Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Taarifa Maalumu Ya CCM Kuhusu Zoezi Zima La Kupiga Kura

$
0
0
CCM inafuatilia kwa karibu zoezi zima la uchaguzi kote nchini. Leo, tarehe 25.10.2015, saa kumi alasiri, CCM itafanya mkutano na waandishi wa habari. Hata hivyo, kabla ya hapo, tunapenda kuelezea yafuatayo yanayojiri katika zoezi la upigaji kura linaloendelea: 1. Utaratibu wa kupiga kura ndani ya kituo unachukua muda mrefu na kusababisha watu kukaa muda mrefu kwenye mistari. Ni muhimu

Balaa Sumbwanga: Wanachi Wachoma MOTO Vifaa Vya Kupigia Kura......Wasimamizi Wapigwa Na Kujeruhiwa

$
0
0
Watu wapatao 200 wameteketeza  kwa moto vifaa vya kupiga kura  huku wengine wakiwajeruhi wasimamizi wa uchaguzi kwa kile kinachoonekana kuwa ni hofu ya kusambazwa kwa kura feki. Katika tukio lililotokea wilaya ya Sumbawanga, watu hao wanadaiwa kuteketeza vifaa mbalimbali yakiwamo makasha  45 ya kuhifadhia   kura  wakidai kuwa yalikuwa na kura ambazo  tayari  zilikuwa  zimeshapigwa .

Vunjo: Wasimamizi Wawili wa Uchaguzi Wajeruhiwa Vibaya Baada Ya Kunaswa Wakisafirisha Kura FEKI

$
0
0
Wasimamizi wasaidizi watatu wamejeruhiwa kwa kipigo kutoka kwa wananchi waliowashuku kusafirisha masanduku yenye kura zilizokwishapigwa usiku wa kuamkia jana. Tukio hilo liliwalazimu polisi kupiga mabomu ya machozi mfululizo kwa nyakati tofauti kati ya saa 5:00 na saa 8:00 usiku wa kuamkia jana ili kuwatawanya wananchi waliofurika kituo cha Polisi Himo. Tafrani hiyo iliibuka baada

Uchaguzi Wahairishwa Bariadi Kwa Kukosa Karatasi za Udiwani

$
0
0
Wakati zoezi la upigaji kura likiendelea nchi nzima wakazi wa kata ya Matongo, jimbo la Bariadi, mkoani Simiyu wameshindwa kupiga kura  kwa nafasi ya udiwani   kwa kile kinachodaiwa uhaba wa karatasi za kupigia kura.  Akiongea na waandishi wa habari Msimamizi wa uchaguzi katika jimbo hilo Abdallah Malela amesema kukosekana kwa karatasi ndicho chanzo cha uchaguzi kwa ngazi ya udiwani

Tuhuma za Kura FEKI Moshi na Pemba

$
0
0
Hii  imeripotiwa  kutokea  Moshi Tazama  Video  Hii Hii  imeripotiwa  kutokea  Pemba

Hadi sasa Wananchi wa Kituo cha Kimara Stop Over Jijini Dar es Salaam Hawajapiga Kura.....Tume Imesema Wasimamizi Wameharibu Vifaa Makusudi

$
0
0
Ripota  wetu  yupo kituo cha Kimara Stop Over  jijini  Dar  es  salaam  ambapo hadi sasa wananchi hawajapiga kura hadi muda huu. Tangu saa 12 asubuhi watu wamekusanyika kituoni lakini hakuna hata mmoja aliyepiga kura. Zaidi ya masaa 13 sasa akina mama, vijana na wazee wanasubiri kupiga kura, ‪Sababu za Kuchelewa Sababu iliyotolewa na maafisa wa Tume ya uchaguzi ambao wamefika muda mfupi

Gari La Tume Ya Uchaguzi Lazua Utata Kituoni Baada Ya Kukamatwa Likiwa Na Milioni 6

