Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Watu Wanne Wapandisha Kizimbani Kwa Kusambaza Taarifa za Uongo Kwenye Mtandao wa Whatsapp

0
0
WATU wanne wakiwemo ndugu watatu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kusambaza taarifa za uongo kwenye mtandao wa Whatsapp, kuwa nchi inaingia kwenye machafuko wakati wa uchaguzi.   Washtakiwa hao Leila Sinare (36), pamoja na ndugu watatu, Godfrey Soka (45), Deo Soka (40) na Monica Soka (32), walifikishwa mahakamani hapo jana na

Rais Magufuli afanya kikao na Makatibu Ikulu jijini Dar

0
0
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi. Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada

Hapa Kazi Tu: Magufuli Afuta Safari Zote za Nje ya Nchi Kuanzia Leo

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo asubuhi katika Ikulu ya Dar es Salaam amefanya kikao na Makatibu wakuu, Manaibu Makatibu wakuu, Gavana wa Benki Kuu Prof. Benno Ndulu na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kutoa uelekeo wa Serikali anayoitaka mara baada ya kuapishwa. “Nataka Serikali iendelee kwa nguvu zote na katika kutekeleza

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya Novemba 9

Niko tayari Kukamatwa-Maalim Seif

0
0
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema yuko tayari kukamatwa na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka, kama kitendo chake cha kujitangazia ushindi ni kosa.   Maalim Seif alikuwa akizungumza na viongozi wa majimbo, makatibu wa matawi, wajumbe wa mkutano mkuu, wajumbe wa kamati za utendaji za ngazi zote na watendaji wa chama hicho.   Alisema haoni hatua yake ya kuitaka

Babu Seya Atua Mahakama ya Afrika......Awasilisha hoja tatu, Alia na Serikali Kuvunja Sheria

0
0
Hatimaye mwanamuziki, Nguza Viking  maarufu kama Babu Seya na mwanae, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, wametua katika Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AFCPHR)  Arusha.   Wanamuziki hao wamekata rufaa dhidi ya adhabu waliyohukumiwa  mwaka 2004 ya kutumikia kifungo cha maisha gerezani.   Kupitia shauri lao lililowasilishwa mahakamani na kupewa namba 006/ 2015, wanaiomba Mahakama ya

Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dk. Hellen Kijo-Bisimba Anusurika Kifo Katika Ajali Mbaya Ya Gari

0
0
Mkurugenzi wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Dk. Hellen Kijo-Bisimba amenusurika kifo ajalini.  Dk. Kijo-Bisimba alipata ajali mbaya ya gari katika daraja  la Salender   Dar es Salaam jana.   Katika ajali hiyo, Dk. Kijo-Bisimba anadaiwa kuvunjika mguu mmoja baada ya gari lake kupoteza mwelekeo na kupinduka mara nne.   Ajali hiyo ilitokea  jana asubuhi wakati   akitoka

Uteuzi wa Wabunge wa Viti Maalum Wapelekea Viongozi Wa Chadema Kujiuzulu

0
0
Viongozi wa ngazi za juu mkoani Rukwa akiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Mkoa, Zeno Nkoswe wametangaza kujiuzulu nafasi zao kufuatia kutoridhishwa na uteuzi wa wabunge wa viti maalum uliofanywa na viongozi wa chama hicho ngazi ya Taifa.   Viongozi hao wa Baraza la Chadema wameeleza kuwa mbunge wa viti maalum aliyeteuliwa alikuwa wakala wa TLP na sio Chadema kama

Lowassa Azichambua Ahadi za Rais Magufuli

0
0
Aliekuwa  Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amewataka wananchi kulinganisha ahadi za Rais, Dk. John Magufuli  na CCM kuhusu elimu.   Ameyasema hayo siku mbili baada ya Dk.   Magufuli, aagize watendaji wa serikali kushughulikia utekelezaji wa sera yake ya kutoa elimu bure kuanzia  Januari mwakani.   Lowassa, chini ya mwamvuli wa Umoja wa

BAVICHA Waipa Serikali Saa 72 Iwe Imetoa Mikopo kwa Wanafuzi wa Vyuo Vikuu......Vinginevyo Wataitisha Mgomo

0
0
Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limetoa saa 72 kwa Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELSB) kuhakikisha inawapa mikopo wanafunzi wote waliobaki wa Vyuo Vikuu na wakishindwa kufanya hivyo wataitisha mgomo nchi nzima.   Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa BAVICHA, Julias Mwita, alisema Serikali ya

Taarifa ya Bodi kuhusu awamu ya pili ya mikopo ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu

0
0
AWAMU YA PILI YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA MIKOPO KWA 2015/2016 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuutaarifu umma kuwa kuna taarifa zinazosambazwa na baadhi ya mitandao ya kijamii kuwa Bodi haitatoa mikopo kwa waombaji wapya kwa mwaka wa masomo 2015/2016. Taarifa hizo si za kweli na hivyo Bodi inauomba umma kuzipuuza. Aidha, Bodi ya Mikopo inapenda kutoa taarifa kwamba

