WASHITAKIWA nane wamefikishwa mahakani kwa kosa la jinai ya kukusanya matokeo ya uchaguzi Mkuu wa Urais mwaka huu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuyachapisha kupitia mitandao ya kijamii bila ya kuihusisha tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Washitakiwa hao, Mashinda Edwin Mtei (45),Mkazi wa Tengeru-Arusha, Julius Mwita (30), Mkazi wa Magomeni-Dar es Salaam, Frederick Eddie
Mahakama Yawang’ang’ania Vijana wa Chadema Waliokuwa Wakijumlisha Matokeo ya Lowassa
↧
↧
Breaking News: Tume ya Uchaguzi Zanzibar imefuta Matokeo yote ya Uchaguzi mkuu Zanzibar.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar imeufuta uchaguzi mkuu wa Zanzibar kutokana na kuwa na dosari nyingi ikiwemo uchaguzi kutokuwa huru na wahaki
Mwenyekiti wa ZEC amewaambia waandishi wa habari mchana huu kuwa amechukua maamuzi hayo baada ya kujiridhisha kuwa uchaguzi uligubikwa na dosari nyingi.
"Mimi nikiwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,
↧
Breaking News: LOWASSA Apinga Matokeo......Aitaka Tume Ya Uchaguzi Kusitisha Mara Moja Utangazaji Wa Matokeo Hayo
Ndugu waandishi wa habari;
Tumewaita hapa kuwaomba muwaeleze Watanzania wenzetu, jumuiya ya kimataifa na marafiki zetu wengine wa ndani na nje, kwamba hatukubaliani na matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais, yanayoendelea kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kote nchini.
Hii ni kwa sababu, upo ushahidi wa wazi unaothibitisha kwamba utangazaji wa matokeo hayo umevurugwa kwa
↧
Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania pamoja na Ireland Kaskazini Wapinga Uchaguzi Mkuu Kufutwa Zanzibar
Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania pamoja na
Ireland Kaskazini umetoa taarifa ukipinga kufutiliwa mbali kwa matokeo
ya Uchaguzi kisiwani Zanzibar.
Ubalozi huo umesema kuwa hauoni
sababu za kufutiliwa mbali kwa matokeo hayo ilhali waangalizi
walifurahishwa na vile uchaguzi huo ulivyofanyika kwa amani.
Wameitaka tume ya uchaguzi Kiswani Zanzibar kuorodhesha matokeo hayo bila
↧
Updates: Vyama Vya Siasa Vinatia Saini Muda Huu Kukubali Matokeo Yaliyotangazwa
Vyama vyote vilivyosimamisha wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania vimeridhia usahihi wa matokeo ya Urais isipokuwa CHAUMMA na
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Hivi sasa wawakilishi wa vyama hivyo vilivyoridhia wanasaini fomu maalumu kuridhia matokeo hayo.
CHADEMA hakikuwakilishwa katika kikao cha kuridhia matokeo wakati
mwakilishi wa CHAUMMA aliyekuwepo
↧
↧
Breaking News: Dr John Pombe Magufuli Atangazwa Rasmi Kuwa Mshindi Wa Kiti cha Urais wa Tanzania kwa Asilimia 58.46
Tume ya uchaguzi ya Tanzania Bara (NEC) kupitia Mwenyekiti wake Jaji
Damian Lubuva imemtangaza Rasmi mgombea Urais wa CCM, Dr John Pombe Magufuli kuwa mshindi halali wa kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya jumapili wiki iliyopita.
Kwa Mujibu wa jaji Lubuva, Dr magufuli amepata ushindi wa kura Milioni 8 ( 8,882,935 ) sawa na asilimia 58.46
↧
Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais
Watanzania wenzangu!
Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Tumeainisha kwenye malalamiko yetu, kutokuridhishwa kwetu na mwenendo na matukio mbalimbali, hususani, utangazaji wa matokeo batili, yasiyo akisi matokeo halisi
↧
Ridhiwani Asema Hana Chuki na Wasiompigia kura
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete amesema hana chuki kwa wale ambao hawakumpigia kura kwenye uchaguzi uliofanyika Jumapili kwani hizo ni changamoto za uchaguzi.
Aliyasema hayo jana kwenye Uwanja wa Miembe Saba mjini Chalinze wakati wa mkutano wa hadhara wa kuwashukuru Wanachalinze kwa kumchagua kuwa mbunge kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika
↧
Mambo Yaliyombeba Dr. Magufuli Kushinda Urais Wa Tanzania
Tanzania imeandika historia mpya, ambapo jana imempata Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Pombe Magufuli, ambaye alikuwa mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu uliohitimishwa Jumapili ya Oktoba 25, mwaka huu.
