hii, unaweza  kutumia  moja  wapo  kati  ya  lishe  maalumu  zifuatazo :

A.   LISHE  NAMBA  MOJA
Mahitaji  :
1. Juisi  ya  apple  lita  moja  ( Fresh Juice  ya  kutengeneza  mwenyewe )
2. Chumvi  kijiko  kidogo  kimoja.

Matayarisho :
Changanya  kijiko  kimoja  cha  chumvi  kwenye  lita  moja  ya  juisi  ya  apple, koroga  kisha  kunywa. Utafanya  hivyo  mara  mbili  kwa  siku  kwa  siku  ishirini  na  moja.

(  KAMA  UTASHINDWA  KUTENGENEZA  JUISI  YA APPLE, BASI  FANYA  KAMA  IFUATAVYO : CHUKUA  MA APLE  MATATU, YAKATE  KATE  ILI  KUPATA  SLICE, HALAFU  CHANGANYA  KWENYE  MAJI  LITA  MBILI, KISHA  LOWEKA  USIKU  KUCHA.

 IKIFIKA  ASUBUHI,ONGEZA    KIJIKO  KIMOJA  KIDOGO  CHA  CHUMVI. KOROGA  KISHA  IGAWANYE JUISI  YAKO  KATIKA  MAFUNGU  MAWILI  YANAYO  LINGANA… UTATUMIA  KUNYWA  MARA  MBILI  KWA  SIKU  ASUBUHI  NA  JIONI. NUSU  MOJA  UTAKUNYWA  ASUBUHI  NA  NUSU  NYINGINE  UTAKUNYWA  JIONI.    UTAFANYA  HIVYO  KWA  MUDA  WA  SIKU  ISHIRINI  NA  MOJA.

==>LISHE  NAMBA  MBILI
Mahitaji
i.Tango moja

ii.Mdalasini  ya  unga kijiko kimoja  kikubwa

iii.Manjano   au  Tangawizi  kijiko  kimoja  kikubwa

iv.Majani  ya  nanaa  ( mint  plant  leaves )  kijiko  kimoja  kikubwa

v.Malimao  au  ndimu  nne

vi. Maji  lita  tatu

vii.Jagi  la  maji  lenye  uwezo   wa  kuhifadhi  lita  tatu  za  maji

Matayarisho  :
·Kamua  malimao  manne  au  ndimu  nne  ili  kupata  juisi  yake.

· Chukua  tango  lako  kisha  kata  kupata  vipande  vine.

Chukua  vipande  vine  vya  limao, weka  kwenye  maji  lita  moja  kisha  ongeza  juisi  yako  nya  ndimu  au  limao, kijiko  kimoja  kikubwa  cha  mdalasini, kijiko  kimoja  kikubwa  cha  manjano, pamoja   na   kijiko  kimoja  kikubwa  cha  majani  ya  nanaa  kisha  weka  jagi, funika  vizuri  halafu  hifadhi  kwenye  friji.

MATUMIZI  :  Utakuwa  unatumia  kama  maji  ya  kunywa  katika  uwiano mpangilio  ufuatao : Glasi  moja  asubuhi, glasi  moja  usiku, kwa  muda  wa  siku  ishirini  na  moja.

JINSI   YA  KUPATA  MISKI  PAMOJA  NA  DAWA  YA  MKATAA  KITAMBI:

Kwa mahitaji  yako  ya   MISKI  pamoja  na  dawa  ya  MKATAA  KITAMBI, fika  ofisini  kwetu   UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM, jirani  na  SHULE  YA MSINGI  UBUNGO  NATIONALM  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Wasiliana  nasi  kwa  SIMU   NAMBA    0766  53 83  84.
Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam, wanatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabasi. Kwa  wateja  waliopo  Zanzibar, wanatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  boti  na  kwa  wateja  waliopo  ughaibuni, wanatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  au  DHL.

PICHA  ZA  BAADA  NA  KABLA  YA  KUTUMIA  TIBA  HII
Kama  unataka  ku –share  na  wadau  picha  zako  za  KABLA  na  BAADA  ya  kutumia  tiba  hii, tafadhali  tutumie  picha  zako  kupitia  email  yetu : neemaherbalist@gmail.com

KWA  TAARIFA  ZAIDI  KUHUSU  HUDUMA  ZETU, WASILIANA  TUTEMBELEE :

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images