Mwanake mmoja nchini Zimbabwe amekumbwa na balaa la mwaka baada ya kupoteza VIUNGO VYAKE VYA SIRI ( Uke)....
Mwanamke huyo alikumbwa na balaa hilo usiku wa kuamkia tarehe 29 mwezi wa nne mwaka huu...
Kwa mujibu wa mtandao wa Standardmedia, mwanamke huyo alimka usiku na kuelekea chooni kukojoa.Akiwa chooni, alishangaa kuona mkojo hautoki.Alipojichungulia
MWANAMKE ANYOFOLEWA NYETI ZAKE KWA MADAI YA KULALA NA WAUME ZA WATU...
↧
↧
PICHA: MBUNGE MSIGWA AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO
Mbunge Msigwa akishuka katika gari hilo la polisi tayari kwa kuelekea chumba cha mahakama
Mbunge Msigwa akiwa na gazeti mkononi baada ya kufikishwa mahakamani leo
Watuhumiwa wengine wa vurugu za machinga na polisi wakishuka katika karandinga la polisi
Wakili wa Msigwa kulia akiteta jambo nje ya mahakama
Kada wa Chadema Frank Mwaisumbe
↧
MAHAKAMA YAMWACHIA HURU MSIGWA KWA DHAMANA.....
WATUHUMIWA 60 wa vurugu kati ya machinga na polisi mjini Iringa akiwemo Mbunge
wa Jimbo hilo, Mchungaji Peter Msigwa, kwa sasa wanafanyiwa
utaratibu wa dhamana baada ya mahakama kukubali kupewa dhamana.
Awali watuhumiwa walisomewa mashitaka matatu huku mbunge akisomewa
shitaka la kushawishi watuhumiwa hao kufanya vurugu.
Watuhumiwa
wote wamekana
↧
AFANDE SELE AGOMA KULA BAADA YA SIMBA KUPAKATWA NA YANGA
King
Selemani ama Afande Sele kutoka mji kasoro bahari Morogoro ni moja ya
watu wanaoonekana kuwa ‘addicted’ na ushabiki wa soka kiasi cha
kushindwa kuvumilia maumivu ya kufungwa kwa timu anayoishabikia, Simba
kitendo kilichompelekea asuse kula toka Jumamosi.Akizungumza na
Suddy Brown katika segment maarufu ya U Heard kupitia XXL ya Clouds FM,
mke wa rapper huyo mkongwe Mama
↧
SPIKA WA BUNGE AAMURU KUFUTWA KWA HOTUBA YA SUGU ILIYOSABABISHA BUNGE LISITISHWE ASUBUHI
Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mh Anne Makinda,
ameamuru kambi ya upinzani kuyaondoa maneno yote yaliyomo kuanzia
ukurasa wa kwanza mpaka wa 14 katika hotuba rasmi ya Kambi ya upinzani
iliyosmwa na mbunge wa Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi ‘Sugu,’ ambaye
ni Waziri Kivuli wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Mh. Makinda ametoa amri hiyo baada ya
↧
↧
BIASHARA YA NGONO YASHIKA KASI DODOMA.....MAKAHABA WA DAR NAO WAPIGA KAMBI
BIASHARA ya ngono katika mji wa Dodoma
imeshika kasi kubwa ambapo imebainika kuwa wateja wakubwa ni watumishi
wa serikali, wanasiasa na madereva.
Uchunguzi wetu umebaini kuwa katika biashara hiyo kuna
makundi mbalimbali yanayotofautiana kwa malipo ya biashara hiyo.
Wapo
wanafunzi wa vyuo vikuu na wanawake ambao wamedai kuwa wanalazimika
kufanya biashara hiyo kutokana na kubanwa na
↧
WATU SITA WANASWA WAKISHOOT VIDEO YA NGONO....
Watu sita mjini Nakuru Kenya wametiwa nguvuni baada ya kunaswa wakipiga picha za uchi kwa ajili ya filamu yao ya ngono.....
Tukio hili limetokea ikiwa ni siku chache tu baada ya kundi jingine la warembo 11 kunaswa wakifanya mapenzi na mbwa huko Mombasa....
