Dunia ina mengi....Dawa ya tatizo ni kukubaliana nalo.
Huyu ni jamaa mwenye jinsia mbili na kwa mujibu wa maelezo yake anadai kuwa jinsia zote mbili ziko poa (Active)..
Kinachofurahisha zaidi ni kwamba jamaa kakubaliana na tatizo...Haoni kama ni shida na anaisha maisha ya kawaida kabisa...
Cha kufurahisha zaidi ni kwamba, jamaa katangaza
"NINA JINSIA MBILI, NATAFUTA MPENZI WA JINSIA YOYOTE"...OMBI LA MDAU WETU
↧
↧
" NILIKURUPUKA KUOLEWA MAPEMA" JACK PATRICK
MWANAMITINDO marufu Bongo, Jacqueline Patrick ‘Jack’ amesema alikurupuka
kuolewa na aliyekuwa mume wake, Abdulatif Fundikira ‘Tiff’ kwa kuwa
hakufanya tathmini ya kina kabla ya kufanya maamuzi.
Akizungumza na mwandishi wetu, Jack alisema laiti angekaa kwenye uchumba
kwa angalau muda wa miaka miwili kuchunguzana kabla ya kuoana mwaka
2011, asingeweza kufikia hatua ya ndoa kwani
↧
ROBERT MUGABE NDANI YA IKULU YA ZIMBABWE KWA MARA YA SABA....
Baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kinyan’ganyiro cha Urais wa
Zimbabwe, Rais Robert Mugabe (89), amefikisha mihula saba ndani ya
Ikulu ya nchi hiyo.
Mugabe juzi alishinda tena kiti cha urais. Matokeo
rasmi yalionyesha kuwa aliibuka na ushindi wa asilimia 61 wa kura dhidi
ya mpinzani wake, aliyekuwa Waziri Mkuu, Morgan Tsvangirai ambaye
alipata asilimia
↧
FEZA KESSY AENDELEA KUPETA NDANI YA BIG BROTHER.....MPENZI WAKE ATOLEWA
Hatimaye jina la Oneza limefikia tamati jana baada ya Afrika kuamua
kumuondoa shemeji yetu Oneal aliyepata kura ndogo zaidi katika The
Chase.
Pamoja na matumaini madogo sana aliyokuwanayo Feza ya kupona panga la
eviction ya jana (August 4) lakini Afrika imeamua kummbakiza Feza
mshiriki pekee wa Afrika mashariki na Tanzania aliyebaki.
Feza Kessy
amepona katika eviction ya jana kwa
↧
MUME AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI BAADA YA KUMNYONGA MKEWE
MWANAMUME mmoja amemnyonga hadi kufa mke wake na yeye akauawa na
wananchi wenye hasira, katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Tukio hilo
lililothibitishwa na polisi wilayani hapa, lilitokea usiku wa kuamkia
juzi katika Kijiji cha Kisangwa Kata ya Mcharo, kwenye sherehe ya
ufunguzi wa nyumba ya ndugu yao.Ofisa Mtendaji wa Kata ya
Mcharo, Waziri Kingi, alimtaja mwanamke aliyeuawa kwa
↧
↧
MKE WA MTU ANUSURIKA KUUAWA BAADA YA KUNASWA AKIIBA NGUO KARIAKOO
Jimama
mwenye hadhi yake ambaye ni mke wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Mary
au Mama Gilo, mkazi wa Sinza jijini Dar amekula kichapo cha kutisha
almanusra apoteze uhai baada ya kunaswa akiiba nguo kwa ajili ya Sikukuu
ya Eid El Fitr.
Tukio hilo la
aibu lililoshuhudiwa na mwandishi wetu lilijiri katika moja ya maduka
makubwa ya nguo Kariakoo, Dar mwishoni mwa wiki iliyopita.
↧
RIPOTI YA MAUAJI YA ARUSHA YAVUJA....