Dk Magufuli ambaye katika kampeni ya kuwania urais alikuwa na kauli mbiu ya Hapa Kazi Tu, si mgeni katika safu za uongozi wa Tanzania kwa kuwa amekuwa
↧
↧
Vyama 6 Yyamtaka Mwenyekiti ZEC Ajiuzulu......Maalim Seif atoa Wito kwa Rais Kikwete Na Dk Shein
Mgombea wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad
amemuomba Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein kubeba dhamana
ya uongozi katika siku hizi chache zilizobaki za uongozi wao kwa
kusimamia katiba na sheria za nchi.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Mtendeni Maalim Seif
amesema marais hao wawili kuheshimu maamuzi ya Wazanzibari waliyoyafanya
tarehe 25 Oktoba
↧
Rais Kikwete Alivyomkaribisha Kumpongeza Dk. Magufuli Baada ya Matokeo ya Urais Kutangazwa
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro
cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph
Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya
Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo
ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa
pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja
↧
Update: Dr. Magufuli Akabidhiwa Rasmi CHETI Cha Ushindi wa Kiti cha Urais
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva
amemkabidhi cheti cha ushindi wa kiti cha urais, Dk John Pombe Magufuli na mgombea mwenza wake Samia Suluhu katika
Ukumbi wa Diamond Jubilee asubuhi hii.
Katika tukio hilo, Wagombea urais wa Chadema Edward Lowassa na Hashim Rungwe wa Chauma
wamesusia sherehe hizi za kukabidhiwa cheti cha ushindi Dk John
↧
Lembeli Aeleza Hatma Yake Baada Ya Kushindwa, Ajibu Tetesi Juu Yake
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya
↧
↧
Tamko: CUF yaipa ZEC siku tatu kukamilisha mchakato wa uchaguzi ........Isipofanya Hivyo Wananchi Wataamua Wenyewwe
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema hakuna malalamiko yoyote yaliyowasilishwa katika siku ya upigaji kura.
Maalim Seif ambaye ni Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF ametoa kauli hiyo baada ya kuwepo taarifa kuwa mawakala wa CCM wameitwa pamoja na maofisa wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) katika kiwanda cha Makonyo Wilaya ya Chake Chake,
↧
Raila Odinga Ampongeza Magufuli....Atoa Ushauri Kwa Lowassa
Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza Dkt. John Pombe Joseph Magufuli baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa Urais Tanzania.
Aidha, Mhe Odinga amemshauri mgombea wa upinzani Mhe. Edward Lowassa Kuwa Kama Hajakubaliana na Matokeo basi Aende Mahakama kushtaki Kama yeye Alivyofanya wakati akigombea Urais Kenya na kushindwa na Rais Uhuru Kenyatta.
Ameeleza pia
↧
38 kizimbani kwa kufanya vurugu Mbagala wakati wa uchaguzi
Watu 38 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi K isutu wakikabiliwa na mashtaka manne likiwamo la kutoa vitisho vya shinikizo kwa msimamizi atoe matokeo ya Ubunge ya Mbagala bila ya kufuata utaratibu na kuchoma maboxi 11 ya kupigia kura na karatasi za kupigia kura zenye thamani ya Sh 2.2 milioni.
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Joseph Maugo akishirikiana
↧
Rais Mteule, Dr. Magufuli Aikosoa CCM.....Awataka Wanafiki Walioko Ndani Ya CCM Wajisalimishe Mapema
Rais Mteule Dk John Magufuli ameamua kufunguka kuhusu ugumu aliokabiliana nao wakati wa mchakato wa kampeni akieleza kuwa uchaguzi wa mwaka huu umekuwa na changamoto kubwa kutokana na hujuma zilizofanywa na wanafiki waliojificha ndani ya Chama cha Mapinduzi(CCM).
Amesema amekerwa na hali hiyo kiasi cha kushindwa kuvumilia kuizungumzia jana, hasa baada ya kuona uchaguzi umekwisha,
↧
↧
Profesa Kitila Mkumbo Amtaka Lowassa Akubali Yaishe
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Kitila Mkumbo amesema aliyekuwa mgombea wa urais wa Chadema, Edward Lowassa, hana budi kukubali matokeo licha ya kupoteza nafasi hiyo.
Pia Profesa Mkumbo alisema mgombea huyo kisheria, hakuwa na haki ya kujitangaza mshindi wa nafasi ya urais katika uchaguzi wa mwaka huu.
Juzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitangaza
↧
UKAWA Watoa Tamko Zito Lenye Masharti Manne
Viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wamesema baada ya kufuatilia mwenendo wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wana taarifa za uhakika kwamba Maalim Seif Sharif Hamad, Mgombea Urais wa Chama cha Wananchi (Cuf) anayeungwa mkono na Umoja huo, ameshinda urais wa Zanzibar.
Taarifa iliyotolewa na viongozi hao jana kwa vyombo vya habari imetoa masharti manne kufuatia
↧
Hali ni Tete Zanzibar....Bomu Lategwa Kituo cha Polisi, JWTZ Waliwahi na Kulilipua
Jeshi la Polisi Zanzibar kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi (JWTZ), limefanikiwa kuteguwa bomu lilitegwa eneo la Mkunazini karibu na kituo cha polisi mjini Zanzibar.
Bomu hilo lilitegwa na watu wasiofahamika na jeshi la polisi lilipata taarifa ya kutegwa kwa bomu hilo kutoka kwa wasamaria wema.
Akizungumza na mwandishi wetu, Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdani Omar Makame,
↧
More Pages to Explore .....