Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa leo, Ijumaa, Oktoba 23, 2015, amewateua Makatibu Wakuu wanne wapya wa wizara mbali mbali.
Aidha, Rais Kikwete amewateua Naibu Makatibu Wakuu wapya watano, amewateua Makatibu Tawala wa Mikoa wawili na pia amewahamisha Naibu Makatibu Wakuu wawili.
Kwa mujibu wa uteuzi huo, Rais Kikwete amemteua Ndugu Hab
Rais Kikwete Ateua Makatibu Wakuu Wanne na Manaibu Katibu Wakuu Watano Wapya
↧
↧
Gari la Serikali Lakamatwa Huko Njombe Likiwa na Maboksi Yaliyokuwa Na Kura Zilizompigia Magufuli
Maboksi kadhaa ya kura yamekamatwa mkoani Njombe yakiwa na kura ambazo zimepigwa kumchagua Mgombea urais wa CCM, John Pombe Magufuli.....Tazama Picha na Video
MKOANI NJOMBE, gari lenye kura zilizopigwa tayari. We can not tolerate this
Posted by Mussa Samora on Saturday, October 24, 2015
↧
Hali si shwari Tarime, Sita wakatwa mapanga
Watu sita wamejeruhuiwa kwa mapanga sehemu mbalimbali za miili yao Wilayani Tarime mkoani Mara akiwemo mwandishi wa habari wa Sahara Media, Geoge Nteminyanda (49) usiku wa kuamkia leo.
Wakizungumza na mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi katika wodi namba tatu na namba nane walikolazwa, majeruhi hao wamesema kuwa walishambuliwa na wafuasi wa vyama vya Chadema na CCM ambao walikuwa
↧
RPC aonya makundi yanayotaka kufanya vurugu Arusha
Kamanda Mkuu wa polisi mkoa Arusha, Liberatus Sabas amesema jeshi hilo limebaini uwepo wa vikundi vilivyojipanga kufanya vurugu na kuvionya kuacha mara moja.
Akizungumza na waandishi wa habari leo ,amesema mpaka sasa wameweza kubaini zaidi ya watu 100 wakiwa ni vijana ambao wamesambazwa Arusha mjini pamoja na wilaya ya Arumeru kwaajili ya kufanya vurugu wakati wa uchaguzi .
Amesema
↧
Magufuli Afunika Jijini Mwanza....Tazama Picha 10 Za Mafuriko Yake Wakati wa Kufunga Kampeni
↧
↧
Hotuba Ya Mh. Edward Lowassa Aliyoitoa Leo Tarehe 24 Kwenye Viwanja Vya Jangwani Jijini Dar Wakati Wa Kufunga Kampeni Za Urais
NDUGU
•Watanzania wenzangu
•Ndugu wanachama, marafiki na wapenzi wa CHADEMA
•Ndugu Viongozi wakuu wa kitaifa na wanachama wa vyama vyetu vinne vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
•Ndugu Wana mabadiliko na watetezi wa kweli wa maendeleo
•Mabibi kwa Mabwana
Salaam Aleikum
Bwana Yesu Asifiwe
Tumsifu Yesu Kristo
NIANZE hotuba yangu hii ya kuhitimisha ziara ndefu za
↧
Hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kuhusu Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani
↧
Kada wa CCM amwagiwa Tindikali Tarime
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Vijana Chadema kata ya Sirari na kuhamia chama cha CCM, Weng’ari Mang’era (26) amemwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana wakati wakimpokea mgombea ubunge wa Tarime Vijijini(CCM), Christopher Kangoye katika uwanja wa Tarafa Sirari Wilayani Tarime.
Shuhuda mmoja ambaye hakutaka jina lake liandikwe ameeleza” Mbunge Kangoye alikuwa anakwenda kwenye mkutano Uwanja wa
↧
Askari Handeni watishia kugoma kusimamia vituo vya kupigia kura
Askari mgambo 114 wilayani Handeni wametishia kugoma kwenda kusimamia vituo vya kupigia kura kutokana na kutolipwa fedha zao kama walivyokubaliana na mkurugenzi.
Wakiongea kwa nyakati tofauti leo mgambo hao wamesema kuwa katika makubaliano yao walisaini hela yote lakini kwenye malipo walipewa nusu ya hiyo hela ambapo ni kinyume na maelewano ya awali.
Seiph Mhando askari kata ya Chanika
↧
↧
Kingunge Atoa Maneno Mazito Kwa CCM Na Kikwete
Aliyekuwa kada mkongwe wa CCM, mzee Kingunge Ngombale Mwiru amekishukia chama chake hicho cha zamani na viongozi wake wa sasa kwa madai kuwa ‘kimechanganyikiwa’.
Akiongea leo katika mkutano wa kufunga kampeni za vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa baada ya kumnadi mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, Mzee Kingunge alidai kuwa mwenendo wa kampeni na matamko ya viongozi wa ngazi za
↧
Haji Duni agundua janja ya CCM,waliopangwa kuchakachua matokeo watajwa
Mgombea Mwenza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA,Haji Duni
amesema kuwa wamegundua njama iliyopangwa na Chama cha Mapinduzi CCM
pamoja na Tume ya uchaguzi kwamba kura zikitoka kwenye vituo zipite
kwenye mtandao na kuziiba kwa kutumia wataalamu wao wa TEHAMA.
