Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Rais Kikwete Ataka Jeshi la Polisi Lisiwafumbie Macho Watu Wataoleta Vurugu Wakati wa Kupiga Kura,Jumapili

0
0
Zikiwa zimesalia siku nne Uchaguzi Mkuu ufanyike, Rais Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwa makini na watu aliowataja kuwa chanzo cha kuleta vurugu siku ya kupiga kura, Jumapili hii. Rais Kikwete ambaye alilipongeza pia jeshi hilo kwa kusimamia vizuri mikutano yote ya kampeni tangu ilipoanza, alisema mtihani uliobakia sasa ni wa kuhakikisha uchaguzi huo unafanyika kwa amani

MBOWE: Hatutakuwa Tayari Kuyakubali Matokeo Kama Itabainika Yamepikwa!!

0
0
Mwenyekiti wa Chama cha  Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefichua mazito baada ya kueleza hadharani kuwa kamwe chama chake na washirika wao wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) hawatakubali matokeo ya uchaguzi mkuu yatakayobainika kuwa yamepikwa. Kadhalika, alisema ni vyema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na mamlaka za serikali iliyopo madarakani kuheshimu

Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume

0
0
Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.   Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye

Diwani Atiwa Mbaroni kwa kusambaza ujumbe wa Uongo WhatsApp

0
0
Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 imebisha hodi mjini Moshi baada ya mgombea Udiwani kata ya Soweto, Collins Mayyutta kushitakiwa kwa kosa linaloangukia chini ya sheria hiyo. Mayyuta alifikishwa kortini  jana akishitakiwa kusambaza ujumbe wa uongo kwenye makundi ya WhatsApp dhidi ya mgombea Udiwani wa kata hiyo ya Soweto kwa tiketi ya CCM, Pamela Shuma. Ujumbe huo ambao hata

CHADEMA Wafichua Mbinu Zilizopangwa Kuvuruga Uchaguzi wa Jumapili hi

0
0
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi (kulia) akifafanua jambo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Prof. Abdallah Safari ** ZIKIWA zimebaki siku tatu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimefichua mikakati iliyopangwa kuvuruga uchaguzi huo.  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi amebainisha

Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura

0
0
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili. Akizungumza katika mkutano wa vyama vya siasa na NEC mjini Dodoma jana, Ofisa Mwandamizi wa tume hiyo William Kitebi, alisema watu hao hawataruhusiwa hata kama majina na taarifa zao zipo kwenye Daftari la Wapiga

Ufafanuzi wa Serikali Kuhusu UKOMO wa Madaraka ya Rais na Uhai wa Baraza la Mawaziri

0
0
Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ukomo wa madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mwisho wa uhai wa Baraza la Mawaziri kwa kadri Tanzania inavyoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaofanyika Jumapili, Oktoba 25, mwaka huu, 2015.   Taarifa iliyotolewa jana jioni, Jumatano, Oktoba 21, 2015, Ikulu, Dar es Salaam na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue imesema

UKAWA Watishia Kutoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Jumapili

0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinachoungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kimetishia kutoshiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chadema, Reginald Munisi amesema wanadhamilia kutoshiriki katika uchaguzi huo kutokana Tume yaTaifa ya Uchaguzi (NEC) kutokuwa na msimamo katika kazi zake. Anasema zikiwa zimebaki

Kikwete: "Kutumia Fedha Nyingi Kujenga Jeshi Letu siyo Ubadhirifu wa Fedha"

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Tanzania inaimarisha Jeshi lake – Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), siyo kwa nia ya kumchokoza mtu ama nchi yoyote, bali kwa nia ya kulinda mipaka yake kwa sababu kila hatua ya maendeleo ina changamoto tofauti za ulinzi wa nchi. Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa siyo uharibifu

Waziri Wa Mambo Ya Ndani Ya Nchi Awatoa Hofu Watanzania Kuhusu Kuwepo Kwa Vurugu Baada Ya Uchaguzi

0
0
Ndugu Waandishi wa Habari, Mabibi na Mabwana, Kama mnavyojua tarehe 25 ya mwezi huu wa Oktoba mwaka 2015 siku ya Jumapili katika nchi yetu kutafanyika Uchaguzi Mkuu kwa ajili ya kuchagua rais, wabunge na madiwani zoezi ambalo litawashirikisha watanzania wote waliojiandikisha kupiga kura kwa mujibu wa sheria. Zoezi hili kwa mujibu wa sheria za uchaguzi litasimamiwa na Tume ya Taifa ya

VIDEO: Mama Maria Nyerere Ampigia Kampeni Dr. Magufuli

0
0
Oktoba 20 Mke wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere alifanya mahojiano na waandishi wa habari nyumbani kwake Butiama Mara.    Hii ni sehemu ya mahojiano ambayo ina ujumbe wake kwa Watanzania wote ifikapo Oktoba 25, siku ya kupiga kura kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani.