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Nov 10

Bibi Harusi Amkimbia Bwana Harusi Saa Chache Kabla Ya Ndoa Kufungwa

0
0
Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Doroth Msuya, mkazi wa Monduli mkoani Arusha, ametoweka muda mfupi kabla ya kufunga ndoa na Joseph Machange, mkazi wa Mwika, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro.   Ndoa ya wawili hao ilitarajiwa kufungwa Jumamosi ya Novemba 7 katika Kanisa la Kinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Usharika wa Lole, Mwika. Mchungaji mwenza wa

Dk Shein na Maalim Seif Wakutana Kwa Faragha Ikulu, Zanzibar

0
0
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Mohamed Shein na mwenzake wa ya CUF, Maalim Seif Sharrif Hamad jana walikutana kwa faragha kwa takriban saa tano, lakini hakuna taarifa iliyotolewa kuhusu kilichojadiliwa kwenye kikao hicho.   Kikao hicho, ambacho pia kiliwahusisha marais wastaafu wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano, Ali Hassan Mwinyi na Amani Karume, kimefanyika katika

Wawakilishi Wateule 27 wa CUF Zanzibar Wawasha Moto......Mawaziri Nao Waachia Ngazi

0
0
Wakati Jumuiya za kimataifa zikiendelea kushinikiza mgogoro wa kisiasa Zanzibar umalizwe, wawakilishi wateule 27 wa CUF Zanzibar, wamepigilia msumari wakisema wao ni wawakilishi halali na kwamba hawatambui kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar. Wawakilishi hao wamesema kuwa, sheria na Katiba ya Zanzibar haziruhusu mtu yeyote kufuta matokeo yao, kwa kuwa walishatangazwa na kupewa vyeti vya

Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Afungasha Virago

0
0
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salvatory Rweyemamu amemaliza mkataba wake na kuondoka huku akiwashukuru watendaji kwa muda wote aliokuwa nao wakimsaidia Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete. Kuondoka kwake kunampa fursa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kuunda safu mpya ya Kurugenzi ya Mawasiliano. Salva aliteuliwa, kwa mara ya kwanza, na Rais Kikwete kushika

Umoja wa Ulaya Waiasa Tanzania Kuhakikisha Sheria ya Uhalifu wa Mtandaoni ya mwaka 2015 Haikiuki Haki za Raia Wake.

0
0
Mkuu wa Umoja wa Ulaya, Mabalozi wa Ubelgiji, Denmark, Ufini, Ufaransa, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Hispania, Sweden, Uingereza na Mabalozi wa Canada, Norway, Uswisi na Marekani wanatoa tamko lifuatalo katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania == Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Ubelgiji, Denmark, Ufini, Ufaransa, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Hispania, Sweden, Uingereza na

Rais Dkt. John Pombe Magufuli Akusudia Kupunguza Wizara 8 kati ya Wizara 28 Zilizopo Sasa.....Lengo ni Kubana Matumizi Ya Serikali

0
0
Siku chache baada  ya  kufuta  safari  za  vigogo  nje ya  nchi,Rais  wa  Jamhuri  ya  Muungano  wa  Tanzania  Dr John Magufuli  anakusudia  kufyeka wizara  8  miongoni  mwa  28  zilizopo  sasa  ili  kubana  matumizi. Hatua  hiyo  ya  Dr  Magufuli  ni  sehemu  ya  utekelezaji  wa  ahadi  alizozitoa  kwa  wananchi  wakati  akijinadi  kwenye  kampeni  zake  za  kuwania  Urais  kupitia  Chama

Kofia Ya 'M4C' Yatajwa Kama Kigezo Cha Kumvua Ubunge Peter Msigwa

0
0
Aliyekuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM, Frederick Mwakalebela amefungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubunge wa jimbo la Iringa mjini yaliyompa ushindi Mchungaji Peter Msigwa wa Chadema huku akiitaja kofia ya M4C katika shtaka lake. Msajili msaidizi wa mahakama kuu ya kanda ya Iringa , Ruth Massama amesema kuwa Mwakalebela alifungua shtaka hilo mahakamani hapo Oktoba 30 mwaka

Zitto Kabwe Atoa Ushauri Muhimu Kwa Rais Magufuli Utakaosaidia Kuleta Mabadilko Kwa Watanzania

0
0
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ametoa ushauri wake kwa kiongozi mkuu wa nchi ili kuleta mabadiliko makubwa katika mfumo.   Zitto ameandika kupitia ukurasa wake wa Facebook, japo hakutaja jina lakini maelezo yake yanaonesha kuwa mwenye uwezo wa kufanya maamuzi hayo ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hivyo, ndiye mlengwa wa ujumbe huo.   Hivi ndivyo alivyoandika
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images