Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Zitto Kabwe Amjibu Kubenea....Asema ni Mgonjwa wa Chuki, Muongo na Kigeugeu

$
0
0
==>Makala hii inapatika kwenye ukurasa wa Facebook wa Zitto Kabwe MTUMISHI wa Mungu afumaniwe kwa uzinzi na mke wa mtu, kesho asubuhi aamkie madhabahuni kuhubiri neno kisha waumini wapokee. Huko ni kumtania Mungu. Mimbari ni kwa ajili ya wasafi. Ukiwa mchafu hufai kuhubiri neno. Maneno ya Mungu hayashereheshwi na mwenye uchafu. Maana mtu mchafu ni mtenda dhambi. Mwandishi wa Habari na

Simba avamia Kijiji i na kuua wawili ( Baba na Mwana )

$
0
0
WATU wawili, baba na mwanawe wamekufa baada ya kushambuliwa na kujeruhiwa na simba mkoani Katavi.  Tukio hilo lilijiri Januari 3, mwaka huu, pale mkazi wa kijiji cha Sitalike wilayani Nsimbo Wilaya ya Mlele, John Jeremiah (45) na mwanawe mwenye umri wa miaka mitano, walipouawa na simba baada ya kuwavamia wakiwa wamelala ndani ya nyumba yao. Akizungumzia tukio hilo, Mwenyekiti wa kijiji

Rais Magufuli Akutana Na Kufanya Mazungumnzo Na Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa Na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba Ikulu Jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamini William Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam January 7,2016. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamini William Mkapa, Ikulu jijini Dar es Salaam alipomtembelea January 7,2016. Rais wa Jamhuri ya

Bilioni 18.77 Zimetumwa Kwenye Akaunti Za Shule Za Msingi Na Sekondari Hapa Nchini Kwa Ajili ya Wanafunzi Kusoma Bure

$
0
0
KIASI cha shilingi bilioni 18.77 zimetumwa kwenye akaunti za shule za Msingi na Sekondari za halmashauri zote hapa nchini kwaajili ya wanafunzi kusoma bure. Hayo yamesemwa na Waziri wa fedha na Mipango, Dk. Philip Mipango wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Pesa hizo zimegawanywa kwenye akaunti za shule za shule za Msingi na Sekondari katika halmashauri

Profesa Muhongo Awataka EWURA NA TANESCO Waongeze Kasi Kazini.....Aagiza Waharakishe Kushughulikia Maombi ya Wawekezaji

$
0
0
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewaagiza watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutafuta uwezekano wa kufupisha muda wa kushughulikia maombi ya wawekezaji wanaotaka kuwekeza katika uzalishaji umeme. Alitoa agizo hilo hivi karibuni jijini Dar es Salaam alipokutana na Viongozi wa mashirika hayo

Waziri Mkuu Aridhishwa na Huduma za Matibabu Wanazopewa Wazee

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa amefarijika kuona wazee wanapata huduma za matibabu bure na kwa utaratibu mzuri katika hospitali ya Mkoa wa Ruvuma. Akizungumza na madaktari, wauguzi na watumishi wengine wa hospitali hiyo wiki hii, alivyokuwa kwenye ziara mkoani humo, Waziri Mkuu  Majaliwa amesema  utaratibu wa kutenga chumba maalum chenye madaktari wawili  mahsusi kwa ajili ya

Majipu 9 Yatumbuliwa Kigoma Kwa Tuhuma Za Ufisadi wa Majengo ya KIGODECO na MIBOS

$
0
0
WAKUU wa idara tisa katika Halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma, wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma za ufisadi kwenye matumizi ya fedha na uuzwaji wa majengo ya halmashauri hiyo. Inaelezwa kuwa kusimamishwa kwa watumishi hao kunafuatia maagizo ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa Katibu Tawala wa mkoa huu, John Ndunguru kuunda tume na kufanya uchunguzi kuhusu

Askofu Pengo: "Muhimbili Panatosha na Nimeridhika Na Huduma Za Hapa, Sioni Haja ya Kwenda Kutibiwa Nje"

$
0
0
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki  la Dar es salaam,Muadhama, Kardinali  Pengo amesema kwamba ameridhishwa na huduma za afya zinazotolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH), hivyo itakuwa ni vigumu kwa Serikali kumshawishi kwenda kutibiwa nje ya nchi. Kauli hiyo ilitolewa jana  na Askofu Pengo ambaye amelezwa katika  Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika hospitali

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa Ya Januari 8

Shehena Ya Petroli FEKI Yakamatwa....Serikali Yaamuru Irudishwe Ilikotoka!

$
0
0
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeamuru shehena ya mafuta ya petroli iliyoagizwa kutoka Falme za Kiarabu irejeshwe ilikotoka kutokana na kubaini hayana ubora unaotakiwa kwa matumizi ya magari na mitambo. Akitoa taarifa hiyo Dar es Salam jana, Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Joseph Masikitiko alisema, vipimo vya maabara vya sampuli ya mafuta hayo vimeonesha kuwa hayafai kwa matumizi.

