KAULI ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo kwamba “CCM haitafanya makosa kukabidhi Ikulu kwa wapinzani” imezua mjadala.
Bulembo alitoa kauli hiyo kwenye mkutano wa kampeni za urais wa mgombea wa chama chake Dk. John Magufuli Kigoma.
“Serikali imefanya makosa mengi na Chama Cha Mapinduzi kimefanya makosa mengi lakini hakitofanya kosa la
VIDEO: Chadema Yamvaa Bulembo Aliyesema CCM Haiko Tayari Kukabidhi IKULU Kwa Wapinzani
↧
↧
VIDEO: Mbowe Ajibu Malalamiko ya Viongozi wa NCCR-Mageuzi
MWENYEKITI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananachi (UKAWA), Freeman Mbowe amesema, wanaoleta chokochoko ndani ya umoja huo walitaka upendeleao.
Kauli ya Mbowe inakuja siku mbili baada ya Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, Leticia Ghati Musore na katibu mkuu wa chama hicho Mosena Nyambabe kudai kwamba “Chadema
↧
Lowassa Atoa Msimamo Sakata la Richmond....Aahidi Kukomesha Unyanyasaji kwa Raia
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), amesema utawala wa serikali yake hautanyanyasa wananchi wanaodaiwa kuwa sio raia.
Alikuwa akizungumza jana na wakazi wa Jimbo la Nkenge, wilayani Misenyi walio mpakani na nchi ya Uganda.
Aliwataka maafisa wa Idara ya Uhamiaji kuacha kuwanyanyasa wananchi
↧
Magufuli Afunika Chato........Maelfu ya Wananchi Wahudhuria Mkutano wake LEO
Mgombea
wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa
michezo wa Mazaina Chato tayari kuhutubia wakazi wa Chato.
Umati
wa wakazi wa Chato wakiwa wamefurika kwenye viwanja vya mkutano kwa
ajili ya kumsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe
Magufuli.
Mgombea
wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na Mwenyekiti
wa CCM
↧
Ijue Tiba ya Nguvu za Kiume kwa Wagonjwa wa Kisukari
Ugonjwa wa kisukari ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Asilimia kubwa ya wagonjwa wa kisukari wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.
Unajua ni kwa nini wanaume wenye kisukari wanasumbuliwa pia na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume ?
JIBU NI RAHISI SANA, NALO NI KWA
↧
↧
LOWASSA: CCM Mtaisoma Namba, Watanzania Wanataka Mabadiliko
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA na UKAWA, Bw. Edward Lowassa ameendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bw. Lowassa jana aliendelea na kampeni zake katika majimbo matatu ya Mkoa wa Dar es Salaam ambayo ni Ukonga, Kigamboni na Mbagala
Jimbo la Ukonga
Akiwa katika Uwanja wa Shule
↧
Picha 6 za MAFURIKO Ya Lowassa Jana Jijini Dar es Salaam
Lowassa jana aliendelea na kampeni zake katika majimbo matatu ya Mkoa
wa Dar es Salaam ambayo ni Ukonga, Kigamboni na Mbagala. Hizi ni Picha Za Maelfu ya Wananchi waliofurika Kumsikiliza
↧
Sumatra Yafungia Mabasi yote ya Muro
MAMLAKA ya Kudhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imesitisha kwa muda usiojulikana leseni ya usafirishaji abiria ya kampuni ya mabasi ya Muro (Muro Investment Co. Limited), kwa kutokidhi viwango vya kiufundi na usalama.
Aidha, Sumatra imeiagiza kampuni hiyo kuwasilisha kwa mamlaka hiyo mpango wa utengenezaji magari yake, nakala ya cheti cha ofisa usafirishaji wa kampuni pamoja
↧
Mabasi 138 yaendayo haraka yatua Dar
Mwezi mmoja baada ya kuanza kutolewa kwa mafunzo kwa madereva maalumu, awamu ya kwanza ya mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) imewasili nchini kutoka China.
Agosti 16, Serikali ilizindua mafunzo ya madereva 330 ambayo yangetolewa kwa awamu tano ili kuwajengea uwezo wa kuyaendesha na kuwahudumia wateja.
Akipokea mabasi hayo kwenye Bandari ya Dar es Salaam, Mkuu wa Mkoa,
↧
↧
Maoni:NEC Iwamulike Wanasiasa Wanaofanya Kampeni za MATUSI Ili Kuepusha Vurungu Nchini
Ndugu wasomaji,ni matumaini yetu kuwa mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku ikiwemo kufuatilia kampeni za wanasiasa ikiwa ni kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi oktoba 2015.
Leo napenda nizungumzie viashiria vya uvunjifu wa amani vinavyojitokeza katika kampeni za wanasiasa mbalimbali kuanzia ngazi ya madiwani, wabunge na marais katika maeneo
↧
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC ) Yatupilia Mbali Malalamiko ya Mbowe
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imepuuza malalamiko ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) juu ya kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM, Abdallah Bulembo, kuwa chama chake hakitakuwa tayari kuiachia Ikulu kwa namna yoyote ile, ikisema ni ya kisiasa na hayana madhara yoyote.
Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kwa sasa kila chama kipo kwenye kampeni za kutafuta
↧
Joseph Musukuma Amshambulia LOWASSA........Asema Alijisaidia Hadharani Pale Chato. Tazama Video hii
MWENYEKITI wa CCM mkoa wa Geita, Joseph Msukuma amemvaa mgombea wa
urais kupitia Chadema, Edward Lowassa na wengine waliohamia Ukawa
akisema wanashukuru chama kimetua mzigo.
Msukuma, ambaye anaaminika kuwa swahiba wa Lowassa wakati wa mchakato
wa kura ya maoni kwenye CCM, aliuambia mkutano jana kwamba hakuna
anayefahamu siri za Lowassa.
“Nataka nimwambie ndugu yangu, rafiki yangu
↧
Emmanuel Mbasha Aachiwa Huru...Upande wa Mashtaka Umeshindwa Kuthibitisha kosa la Ubakaji dhidi yake
Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Emmanual Mbasha (32), leo ameangua kilio baada ya kuachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Ilala huku mke wake, Flora amesema yuko tayari warudiane endapo ataomba radhi.
Mbasha alimwaga chozi muda mfupi baada ya kutoka katika chumba cha Mahakama alipopandishwa kizimbani kusomewa hukumu.
Mshtakiwa huyo ameachiwa huru dhidi ya kesi ya ubakaji iliyokuwa
↧
↧
Lowassa Aahidi Kufumua Mikataba ya Gesi na Mafuta.......Sumaye amtaka Magufuli Ahamie UKAWA
Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema akichaguliwa na kuingia madarakani baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 25, atahakikisha kuwa mikataba yote ya gesi na mafuta inapitiwa upya ili kuhakikisha kuwa kweli inawanufaisha Watanzania na siyo wawekezaji wa kigeni peke yao.
Lowassa anayewakilisha pia muungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya
↧
Magufuli Alalamika Kuhujumiwa: Asemna Kuna WanaCCM Wanamuunga Mkono Mchana, Ikifika Usiku Wanawaunga Mkono Wapinzani
Hatimaye mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameibuka hadharani na kuzungumzia tatizo la kuwapo kwa baadhi ya wafuasi wa chama chake kumhujumu kwa kuunga mkono harakati za upinzani.
Akizungumza kwenye viwanja vya Zimbiilo, Wilaya ya Muleba Kusini jana, Magufuli alisema anatambua kuwapo kwa baadhi ya wanaCCM wanaojionyesha kumuunga mkono nyakati za
↧
CHADEMA Wachangisha Milioni 97 za Kampeni...... Mbowe Asema Wako Matajiri Watano Ambao Wameapa Kukipigania Chama
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama chake kina watu watano wenye uwezo wa kiuchumi wanaoweza kukisaidia chama hicho kuendesha shughuli zake za kampeni, ikiwa ni siku 32 kabla ya wananchi kupiga kura Oktoba 25.
Lakini mwenyekiti huyo wa Chadema amesema watu hao hawataki kutangazwa majina yao kutokana na kuhofia kufuatiliwa na vyombo vya dola, akisema kitendo hicho ni cha
↧
Picha: Magufuli Apokelewa Kishujaa Bukoba Mjini
Umati
wa wakazi wa manispaa ya Bukoba wakiwa wamefurika katika viwanja vya
Gymkhana kumsikiliza mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli .
Mgombea
Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa manispaa
ya mji wa Bukoba ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa akichaguliwa kuwa
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania atahakikisha bei ya Kahawa
inapanda, ujenzi
↧
↧
Utafiti wa TWAWEZA Waibeba CCM.....Kama Uchaguzi Ungefanyika Leo asilimia 65% walisema Magufuli, 25% walisema Lowassa.
Taasisi ya Twaweza imetoa utafiti wake ambao inasema imefanya kwa wananchi wa Tanzania bara kutoka mikoa tofauti ya Tanzania.
Swali la kama uchaguzi ungefanyika leo, ungempigia kura mgombea wa chama gani? wanasema watu wamejibu kama ifuatavyo
CCM - 66%
CHADEMA - 22%
CUF - 1%
ACT wazalendo - 0%
UKAWA - 3%
Kingine - 6%
Hakuna jibu 2%
Utafiti huo uliotokana na kuhoji watu 1848
↧
Picha na Video ya Magufuli Akipiga Push-Up Kuonesha Yuko FITI
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli akipiga 'push-up' kuonesha kuwa anauwezo wa kufanya kazi ukilinganisha na wagombea wengine.
Tazama video ya Dr. Maguli hapo chini Akipiga Push-Up
↧
Makanisa matatu ya kilokole yachomwa moto Bukoba
Makanisa matatu ya dhehebu la Kipentekoste yaliyopo katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, yameteketezwa kwa moto usiku wa kuamkia leo na watu wasiofahamika.
Tukio hilo limehusisha makanisa ya Pentecostal Assemblies of God (PAG) lililopo Buyekera Kata ya Bakoba, Living Water International na Evangelical Assemblies of God (EAGT) yote yakiwa eneo la Kashura.
Akizungumzia tukio hilo
↧
More Pages to Explore .....