Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akipokea mfano wa funguo yenye ujumbe wa "Mabadiliko", kutoka kwa Mgombea Ubunge wa Ukawa kupitia CHADEMA, Mh. James Lembeli, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi mpya, Nyasubi, Kahama Mjini Septemba 14, 2015.
Sehemu ya Umati wa wananchi wa Mji wa
Lowassa Afunika Kahama.......Maelfu Ya Wananchi Wahudhuria Mkutano wake
↧
↧
Magufuli Apokelewa Kifalme Tabora
Sehemu
ya umati wa watu waliokuwa katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jana jioni walipokuwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa tabora mjini
na kuwaambia kuwa Dk. Magufuli ni kiongozi sahihi anayehitajika Tanzania
kwa sasa na kuwataka wananchi kumpigia kura zote ifikapo Oktoba 25
mwaka huu.
Mmoja
wa
↧
Wahariri Walaani Mwandishi wa Magazeti ya Uhuru na Mzalendo Kupigwa Na Vijana wa CHADEMA
JUKWAA la Wahariri Nchini (TEF), limewataka wanahabari kuwa makini na maisha yao wakati huu wa mchakato wa uchaguzi sambamba na kulaani kitendo cha vijana wa Chadema cha kumshambulia na kumpiga mwandishi wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo, Christopher Lissa.
Aidha, limewataka vyama vya siasa na watu binafsi wanaoandaa mikutano ya waandishi wa habari kutowaalika makada wa vyama vyao ambao si
↧
NEC Yaahirisha Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Lushoto
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wananchi wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, hawatapiga kura ya kuchagua mbunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25.
Hatua hiyo, inatokana na kufariki dunia kwa aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Mohamed Mtoi (39).
Mtoi,
↧
LOWASSA: Nitaanzisha Benki ya Mama Lishe na Bodaboda ili Kufuta Umasikini
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CHADEMA na UKAWA, Edward Lowassa, ameahidi kuanzisha benki maalumu ya kusaidia mamalishe, waendesha pikipiki za bodaboda, wajasiriamali wadogo ili waweze kupata mikopo na kukuza vipato vyao.
Bw. Lowassa aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Stendi Mjini Kahama, mkoani Shinyangana kuongeza kuwa,
↧
↧
Zitto Kabwe: CCM Imeoza.....Haiwezi Kubadilika Hata Akija MALAIKA Kuiongoza
KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) hata kipate malaika hakiwezi kubadilika, hivyo dawa pekee ni kukiondoa jumla madarakani.
Akizungumza juzi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kituo cha basi Tabata Segerea, Zitto alisema matatizo mengi ya nchi yamesababishwa na sera mbovu za CCM ambazo baadhi ya wagombea wake ndio waliokuwa
↧
Rais Kikwete Amtaja Mhusika wa Sakata la Richmond....Asema ni Yule Anayetembea na Tundu Lissu Kila Siku Kwenye Kampeni
Rais Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na anatembea naye mikoani.
Kikwete aliyasema hayo jana wakati akiwaaga wananchi wa Kigoma katika Uwanja wa Lake Tanganyika na kumtaka Lissu amtaje mwenye Richmond.
“Endapo Tundu Lissu atashindwa kumtaja mwenye Richmond, nitatoka hadharani na
↧
Picha ya Lowassa Yasababisha kifo
Mwalimu wa Shule ya Sekondari Manushi Kibosho, Wilaya ya Moshi Vijijini ameuawa saa chache baada ya ugomvi unaohusishwa na kuchanwa kwa picha ya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
Mwalimu huyo, Demetus Dastan (33) maarufu kwa jina la Kidule, aliuawa Jumamosi iliyopita usiku na mwili wake kukutwa katika shamba la mtu aliyetajwa kuwa ni Joackim Massawe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano
↧
↧
Wawili Wafariki Katika Ajali Iringa
Gari aina ya Toyota Harrier likitolewa eneo la ajali.
Wananchi wakishuhudia gari hilo wakati likiondolewa eneo la ajali.
Wanausalama wakiwa eneo la ajali.
