Moto mkubwa unaripotiwa kuzuka asubuhi hii katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyetta (JKIA) jijini Nairobi.
Chanzo
cha moto huo bado hakijatambulika na juhudi za kuuzima zinaendelea,
ambapo vikosi mbalimbali vya zimamoto vipo uwanjani hapo kuthibiti janga
hilo.
Uwanja huo hivi sasa umefungwa na hakuna ndege kutua ama kuruka isipokuwa kwa dharura tu.
Moto
huo
UPDATE: UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA WAWAKA MOTO ASUBUHI HII
↧
↧
BAADA YA UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA KUWAKA MOTO, ABIRIA WAMEPELEKWA HOTELINI NA NDEGE ZITATUA UWANJA WA MOI
Habari zinasema kwamba baada ya saa tatu za ku pambana na janga hilo,
hatimaye moto huo umeweza kudhibitiwa na hakuna mtu aliyeripotiwa
kudhurika.
Abiria waliokuwa wanasafiri wamepelekwa mahotelini na ndege
zilizokuwa zitue JKIA zimeelekezwa kutua uwanja wa kimataifa wa Moi,
Mombasa
<!-- adsense -->
↧
SKENDO YA KUMPIGA RIHANNA YAMKERA CHRISS BROWN...ANADAI KACHOKA KUANDIKWA VIBAYA NA ANAFIKIRIA KUACHA MUZIKI
Chris Brown anafikiria kuachana kabisa na muziki siku za usoni na
amesema huenda X ikawa albam yake ya mwisho.
Breezy ametumia akaunti
yake ya Twitter kuelezea kuchoshwa na kuandikwa vibaya kila kukicha
kutokana na kosa alilolifanya akiwa na miaka 18 la kumpiga aliyekuwa
mpenzi wake Rihanna.
Wataalamu
wa mambo wanasema Chris Brown ameandika hivyo kutokana na msongo wa
mawazo alionao
↧
VIDEO YA TUKIO ZIMA LA MLIPUKO WA MOTO KATIKA UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA
↧
WAZAZI WAKATAZA WALIMU WASIWAFUNDISHE WATOTO WAO JINSI YA KUTUMIA CONDOM
Imeelezwa
kuwa Baadhi ya wazazi na walezi wilayani Kahama mkoani Shinyanga
wamekuwa wakiwazuia walimu kutoa elimu ya njia ya kujikinga na ukimwi
kwa watoto wao wa sule za msingi ikiwemo matumizi sahihi ya condom. Hayo
yamebainika leo katika semina iliyoandaliwa na shirika la UNESCO
iliyojumisha wakuu wa shule za msingi na sekondari pamoja na mashirika
yasiyo ya kiserikali
↧
↧
SHOGA APOTEZA MAISHA BAADA YA KUFANYA MAPENZI NA WANAUME WATATU KWA AHADI YA DAU NONO
Hii ni picha ya shoga toka Nigeria ambaye anadaiwa kupoteza maisha ndani ya gesti baada ya kufanya mapenzi na wanaume watatu kwa ahadi ya dau nono.....
Taarifa zinadai kwamba shoga huyo alizidiwa nguvu na wateja wake ambao walimwingilia kiasi cha kumtoa kinyesi....
Kwa mujibu ya mitandao ya kinigeria, Kelele toka ndani ya chumba alichokuwa
↧
SABABU MBILI ZILIZOMFANYA MADAM RITA AIHAMISHIE BONGO STAR SEARCH TBC1
Epiq Bongo Star Search ya mwaka 2013 haitaoneshwa tena kupitia ITV.
Mwaka huu shindano hilo la kusaka vipaji vya kuimba litakuwa likioneshwa
kupitia TBC1.
Kupitia Facebook, Rita Paulsen aka Madam Rita ambaye ni
mwanzilishi na jaji mkuu wa shindano hilo ametoa sababu mbili za
kuhamisha matangazo hayo kutoka ITV hadi TBC1.
