Aziza Kibibi alikuwa na umri wa miaka minane tu wakati baba yake - Mwongozaji wa Tuzo za muziki za MTV - alipoanza kumbaka.
Alipofika miaka 10, somo ambalo Aswad Ayinde alikuwa akimfundisha binti
yake 'jinsi ya kuwa mwanamke' likabadilika na ubakaji wake wa mara kwa
mara ukazaa watoto watano kutokana na makosa ya kujamiiana kwa
kisingizio cha kujaribu kutengeneza damu 'halisi'.
Kwa namna
MAJANGA: BABA MZAZI AMBAKA BINTI YAKE
↧
↧
Sheikh Ponda aondolewa hospitalini na kupelekwa Gerezani
Wakili Nassor Jumaa anayesimamia Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam
nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda (54) ambaye kwa sasa anakabiliwa na
kesi mpya ya kufanya uchochezi katika maeneo mbalimbali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania amezungumzia kitendo cha kumhamisha mteja wake
kutoka hositalini hadi Segerea.Leo hii majira ya saa 7 mchana
nje ya viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
↧
"KIAMA CHA WASANII MAMISS KIMETIMIA.....FANI IMEWASHINDA NA WAMEKIMBILIA KUJIUZA"...THEA
BAADA ya wasanii waliotoka kwenye mashindano ya u-miss kuvuma sana na
kupotea ghafla, msanii mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Salome
Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ amefunguka na kudai utabiri wake umetimia.
Akizungumza
na mwandishi wetu hivi karibuni, Thea alisema miaka kadhaa iliyopita
alitabiri kuwa wasanii waliokuwa wanavuma sana ambao walitokea kwenye
mashindano ya u-miss, hawatadumu
↧
"LEO NITAWAANIKA VIGOGO WOTE AMBAO NI WAUZA UNGA ".....MWAKYEMBE
Siku moja baada ya kufanya ziara ya ghafla Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison
Mwakyembe amesema leo ataweka hadharani majina ya watu wanaosafirisha
dawa za kulevya nchini.
Dk Mwakyembe juzi alifanya ziara hiyo JNIA kukagua
utendaji kazi kwenye uwanja huo ikiwa ni siku chache baada ya kutokea
kashfa ya
↧
BINTI ANYIMWA KUGOMBEA UONGOZI KWA SABABU NI MZURI KUPITA KIASI
Msichana mrembo kutoka Iran amejikuta akikosa nafasi ya uongozi
katika halmashauri ya jiji lake kwa kuambiwa kuwa yeye ni mzuri sana
hivyo amepitiliza sifa za nafasi hiyo.
Nina Siahkali Moradi (27), alikuwa miongoni mwa wagombea katika
uchaguzi wa halmashauri ya jiji la Qazvin nchini Iran, ambapo baada ya
kura kuhesabiwa alikamata nafasi ya 14.
Lakini hata hivyo wiki moja
baadaye
↧
↧
Daktari aliyemtibu Sheikh Ponda atiwa mbaroni.....
Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh
Ponda Issa Ponda ambaye alikuwa amelazwa katika Taasisi ya Tiba na
Mifupa (Moi), jana aliondolewa na kupelekwa katika Gereza la Segerea,
Dar es Salaam.
Kitendo hicho kimelaaniwa vikali na familia yake na
wafuasi wake, ambao wamepanga kufanya maandamano makubwa leo ...
Sheikh Ponda, ambaye alisomewa shtaka la
uchochezi akiwa
↧
MTANZANIA AKAMATWA HONG KONG NA MADAWA YA KULEVYA YAKIWA NDANI YA MASHINE
Kwa mara nyingine, maafisa wa Hong Kong katika kiwanja cha ndege
wamefanikiwa kukamata dawa za kulevya zilizokuwa zinasafirishwa kutokea
Tanzania safari hii zikiwa zimefichwa katikati ya chuma cha mashine.Dawa
hizo aina ya heroin zilikamatwa katika nyakati mbili tofauti kwa jumla
zikiwa na kilo 1.5 na thamani ya dola milioni 1.3 za Marekani.Maafisa
hao wanasema kwa kuwa wamekuwa
↧
WACHOMEWA NYUMBA WAKIDAIWA KUIBA KWENYE GARI LILILOPATA AJALI
NYUMBA sita katika eneo la Mbwewe wilayani Bagamoyo mkoani Pwani
zimeteketezwa kwa moto na watu. Inaelezwa kuwa hatua hiyo imechukuliwa
baada ya kudaiwa kuwa wakazi wa nyumba hizo walihusika na wizi wa
marobota na viatu yaliyokuwamo katika gari ya Fuso iliyopata ajali
katika eneo hilo.
Gari hiyo ilipata ajali katika eneo la Mbwewe katika barabara ya
Chalinze- Segera baada ya
↧
Huyu ndo kijana aliyekamwa na Mwakyembe akisafirisha madawa ya kulevya Airport
Habari ambayo imeripotiwa na ITV inadai kwamba baada ya siku
moja ya ziara ya kushtukiza ya Waziri wa uchukuzi Dk. Harison Mwakyembe
kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini
Dar-es-Salaam, kiasi kikubwa cha dawa za kulevya kimekamatwa uwanjani
hapo katika harakati za kusafirishwa kwenda nchi za nje.
Aliekamatwa ni kijana ambae alikua anazisafirisha hizo dawa
↧
↧
Wananchi waua majambazi mawili jijini Mwanza
WATU wawili wanaodaiwa kuwa ni
majambazi wameuawa na wananchi mkoani Mwanza wakati wakijaribu kuiba
katika kituo cha mafuta cha GBP.