HATIMAYE ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, kuhusu
vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu na mauaji yaliyotokea Arusha
Januari 5, 2011 kwenye maandamano ya CHADEMA imevuja.Licha ya
ripoti hiyo kufichwa kwa kutosomwa hadharani kwenye vyombo vya habari
kutokana na kulishutumu moja kwa moja Jeshi la Polisi, Tanzania Daima
imefanikiwa kuinasa.Maandamano hayo ya CHADEMA ya
↧
MSIMAMO WA RAIS KIKWETE KWA RAIS KAGAME WA RWANDA WAUNGWA MKONO KWA ASILIMIA 100 NA WASOMI HAPA NCHINI....
WASOMI na baadhi ya wanasiasa wazalendo nchini wameunga mkono msimamo wa Tanzania uliotolewa na Rais Jakaya Kikwete kuhusiana na chokochoko zinazoanzishwa na Rwanda na wamemtaka Rais wa nchi hiyo, Paul Kagame, kukaa meza ya mazungumzo na waasi wa nchi hiyo walioko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kwani amani haiwezi kutafutwa kwa njia ya mtutu wa bunduki.Akizungumza na MAJIRA kwa
↧
JAJI FRANCIS MUTUNGI ATEULIWA KUWA MSAJILI MPYA WA VYAMA VYA SIASA...TENDWA KWA HERI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete amemteua Mheshimiwa Jaji Francis S.K. Mutungi kuwa Msajili wa
Vyama vya Siasa.
Taarifa iliyotolewa Dar Es Salaam leo, Jumatatu, Agosti 5, 2013, na
kutiwa saini na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue imesema kuwa
uteuzi huo ulianza Ijumaa iliyopita Agosti 2, 2013.
Jaji Mutungi anachukua nafasi iliyoachwa wazi
↧
↧
MTOTO WA MIAKA MITATU ALAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA BABA YAKE....
↧
VIDEO YA TUKIO LA JAMBAZI LILIVYONUSURIKA KUUAWA JIJINI DAR
KIJANA mmoja ambaye hajafahamika jina lake anayedaiwa kuwa ni jambazi
amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali eneo la Mbezi kwa
Msuguli jijini Dar es Salaam.
Kijana huyo pamoja na mwenzake wakitumia
pikipiki walikuwa na silaha za moto tayari kwa kwenda kufanya uhalifu
lakini kabla mpango wao haujakamilika polisi waliingilia kati na kuanza
kupambana nao.
Haikuwa kazi rahisi
↧
MWANAUME APOTEZA UUME WAKE KWA SIKU TATU JIJINI DAR....( VIDEO)
MWANAUME mmoja aliyejulikana kwa jina la Elias Peter (28) mkazi wa
Mwananyamala Msisiri, Dar hivi karibuni alijikuta katika wakati mgumu
baada ya uume wake kutoweka kwa siku tatu na kurudi ambao hauna nguvu.
Akizungumza
na mwandishi wetu, Elias alisema siku ya tukio alipewa sigara na kijana
mmoja anayejulikana kwa jina la Saleh Mtima alipomaliza kuvuta alianza
kuhisi baridi kali ghafla
↧
MTANZANIA MWINGINE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA THAILAND...
SIKU chache baada ya serikali za Tanzania na Thailand kutiliana
saini mkataba wa kubadilishana wafungwa na kutekeleza sheria ya vifungo,
raia wa Tanzania amebambwa na dawa za kulevya nchini humo.
Mtanzania huyo aliyefahamika kwa jina moja la Kileo, alikamatwa
Jumanne wiki iliyopita katika kisiwa cha Macau akiwa amemeza dawa hizo
aina ya cocaine akielekea China.
Kwa mujibu wa maofisa wa
↧
↧
"TUTAHAKIKISHA KAGAME HAPONI , NI LAZIMA TUMMALIZE KABLA HAJATOROKA"..... HII NI KAULI YA BAADHI YA ASKARI WETU
Chokochoko zinazoendelezwa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame (pichani)
dhidi ya Rais Jakaya Kikwete zimewakasirisha baadhi ya wananchi wakiwemo
askari wa Tanzania na wakadai kuwa kiongozi huyo wa Rwanda atakiona cha
moto akianza uchokozi.