“Baada ya kusoma maoni yenu, ningependa kufafanua sababu mbili
↧
SAKATA LA MFANYABIASHARA WA MADINI ALIYEPIGWA RISASI 6 JIJINI ARUSHA LEO MCHANA
Habari zilizopatikana majira ya saa kumi kasoro robo alasiri ya leo zinafahamisha kuwa, Mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani Arusha na mmiliki wa hoteli amepigwa
risasi na watu wasiojulikana katika eneo la Mijohoroni upande wa
kulia (punde tu baada ya Boma Ng’ombe ukitokea Moshi kuelekea Arusha),
mchana wa leo, alipokuwa ameitikia wito alioitiwa wa mazungumzo ya
kibiashara ya
↧
AIBU: MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU AUMBUKA BAADA YA KUTUPIA PICHA YAKE YA UCHI FACEBOOK BILA KUJUA
<!-- adsense -->
Mwanafunzi wa chuo kimoja hapa nchini ameambulia aibu ya mwaka baada ya picha zake chafu kuvuja katika mtandao wa facebook wakati "akichati" na darling wake.....
Katika mazungumzo yake na mpenzi wake, denti huyo alijikuta akikosea kumtumia picha mpenzi wake na kujikuta akiiweka katika wall yake huku ikisindikizwa na maneno
↧
↧
DUDU BAYA ATIWA MBARONI KWA KOSA LA KUCHOMA MOTO NYUMBA YA MSANII MWENZAKE
MSANII wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya’ ameswekwa rumande kwa
kudaiwa kuchoma nyumba ya baba wa msanii mwenzake ‘Geez Mabovu’,
Mashaka Mrisho.
Tukio hilo lilitokea Agosti 1, mwaka huu
ambapo mwenye nyumba sambamba na polisi walimkamata Dudu Baya na mkewe
Mariam kwa madai ya kuchoma moto nyumba kwa makusudi na kuwapeleka
katika Kituo cha Polisi Oysterbay.
“Mkewe alitupia mkaa
↧
MCHUMBA WA MTU ATUPWA SEGEREA BAADA YA KUNASWA AKIJUZA JIJINI DAR
Siku za mwizi ni 40....
Kauli hiyo ya wahenga ilitimia Jumatatu iliyopita
kufuatia msichana Pili Baraka (21) aliyevishwa pete ya uchumba na mpenzi
wake hivi karibuni kujikuta akitupwa Gereza la
Segerea jijini Dar baada ya kunaswa kwa tuhuma za ukahaba,
Mrembo huyo alifikishwa kwenye Mahakama ya Sokoine Drive (Jiji) na
kusomewa shitaka na mwendesha mashitaka wa mahakama hiyo,
↧
MTOTO MCHANGA AZALIWA NA JINSIA MBILI HUKO RUVUMA..... HANA MACHO WALA PUA
Mganga
mfawidhi wa Hospitali ta Wilaya ya Tunduru Dkt. Joseph Ng'ombo
akimuangalia mtoto huyo aliyezaliwa akiwa hana macho, pua na Shavu
linalo shika mdomo wa juu, kushoto ni mkunga wa zamu katika Hospital
hiyo Rukia Nguo akiwa akiwa amekishika kichanga
Huu ndo muunekano wa kichanga hiki usoni.
Mkono
wa mkunga huyo ukionyesha maungo ya kichanga hicho
↧
RAY C ASIMULIA KILICHOMFANYA AANZE KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA........LAWAMA ZOTE AMEZIELEKEZA KWA MPENZI WAKE
Muimbaji wa ‘Niwe Nawe Milele’ Rehema Chalamila aka Ray C jana alifanya
interview ya kwanza ya TV tangu takriban miezi 10 iliyopita baada ya
kujichimbia kupata matibabu ya madhara aliyokuwa amepata kutokana na
matumizi ya madawa ya kulevya.
Akiwa na muonekano mpya, mchangamfu, aliyenawili, mrembo na mwenye
afya njema, Ray C alizungumza kwa undani kwenye The Interview ya Clouds
TV kuanzia
↧
↧
"SIJAWAHI ONA MWANAUME MZURI KAMA PREZZO HAPA DUNIANI "...DIVA WA CLOUDS FM
Kwa mara nyingine tena, mtangazaji wa Clouds fm maarufu wa jina la DIVA amejitosa Istagram na kuanza kuisifia suruali yake ( Prezzo) huku akiwaponda wanaume wa kibongo na wale wote wanaomchukia Prezzo....
Huu ni ujumbe wake.
