Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mkuu wa Jeshi la Polisi Asema Kuzidisha Muda wa Kampeni si Kosa la Jinai

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema hakuna sheria inayozuia wagombea urais, ubunge na udiwani kufanya kampeni zaidi ya saa 12 jioni isipokuwa ni kanuni za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Akizungumza jana, IGP Mangu alisema hakuna mahali palipoandikwa, lakini kwa mujibu wa kanuni zilizowekwa na NEC na wadau wake, kinachofuata ni utekelezaji. IGP Mangu alisema hayo baada

Masha adai mashtaka dhidi yake ni batili

$
0
0
ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha (45) amewasilisha mahakamani pingamizi juu ya kesi inayomkabili ya kutumia lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi, akisema mashitaka aliyofunguliwa ni batili.   Kupitia kwa wakili wake, Peter Kitabala, Masha aliwasilisha pingamizi hilo akiwa na hoja tatu za kisheria katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es

Magufuli mtegoni....Wananchi Wampokea Kwa Mabango Wakimtaka Amnyang'anye Shamba Sumaye

$
0
0
Mgombea  urais kwa tiketi ya CCM,Dk. John Magufuli jana alikumbana na mtihani wa kwanza wa wananchi baada ya kupokewa na mabango yenye ujumbe mbalimbali. Miongoni mwa mabango hayo ni lile lililokuwa limeandikwa. Waziri Mkuu mstaafu Federick Sumaye arudishe shamba analomiliki kwani limegeuka pori,”. Hali hiyo, ilitokea wakati msafara wa Dk. Magufili ukielekea  wilayani Mvomero.

Video: Kubenea Amuumbua Dr. Slaa Mkutanoni,Kyela Mbeya

$
0
0
Hapa  kuna  video  ya  Kubenea  akimchanachana  Dr  Slaa  katika  mkutano  wa  hadhara  Kyela, Mbeya Amesimulia  sakata  zima  la  Richmond  kwa  kudai  kuwa  wakati  likiwakilishwa  bungeni  kulikuwa  na  ripoti  mbili. Moja  ya  kumchafua Lowassa  na  ya  pili  ikidai  Kikwete  ndo  mhusika  wa  Richmond Amesema  aliyekuwa  akipinga  ujio  wa  Lowassa  Chadema  ni  Baregu  na  siyo  Dr

Dk Slaa atimkia Marekani, nyumba italindwa na polisi.....Hapa Nimekuwekea Mazungumzo yake na Azam Tv Yaliyorushwa Leo Asubuhi

$
0
0
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake kwa mapumziko. Hata hivyo, taarifa zinasema Dk. Slaa amekwishandoka nchini kuelekea Marekani pamoja na familia yake tangu jana jioni. Huku akiwa Marekani kupumzika na kujiendelea katika kozi fupi katika tasnia ya Sheria na Lugha, Dk. Slaa amesema

Lishe Maalumu Kwa Wanaume Wenye Tatizo la Ukosefu na Upungufu wa Nguvu za Kiume

$
0
0
Ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani. Kufahamu   kwa  kina  kuhusu  sayansi  ya  nguvu  za  kiume, tafadhali  temb elea : http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html Hata  hivyo, kwa  kutumia  dawa  asilia ya  JIKO pamoja   na  LISHE  MAALUMU  KWA  WANAUME  WANAO  SUMBULIWA  NA

VIDEO: Gwajima Amlipua Dr Slaa, Atoa ONYO Kwa Usalama wa Taifa......Walinzi, Wachungaji Wasimulia Jinsi Dr. Slaa Alivyorubuniwa na Mkewe

$
0
0
Askofu Josephat Gwajima amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu Tuhuma alizopewa na aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa Hapa  kuna  video 7  za  mazungumzo yote ya Gwajima Video ya kwanza: Gwajima akisimulia alivyojuana na Dr Slaa.   Video  ya  Pili: Mchungaji Gwajima asema Urafiki wao ulianzia pale Dr. Slaa alipomuomba

CCM Wazungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Maneno ya Kibaguzi Yaliyotolewa na LOWASSA Kanisani

$
0
0
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha tarehe 6/09/2015 siku ya Jumapili mjini Tabora mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema Ndg. Edward Lowassa aliamua kutumia udini kuomba kura. Ndg. Lowassa akihudhuria ibada katika kanisa la Kilutheri (KKKT) mjini Tabora amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii akidai kuwa, kwa kuwa toka

Pendeza na Markson Products......Wanadawa za Asili za Kuongeza Uuume, Kurefusha Nywele,Kusimamisha Maziwa Yaliyolala n.k

$
0
0
Katika kusherehekea miaka kumi na nne ya kampuni hii tumetoa punguzo kubwa la bei kama shukran kwa wateja wetu. Bidhaa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda na hazina kemikali wala madhara.       TUNAZO ZA:- 1.Kerefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/= 2.Kuongeza shepu (hips na makalio) @120,000/= 3.Kuondoa mvi milele zisirudi @100,000/= 4.Kupunguza unene na manyama uzembe

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Septemba 9

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Nao Wamuonya Lowassa Kwa Kauli ya Kibaguzi Kanisani

