Askari wa usalama barabarani aliyekuwa akiongoza msafara wa mgombea urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli amefariki dunia baada ya kugongana na dereva bodaboda katika eneo la Ubungo jijini Dar es salaam.Mkuu wa polisi kitengo cha usalama barabarani DCP Mohamed Mpinga amesema askari huyo alikuwa kwenye pikipiki maalum iliyokuwa ikiongoza msafara wa Dkt Magufuli, ambaye alikuwa akitokea katika
Sad News: Askari Aliyekuwa Akiongoza Msafara wa Magufuli Afariki Dunia Kwa Ajali
↧
↧
Breaking News: Wafuasi wa CCM na CHADEMA Wachomana Visu Tunduma.......Watu wawili Wapoteza Maisha
Watu wawili wamefariki dunia baada ya vurugu kubwa kutokea kati ya wafuasi wa CCM na CHADEMA katika mji mdogo wa Tunduma Mkoani Mbeya.
Vurugu hizo zimetokea baada ya wanachama wa CCM kuweka mawe barabarani ili wafuasi wa CHADEMA wasipite kuhudhuria mkutano wa Lowassa.
Hali hiyo iliwafanya wafuasi wa CHADEMA kushuka ili kutoa mawe hayo, ndipo akatokea
↧
Mgombea Mwenza Wa UKAWA, Mh. Juma Duni Haji Apewa Barua Ya Onyo Kali Na NEC Kwa Tuhuma Za Kusema Uongo
↧
Nyumba Ya James Mbatia Yateketea Kwa Moto
Nyumba ya makazi ya mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia
imeteketea kwa moto siku ya Jumamosi, majira ya saa saba u nusu mchana,
kwa kile kilichoelezwa kuwa huenda ni hitilafu ya umeme unaosemekana
kukatika asubuhi na kurejea mchana kwa nguvu kubwa.
Akizungumza
na Channel TEN, kaka wa Mbatia, Felix Kessy amesema hadi sasa
wanachoweza kueleza ni uharibifu uliotokea
↧
Tamko Kali La Asasi Za Kiraia::Viashiria Vya Uvunjifu Wa Amani Wiki Moja Kabla Ya Uchaguzi
TAMKO LA ASASI ZA KIRAIA KUHUSU VIASHIRIA VYA UVUNJIFU WA AMANI WIKI MOJA KUELEKEA TAREHE YA UPIGAJI KURA KATIKA UCHAGUZI MKUU TANZANIA TAREHE 25.10.2015
Asasi za Tanzania tumeendelea kufuatilia mchakato wa uchaguzi mkuu 2015 tangu uandikishaji wapiga kura, uhamasishaji hadi kampeni zinazoendelea kwa umakini mkubwa.
AZAKI tumefanya hivyo tukiamini kuwa uchaguzi ni sehemu kuu ya
↧
↧
Sauti Sol Show Their Support To Tanzania's Diamond Platinumz As The Best African Act - Mtv Ema
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Kenya's golden boys Sauti sol have shown their support for Tanzania's
Diamond Platinumz as the Best African act at the MTV Europe music
awards (EMA)
Last year Sauti sol garnered support from their East African brothers to
become the favorites of the region and to win the Best
↧
Shilole kuchora tattoo nyingine ya Nuh Mziwanda kalioni!
Hivi karibuni Zuwena Mohamed ‘Shilole’ alichora tattoo yenye jina la
boyfriend wake Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kwenye kifua chake, ikiwa
ni ishara ya kuwa mapenzi yao yanazidi kushamiri.
Kama vile haitoshi Shishi bado ana mpango wa kuongeza mchoro mwingine kwenye sehemu za siri.
Akizungumza na Global Publishers, Staa huyo wa mduara, Shishi
amesema ana mpango wa kuchora tena
↧
CCM, Chadema ‘wakwepa’ mdahalo wa urais
Wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk John Magufuli, pamoja na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameshindwa kushiriki mdahalo maalum wa wagombea urais ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza pamoja na wadau wengine.
Mdahalo huo ambao umefanyika kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo,
↧
Mama Lowassa Atoa Kichapo Ukumbini baada ya Kushikwa PABAYA na Mlevi
Watu wanatabia Mbaya. Mama wa watu kaingia vizuri ukumbukini, Njemba ikampalamia na 'kumshika pabaya'
Uvumilivu ukamshinda mama Lowassa na kujibu mapigo.
Kuona video hiyo, >
↧
↧
Rais Kikwete Ateua Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Awadh Massawe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA). Rais alitangaza uamuzi
huo Ijumaa iliyopita wakati wa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa
bandari mpya ya Bagamoyo inayotajwa kuwa kubwa katika Afrika.
Akihutubia katika hafla hiyo, Rais Kikwete alisema yeye alishamaliza
uteuzi huo na kumwambia Massawe afuatilie barua
↧
Nzega: Vijana wa CCM Washambuliwa Kwa Mapanga Wakati Wakienda Kuandaa Mkutano wa Mbunge wao
VIJANA wawili wanaoaminika kuwa ni wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Nzega, wamejeruhiwa na watu wasiojulikana baada ya kuvamiwa walipokuwa wakielekea kuandaa mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa Nzega Mjini kwa tiketi ya chama hicho, Hussein Bashe.
