MBUNGE wa
Kinondoni (CCM), Idd Azzan, amesema yupo tayari kujiuzulu ubunge, ikiwa
itabainika anajihusisha biashara ya dawa za kulevya. Kauli hiyo imekuja
siku chache baada ya kutajwa katika moja ya barua iliyosambazwa katika
mitandao ya kijamii, baada ya mtu anayedaiwa kukamatwa China na
kuwatuhumu watu kadhaa akiwamo Idd Azzan.
Akizungumza na
MTANZANIA jana kuhusu sakata hilo, alisema
"NIPO TAYARI KUJIUZULU ENDAPO ITABAINIKA NAUZA MADAWA YA KULEVYA'.....MBUNGE WA CCM (AZZAN) AFUNGUKA
↧
↧
KAHABA APEWA KICHAPO NA MALAYA WENZAKE KWA KOSA LA KUJIUZA KWA BEI YA HASARA NA MKOPO
KAHABA mmoja katika mji wa Naivasha, jimbo la Rift Valley nchini Kenya
amenusurika kufa baada ya kupewa kichapo kikali na makahaba wenzake wakimtuhumu kujiuza kwa bei ndogo na kuwaharibia soko.
Wenzake hao wenye hasira walimtwanga kahaba huyo kwa ngumi
wakimshutumu kwa kutokuwa na ushirikiano na kuwaharibia soko hasa ikizingatiwa kuwa hivi sasa ni kipindi cha
↧
MBUNGE WA CCM ANAYEDAIWA KUFADHILI MADAWA YA KULEVYA AJISALIMISHA POLISI
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, jijini Dar es Salaam kwa tiketi ya CCM,
Iddi Azzan, aliyetajwa kwenye barua inayosadikiwa kuandikwa na wafungwa
Wakitanzania waliopo Hong Kong “amejilisalimisha” kwenye ofisi za jeshi
la polisi na kulitaka jeshi hilo lifanye uchunguzi dhidi ya tuhuma
zilizoelekezwa kwake, ili hatua nyingine na ikibidi sheria, vichukue
mkondo wake.Azzan amesema alienda
↧
"WAPIGWE TU" YA MIZENGO PINDA ITAMFIKISHA KORTINI
KAULI ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ya kubariki vyombo vya dola
kuendeleza kipigo kwa raia wanaokaidi amri imechukua sura mpya baada ya
Kituo cha Sheria na Haki za Bindamu (LHRC) kutangaza kumburuza
mahakamani wiki hii kutokana na kushindwa kufuta kauli yake.
Juni 20, mwaka huu, wakati akijibu maswali ya papo kwa hapo bungeni,
Waziri Mkuu, Pinda, alivitaka vyombo vya dola kuendelea
↧
CHADEMA HAINA UBAVU WA KUMKATAA TENDWA
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imesema Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) hakina ubavu wa kumkataa au kutomtambua John Tendwa
kuwa ndiye msajili wa vyama vya siasa nchini.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Naibu Msajili wa Vyama vya Siasai,
Rajab Baraka alipozungumza na MTANZANIA kuhusu kauli iliyotolewa na
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa aliyedai chama hicho
↧
↧
KANISA KATOLIKI PAROKIA YA URU LAKUMBWA NA MAMBO YA KISHIRIKINA ( UCHAWI )
HOFU kubwa imetawala Kanisa Katoliki Parokia ya Uru iliyopo Wilaya ya
Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, kutokana na matukio kadhaa
yanayoendelea kutokea katika kanisa hilo huku baadhi ya watu
wakiyahusisha na imani za kishirikina.
