Picha 3 za Mafuriko ya Magufuli Sumbawanga
↧
↧
Ombi la UKAWA Kufanya Mkutano wa Kuzindua Kampeni Jangwani Lakataliwa...
Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA umesisitiza kuwa utazindua kampeni zake siku ya jumamosi ya tarehe 29 mwezi huu katika viwanja vya jangwani jijini Dar es salaam licha ya mizengwe wanayowekewa na mansipaa ya ilala ya kuwanyima kutumia uwanja huo kwa sababu ya kuwa na matumizi mengine siku hiyo.Akizunzgumza na wanahabari mapema leo jijini Dar es salaam mwenyekiti wa NCCR mageuzi ambaye pia
↧
Ukweli Unauma: Jiwe walilolikataa CCM limekuwa jiwe kuu Chadema
By Padri Baptiste Mapunda
Injili inatufundisha kuwa enzi ya Yesu Kristo, baadhi ya watu walimwona ni kama kichaa na mvuruga amani katika jamii.
Wengine walimdharau hata kufikia hatua ya kusema “ huyu tunamjua, je, siyo mwana wa Yusufu na Mariamu?” Hata hivyo, Yesu aliendelea na kazi ya kuwaletea binadamu ukombozi.
Wakati viongozi wakuu, wasomi na maadui zake wakimtuhumu kwa utovu wa
↧
Wapiga Kura Wamtaka Rais Mkapa Awaombe Radhi kwa Kuwatukana
MUUNGANO wa wapiga kura Tanzania (TANVU), umeiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumchukulia hatua, Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, kwa kitendo alichokifanya kuvitukana vyama vya upinzani kwa kuwaita viongozi na wanachama wake malofa, vibaka na wapumbavu.
Kauli ya TANVU inakuja ikiwa ni siku chache baada ya Mkapa kutoa maneno ya kuvihadaa vyama vya upinzani wakati Chama cha Mapinduzi (CCM)
↧
Uchaguzi Mkuu 2015: Serikali Yapiga Marufuku Kutumia Helikopta Wakati wa Kampeni Bila Kibali
UTANGULIZI
Tangazo hili linatolewa kwa lengo la kutoa mwongozo kwa watoa huduma za helikopta, marubani wake na umma kwa ujumla kuhusiana na hatua za kiusalama zinazopaswa kuzingatiwa inapolazimika kutoa huduma ya usafiri wa helikopta hapa nchini, hususan, maeneo ya mbali (vijijini) ambapo huduma za uongozaji ndege hazipo au sio maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya helikopta kutua (mahsusi
↧
↧
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha Aachiwa Kwa Dhamana
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha (45) baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.Masha alifikishwa mahakamani hapo jana nyakati za saa 6:49 mchana na kuhifadhiwa mahabusu na ilipofika saa 9:31 alasiri alipelekwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema kwa ajili ya kukamilisha masharti ya dhamana.Masha aliachiwa huru
↧
Magufuli Apata Wakati Mgumu Kuwanadi Wabunge
Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli ameanza kuonja shubiri ya kuwanadi baadhi ya wabunge wa chama hicho baada juzi, akiwa Kalambo mkoani Katavi, baadhi ya wananchi kuguna pale alipompandisha jukwaani mgombea ubunge wa jimbo hilo, Josephat Kandege.Baada ya kuona hali hiyo, Dk Magufuli alisema: “Nawaombeni jamani, hatuchagui malaika, kila mtu ana tatizo lake. Inawezekana wengine
↧
Mbowe Akata Rufaa Mahakama kuu Dhidi ya Hukumu yake
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe amekata rufaa Mahakama Kuu kupinga hukumu iliyotolewa dhidi yake Julai, mwaka huu, na kumtoza faini ya Sh1 milioni baada ya kupatikana na hatia katika kosa la jinai.
Mbowe alitozwa faini ya Sh1 milioni au kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kumshambulia mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa 2010 katika Wilaya ya Hai, Nassir
↧
Polisi Kutoa tamko CCM Kuzidisha muda wa Kampeni
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema kuwa litatoa tamko la jeshi hilo juu ya Chama cha Mapinduzi kuzidisha muda wakati wa Uzinduzi wa Kampeni za chama hicho wiki iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mdahalo wa wadau wa uchaguzi jana jijini Dar es salaam Kamishna wa Mafunzo na Operasheni wa Jeshi la Polisi CP Paul Chagonja amesema kuwa wanashughulikia suala hilo na
↧
↧
Hatimaye UKAWA Wakubaliwa Kutumia Uwanja wa Jangwani Jumamosi hii Kuzindua Kampeni zao
Malalamiko ya vyama vinavyounda UKAWA ya kakatazwa kutumia uwanja wa jangwani kuzindua kampeni yameanza kufanyiwa kazi na tume ya taifa ya uchaguzi na taarifa zilizotolewa na mkuu wa idara ya mawasiliano ya CHADEMA Bw.Tumaini Makene zimesema kuwa uzinduzi huo utafanyika kwenye uwanja huo kama ilivyokuwa imepangwa.