“The way my heart beats for u Mentiond of your name, One touch never
enough you driving me Insane, swing me take you back, who am i to
↧
MIHADHARA YA SHEIKH PONDA YAPIGWA MARUFUKU KATIKA ARDHI YA ZANZIBAR
Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar imempiga marufuku Katibu wa Jumuiya ya taasisi ya Kiislamu
shekhe Issa Ponda Issa kuendesha mihadhara ya kidini katika ardhi
ya Zanzibar yenye muelekeo wa kuleta mifarakano, chuki na uhasama.Makamo
wa pili wa rais balozi Seif Ali Iddi alisema hayo wakati akiahirisha
kikao cha Baraza la Wawakilishi cha bajeti kwa mwaka wa fedha 2013-2014.Balozi
Seif
↧
UKUBWA WA UUME SI KIGEZO CHA KUMRIDHISHA MPENZI WAKO..... CHA MSINGI NI KUWA MTUNDU NA MBUNIFU
-Imeandikwa na Dinah.
Utajuaje kuwa ni kubwa au ndogo? Obviously ni kwa kujipima....lakini
wanaume wengi wanapenda au hata kujisifia kuwa wao ni wakubwa,
wakidhani ni moja ya sifa au hitaji la muhimu la wanawake.
Umewahi kusikia wanawake wa Kitanzania wanalalamika au
kukimbia "mziki mnene" lakini wanawake wa Kizungu wanafurahia?
Kwa mujibu wa maelezo ya Daktari
Bingwa wa Magonjwa
↧
AFYA YA MSANII MATUMANI IMEIMARIKA KIDOGO NA AMEREJEA TENA KATIKA FANI YAKE YA UIGIZAJI
BAADA ya kutoka nchini Msumbiji akiwa hoi, msanii wa vichekesho Bongo,
Tumaini Mwakibibi ‘Matumaini’ hatimaye amepata nguvu na ameanza
kujikongoja katika kazi ya uigizaji.
Akiongea na mwandishi wetu hivi karibuni, Matumaini alisema kwa sasa
anaendelea vizuri na ameshaanza kucheza filamu mbalimbali
anazoshirikishwa na wasanii wenzake na sasa anaendesha maisha yake
mwenyewe.
“
↧
↧
VIGOGO WALIOMTUMA AGNESS MASOGANGE WABANWA....MMOJA AFUNGIWA ACCOUNT ZAKE
HABARI zilizochimbuliwa kwa undani zinadai kuwa tayari vigogo wawili
waishio nchini wamebanwa na Jeshi la Polisi Tanzania wakituhumiwa
kumtuma Masogange kupeleka madawa ya kulevya nchini Afrika Kusini.
Kwa mujibu wa habari hizo, vigogo hao (majina tunayo) walidakwa wiki
iliyopita kila mmoja kwa wakati wake na kuhojiwa katika Kituo Kikuu cha
Polisi (Central), jijini Dar ambako walihojiwa
↧
MHADHIRI UDSM AUAWA KIKATILI, WAZUNGU WAWILI WAMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR
Mauaji, mashambulizi ya kudhuru mwili na uporaji vimeendelea
kuchafua taswira ya Tanzania baada ya juzi, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam (UDSM), kuuawa kwa kupigwa risasi na watu ambao
hawajafahamika, raia wawili wa Uingereza kumwagiwa tindikali na
mfanyabiashara kuporwa zaidi ya Sh40 milioni.
Jana, Rais Jakaya Kikwete alikwenda Hospitali ya
Aga Khan kuwajulia hali raia hao
↧
YAMEBAKI MASAA 24 TU KWA WAHAMIAJI HARAMU KUONDOKA NCHINI KWA HIARI YAO ....WANYARWANDA 520 WAMEKWISHAONDOKA KWA HIARI
Zikiwa zimesalia saa 24 kabla ya kumalizika kwa muda uliotolewa
na Rais Jakaya Kikwete kwa wahamiaji haramu kuondoka nchini au
kuhalalisha ukaazi wao na wenye silaha kuzisalimisha, makundi ya
wahamiaji hao, yameanza kuondoka kwa hiari.
Wastani wa wahamiaji haramu 150 wanaendelea
kujiandikisha kuvuka mpaka katika Kituo cha Rusumo, Ngara mkoani Kagera
kutekeleza agizo hilo.
↧
More Pages to Explore .....