Katekista wa parokia hiyo,
Lucian Tesha, aliwaambia waamini waliokusanyika katika ibada ya misa ya
kwanza kanisani hapo juzi Jumapili kuwa usalama katika
↧
VIDEO: MAMA AJICHOMA MOTO PAMOJA NA WATOTO WAKE KISA KIKIWA NI MAPENZI
↧
KESI YA LADY JAYDEE YAPIGWA KALENDA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, leo imeiaharisha kesi inayomkabili
msanii wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura 'Lady Jaydee' a.k.a
Annaconda dhidi ya uongozi wa Clouds Media Group hadi Agosti 2, mwaka
huu.Kesi hiyo ya madai iliyopo mbele ya Hakimu Athumani
Nyamlani, leo ililetwa kwa ajili ya kusikilizwa lakini ilishindikana
kutokana na wakili anayemtetea, Jaydee kutotokea
↧
PICHA ZA UCHI ZANASWA KATIKA UKUMBI WA KANISA JIJINI DAR
Kiongozi wa Kanisa la Greek Orthodox duniani, Papa Theodor’s II
ameamuru kufungwa kwa ukumbi uliopo ndani ya eneo la kanisa hilo
lililopo Kiwanja Namba 7509 katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini
Dar es Salaam kufuatia kuwepo kwa picha za utupu za wanawake ukutani..
Papa huyo alifikia uamuzi huo Februari 19, mwaka huu baada ya kutua nchini ambapo alifanya mazungumzo na Rais Jakaya
↧
↧
BODI YA MIKOPO YAKANUSHA UVUMI KUWA WALIOOMBA MKOPO WA ELIMU WANAPASWA KUJIANDIKISHA UPYA
Kumekuwa
na uvumi kwamba mtandao wa uombaji mikopo wa Bodi ya Mikopo ya
Wanafunzi wa Elimu ya Juu (OLAS) ulikuwa na hitilafu ya kiufundi na
hivyo Wanafunzi wanaondelea na masomo ambao walikuwa tayari
wameshahakiki taarifa zao wanapaswa kurejea kujaza upya ama kuhakiki
iwapo taarifa zao zipo mtandaoni.Bodi inatumia fursa hii
kuwajulisha Wanafunzi husika, Vyuo vya Elimu ya Juu na Umma kwa
↧
"SINA MPANGO WA KUAJIRIWA NA KU******M YOYOTE....CLOUDS ACHENI KUNIFUATILIA". HILI NI TUSI LA MWISHO MWAMPAMBA
Mwisho Mwampamba amegeuka mbogo na kufurumua matusi ya nguoni kwa Clous Fm baada ya kituo hicho kuanza kumjadili na kumchambua...
Mwampamba, ambaye ni staa namba mbili wa shindano la big brother mwaka 2003 anadai kutoridhishwa na kitendo cha Cloud fm kuanza kumjadili...
Staa huyo amedai kwamba yeye anamaisha yake na hivyo haoni haya ya kuanza
↧
"CHADEMA WANATAFUTA UMAARUFU KUPITIA JINA LANGU"...MWIGULU NCHEMBA
Kumekuwepo na jitihada
za makusudi za chadema, baadhi ya magazeti yanayofanya kazi ya uenezi ya
chadema na wafuasi wa chadema kufanya kila njama kunichafulia jina kwa
sababu na manufaa yao wayajuayo wenyewe. 1) Leo (Alhamisi) wameibuka na
kihoja kuwa Dr Slaa hatarini, wameweka na picha yangu. Hivi mimi
nihangaike na Dr Slaa wa nini? Kwanza mimi ndio naanza siasa, na yeye
ndio anamaliza,
↧
WASHIRIKI WENGINE WA BIG BROTHER WANASWA WAKINGONOKA KAMA MBWA
<!-- adsense -->
Video nyingine ya washiriki wa big brother imenaswa live wakingonoka kama mbwa....
Katika video hiyo, Angelo na Beverly wanaoneka wakitenda aibu hiyo wakiwa bafuni wakati wa kuoga....
Video iko hapo chini.....
Ukitaka kui download, ingia jukwaa la wakubwa hapo chini
<<DOWNLOAD>>
Ukitaka kuiangalia tu, video iko hapo chini...
↧
↧
MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUPIZI HARAKA, NA KUSHINDWA KURUDIA RAUNDI YA PILI
<!-- adsense -->
Tunapozungumzia
upungufu wa nguvu za kiume tunakuwa katika uwanja mpana zaidi wa
tafakari za kibaiolojia na kisaikolojia walizonazo wanaume.
Lakini
kwa kufupisha mlolongo wa mambo sehemu kuu tatu zinaweza kabisa
kukidhi mchanganuo mzima wa jinsi tatizo hili linavyowasumbua wanaume
wengi duniani.