Wakizungumza na gazeti la UWAZI mwishoni mwa wiki
iliyopita kwa sharti la kutoandikwa majina yao gazetini, baadhi ya
askari walisema wanamshangaa
↧
TACAIDS YATOA TAKWIMU ZA UKIMWI...MKOA WA NJOMBE UNAONGOZA UKIFUATIWA NA IRINGA
TUME ya Kudhibiti UKIMWI nchini (TACAIDS) imesema mkoa wa Njombe
unaongoza kwa kuwa na maambukizi makubwa ya Virusi vya UKIMWI kwa
asilimia 14.8 ikifuatiwa na Iringa kwa asilimia 9.1.Mkoa wa
Mbeya unashika nafasi ya nne kwa asilimia tisa ukifuatiwa na Ruvuma
(7.2), Shinyanga (7.4), Dar es Salaam (6.9) Rukwa (6.2), Katavi (5.9),
Pwani (5.9),Tabora (5.1), Kagera (4.8) na Geita (4.7).
↧
WANANCHI WAPEWA KICHAPO KIKALI NA MGAMBO BAADA YA KUMUUA PUNDA NA KUMTUPA MTONI HUKO MBEYA
Wakicharazwa viboko na mgambo baada ya kukamatwa.
Fimbo hizo ni silaha walizokuwa
wakizitumia kukaidi sheria bila shuruti na kujeruhi kila aliyewakaribia
huko Chilulumo wilaya ya Momba mkoani Mbeya.
Watu wanaotuhumiwa kumwua punda na kisha kumtupa kwenye mto ambao
wananchi wa kando kando wanayatumia maji yake kwa shughuli mbalimbali
huko Momba, Mbeya, wamekamatwa na
↧
PICHA ZA NUSU UCHI ZA RIHANNA KATIKA TAMASHA LA CROP OVER 2013
↧
↧
HASARA NA FAIDA ZA MWANAMKE ALIYEZOEA KUPIGA PUNYETO
<!-- adsense -->
Kujichua
au kujichezea(kupiga puri au punyeto) sio kwa wanaume tu bali hata
wanawake wanafanya hivyo ila wengi wao huwa hawako huru kulizungumzia
au kukili kuwa wakizidiwa huwa wanajisaidia…….
Wakati
mwingine mtu anashindwa kabisa kupata usingizi mpaka upige moja-mbili
ndio usingizi unakuja au asubuhi unajisikia mzito kuamka kitandani
mpaka upige moja ndio
↧
SELLY AMUOMBA MSAMAHA MPENZI WAKE KWA KUFANYA MAPENZI NA NANDO NDANI YA BIG BROTHER
Hatimaye mshiriki wa Ghana katika reality show ya Big Brother ‘The
Chase’ Selorm Galley maarufu kama Selly aliyetoka wiki moja iliyopita,
amemuomba msamaha boy friend wake (wa Ghana) kwa yale aliyoyafanya
mbele ya Camera za nyumba ya Big Brother.
Kupitia kipindi cha live ‘Celebrity Show’ cha ETV ya Ghana Selly
ambaye pia ni muigizaji alianza kwa kumshukuru mpenzi wake Praye Tietia
↧
MKENYA WA DR. ULIMBOKA AFUTIWA KESI YAKE
MKURUGENZI wa Mashitaka nchini (DPP), Dk. Eliezer Feleshi,
amefuta kesi ya kuteka na kujaribu kumuua Mwenyekiti wa Jumuiya ya
Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka, iliyokuwa ikimkabili raia wa
Kenya, Joshua Mulundi, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es
Salaam.
Hatua hiyo imeelezwa kuwa ni baada ya DPP kuona hana haja ya kuendelea
kumshitaki kwa makosa hayo ambayo yalikuwa
↧
More Pages to Explore .....