Kesi Ya Kukaa Mita 200 Ni Kaa La Moto.......Mawakili Watoana Jasho Kwa Vifungu Vya Sheria. Mahakama Kutoa Maelekezo Leo

0
0
Mvutano mkali wa hoja za kisheria ulitikisa kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana wakati Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Tulia Ackson alipoiomba mahakama itupilie mbali maombi ya walalamikaji katika kesi inayohusiana na umbali wa mita 200 za kusimama kutoka kwenye vituo vya kupigia kura. Dk. Ackson alidai mahakamani hapo kuwa maombi ya kesi ya kikatiba ya kutaka tafsiri

Picha 11 za Mafuriko Ya Magufuli Jijini Dar Es Salaam-Oktoba 21,2015

0
0
Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwasalimia baadhi ya wakazi wa mji wa Kigamboni,waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika jana uwanja wa Machava Kigamboni . Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika uwanja wa Machava Kigamboni Umati wa wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni wa CCM kwenye uwanja wa Zakhem Mbagala. Umati

Picha 16 Za MAFURIKO Ya Lowassa Huko Tanga- Jana Oktoba 21

0
0
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akipunga mkono wakati akiwasili kwenye Viwanja vya Indian Ocean katika mkutano wa kampeni mjini Tanga jana Jumatano 21/10/2015 Kwa  Picha  Zaidi  >

VIDEO: Mahojiano Ya BBC Na Mgombea Urais Wa UKAWA, Mh. Edward Ngoyai Lowassa - Oktoba 21, 2015

0
0
Zuhura Yunus alimhoji Lowassa akiwa nyumbani kwake Monduli, Arusha na kwanza akataka maelezo zaidi kuhusu kipaumbele chake cha elimu. Mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo... Edward Lowassa: Watanzania wengi sana hawapati elimu, hawapati elimu inayopasa, elimu bora. Unajua dunia ya sasa imebadilika. Dunia ni Teknolojia. Ajira za dunia huzipati kama huna elimu inayopasa. Na sisi elimu

Magufuli Asimamisha Jiji La Dar.......Asema Tanzania Inahitaji Rais Mkali. CHADEMA Wampokea Kwa Ishara Ya Vidole Viwili Juu

0
0
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema nchi inahitaji rais mkali ili mambo yaende huku akishangazwa na mmoja wa vigogo kufungua kesi kupinga mradi wa maji. Amesema watu wa aina hiyo watakiona na anamuomba Mungu kwa siki tatu zilizobaki apewe urais kwa vile hao ndiyo ataanza kushughulika nao. Kauli hiyo aliitoa   Dar es Salaam jana kwa nyakati tofauti

Baa zaagizwa kufungwa mkesha wa uchaguzi Dar.

0
0
Serikali jijini Dar es Salaam imeagiza baa zote zinazouza pombe mpaka asubuhi kusitisha shughuli hiyo mkesha wa siku ya uchaguzi ili kuimarisha usalama Jumapili ijayo.   Aidha, imesisitiza kwamba kila mwananchi atakayekwenda kupiga kura ahakikishe anarudi nyumbani baada ya shughuli hiyo badala ya kukaa katika vikundi kusubiri matokeo vituoni.   Agizo hilo lilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar

Mambo Yatakayosababisha Kura Yako Iwe "Imeharibika" au "Sahihi"

0
0
Kura halali zitakazopigwa siku ya Jumapili kwa ajili ya kuwachagua viongozi kwenye Uchaguzi Mkuu zinaweza kuharibika ikiwa hazitapigwa kwa usahihi na kuondoa utata.. Kura iliyoharibika ni ile ambayo: Haina alama yoyote Imepigwa kwa wagombea zaidi ya mmoja Imeandikwa jina la mpiga kura Alama imewekwa nje ya kisanduku cha picha ya mgombea Haina muhuri wenye alama rasmi Kura sahihi;

Nape Nnauye Apata AJALI Mbaya Ya Gari Akitokea Dar Kwenda Lindi

0
0
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amepata ajali mbaya jana usiku akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es Salaam.Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Lindi  alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka mara kadhaa katika eneo la Nyangao mkoani Lindi.

Wanawake na Watoto Waanza Kuodoka Mkoani Mtwara Wakihofia Kutokea Kwa Vurugu Baada Ya Uchaguzi

0
0
Shirika  la  utangazaji  la  Ujererumani,DW  limeripoti  leo  mchana  kuwa idadi kubwa ya watu  wameanza kuondoka  mkoani Mtwara  wakihofia hali ya usalama wakati wa uchaguzi.   Kwa mujibu wa Dw,watu wengi  wanaoondoka  ni wanawake na watoto, hali ambayo inaelezewa inatokana na vurugu za gesi za mwaka 2013,  kuonekana kwa baadhi ya vifaa vya jeshi na wanajeshi wakiwa kwenye vifaru. (
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images