Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Samuel Sitta Kuwania Nafasi ya Kuwa Spika Wa Bunge la 11

$
0
0
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta ametangaza kuwa atawania nafasi ya Spika ili kuliongoza Bunge la 11. Sitta aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tisa amekuwa kada wa kwanza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujitosa katika mchuano wa kuwania nafasi hiyo nyeti wakati huu ambao Bunge limevitaka vyama vya siasa viwe tayari kwa ajili ya kupeleka majina ya wateule wao wa nafasi hiyo mara itakapotangazwa

Habari zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano Nov 4

LHRC: Polisi Wanaendelea Kushikilia Vifaa vyetu vya Kazi

$
0
0
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.  Hellen-Kijo Bisimba, amesema vifaa vilivyokuwa vikitumiwa na kituo  hicho kukusanya taarifa za uchaguzi vilivyochukuliwa na polisi,  havijarudishwa. Alisema hayo alipokuwa akizungumza na mwandishi jana na kufafanua kuwa  kwa mujibu wa taarifa walizopewa na polisi, bado uchunguzi dhidi ya  vifaa hivyo unaendelea na vitarudishwa

Sakata la Z'bar Lakwamisha Vyama Vya Siasa Kumuaga Rais Kikwete

$
0
0
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeahirisha kwa mara ya pili  hafla ya vyama vya siasa kumuaga Rais Jakaya Kikwete baada ya  kumaliza miaka 10 ya uongozi wake kwa mujibu wa katiba.    Hafla hiyo inayoratibiwa na Baraza la Vyama vya Siasa ilipangwa  kufanyika jana baada ya Oktoba 2, mwaka huu kuahirishwa ili kutoa  fursa kwa Rais Kikwete kushughulikia mvutano wa uchaguzi wa

Serikali Yakanusha Taarifa za Kifo cha Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa

$
0
0
Msemaji  Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Assah Mwambene amekanusha taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa kuwa amefariki Dunia. Akizungunza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar es Salaam, Mwambene amesema Rais Mkapa yupo salama na mzima wa afya na hakuna maradhi yoyote yanayomsumbua. Mwambene amewaasa watumiaji

Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa mwanamuziki Queen Darleen, Diamond Plutnumz amzawadia gari mpya

$
0
0
Leo star na mkongwe wa Bongo Flava aitwae Queen Darleen, anasheherekea kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa.   Sasa kaka yake ambaye pia ni Icon wa Muziki Afrika hivi sasa Naseeb ‘Diamond’ Abdul, ameamua kumzawadia zawadi ya gari mpya dada yake. kupitia ukurasa wake wa Instagram, Plutnumz ameweka picha ya gari hiyo na kuandika ‘Happy Birthday my luvly and beutiful sisy.. let dat small

Kesho Alhamisi, Novemba 5, Ni Sikuu Na Mapumziko.......Rais Kikwete ametangaza Mapumziko ili Kuikaribisha Serikali Mpya

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameamua na ameitangaza kesho, Alhamisi, Novemba 5, mwaka huu, 2015, kuwa Sikukuu na siku ya mapumziko. Rais Kikwete amefanya uamuzi huo, ili kuwawezesha Watanzania kushiriki katika sherehe za kuhitimisha Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne na kuingizwa madarakani Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

Rais Kikwete Afanya Mazungumzo na Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif - Ikulu ya Dar

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amefanya mazungumzo na makamu wa rais wa kwanza kisiwani Zanzibar ambaye ndiye mgombea Urais kupitia tiketi ya chama cha upinzani (CUF) Maalim Seif katika Ikulu Jijini Dar es Salaam. Hatua hiyo inajiri wakati ambapo kuna tofauti za kisiasa kisiwani Zanzibar baada ya Tume ya Uchaguzi(ZEC) kufuta matokeo ya uchaguzi uliofanyika .

Wema Sepetu Amtusi Diamond Baada Ya Kununua Gari La Milioni 200 ( Range Rover )

$
0
0
Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ameangusha bethidei baab’kubwa ambayo imesheheni kufuru ya aina yake na ‘kumtusi’ hadharani mpenzi wake wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa kumsema kuwa ni mtu wa kununua magari ya bei rahisi hivyo hawezi kuifikia hadhi yake. Sherehe hiyo iliyosheheni mastaa kibao Bongo, ilifanyika katika ukumbi wa Wema Sepetu uliopo ndani ya jengo la Millenium Towers,

Asimilia 82 ya Wanafunzi Wakosa Mikopo 2015/16

$
0
0
Zaidi ya wanafundi 50,000 watashindwa kuendelea na masomo ya elimu ya juu kutokana na kushindwa kupata mikopo kutoka katika Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB). Hayo yamebainika ikiwa ni siku tatu tangu HESLB kutoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kupata mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016, huku idadi kubwa ikiwa haimo katika majina hayo. Katika mwaka huu wa masomo bodi ya mikopo