$
0
0
Gari lilokodiwa na tume ya uchaguzi ya Wilaya ya Arumeru Mashariki  limezua utata baada ya kukutwa na kiasi cha fedha zaidi ya Sh 6 milioni. Akizungumzia sakata hilo, Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi, kata ya Imbaseny , Jefason Mwangura ,amekiri kubeba fedha hizo kwenye gari hilo mali ya Enong’oto  na kudai kuwa  zilikuwa ni za malipo ya wasaidizi wa vituoni kwa ajili ya kujikimu. Alisema

Matokeo ya Awali Ya Uraisi kujulikana LEO saa Nne Asubuhi

$
0
0
Watanzania wametakiwa kuwa wavumilivu na wenye utulivu wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi ikiendelea na zoezi la uhesabuji wa kura ili kupata matokeo ya uraisi kutokana na idadi halali za kura.   Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani amesema kuwa matokeo ya Raisi awamu ya kwanza yataanza kutangazwa LEO  Jumatatu saa 4 asubuhi, saa 7 mchana na saa 10 jioni.

Polisi Wavamia Kituo cha Kukusanya Matokeo UKAWA

$
0
0
Polisi jijini Dar  es  Salaam jana usiku walivamia kituo cha kukusanya matokeo ya nchi nzima cha Chadema kilichopo Kijitonyama na kuwakamata watu wote wanaokiendesha. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho, Tumaini Makene alisema tukio hilo lilitokea saa nne usiku wakati vijana hao wakiendelea kukusanya matokeo hayo. Alisema kituo hicho kilichokuwa kikiendeshwa na vijana

Mabomu ya Machozi Yarindima Mwanza Kuwatawanya Wafuasi wa Chadema Walioingia Barabarani Kushangilia Ushindi

$
0
0
Polisi mkoani Mwanza jana walitumia mabomu ya machozi  kuwatawanya watu wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema  walioingia mitaani kushangilia wakiamini wagombea wao wanaongoza katika matokeo ya awali. Tukio hilo lilitokea kwenye kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Mlimani, eneo la Butimba, Ghana na Shule ya Msingi Buzuluga kwenye majimbo ya Nyamagana na Ilemela. Taarifa toka

Wananchi wa Moshi Jana Walishambulia Gari La Kampeni Meneja Wa Mbunge Wa CCM Baada ya Kudai lilikuwa Na Kura FEKI

$
0
0
Gari la mmoja wa makampeni meneja wa mgombea ubunge Jimbo la Moshi Vijijini kwa tiketi ya CCM, Dk. Cyrill Chami, jana lilishambuliwa na kuharibiwa vibaya na wananchi wakilishuku kuwa na kura bandia. Katika tukio hilo lililotokea saa 10:00 alasiri katika kijiji cha Uru Kitandu, meneja kampeni huyo wa Dk. Chami aitwaye Kizitto George, aliokolewa na Polisi lakini wakati huo akiwa ameumizwa

Video: Kura FEKI Zakamatwa Shuleni Bukoba Zikiwa Zimepigwa kwa Ajili ya Wagombea wa CCM

$
0
0
Wilayani Bukoba, karatasi za kupigia kura ambazo ziliwekewa alama ya vema kwenye sehemu za wagombea wa udiwani, ubunge na urais, jana  ziligundulika nyuma ya bweni la Shule ya Sekondari ya Kahororo. Karatasi hizo zilikuwa zimesambaa nyuma ya bweni la wanafunzi wa kidato cha sita, hali iliyowafanya wanafunzi wahisi kuwapo kwa karatasi zaidi ndani ya mabweni.    Mmoja wa wanafunzi alisema

ZEC yatangaza Matokeo ya Kura za Uchaguzi Mkuu 2015 Kwa Majimbo Mawili Upande wa Zanzibar Pekee