Sehemu kubwa ya malalamiko ya wanaume katika sakata hili
↧
KAHAMA YAANZA MIKAKATI YA KUWAOKOA MAKAHABA KWA KUWAWEZESHA KIUCHUMI
Zaidi ya wanawake tisini wanaofanya biashara ya ngono wilayani Kahama
mkoani Shinyanga wanatarajia kunufaika na mradi mpya wa kuwakomboa
kutoka kwenye biashara hiyo, unaoratibiwa na HUHESO Foundation kwa
ufadhili wa Rapid Funding Envelop (RFE).Hayo yameelezwa leo na
Mkurugenzi wa shirika hilo Juma Mwesigwa wakati wa utambulisho wa mradi
huo kwa wadau na waandishi wa habari katika kikao
↧
WAPENZI WAJIRUSHA MBELE YA TRENI NA KUFARIKI DUNIA BAADA YA MAMA WA BINTI KUGOMA WASIOANE
Binti mdogo mwenye miaka 21 na mpenzi wake mwenye miaka 25, wameamua kukatisha maisha yao na kuacha note yenye maneno“Two great people are going to paradise”.
Kisa chote hiki kinatokana na
mama wa binti Ariana O’Neal kukataa mapenzi ya hawa wawili.
David na Ariana walikuwa wanaishi jijini New York, katika mapenzi yao
waliwai pia kukamatwa na polisi kwa kuhusuka na wizi wa vito kutoka
↧
"TUMECHOKA KUONGOZWA NA MAKAFIRI, LIPIZENI KISASI NA MTAPATA UHAI MZURI"....HUU NI UCHOCHEZI WA SHEIKH PONDA
SERIKALI imenasa kanda za video zinazomuonyesha Kiongozi wa Jumuiya
na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda, akitoa mahubiri
yanayowahamasisha waumini wa dini ya Kiislamu kuanzisha uasi dhidi ya
serikali.Tukio la kunaswa kwa kanda hizo limekuja ikiwa ni siku
chache baada ya Jeshi la Polisi Zanzibar kutangaza kumsaka Sheikh Ponda
kwa tuhuma za uchochezi, akingali anatumikia
↧
↧
MAKAHABA WAENDELEA KUKICHAFUA CHUO KIKUU CHA DODOMA
<!-- adsense -->
Ongezeko la makahaba mjini Dodoma limeendelea kuwa kero kwa chuo kikuu cha Dodoma na wanafunzi wake kwa ujumla....
Kero hiyo imekuwa ikisababishwa na baadhi ya makahaba hao kujifanya wanafunzi wa chuo hicho kwa lengo la kujiimarisha kibiashara...
Takribani miezi mitatu iliyopita, kahaba mmoja alinasawa na polisi mjini Dodoma akijiuza
↧
WANYARWANDA WAANZA KUREJEA MAKWAO BAADA YA RAIS KIKWETE KUWAPA SIKU 14 ZA KUONDOKA
Mamia ya wahamiaji haramu kutoka nchini Rwanda wakiwa na ng’ombe
zaidi 900 wameanza kuondoka nchini kurejea kwao kutokana na agizo la
Rais Jakaya Kikwete kuwataka waondoke Tanzania kabla ya siku 14.
Aidha, imeelezwa kuwa kumekuwapo ongezeko la
askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) mkoani Kagera hasa
wilayani Ngara hali inayozua hofu kwa baadhi ya
↧
MAAJABU YA CHADEMA: DR. SLAA AWAUNGA MKONO WAASI WA KONGO NA KUMKINGIA KIFUA KAGAME
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad
Slaa, amemkosoa Rais Jakaya Kikwete, kuhusu kauli yake ya kumshauri Rais wa
Rwanda, Paul Kagame, kuzungumza na waasi wa serikali yake ...
Dk. Slaa amesema haoni busara kwa Rais Kikwete kuwaambia viongozi wa
Rwanda, akiwamo Rais Kagame, kuzungumza na wafuasi wa chama cha FDRL
walioko Congo.
Slaa aliyasema hayo
↧
More Pages to Explore .....