Ameyasema hayo mapema leo wakati wa kufunga kampeni kwa vyama
vinavyounda umoja huo zilizofanyika katika viwanja vya
↧
Leo ni Leo: Watanzania Wanapiga Kura Nchi Nzima Kumchagua Rais, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani
Leo Watanzania watatumia haki yao ya kikatiba kuchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano, Rais wa Zanzibar, wabunge wa Bunge la Muungano, madiwani na wawakilishi kwa upande wa visiwani baada ya utawala wa Serikali ya Awamu ya Nne kuhitimisha kipindi chake cha pili cha miaka mitano.
Ni siku ambayo inahitimisha kampeni ya takriban siku 64 za wagombea wa nafasi mbalimbali kujinadi kwa wananchi ili
↧
Picha: Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk. Ali Mohammed Shein Ameshapiga Kura
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohammed Shein, tayari ameshapiga kura yake kwenye Kituo cha Skuli ya Bungi kusini mwa kisiwa cha Unguja, majira ya saa moja asubuhi
Shein amewaambia waandishi wa habari kuwa amejipigia kura mwenyewe na ana matumaini makubwa yakushinda
↧
↧
Video: Msikilize Mgombea Urais kupitia Chadema Edward Lowassa Akitoa Mtazamo wake Mara baada ya Kupiga Kura.
Mgombea urais kupitia Chadema Edward Lowassa atoa mtazamo wake mara baada ya kupiga kura....Tazama Video Hapo Chini
Uchaguzi 2015
Mgombea urais kupitia Chadema Edward Lowassa atoa mtazamo wake mara baada ya kupiga kura.
Posted by Simu.TV on Sunday, October 25, 2015
Lowassa amesema hatokubaliana na matokeo kama uchaguzi hautokuwa wa haki.
(function(d, s, id) { var js, fjs =
↧
Mgombea wa Urais wa TLP, Maximillian Lyimo Ashindwa Kupiga Kura
Mgombea Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha TLP
Macmillan Lyimo ameshindwa kutekeleza haki yake ya msngi na ya kikatiba
ya kupiga kura leo baada ya kukosekana kwa fomu namba 19 inayo mruhusu
kupiga kura kwa kuwa hayupo kituo chake cha kupigia kura cha Dar es
Salaam alichojiandikisha awali ambapo kwa sasa yupo jijini Arusha.
Mbali na kukosekana kwa fomu hiyo,
↧
Dr. Magufuli Tayari Keshapiga Kura, Chato......Kasema Matone ya Mvua Yamemnyeshea na Hiyo ni Ishara Kwamba Atashinda
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amepiga kura katika jimbo la Chato mapema asubuhi hii na kueleza kuwa amepata dalili nzuri alipofika kwenye kituo hicho cha kupigia kura.Akiongea na waandishi wa habari baada ya kupiga kura, Dkt. Magufuli alieleza kuna dalili nzuri za ushindi kwa upande wake hasa baada ya matone ya mvua kuanza kudondoka punde alipofika kwenye kituo
↧
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, tayari Keshapiga Kura.....Kasema Anatarajia Ushindi Wa Asilimia 72
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, tayari amepiga kura yake kwenye Kituo cha Mtoni, Chumba Na. 13.
Tofauti na ilivyokuwa kwa mgombea Urais wa CCM, Dr Shein, Maalim yeye amedai kwamba kura yake ni siri yake lakini ana matumaini ya ushindi wa asilimia 72.
↧
↧
Lowassa Tayari Keshapiga Kura, Monduli......Kasema Anategemea Kushinda na Hatakubali Matokeo Kama Yatahujumiwa
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba
ya Wananchi (UKAWA) Edward Lowassa amepiga kura, Monduli
Lowassa alipata nafasi ya kujibu maswali kadhaa ya waandishi ambao walitaka kujua kama atakuwa tayari kutakubali matokeo iwapo atashindwa.
Katika majibu yake, Lowassa amesema atakubali matokeo kama hayatachakachuliwa,
↧
Rais Kikwete Naye Keshapiga Kura....Kasema Tarehe 5 Atakabidhi Nchi
Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa Tarehe 5 Mwezi November 2015 atakuwa
Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Rais ameyasema hayo
alipokuwa akipiga kura leo katika jimbo la Chalinze-Msoga ambapo
aliambatana na mkewe Mama Salma Kikwete
↧
Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Unaoendelea- 25/10/2015
1. Hali ya vitisho vya jeshi la polisi na kamata kamata iliyoanza jana usiku hadi leo asubuhi. Wawaache wananchi watumie haki yao ya kikatiba kumchagua kiongozi wanayemtaka.
2. Suala la watu wenye kadi lakini majina yao hayapo, ambapo kisheria inatakiwa msimamizi awape fomu namba 19 kisha waijaze na kupiga kura. Tumewataka wananchi kutokuondoka vituoni hadi wapate haki hiyo ya kujaza
↧
More Pages to Explore .....