Akizungunzumza
na mwandishi wetu, shuhuda mmoja ambaye alikuwa eneo la tukio hilo alisema
kuwa majambazi hao walifika katika kituo hicho cha mafuta wakitaka
kuiba.
<!-- adsense -->
↧
Mwakyembe awafukuza kazi waliomsaidia Agness Masigange kupitisha madawa ya kulevya
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa agizo kwa Mamlaka ya
Viwanja vya Ndege (TAA) kuwafukuza kazi na kuliagiza jeshi la Polisi
nchini kuwaunganisha na wengine kwenye kesi mahakamani ili kujibu
mashitaka ya jinai, wale wote waliohusika katika kuuwasaidia Agness
Gerald na mwenziye Mellisa Edward kupitisha dawa za kulevya aina ya
Crystal Methamphetamine "TIK" au "Meth" au "USAN
↧
Mwanamke abakwa na kuchomekwa kisu sehemu za siri huko Shinyanga
Mwanamke mmoja anayekadiriwa
kuwa na umri kati ya miaka 25 hadi 30 amekutwa amekufa katika makaburi ya
Majengo soko la mjini Kahama mkoani Shinyanga huku mwili wake ukiwa ametobolewa
macho na kuonesha kupigwa na kitu kizito usoni.
Mwanamke huyo ambaye
hajatambulika jina lake na anakotoka alikuwa amevaa Blauzi nyeusi yenye madoa
meupe, viatu vyenye urembo wa silva, mnene kiasi, mweusi na
↧
Moto ulitokea kwenye mitambo ya vodacom jana lakini emeshadhibitiwa
Moto ulitokea kwenye betri za mitambo ya simu lakini mitambo yetu ipo
salama. Wataalamu wa mtandao wanaendelea kurudisha umeme ili kurudisha
huduma za simu.Tunawashukuru kwa
uvumilivu wenu na kuwaomba radhi kwa usumbufu. Tutaendelea kuwapa
taarifa za maendeleo ya ukarabati unavyoendelea. Juhudi zote zinafanywa
kuhakikisha huduma zinarudi hewani mapema iwezekanavyo.<!-- adsense -->
↧
↧
Shahidi wa tano aeleza alivyolazimishwa kuzini na mchungaji wa TAG
SHAHIDI wa tano katika kesi ya kutorosha wanafunzi inayomkabili
Mchungaji wa Kanisa la TAG, raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo
(DRC), Jean Felix Bamana ameieleza mahakama namna alivyolazimishwa
kufanya mapenzi na mchungaji huyo.
Shahidi huyo, Angela Swai (19), akitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu,
Naomi Mwerinde wa Mahakama ya Hakimu mkazi Moshi, alisema Mchungaji
huyo
↧
"Kutekwa kwa Sheikh Ponda ni harakati za serikali kuwapendelea wakristo"...Tamko la waislamu
SAKATA la Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh
Ponda Issa Ponda, limeendelea kuwa gumzo katika maeneo mbalimbali, huku
matamko makali yakitolewa dhidi ya Serikali.Sakata hilo
limeonekana kutikisa na kutawala vyombo vya habari, baada ya kiongozi
huyo wa dini kudaiwa kupigwa risasi, kusomewa mashtaka kitandani na
baadaye kupelekwa gerezani chini ya ulinzi mkali
↧
Polisi feki ajitetea...adai kuwa njaa ndo ilimfanya ajifanye traffic
MKANDA mzima wa askari bandia wa Kikosi cha Usalama Barabarani
(trafiki), James Juma Hussein (45) aliyekamatwa saa 1:30 asubuhi ya
Agosti, 14, 2013 maeneo ya Tabata Kinyerezi Mnara wa Voda, jijini Dar es
Salaam akiwa ndani ya sare zake za kazi, umepatikana....
Kwa nini James alikamatwa? Asubuhi hiyo, afisa mmoja wa trafiki
mwenye cheo cha ukaguzi alikuwa akipita eneo hilo kwenda kazini
↧
Feza Kessy ayaanika matiti yake nje wakati wa uzinduzi wa Yahaya
Video ya yahala ilizinduliwa rasmi jana pande za nyumbani lounge.
Baadhi ya wasanii kama Feza Kessy ambaye alikuwa mgeni rasmi, Vanessa
Mdee na Mkolon...
Pamoja na kuwa mgeni rasmi, Feza anadaiwa kuwa miongoni mwa wasanii waliokuwa wamevaa vibaya....
Vazi lake lilikuwa likiyaanika matiti yake hadharani, hali ambayo iliwafanya hata watoto wayashuhudie.
<
↧
↧
Picha za utupu za wapenzi wengine zavuja...
↧
Rais wa Malawi ammwagia sifa Rais Kikwete...
RAIS wa Malawi, Joyce Banda amempongeza
Rais Jakaya Kikwete kwa kuimarisha demokrasia, amani na usalama katika
nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za kusini mwa Afrika (SADC).
Banda alitoa pongezi hizo jana wakati
akihutubia Mkutano wa 33 wa Wakuu wa SADC baada ya kukabidhiwa nafasi ya
uenyekiti wa jumuiya hiyo kutoka kwa Rais wa Msumbiji, Dk Armando
Guebuza.
“Wananchi wa Malawi, mimi
↧
CHADEMA yafukuza wanachama wake 8 -Ukonga
KAMATI ya Utendaji ya
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga imewafukuza
uanachama wanachama wake wanane huku wawili wakipewa onyo kali kwa
tuhuma za kukihujumu.Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili
ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana, Katibu wa CHADEMA Jimbo la
Ukonga, Jumaa Mwipopo, alisema kuwa kwa muda mrefu kulikuwa na tuhuma za
wanachama hao kukihujumu
↧
More Pages to Explore .....