Katika kusherehekea miaka kumi na nne ya kampuni hii tumetoa punguzo kubwa la bei kama shukran kwa wateja wetu. Bidhaa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda na hazina kemikali wala madhara.
TUNAZO ZA:-
1.Kerefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
2.Kuongeza shepu (hips na makalio) @120,000/=
3.Kuondoa mvi milele zisirudi @100,000/=
4.Kupunguza unene na manyama uzembe
Pendeza na Markson Products......Wanadawa za Asili za Kuongeza Uuume, Kurefusha Nywele,Kusimamisha Maziwa Yaliyolala n.k
↧
↧
Shindano la Serengeti Masta Lahitimishwa Jijini Mbeya na Arusha
Mshindi wa jumla wa shindano la Serengeti Masta kwa wakazi wa Arusha Laota Elias akiserebuka mziki mara baada ya kuibuka mshindi wa jumla wa shindano la Serengeti Masta kwa mkoa wa Arusha wakati wa shindano la mwisho la kumtafuta “Serengeti Masta” wa jumla wa mkoa huo lililofanyika katika baa ya Bondeni iliyopo Kijenge juu jijini Arusha.
Mshiriki wa shindano la Serengeti Masta na mkazi
↧
Jinsi Punyeto Inavyo Sababisha Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu za Kiume
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani. Zipo sababu nyingi zinazo sababisha tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.
Miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na maradhi kisukari, presha,shinikizo la damu, moyo, figo, matatizo kwenye mishipa ya ubongo & mishipa ya uti wa mgongo, matatizo kwenye
↧
Joto Lazidi Kupanda....UKAWA Wafungua Kesi Mahakamani Kupinga Wananchi Kuzuiwa Kulinda Kura
Leo tarehe 16 October 2015, Ukawa kupitia wakili wa CHADEMA,Peter Kibatala na mawakili wengine, wamefungua chini ya hati ya haraka sana (certificate of extreme urgency) shauri nambari 37 la mwaka 2015 katika Mahakama Kuu ya Tanzania (Main Registry) wakiomba Mahakama Kuu itoe tafsiri sahihi ya kifungu cha 104 (1) cha Sheria ya Uchaguzi Tanzania na itamke iwapo wapiga kura na watu wengine
↧
Sad News: Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe na Capt. William Silaa (baba yake Jerry Slaa) Wafariki Dunia Kwa Ajali ya Chopa
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe na Capt. William Silaa (baba yake Jerry Slaa), wamethibitika kupoteza maisha kwa ajali ya helkopta katika eneo la Msolwa, hifadhi ya Selous.
Deo anakuwa mbunge wa sita kupoteza maisha katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu.
Jerry Slaa, ameandika ujumbe kwenye Instagram kuhusu msiba huo uliolifika taifa.
“Kwa masikitiko makubwa nimepokea
↧
↧
Dkt. Magufuli apokea kwa masikitiko kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ludewa, mkoani Njombe Ndugu Deo Filikunjombe Haule,
Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za vifo vya Mbunge wa Jimbo la Ludewa, mkoani Njombe Ndugu Deo Filikunjombe Haule, Kepteni William Silaa pamoja na abiria wengine wawili ambao wameaga dunia Alhamisi, Oktoba 15, 2015 kwa ajali ya helkopta iliyotokea katika eneo la Hifadhi ya Selous mkoani Morogoro.
↧
Kauli ya Lowassa Kuhusu Kifo cha Deo Filikunjombe
Ni taarifa ya kushtusha sana ya msiba wa mwanasiasa chipukizi na jasiri, Deo Filikonjombe kutokana na ajali ya Helikopta jana jioni(juzi) maeneo ya mbunga ya Selous mkoani Morogoro.
Ni pigo lingine kubwa ambalo katika kipindi kifupi Taifa limepata, huku bado likiwa na kidonda cha kuondokewa na wana siasa wengine mahiri,Marehemu Celina Kombani, Dr Abdallah Kigoda na Dr Emanuel Makaidi
↧
Magufuli Ahutubia Mkutano Mkubwa Zanzibar.....Picha Zote ziko Hapa
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John
Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa visiwa vya Unguja kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John
Pombe Magufuli akisisitiza kuulinda Muungano na kuwaambia kuwa atazifanyia kazi kero zilizobaki za Muungano.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
↧
Ratiba ya Lowassa Kwa Majimbo yote ya Mbeya Iko Hapa
↧
↧
Diamond Kushindana Na Mrembo Wa Dunia Toka India, Priyanka Chopra Kwenye Tuzo za MTV EMA 2015
Nyota ya Diamond Platnumz inazidi kung’aa na kumulika hadi nje ya bara la Afrika ambako pia imeanza kukubalika.