Tukio hilo lilitokea saa tano usiku, Oktoba 15 mwaka huu katika kijiji cha Mbogwe ambapo vijana hao walijeruhiwa kwa mapanga
↧
Magufuli Aendelea Na Kampeni Za Kufa Mtu Mkoani Mwanza
Mgombea
urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Mabatini
jijini Mwanza ambapo aliwaambia kuwa atakapochaguliwa oktoba 25
atahakikisha anawatumikia Watanzania kwa nguvu zote na kuleta maendeleo.
Mgombea
urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Buzuruga
jijini Mwanza wakati akiwa njiani kuelekea Magu kwenye mkutano wa
kampeni.
Hii
↧
Waziri Mkuu Mizengo Pinda Awataka Watanzania Wamsamehe Kwa Matamshi Aliyoyatoa Wakati Akiwa Kiongozi
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, jana alitumia Ibada ya Shukrani iliyofanyika katika Parokia ya Hananasifu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, kumshukuru Mungu kwa kumwezesha kulitumikia Taifa kwa zaidi ya miaka 15 na kuwaomba Watanzania wamsamehe kwa matamshi aliyoyatoa akiwa kiongozi, huenda yaliwakwaza baadhi yao.
Pinda ambaye amekuwa Waziri Mkuu kwa miaka minane na miezi tisa, Waziri kwa
↧
↧
Mwigulu Nchemba Amshambulia Lowassa Kuhusu Afya Yake.....Adai Mwalimu Nyerere Angekuwepo Angetapika Kwa Hoja Finyu za Chadema
Mjumbe wa
kamati ya ushindi ya CCM Ndugu.Mwingulu Nchemba,akizungumza na wananchi
katika moja ya mikutano ya kampeni inayoendelea.
Akiwa
mkoani Mbeya wilaya ya Ileje amewaasa watanzania kutunza kadi za
kupigia kura,na kujitokeza kwenda kupiga kura,na Kumchangua Mgombea
Urais kupitia CCM Dr John Magufuli.
Mwigulu Amemponda Lowassa akidai ni mtu mgonjwa ambaye hawezi kushika
↧
Picha za Mkutano wa Kihistoria Wa LOWASSA jana Jijini Mbeya......Ilikuwa ni Zaidi Ya Mafuriko
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia
mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akimnadi kwa wananchi Mgombea
Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu", katika
Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Rwanda
Nzovwe, Jijini Mbeya Oktoba 18, 2015
Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Mbeya mjini katika
↧
Masogange Anaswa Live Na Midume Miwili Hotelini
Muuza nyago maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ametia aibu baada ya kunaswa laivu hotelini akifanya yake na wanaume wawili tofauti.
Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na Masogange, tukio hilo lilijiri katika Hoteli ya Lamada iliyopo Mbezi-Beach jijini Dar hivi karibuni baada ya mrembo huyo kutua Bongo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ kwenye makao yake yasiyo wazi.
Katika picha
↧
Hukumu Ya Sheikh Issa Ponda Yaahirishwa Hadi Novemba 18
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Morogoro, leo imeahirisha kutoa hukumu katika kesi ya jinai Na.128/2013 inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda.
Hukumu hiyo imeahirishwa hadi Novemba 18, mwaka huu baada ya Hakimu Mkazi Mary Moyo aliyetarajiwa kutoa hukumu hiyo kuwa na matatizo ya kiafya.
Taarifa hiyo imeonekana kuwaudhi watu waliokuwa wamekusanyika
↧
↧
Magufuli Aponda Ahadi Ya Lowassa Kufuta Umasikini Ndani Ya Siku 100......Asisitiza Kuwa Serikali Yake Haitawavumilia Watu Wavivu
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kujipanga kufanya kazi kwa sababu Serikali yake haitavumilia watu wavivu.
Akihutubia mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Shule ya Msingi Misungwi jana, Dk Magufuli alisema hata vitabu vya dini vimeelekeza kwamba asiyefanya kazi na asile, hivyo wanaoahidi vitu vya bure wanawadanganya Watanzania.
“Tujipange kufanya kazi, hata
↧
LOWASSA: Najisikia Kudeka Ninapoyaona MAFURIKO Haya.........Nipeni Kura Za Kutosha Niwatumikie ila Msisahau Kulinda Kura Zenu
Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa amesema amejiandaa na yupo tayari kuwaongoza Watanzania akiwa rais wa awamu ya tano.
Akizungumza
kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe- Mbeya Mjini, Lowassa alisema:
“Ninatosha, nitumeni kwa kura zenu… nipeni kura za kutosha niwatumikie.”
Lowassa
ambaye alisema anasikia deko kutokana na wingi wa watu, alisema
misamaha ya kodi kwa sasa ni Sh1.6
↧
Mbowe Afichua Njama Za CCM Kuiba Kura Usiku wa Tarehe 24
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema wamegundua njama za kuiba kura zitakazofanywa na CCM usiku wa tarehe 24 kwa kupita mitaani na kugawa fedha za kura feki.
Mbowe alitoa kauli hiyo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe vilivyopo jijini Mbeya.
Alisema ili kudhibiti hali hiyo, siku hiyo Ukawa watafanya doria usiku kucha ili kuhakikisha
↧
More Pages to Explore .....