MGOMBEA ubunge wa jimbo la Kahama, James Lembeli kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameishambulia serikali ya CCM na kueleza kwamba serikali hiyo haiwezi kuwapatia wananchi maendeleo kutokana na kuwa na mfumo mbovu wa kiutawala.
Mbali na hilo Lembeli alisema serikali ya CCM ndiyo serikali pekee yenye mfumo kandamizi, viongozi wake ni walaghai wakubwa na imekuwa
Lembeli Aanika MAOVU Yaliyofichwa Wakati wa Operesheni Tokomeza
↧
↧
Magufuli: Nikiwa Rais Nitachukua Mashamba Yasiyotumika
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameahidi kunyang’any’a mashamba ambayo yamehodhiwa na watu bila kutumiwa kwa ufugaji wala kilimo, na kuyagawa kwa wakulima na wafugaji wasio na maeneo ya kilimo.
Alisema hayo alipozungumza na wananchi wa wilaya za Ulanga na Kilombero mkoani Morogoro jana.
Dk Magufuli alisema akiwa rais, kuna mambo mengi anaweza kufanya,
↧
Nyomi ya Watu Katika Mkutano wa MAGUFULI Huko Ifakara, Kilombero
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Septemba 6
↧
Kubenea Kumvaa Dr. Slaa......Asema Ataanika Maovu yake Yote Watanzania Wajue
Katika taarifa yake kwa Mwanahalisi Online, Saed Kubenea, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd (HHPL) wachapishaji gazeti la MwanaHALISI, (ambaye amechimba kwa undani sakata la Richmond lililotokea mwaka 2007) amesema:
NIMEMSIKILIZA kwa makini, Dk. Willibrod Slaa, aliyeacha Ukatibu mkuu wa Chadema na katibu wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) akizungumza katika
↧
↧
Picha: Mafuriko ya LOWASSA Yahamia Tabora
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwasalimia wananchi wa Mji wa Tabora, Septemba 5, 2015.
Aliekuwa
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mngeja akiuhutubia Umati wa
wakazi wa Mji wa Tabora, waliofutirika kwa wingi kwenye Uwanja wa Town
School, kulikofantika Mkutano wa Kampeni za kunadi sera za Mgombea
↧
Dr. Slaa Aishambulia CHADEMA Kwa Mara ya Pili.......Asisitiza Kuwa Lowassa ni Fisadi
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Wilbrod Slaa amejitokeza hadharani kwa mara nyingine na kujibu watu waliojitokeza kuponda hotuba yake, aliyoitoa hivi karibuni kuwa hawana hoja zaidi ya kumtukana.
Akizungumza kupitia kituo kimoja cha Televisheni jijini Dar es Salaam, Dk Slaa alisema madai yote, yaliyotolewa juu yake na baadhi ya watu wakiwemo
↧
Magufuli Afunika Morogoro........Kikwete Asema Baada ya Uchaguzi UKAWA Itageuka kuwa UKIWA
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amesema Serikali atakayoiongoza itajenga viwanda vikubwa, vya kati na vidogo ili kuongeza ajira na mapato ya Serikali, huku akiwaahidi wakazi wa Morogoro kufufua viwanda vyao.
Amesema hayo katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro katika moja ya mikutano mikubwa ya kampeni za uchaguzi,
↧
Ukosefu wa Umeme Kukumba Mikoa Yote ya Gridi ya Taifa Kuanzia LEO
BAADA ya kufika kwa gesi asilia jijini Dar es Salaam ikitokea Mtwara, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), itaingiza gesi hiyo katika mitambo yote ya umeme nchini, hivyo kuanzia leo kutakuwa na ukosefu wa umeme katika mikoa yote inayotumia Gridi ya Taifa.
Hatua hiyo inatokana na kuzimwa mitambo yote ya umeme katika kituo
↧
↧
Picha: Magufuli, Rais Kikwete Wauteka Mji wa Morogoro.
Sehemu
ya gharika la wananchi katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro
Jumapili kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama
hicho tawala
Sehemu
ya gharika la wananchi katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro
Jumapili kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama
hicho tawala
Sehemu
ya gharika la wananchi katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro
↧
Lowassa AFUNIKA Nzega......Maelfu ya Wananchi Wahudhuria Mkutano wake
Chopa
ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, ikitua eneo la Uwanja wa Mkutano, huku wananchi wa Nzega
wakiishangilia, jana Septemba 6, 2015.
Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh.
↧
Makamba Asema Lowassa ni Fisadi.......Aipongeza CCM Kulikata jina Lake
KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amepongeza chama hicho kwa kukata jina la Edward Lowassa, katika kundi la wawania urais wa chama hicho kwa kuwa hakuwa na sifa za kuwa Rais.
Makamba amesema hayo jana katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, alipopewa nafasi ya kusalimia wananchi wa Morogoro, ambapo aliamua kutoa baadhi ya siri ambazo hazijawekwa hadharani.
↧
Watu wawili wafa kwenye mkanyagano mkutano wa Magufuli Morogoro
Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa kutokana na mkanyagano uliotokea jana Uwanja wa Jamhuri, Morogoro katika mkutano wa kampeni za mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli.
Tayari leo, Mwenyekiti wa CCM taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewatembelea majeruhi hao waliolazwa Hospitali ya Mkoa Morogoro.
Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk Ritha
↧
↧
Gwajima kujibu mapigo ya Dk Slaa kesho Dar
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kesho anatarajia kujibu mapigo kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa ambaye hivi karibuni alimweleza kuwa ni mshenga wa Edward Lowassa kwa viongozi wa Chadema.
Akizungumza jana katika kanisa hilo lililopo Ubungo huku akishangiliwa na waumini wake waliokuwa wakiimba; “mshenga,
↧
MBOWE: Ulofa na Upumbavu Wetu ni kwa sababu ya CCM
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema ili umasikini unaowakabili Watanzania uweze kuondoka lazima washirikiane kuiondoa madarakani CCM.
Amesema ulofa na upumbavu wanaodaiwa kuwa nao Watanzania umesababishwa na Serikali ya CCM kwa kuwa haiwajali Watanzania.
Mbowe alitoa kauli hiyo jana alipohutubia mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Laini Polisi mjini Nzega, Mkoa wa Tabora ambapo
↧
SUMAYE: Walioficha fedha nje watazirudisha; Magufuli haiingii Ikulu 2015
Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, amesema kama Lowassa
atafanikiwa kuingia madarakani Watanzania walioficha fedha nje ya nchi
watazirudisha.Sumaye alitoa kauli hiyo jana alipohutubia mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Laini Polisi mjini Nzega, Mkoa wa Tabora.
Kwa mujibu wa Sumaye, fedha hizo ambazo Serikali ya CCM imeshindwa
kuzirudisha zitatakiwa kurudi kwa sababu ni mali ya
↧
Chama cha TPP chapigwa MARUFUKU Kufanya Kampeni
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania kimetoa onyo kali kwa Chama cha Tanzania Peoples Part (TPP) kutoshiriki katika shughuli zozote za kisiasa zinazoendelea nchini. .
Kauli hiyo imekuja baada ya Chama hicho kuonekana kuendelea na shughuli za kisiasa wakati kilishafutiwa usajili wake
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam, Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa
↧
↧
Habari zilizopo katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Septemba 8
↧
Watoto wa familia moja wafia majini wakivua samaki
Watoto wawili wa familia moja wamekufa maji
baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kuvulia samaki, kugonga mwamba na
kuzama katika Ziwa Victoria.
Akithibitisha tukio hilo la juzi, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa
Kagera, Augustine Ollomi alisema siku ya tukio, majira ya saa moja jioni
watoto hao waliiba mtumbwi na kuingia nao Ziwa Victoria eneo la kisiwa
cha Bumbile kwa lengo la kuvua
↧
Lowassa: Sina muda wa kujibu matusi ya CCM
MGOMBEA
urais wa Tanzania anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),
Edward Lowassa amesema hana muda wa kujibu matusi na kejeli zinazotolewa
na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi yake.
Badala yake amesema anatumia muda uliobaki wa kampeni kutafuta kura kwa wananchi kwa kunadi ilani ya chama chake.
Akizungumza
kwenye mikutano ya hadhara, Bunju na baadaye Mbezi
↧
More Pages to Explore .....