Jukwaa la Wahariri Walaani Tukio la Kuzomewa Dk Reginald Mengi na Wafuasi wa CCM

$
0
0
JUKWAA la Wahariri (TEF), limelaani kitendo cha kuzomewa na kudhalilishwa kwa waandishi wa habari wa ITV, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam, Oktoba 30 mwaka huu. Akizungunza na waandishi wa habari Katibu wa Jukwaa hilo, Neville Meena amesema kuwa kitendo hicho si cha kukaliwa kimya kutokana na kukwaza utendaji wa kazi na kudhalilisha utu wa waandishi hao mbele ya

Mbowe: UKAWA na wapenda Mabadiliko, Hatutahudhuria Sherehe za Kuapishwa Dr. Magufuli

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe amesema kuwa hawatashiriki shughuli ya kuapishwa kwa Dk. John Pombe Magufuli inayotarajiwa kufanyika Alhamis, Novemba 5, 2015. Kauli hiyo ya Mwenyekiti Mbowe aliyoitoa leo, imekuja wakati kukiwa bado kuna

T.B Joshua Akutana na UKAWA Kwa Lowassa

$
0
0
Muhubiri wa Kimataifa kutoka nchini Nigeria, T. B. Joshua (shati la miraba), akizungumza jambo na wenyeji wake, aliekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA kupitia mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa na viongozi wakuu wa UKAWA,Freeman Mbowe,  James Mbatia pamoja na mwanasiasa mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika nyumbani kwa Lowassa, Masaki jijini

Tanzania Ya VIWANDA Kuanza Rasmi Leo...... Dunia Kushuhudia Kiapo Cha Magufuli

$
0
0
Hatimaye Tanzania inatarajia kuanza safari mpya ya mabadiliko ya kweli masaa machache yajayo baada ya Rais Mteule Dkt. John Magufuli kuapishwa jijini Dar es Salaam, zoezi litakalo hitimisha uongozi wa Rais Jakaya Kikwete. Kuapishwa kwa Dkt. Magufuli kutafungua ukarasa mpya wa Tanzania ya Viwanda aliyoiahidi katika kila jukwaa alilopanda kuwaomba kura watanzania katika maeneo mbalimbali, “

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Nov.5


Mawaziri Waagizwa Kurejesha Ikulu Magari ya Serikali leo.

$
0
0
Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue, amewaagiza  Mawaziri na Naibu Mawaziri leo kurudisha magari ya serikali baada ya Rais Mteule, Dk. John Magufuli kuapishwa kwa kuwa ndiyo siku yao ya ukomo wa uongozi. Jana Balozi Sefue alisema baada ya Bendera ya Rais kuteremshwa na kabla Bendera ya Rais mpya kupandishwa, magari ya mawaziri na Naibu Mawaziri, yatabadilishwa namba kwa kuondoa herufi ya

Updates Toka Uwanja wa Uhuru Katika Sherehe za Kuapishwa Dr Magufuli

$
0
0
Leo  Rais  mteule  wa  awamu  ya  tano, Dk. John Magufuli anaapishwa  rasmi  ambapo  asubuhi  hii  viongozi  mbalimbali  wanaendelea  kuwasili  uwanja  wa  uhuru  kushuhudia  sherehe  hizi.   Watu  ni  wengi  sana, mvua  nayo  inanyesha  kuonyesha  ni  tukio  lenye  baraka  

Dkt. Magufuli Aapishwa Rasmi Kuwa Rais wa Jamhuri Ya Muungano Tanzania

$
0
0
Hatimaye, Dkt. John Magufuli ameapishwa rasmi na kuwa Rais wa serikali ya awamu ya Tano ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania akihitimisha rasmi uongozi wa serikali ya awamu ya nne iliyoongozwa na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.   Rais Magufuli na makamu wake Bi. Samia Suluhu wamekula kiapo leo katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam mbele ya viongozi wa

Hotuba ya kwanza ya shukrani aliyotoa Rais Magufuli baada ya kuapishwa

$
0
0
John Pombe Joseph Magufuli (56) ameapishwa mapema leo kuwa Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Baada ya kuapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Jaji Othaman Chande Rais John Magufuli alitoa neno la shukrani kwa watanzania na kuwataka washindani wake saba waliokuwa wakichuana katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu kuweka  

Picha 39 za Dr Magufuli Alivyokula Kiapo Cha Kuwa Rais Na Kukagua Gwaride Kwa Mara Ya Kwanza

$
0
0
==>Picha  ziko  zaidi  ya  39, zote  ziko  hewani  ili  Ushuhudie  tukio  hili  la  kipekee  >  Uendelee  nazo
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images