Siku
chache baada ya kushinda tuzo za AFRIMMA, 2015 na Best African Act (MTV
2015), msanii huyo mzawa wa Tandale, Dar es Salaam sasa atashindana na
magwiji wa burudani wanaowakilisha kanda mbalimbali duniani akiwemo
mrembo wa dunia wa mwaka 2000, kutoka India, Pyanka Chopra
↧
Picha Za Mabaki Ya Chopa Iliyopoteza Uhai wa Mbunge Deo Filikunjombe
Mwili wa Deo Filikunjombe ukitolewa Eneo la tukio baada ya kuteketea kwa Moto kufuatia ajali ya helkopta.
Waliofariki mbali ya Filikunjombe wengine ni Mwenyekiti wa TLP Mkoa wa Iringa Blanka Francis Haule ,Egdi Francis Nkwela na rubani wa helkopta hiyo Wiliam Slaa.
Miili yote imepelekwa jijini Dar esalaa kutoka katikati ya mbuga ya Selou kitalu R3 .
Mwili wa Filikunjombe utaagwa
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya leo Jumamosi ya Oktoba 17
↧
Filikunjombe Alivyotikisa Bunge.........Aliwahi Kukusanya Saini Kumng'oa Waziri Mkuu, Alikataa Mabilioni ya Escrow, Alitaka Mawaziri Wazembe Wachapwe Bakora
Deo Filikunjombe akiweka sahihi katika fomu ya majina ya wabunge wasiokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
***
Bunge la Jamhuri ya Muungano halitamsahau marehemu Deo Filikunjombe, kwa umahiri na ujasiri wa kujenga hoja bungeni na kuikosoa serikali ya chama chake Chama cha Mapinduzi (CCM).
Alikuwa hana hofu licha ya nyakati nyingine kuitwa mpinzani. Japokuwa alikuwa mwanachama
↧
↧
New Song - Maumivu By Ali Kiba
This is a new song by Ali Kiba, it is tittled Maumivu.....
You may listen it >
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
↧
CCM Na Chadema Watwangana Ngumi....Wachoma Moto Maduka,Pikipiki na Magari
Zikiwa zimebakia siku saba kabla ya kufanyika kwa
Uchaguzi Mkuu, hali ni tete katika Kijiji cha Nyamiyaga, Kata ya
Bugomora wilayani Kyerwa, Mkoa wa Kagera baada ya wafuasi wanaodaiwa
kuwa wa vyama vya CCM na Chadema kupigana kisha kuharibu magari,
pikipiki na kuchoma moto maduka.
Tukio hilo lililotokea Jumatano
kuanzia saa 12.00 jioni hadi saa 4:00 usiku, chanzo kikielezwa kuwa ni
↧
Orodha ya NEC ya idadi ya Wapiga Kura kwa Kila Mkoa na Uwiano wa kijinsia, umri
Tume ya taifa ya uchaguzi imetoa idadi ya wapiga kura kwa kila mkoa na Uwiano wa Kijinsia pamoja na umri wao.
Bonyeza hapa kupata Orodha hiyo. >
↧
Serikali Kulipa Madeni ya Watumishi wa Serikali za Mitaa
SERIKALI imetenga kiasi cha fedha cha Sh. bilioni tano ( 5.93) ikiwa ni madeni ya mishahara ya Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa(TALGWU) na Sh. bilioni nne(4) kwa ajili ya kulipa madeni ya yasiyohusu mishahara, fedha ambazo zitalipwa Oktoba mwaka huu.
Kauli hiyo ya Serikali imetolewa leo na Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, HAB Mkwizu
↧
↧
Rais Kikwete,Magufuli waongoza wananchi kumuaga Deo Filikunjombe
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mgombea Urais wa tiketi ya CCM
Dkt.John Pimbe Magufuli wakitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza ya
aliyekuwa Mbunge wa Ludewa(CCM) Marehemu Deo Filikunjombe na wenzake
wawili waliofariki katika ajali ya helikopta juzi katika pori la akiba
la mbuga ya Selous. Marehemu aliagwa katika hospitali ya jeshi Lugalo
jijini Dar es Salaam Oktoba 17, 2015.
*****
↧
Magufuli Aliteka Jiji la Mwanza.......Hapa kuna Picha Kadhaa za MAFURIKO Yake-Octoba 17
↧
Maduka Yafungwa Tunduma Mkoani Mbeya Kupisha MAFURIKO ya Lowassa.........Hapa Kuna Picha Kadhaa za Nyomi ya Watu -Oktoba 17
↧
More Pages to Explore .....