Bw.Makene ametoa taarifa hiyo kwenye mkutano wa baraza la vijana la
↧
Magufuli: Nikiingia IKULU Sina Deni la Fadhila
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema hana deni la kulipa kwa mtu yeyote akichaguliwa kushika wadhifa huo kwa kuwa hakutoa rushwa wakati wa uteuzi ndani ya chama hicho.
Magufuli alitoa kauli hiyo jana wakati akijinadi yeye na wagombea udiwani na ubunge wa CCM mkoani Mbeya ili wachaguliwe katika uchaguzi mkuu
↧
Chadema na CCM wachuana Kurusha matangazo ya televisheni ya moja kwa moja ya kampeni za wagombea urais Jumamosi
Vyama vya Chadema na CCM vimeingia katika mchuano wa kuwania nafasi ya kurusha matangazo ya moja kwa moja ya kampeni za wagombea urais katika televisheni Jumamosi hii.
Wakati Chadema ikitaka muda wa kurusha matangazo ya uzinduzi wa kampeni za mgombea wake, Edward Lowassa kutokea jijini Dar es Salaam, CCM inataka kurusha matangazo ya mkutano wa kampeni ya mgombea wake, Dk John
↧
UKAWA Kuzundua Kampeni Kesho Bila Dr. Slaa
MRATIBU wa Maandalizi ya Kampeni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Deogratia Munishi amesema maandalizi ya mkutano wa ufunguzi wa kampeni yamekamilika kwa asilimia 90.
Akizungumza na waandishi wa habari leo katika viwanja hivyo vya Jangwani, Munishi amesema kila kitu kipo tayari katika maandalizi hayo na wanachosubiri ni mkutano.
Munishi amesema mkutano huo wa ufunguzi wa
↧
↧
NEC Yakabidhi Polisi Majina ya Watu 52,000 Waliojiandikisha Zaidi ya Mara Moja Katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Kailima Ramadhan (kushoto), akimkabidhi Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Benedict Wakulyamba orodha ya majina 52,078 ya watu waliojiandika katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR zaidi ya mara mbili Dar es Salaam jana, kwa ajili ya uchunguzi na baadae hatua za kisheria zichukuliwe kwa wahusika.
Picha hii ni baadhi ya watu
↧
Zitto Kabwe Azungumzia Changamoto na Mafanikio ya ACT-Wazalendo pamoja na HUJUMA Anazofanyiwa na Vyama vingine
Chama cha ACT wazelendo jana kimenza mafunzo ya siku mbili mfululizo kwa wagombea wake wa nafasi za ubunge nchini mafunzo ambayo yamelenga kuwajengea uwezo na kujiamini zaidi kuelekea kufanya kampeni na kutafuta nafasi za uwakilishi wa katika majimbo mbalimbali kikiwa ni chama pekee nchini Tanzania kulichoendesha mafunzo kama hayo kwa sasa.
Kiongozi mkuu wa chama hicho Zitto Kabwe
↧
TCRA yatoa onyo kali kwa TBC1 kwa kuzikwepa habari za UKAWA.
MAMLAKA ya mawasiliano nchini (TCRA) imekipa onyo kali kituo TBC1 kwa kosa la kubagua kusoma taarifa zinazohusiana na UKAWA.
Hukumu hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na kamati ya maudhui ya utangazaji, katika ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano na Kaimu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Walter Bugoya wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
Bugoya alisema kamati hiyo imebaini TBC one
↧
Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond...........Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana
Aliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.
Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya
↧
↧
UKAWA Wanazindua Kampeni Zao Leo Viwanja vya Jangwani Jijini Dar.Hapa Kuna Picha 4 za Shamrashamra Zinazoendelea
Maelfu ya wananchi wakiendelea kuwasili viwanja vya Jangwani
Jukwaa Litakalotumika
↧
Picha 5 za Mafuriko ya LOWASSA Toka Jangwani
↧
Picha 3: Lowassa Kavunja Rekodi, JangwanI Pamejaa
↧
More Pages to Explore .....