$
0
0
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kitendo kilichofanywa na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa cha kuomba kura kwa kuwataka waumini wa madhehebu ya Kilutheri kumchagua yeye, kamwe hakikubaliki. Imesisitiza kuwa kitendo hicho, kinawagawa Watanzania na kuwapa mwelekeo wa kuchagua viongozi kwa misingi ya udini na ni ukiukwaji wa Kifungu cha 2.2 (i) cha Maadili ya Uchaguzi wa Rais,

Rais Kikwete Atunukiwa Tuzo ya Kiongozi Bora Afrika Mashariki

$
0
0
TANZANIA imetajwa kuwa kinara katika nchi za Afrika Mashariki kwa kutunza amani na utulivu tangu ipate uhuru, huku Rais Jakaya Kikwete akiibuka kiongozi bora katika ukanda huo kwa kujitolea kuleta amani katika Bara la Afrika na kutunza amani hiyo nchini mwake. Kwa hali hiyo, Rais Kikwete ametunukiwa tuzo mbili na Taasisi ya East Africa Book of Records ya nchini Uganda, moja ikiwa ni kwa

Mgombea Mwenza wa Urais CCM Aahidi Umeme Kila Kijiji Ruvuma

$
0
0
MGOMBEA mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu ameanza ziara yake mkoani Ruvuma akiinadi ilani ya chama hicho huku akiahidi neema kwa wakulima wa kahawa na mahindi wa mkoa huo. Bi. Samia Suluhu ambaye amehutubia mikutano mitatu katika majimbo mawili ya mkoa wa Ruvuma yaani Jimbo la Nyasa na Mbiga Vijijini, akizungumza katika mikutano yake amesema

Kanisa Katoliki Sasa Kuvunja Ndoa

$
0
0
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis jana alieleza mabadiliko mapya yanayolenga kuwarahisishia Wakatoliki kuvunja ndoa zao na kuoa upya. Dhamira hiyo ni ishara nyingine ya dhamira ya Papa huyo kutaka kulifanya Kanisa Katoliki liwe rafiki zaidi na kuendana matakwa ya walio wengi. Akizungumza kuhusu mabadiliko hayo, Papa alisema si haki kwa wenzi kuishi muda mrefu ‘

Ratiba ya Lowassa Mtihani kwa Dk. Magufuli.

$
0
0
Ratiba za kampeni za wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaonekana kuchuana vikali, Edward Lowassa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimeibua mgongano. Hali hiyo imelalamikiwa na CCM ambayo imeitupia lawama Tume ya Taifa ya Uchaguzi

BASATA ladai adhabu kwa Shilole ipo pale pale, yadai inakusanya ushahidi kumtwanga nyundo nyingine

$
0
0
Shilole anaweza akawa anafurahia bata za Marekani baada ya kutumbuiza kwenye show nchini humo, lakini bado BASATA haijamalizana naye. Katibu Mtendaji wa baraza la sanaa la taifa, BASATA, Geofrey Mngereza ameiambia Radio 5 ya Arusha kuwa adhabu aliyopewa Shilole ya kufungiwa kutojihusisha kwenye masuala ya sanaa kwa mwaka mmoja haijafutwa. Mngereza alidai kuwa adhabu iliyotolewa kwa

Diamond atajwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 (MTV EMA)

$
0
0
Diamond Platnumz kwa mara nyingine amepata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye tuzo kubwa za kimataifaa.    Ametangazwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 (MTV EMA) katika kipengele cha Best African Act. Wasanii wengine wa Afrika ambao atachuana nao kwenye kipengele hicho ni AKA (South Africa), Yemi Alade (Nigeria), Davido (Nigeria). Hata hivyo bado anatafutwa msanii

Mrema: Chadema mbona mnanishambulia, tatizo ni uzee wangu?.

$
0
0
Mwenyekiti Taifa wa chama cha Tanzania Labour Party TLP,  na mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Augustino Mrema, amelalamikia kuwa anafanyiwa siasa chafu na wapinzani wake. Akizungumza na waandishi wa habari jimboni Vunjo, Mrema amepeleka lawama moja kwa moja kwa viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, kwa kumchafua kwa matusi kwenye kampeni pamoja na kufanyiwa ubaguzi. “

Nauli ya Mabasi ya Mwendo Kasi Dar Ni Sh. 900.

$
0
0
Ukali zaidi wa maisha kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam unakuja kutokana na viwango vipya vya nauli za magari yaendayo haraka kuwa kati ya Sh. 500 hadi 900 kwa safari moja kwa mtu mzima. Aidha, nauli ya mwanafunzi itakuwa kati ya Sh. 250 na 450 kwa safari moja, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imetangaza jana. Tangazo la Sumatra kwa vyombo vya habari

Mkapa Aendelea Kuuponda Upinzani......Asema Mabadiliko Yataletwa na CCM Pekee na sio Mbumbumbu Wengine

$
0
0
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameponda kauli ya vyama vya upinzani kuwa vitaleta mabadiliko, akisema kazi hiyo tayari imefanywa na CCM. Akizungumza kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Bukoba wakati wa uzinduzi wa kampeini za wagombea wa chama hicho mkoani Kagera, Mkapa alisema chama pekee kilichobobea katika ukombozi ni CCM na Serikali zake zilizotangulia.   Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images