Toyota Harrier likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali hiyo. (Picha na Mzee wa Matukio Daima)
WATU wawili wamepoteza maisha katika ajali
iliyotokea jana alfajiri saa 11: 30 katika eneo Mizani mkoani Iringa
kwenye barabara ya
↧
Kesi ya kupinga sheria ya mtandao yaanza......Serikali Yapewa Siku 14 Za Kujieleza
Mchakato wa usikilizwaji wa kesi ya Sheria ya Makosa ya Uhalifu wa Kimtandao umeanza, huku Mahakama Kuu nchini ikiipa Serikali siku 14 kuwasilisha mahakamani hapo majibu yake ya utetezi kuhusiana na kesi hiyo.
Kesi hiyo namba 32 ya mwaka 2015 ilifunguliwa wiki iliyopita na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), kwa kushirikiana na mashirika mengine ya haki za binadamu, kikiwemo
↧
Ajali ya Basi Yaua Watu Watano.....Chanzo cha Ajali ni Dereva Kusinzia
Watu watano wamekufa na wengine 39 kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria la kampuni ya Metro kuacha njia na kupinduka katika eneo la Manga, mpakani mwa mikoa ya Tanga na Pwani, chanzo kikidaiwa dereva alikuwa akisinzia.
Waliokufa katika ajali hiyo iliyotokea jana ni Joseph John (45) na Joseph Shayo (41), wakazi wa Moshi, mkoani Kilimanjaro na Zakaria Kintupa, mkazi wa
↧
LOWASSA: Nipeni Bakora Niwatandike Mafisadi.
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amefunguka na kuwaomba Watanzania kumpa kura ambazo ameziita bakora ili awacharaze viboko watu wote wanaojihusisha na vitendo vya ufisadi nchini.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), alitoa kauli hiyo jana
↧
↧
ACT-Wazalendo: Tutamaliza Migogoro ya Ardhi
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Anna Mghwira, amesema akichaguliwa kuwa rais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao, atamaliza migogoro ya ardhi kati ya wakulimana wafugaji inayoendelea katika mikoa mbalimbali.
Mghwira aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Toboa Tobo, Wilayani Malinyi, mkoani Morogorona kuongeza kuwa,
↧
Sheria ya Makosa Ya mtandao yanasa watano Ambao Hutengeneza Message FEKI Za Wanasiasa
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu
watano kwa tuhuma za kutumia vibaya mitandao ya kijamii kufanya uhalifu
wa kutengeneza habari za uongo na uzushi dhidi ya viongozi au watu
maarufu.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova alisema
watu hao wamekuwa wakitumia
↧
Mitambo ya Kuzalisha Umeme wa gesi Yawashwa.....Tatizo la Umeme Kukatika Kuisha LEO.
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kazi ya kuunganisha mabomba ya gesi kutoka Kinyelezi I kwenda katika mitambo ya Ubungo I na II, jijini Dar es Salaam imekamilika.
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na mtandao huu jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa
↧
Picha 7 za Mafuriko ya Lowassa Jana Morogoro
↧
↧
Uhusiano Uliopo Kati ya PUNYETO na Ukosefu au Upungufu wa Nguvu za Kiume
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani.
Zipo sababu nyingi zinazo sababisha tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.
Miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na maradhi kisukari, presha,shinikizo la damu, moyo, figo, matatizo kwenye mishipa ya ubongo & mishipa ya uti wa mgongo, matatizo
↧
Magufuli Aendelea Na Mikutano Yake Ya Kampeni Wilaya Ya Sikonge,Kaliua,Ulyankulu Na Urambo Mkoani Tabora
↧
Kati ya Magufuli na Lowassa, ni Nani atatufaa Kwa siasa za Nje?
“Msifanye mabadiliko kwa pupa kama watu wa Libya. Walimuondoa madarakani rais Saddam, hapana rais Gaddafi maana Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!”.
Sikuamini masikio yangu kwamba haya ni maneno yaliyotoka kinywani mwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli.
Alikuwa akiongea na wananchi wa Tanga katika mkutano wa kampeni akiwahadharisha Watanzania
↧
More Pages to Explore .....