$
0
0
LEO  Majira  ya  saa  nane  usiku,Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Salim Jecha, ametangaza matokeo ya uchaguzi wa urais wa Zanzibar kwa majimbo mawili ya Kiembesamaki na Fuoni, ambapo kwenye majimbo yote mawili mgombea wa CCM, Dk. Ali Mohammed Shein, anaongoza.   Zanzibar  ilikuwa  na  majimbo 54 Baki nasi. Tutakujuza kila kitu kitakachokuwa  kikitokea.....Kwa  upande  wa 

Picha 7 Za Ukumbi Utakaotumiwa Na Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi Kutangaza Matokeo ya Urais Kuanzia Saa Nne Asubuhi HII

$
0
0
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani amesema kuwa matokeo ya Raisi awamu ya kwanza yataanza kutangazwa LEO  Jumatatu saa 4 asubuhi, saa 7 mchana na saa 10 jioni.

Vibanda vya Mama Lishe na Mitumba Vyachomwa Moto Mkoani Njombe......Polisi Yawataka Wananchi Kuwa Watulivu Wakati Wakisubiri Matokeo

$
0
0
Moto ambao chanzo chake hakijajulikana hadi sasa umeteketeza baadhi ya mabanda ya mama lishe na mitumba karibu na kituo cha mabasi mkoani Njombe. Hata hivyo, kikosi cha Zimamoto mkoani humo kimefanikiwa kuuzima moto huo usiku wa kuamkia leo ambapo polisi wamesema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea. Kwa mujibu kikosi hicho, mabanda mengine yamesalimika katika ajali hiyo. Hata hivyo,

ZEC Imetangaza Matokeo ya Urais Zanzibar Katika Majimbo Manne Mpaka Sasa.......CCM imeshinda matatu, CUF 1

$
0
0
Hadi sasa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imeshatangaza matokeo ya kura za urais kwa majimbo manne kati ya 54.  Majimbo hayo ni Kwahani, Fuoni, Kiembesamaki na Malindi. Dk. Shein wa CCM anaongoza kwenye majimbo matatu ya Kwahani, Fuoni na Kiembesamaki huku Maalim Seif wa CUF akiongoza kwenye jimbo la Malindi.

Zanzibar: Vijana Wawili Wapigwa Risasi Na Vikosi Vya Usalama

$
0
0
Kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja, taarifa ni kwamba wamepokelewa watu watatu waliojeruhiwa, wawili kati yao wakiwa wamepigwa risasi ambapo mmoja tayari anafanyiwa operesheni baada ya risasi kupitia ubavuni kuelekea ubavu mwengine.    Ripoti kutoka eneo la Jang'ombe zinaeleza kuwa vikosi vya usalama vilipita eneo hilo na kuwashambulia vijana waliokuwa wamejikusanya mitaani. Chanzo : DW

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume

$
0
0
Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.   Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye

Ester Matiko (Chadema) Atangazwa Rasmi kuwa Mshindi wa Kiti cha Ubunge Tarime Mjini

$
0
0
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Tarime Mjini, Mwanjombe limemtajngaza rasmi Ester Matiko (Chadema) kuwa mshindi katika kinyang’anyiro cha ubunge wa jimbo hilo.   Matiko amekuwa mbunge wa kwanza kutangazwa rasmi huku akiweka histori kubwa katika wilaya ya Tarime mjini kuwa mwanamke wa kwanza kuwa mbunge katika wilaya hiyo inayosadikika kuwa na historia ya mfumo dume hususan katika ngazi ya

Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi Yaanza Kutangaza Matokeo ya Urais......Majimbo Matatu yametangazwa na Yote Yamechukuliwa na CCM

$
0
0
Tume  ya  Taifa  ya  Uchaguzi  imeanza  zoezi  la  kutangaza  Matokeo  ya  Urais  ambapo  mpaka  sasa  majimbo  matatu  yametangazwa.  Majimbo  Yaliyotangazwa  ni  Jimbo  la  Makunduchi,Pache  na  Lulindi Katika  majimbo  yote  matatu  yaliyotangazwa, Dr Magufuli  ameongoza  kwa  mbali  dhidi  ya  mpinzani  wale  Edward  Lowassa.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images