Habari zinada kwamba, tukio hili la Nakuru lilinaswa na walinzi wa jengo ambalo vijana hao walikuwa
↧
RAIS KIKWETE AMWAGIA SIFA LOWASSA......AMEDAI KWAMBA LOWASSA NI "JEMBE"
Rais
Jakaya Kikwete amemwagia sifa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa
hatua ambayo inaweza kutafsiri mengi katika medani ya siasa nchini.
Akizungumza na wabunge wa CCM kwenye Ukumbi wa White House Dodoma juzi,
Rais Kikwete ambaye pia mwenyekiti wa chama hicho, alisema nguvu za
Lowassa pekee zinatosha kushinda uchaguzi mdogo wa kiti cha udiwani Kata
ya Makuyuni kilichoko wilayani
↧
" MATOKEO YA KIDATO CHA SITA".....SIFURI KIBAO ZAFUTWA KIMYA KIMYA
MPANGILIO wa alama mpya za kufaulu kwa wahitimu wa kidato cha sita
waliohitimu mwaka jana, ambao matokeo ya mitihani yao yanaweza
kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, unadaiwa kuzua aibu na kama si
uamuzi uliotajwa bungeni wa matumizi ya alama za ufaulu za zamani,
matokeo hayo yangeibua aibu kama ilivyojitokeza kwa kidato cha nne,
2012.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari kutoka
↧
↧
HII NDIO KUMBUKUMBU YA MIAKA 17 YA AJARI YA MELI YA MV BUKOBA ILIYOZAMA TAREHE 21 MAY
Meli ikiwa inazama na ikiwa imezungukwa na mitumbwi pamoja na boti ambazo zilisaidia kwenye uhokoaji
MV Bukoba ikiwa inazama ilikuwa ni tarehe 21 mei 1996
Makaburi ya Igoma ambako ndugu zetu waliokuwa wakisafiri kwa meli ya MV Bukoba walizikwa.
RIPOTI
ya Tume ya Jaji Robert Kisanga, iliyochunguza chanzo cha ajali ya mv
Bukoba, inasema usiku wa kuamkia siku ya ajali, meli
↧
PROFESA JAY AJIUNGA NA CHADEMA TAYARI KWA KUENDELEZA MAPAMBANO YA KISIASA KAMA MKONGWE SUGU
Rapper mkongwe nchini, Joseph Haule aka Profesa Jay amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA.
Profesa amekabidhiwa kadi ya uanachama wa CHADEMA na mbunge wa Mbeya
mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu.
Kujiunga rasmi kwa Profesa kwenye
chama hicho kunaashiria kuwa huenda akawa na nia ya kugombea ubunge kwa
tiketi ya chama hicho mwaka 2015.
Profesa ameamua
↧
TUKICHOKA KUHUBIRI AMANI, BASI TUJIANDAE KUCHIMBIANA MAKABURI
Ndugu zangu, Naiona hatari kubwa nyingine inakuja mbele yetu. Ni
haya makundi mawili; MaBodaboda na MaMachinga.
Hofu yangu kuna
wanasiasa wachache wanaowaona vijana hawa, katika matatizo yao ya
kiuchumi, kuwa ni mtaji wa kisiasa. Na kimsingi wanawageuza kuwa ‘ Shuka
za Kisiasa’. Na hapa ni wanasiasa wa vyama vyote.
Hatari yake? Viongozi wasipokuwa makini, wakaacha kutanguliza
↧
UJIO WA RAIS OBAMA NCHINI TANZANIA
Rais wa Marekani Bw. Baraka Obama na Mkewe wanatarajia kufanya ziara ya
nchi tatu barani Afrika itakayojumuisha nchi za Senegal, Afrika ya
Kusini na Tanzania, Kuanzia tarehe 26 Juni hadi tarehe 3 Julai.
Katika
ziara yake hiyo, Rais atawekea mkazo umuhimu ambao Marekani inauweka
katika ushirikiano wetu wa kina na unaoendelea kuimarika na nchi za
Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara
↧
↧
BABA YAKE DULLY SYKES ANASWA AKIVUTA BANGI....