Maalim Seif Afunguka Kuhusu Uchaguzi Zanzibar.......Awataka Wazanzibari Wasikubali Kuchokozwa

$
0
0
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema juhudi za kuutafutia ufumbuzi mkwamo wa kisiasa Zanzibar zinaendelea, na kuwataka wananchi waendelee kuwa watulivu. Amesema katika kipindi hiki cha mazungumzo maneno mengi ya kuwavunja moyo wananchi hasa kutoka vyama vya upinzani yatasemwa, lakini amesema ufumbuzi wa tatizo hilo utapatikana kwa kuheshimu misingi ya

[Audio] Wastara Azungumzia Alivyoinadi CCM na nyumba Zake Kuwekewa Alama "X"

$
0
0
Wastara Juma ni mmoja wa wasanii maarufu wa filamu nchini Tanzania. Katika audio inayosikika kwenye video iliyopachikwa hapo chini, anazungumzia anazungumzia kuhusu nyumba zake kuwekwa alama ya "X" kwa ajili ya kubomolewa, huku akigusia kujitoa kwake kufanya kampeni ya kukinadi Chama Cha Mapinduzi kiasi cha kuugua.

Mmbwana Ally Samatta Anyakua Tuzo ya Mchezaji bora wa Afrika Anayechezea Barani Afrika

$
0
0
Mwanasoka raia wa Tanzania anayechezea TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mmbwana Ally Samatta amenyakua tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika anachezea ndani ya bara la Afrika, wakati  tuzo ya mwanasoka bora barani Afrika ikienda kwa Pierre-Emerick raia wa Gabon anayesakata kabumbumbu katika klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani.   Tuzo hizo za kila mwaka zinazotolewa na

Chadema Wajichimbia Kilimanjaro Kujitathimini

$
0
0
Siku 74 baada ya kushindwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana kimefanya kikao cha kujitathmini na kuweka mpango kazi kwa miaka mitano ijayo. Katika uchaguzi huo uliofanyika Oktoba 25, mwaka jana, mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho, Edward Lowassa alishindwa na Rais John Magufuli wa CCM aliyepata kura Milioni 8.8 sawa na asilimia 58.5.

Prof Joyce Ndalichako Atoa Maagizo Mazito NECTA......Awapa Siku 7 Wamweleze Kwa Nini Matokeo ya Sekondari Yanatolewa Kwa GPA Badala ya Division

$
0
0
WAZIRI wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako  ametoa siku saba kwa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limpe sababu za kubadili mfumo wa utunuku viwango vya ufaulu wa awali( Division) na kwenda wa wastani wa pointi (GPA) unaotumika sasa Kidato cha Nne na Sita.Aidha, ametaka litoe maelezo ya kitaalamu juu ya sababu za kuanzisha mtihani wa pili kwa

Msimamizi Wa BomoaBomoa Dar Aanguka Ghafla Ofisini Kwake.... Madaktari Washindwa Kubaini Tatizo

$
0
0
Operesheni kubwa ya kubomoa nyumba zaidi ya 15,000 zilizojengwa katika maeneo yasiyostahili jijini Dar es Salaam, imekumbana na changamoto ya aina yake baada ya mmoja wa wasimamizi wa kazi hiyo kutoka Baraza la Taifa la Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira (Nemc), Heche Suguti, kuanguka ghafla akiwa ofisini kwake na kuwahishwa hospitali akiwa hoi. Chanzo  kutoka ndani ya Nemc kimesema kuwa

Mke Afia 'Gesti' Akiwa na Mchepuko

$
0
0
Mwanamke mmoja (jina linahifadhiwa)  anayedaiwa ni mke wa mtu, amefariki dunia katika nyumba ya kulala wageni katika Manispaa ya Bukoba, akiwa na mwanaume mwingine anayesemekana ni hawara yake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa, watu hao walienda katika nyumba hiyo ya kulala wageni iliyopo eneo la Hamugembe Januari 3,

Serikali yasitisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, yajielekeza kuziimarisha Bandari za Dar na Mtwara

$
0
0
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amesema ujenzi wa bandari ya Bagamoyo utasubiri hadi kukamilika kwa uongezaji wa kina cha maji katika Bandari ya Dar es Salaam na uboreshaji wa Bandari ya Mtwara. Profesa Mbarawa alisema mbali ya kuongeza kina katika bandari ya Dar es Salaam, pia kipaumbele kikuu ni kujenga gati namba 13 na 14 zinazopigiwa kelele.

Manji Alinunua Gazeti la Jambo Leo

$
0
0
Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania ambao ni wachapishaji wa Gazeti la kila siku la Jambo Leo imenunuliwa na Kampuni ya Quality Media Group ambayo ni kampuni tanzu ya Quality Group Limited,ununuzi umeanza December 31 na unategemea kukamilika February 01. Kampuni ya Quality Media imedhamiria kuwekeza katika tasnia ya habari kwa kuongeza ufanisi katika utendaji wa gazeti la Jambo Leo na

Rais Magufuli Ampongeza Mbwana Ally Samatta Kwa Kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salam za pongezi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na  Michezo Mhe. Nape Nnauye kufuatia mchezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu  Mbwana Ally Samatta kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza Barani Afrika; iliyotolewa katika mji wa Abuja nchini Nigeria jana usiku.. Mhe. Rais Magufuli
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images