Baba
mzazi wa mwanamuziki wa bongo flava nchini Dully Sykes, Mzee Sykes
pichani kama inavyoonekana akiwa na madawa haram ya kulevya aina ya
bangi mkononi huku mbegu mbegu zikiwa zimedondoka chini.-----
Baba
mzazi wa mwanamuziki nyota wa bongo flava nchini Dully Sykes , Mzee Sykes
hivi karibuni alinaswa akichambua bangi mikononi
mwake kwa ajili ya kuivuta.
Tukio
hilo la aina yake
↧
WASANII WATAKAOTUMBUIZA KATIKA SHOW YA UFUNGUZI WA BIG BROTHER WATAJWA
Show ya ufunguzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa
itafanyika Jumapili hii, May 26 nchini Afrika Kusini.
Usiku huo
utawaonesha washiriki wote 28 watakaoanza safari ya miezi mitatu ya
kuzisaka dola laki tatu za msimu wa nane wa Big Brother Africa, The
Chase.
Miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye ufunguzi huo ni pamoja na
STL wa Kenya, Don Jazzy, D’ Prince na
↧
TUNDU LISSU NA ANNE KILANGO NUSURA WACHAPANE MAKOFI BUNGENI
Baada ya Bunge kuahirishwa jana, nje ya
ukumbi hali haikuwa nzuri baina ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu
Lissu na Mbunge wa Same Mashariki (CCM), Anne Kilango Malecela.Mtafaruku
huo uliibuka baada ya Kilango kusikika akimtuhumu Lissu kwa uchochezi,
akisema kwamba amekuwa mbunge pekee anayeongoza kwa vurugu.
Maneno
hayo hayakumfurahisha Lissu ambaye alishindwa kuvumilia na kumgeukia
↧
GODBLESS LEMA AUMBUKA....VODACOM WADAI KWAMBA ULE UJUMBE WA VITISHO HAUKUTOKA KWA MKUU WA MKOA
KAMANDA
wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, amedai kuwa uchunguzi wa
awali kuhusu ujumbe unaodaiwa kutumwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa
Mulongo, umetumwa na mtandao wa simu wa nje ya nchi.
Kamanda
alisema katika ujumbe huo ambao Lema anadai uliandikwa na Mkuu wa Mkoa
Mulongo na kutumwa kwenye simu yake Aprili mwaka huu, uchunguzi wa
polisi umeonyesha kwamba haukutumwa
↧
↧
"WASANII WANAOVAA VIMINI KWENYE FILAMU HUWA WANAJIUZA"....MWAKIFAMBA
RAIS
wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba amesema
wasanii wanaovaa mavazi yasiyo na staha ikiwemo vimini kwenye sinema
wanajiuza.Mwakifwamba
aliyasema hayo katika mahojiano na kituo kimoja cha runinga, jijini Dar
es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, akiwa ameongozana na msanii
Riyama Ally.
Kauli hiyo ya Mwakifwamba imekuja siku chache baada ya
sakata la
↧
VIDEO YA MKENYA ANAYELIA BAADA YA OBAMA KUPANGA KUJA TANZANIA NA KUIKACHA KENYA
Rais wa Marekani Barack Obama na mkewe Michelle mwezi ujao atakuwa na ziara katika nchi tatu za Afrika zikiwemo Tanzania, Afrika Kusini na Senegal.
Ziara hiyo itaanza June 26 – July 3. Hata hivyo kitendo cha Obama
kuiruka Kenya nchi anayotokea baba yake mzazi, kimewaumiza wakenya wengi
hasa ukizingatia kuwa hajawahi kuitembelea nchi hiyo tangu aingie
madarakani.
HUYU NI MKENYA
↧
KAKA NA DADA WANASWA WAKIVUNJA AMRI YA SITA KATIKA MAPANGO YA UFUKWE WA COCO
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni.
Usemi huu unakamilishwa na tukio la kunaswa kwa vijana wawili wenye
undugu wa damu wakifanya mapenzi kando ya Ufukwe wa Bahari ya
Hindi
Imefahamika
kwamba vijana hao, kaka na dada wamenaswa ‘wakingonoka
katika mapango yaliyopo kando ya Ufukwe wa Coco, Oysterbay jijini Dar
es Salaam.
Tukio zima lilitokea mchana kweupe wa saa 9 na
↧
More Pages to Explore .....